UPENDO PENEZA HUYOOO CCM -AMBWAGA MANYANGA CHADEMA! -AFUNGUKA MAZITO -"MAANDAMANO ni KUTAFUTA MTAJI"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 101

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  9 місяців тому

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @ajmstationery6157
    @ajmstationery6157 8 місяців тому +3

    Nimesikitika sana , kweli huu ni usaliti mkubwa kwa CHADEMA. Si nzuri

  • @chazyteshakimaro4659
    @chazyteshakimaro4659 8 місяців тому +1

    eneza peneza peneza nimekuita mara tatu, MUNGU anakuona na malipo ni hapa hapa duniani!!! blessed

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 9 місяців тому +4

    Pole sana PENEZA.CHADEMA imekulea na kukuza.

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 7 місяців тому +3

    Uchaguzi umekaribia mtanunuliwa sana vibaraka wa ccm!

  • @DavidMutiba-hr3vo
    @DavidMutiba-hr3vo 8 місяців тому +5

    Sijui ccm wamempatia ahadi gani. She is a strong girl. Anyway ndiyo siasa za Tanzania. Bila shaka wamemuahidi something, let us wait and see.

  • @DuniaCharles-qr3ed
    @DuniaCharles-qr3ed 8 місяців тому +5

    Upendo mungu anakuona malipo ni hapahapa mbinguni hukumu

  • @TrustElbashil
    @TrustElbashil 9 місяців тому +5

    Peneza,peneza mungu anakuona tamaaa ulio nayo

  • @JaphetLameck-kw4yq
    @JaphetLameck-kw4yq 4 місяці тому +1

    Upendo uko sawa maana siasa za Tanzania nitumbo TU. Umechoka kubeba watanzania wasiojitambua hata ningekua Mimi chadema ingekua sabuni ya kunisafisha tumbo likajae sisiem.

  • @NixonGerson
    @NixonGerson 8 місяців тому +2

    Yupo sawa nimemuelewa mimi ni binti huyu ..tumepata mbunge Geita .. mungu yupo..

    • @thomsanga7956
      @thomsanga7956 8 місяців тому

      Yaani amtoe msukuma huyu 😁😁😁 haiwezekani

  • @AbdulmalikFedrick-ct7nb
    @AbdulmalikFedrick-ct7nb 8 місяців тому +1

    Akuna mungu wa chadema
    Mungu wawote ongela dada

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 3 місяці тому +1

    Kweli wanafiki wapo na vigeugeu

  • @ahazinelson6351
    @ahazinelson6351 4 місяці тому

    Huyu dada yuko vizuri sana nilimfuatilia sana kampeni zake za kugombea ubunge geita mjini CHADEMA.

  • @angelmteli611
    @angelmteli611 9 місяців тому +5

    Huyu ni Chadema! Ccm kuwen makini!

  • @danielndusilo4723
    @danielndusilo4723 2 місяці тому

    Sura yako wewe siyo mwanasiasa wewe ni kuhubiri neno la Mungu

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 8 місяців тому +2

    Duh, maisha magumu kwa kweli, huyu dada sikuwahi kumwamini kamwe...itakuwa ahadi ya cheo

  • @J.WEZATv
    @J.WEZATv 8 місяців тому +2

    So emotional

  • @Mosesndahani
    @Mosesndahani 8 місяців тому +2

    Upendo umechelewa sana kujipendekeza ccm sasa. Weka akiba ya maneno.

