SHEIKH FARID HADI AMALIZA UTATA MZOZO WA ARAFA | KHUTBA YA IJUMAA | MASJID JAMII ZINJIBAR

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 сер 2024
  • KARIBU KATIKA CHANAL YETU USISAHAU KUSUBCRIBE, LIKE, SHARE, COMMENT :
    TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU ILI PATE FAIDA KTIKA BIASHARA YAKO
    PIA CHANAL YETU INAOMBA MSAADA WAKO WA VIFAA ILI TUWEZE KUENDELEZA ZAID TV YET HII KUZIDI KUTOA ELIMU KATIKA JAMII AHSANTE
    www.nouralmustafatz.org
    Tel : +255 777 144 988 :
    TUNAPOKEA USHAURI NA MAONI

КОМЕНТАРІ • 226

  • @AllySaadat
    @AllySaadat 2 місяці тому +11

    WALLAH ALLAH AKUHIFADHI SHEIKH, WATU WOOTE WENYE HEKIMA NA WAKWELI WASIOTUMIA HISIA KAMA WEWE KATIKA ARAFA WANASEMA KWELI NA KUUNGANISHA UMMA. ALLAH AKUHIFADHI.

    • @Foodgrower112
      @Foodgrower112 2 місяці тому

      Jela mbaya sana hata kama huna elimu huwezi sikiliza huu ………..

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 місяці тому +2

      @@Foodgrower112Imekhusu nini Jela hapo??????

    • @AhmedAli-ws2lz
      @AhmedAli-ws2lz 2 місяці тому

      ​@@Foodgrower112lete wako yeye Kaleta kwa Dalili kama huu si malizia ww ambae hujaenda jela mbona huna hoja

    • @falmaliciousfoods4638
      @falmaliciousfoods4638 2 місяці тому +1

      Aamiin thumma aamiin

    • @user-su7np6sn7s
      @user-su7np6sn7s 2 місяці тому

      Sasa wewe unaempinga huyu sheikh Ni Nini?
      Mbona anaongea Kwa ushahidi kabisa?
      Au kwababu mlitaka ajiunge Na nyinyi miwahabi ili apotoshe watu sheikh faridi akajiongeza akaona huku Kwa mawahabi hapafai
      Sasa wewe unaempinga lete ya kwako tukusikilize
      Au kama VP wewe Fata unayoyajua wewe
      Sisi Wala hatutokufuata wakazigani wewe ndomana pia mlianza kumsema sheikh kishki eti amemleta sheikh kutoka Saudia Kua Ni sheikh wa kiibadh
      Nendeni mkasome
      Tena sheikh faridi akiongea unamsikia stereo yake very clear kama Hothman maalim vile

  • @sadicksince2008
    @sadicksince2008 2 місяці тому +7

    Allah akulipe kheri shekhe na akujaalie mwisho mwema wewe na familia yako na waislamu wote wanafuata mwenendo wa mtume. Aaamin

  • @user-su7np6sn7s
    @user-su7np6sn7s 2 місяці тому +1

    Anampinga sheikh faridi tuaacheni waendelee kumpi ga hao ni mashetani wa kiyahudi ndo maboss wao
    ALLAH nakuomba unipe umri mrefu na pia umpe sheikh farid umri mrefu ili nikachume ilimu japo kidoogo kwake
    Au kwa masheikh wengine wenye msimamo kama wa sheikh farid
    INSHA ALLAH

  • @abdallahhalifa5860
    @abdallahhalifa5860 2 місяці тому +11

    Mashallahu Mqmeno Faswaha Kabisa Allah akujaze kheyr Sheikh

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 2 місяці тому +5

    unajua kuna watu wanashindwa kutofautisha baina elimu na msimamo!!😢 shegh farid allah akulipe gheri

  • @SaidHassan-ot3un
    @SaidHassan-ot3un 2 місяці тому +8

    Mashallah maneno yameeleweka,allah akuzidishie elimu na ufaham ulio mzuri

  • @AhmedAli-ws2lz
    @AhmedAli-ws2lz 2 місяці тому +2

    Mashaallah Sheikh wetu Sheikh Farid Allah akuhifadhi walikua tena habariiii ndo hawa sikia kwa ukaidi wao

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g 2 місяці тому +3

    جزاك الله خيرًا جزيلًا وبارك الله لك
    حفظك الله من حسد المفسدين

  • @masoudrashid6807
    @masoudrashid6807 2 місяці тому

    mimi nilikuwa niikose hii faida Alhamdulillah ALLAH kanijaalia kuipata.Yaani Umeieleza kwa uzuri ALLAH Akuhifadhi sheikh Farid..

  • @thamani5842
    @thamani5842 2 місяці тому +3

    Jazakallahulkheir Sheikh.

  • @AlSianySelemani
    @AlSianySelemani 2 місяці тому

    😢 Masha Allah! Allahuma barik alayhi, i am so blessed to day??

