MAAJABU YALIOMO NDANI YA AL QAABA | SIRI 8 USIZOZIJUA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2022
  • Follow Us On:
    FACEBOOK:
    / aqonlinetv
    INSTAGRAM:
    aqonlinetv?utm_...
    TWITTER:
    / aqonlinetv
    WHATSAPP:
    chat.whatsapp.com/LTkso2pn287...
    TIKTOK:
    vm.tiktok.com/ZSJKAVXxK/
    TELEGRAM:
    t.me/aqonlinetv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 Aq Online Tv. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 132

  • @mrabdultv8356
    @mrabdultv8356 6 днів тому +13

    Eee Mola wangu mlezi nakuomba nami unijaalie na vizazi vyangu siku moja kabla kufa tuweze kufika katika nyumba yako tukufu tufanye ibada tutekeleze nguzo uislamu amin amin amin ya Rabbi

  • @kinanaomar
    @kinanaomar 6 днів тому +2

    Masha’Allah namuomba Allah (SWT) anifikishe mimi na vizazi vyangu na waumini wa kisilamu ambao hawaja jaaliwa kufika hapo Amin Allahuma Amin Ya Rabil Alaamin 🤲🤲🤲

  • @user-ot4mn2sl5w
    @user-ot4mn2sl5w 10 днів тому +4

    Mashaallahu mumngu ametujaalia vitu vizuri ukiomba kwa alkaaba unafayikiwa lakini wengine hawaridhiki mpaka aende kwa mganga,ndio aridhikee.,hii niukosefu waimani uchamungu Allah anaweza kilakitu mtegemeani yeye.,

  • @jokhasaid429
    @jokhasaid429 День тому

    Allah anijalie mimi na kizazi changu pilate fursa ya kuingia ndani ya mji mtakatifu kwa ibada na atusamehe tulioyakosea Amin

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv 5 місяців тому +10

    Allah na sisi Yaraby utufikishe huko tukaone kwa macho yetu Yaraby

  • @halimamremi5375
    @halimamremi5375 2 дні тому

    MASHAALLAH!! MASHAALLAH!! MASHAALLAH!! EWE MOLA WEYU UTUFIKISHE NASIS INSHAALLAH!!❤❤❤

  • @SamSubg-ec9qp
    @SamSubg-ec9qp 8 годин тому

    InshaALLAH mungu atujaalie wepesi tuwe miongoni mwa kwenda kuzuru alkaaba

  • @shabanizayumba5432
    @shabanizayumba5432 7 місяців тому +5

    Insha allah,mungu atupe kheri na afya njema waislamu wote wapate bahati ya kufika makka kuhiji

  • @CelinaKimu
    @CelinaKimu 10 днів тому +1

    Mashaallah Allah atujalie kheri hapa Duniani na kesho akhera

  • @user-ot4mn2sl5w
    @user-ot4mn2sl5w 10 днів тому

    Allahu Akbar mashaallahu mambo mazuri kama haya mnatakanini waja wamungu munamwendea kwaganga Allah ashawapa utukufu huo munamkasirisha nguvu,nautukufu nauweza wa toka kwa Allah.,

  • @user-jo7gv5ui6h
    @user-jo7gv5ui6h 7 днів тому

    MashaaAllah Allah atujaalie tufike huko tuliokua hatujafika inshaa,Allah

  • @UMMYYFATMA
    @UMMYYFATMA 4 дні тому

    MASHAALLAH ♥️ ♥️

  • @Official83640
    @Official83640 6 днів тому

    Kuna watu hd leo wanajua hilo ni kaburi la mtume Subhannallah Mungu atufanyie wepesi tufike ktk nguzo ya 5 ya uislam

  • @HadijaRamadhani-s8m
    @HadijaRamadhani-s8m 18 годин тому

    Shukran

  • @user-nk3dp9cv9c
    @user-nk3dp9cv9c 8 днів тому

    Mashaa Allah n jamno lakujivunia kwa Waislaam, Alhamdulillah

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 4 дні тому

    ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH YA Allah

  • @user-te7sq5hl4d
    @user-te7sq5hl4d 4 дні тому

    Mungu atujalie heri waislamu sote nshallwa tukaone pepo ya mtume mohamadi

  • @habiybothman3286
    @habiybothman3286 7 годин тому

    Yaa Allah nakuomba kabla ya mauti kwa huruma na rahma zako nisujudu ktk ardhi yako tukufu

