MTANDAO WIZI WA MAFUTA ULIVYOBAINIKA KIGAMBONI "WANATUMIA MALORI, WAMECHIMBA KUTOKA BANDARINI"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 595

  • @clecencechrispine6396
    @clecencechrispine6396 3 роки тому +5

    Mnafanya kazi nzuri Sana mbalikiwe na bwana. Hii nchi ni tajiri sema watu wachache ndo wanaitafuna mama endelea na moyo huo

    • @salomemchewa5187
      @salomemchewa5187 3 роки тому

      Hiyo ni rushwa ya wakubwa wenyewe, magu angekuwepo hapo kingenuka hatari,

  • @wilbrodwemaonlinetv8379
    @wilbrodwemaonlinetv8379 3 роки тому +3

    Mungu akulinde dada angu...

  • @simonjoseph5597
    @simonjoseph5597 3 роки тому +1

    Dah tatizo tunafanya kazi kizanani sana sasa mafuta yanaibiwa ovyo ovyo, tenakienyeji

  • @eddimwamba4208
    @eddimwamba4208 3 роки тому +1

    Madam DC piga kazi mungu akusimamie kulinda haki za wananchi

  • @calvinminja2923
    @calvinminja2923 3 роки тому +2

    Huyu dada naomba apewe ulinzi anafanya kazi nzuri sana.

  • @markgeorge2929
    @markgeorge2929 3 роки тому +4

    Hongera DC, hii ndo tunataka si mtu anakuja na wazo la machinga. Yaani Mkuu wa Mkoa unaona jambo kubwa ni kufukuza machinga. Ama kweli maono ya viongozi wa Tanzania!

  • @valenakomba4453
    @valenakomba4453 3 роки тому +37

    Na ni bahati sanaa mpaka sasa hakuna ajali ya MOTO iliyotokea. Yaani hawa watu ni hatari sana.

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 3 роки тому +2

      Dada Valena..... umefikiria mbali sana na SIJUI kama wengi tumekuelewa. Hebu fikiria ..... gari hilo liko kwenye foleni UHASIBU Mtoni kwa Azizi Ally; kuna Daladala kuelekea Mbagala na Magari yanatokea BANDARINI; kuna kituo Cha mafuta pale na wakati wa Asubuhi au jioni watu wanarudi nyumbani 🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️

  • @ipajam9
    @ipajam9 3 роки тому +2

    Asante sana Mungu kwa kulianika hili peupe

  • @ngolwetv3523
    @ngolwetv3523 3 роки тому

    Hongera san mama etu chapa kazi tunaitaji kigambon mpya usijari watakao kuchukia wewe timiza jukumu lako la kazi hongera sana

  • @shijadeogratias317
    @shijadeogratias317 3 роки тому +39

    Kazi iendelee. Huu ni mtandao mkubwa sana mpka viongoz wamo

    • @MikereMio
      @MikereMio 3 роки тому +6

      Tena wa juu kabisa

    • @chidjosh6056
      @chidjosh6056 3 роки тому +6

      Uko sahihi, hio itaisha hivo hivo juu kwa juu

    • @zainabumbondei8635
      @zainabumbondei8635 3 роки тому +1

      Mtandao huo sio mchezo nahaukuanza leo inaelekea duuu hatari na nusu jamani binadamu nawanyanyuia mikono juuuu

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 3 роки тому

      Kwel kabisa kunaviongoz wanahusika

  • @mussamivache4986
    @mussamivache4986 3 роки тому

    Tunaxhukulu sana serikali yetu kwa kazi nzuri mnayo ifanye waozee jela hao

  • @yonamwaweya5814
    @yonamwaweya5814 3 роки тому +8

    Uyo jamaa mkimpata msimkamate mwendelezeni ni mbunifu. Anaweza kuwa engineer wa selikari

  • @daudisiloma5549
    @daudisiloma5549 3 роки тому +2

    God bless you mom and save you 🙏

  • @azizabdallah585
    @azizabdallah585 3 роки тому +6

    Mwenye nyumba ni muhusika mkuu....

  • @mwigakatumpula9817
    @mwigakatumpula9817 3 роки тому +12

    Kazi iendeleeeee 🙏🙏🙏🙏👏👏👏🤔🙆

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому +4

      Hahahaha Bi Mkubwa kashindwa kaziiii

    • @davidcurtis8556
      @davidcurtis8556 3 роки тому +8

      Kazi iendelee tu, askari aliekamata shehena ya madawa ya kukevya lindi ametumbuliwa, maana yake inatuletea picha madawa sasa yanaingia kwa kasi kuja kuwaangamiza ndugu zetu lkn kuna msaada kutikea ngazi za juu na sasa uwizi ujambazi umerusi kwa kasi ya 🛩 jet, tulizoe kuona miradi ya maendeleo lakini tunajionea habari za uhujumu uchumi tu mwanzo mwisho, haya mana kazi inaendelea.