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 8 місяців тому

      Uyo dada yuko vizur atapata kazi ,bola huyo kuliko akina halima

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 8 місяців тому

    Dada umekosea Sana ccm watakupoteza hutojulikana

  • @hoseamagawa9088
    @hoseamagawa9088 8 місяців тому

    Respect upendo❤❤

  • @jeremiahngoka4980
    @jeremiahngoka4980 8 місяців тому +4

    Huyu hana akili huyu

  • @pendaelmollel1847
    @pendaelmollel1847 9 місяців тому +3

    Ama kweli Njaa haina adabu

  • @pendaelmollel1847
    @pendaelmollel1847 8 місяців тому +5

    WanaCCM wenyewe wanakushangaa 🤣🤣🤣🤣

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 8 місяців тому +1

    Uamuzi mzuri chadema cha wachaga

  • @mangenyanyondo8691
    @mangenyanyondo8691 8 місяців тому +1

    Daaaah naumia sanaa kukisema chama vibaya ambacho kimekulea

    • @davidkiswaga4453
      @davidkiswaga4453 8 місяців тому

      Kwan wao hawakulelewa na ccm lakini wakaisema na kuilaani na hailaaniwi ww vp

  • @alphoncehanura3255
    @alphoncehanura3255 8 місяців тому

    Mwanangu Upendo ....kama Furaha Peneza amekubari rudi ccm ...ameona mbali.
    Nakutakia kila la kheri lakini usitumiwe. Mengine utashindwa kuyatetea......kumbuka kesho unaweza kurudi pia kwa baraka za Mzee Furaha Peneza .

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 8 місяців тому

    Hongera sana kamandaaa

  • @AbdulmalikFedrick-ct7nb
    @AbdulmalikFedrick-ct7nb 8 місяців тому

    Ccm oyeeeeeeeee
    Dada ongela kalibu ccm

  • @EliaEgbert
    @EliaEgbert 8 місяців тому

    Karibu sana

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 8 місяців тому +1

    Alikoenda ccm kaharibu kabisaaaa.

  • @boniphacewambura1427
    @boniphacewambura1427 8 місяців тому +2

    Yaani umekubali kununuliwa
    Unaungaje mkono wakat
    Sukari
    Nyama n
    Nauli
    Mafuta vimepanda
    Umeme hakuna
    Maji hakuna
    Na qw unakubali kununuliwa kweli mjinga ni mjinga

    • @axmedcumar6196
      @axmedcumar6196 8 місяців тому

      Dunia nzima maisha yamepanda mara mbili mpaka tatu mwamba.. tafuteni point Nyengine

    • @boniphacewambura1427
      @boniphacewambura1427 8 місяців тому

      @@axmedcumar6196 nambie nchi gani vitu vimepanda bei zitaje kwa majina

  • @MoiseDilengaOfficiel
    @MoiseDilengaOfficiel 8 місяців тому

    Bien 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 9 місяців тому +3

    Huyo dada njaa hana jipya, chadema imemsaidia kujulikana pia alipata pesa sasa zineisha, kaona ccm ndio kuna pesa za kumwaga

  • @polokotomwalusamba1132
    @polokotomwalusamba1132 8 місяців тому +1

    Njaa

  • @emanweljohn1240
    @emanweljohn1240 3 місяці тому

    Wewe dada hubakia ya kizalendo wewe pole sana

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 9 місяців тому +5

    Ccm wanawanunua chadema tu ndio chama makini ila ulaaniwe na malipo hapahapa

  • @JaphetLameck-kw4yq
    @JaphetLameck-kw4yq 4 місяці тому

    Pendeza kumbuka ccm imepora majengo ya selikali na kuyageuza kua ofic za ccm.

  • @hoseamagawa9088
    @hoseamagawa9088 8 місяців тому

    Wanachadema wote mnaomtakia mabaya upendo ubaya utawakuta nyie kwa jina la yesu hayamfik upendo

  • @BenezethBwikizo
    @BenezethBwikizo 9 місяців тому +2

    Hongera umechagua kilicho chema dada

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h 3 місяці тому

    Tanganganyika tatizo Leo tamaa mnaweka pesa mbele nandomana viongozi wanakula bata raiya wanazalilika

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 9 місяців тому +2

    Dada wala usijali tunajua unatafuta fursa CCM.