  • @nifasiha7918
    @nifasiha7918 7 днів тому

    Mashaallah mungu atujalie tufike alkba

  • @sharifally7958
    @sharifally7958 7 днів тому

    Mashaallah mwenyezi mungu atujaalie nasi tufike il8 tutubie zambi zetu

  • @FahmiyTafro-fx3dj
    @FahmiyTafro-fx3dj 7 місяців тому

    Allah akubarik na kutubarik sote kwa uwez wa Allah (s.w)

  • @user-jo7gv5ui6h
    @user-jo7gv5ui6h 7 днів тому

    Na awatagabalie towba zao walio fika huko Aamiin

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 3 місяці тому

    Ma sha allah
    Shukran kwa kutujuza
    Tusiyoyajua

  • @user-ve6pj5uc2g
    @user-ve6pj5uc2g 10 місяців тому

    Mashallah shukran kwa kutujulisha 🥰🥰🥰

  • @hamadkaihamad4169
    @hamadkaihamad4169 7 днів тому

    Ya Allah nijaalie niwe miongoni mwa watakaokwenda kuhiji katika katika nyumba yako tukufu iliyoko Makka kwa ikhlas

  • @BeatriceLongelesh
    @BeatriceLongelesh 27 днів тому

    Inshallah tupate ujira kutoka Kwa Allah

  • @jauzatyabdallah6748
    @jauzatyabdallah6748 Рік тому +1

    Shukran sana kwa kutujuza

  • @MeraiOmar-ok8bo
    @MeraiOmar-ok8bo 7 днів тому

    Mashaallah Allahu Akbar ❤❤❤🎉

  • @abdurazacknyambwa2997
    @abdurazacknyambwa2997 Рік тому

    mashaalla shukran kwa kutujuza

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 2 місяці тому

    DHIKRI FIKRI SHUKRI SUBRI QABRI

  • @SUZANASUZANA-ku3jk
    @SUZANASUZANA-ku3jk 2 місяці тому

    Shukran mubarikiwe

  • @user-mo6tr3yt3m
    @user-mo6tr3yt3m 5 місяців тому +1

    Allahu Akbar

  • @radhiaaboubakari4619
    @radhiaaboubakari4619 8 днів тому

    Mashaalah

  • @yusufsadic2930
    @yusufsadic2930 6 днів тому

    Masha Allah

  • @twalibnurdin4494
    @twalibnurdin4494 10 місяців тому

    Mashaallah

  • @user-nd7sy9kk6h
    @user-nd7sy9kk6h Рік тому

    Shkran

  • @FaridaAlita-jx6lt
    @FaridaAlita-jx6lt 8 днів тому

    Mashallah tabarakallah❤❤❤❤

  • @jamilahali-jg8er
    @jamilahali-jg8er 6 днів тому

    Ma sha Allah

  • @noffalsalim
    @noffalsalim Рік тому

    Mashallah

  • @isaaabdala7016
    @isaaabdala7016 3 місяці тому +2

    Ndege..haipiti juuyake Wana.anga wote.hutegemea Alkaba.sababu ya.mawasiliano sababu yenyewe imevuka wanapo ishia wao pia inalindwa.na
    Mataifa
    Yote makubwa.kama.marekani.uingereza ufaransa.ujerumani kama.mungu ailivyosema

    • @selemanichambo2944
      @selemanichambo2944 7 днів тому

      Si jambo la kujivunia kulindwa na nchi hizo, kwa Mwenye uelewa nadhani Allah anatosha kuilinda

  • @MariamOmari-vy7ko
    @MariamOmari-vy7ko 9 днів тому

    Mashallah 🥰🥰

  • @mustaphamatelefone-lc9pr
    @mustaphamatelefone-lc9pr 11 місяців тому

    Allahu akbar 🥰😘

  • @MurshidMMussa-bz2yo
    @MurshidMMussa-bz2yo 11 місяців тому +10

    Mashaallah mungu atupe kheir njema sote waislam na atupe Pepo yake kwa ridhaa yake