  • @user-wu8yy4mw5p
    @user-wu8yy4mw5p 2 місяці тому +3

    Nilivyomfaham shekh nikua Kuna mambo mawili tofauti,kunakisimamo Cha Arafa,na Fungal ya Arafa tufaham HIV nivitu viwili tofauti

  • @w4058
    @w4058 2 місяці тому

    Nakuunga mkono hao hawana elimu ya fiqhi wala sheria za chimbuko la ibada Allah akuweke Sheikh wetu Allah akuzidishie elimu

  • @user-xf9bn8ol7y
    @user-xf9bn8ol7y 2 місяці тому +3

    Ndugu zangu kama hutaki kumfuata ama kumsikiliza usimtukane.huo sio uislamu

  • @masoud7486
    @masoud7486 2 місяці тому

    Kweli kabisa Allah akuzidishie eliimu. Hawo wanataka kupoteza watu wana lipwa kupoteza watu

  • @mwanamvuajamali8215
    @mwanamvuajamali8215 2 місяці тому

    Uzuri haki haizami battli ndo inazama Allah atailinda dini yake yahaki na itazid kuwajuu,mashekh wakisalafi Allah azidi kuwapa maarifa wazidi kuifahamisha haki

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 2 місяці тому +1

    unajua tofauti ya waafrica na wazungu nyingi sana::: ila waafrica tatizo letu ni, kujikweza sana na wajinga huwa ndio wenye kutoa fatwa....... unakuta mtu anatoa fatwa ili hali umwambie aichambue bismillah haiwezi😂😂:: note tusiwadharau wenye elimu,,, allah awajaze heri mashegh wetu🙏🏿

  • @user-mv5wu5or9v
    @user-mv5wu5or9v 2 місяці тому

    Hayo maajabu yapo kwetu TU ila Dunia nzima inafahamu na Allah ni mkwasi msifiwa na humuongoza amtakae kwenye nuru yake

  • @salminimaloki1992
    @salminimaloki1992 2 місяці тому +2

    Jazakallah khayran

  • @MARSCONGONAUHURU
    @MARSCONGONAUHURU 2 місяці тому +2

    Mashallah ni kweli shekh farid

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 2 місяці тому

    Maneno ya hakki maneno kuntu, anaetaka na afahamu na asietaka basi na aendelee na uwahabi wake 🎉

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid5140 2 місяці тому +1

    Kwa wasomjuwa sheikh farid huu ndo msimamo wake miaka na miaka. Kabla hajafungwa na hata asaiv.
    Kwa hyo shiken adabu zenu kumtukana sheikh.

    • @thamani5842
      @thamani5842 2 місяці тому

      Wasitutukanie Sheikh wetu, watuache na miezi yao ya viganjani

    • @user-og5vd9qu7r
      @user-og5vd9qu7r 2 місяці тому

      Na siku Marekani akizuia mitandao ikawa hakuna mawasiliano wao watafuata nani

  • @susususu139
    @susususu139 2 місяці тому

    Baraka Allah fik

  • @MohamedChamwenyewe-tn3gw
    @MohamedChamwenyewe-tn3gw 2 місяці тому +3

    Maashallah

  • @MrishoKibavu
    @MrishoKibavu 2 місяці тому +4

    Hakika umemaliza haki ndio hiyo anaetaka afate asietaka aaache uko mkweli kabisa

  • @user-qo9xg9zc2p
    @user-qo9xg9zc2p 2 місяці тому

    Mashaallah

  • @canalmasoud9561
    @canalmasoud9561 2 місяці тому +1

    maneno yote kamaliza shekh msellem bin Aliy

    • @user-og5vd9qu7r
      @user-og5vd9qu7r 2 місяці тому

      Yule mwehu kama wewe, hiyo elimu anayo?

  • @w4058
    @w4058 2 місяці тому

    Tatizo lenu ni kutowa kufahamu uchambuzi wa Masheikh Ibnu Baaz na wenzake ufahamu wenu mfupi na ukaidi tu kwasababu elimu za hao mnaowafuata mshatajiwa mpaka Mtume SAW bado tu mnakaidi Subhanallah Wazayuni wamekupateni na hao Masheikh wenu wanaokuwa hawataki kuona kwamba wamekosea

  • @mdoekibai3991
    @mdoekibai3991 2 місяці тому

    nikikuangalia machiz Yananilenga leng chakufanya can ila nakuombea kwa Allah akuifadhi na akuondoshee matatizo yaduniani akuingize ktk pepoyake inshallah

  • @AllyOthman-cb6tk
    @AllyOthman-cb6tk 2 місяці тому +2

    Mashallah

  • @saidmsinga7336
    @saidmsinga7336 2 місяці тому +2

    Maulamaa acheni ,uongo ,hadith inasema funga siku ya arafa ,haijasema mwezi tisa, hiyo tisa kasema nani,mtume au sheikh,tuleteeni hadithi iayosema funga ya mwezi tisa ya dhul hijaa kama ipo,msitubabaishe kwa kaulinyingi na kututoa ktk ,mstari wa kauliya mtume ,funga siku ya arafa,

    • @mujilbtoq1827
      @mujilbtoq1827 2 місяці тому

      Hiyo siku ya arafa inapatikana mwezi gani na tarehe ipi.

