Viongozi wa serikali ndio vinara vya wizi hawakamatwi au wizi wao ni mtakatifu na wa raia ni haramu? Wangeanza na majambazi viongozi ingekuwa vizuri na mneaminiwa😢😢😢😢😢😢😢
@@emmanuelmlowe-ew7gx ww ndo akili huna kwani ao wezi na mijitu ya serikali ni mijizi kama ao swali langu kwa nn awachukuliwi hatua au na ww ni mmoja wao
Salute wanangu mmepambana sanaa ajali kazini😮
Wangetoboa wangekuwa motivation speakers
Viongozi wa serikali ndio vinara vya wizi hawakamatwi au wizi wao ni mtakatifu na wa raia ni haramu? Wangeanza na majambazi viongozi ingekuwa vizuri na mneaminiwa😢😢😢😢😢😢😢
These are men we need in this society
Bora tyu walivyo buni kuiba serelalin
hasara ya millioni 2 au billion 2 vijana mmeyakanyaga
Aah!!! Kumbe Tz mnakuaga na hustlers🙆🙆🙆🙆, ni kubaya aisee Afrika yetu.
Kama kweli wanazo bilioni 2 kesi itaiaha ni suala la muda tu... Si unajua pesa na haki hawakai pamoja😊
Shida na hali ngumu ya maisha inachangia kwa wananchi kufanya uhalifu..
Ni uvivu tu ndugu
Na tamaa za kijinga wala si maisha magumu
Hawa ndo wanaume
Wa shoka
Wanaonewa Dagaa mapapa yanakula viyoyozi maoficini viongozi wenu wengi wezi hawakamatwi
Wewe huna akili poa imwizi,kwanini unawatetea wezi? Unataka walipotoboa bomba waachiwe waendelee kuiba?
@@emmanuelmlowe-ew7gx ww ndo akili huna kwani ao wezi na mijitu ya serikali ni mijizi kama ao swali langu kwa nn awachukuliwi hatua au na ww ni mmoja wao
@@mangulimanguli3974 kubishana namjinga nikuto jijua
@@emmanuelmlowe-ew7gxmajambazi ni viongozi wa serikali hao walijaribu kujinasua na huu ugumu wa maisha uliosababishwa na hili liserikali
Hawa waende tyu hao ila wengine hapo ni WA mbalari si wangeenda kulina mpunga tyu kuliko kuiba
Evi mpaka sasa swala lahawa wezi wamafuta limefikiya wapi
Noma😅😅😅
Duuu jamanii apo wameacha familia now Kila mtu inatakiwa upambane
Mimi nitatafuta wake zao niwakule .wao wametuibia sisi
@emmanuelmlowe-ew7gx mbona viongozi wa CCM wanatuibia wametumaliza hamsemi
Bora hao waliibia serikali
Kweli
Serikali ni mimi nawewe
@@emmanuelmlowe-ew7gxsasa kwanini utuibia wananchi 😅😅😅😅😅
Ila wezi wapo juu uko sisi wananchi wizi wetu ata hauna faida
Jamji naomba kujiwa hii kesi yahawa wezi mafuta uko iringa ilifikia wapi
Duh mtihan wallahi😢mnaturudish nyuma Tanzania 🇹🇿 yetu
hao viongoz wanao iba awardishi nyuma syo
Sema wabunifu sana awa majamaa😂😂
Hiii kesi itaenda mwaka mzima jamaa wakataa ndan adi upelelez upatikane
Apo mnapotea mmegusa pabaya
Kuiibia serikari, sio zambi,, ila kumuibia raia mwezio ndio zambi,
Wajasiliamali😅😅😅😅😅😅
Tofautisha mwizi namajasiliamali.
@@emmanuelmlowe-ew7gxwezi wa maliasili zetu ambayo ni viongozi wa serikali hivi wanaitwaje nimesahau🤔
Jamen co chemchem hyo.
🙆🙆🙆
Hapo sina neno ilA kosa lao lipo wazi
Na la viongozi wa serikali waizi liko wapi
Hawa ndio wanaharibu miradi ya serikali
Serikali ndio majambazi number one hawakamatwi😢😢😢😢😢😢😢
Mbona na viongozi wanaiba hafu hawawakati mwanchi ndio wanaenda na wandishi wa habar na camera ujinga huo
Majambazi wakuu
Familia zenu munaziacha na upweke kwa tamaa ya dunia 😢😢
Hii serikali ya hovyo. Vipi hao mafisadi waliopo serikalini kwa nini hawapelekwi mahakamani kujibu mashtaka ya ufisadi.
Inasikitisha kweli huu uzalendo kwa nchi yako
Funga wote
We mchawi,
@@iddykwangaya2794wee mganga
Na viongozi wa serikali ndio majambazi number one wafenywe Nini?
duh uhujumu uchumi
Serikali ichukue hatua za Kali za kisheria
Mbona wao wanaiba na hukuna sheria yoyote wanayochukuliwa?
Mashetani hawa
Na viongozi wa serikali waizi ni watskatifu?