    • @halish
      @halish 11 місяців тому +1

      Amiin ndungu yngu 🤲🤲🤲 ya Allah tuelkeze kw njuwa a sahihi

    • @Fildaus6306
      @Fildaus6306 10 місяців тому

      Amiin🙏

    • @jamilamkunga234
      @jamilamkunga234 10 місяців тому

      Allahumma aaamin

    • @AminaAbdul-ke6wi
      @AminaAbdul-ke6wi 3 місяці тому +1

      Mashaallah mungu atupe kheri njema sote waislam na atupe pepo yake Kwa ridhaa yake amiin

    • @yakubkhan5183
      @yakubkhan5183 9 днів тому

      Allahumah aaaamn 🙏

  • @amanialjunaibi674
    @amanialjunaibi674 Місяць тому

    Mashallaah

  • @muhammadiabassi656
    @muhammadiabassi656 7 днів тому

    اللهم آمين آمين آمين يارب العالمين

  • @IbrahimAbuhendi
    @IbrahimAbuhendi 2 місяці тому

    Amin

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 7 місяців тому

    Allah akbar 🙏🙏

  • @user-tl2ks4fl4h
    @user-tl2ks4fl4h 4 місяці тому

    Alhamdu lillah

  • @user-fi3gv3jq6f
    @user-fi3gv3jq6f 11 місяців тому

    Allah akbar

  • @AbdallahOmary-pm5et
    @AbdallahOmary-pm5et 9 місяців тому

    mimi nasema asanteni kwa kutufahamisha tusiyoyajuwa

  • @rizikimikidadi6879
    @rizikimikidadi6879 7 днів тому

    ❤❤❤

  • @AbdallaMwaguzo
    @AbdallaMwaguzo 10 днів тому

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-mo6tr3yt3m
    @user-mo6tr3yt3m 5 місяців тому

    Akbar

  • @issakakolwa
    @issakakolwa 8 місяців тому

    Subhannallah😂.

  • @KassimJabu
    @KassimJabu 4 дні тому

    Nijaalie nami niweze kufika huko

  • @HassanAli-do9iz
    @HassanAli-do9iz Рік тому +1

    Subhannallah

  • @ashahamad-mq3iz
    @ashahamad-mq3iz Місяць тому +1

    Yaraby na sisi utupe uwezo wa kufika huko tukajione kwa macho yetu

  • @bonifaceomallya9201
    @bonifaceomallya9201 25 днів тому

    0:02

  • @godwinmsuya6080
    @godwinmsuya6080 2 місяці тому

    Alfu lela ulela

  • @user-cw6jq7cv2k
    @user-cw6jq7cv2k 7 днів тому

    Maash Allah mungu atupe uwezo wakwenda hajj pia kuona Kwa macho yote yaliomo huko. Hakika bahati

  • @fatumamsellem7622
    @fatumamsellem7622 11 місяців тому

    Shukran sana kwa kutoonesha
    Lakini hujatuonesha hilo jiwe lenyewe hilo jiusi

    • @NasraSaid-qc5hf
      @NasraSaid-qc5hf 8 місяців тому

      Ndiohapo namimi nauliza

    • @Elizanjeri133
      @Elizanjeri133 6 місяців тому

      Jiwe liko upande wa nje na alizingitia yaliomo ndani

  • @isaaabdala7016
    @isaaabdala7016 3 місяці тому

    Majitu.majinga ni mengi sim.wanazo.lakini kufatilia mambo.ya dunia mnashindwa.uliza.watu wanaokwenda.mwezini.nnini.kinawasaidia kushuka duniani.kama.sio .kaaba.mtabisha kila.kitu kwa.upumbavuwenu

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 13 днів тому

    Kwa vipi vitu hivi viwe siri, kwani vimevichwa ?

  • @hamisahtuman5595
    @hamisahtuman5595 6 місяців тому

    Jiwe kamela imeshindwa kuliona au uongo?

