MASWALI NA MAJIBU KWA SHEIKH MUHAMMAD KUSOMA (BIDAA) IGOMA MWANZA 2024
Вставка
- Опубліковано 8 лют 2025
- MASWALI NA MAJIBU KWA SHEIKH MUHAMMAD KUSOMA (BIDAA) IGOMA MWANZA 2024
.
ASANTE KWA KUCHAGUA #SUFFYONLINETV
+255 675 129 220
.
SUBSCRIBE #SUFFYONLINETV UA-cam CHANEL
Allah akupe umri Mrefu tuzidi kustafidi kwa Elimu yako sheikh wangu. Allahumma Aamiin!
Jazakallah Khair maktaba inayotembea nakupenda shkhe kwaajli ya Allah
Shukran sana Sheikh Wetu ALLAH Akupe Umri Mrefu Na Maisha Mazuri hapa Duniani Na Kesho Akhera Hata Mtumi MUHAMMAD SAW Alipingwa Kwahivyo Usife Moyo Shukran sana Sheikh Wetu
Maashallah ❤❤❤❤
Mungu akupe umri mrefu uzidi kutuelimisha.
Nakukubali sana sheikh wangu Kusoma
Mimi nimhabi lakini naanzakuijua hakileo tunaambiw ikija kullu nikila kitu kumbe niuongo mm kwanzia Leo nimtu wamaulid Asante shekh kwakufafanua
Wewe ni Mtu wa bida'a miaka yote hujawahi kuwa mwanasunnah halafu huwezi kuzijua sunna kupitia kwa mzushi ktk dini
Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe
MashaAllah ALLAH awahifadhi InshaAllah
Mashaallah sheikh wetu. .
Allah amhifadh sana shekh Abul Fadhwl qaasim mafuta. Wallah ameyahariri haya mambo ya bidaa kiasi kwamba sisi watu awaam hatubabaishwi na mashekh wa kibidaa. Namuapa Allah hakuna jambo ameongea huyu mzushi hapa isipokuwa yamejibiwa na yamehaririwa vizuri kiasi kwamba hakuna shubha yyt hapo. Yaaan kiufup nasema hvi. Awwaam wa hao mnaowaita wahab ni zaid ya mashekh wa kisufi
mzushi babako mbwa
Ukiwa umelishwa simu hata. Ukipewa dawahutaki ,huyu shegh katoa dalili pia huzitaki Tena katoa Kwa maimamu mnao wakubali lkn bado unabaki kusema mashed wakiwahabi wanaelimu zaidi kwakipimo kipi haswa au nihuko kuka soma yemen na saudia ndio hoja Tena miaka miwilitu,iwe hata ukitajiwa ushahidi uutaki
Mashallah mwamba khatar sana
Natamani siku moja Huyu Sheikh KUSOMA afanye munaqasha na WAPINGAJI
Masheikh tufundisheni dini acheni kutumezesha maneno haqq haina porojo ,mkumbuke pia mtaulizwa na ALLAH siku moja juu ya elimu zenu ,katika dini Makundi ni mawili
1.waliofanya ibada kwa elimu
2.waliofanya ibada bila elimu
a)kuna wanao dumu
b)kuna nyakati wanafanya/wanaacha
3.wasio fanya ibada
Walinganizi nao wapo Makundi
1.wenye kulingania kwa elimu
a)kuna wanao lingania haqq
b)kuna wanaoficha haqq
2.wenye kulingania pasina elimu
Sasa masheikh mnadhima kwa ALLAH kutuvusha
Sio lazima muamini nynyi, Tatizo lenu kubwa ni kulazimisha akili zetu zifanane na bhti mbay hamna uwezo wa kutulazimisha fanyeni ya kwenu msitulamishe kama watoto wenu, nendeni majumbani kwenu mkalazimishe mama zenu, bibi zenu , dada zenu , na wake zenu 😂😂😂, sisi hamna uwezo wa kutulazimisha. Majuhaa
Mashalwah maktaba inayotembea tufundishe
Mtume kasema
خذوا مناسككم مني
chukueni ibadazenu kutoka kwangu.
Sasa wewe shekh ni wapi mtume alisoma khitima kwa kuwaombea maswahaba. Nyie Allah anakuoneni
hata ww mwenyezi mungu anakuona
Mungu anakuona pia
Wewe mnafiki , naomba na wewe ujibu, ni lini mtume alifnya mashindano ya Kur an? Acha unafiki tuambie kama mtume au maswahaba waliwahi kufanya mashindano ya Kur an? Mnafiki mmoja
@@HemedSeriousMnafiki ni mtu aneelewa fika haki lakini haifuati kwa matamanio yake na mjinga ni yule haeliwi akielimishwa anaelewa. Lakini Mpumbavu au zuzu ni hatari kubwa na mazuzu wengi hawajui kua mashindano ya kusoma na kuhifadhi qurani yali kuwepo toka wakati wa mtume ila sio kwa mtindo huu wa hivi sasa. ndio maana akasika Mtume s.a.w akituambia na awe imamu mmoja wenu yule alio wazidi wenzie quran.( na kama wote mtakua sawa kilakitu atapewa nafasi yule mwenye sauti nzuri) swali kwko utajuaje fulani ni zaidi ya fulani kama hapotokua na iana fulani ya mashindano indirect ?
