Upendo uko sawa maana siasa za Tanzania nitumbo TU. Umechoka kubeba watanzania wasiojitambua hata ningekua Mimi chadema ingekua sabuni ya kunisafisha tumbo likajae sisiem.
Mwanangu Upendo ....kama Furaha Peneza amekubari rudi ccm ...ameona mbali. Nakutakia kila la kheri lakini usitumiwe. Mengine utashindwa kuyatetea......kumbuka kesho unaweza kurudi pia kwa baraka za Mzee Furaha Peneza .
Yaani umekubali kununuliwa Unaungaje mkono wakat Sukari Nyama n Nauli Mafuta vimepanda Umeme hakuna Maji hakuna Na qw unakubali kununuliwa kweli mjinga ni mjinga
Huna lolote wewe Upendo, ni wakati Watanganyika tutafanya maamuzi yetu. CCM MIAKA 60 IMEWATOSHA SASA KUMEPAMBAZUKA ETI NDO UPENDO A AKUMBUKA SHUKA AYA KAUNGANE NA WENZIO COVID-19.
Ukiamua kuhamia CCM akili unaiacha pembeni na kwenda kichwa tupu. Ukiangalia hoja ya kwa nini amehama chadema hana, anarudia maelezo yaleyale ya watu wananunuliwa na ccm na kumezeshwa mambo ya kukichafua chama. Jua ya kuwa hata upige kelele aje wananchi wanajua hali ya maisha ilivyo na ujinga huo ulikuwa enzi za mkapa ila sasa watu wanajitambua.
Dada ulisoma ulee familia yako sio kushabikia mbowe na group lake umefunguliwa dada Mungu amekuona sasa tafuta ridhiki ulee watoto wako na wazazi. Wewe ni mwanamke shujaa awezi kuwa wanakutumia tu bila ata aibu wao na familia zao ni kujinufaisha. Mama atakusaidia na elimu unayo njoo utulie ccm
Upendo peneza ametumia haki yake yakikatiba kuchagua chama anacho kitaka hongera sana Lakini umechagua ccm kweli? Ccm hii ya tanzania? Kwwli? Hapana lazima kuna akili zimefeli
Mnafki mkubwa wewe,malaya wa kisiasa wewe,bila chadema nani angekujuwa Malaya wewe,njaa na tamaa ya pesa ndio inawasumbuwa mpaka mkauza utu wenu,na ukae ukijuwa ndio umeshajiuwa mwenyewe kisiasa,umalaya umekuponza
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Nimesikitika sana , kweli huu ni usaliti mkubwa kwa CHADEMA. Si nzuri
eneza peneza peneza nimekuita mara tatu, MUNGU anakuona na malipo ni hapa hapa duniani!!! blessed
Pole sana PENEZA.CHADEMA imekulea na kukuza.
Uchaguzi umekaribia mtanunuliwa sana vibaraka wa ccm!
Sijui ccm wamempatia ahadi gani. She is a strong girl. Anyway ndiyo siasa za Tanzania. Bila shaka wamemuahidi something, let us wait and see.
Hapo ni vyeo sio kingine, time will tell
Upendo mungu anakuona malipo ni hapahapa mbinguni hukumu
Peneza,peneza mungu anakuona tamaaa ulio nayo
Upendo uko sawa maana siasa za Tanzania nitumbo TU. Umechoka kubeba watanzania wasiojitambua hata ningekua Mimi chadema ingekua sabuni ya kunisafisha tumbo likajae sisiem.
Yupo sawa nimemuelewa mimi ni binti huyu ..tumepata mbunge Geita .. mungu yupo..
Yaani amtoe msukuma huyu 😁😁😁 haiwezekani
Akuna mungu wa chadema
Mungu wawote ongela dada
Kweli wanafiki wapo na vigeugeu
Huyu dada yuko vizuri sana nilimfuatilia sana kampeni zake za kugombea ubunge geita mjini CHADEMA.
Huyu ni Chadema! Ccm kuwen makini!
Sura yako wewe siyo mwanasiasa wewe ni kuhubiri neno la Mungu
Duh, maisha magumu kwa kweli, huyu dada sikuwahi kumwamini kamwe...itakuwa ahadi ya cheo
Na Bado mtasema mmeibiwa
So emotional
Upendo umechelewa sana kujipendekeza ccm sasa. Weka akiba ya maneno.