  • @SangaleSugume
    @SangaleSugume 3 місяці тому

    We Sema hadith tu subir had ufe utaamin siku yake

  • @halish
    @halish 11 місяців тому

    Naomb kuona kaburi LA mtu saw saw saw

    • @omaar5693
      @omaar5693 9 місяців тому

      mtu swa swa swa ndio nani?😢😢😢

    • @Saidy-eu1hc
      @Saidy-eu1hc 23 дні тому

      Mtume kazikwa maka situmeonyeshwa alikaba

  • @PeterChengo
    @PeterChengo 7 днів тому

    Kumbe jiwe lili jegwa Wala halikushuswa kama wanavyo dai nduguzetu

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 7 днів тому

      Wewe mpuuzi huo utumbo wako unaoongea umezungumzwa wapi hapo? Tambua hiyo nyumba aliyeijenga ni Abraham na mwanawe Ishmael, Abraham ni baba wa imani ktk Bibilia na ktk Qur'an. Wakati wanajenga hiyo nyumba waliyosema hiyo nyumba yake Mungu, hilo jiwe lilikuwepo na yeye ndiye aliyejua kuwa limetoka kwa Mungu Muumba. Sasa yeye Abraham amesema hivyo na hiyo nyumba kajenga yeye nwenyewe, je wewe ni kama nani unayepinga?

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 7 днів тому

      Ndugu zako kina nani waliosema? Jiwe lililitumiwa na nabii Ibrahim kujua kua ndipo mahali alipooteshwa na MUNGU linaonekana kwa nje kwenye kipembe cha hiyo alkaaba, yani pale pale alipoliacha nabii Ibrahim, nabii Muhammad alifanya uboreshaji pamoja na maswahaba wake waliliondoa na walipo maliza walilirudisha, kwa sasa limejengewa kwenye kipembe kwa nje ,yani sehemu inaitwa MAKAN IBRAHIM

  • @ngurukitv4584
    @ngurukitv4584 20 днів тому

    Good job bro follow back God I love you ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-ix4fv2nj2v
    @user-ix4fv2nj2v 4 місяці тому

    Lkn hizi zote ni hadisi 😂

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 3 місяці тому

    Hizo nakshi aliweka Ibrahim na mwanaye Ismaili? Nauliza tu.

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 7 днів тому

      Uneambiwa ziliwekwa na mfalme wakati wa utawala wake au hukuskia? Kwani ata henzi za mtume huo smikiti ulikua hivyo?

  • @NasraSaid-qc5hf
    @NasraSaid-qc5hf 8 місяців тому

    Jiwe jeusi likowapi?

  • @bonifaceomallya9201
    @bonifaceomallya9201 25 днів тому

    Watu waongo sana

  • @salumahmadasalum1556
    @salumahmadasalum1556 10 місяців тому

    NITUMIE NAULI NIENDE NIKASHUHUDIE NIKAONE KAMA NI KWELI UNAYOYASEMA IKIWA NI KWELI NTAKURUDISHIA PESA ZAKO

  • @isaaabdala7016
    @isaaabdala7016 9 місяців тому

    Unaijua?au.unakufru munngu nikuongezee ndege haipiti juuyake mawasiliano yamevuka mbingu ya7 Kaulize.uwambiwe usidharau tu ni ujinga

  • @bonifaceomallya9201
    @bonifaceomallya9201 9 місяців тому +1

    Wapumbavu ni wengi wanaamini kabisa wakifa wanaenda peponi tena Pepo ya kiarabu 😂😂😂😅😅🤣😂😂😂 mamaeee Africa siku tukija shtukia michongo ya wazungu na waarabu hata hizo hela za waafrica kwenda kuhiji uko watazikosa

    • @user-gs2wv1cc1b
      @user-gs2wv1cc1b 5 місяців тому +1

      allah akufanyie wepesi utoke kwenye ilo giza

    • @mhandomhina5503
      @mhandomhina5503 14 днів тому

      Uarabu si Uislam na Uzungu si Ukristo . Hata yule alisoma historia shule ya msingi atagundua dini ipi iliyokuja Afrika kwa mlengo tofauti wa kidini isipokuwa uwakala kwa ajili ya dhuluma ya wakoloni ambao athari zake mbaya kila mtu anazijua juzi jana na leo hii inavyotukandamiza . Tusijifiche Kwenye kichaka
      cha Uzungu na Uarabu tujadili Kwenye dini ipi ? Leo hii Kuna mali zetu kibao zinachukuliwa bure lakini watu fulani wenye chuki na upande fulani ambao kwao kufundisha kuchukia dini fulani ni kawaida lakini utashangaa papo hapo wanawaubiria watu wao
      upendo eti! Pia watakuelezanchi zao za Afrika zinauzwa na viongozi lakini nyoyo za haziumii pindi taasisi zao za Imani zinavyopata manufaa ya kiuchumi bila huruma dhidi ya nchi zao na kwao ni sawa tu hakuna kelele hakuna matata. Haya ni MATOKEO ya mlengo uliowaleta na kupata makuruta
      walioenea Kwenye serikali zetu ambao hakuna kuhoja baba mkuu kila anachochukua .....