  • @user-xv7ui8ji1j
    @user-xv7ui8ji1j 2 місяці тому +1

    Sawa sheikh faridi...

  • @MuhammadRashid-jq7eq
    @MuhammadRashid-jq7eq 2 місяці тому +4

    Swadaqtaaa

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 2 місяці тому

    Ukute yeye mwenyewe siku ya Arafa ikifika ataamka na nia ya kuungana na mahujaji kwenye viwanja vya Arafa.
    Ila tena jamii awe tofauti nayo, hajasahau kuleeee

  • @omarathmani6216
    @omarathmani6216 2 місяці тому

    MashaAllah shekh

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u 2 місяці тому +1

    Faridi ni Msufi.

    • @latif15
      @latif15 2 місяці тому

      Sufi nyepesi unafahamu na safi.

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u 2 місяці тому

      @@latif15 USUFI ni Madhehebu ya watu wa bidaa ambapo wanadai Wao kuwa neno hilo Maanake ni ZUHUDI.
      Lakin hakuna Maana hyo ktk Lugha ya Kiarabu kabisaa.bali ni neno walilolizua wao wenyewe baada ya zile Kuruni Bora kabisa.
      Na amewasema vbaya sana Imaam Shafi.
      Masufi ni watu wanafuata Falsafa Kwa kutumia Akili zao kuliko Maandiko kwa Ufaham wa wema waliotangulia.
      wao ni Ni Asw-haabul Kalaaami,Mantwiqi,Na Ilmul Hisaab.

  • @khamishassan68
    @khamishassan68 2 місяці тому

    Ivo kweli umoja katika dini nikwa sisi wazanzibar tu !! Uislamu hauko ivo na ndio mana Uislamu huwaunasimamia ulimwengu mzima (Khalifa)

  • @HABIBHABIB-bt8dp
    @HABIBHABIB-bt8dp 2 місяці тому

    Kila mtu Ana upeo wake wa elimu na hio yeye ndio ufahamu wake na dini si kwa akili ya mtu Allah amjalie kila la kheri

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 2 місяці тому

    Waislam tuna tarehe mbili ndan ya Siku moja huu ni mtihan,

  • @user-mv5wu5or9v
    @user-mv5wu5or9v 2 місяці тому

    Tunaelewa hata angekuwapo Rasulullah akawatangazia pia mungelimuambia kuwa nyinyi mnafuata mwezi wenu hamutomfuata.

  • @mufydal-harousy5939
    @mufydal-harousy5939 2 місяці тому

    JAZZAKA LLAHU KHAYRA

  • @HamisFundi-ct7qw
    @HamisFundi-ct7qw 2 місяці тому +1

    Kipindi cha COVID hakukuwa nahija walakisimamo cha Arafa waislam walifunga mwezi 9 kwann tucache kwaxbabu hakukuwa naibada yhija

  • @user-mv5wu5or9v
    @user-mv5wu5or9v 2 місяці тому

    Acha uongo funga inaaza alfajir na kuisha magharibi Kila nchi inafunga zikifika nyakati mtume kasema siyamu yaumu aarafa kw io siku ni Moja hakuna nchi iliyo mbele au nyuma kwa masaa 24 basi hata mtume angekuwepo leo kwenye maisha yetu akawatangazia mngelimkataa

    • @fareedahmad6857
      @fareedahmad6857 2 місяці тому

      wewe unajisemea tu kabla ya Mwezi kuandama huko Suudia nchi ya KIRIBATI WANAKUWA WAKO SIKU NYENGINE KABISA
      Nyie hamjui Jografia na tafauti za masaa baina ya Nchi ziko Nchi zinapishana siku na ziada ya masaa mawili

  • @kitosio
    @kitosio 2 місяці тому +2

    Shekhe Faridi Una mawazo 50% Rudi tena ukasome UPYA. Neno NI صيام يوم عرفة. Hapo hakuna habari ya masaa Bali pametajea يوم. SASA kiarabu inaonekana kinawatumbuwa wingi Sana.

    • @user-og5vd9qu7r
      @user-og5vd9qu7r 2 місяці тому +1

      Wewe unauejua hiyo يوم ni dharfu zamani au makani
      Sasa tufunge kwa kufuata muda, Au kwa kufuata pahala?
      Uwe na adabu kwa Masheikh

    • @latif15
      @latif15 2 місяці тому +1

      Naam na يوم na upande mwengine wa dunia unakua ليل na ndio pia tunapata ليلة القدر haijulikani siku gani katika usiku wa 21,23,25,27,29.

    • @latif15
      @latif15 2 місяці тому

      @@user-og5vd9qu7r makani arafa hakuna kufunga na zamani tunafunga na zamani kwa mujibu wa ahila moon 🎑.

