MPIGA DEBE ANAYEMILIKI SHULE YA SEKONDARI MBEYA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 430

  • @mamahance9049
    @mamahance9049 5 років тому +25

    Njia ya muongo ni fupi ,Na Mungu hajawahi kumuacha salama mtu mnafiki, Malipo ni hapa hapa duniani Hukum kwa Baba yetu Mbinguni

    • @jacksonchimomo554
      @jacksonchimomo554 5 років тому

      Mama Hance Atabakia hivyo hivyo watu wanatumia Akili sio michambo

    • @eliaminimramba6358
      @eliaminimramba6358 2 роки тому

      Jackson umeelewa Mama Hence alimaanisha Nini kwa Mmiliki wa shule?

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 7 днів тому

      Kabisa yaaani ,hata mtiririko wa story yake hauvutii kabisa, kufanikiwa siyo kulala na kuamka, mtoa roho huyu

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 7 днів тому

      ​@@eliaminimramba6358huyo ni mtuhumiwa wa mauaji ya mtoto rose

  • @musasimba3689
    @musasimba3689 5 років тому +125

    Kama wenimpambanaji gonga like

  • @rodgersletema1758
    @rodgersletema1758 5 років тому +22

    Jamaaa anashindwa kuelezea anachanganya mafile aseme tyu ametumia njia mbadala kupata pesa

    • @julianacharles5720
      @julianacharles5720 5 років тому

      😀😀😀

    • @felixmsigwa9332
      @felixmsigwa9332 5 років тому

      Hakuna njia mbadala nampata vizuri

    • @baswiruabdallah965
      @baswiruabdallah965 5 років тому

      @@felixmsigwa9332 hakun njia mbadal nampat vzur haujmckia

    • @aishahayata6131
      @aishahayata6131 5 років тому

      Dah watu mnamachale ulijuaje aisee eti mungu si asuman mungu amemuumbua

    • @aishahayata6131
      @aishahayata6131 5 років тому

      @@felixmsigwa9332 mbona ulimtetea usimkanie mtu jamani

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 5 років тому +21

    Huyu kamaa ndio anashikiliwa na polisi kwa kumnunua mtoto kwa sh.mil5 na kumtoa kafara.

  • @abubakarijuma971
    @abubakarijuma971 5 років тому +25

    Yeah,,,kuwa mvumilivu,kujituma,hekima , nidhamu pamoja na maarifa ndo misingi halisi ya kufanikiwa , hakuna sababu ya kukata tamaa kwani hujui mungu amekupangia kitu gan chakukufanya ufanikiwe🙏🙏🙏

    • @beatricekamengekamenge5543
      @beatricekamengekamenge5543 5 років тому

      Amen kubwa sanaa kaka yangu

    • @fofomohammed6253
      @fofomohammed6253 5 років тому

      Kabisa

    • @user-ms7wv6cd9g
      @user-ms7wv6cd9g 5 років тому

      jaman nina shida namillad ayo ninashida anisaidie kwamwenye namba anisaidiekikubwa nihabari kutoka katika shule zamsingi nasec singida nikilenga moja yashule hizo kibaon primary nakindai secondary wanawatuma watoto pesa uchumi hauruhusu nakero yangu kubwa niwatoto kuwa shule kutoka 12 asubuh paka 12 jion nimuda gani watajisomea hawapewi break yakwenda nyumban kula changamoto kubwa nipesa familia nyingi maskin jina langu mwanaisha juma mande +968 71154190 napatikana WhatsApp naimo

    • @honorykwahhay4364
      @honorykwahhay4364 5 років тому

      Amina

  • @gloriamichael3698
    @gloriamichael3698 5 років тому +1

    Watu wako Baba tunaangamia Kwa kukosa maarifa .tupe uelewa baba tusizidi kuangamia amen

  • @henrykishiwa6755
    @henrykishiwa6755 5 років тому +13

    Nimependa sana mikato yake ya maneno mfano SINA MTO!!!, SINA MTOTO, NILINUNUA GA!!!!!!, NILINUNUA GALI, WATOTO WANGU WAKO ILA!!!!, ILASI, MUDA ULIKUWA HAUJAFIKA YAAANI WAKA, WAKATI!!!.