  • @jesuinababili2280
    @jesuinababili2280 8 місяців тому

    Maskini Pendo ni wa kuonea huruma... maneno yanayomtoka sio yake...
    Siasa ngumu 🇹🇿 yahitajika msuli

  • @EsterSharikieli
    @EsterSharikieli 5 місяців тому

    Wanao mdharau Upendo watamwona akingarra kama dhahabi

    • @gangan4618
      @gangan4618 5 місяців тому

      Kweli atang'aa kama dhahabi.

  • @andrewnyaisa4445
    @andrewnyaisa4445 8 місяців тому +2

    Huyu kaogopa vitisho babaake alitaka kuwawa

  • @AlphaMartine
    @AlphaMartine 4 місяці тому

    Chadema inalea Ccm Inavuna

  • @annapeter-wb6iv
    @annapeter-wb6iv 8 місяців тому

    Siasa sayansi kilimo

  • @abdallahmsham-eb7jz
    @abdallahmsham-eb7jz Місяць тому

    umeshidwa vita msaliti kwendaa

  • @mussathomas7421
    @mussathomas7421 8 місяців тому

    Bado siaminiiii

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 8 місяців тому +1

    Wanaomsikiliza huyu Upendo wanapotezewa muda wao hana jipya anatafuta ulaji wa tumbo lake wala hajui kuongea

  • @Mosesndahani
    @Mosesndahani 8 місяців тому +2

    Upendo mimi naona akili zimekuondoka

  • @castromemba6311
    @castromemba6311 8 місяців тому

    Huyu Dada ni Mtanzania kweli mbona Kama Mnyarwanda.

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 7 місяців тому

    Chadema hatubembelezi wahuni huki tunaishi makamanda tupi

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 7 місяців тому

    Sio nchi Yako SEMA pesa zaidi

  • @gangan4618
    @gangan4618 5 місяців тому +1

    Huna lolote wewe Upendo, ni wakati Watanganyika tutafanya maamuzi yetu. CCM MIAKA 60 IMEWATOSHA SASA KUMEPAMBAZUKA ETI NDO UPENDO A AKUMBUKA SHUKA AYA KAUNGANE NA WENZIO COVID-19.

  • @ChrispiniBuruchard
    @ChrispiniBuruchard 4 місяці тому

    Hata vitabu vinasema tuishi nanyie KWA hakili we niyuda

  • @JoshuaStanley-qu3im
    @JoshuaStanley-qu3im 3 місяці тому

    Njaa inamsumbua

  • @hoseamagawa9088
    @hoseamagawa9088 8 місяців тому

    Chadema hamna ktu kumbe ofis mmejenga kwa ruzuku ya ccm😂😂😂

  • @hoseamagawa9088
    @hoseamagawa9088 8 місяців тому

    Chadema kama inawauma chomoen

  • @mashakaalfred7827
    @mashakaalfred7827 6 місяців тому

    Chadema wasikujibu maana wewe nimujinga

  • @HassanKings-e7u
    @HassanKings-e7u 9 місяців тому +1

    Kweli anataka nafasi lakini naamini anacho kiongea ni ukweli mtupu mana hapo anayatoa yele ya ndani ya chama

  • @muurasilas
    @muurasilas 5 місяців тому

    Ukiamua kuhamia CCM akili unaiacha pembeni na kwenda kichwa tupu.
    Ukiangalia hoja ya kwa nini amehama chadema hana, anarudia maelezo yaleyale ya watu wananunuliwa na ccm na kumezeshwa mambo ya kukichafua chama.
    Jua ya kuwa hata upige kelele aje wananchi wanajua hali ya maisha ilivyo na ujinga huo ulikuwa enzi za mkapa ila sasa watu wanajitambua.

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 8 місяців тому

    Siamini wanasiasa tenah

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xx 8 місяців тому +1

    Huyu mpuuzi tu njaaa inamla

  • @afropatriot7769
    @afropatriot7769 8 місяців тому

    Kagame/aic recruit

  • @marcokanyama4533
    @marcokanyama4533 7 місяців тому

    Anaongea upuuzi TU
    Japo karibu chama kubwa ambalo
    Huwa hata wanafiki kama wewe linaishi nao tu...