ماشاءالله
Assalaam alaikum Warahmatullahi Wabarakaatuh, Sheikh wetu huyu moja ya kitu ambacho amekifanya nakisiwe na msaada kwetu ni pale alipowataja wanachuoni wengi(10) wakielezea vigawanyo vya bidaa lakini pasina kuvielezea hivyo vigawanyo,kunahaja gani ya kujua kua bida'a imegawanyika sehemu mbili bila maelezo
Hapo upo sawa kwa sababu Mtume saw wakati wa uhai wake hapakuwepo vipaza sauti misikitini wala mazulia tunayothmia wala misahafu ya makaratasi wala saa ndani ya misikiti wala silaa zinazotumika leo katika vita wala ndege waanazosafiria mahujaji kwenda hija wala usafiri wa magari.
Kaka asalamu alykum hujaelewa naomba unitafute tueleweshane
@@mariamshaban4518 sawa.
@@mariamshaban4518 waalaykum salaam hamna shaka tutawasilina muda si mrefu.
Huyu kiumbe ni khatari anaunganisha vitu kiabunuwasi kwa mtu mwenye maarifa finyu katika dini amemuangamiza kwa mfano alipo linganisha neno KULLU katika hadith ya kullu bidaatun dhalala na Kullu iliomo ktika kisa cha Ibrahimu suratul Baqra
ثم اجعل على كل جبل جزء منهن
Kisha uweke katika kila mlima baadhi ya viungo vya ndege hao ulio chinja.
akasema kama neno KULLUN inamaanisha kila kilichotajwa iweje nabii wa Allahu Ibrahima aliweka viungo vya ndege wale aliowachinja katka milima minne tu pale maka.
Hoja yake akitetea kua SIO KILA BIDAA ni UPOTEVU.
Tunamwambia shekh huyo kua hapo hapana MASHIKO hata kidogo.
Alipo ambiwa Ibrahima pale alipokua yeye kulikua na hiyo milima mnne tu kama ungekuweko mlima mwingine wa Tano kwa sifa ya mlima angeweka hivyo viungo, na anaposema Mtume kila Uzushi anamaanisha UZUSHI WOTE ULIOPO NA UTAKAO KUJA ambao Mtume na Ashabi zake hawakufanya
Allaah awaongoe wao pamoja nasie
Nyny c Tyr mshaongoka , Allah akuongozeni vipi Tena wkt nyny watu wa sunna?
Maktaba ya vitabu Sheikh Kusoma
MASHAALLAH
Yan mada km h halafu kuna mpumbav mmoja anacma shkh akadanganya hata aib hain
Anadanganya ndio Kwani wewe umesoma dini au
Ili sisi watu wa kawaida tuweze kustafidi ilitakiwa hivyo vigawanyo avielezee kama hao wanachuoni walivyovieleza, lakini ukitueleza tu kua bida'a ziko mbili nzuri na mbaya halafu ukatuacha hewani tutakua makasiku kwasababu mtu akikuuliza nzuri na mbaya kivipi hakuna cha kujibu ispokuani 🏃♂️
Anajikanyaga anajipiga radi mwenyewe,Allah amuongoze huyu kiumbe
Huna lolote mnafiki wewe, Allah anakuona na unafiki
Tumsubiri shekhe bachu ili tuziziruhusu akili zetu kuchambua
Maktaba inayotembea
asnte shkh ila wengine talbs kama hii tushaizoea
Huyu bachu nimuhuni mvurugaji wadini
je ufahamu huo nani kakutangulia ktk wema walio pita shkh?
nilikua najua unajua kumbe hamna kitu.fuatilia hizo hidithi vizuri acha kutumi ufahamu wako
mimi nataka Nıqash na huyu shekh!
Huyu mbishi sana hutamuweza mzee tulia tuu
Wewe nihewa huna chote katika elimu yadini kufa kwachungu wako.
Bachu ali kojoa ww utakunya au nkup namba yake
Sasa kwa taarifa yako wewe usio jua mtu msomi ni yule anaeifafanua hadithi au aya takriban hata lisaa limoja hebu rejea nyuma waangalie akina shekh muselem alyi aya moja anatumia dakika ngapi au mzee wa huyo jahili wenu anaetafuta umaarufu kwakutukana wana wazuoni
اتكالله
ngoja ujibiwe
Subhanallah. Wadanganya wazi wazi Allah anakuona
Ww acha ushamba...
A.alaykum..
Kadanganya nini hebu nieleweshe kwa ukweli wa Kiislam nami nielewe...
Au labda hujamuelewa? Au unamchukia?
Leta ww ukweli wako wa vitabu km huyu Maalim ili tukuelewe
softjeanskhakis789 kwani wewe hivo vitabu wavijuwa mpaka useme yuwadanganya. Hiyo ndio taabu yenu mawahabi wakitajwa wanazuoni wenu kina Sheikh Imam Ibnu Taymiyah kwa jambo ambalo wamepingana na nyinyi huwa hamutaki ubaya wenu nyinyi hamutaki kusoma na ubishi mwingi kazi yenu nikusikiza mashekhe wenu na Elimu za ujanja ujanja Ibara wasoma ndivyo sivyo na kutafsiri kwa akili zao mbovu. Wacheni uvivu nendeni mukapige goti mbele ya mwalimu mukasome tena angalieni ni mwalimu aina gani anaewafundisha manake kuna wengine ni walimu mikebe mitupu kazi yao ni kufundisha ubishi
Mawahabi si waelewa na hawataelewa mpaka kiama kitasimama maana vichwa vyao vina akili zao masomo yao ibada zao zinawatosha wenyewe tu
Acheni siyasa kwenye dini nyie. Mogopeni allah inatosha kudanganya watu dakika 30 Hadidhi 1 hlf unadanganya watu wewe
Huja tuwekea hiyo sahihi?
Sema siyajui lakini usijitie una jichw chapka