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому

      @@davidcurtis8556 duhhhh

    • @MikereMio
      @MikereMio 3 роки тому +4

      @@davidcurtis8556 Ndio uchumi wenyewe wa kina samia na Kikwete uwo , madawa , rushwa, ujambazi , polisi kupokea rushwa ,, kukwepa kulipa kodi , hawajali kama hospital hakuna madawa au kama nchi inajenga misingi ya kweli ya kiuchumi , yale madawa yalikamatwa mtwara mlikuwa na share yake mule , ndio maana cloves zinavuka walioyakamtwa wanatumbuliwa , bila aibu wala woga

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 3 роки тому +1

      @@davidcurtis8556 dah 😥😥

  • @salminjuma9411
    @salminjuma9411 3 роки тому +1

    Genius...

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 3 роки тому +1

    Mama samia umeona iyo.kaka mkuu majaliwa umeona iyo yani ipo kazi

  • @nipolive..2745
    @nipolive..2745 3 роки тому +2

    Safi sana wezi na wapa hongera wako vizuli

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 роки тому

      KWELI MAGU KASHINDWA KUWAKAMATA MAMA SAMIA OYEE.

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi4385 3 роки тому

    Mungu akulinde mama huenda mtandao mrefu ,usijekuwa umegusa makalio ya watu flani

  • @mfalmewanyika2804
    @mfalmewanyika2804 3 роки тому +9

    Wanawake wanaweza kazi👍 wacha watuongoze tu, midume haifai ni mijizi sana wamezoea kuiba na kufanya starehe tu hawana huruma hata kidogo. Lkn wakina mama wanakua na huruma sana.

    • @nyembomajidi3027
      @nyembomajidi3027 3 роки тому +2

      umeongea point bora wa mama kuliko midume mama ni mwenyewe huruma na bidii tusibishane mtandaoni, waongeze wamama serekalini, mwanamke akijua wewe ni mwaminifu hawezi ku saliti Jaribu kumuonyesha zarau atakuzingua Sasa apo serekalini mwanamke atakuwa na musimamo kwajili ya wale wazee Wana penda kula Bata na michipuko Waka ndo, angekuwa midume ndo apewehizo ripoto hangefanya hivo yeyenae angeushisha kwenye dili mafuta ingezidi kunyonywa.

    • @lucyjeremia1381
      @lucyjeremia1381 3 роки тому

      Ameni

    • @julihanjosephyjs6361
      @julihanjosephyjs6361 3 роки тому

      Mkuu wa mkaa awe mwanamke basi mkoa wa salaam au bongo

  • @rajahamy9700
    @rajahamy9700 3 роки тому +1

    Nmeipenda iyo... Kama movie vile

  • @isayamapolu4321
    @isayamapolu4321 3 роки тому +50

    Bora ungekua mkuu wa mkoa wa dar kuliko huyo makala mpuuzi anayehangaika na machinga wanaojihangaikia hana maono

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 3 роки тому

      Acha ujinga ww MAMLAKA ZIPO HIYO SIO KAZ YA MKUU WA MKOA SASA POLISI,DCI,TPDC INAFANYA KAZI GANI SIO KILA KITU MKUU WA MKOAA BADILIKENI KUNA MAMLAKA HIZO NDO KAZI ZAKE.

  • @happinessmillanga982
    @happinessmillanga982 3 роки тому +2

    Watu kama hao wanaubunifu mkubwa sana kwa mimi nilivyoona maana adi kawaza kufanya hivyo yuko vizuri😀😀😀

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 роки тому +9

    Sarah hongera sana na jeshi lako la ulinzi na usalama chapa kazi mama Tanzania inatafunwa sana na mwisho wa mwizi ndio huo arobaini yake imeshafika

  • @eastafricabrokerkiller8028
    @eastafricabrokerkiller8028 3 роки тому

    people are very intelligent

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 3 роки тому +44

    Mama uchungwe na ulindwe kwakua hawa ni viongozi wakubwa nchini

    • @mosesmwailenge5192
      @mosesmwailenge5192 3 роки тому +3

      Nikweli kabisaa nimuhimu sana kuchungwa amasivyo wata muwaisha kifoni mungu amlinde