  • @user-fz9ir4nj1y
    @user-fz9ir4nj1y 2 місяці тому +5

    Sasa nyie izo zenu ni dhana na kumdhania mtu dhambi kubwa uwo shkh Farid ndo msimamo wake zaman c kwamba anogopa wat yeye azumza haki t acheni kasumba nyie mnaokoment muache taasubi zenu fuateni wanachuon mana wao wemepita Karne bora

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 місяці тому +2

      Kuna watu wa maajabu lazima comments zao ziwe za dhabi ndio wanaona raha. Tuskilizeni MaSheikh wetu wa Dini mpate kuelimisha watoto wenu pia.

  • @MudiMabox
    @MudiMabox 2 місяці тому

    Hebu fafanua hadidhi ya mtume inayosema hakika funga ni siku ya arafa fafanua vizur

  • @idrisaMohd-hf4xv
    @idrisaMohd-hf4xv 2 місяці тому

    Sheikh mungu akuhifadhi unaanza kushughilishwa na mambo ya kisiasa au ndo unamuogopa uyo raisi apo

  • @AllyRashid-st2hl
    @AllyRashid-st2hl 2 місяці тому

    Huyo alie sema tuna tarehe mbili siku moja kakalishwa mbona Tanzania kila siku tuna swala moja ya alfajiri lakini muda wanaoswali dar sio wanaoswali shinyanga

  • @fadhilfathamula4224
    @fadhilfathamula4224 2 місяці тому +2

    We sheikh unazingua kama huku kwetu ni saa kumi marekani ni asubuhi sasa Kuna shida gani siku ni moja ileile acha kupotosha umma

    • @Naseemsalum
      @Naseemsalum 2 місяці тому +2

      Anachosema kama unafunga kisa watu kusimama mbona marekani itakuwa usiku
      Inatakiwa ufunge siku ya 9 sio kisa watu wamesimama Makkah

    • @user-og5vd9qu7r
      @user-og5vd9qu7r 2 місяці тому +1

      Wewe muwahabi hata ukifahamishwa akili ina kizibo

    • @rashidmasoud1111
      @rashidmasoud1111 2 місяці тому

      Sheikh, soma sio utoe maneno ya kudharau.

    • @fadhilfathamula4224
      @fadhilfathamula4224 2 місяці тому

      @@rashidmasoud1111 huyu unayomtetea ndio kadhalau

  • @user-pe9nq3wu4p
    @user-pe9nq3wu4p 2 місяці тому +1

    Hogera she wetu wasomo

  • @user-gk8tt1qd8p
    @user-gk8tt1qd8p 2 місяці тому +1

    Ahsanta

  • @PassoNewmodel
    @PassoNewmodel 2 місяці тому +2

    Bora urudi jela tuu mnafiki unaye ficha ukweli

  • @BofuMlanzi
    @BofuMlanzi 2 місяці тому

    Wote mko sahihi acheni ikhtilafu zitakazowasumbua waislamu.

  • @MuhammadRashid-jq7eq
    @MuhammadRashid-jq7eq 2 місяці тому +3

    Maneno ya kisawasawa

  • @w4058
    @w4058 2 місяці тому

    Nakuunga mkono hao hawana elimu ya fiqhi wala sheria za chimbuko la ibada

  • @mashakhamiskh8880
    @mashakhamiskh8880 2 місяці тому

    Mm nashauriii toa maoni Yako tusiwe tunatukana, hiii haisaidii ila itaharibu na itabomoa

  • @LautaroIshak
    @LautaroIshak 2 місяці тому

    Jee shee Muhammad nassoro wa kadiria Jee si mwanachuon au kwa sababu si muarabu

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 місяці тому +1

      Imekhusu nini sasa Sheikh Muhamed Nassor au kwasababu siyo MuArabu? Wacha fitna yako hapo. Sasa wewe fikra zako unafkiri Sheikh akiwa siyo MuArabu anakuwa siyo Sheikh.?? 😂😂huu ni ujinga mpya wa mwaka huu. Samahani kwa hili Suala….Wewe kwani Muslim hata unataka kubaguwa baina ya Sheikh na MaSheikh very sad.

    • @LautaroIshak
      @LautaroIshak 2 місяці тому

      @@awatifalghanim1106 kwa sababu futua yake mbona huisikii kutajwa kuhusu arafa kwa sababu yy msimamo wake kufuata nchi ya saudia

  • @rashidhemed1444
    @rashidhemed1444 2 місяці тому

    Mawahabi hawako kwa ajili ya dini ndio maana wanakua wakali ukiwaukiza masuali kwa sababu hawana hoja

    • @abeidpazia1720
      @abeidpazia1720 2 місяці тому

      Mbona siku ya ukimwi Dunia I ni Moja a..arafa ndio ziwe mbili x3..ok tuachane na hao ambao wanapisha masaa na makka na SS hapa Tanzania tunapishana msaa na makka??