    • @maligisadotto8631
      @maligisadotto8631 5 років тому

      Ilikuwa imefifi.... imefifia, mazingira sio mazu... sio mazuri. Lakini ya Mungu ni me..... ya Mungu ni Mengi. Nikaamua kuje... kujenga. Nikaona kama vile haito... haitoshi. Jamaa mmoja akaniuzi.... akaniuzia. 😂😂😂😂

    • @majaliwamsigwa1570
      @majaliwamsigwa1570 5 років тому

      Henry Kishiwa Akanyakuwa poo!!!,pochi.ikani bidi nirudi kijiwe!! Kijiweni

    • @awenanassor3169
      @awenanassor3169 5 років тому

      Duh nzuri nmeipenda

    • @rehemaradhid5716
      @rehemaradhid5716 5 років тому

      😂😂

    • @ummyakezuwena654
      @ummyakezuwena654 5 років тому

      Henry Kishiwa haaahaaahaa ndo ukamuone lumande sasa siri zimefichuka

  • @hindumfaume4457
    @hindumfaume4457 5 років тому +9

    hata haya haoni kamnunua mtoto kwa milion 5 ili mganga amtengenezee awe tajir mwenyez mungu anakuona wew hebu katubu kwanza kwanin kila kitu mpaka muue jaman

    • @zawadymwazy338
      @zawadymwazy338 5 років тому

      Mbalizi xixhangai watumia xana hela za midawa

    • @catherineshirima3906
      @catherineshirima3906 5 років тому

      Leo umejulikana muuwaji mkubwa mtoto Rozi hakwachi ngo shetan

    • @barakanyambele4673
      @barakanyambele4673 5 років тому

      Akatubu wakati ananyea debe, acha akapambane na mkono wa sheria

  • @henrybill5509
    @henrybill5509 7 місяців тому +1

    Uyu. Jamaa alifungwaa kwa kesi ya mauwaji ya mtoto.

  • @mkiryastanslaus4992
    @mkiryastanslaus4992 Місяць тому

    Basi sawa,ye si mkurugenzi wangekaa ofisini sasa sio nje

  • @miriam5735
    @miriam5735 5 років тому +13

    Huyu ndo alinunua mtt akamuua ili aendeleze biashara yake kama unaamini pesa za mbeya ni uchawi tu gonga like tujuane humu

    • @pendopendo3008
      @pendopendo3008 5 років тому

      Miriam hamed anatuzungu tu muwaji yani ukiona mtu amefanikiwa amefany mambo meng san haiza mabya au mzur usitaman chamtu huyu c ndo alimnunua mtot milioni5 afu wakamkat kisingino mmmmh

    • @miriam5735
      @miriam5735 5 років тому

      Pendo Pendo ndiyo

  • @robertebambo4202
    @robertebambo4202 5 років тому +8

    Mshenzi ww sifa za bure kumbe muuaji kwa kweli unastahili kunyongwa si ajabu damu za watu sasa zinakuumbua mafia ww

  • @irenezephania5438
    @irenezephania5438 5 років тому +10

    Huhuhu kabla cja o...cjaoa,nilikuwa cjaza.. .cjazaaa lkn ya Mungu ni me ni mengiii huhuu yechuyechuu

  • @ahmedhajji1210
    @ahmedhajji1210 5 років тому +27

    kwa aliemuelewa mzee wa kuungaunga km vile nimemaliiii ...nimemaliza...kuomba nafaaaa nafasi.....gonga like

  • @hamdanal-habsy745
    @hamdanal-habsy745 5 років тому +2

    wew fara wew unaanzaje kumfananixha mwenyez mungu na Athuman laana tullah

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 5 років тому +11

    Huyu jamaa si ndiyo anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za mauaji ya mtoto kishirikina