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 3 роки тому +6

      kabsa angekuwa maghuful yupo mama angewekewa ilinzi papo hapo na cheo yake ingepanda

    • @frankdionis4276
      @frankdionis4276 3 роки тому +1

      👍 fact

    • @elephantachaman2347
      @elephantachaman2347 3 роки тому +3

      @@aishaalbalushaishabalush8291 kwani unahisi kwamba jambo hili limeanza Jana huu mtandao kitambo mbona jpm hakuliona hilo anakua mkali wenzie walikua wanapiga tu sio apo tu watu walikua wanatumia advantage yake ya ukali kupiga hela

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 3 роки тому +5

      @@elephantachaman2347 nafahamu suwala hilo lilikua la muda kabla hata ya maghuful ila viongoz wamaghuful ndi wamegundua hili suwala nadhani linamiaka hata 20 ila nasema tu angekuwepo mwenyewe mwenye uchungu na inchi yake mama angepewa cheo kubwa na ulinz mkali maana kajitahid kufanya kazi ya kizalendo ila kwa samia unaeza ona huyo mama katumbuliwa maana wote wanao kamata biyashara haram keshawatumbua

  • @josej9888
    @josej9888 3 роки тому +1

    Hatari 🙌

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba6502 3 роки тому

    Mkuu wa wilaya alishaondolewa, yaani nchi yetu

  • @keffajacob8952
    @keffajacob8952 3 роки тому

    Acheni kazi iendele...si ndivyo alivyosema delila...

  • @swalehmgumia6219
    @swalehmgumia6219 3 роки тому

    Duh aisee kuna watu wanamipango atareee doh pole sana wewe mwizi maana iyo ni kuujumu uchum

  • @deusdeditswebe8930
    @deusdeditswebe8930 3 роки тому

    Duh....🙄

  • @novatidamian7236
    @novatidamian7236 3 роки тому +39

    Hilo jumba ni lakigogo, mtaniambia kama uchunguzi hautaishia kwenye kabati za police.

    • @innocentgodwin5855
      @innocentgodwin5855 3 роки тому +4

      Kabisa aisee uyo ni mtu mwenye pesa zake anajimudu kabisa

    • @christinaebiy3336
      @christinaebiy3336 3 роки тому +1

      Umeongea poit

    • @seifnassor3729
      @seifnassor3729 3 роки тому +1

      @@innocentgodwin5855 Kwa biashara hiyo lazima awe na pesa na hakuanza kipindi hiki, tayari amevuta mpunga wa kutosha, mafuta ni madini.

    • @ramonawatoto
      @ramonawatoto 3 роки тому +1

      Na hivi Anko Magu hayupo.. yaan hutoisikia kokote hii issue tena

    • @mrgeorgeisdory5277
      @mrgeorgeisdory5277 3 роки тому

      Kabisaaaa hii itaishia hapa hapa tuuu

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 3 роки тому +1

    Wizi huu mbona Uko miaka mingi na ni mtandao mpana na nahisi watu wa bandari wanajua

  • @fizzmuyugumbi7584
    @fizzmuyugumbi7584 3 роки тому

    Noma

  • @prophetsayitv1541
    @prophetsayitv1541 2 роки тому

    Tunamatumaini makubwa kwa Mungu, Kuna Siku Mungu atashughulika na kundi la Wapigaji nchini,

  • @josephatmathiasgalagalabuh786
    @josephatmathiasgalagalabuh786 3 роки тому +8

    Hivi Jamani Hii Jeshi letu lipige kama adui wa ndani kabisa. Mkuu wa Majeshi ona UGAIDI WA MAFUTA

  • @brightluvanda2795
    @brightluvanda2795 3 роки тому +4

    Hamna hata mnayemkomoa,,nyinyi wezi,,kila kipatikanacho nje ya halali ni upepo tu! Mtaondoka duniani,,watoto wenu watavitapanya tu,,sababu hamkuwafundisha namna ya kutafuta,,mliwajazia!!vitarudi kulekule,,kwa maskini!!"Hakuna baraka endelevu,,,mahali ambapo MUNGU hakutangulizwa!!"