    • @rashidhemed1444
      @rashidhemed1444 Місяць тому

      @@abeidpazia1720 ndio hadithi gani hiyo

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 2 місяці тому

    Yan iwezekane father's kuwa siku moja dunia nzima ila inashindikana kwenye dini yakwel kukosekana Arafa moja 😂😂😂😂 huu ni mtihan afu tunajunasibu dini yetu imekamilika, nini anajifunza mtu aliye nje ya dini yetu atashika lipi wakat akitaka kuingia kwenye dini, nani mkweli kwenye hili?,

  • @khamismaulid-zh4xk
    @khamismaulid-zh4xk 2 місяці тому

    Shehe wangu Alla akuhifadhi hii fungeni tisa umetowa wapi usizongewatu

    • @fareedahmad6857
      @fareedahmad6857 Місяць тому

      Amin
      Nawewe akuhifadhi pia
      Mtume s.a.we kasema mtakapo uona Mwezi FUNGENI ....kwa maana funga ZOTE katika Mwezi YOTE kipimo ni kuonekana kwa Mwezi
      Hakusema wakisimama watu fungeni
      Umefahamu imetoka wapi?

  • @mwanamvuajamali8215
    @mwanamvuajamali8215 2 місяці тому

    Siku nimojatu tofauti nimasaatu shawwali yamwaka huu mbona tuliswali wote nasaudia imekuwaje na tarehe zadunia nitofaut?naje nipo Tanzania ndani yamwezi wa ramadhani kwetu ni1 na saudia ni2 ndani yasiku1 nikaw nimesafiri kwenda saudia nilipofika wa29nashawwal ikaandama namimi nikaona kwamacho yangu namimi ni28 nitafanyaje?

  • @abuukhairat7738
    @abuukhairat7738 2 місяці тому

    Kwanni amiri faridi unafuata kauli za wanachuon wetu baadhi tu unazozitaka ww mbona nyengine hufuati.

  • @akbarosman3892
    @akbarosman3892 2 місяці тому

    Sheikh unalazimisha unavotaka wewe, elmu ni pana tatizo mnataka tufuate msimamo wenu wa kiibadhi wa omani, tuache na msimamo wetu wa ki sunnah
    USILAZIMISHE !!!!!!!
    Allah akuongoze na hakki itabaki kua hakki milele

    • @latif15
      @latif15 2 місяці тому

      Ahila hauna madhehebu, mwezi hauna madhehebu ni kuuona au kuto kuuona.

  • @salimmahamud2027
    @salimmahamud2027 2 місяці тому

    Shekhe Allah akuweke umetumia hekima sana, sasa waislam wengine walitaka usemaje hapo?

  • @IssaAli-wz5jh
    @IssaAli-wz5jh 2 місяці тому

    Mwandishi unaposema Sheh Faridi amaliza utata mzozo wa Arafa kwaiyo watu sote tutakuwa wamoja kuhusu suala hilo au vipi?

  • @kitosio
    @kitosio 2 місяці тому +1

    Wisho hata hawa Wakristo watawacheka. Dunia nzima kukifanyika sherehe Zote hutangazwa tarehe moja na inajuilikana kuwa watu wamepishana ila sio 24 hours. Naona maarifa yenu yamefikia hapo mwamba utofauti lazima uwe 24 hours. Mpishano WA swala mnautaja lkn hampati mazingatio kwanini?

    • @suuahmed71
      @suuahmed71 2 місяці тому

      Hiii si sherehe kaa ukijuwa . Hii ni dini na ni Ibada aloiweka ALLAH. Respect plz

    • @kitosio
      @kitosio 2 місяці тому

      @@suuahmed71
      ALLAH NDIO SIKU KASHAZIWEKA ALIVOTAKA MSIBADILISHE. FUNGA YA ARAFA HAINA KHITILAFU KTK VITABU MNAJICHANGANYA KIUJANJA NA KUKUZA UPINZANI PASIPO NA UPINZANI. HAMUMUOGOPI ALLAH MNAWAKOSESHA WATU NA FUNGA YA ARAFA

    • @kitosio
      @kitosio 2 місяці тому

      @@suuahmed71
      Heshimuni Quran na Sunna na muacheni Bidaa. Dini ilishakamilishwa. Mkifuata mliyoletewa hamutaikosa pepo ya ALLAH tena bila kuzidisha maoza_maoza

  • @BofuMlanzi
    @BofuMlanzi 2 місяці тому

    Shekh kweli umemaliza mgogoro. Kwa sababu kuna watu hawana vyombo vya habari harafu mawingu yametanda mvua inanyesha je, watu hawa ibada zao hazitakubalika?