  • @christopherrobert1948
    @christopherrobert1948 5 років тому +6

    Pesa za masharti aziwezi kukuweka smart bwaanah😁

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 5 років тому +5

    Mwendelezo tafadhali Millard Ayo🙏

  • @HASASON
    @HASASON 5 років тому +35

    Yaani we ulietengeneza video huna akili, zaidi ya dakika 6 inaonesha irrelevant things sasa ulishindwa nini kuonesha hicho kipande cha stand kwa seconds 30? Unaonesha sehemu ya kipumbavu kwa muda mrefu unaacha kuonesha vitu vya maana, hujui hata kuedit video pumbavu

    • @simsotv2261
      @simsotv2261 5 років тому

      Stand ya mbalizi hiyo mzeya

    • @kebo2155
      @kebo2155 5 років тому

      Wako wengi hao.. wanakimbilia kazi za watu..

  • @lushilemmanuel768
    @lushilemmanuel768 5 років тому +2

    Kama na ww unamalizia maneno kama namali..... Namaliza, nilikuwa mzito shule.... Shuleni na nikaomba nafa.... Nafasi gonga like

  • @wecnotz4263
    @wecnotz4263 5 років тому +21

    Ufungaji unalipa na kingne kwenye maisha iliuweze kufanikiwa usiwe mtu wa kukata tamaa pambana bila kujali mtaxamo wa watu wanakuchukuliaje

  • @mimaakenirram1405
    @mimaakenirram1405 5 років тому +6

    nimempenda huyu kaka watt watatu kasomesha shule ya kulipia na anapiga debe unakuta mwengine mtt mmoja anashindwa kumsomesha mtt akapata elimu bora pia ongera sana kwa wazo la kujenga shule na kutokata tamaa

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 7 днів тому

      Utajiri wa mtu ni Siri yake ,jifunze kutokumwamini mtu mapema haijalishi kafanikiwa kiasi gani, huyu ni mshirikina ,Hadi anaua, pia angalia story yake hata haina mpangilio mzuri

  • @castoljmwalyego3778
    @castoljmwalyego3778 5 років тому +1

    Hom sweet hom mbaliz mbeyaaaa....
    Soon nakujaaaaa...
    Pamojaaa millard

  • @rehemajumamlinde9418
    @rehemajumamlinde9418 5 років тому +7

    Stori nimeiele nimeielewa. Jamaa anawe anawezaaa 😀😀😀😀

  • @mamahustru
    @mamahustru 5 років тому +30

    Huyu mzee baba anatakiwa ajumuike na Clouds kwenye darasa la fursa 2019. Ili awatie moyo watu wengine hata wasiojua kusoma na kuandika.

    • @erodiasmallya406
      @erodiasmallya406 5 років тому +1

      Moyosafi Hilo darasa la fursa wakati anashikiliwa na polisi kwa mauaji ya mtt. Anakazana kujenga shule wakati watoto wa wenzake anawafanya makafara.

    • @davidcurtis8556
      @davidcurtis8556 5 років тому

      Amekamatwa sasa kwa kumnunua mtoto kwa ml 5 na kumtoa kafara na ushahidi upo polisi ameua mtoto na kumtoa kiganja cha mkono na mguu.

    • @hassanmugire1497
      @hassanmugire1497 5 років тому

      anandagu

    • @joycekalago532
      @joycekalago532 2 роки тому

      @@davidcurtis8556 au ndio ile habari nilisikia ya mtoto wa kike aliuliwa jamani! Hana maana kunne kama muuaji

  • @maidafrancis45
    @maidafrancis45 5 років тому +2

    Hongera Sana mpambanaji mwenzangu

  • @user-uo7us8gg8t
    @user-uo7us8gg8t 7 місяців тому +1

    Mchawi uyo

    • @lizzynkifu4179
      @lizzynkifu4179 16 днів тому

      Muuajia pia yan wanaua mtoto sabb ya utajiri

  • @jamesmwakijale3366
    @jamesmwakijale3366 5 років тому +6

    Mazingira sio mazu.... sio mazuri.nikaona sio shi... sio shida .watoto watatu wakoa ila... wako ilasi.ya mungu ni me... ni mengi.nikaamini kua naweza kujee... naweza kujenga.haitos.... haitoshi. Sana brooo nimekuelewa

  • @margarethsaramaki1100
    @margarethsaramaki1100 5 років тому

    Hongera kaka mwenyezi Mungu azidi kukupa zaidi na zaidi wewe songa mbele hakuna kuangalia nyuma.