  • @soudwarrior
    @soudwarrior 3 роки тому +1

    Akili kum kichwa...🙌🙌🙌

  • @shedrackjacob6038
    @shedrackjacob6038 3 роки тому +1

    Mtajuana wenyewe kwan unao hisi hawajui wanajua

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 3 роки тому +14

    Mbona tukio kubwa alafu mh. Unaliongea kawaida ivyo..! Huo utakuwa ni mtandao mkubwa sana. Vikosi tofauti maalumu viingie kazini kwa dharula vinginevyo hela itatembezwa na kesi itaisha kma mshumaa

    • @jamesjoseph6825
      @jamesjoseph6825 3 роки тому

      Watu wana hela ndugu, sio huyo tu! Hawa wakuu wa kaya wanakulaga mapene ya maana kwa issue kama hizo, ukiona imefuma ujue wamekosana kwenye makubaliano ya utoaji, we hujiulizi Hawa wakuu wapo kwenye kila idara ya masuala yahusuyo ipigaji, utawakuta bungeni labda wanaongelea koroshi, kumbe huko kuna wabunge hata 50 wanatetea korosho zao😆😆😆

    • @MikereMio
      @MikereMio 3 роки тому +1

      Hii huitwa the return of old guard of mafia economic chini ya mafioso samia suluhu 🤣🤣🤣🙆‍♀️

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles3585 3 роки тому

    Kazi za vigogo

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 3 роки тому

    Eh!jamani🥺🥺🥺🥺

  • @johnsombi545
    @johnsombi545 3 роки тому +4

    Hapo kuna mtu kawachoma baada labda ya kutofautiana kimaslahi sio bure kabisa

    • @athumanabubakary5930
      @athumanabubakary5930 3 роки тому

      Hiv wakat wanajenga mpaka wanafanya hii ishu siku zote hizo mafundi hawakuchoma kama ni dili

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 3 роки тому

    Mama unakujakuja Sasa hongera sana

  • @sadalaramadhani104
    @sadalaramadhani104 3 роки тому

    Duh niatali tutaona mengi sana sasa atua gani itafata au ndio maskio wataweka pamba nani atafatilia hili maana mtetezi wetu ndio hivyo kasha tangulia mbere ya haki sasa itakuaje 😭😭😭

  • @sadamissa5687
    @sadamissa5687 3 роки тому

    Daah amejitaidi kuelezea lakin bado maelezo hayaeleweki vizuri angeelezea ata kamanda wa polisi

  • @prophetsayitv1541
    @prophetsayitv1541 2 роки тому

    Tz ishakuwa nchi ya Wapigaji,
    Issue Kama hiyo Ni kubwa ingefaa aongee Waziri wa Mambo ya ndani,

  • @wazirituppa6739
    @wazirituppa6739 3 роки тому

    HIYO ISHUU MBONA YA MDA SANA HATA MWENDAZAKE ANAIJUAA KAIPOTEZEAA HUYO KATOLEWA CHAMBO HAKUNA KITU KITAENDELEAA HAPO

  • @gaspamalyatabu4354
    @gaspamalyatabu4354 3 роки тому +4

    Magari yataifishwe

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 9 місяців тому

    🤔🤔Ukiona mtu anatumia pesa zake kaambari

  • @kajiarashid2752
    @kajiarashid2752 3 роки тому

    Mkuu wa wilaya pole. Hayo ni kwa sababu nchi yetu imechuma ubaya (mihimili ya nchi isiyo na dini), hivyo jamii imezungukwa na maovu...... Q2:81

  • @shadowhatory154
    @shadowhatory154 3 роки тому +7

    Dada nenda taratibu hii si awamu ya tano ni ya sita😳😳 Nchi imerudi kwa wenyewe hiyo biashara ni ya mtu mkubwa dear 😳 angalia wasikupoteze, Nchi Ndio imefunguliwa. Wewe ulifikiri imefunguliwa vipi sasa ndio kama hivyo, ni chukua chako mapema🤔

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 3 роки тому +1

      yaani Allah ataitetea tanzania kwa mara ingine insha allah😢

    • @mohammedsururu4047
      @mohammedsururu4047 3 роки тому +1

      Kwani huu wizi umeanza awamu gani?

    • @blastingpaintingservice8538
      @blastingpaintingservice8538 3 роки тому

      @@mohammedsururu4047 ....Tatizo watu wengi hawana mtazamo wa mbali....yaani hakuna nchi inawezekuzua ujambazi, wizi, mauwaji etc......ila Tz watu wana akili mgando sana....na has wale ambao hawajasafiri kuenda hata kenya🤣🤣🤣🤣🤣

    • @tumainsawe6960
      @tumainsawe6960 3 роки тому

      @@mohammedsururu4047 acha basi ndugu yangu kujifanya ujui tafakari kidogo hapo nyama nyuma kidogo utagundua niakina nani

    • @hamoudyahya7635
      @hamoudyahya7635 3 роки тому +1

      Unadhani hii biashara imeanza awamu ya sita.?