  • @HemedKiama
    @HemedKiama 8 місяців тому +1

    Nakuhurumia pumbaf,ndio umeisha,kweli ndio mana wanajeshi kwa wasaliti Kama hawa hukumu yao ni kunyongwa,!..

  • @fidelismwakanyamale6787
    @fidelismwakanyamale6787 8 місяців тому

    Dada ulisoma ulee familia yako sio kushabikia mbowe na group lake umefunguliwa dada Mungu amekuona sasa tafuta ridhiki ulee watoto wako na wazazi. Wewe ni mwanamke shujaa awezi kuwa wanakutumia tu bila ata aibu wao na familia zao ni kujinufaisha. Mama atakusaidia na elimu unayo njoo utulie ccm

  • @fettyrashid9042
    @fettyrashid9042 8 місяців тому

    Upendo wa Maisha Plus kipindi cha Masoud enzi zilee nani anakumbuka alivyofanya jini mmoja akapandisha mashetani akapiga vibao

  • @erestizacharia4758
    @erestizacharia4758 8 місяців тому

    Fala na toa njaa zako hapo.

  • @mangenyanyondo8691
    @mangenyanyondo8691 8 місяців тому

    Cheki wanaccm walivokodoa macho mwenzenu anakuwa mkuu wa mkoa

  • @FratteMlay
    @FratteMlay 4 місяці тому

    Ajielewi huyo umeamua kuondo funga mdomo wako ipo cku utajutia maneno yako

  • @zunnually5886
    @zunnually5886 8 місяців тому +1

    Asiwe katumwa na Chadema huyu dada!!

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 8 місяців тому

    CCM NI KUBWAAAAAAAAAAAAAAA😂😂😂😂

  • @mashakaalfred7827
    @mashakaalfred7827 6 місяців тому

    Wewe mujinga

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 8 місяців тому

    Tayari ubunge unao dada usijali

  • @ChrispiniBuruchard
    @ChrispiniBuruchard 4 місяці тому

    Hunajipya wewe dada.,.

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz Місяць тому

    Wewe nimuongo nyie lambalamba usaliti mkijua katiba inawaleta hamna lolote napoteza muda kukusikiliza

  • @GodfredAlfredNgarama
    @GodfredAlfredNgarama 6 місяців тому

    Kinachokuhamisha ni njaa tuu hauna jipya

  • @3349-c7l
    @3349-c7l 3 місяці тому

    Anakula matapushi yake mwenyewe

  • @onesmomasala-rg2wd
    @onesmomasala-rg2wd 9 місяців тому +1

    Mimi katibu wa kata ya ludete nakutakia safari njema lakini mkumbuke mawazo aliye uwawa kikatili sana dada yetu upendo umesahau ni?

  • @polokotomwalusamba1132
    @polokotomwalusamba1132 8 місяців тому +1

    Pumbafu kabisa huyu

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 8 місяців тому

    Sasa elimu yako unaenda kufanya kazi

  • @danielndam5997
    @danielndam5997 8 місяців тому +1

    Upendo peneza ametumia haki yake yakikatiba kuchagua chama anacho kitaka hongera sana
    Lakini umechagua ccm kweli? Ccm hii ya tanzania? Kwwli? Hapana lazima kuna akili zimefeli

  • @JonathanMatembo
    @JonathanMatembo 3 місяці тому

    Mnafki mkubwa wewe,malaya wa kisiasa wewe,bila chadema nani angekujuwa Malaya wewe,njaa na tamaa ya pesa ndio inawasumbuwa mpaka mkauza utu wenu,na ukae ukijuwa ndio umeshajiuwa mwenyewe kisiasa,umalaya umekuponza

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga5737 5 місяців тому

    Kwendraaa tetea tumbo lako unadhan kwa akili mgando kama zako unauwezo wa kulbadili hili taifa

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 4 місяці тому

    Wewe dr.wiblod silaa nyote hamuna chama nyote mulikua makada wa ccm Tanzania hamuna chama ila vyama vitakuja vibaraka mutapata shida