  • @fridamwantandi8921
    @fridamwantandi8921 5 років тому +1

    Kumbe ulimuua mwanao tayari ushabambwa ndugu hata mafile unajichanganya mwenyewe upatikanaji wako wa hela huelezei vizurii nenda katumikie tu kifungo cha maisha fyuuuuuu

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 7 днів тому

      Yaaan hatari sana ,pesa haramu huwezi kutoboa ni suala lamuda tu

  • @mcisunga3822
    @mcisunga3822 5 років тому +4

    Hii story ni taa ni tamu tunaomba mwende mwendelezo😊😊 hongera sana kaka nimejifunza kitu

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 7 днів тому

      Liuaji Hilo,linatoa kafara watoto, hivo unaambiwa utajiri wa mtu ni Siri yake na usitamani Mali ya mtu ,hujui kaipata vp

  • @manyaramrema6531
    @manyaramrema6531 5 років тому +7

    Kamanda wa polisi kasema walionana na aliyemuuzia mtoto miaka 20 iliyopita tena walikutana kwa mganga ebu fikiria miaka yote hyo kaua wangapi?!?!

  • @happymushi8197
    @happymushi8197 5 років тому

    Huu ushuhuda unahamasisha watu lkn mmepoteza muda mwanzoni kwa kutuonesha mambo yasiyotujenga. Asante ayo.

  • @joycemartine651
    @joycemartine651 5 років тому +5

    Mungu sio asumani umekamatwa🤣🤣

  • @robertebambo4202
    @robertebambo4202 5 років тому +1

    Iyo shule ifungwe kabisa Mali za kishirikina ikibidi eneo liuzwe apewa mama rose aliyemuua

  • @brayani6834
    @brayani6834 5 років тому +2

    Blessing

  • @castoljmwalyego3778
    @castoljmwalyego3778 5 років тому

    Dah yaaaani nachekaaaa mpaka machozii...
    Kabla sijaoa mdogo waaaa...
    Nikapambanaaaa we nikapaaaaa...
    Yqmungu ni meeeee....
    Nikaaminii kama naweza kujeeeee...
    Niliomba kwa mama mmoja akaniuziiiiii.....
    Zashidaaaa saaaaaaa.....
    Dah...
    Gonga like

  • @kennedymaster2000
    @kennedymaster2000 2 місяці тому

    Hiyo shule cjaona hata mwanafunzi akipita. Hafu nnatuonyesha sehemu moja tu ya shule ucheni usenge

  • @myambaallan4523
    @myambaallan4523 5 років тому +1

    umenibusuti lazma nitimize doto yangu ya kumiliki hospital kubwa itakayo hudumia wa Tanzania mungu tusaidie wenye malengo yetu kutimiza

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 5 років тому +2

    Mmmmmhu nawewe mtangazaji ni boya kweli sasa unatuonyesha stendi kwa muda mrefu unafikiri sie tunasafiri ama? We tuletee taarifa .Kiukweli mimi nikimuona mtu amefanikiwa hapi na mimi inanitia hamasa ya kupambana zaidi ni kwanini mwenzangu afanikiwe mimi nishindwe? Kikubwa usikate tamaa , kikubwa ni kupambana hadi kieleweke ipo ck namimi nitakuwa tajiri maadamu nina mikono yangu na miguu yangu.Hongera kaka kwa juhudi zako .

  • @shakiraduh6355
    @shakiraduh6355 5 років тому +27

    Ntafteni namm niwape story .nmeanzia kuendesha pkpk nasasa naendesha fuso lamcha namm nimdada....0759816077 mje mnioji.....