  • @ezzyphilipo4357
    @ezzyphilipo4357 3 роки тому +3

    Huyo jamaa anaakili sana aiseee nmemkubali sana ubunifu mzr km ingekuwa n move alikuwa ameua

  • @zesootv6726
    @zesootv6726 3 роки тому +9

    Mama Angalia nchi haina raisi wasije wakakutoa sadaka bure

    • @charlesmwambinga4355
      @charlesmwambinga4355 3 роки тому

      Umeonge kauli ambayo sio ya kizalendo...heshimu mamlaka zilizopo..mkuu

    • @tatutatu1976
      @tatutatu1976 3 роки тому

      @@charlesmwambinga4355 hakuna rais kweli tuna kivuli tuu rais alikufa uchaguzi bado yupo sahihi

    • @nilansaid2927
      @nilansaid2927 3 роки тому +1

      Rais wa msoga karudi madarakani

    • @davidchicharito7725
      @davidchicharito7725 3 роки тому

      Mbona jpm hakuwakamata

    • @tatutatu1976
      @tatutatu1976 3 роки тому

      @@davidchicharito7725 hakuna mada ya malehem hapa ila hakuna rais tuna kivuli tuu rais alikufa uchaguzi bado tupo na mzee wa msonga mzee wa totozii uyoo samia amewekwa tuu kaa chamboo

  • @shamirahkantengwa6018
    @shamirahkantengwa6018 3 роки тому +3

    Hii deal ni kubwa watu wa juu kabisa wana mkomo humo, Africans tungekuwa mbali sana ktk maendeleo lakimi uaminifu, uadilifu na selfishness inatubakisha nyuma . Watu wengi HawanA huruma kwa wenzao,wakijaza matumbo yao hawali wengine ksb wanajua kwamba wananchi wanalalamikia serekali. Jambo hili linataka hatuwa hapo papo ksb ni kubwa mno

    • @monicahovda4524
      @monicahovda4524 3 роки тому

      Na hizo sbabau ndio zinazoisababisha Africa haiendelei, na kila siku itabaki kidhalaulika kwa sababu ya Ujinga wa wengi walikuwa nao huo, wenye wanaona ndio dili, na matokeo yake hawapendi kifanya kazi kwa kujituma, wanawaza kupata hela za bila kuzifanyia kazi, halafu kitu kingine Uwaminifu hawana, wakati nchi za wenzetu zilizoendelea, watu wanajituma kufanya kazi na alafu kwa ufanisi na uhaminifu kazi, tena wanaeshimu mazingira yao ya kazi, Hili bara, ndio Maana watu wanataka waje wajichanganye ndio litabadilika, kama ilivyokuwa agenda ya African American wanataka kurudi kwenye ili Bara walibadilishe, Nadhani Kizazi hadi kizazi kitabadilika kitaondokana na dhana ya Ujinga

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 3 роки тому

    Wakubwa wte weka ndani asiye 😟😟😟

  • @patrickmkoma6960
    @patrickmkoma6960 3 роки тому

    Aibu sana kwa serikali

  • @amadimchikaamadimchika2163
    @amadimchikaamadimchika2163 3 роки тому +1

    Mama kama hujakaa sawa mwanamke mwezio atakutumbua

  • @novatidamian7236
    @novatidamian7236 3 роки тому +6

    Nisarama mama kwani unadhani shughuri hii imeanza mwezi huu, ama ilikuwepo hata zaidi ya miaka ishirini ilio pita. watanzania hatulipendi taifa letu kila mtu ana jipenda ki binafsi. Mzarendo alikuwa mmoja JPM nae ametoweshwa na watanzania hao hao wasio tutakia mema.

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 3 роки тому

      kweli asee yaani inauma sana

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 3 роки тому

      Lilianza mda mrefu !!!!!! Je ni wakati wa Marhemu MAGUFULI ?

    • @z.nalnabhani7194
      @z.nalnabhani7194 3 роки тому

      @@minskbelarus7255 ndy

    • @z.nalnabhani7194
      @z.nalnabhani7194 3 роки тому

      @@minskbelarus7255 kodi yenyewe kalipa miaka miwili,sasa kazi unafikir imeanza lini

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 3 роки тому +1

      @@z.nalnabhani7194 mimi nawashangaa watu kumlaumu MAMA SAMIA eti WAKATI wa MAGUFULI haya mambo HAYAKUWEPO sasa yamaanza lini??????