  • @SuleimanSalim-ql3ny
    @SuleimanSalim-ql3ny 2 місяці тому

    Ata mimi sijasoma ila naelewa kuwa natakiwa kuishi kw kigezo cha mtume na kufata maelekezo ya qur-an na hadithi za mtume sasa iweje masheikh watubabaishe

  • @sirajismail3978
    @sirajismail3978 2 місяці тому

    Hukulazimishwa kumfuata aliyo yafundisha na kama amekosea dhambi ni zake Wala sio zako tuache mihemuko dini yetu haiko hivyo al Islam nadhufu fatanadhwafu sasa huonwako usafigani kumtuhumu kiongozi wa dini zaidi ya kuudhalilisha UIslam tujitahidi kuwaheshimu viongozi wetu wa Dini

  • @USSIIDDI-qn7od
    @USSIIDDI-qn7od 2 місяці тому

    Amemalizaje utata

  • @dalfatsoud6119
    @dalfatsoud6119 2 місяці тому +2

    Usituletee paukwa pakawa hapa nyinyi na Saudi mumepishana masaa mangapi. Nyamaza kimnya usipoteshe watu hapa shekhe utakuwa wewe

    • @allybyarushengo5727
      @allybyarushengo5727 2 місяці тому +1

      Hata mimi sijaelewa hebu simama wewe ktk mimbari utuelezee arafa ni lini ili tuelimike.

    • @user-og5vd9qu7r
      @user-og5vd9qu7r 2 місяці тому

      Mabaradhuli ndio wanatukana kama wewe

    • @mussakisope7207
      @mussakisope7207 2 місяці тому

      Tusomeni Kuna sheikh na ustadhi

    • @binausiimohammed3265
      @binausiimohammed3265 2 місяці тому

      We hasa punguani kwani hizo line za nyakati amezichora nani mtume au Allah mpaka useme tumepishana masaa mangapi?

  • @user-kq7mp8qz9e
    @user-kq7mp8qz9e 2 місяці тому +3

    Arafa nijumamosi

  • @user-qn8ig9ey6b
    @user-qn8ig9ey6b 2 місяці тому

    Tatizo la watu wengi ni kushikilia misimamo ya wanao wapenda hata wakipewa dalili za kielemu bado hawataki huu ni ujinga jitu linasema sheikh farid amenunuliwa ndoninisasa na ushahidi wa hdithi na aya za quran bado huelewi wewe ndo umenunuliwa na sheitwani

  • @user-kc4fv6cf8l
    @user-kc4fv6cf8l 2 місяці тому +1

    Msalafi hakanyagi ardhi yoyote ila atainajisi kwa fitna yake
    Qarne 14 watu walikuwa kitu kimoja kwenye jambo hilo kwa kufuata muandamo wao mpaka walipokuja mawabi ndio wakafaraqanisha waisilam

    • @adamcity9441
      @adamcity9441 2 місяці тому +1

      Mtume alisema fitna na Shetani atatokea Najd na huko ndio alipotokea Muhammad Abdulwahab na ndio Imam wa kiwahabi kwa hivyo kila anaefata uwahabi ni fitna na ushetani kuwakufurisha waislam.

    • @MohammedSaid-tf5qc
      @MohammedSaid-tf5qc 2 місяці тому +1

      Hakika

    • @user-ee2wd3fv1s
      @user-ee2wd3fv1s 2 місяці тому

      Na nyie mnaopiga ngoma nakukta viuno na dad zenu kwenye madufu sio mashetan

    • @user-kc4fv6cf8l
      @user-kc4fv6cf8l 2 місяці тому

      @@user-ee2wd3fv1s
      Wafanyao hivyo ni waovu sana lakini uovu wa masalafi ni mkubwa zaidi kupita hao . Ingawaje mimi sijapata kuwaona watu kama hao ulio wataja wewe

    • @user-og5vd9qu7r
      @user-og5vd9qu7r 2 місяці тому

      Saladi hawajui isipokuwa matusi

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 2 місяці тому

    Ukweli ni kwamba funga ya arafa unahusiana na siku ya arafa na siku ya arafa inahisiana na eneo la arafa, haihitaj PHD wala D mbili kuwa tunafunga arafa ili kujinasibisha wale walioko kwenye viwanja vya arafa, MUOGOPEN MWENYEZIMUNGU Mnawalisha watu matango pori kisa kuogopa wanaadamu, hivi kwa mfano mtume angekuepo hadi leo nyie wandengeleko wa bongo msingekuwa mnafunga na kufungua kwa tarehe ya Saudi 🇸🇦?

  • @yussufhamad3721
    @yussufhamad3721 2 місяці тому

    Ww muibadhi achakupotosha ww waulizen Tu munataka hamuutaki au ilemulokuwamukisemani haki mukatupigisha mabomu na vigongo bure Leo iyohakiyenu mumeinyamazia Leo munapotosha

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6cr 2 місяці тому

    Farid unataka nafasi ya soraga nini naona sasa unatami kusema wapigwe kama zamani mshachelewa watu sasa waelewa