  • @greatmangii
    @greatmangii 5 років тому +8

    Kweli huyu NI mpiga Dee! Debe na amemiliki shuu! Shule na kamuiga chauu chaula Basi saa sawa
    Hongera saa Sana
    Ni marufuku kukata taa tamaa

  • @maligisadotto8631
    @maligisadotto8631 5 років тому

    Safi sana kumbe hata mimi ninaweza kujenga shule. Nilikuwa na mawazo hayo lakini nilikuwa nimekata tamaa kidogo sasa nimepata nguvu mpya namwomba Mungu anisaidie nijenge sio shule ya sekondari tu bali kuanzia shule ya chekechea hadi chuo kikuu.

  • @rajabmlau1668
    @rajabmlau1668 5 років тому +1

    We msenge sana.unauwa wtt wa watu kwa ajil ya utajiri

  • @jameshaule5460
    @jameshaule5460 5 років тому +1

    Nilijua ni mpambanaji kumbe mshirikina

  • @mligombuma2287
    @mligombuma2287 5 років тому

    Mungu anakuona hataaaa ajifukie kwenye shimo...... Tuwe na hofu ya mungu

  • @angelntandu4648
    @angelntandu4648 5 років тому +2

    Safi sana mpabanaji dah!kwa hiyo mmeamua mfaidi kwanza kumfuatilia bila kujua?

  • @aishahayata6131
    @aishahayata6131 5 років тому +5

    Pesa za kichawi na majini ndomana amevaa kma mchunga ngombe utajiri wa ndagu

  • @breackychangwe8781
    @breackychangwe8781 5 років тому +4

    Ile Hiace nilinunua ya Zamaa...nikaiuza kama vyuma chakaa ..Hatariii sana brooo

    • @thevein2596
      @thevein2596 5 років тому

      Breacky Changwe 😂😀😂😂

  • @charlesemmanuel9434
    @charlesemmanuel9434 5 років тому +3

    Amemuua mwanae kwa kuamini imani za kishirikina tayari amekamatwa na jeshi la police

    • @daimavlog
      @daimavlog 5 років тому

      Charles Emmanuel kaua mtoto wa mtu mwingine. Basi hizo debe itakuwa masharti ya mganga

  • @fatmachambotanzania9379
    @fatmachambotanzania9379 5 років тому +1

    Hongera kwake Mwenywz Mungu ambarik sana

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 5 років тому +12

    Hizo ndo habari za kutuletea kwani hatujutii mb zetu😂

    • @rarirover44
      @rarirover44 5 років тому

      Radhia Salum kweli kabisa yani

    • @awenanassor3169
      @awenanassor3169 5 років тому +1

      Hadi ni imependa hauwezi MB zako

    • @daimavlog
      @daimavlog 5 років тому

      Radhia Salum umesikia kuwa kaua mtoto kwa ajili ya kafara

  • @queenshomba8412
    @queenshomba8412 5 років тому +1

    Hongera ssna Mungu akupe maisha marefu

  • @richardshirima2373
    @richardshirima2373 5 років тому

    Huyu anafanana sana na jamaa mmoja wa Rombo huku Tarakea naye ana shule mbili now anaitwa Kipochi... Historia ya maisha bhana ni ngumu jamaa zangu, kukata tamaa ni dhambi mbaya kabisa Mungu Mwenyezi mwenyewe ashasema.. Tupambane mwanzo mwisho..

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 5 років тому +4

    Anakesi yama uwaji kwa ushilikina angalia Mbeya yetu utajionea kila kitu kusu uyo mtu mpiga debe awezi miliki shule

    • @sweetngailoubuyu6611
      @sweetngailoubuyu6611 5 років тому

      Usiukumu usije ukahukumiwa ndugu ajuaye ukweli ni Mungu pekee funga tu mdomo chini ya jua kuna mengi usiyo yajua mpenda pia ukweli na uongo avijawahi kukaa pamoja kaa angalia serikali inachunguza na ukweli utaupata tu kwa serikali hii khaki hipo tu hakuna kitakschopinda ndugu usuda sio nzuri

  • @kenethkisoma4636
    @kenethkisoma4636 3 роки тому

    Ametisha

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 5 років тому

    Mashalobalo acheni kufolow madem,, pigeni kazi umli unakikomo iposiku unao wategemea wata potea utapa shida sana..,,