  • @stephensandiko6049
    @stephensandiko6049 3 роки тому

    Kazi iendelee

  • @erickevarist8738
    @erickevarist8738 3 роки тому

    Duh kwa kwel lazima ukimbae jumba lako maana hiyo ni jela maisha

  • @osoromageta3381
    @osoromageta3381 3 роки тому +1

    kz iendeleee

  • @frashconnect.1
    @frashconnect.1 3 роки тому +1

    Mkuu wa Wilaya anatoa siri za investigates kabila uchunguzi hauja kamilikai

  • @sanisani5266
    @sanisani5266 3 роки тому +1

    Nashangaa tena uchunguzi upi tena kilakitu mshaona ndio tunakwama hapo2

  • @edwinitamba6637
    @edwinitamba6637 3 роки тому +21

    Afrika inadidimizwa na waafrika wenyewe, tusiwasingizie wazungu.

  • @BigDreamsWorldwide
    @BigDreamsWorldwide 3 роки тому

    Tanzania yangu kubwa sana kumbe maana uwekezaji wa siri ni mkubwa hiv yaan

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya9924 3 роки тому +6

    Bado mama kaa chini fatilia Vizur kwa style iyo hakika kuna utumbo mwingi sana Zaid ya huo fatilia taratibu tu wakabwe watatajanaa

  • @Gwanchele
    @Gwanchele 3 роки тому

    Ndo maana halisi ya ...e

  • @mshamurashidi4124
    @mshamurashidi4124 3 роки тому

    Mmmmh kweli tanzania ni shida

  • @deograsiamgeni5716
    @deograsiamgeni5716 3 роки тому +18

    Mtu wa kawaida Hawazi fanya hayo,lazima wakubwa Wanahusika.

    • @MikereMio
      @MikereMio 3 роки тому +1

      Tena wa wajuu kabisa

    • @kshdbzjnxksksw6567
      @kshdbzjnxksksw6567 3 роки тому +1

      Uyo nintumishi waserikali kabisa

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 3 роки тому +1

      Msiwahukumu BILA ya USHAHIDI sio kila MKUU basi anahusika. Kwani hao mafundi Welding ; Drillers na walinzi ni Viongozi wakuu?

    • @MikereMio
      @MikereMio 3 роки тому +2

      @@minskbelarus7255aaah ! Sasa mbona polisi alikamata madawa mtwara ametumbuliwa , kama wana democracia na haki za binadamu hawahusiki . Pia kama kawaida pia ya uozo kutoanzia juu hawa vifaranga wasinge fanaya haya . Pia huu ndio uchumi wa samia ili kuwafanya watu wawe pesa mifukoni , ujambazi , wizi bank kuu, madawa,, kutoboa mabomba ya mafuta , tax bubu, wachomoaji , polisi kudai rushwa, ndio uchumi wa samia na Kikwete, mambo yananoga sasa 🤣🤣🤣

    • @martinhinda5233
      @martinhinda5233 3 роки тому

      Haiwezekani liunganishwe na bomba kuu Tiper kama wahusika wakuu wa bandarin hawapo hiyo inshu inavigogo wakubwa sema Magufuri hayupo lakin ungeshangaa kusikia wapo watu ambao hutegemia ...watu wanamagar ya transist 2000 unategemea mda wote ataweka mafuta halali??

  • @saidiissa8729
    @saidiissa8729 3 роки тому +2

    Dah inamana huu mtangao ulikuwa toka kipindi cha mzee hayati jpm dah bongo watu ni balaaa

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 3 роки тому

      Duuh kumbe Hata ANKO MAGU Wajanja Walikuwa Wanampiga 😳😳😳😳😳😳

  • @jumasilo4516
    @jumasilo4516 3 роки тому

    Dah hili lingegundulika enz izo za mzee baba yetu wangeisoma namba

    • @charlesmajiwa6771
      @charlesmajiwa6771 3 роки тому

      Hio imeanza nyakati yuko kazini. Na itakuwa ni wakubwa mno serekalini wanafanya hii

  • @bonifansimatias6951
    @bonifansimatias6951 3 роки тому

    Waliambiwa kazi iendelee maana aliyekuwepo hakutaka huu upuuzi

    • @davidchicharito7725
      @davidchicharito7725 3 роки тому

      Unadhan hao wameeanza mwez wa 3..shukuru mama karuhusu uhuru wa habar ndio maana unapata habar hizo

  • @shebyduzay3082
    @shebyduzay3082 3 роки тому

    Duh

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 3 роки тому

    Ndio kula yao iyo mzee..,maisha yanasiri yake ndug zanguni kama utashindwa kujitaftia ukumbuke akuna mtu atakaye kutaftia

  • @shadrackzablon5983
    @shadrackzablon5983 3 роки тому +1

    Huu n mtandao wa viongozi wakubwa serikalini

  • @benjamininyambaso5041
    @benjamininyambaso5041 3 роки тому

    Duuuuh 🥺🥺🥺

  • @juliusinnocent5861
    @juliusinnocent5861 3 роки тому +4

    Uzalendo mwingi utukuponza..we fanya yako maisha yasonge..