    • @user-og5vd9qu7r
      @user-og5vd9qu7r 2 місяці тому

      Watu wanaongea maneno wewe unaleta ushoga

  • @MwalimJecha
    @MwalimJecha 2 місяці тому

    HUO NDIO UHAKIKA

  • @PassoNewmodel
    @PassoNewmodel 2 місяці тому +3

    Jela jela tuu anaadabu ss Yuko waz kupoteza watu

    • @mpunampuna1693
      @mpunampuna1693 2 місяці тому

      Lahaula walakuwta illa billah laaliyun ahdqiim

  • @amritwaha-kp3hu
    @amritwaha-kp3hu 2 місяці тому

    Sheikh hapa ambae hajaelewa haelewi kamwe japo wajinga wako wengi na mtume s.a.w.amesema mjinga ameshakufa kabla ya kufa kwake tatizo wajamaa wabish kama pili

  • @JumbiSecondary
    @JumbiSecondary 2 місяці тому

    Samina wa ataana

  • @majidhilal4948
    @majidhilal4948 2 місяці тому

    Kwa maana hiyo swaum ya araf inaanza saa 6mchana au siku nzima

  • @mswadickbushumbiro6923
    @mswadickbushumbiro6923 2 місяці тому

    Unaekataa ukatae Kwa hoja,

  • @cath-ef7wd
    @cath-ef7wd 2 місяці тому

    Wambie bac waache kura ya mapema...ili upatikane huo umoja unaousema.Dini sio msikitini tu kila penye harakati ya maisha inatakiwa dini iwepo na uadilifu uwepo.wee sheikh vip?

  • @w4058
    @w4058 2 місяці тому

    Usimfuate kwa wewe nani jina kubwa fahamu huna mtumwa wa Mazayuni ni wewe ulokuwa hujui kufafanuwa

  • @user-nk9jt7qo1j
    @user-nk9jt7qo1j 2 місяці тому

    Haijalishi nani atafata nani hafati muhimu ukweli na sheria inavotaka. Hakuna sheria inayotaka ufunge kwaajili yanchi mashkh wenyewe mashekh mnaootumika na serekali. Jambo hili lipo waziii mnooo shekh sema halafu tafuta maji unywee.

  • @allykhatib660
    @allykhatib660 2 місяці тому +12

    Tushakushtukia sheh kwnza unaogopa yasije yakakukuta ya kipndi cha nyuma unaogopa watu kuliko mola wako na ushakuwa kibaraka wa mayahudi wa tz hatukufati tena hakuna arafa mbili wa hijjah ya sehemu nyingine zaidi ya Makkah

    • @CLEVERBOY004-cr5cc
      @CLEVERBOY004-cr5cc 2 місяці тому

      Ndugu yangu muislam unamkosea sana huyu matatizo aliyopitia hata wewe yanaweza kukutokea kwaio usimuhukumu kwa mitihani aliyopitia mbona wapo masheikh wengi wamezungumzia hili suala la arafa wewe km una hoja za kielimu zitoke sio kumkashifu lengo ni kuelimishana ndugu yangu sio kumzungumzia mambo yasiyo na maana na hili la kuita watanzania mayahudi umekosea sana Kwan hata wewe ni mtanzania tofauti zipo na zitakuepo wewe Baki na msimamo wako Allah atuongoze ktk haki

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k 2 місяці тому +3

      Sasa hayo ndio maneno ganiulioandika hapa acha chuki zako

    • @allykhatib660
      @allykhatib660 2 місяці тому +2

      Wewe hauelewi kiswahili sasa chuki ziko wp hapo niukweli
      Wasitupotoshe

    • @seifserenge3340
      @seifserenge3340 2 місяці тому +7

      Acha kutokana watu, kama wewe huyataki hayo anayosema kaa kimya tu. Kwani hayo kayatoa akilini mwake au kanukuu fataawa za mashekh? Acha chuki binafsi

    • @Abuunuwayra
      @Abuunuwayra 2 місяці тому +4

      Swali Ni Kwamba Mbali Na Hawa Wanao Zozana Kwa Hoja Za vitabu Na dalili...Wewe Una ushahidi Gani kwenye msimamo yako..ama umekua Bendera wafata upepo

  • @ubuguvu
    @ubuguvu 2 місяці тому

    Watu wa mirombo

  • @AbdiRashidi-rl7tx
    @AbdiRashidi-rl7tx 2 місяці тому

    Shida sio.masaa ila tarehe

  • @hassanidha3744
    @hassanidha3744 2 місяці тому

    Sasa una maanisha dunia ina siku mbili kitarehe sio
    Saum ya Arafa ni siku nzima ya siku arafa sio kiamu ya Arafa pekee.
    Dunia inaenda kwa hisabu za siku wa mwezi sio kwa jua ambayo jua lina mwacheya tauti hata hapo kwenu watu wa mjini hawawezi swali nyakati za swala kwa moja.
    Pia suudia akikupangia hajji na wewe kwa mji wako hukuona mwezi kamili basi usiende maana wasema hukuona mwezi

    • @user-og5vd9qu7r
      @user-og5vd9qu7r 2 місяці тому

      Wewe mwehu hata hili hujui kwamba kuna tarehe 29 au 30

    • @hassanidha3744
      @hassanidha3744 2 місяці тому

      Mwehu ni wewe usiejielewa

    • @hassanidha3744
      @hassanidha3744 2 місяці тому

      Nimeuliza hiyo tarehe kama ni 29 kwenu huko muliko na suudia ni tarehe moja utafuata suudia kuja kufanya haja au utanngoja ukamilishe yako 30 ndio uje huku ufanye amali yako ya hijja utaweza

    • @binausiimohammed3265
      @binausiimohammed3265 2 місяці тому

      Hayo machweo nyakati na saa kakuchorea nani ni allah au mtume?