  • @barakajpilly6900
    @barakajpilly6900 5 років тому +1

    Uyu c ndo alie husika na mauaji ya mtoto alikatwa kiganja kwa mambo ya kishirikina

  • @badyadnan2487
    @badyadnan2487 5 років тому +2

    jela inamsubiri huyooo ataenda kuwaelezea wafungwa historia yake

  • @daimavlog
    @daimavlog 5 років тому

    Mashart ya mganga. Ee Mungu ikumbuke Tanzania

  • @manxuleemikui3809
    @manxuleemikui3809 5 років тому +7

    Mafanikio ni hatua tusikate tamaa

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 4 роки тому

    Yaani ya MUNGU ni mengi hata anavyojieleza husomeki umefika mwisho uongo wako yaani kweli unatoa watu ROHO

  • @lizzynkifu4179
    @lizzynkifu4179 16 днів тому

    Nimetoka kusikiliza mahal huyu baba alimuua mtoto na mwenzake sabb ya utajiri saiz atakuwa gerezani

  • @thegirl1405
    @thegirl1405 5 років тому +15

    Hongera kaka shujaa mpambanaji vijana tujitume huu ni mfano kwa vijana wenye malengo

  • @babaanisha2104
    @babaanisha2104 5 років тому +1

    nimeanza na nguruwe kama watano Mara mtaji ukakua nikawa na nguruwe sabini niongeza na mbuz kumbe vigaja vya binadamu

  • @ahmedhajji1210
    @ahmedhajji1210 5 років тому +1

    duuuu kumbe muuaji huyu kwa mtoto mdogo kwa ushirikina dahh mali jamani

  • @madamloveness7274
    @madamloveness7274 5 років тому +4

    Huyu ndio aliyemshawishi baba wa mtoto wa miaka 6 ,wakamnyonga na kumkata viungo kwa milioni 5 nakuchukia mwehu wewe shule ilikuwa haikutoshi

  • @breackychangwe8781
    @breackychangwe8781 5 років тому +2

    Mwaka Wa mwisho anamalii..

  • @rutakihama7599
    @rutakihama7599 5 років тому +1

    Daaaaah Safi sana

  • @husnatawete7071
    @husnatawete7071 5 років тому

    Hongera sana sana kwa kweli ni karamaa izooo

  • @kibundapesamadimba6352
    @kibundapesamadimba6352 5 років тому

    safi sana inawezekana ukitia nia tu

  • @levinabyamungu8453
    @levinabyamungu8453 5 років тому

    Hongera Sana.

  • @lelo0246
    @lelo0246 5 років тому +2

    Ujambazi tu,anaficha.
    Ndio maana hivi karibuni amekamatwa kwa tuhuma za mauaji ya mtoto wa umri wa miaka 6 sababu za kishirikina kutaka shule yake ifanye vizuri na kupata wanafunzi wengi, inasikitisha sana.

  • @neemarichard1256
    @neemarichard1256 4 роки тому +1

    Huyu anashikiliwa na polisi kwatuhuma za kumlagai mtu na kumuuzia mtoto kwa million 5 shetan huyo

  • @nasrathyusuph3964
    @nasrathyusuph3964 2 роки тому

    @millardayo huyu jamaa n insperation najua watu wanamuongelea vbaya kuhusu scandle alopa ila wengi hawajui ukweli uliopo nyuma ya issue ya jamaa ipo cku watajua alaf mtajua hii dunia kuna watu hawapo kam mnavowasikia wanaomjua wanajua naongea nn watu achen kumjugde coz hamfaham ila kwa wenye ndoto kubwa mfuatilieni jamaa hamtokata tamaa🙏