    • @dr.djshigongo4927
      @dr.djshigongo4927 3 роки тому

      Sasa afanye yake yapi zaidi ya hayo mkuu?Daah,comment yako imenipa mashaka sana juu ya maisha na kazi yako.....tunakatisha tamaa sana viongozi wachache wazalendo

    • @juliusinnocent5861
      @juliusinnocent5861 3 роки тому

      @@dr.djshigongo4927 hapana bro ..ukiwa mkwel na muwazi bila kuwa na support au mfumo unaokusaport ni ngumu kufanya kazi ukiwa huru

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 роки тому +1

    Unafaa kuwa dci

  • @jamessichimata3100
    @jamessichimata3100 3 роки тому +5

    Wewe Mama angekuwepo Magu cheo kingepanda zaidi umeonyesha ujasili tena mkubwa.

    • @martinhinda5233
      @martinhinda5233 3 роки тому

      Kabisa angepewa ukuu wa mkoa

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 роки тому

      Ndio alichokua anakiweza na sio kingine

    • @elephantachaman2347
      @elephantachaman2347 3 роки тому +1

      Mbona ye hakuliona uyo magu wako watu walikua wananyonya umwambie ukali wa kipumbavu tu hii inshu kitambo

    • @martinhinda5233
      @martinhinda5233 3 роки тому +1

      @@elephantachaman2347 kuwa na akili timamu we kama unamasirah niyako si tunatumia akili zetu kudiscus .. inshu sio kuona inshu ni kuletewa taarifa na jinsi ya kuchukua maamzi ...magu hakuwa mfanyakaz wa TRA lakin data alizipata na aluzipata sehem mbali mbali ..kama hiyo inshu hakupa taarifa hatuwez kumlaum lakin naamin angepata taarifa angeshughulika nao soo hata tunachokiongea kuhusu mama ni namna ya kushughurikia tatizo na kutoa maamz

  • @faustasimkwai3023
    @faustasimkwai3023 3 роки тому +1

    Nchi imefunguliwa jamani hizo ndo fursa zenyewe changamkeni watz.

  • @mokhimji
    @mokhimji 3 роки тому +1

    uwizi wa ki hali ya juu kama hii unahitaji floor plan nzima ya pipeline, sizani unaweza kupata intel kama huu kwa muuza mihogo 🤣 Haya tuone hao ma engineer wanakamatwa au polisi watapigwa tobo... kwasasa hivi mabao ni 0-0 watazamaji!

  • @mursallusinde9189
    @mursallusinde9189 3 роки тому +16

    Watu majasiri sna dah unaihujumu nchi yako bila uoga wwte hiyo nyumba na vyote serikali itaifishe jamaa kajipanga sna inaonekana kafanya kipinndi kirefu

    • @teychriss3248
      @teychriss3248 3 роки тому +3

      Hatari sana

    • @kamrudinelias3922
      @kamrudinelias3922 3 роки тому +2

      Ndio matajiri sasa, wee kilasiku bumbuwazi wa kusoma au kusikia wegine wanafanya kitu gani na kubaki kusema,,la ,duhh,hawa, jamani, basi nihaya tuu utayajua, wanaumme wanapakua nchi, HEBU JIULIZE HAWA WATENDAJI WAMELALA WAPI, DIWANI YUPO, SERIKALI ZA MITAA LIPO, AFISA MTENDAJI WA KATA NA MTAA WAPO, MHANDISI NA AFISA AFYA WA KATA WAPO ,CHAMA TAWALA WANAYO MJUMBE WA SHINA, MWENYE KITI NA MAKATIBU WA TAWI WAPO, MWENYE KITI NA KATIBU KATA NA WASAIDIZI KIBAO WA MAJUMUIYA WAPO, HAWA WOTE WAMELALA BASI SERIKALI IMELALA.....WAFUKUZENI HAWA WOTE WALIOTAJWA HAPO JUU, KAMA SERIKALI LINAIBIWA KIMACHOMACHO MCHANA PEUPE.......

