YOUNG LUNYA AFUNGUKA KUHUSU YOUNG KILLER/ FID Q na JOH MAKINI HAWAWEZI
Вставка
- Опубліковано 12 чер 2024
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Nashukuru kwa kutambua heshma ya regends poa dogo umetisha
Alafu huu jamaa akiwa na dread locks kama Carter Wayne vile🧐
Namkubar lunya coz stayle yake yakuimba kujikubar kuwachana masnichi nataka kumfananisha na Mick mill 🎉
Kila mtu na style yake yakuchana acheni majungu lunya anajua ❤❤❤
kalibia ana left group
acapela ni sifur ila huwa anabebwa na biti
Watangazaji wengi mic 🎤 chache studio duh!Presenters liangalieni hili
Huyu ndio rappa tunatambua global🇰🇪hawa marapa wengine warudi shule wanaimba ufala
Daaah pole mwanang bola ungekaa kimya jam mjinga
Young lunya wewe ni Noma ndio raper Bora hivi sasa hakuna ushindani wewe ni namba moja
Youngking🔥🔥🔥
Mbuzi International rapper🙌🏻🔥
Hakuna raper hapo mwambie aache kelele
❤❤❤❤❤too much love brother
mbwa mwitu ina inspiration mtaani bro💪
Inspiration .the G.O.A.T
Mbwa mwitu❤❤❤❤❤ mbuziiiii
Kama una mpenda young lunya gonga like hapa
wanamchuka mtu alofanikiwa sahivi wamemtafutia mpinzani samata kuwa msuva ndo mkali, mondi wanasema kiba mkali, mwakinyo wanasema mkali ni kiduku ila ukweli tunajua wote lunya nw ndo mkali labda useme mtu kama darasa na mtu kama jay moe hao wanaweza kuachia jiwe ata kesho ila nw kina killer wamepotea
Umeongea ukweli mtupu 😂😂
Safii kak
Bro nyimbo zake kali sana
Oya uyo namba moja tu
Baba wa kambo🎉
Watangazaji wanaongea haraka kama wana tongue twist au Muda ni mchache??
@##Mbuzi kamambuzi🎉🎉hamatiki
Dogo anajua sanaa sema minyama sanaa
Lunya ni Lil Wayne wa bongo naye Hana kidevu kama wiz wa USA Ila mbuzi mnyama Ana kidevu hapo imekaaje
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nyinyi mafala acheni kumsema mtuvibaya . Kama kuna noma nawe . Mfate mwambie
Hatuna rapper hapa kulinganisha na mistar ya msodok namakelele hayo Bado mno
Sony wameuziwa mbuzi kwenye guni
Msodoki 👑🏆
Pole
Msodoki❤❤
Still Moja kama nkombe😂
Sura imaetakata kama naogea maziwa😂
#uyu aimbii bari anabwata
Mjomba bado kila mkorofi hata sauti yake ina ladha ya kuimba tatizo wewe ni kelele nyingi na kutunga mistari bado
Kama sijaelewa 😂😂😂😂😂
Hahahaahhahahha hv tenah kmbeee lunyaaa jingaaaa kwl😢
Huyu shoga tu…hamna rapper hapa
Unaweza mchukia mtu lakini jaribu kumaintain respect kwa huyo mtu, itakusaidia sana kwenye maisha kuliko kuropoka mambo kama f*la.
Shoga kwanini? Kwajili kafanikiwa au?
@@richlord22634 we unamuona kabx jamaa ni wakiume??…”kuwa fahari kwa wenzio michezo ya namna hiyo hatuikubali ni ya kidemu,ni sawa na kusema we ni mkali wakat na radio zinakupa promo ya hatar unaua game…🎶
@@abuubaqr5808 jamaa analiwa kinyeo..afu sio kwamb nmemdharau ..jamaa kashazoea kwaio sio shidah
Msodokiiii🎉🎉🎉🎉
Chid Benz oyee our legend
Msodoki👑🤴🏻
Oiii kelele nyingi hana jipya huyu amefula nini vile ngoja nimuulize toxic😂😂😂😂😂😂
Fanya ww ambae hupigi kelele
Toka zama za mangwea sjawai muona mbuzi mwenye mashavu yaliolegea
Pumzi zamkata hamna kitu hata ywanyongwa na mate
Mna maswali ya kiwaki.uyo meneja angepewa muda angetupa madini mengi
Usipomdiss killer wewe huna jipya unyama wako ni kumdiss imba na maisha
Acha zako wewe huwa muda mwingi unamuwaza young killer
Storytellers
Rapcha, pc the MC, kontawa, young killer na wengne. 😅
Wala huyu sio mkali sana sema ni managment yake ina mbeba
Bado msodoki king❤
mpeni definition ya mbuzi kwanza anaonekana hajui maana ya hilo neno
Huyu ni Rapper tu kwenye HipHop hausiki kabisa.fake ,sioni meseji anayoileta kwa mitaa zaidi ya majigambo
Makelele kama generator 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂
Toa yk ambayo haina kelele
Andika Jomi Africa song makopo uone tunavyoandika idea
Una kipaji bro ila hujui kubadirika kulingana na nyakati hebu jaribu kujifunza kwa OG maana nae alianza hivihivi lakini alikua anajua anachokifanya badae akachange na sas ukimsikiliza unaelewa anachozungumza
Ana free style nyimbo zke hawezi kuzungumzia ata cheni yke huyu rapa gani sasa
Huyu ajuw chochote..anacho kiimba akieleweki 😂😂😂😂
Yani mavi matupu
Akashindane na gigy money ao sio type yake kbc ten kma fd atoboi kbc
Hip hop ni majigambo ww mtoto wa 2000 na k2 nn
Uyu anafosi bifu na msodoki
Kila mtu na zama zake
Kurap anajua ila free stail uwongo
Young killer ft Aumuwezi
Kila mtu na zama zake
Kashindane na gigy boya sana huna lolote,ukizungumzia mwalimu wako ni p the mc kelele nyingi
Lunya ni mkal bt mti wa matunda unapigwa mawe
promo za kishamba mbona mziki wetu hauendi kokote huyu anatumiwa na mabossi2 mda wake ukiisha mtamuona msanii anachana utumbo mtupu😂😂😂
Live hana pumzi 😂jamaa
Kinachokuharibia nikuwa shoga tu pale Ramada na ushahid upo
Uko wapi?
Hunalolotewewe mbweha2
Ww mwenye lolote toa ngoma yk tuone
Anapiga sana kelele uyu boya
Fanya ww ambae hupigi kelele
Huyu boy hata sijui demu wake anamsifia saangap😂
Pumzi pumzi pumzi pumzi hamna
Mate yamejaa kwenye maiki
Msodokiiiii
HIPHOP IS DEAD
Hip hop never died