  • @kimrudiger5084
    @kimrudiger5084 5 років тому +4

    Nime download kueka kama kumbukumbu na motisha kwangu na wenzangu

    • @annaracheldaniel8793
      @annaracheldaniel8793 5 років тому

      Nimeshindwa kudownload, naomba unitumie whatsapp number +968 95676002

    • @kimrudiger5084
      @kimrudiger5084 5 років тому

      @@annaracheldaniel8793 I saved your number however I can't find you in watsap

    • @annaracheldaniel8793
      @annaracheldaniel8793 5 років тому

      @@kimrudiger5084 nipe number yako nikutafute

    • @Ambweneonlinetv
      @Ambweneonlinetv 5 років тому

      Ifute hyo video

  • @hassanmugire1497
    @hassanmugire1497 5 років тому

    na kuua vip

  • @oleiei434
    @oleiei434 5 років тому

    Una bahati sana mzee. Uliponea chupuchupu kuvalishwa tairi na kuchomwa moto.

  • @nizahnyembe7866
    @nizahnyembe7866 5 років тому +1

    Nakuona David

  • @bintlola3127
    @bintlola3127 5 років тому +1

    Yaan kwa mapamban ulopitia naiman mungu asingekuach angekupa tu...lkn ulipokosea kujifelish mwenywe na kuingia kwenye ushilikina...ss leo hii mali zote unaachia watu

  • @claudyngonyani1521
    @claudyngonyani1521 5 років тому

    Bg up mpambanaji sana

  • @akelymsigwa6431
    @akelymsigwa6431 5 років тому

    vizur sana mjombo kwa kupambana mfano mzr kwa jamii

  • @saidyusuph4129
    @saidyusuph4129 5 років тому

    Pamoja ngane, big up

  • @miriamifuja4041
    @miriamifuja4041 5 років тому

    Kweli we ni mpambanaji.

  • @petermulungu5510
    @petermulungu5510 4 роки тому

    mwamba uy tunamhogopa et

  • @breackychangwe8781
    @breackychangwe8781 5 років тому

    Ya mungu ni mee..

  • @huldaholiud5428
    @huldaholiud5428 5 років тому +1

    huku na huku na kuua na uchawi heeeee hela hizi

  • @vivianrichard9096
    @vivianrichard9096 5 років тому +17

    Huyu jamaa kumbe ndio amefanya mauaji ya mtoto wa miaka 6 ili apate utajiri
    Unyongwe tu

  • @valentinamussa4212
    @valentinamussa4212 5 років тому +3

    Msenge huyu anafanikiwa kwa kuuwa watoto ushirikina tu mjinga wewe,mchawie kanyee ndoo huko,hata hufanani tajiri,unauwa watu pumbavu

  • @hundamaniamania872
    @hundamaniamania872 5 років тому

    Haiingii akilini mpigadebe wa Tanzania amiliki Shule pumbavvvvvvv ,uchawi ushamtokea puani Muuwaji watt wa watu huyu sasa apelekwe Segerea tu wamzalishe

  • @awamyabbas7266
    @awamyabbas7266 5 років тому +1

    Daaah mzee anapenda mikato sa, sana huyu

  • @makwetaevelyn3896
    @makwetaevelyn3896 5 років тому

    ya Mungume.....Nimengi

  • @hillaryaugustine7141
    @hillaryaugustine7141 5 років тому +10

    Msaidie jamaa kuitikiaa,,😁😁

  • @hamdanal-habsy745
    @hamdanal-habsy745 5 років тому +1

    😁😂😂😂😂😂 huyo jamaa konk konk konk maxter

  • @bahatinassorali5222
    @bahatinassorali5222 5 років тому +4

    Ayo tv hawana habari za kizushi nawamini

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 5 років тому +3

    Hamna mafanikio hapo uchawi mtupu.

  • @moseswanjara3408
    @moseswanjara3408 5 років тому

    Mm nachojiuliza huyu jamaa atakua ameua watoto wangapi ili nifundisho tusiige maisha yawengine

  • @chancemtitu1852
    @chancemtitu1852 5 років тому

    sana ngane Master

  • @helenamwaipopo967
    @helenamwaipopo967 5 років тому

    Mmmmh hela za kishetani izo oooh malipo ni apaapa duniani aendelee ivoivo

  • @beatricekamengekamenge5543
    @beatricekamengekamenge5543 5 років тому +5

    Story hii muendelezo jamanii