    • @martinhinda5233
      @martinhinda5233 3 роки тому +1

      Hakuna mtu wakufukuza

    • @hadijalukas5959
      @hadijalukas5959 3 роки тому

      @@martinhinda5233 hao wote waliotajwa ni wadogo sana wamezibwa midomo 🤫🤫🤫🤫sasa watafukuzwaje? hiyo biashara inawenyewe

  • @moseserasto7011
    @moseserasto7011 3 роки тому +1

    Hizi akili Watanzania tungezitumia kwenye Mambo ya maana, saivi Tz tungekuwa na kombe la dunia.

  • @jumaalhamid5242
    @jumaalhamid5242 3 роки тому

    Duuu halafu mseme eti hawa ni vigogo wa chama cha mapinduz hawa ni wakina kikwete na wenzake hongera mama kaz iendelee ndio maana makonda alitaka aende huku safii sana mama na bado

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 3 роки тому +1

    Hatari

  • @simkotec3091
    @simkotec3091 3 роки тому +28

    Mtu wa kawaida hawezi kufanikisha hii kitu, atajuaje exactly wapi mabomba yalilazwa ili aweze kudrill na kutoboa, lazima kuna kigogo wa serikali anahusika.

  • @moodychanday9220
    @moodychanday9220 3 роки тому +1

    Dah 😰😰

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 3 роки тому +1

    Na mchongo huu waweza kuwa Ni kabla ya Magu.

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush8291 3 роки тому

    huwa nawashangaa sana serkal ya tamzania yaani kilakitu wamek8kuta ushahid wote wanao halaf wanasema bado wanafanya uchunguz upi wakat ushahid mnao kilakitu k8ko mikononi mwenu huo ni uzembe na kichelewesha kas ujinga huo

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative9985 3 роки тому

    Huo ni wizi mkubwa sana, angekuwa Makufuli hapo kutafuta kiki lazima angeenda kushika yeye ili aonekane jemedali lakini Mama Samia kwa kuonesha yuko vizuri kamtuma tu mkuu wa wilaya kukamata majizi.

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 3 роки тому

    Kazi iendelee 💪 wezi wakubwa 😡

  • @shizaarfred4059
    @shizaarfred4059 3 роки тому

    Kwa tz yangu ninavyo ijua yani hapo ndo gem imeisha hiyo na vile wamesema wanaendelea kumtafuta mmiliki ukweli mmiliki hata patikana angekuwepo mjomba magu ingekuwa ni nusu saa tu baada ya tukio na muhusika angesha fikishwa

  • @amosyohana5351
    @amosyohana5351 3 роки тому +2

    Shikamoo Tanzania 🇹🇿🇹🇿😭😭

  • @fredymahinda4024
    @fredymahinda4024 3 роки тому

    Mbona hio issue ianatia aibu kwenye. Taifa letu? Inamaana waliojuu hawajui huo mchezo ni mtandao mkubwa. Sio mtu wakawaida huyo. Pia mwenyenyumba anahusika. Na utakujasikia kimya na litaishia kimya na maisha yataendelea

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 3 роки тому +25

    Daaaa. MBONGO SHIKAMOO.🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️, kichwa cha mbongo akikitumia kwa usahihi, walai tutarusha rocket mwezini sasa hivi. Eeh, watu walikuwa na chem chem lao la futa, loh🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @sophiasophia6945
      @sophiasophia6945 3 роки тому +2

      Noma

    • @stemarcely7493
      @stemarcely7493 3 роки тому +3

      Uyu ni mtu hatari sanaaaa...

    • @tingbatuuka7278
      @tingbatuuka7278 3 роки тому +3

      APEWE TUZO. HUU NI UBUNIFU MKUBWA

    • @sophiasophia6945
      @sophiasophia6945 3 роки тому +1

      @@tingbatuuka7278 ndo hao hao bwana we wasikuchanganye ksbisa

    • @abdulmelele7322
      @abdulmelele7322 3 роки тому +1

      Jamaa konyo aisee alkuwa anajigemea wese tu kama yupo kwenye visima Uarabuni khaaa 😂😂🙌🙌🙌

  • @kamanda007
    @kamanda007 3 роки тому +28

    Can't believe mnavyoibiwa kijinga namna hiyo, hiyo ni inside job kamata wafanyakazi wote wanaohusika na hilo Bomba watatajana wote

  • @daneltungira1892
    @daneltungira1892 3 роки тому +2

    Kungekuwa na uzalendo,ilitakiwa mtandao mzima usakwe na shelia kali zichukuliwe.

  • @janeyphersuma1316
    @janeyphersuma1316 3 роки тому

    Uyu mama anafaa kuwa mkuu WA mkoa

  • @MECK_DADDY
    @MECK_DADDY 3 роки тому +2

    Huo mtandao ni hatari sana.Dah