    • @Maymuna-wc8lz
      @Maymuna-wc8lz 9 днів тому

      Mapovu yatawatoka Wengi,,, naww si utaenda Mbinguni kwani shida iko wap??

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 7 днів тому

      Pilipili iko shamba inakuwashia nini? Hizo zako pesa nendea mbinguni kwa wazungu, hujajua kua mpumbavu utakua wewe siku hiyo?

    • @Maymuna-wc8lz
      @Maymuna-wc8lz 7 днів тому

      Kweli wewe ni Kenge,,, Hizo pesa zako Kanunuwe Madanguro

  • @abdallahbrek1698
    @abdallahbrek1698 11 місяців тому +2

    Hayo si maajabu ukiwa na pesa unaweza kujenga nyumba kwa mawe ya dhahabu.
    Hiyo Kaaba si chochote bali ni mabaki ya upagani wa waarabu wa kabla ya uislamu ambao unafuatiliwa hadi leo

    • @NasraSaid-qc5hf
      @NasraSaid-qc5hf 9 місяців тому

      Weweusrseme
      Usiyoyajuwa
      Wewekafirituuuu

    • @jumamkoka2267
      @jumamkoka2267 8 днів тому

      Ndugu fanya utubie...

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 7 днів тому

      Ilijegwa na nabii Ibrahim ,huyo kwako ni mpagani? Sio lazima uchangie usiyoyajua, hau unaona ufahari kwakua wewe ni mpagani basi unadhani utaambatanisha ibada muhimu na huo upagani wako?

  • @EmileMukolo-fd3gy
    @EmileMukolo-fd3gy Місяць тому +2

    Waarabu Bana wanajuwa kutafuta pesa eti nyumba tukufu eti ilijegwa n'a adamu vichekesho kabisa

    • @bintikhamisi7806
      @bintikhamisi7806 10 днів тому

      Ni wazi hujaskiza yaliyosemwa Kwa video hii Wala hujasoma. Ignorance is the main reason why people fail in life. Religion came to us from middle east and those are the people God chose whether you agree or not

    • @user-qx2ei7bc9e
      @user-qx2ei7bc9e 9 днів тому +1

      Ww acha kuchomeka maneno yako kama hujui kaa kimya🤫🤫

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 9 днів тому

      Mtangazaji ni professional Lugha ya Kiswahili uko sawa.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 9 днів тому +1

      Wewe hata hujuwi nini maana ya nyumba tukufu unadhani Mapinduzi na Mikutano yenu tu ni mitukufu hapo mnakosea. Na kama unasema WaArabu wanajuwa kutafuta pesa basi na nyinyi fanyeni juhudi wa Africa/Tanzania muitafute hiyo pesa kama rahisi. Usi comments mambo usiyo yajuwa mengine yanakuwa hayakuhusu wewe. Vichekesko kama wewe unavyo chekesha…..

    • @user-es9mf7yh7w
      @user-es9mf7yh7w 7 днів тому

      Weni mwehu kabsa soma uislam syo utukan

  • @ASHAFAIDA
    @ASHAFAIDA 4 дні тому

    Inshallah Allah atufanyie wepesi Kwa uwezo wake.

  • @byrongamble6737
    @byrongamble6737 6 днів тому

    MASHAALLAH❤❤❤❤

  • @CelinaKimu
    @CelinaKimu 10 днів тому

    Mashaallah Allah atujalie kheri hapa Duniani na kesho akhera

  • @JajiNaziri-ph8gq
    @JajiNaziri-ph8gq 11 місяців тому

    Shukran

  • @aligermano3615
    @aligermano3615 9 днів тому

    Masha Allah

  • @user-jg4vq8fk6j
    @user-jg4vq8fk6j 10 днів тому

    Mashaallah

  • @Husseinyahaya-co6ci
    @Husseinyahaya-co6ci 3 місяці тому

    Mashallah

  • @AliJuma-qo7bu
    @AliJuma-qo7bu 11 днів тому

    Mashaalah

  • @Fildaus6306
    @Fildaus6306 10 місяців тому

    Allah akbar

  • @majaliwadjuma7113
    @majaliwadjuma7113 9 місяців тому

    Allah akbar