  • @2003hintay
    @2003hintay 2 місяці тому

    Sheikh anafafanua jadok raha

  • @sefuriyembe7864
    @sefuriyembe7864 2 місяці тому +1

    Wajinga wa jiografia ndo wanasema tarehe ni moja duniani. Nendeni shule acheni ubishi wa kijinga. Watu wanaposimama arafa pale saudia, wakati wa dhuhuri, kule uchina wanasali magharibi !!! Kwahiyo arafa ya china iwe usiku !!?? Acheni ujinga.😅😅😅

  • @cath-ef7wd
    @cath-ef7wd 2 місяці тому

    Sasa ikiwa tumeambiwa fungeni siku ya arafa siku ya arafa zipo ngapi?

    • @almeidhalu3238
      @almeidhalu3238 2 місяці тому

      Umeambiwa tazama mwezi usitazame tokea la maujaji

    • @AllyAlmiskry-yy3xk
      @AllyAlmiskry-yy3xk 2 місяці тому

      Siku ya arafa ziko 2 kula asubuhi na kula mchana siku ya Eid

    • @thamani5842
      @thamani5842 2 місяці тому

      Kuna funga ya arafa na kisimamo cha arafa.
      Funga ya arafa ni mwezi tisa dhulhija inafungwa na waislam wa duniani kote kwa anae
      taka (sunna).
      Kisimamo cha arafa ni kwa waliokwenda kuhiji makka ktk milima ya arafa na kwa wakati maalum na inafanyika mwezi tisa dhulhija
      Hapo ulipo (nchini kwako) mwezi ngapi muandamo? Km j.mosi mwei tisa dhulhija ulipaswa ufunge na j.pili usifunge mana ni haram kufunga siku ya mwezi kumii itakua siku ya eid ya kuchinja (sio eid lhaj)
      Na km j.mosi mwezi nane basi j.pili mwezi tisa ufunge funga ya arafa

  • @vicentpantaleo5837
    @vicentpantaleo5837 2 місяці тому

    Kwan siku ya ukimwi dunian huwa wanashelehekea siku mbili au moja

  • @mwanasitimpole8746
    @mwanasitimpole8746 2 місяці тому

    Mm nauliza huyu sheikh endapo yuwatoka kwao alikouona mwezi kisha akaenda hijja atasimama arafa nawatu wa makkah au atafuata hisabu yake yakwao.sheikh ufahamu wako ni sufuri bin ziro.

    • @salmasalim14
      @salmasalim14 2 місяці тому +2

      Akienda hijja hafungi maana swaum ni kwa wale ambao hawako ktk ibada ya hijja. Ndugu yangu pinga hoja bila kumuita majina mabaya mwenzako nahii ni nasaha kwangu na kwako. Mungu akulipe kheri nyingi

    • @user-og5vd9qu7r
      @user-og5vd9qu7r 2 місяці тому

      Kuna watu hawafundishwi na wazeeisipokuwa matusi

  • @hemedmselem4889
    @hemedmselem4889 2 місяці тому

    Kamaliza utata au kajimaliza mwenyewe
    Ana ilmu ya kumzidi mtume huyo ?
    Ambae alishabainisha kua la hajju arafa ??
    Nyie watu wa ubwabwa mna mzaha sana na dini yetu
    Mkiskia mtu anaongea kiarabu tu mnajua shehe
    Zidanae nae anaongea kiarabu

    • @user-og5vd9qu7r
      @user-og5vd9qu7r 2 місяці тому

      Wewe ndio mboga unakunwa

    • @hemedmselem4889
      @hemedmselem4889 2 місяці тому

      @@user-og5vd9qu7r kwa matusi mko vizuri sana
      Ni laana tu hizo

    • @hemedmselem4889
      @hemedmselem4889 2 місяці тому

      @@user-og5vd9qu7r kwa matusi uko vizuri
      Wazee wako walikufunza vyema matusi
      Huko mimi sikifundishwa

  • @SwalafyAct-ks5gz
    @SwalafyAct-ks5gz 2 місяці тому

    Shekhe umeisha tayar wamekuteks

  • @SafiaHaji-fo3sl
    @SafiaHaji-fo3sl 2 місяці тому

    ushapewa pesa na mashia ww

  • @yusufntamila541
    @yusufntamila541 2 місяці тому +2

    Mashaallah

  • @AllyOthman-cb6tk
    @AllyOthman-cb6tk 2 місяці тому +1

    Mashallah