Uyo dada yuko vizur atapata kazi ,bola huyo kuliko akina halima
Dada umekosea Sana ccm watakupoteza hutojulikana
Respect upendo❤❤
Huyu hana akili huyu
Ama kweli Njaa haina adabu
WanaCCM wenyewe wanakushangaa 🤣🤣🤣🤣
Uamuzi mzuri chadema cha wachaga
Daaaah naumia sanaa kukisema chama vibaya ambacho kimekulea
Kwan wao hawakulelewa na ccm lakini wakaisema na kuilaani na hailaaniwi ww vp
Mwanangu Upendo ....kama Furaha Peneza amekubari rudi ccm ...ameona mbali.
Nakutakia kila la kheri lakini usitumiwe. Mengine utashindwa kuyatetea......kumbuka kesho unaweza kurudi pia kwa baraka za Mzee Furaha Peneza .
Hongera sana kamandaaa
Ccm oyeeeeeeeee
Dada ongela kalibu ccm
Karibu sana
Alikoenda ccm kaharibu kabisaaaa.
Yaani umekubali kununuliwa
Unaungaje mkono wakat
Sukari
Nyama n
Nauli
Mafuta vimepanda
Umeme hakuna
Maji hakuna
Na qw unakubali kununuliwa kweli mjinga ni mjinga
Dunia nzima maisha yamepanda mara mbili mpaka tatu mwamba.. tafuteni point Nyengine
@@axmedcumar6196 nambie nchi gani vitu vimepanda bei zitaje kwa majina
Bien 🎉🎉🎉🎉🎉
Huyo dada njaa hana jipya, chadema imemsaidia kujulikana pia alipata pesa sasa zineisha, kaona ccm ndio kuna pesa za kumwaga
Njaa
Wewe dada hubakia ya kizalendo wewe pole sana
Ccm wanawanunua chadema tu ndio chama makini ila ulaaniwe na malipo hapahapa
Pendeza kumbuka ccm imepora majengo ya selikali na kuyageuza kua ofic za ccm.
Wanachadema wote mnaomtakia mabaya upendo ubaya utawakuta nyie kwa jina la yesu hayamfik upendo
Hongera umechagua kilicho chema dada
Tanganganyika tatizo Leo tamaa mnaweka pesa mbele nandomana viongozi wanakula bata raiya wanazalilika
Dada wala usijali tunajua unatafuta fursa CCM.
Maskini Pendo ni wa kuonea huruma... maneno yanayomtoka sio yake...
Siasa ngumu 🇹🇿 yahitajika msuli
Wanao mdharau Upendo watamwona akingarra kama dhahabi
Kweli atang'aa kama dhahabi.
Huyu kaogopa vitisho babaake alitaka kuwawa
Chadema inalea Ccm Inavuna
Siasa sayansi kilimo
umeshidwa vita msaliti kwendaa
Bado siaminiiii
Wanaomsikiliza huyu Upendo wanapotezewa muda wao hana jipya anatafuta ulaji wa tumbo lake wala hajui kuongea
Upendo mimi naona akili zimekuondoka
😂kwanini bro?
Huyu Dada ni Mtanzania kweli mbona Kama Mnyarwanda.
Swaligani Sasa Tusi their bone to rule
Chadema hatubembelezi wahuni huki tunaishi makamanda tupi
Sio nchi Yako SEMA pesa zaidi
Huyu dogo ni mnyamaru kagame One
Their bone to rule
Hima empire tusi empire
Huna lolote wewe Upendo, ni wakati Watanganyika tutafanya maamuzi yetu. CCM MIAKA 60 IMEWATOSHA SASA KUMEPAMBAZUKA ETI NDO UPENDO A AKUMBUKA SHUKA AYA KAUNGANE NA WENZIO COVID-19.
Hata vitabu vinasema tuishi nanyie KWA hakili we niyuda
Njaa inamsumbua
Chadema hamna ktu kumbe ofis mmejenga kwa ruzuku ya ccm😂😂😂
Chadema kama inawauma chomoen
Chadema wasikujibu maana wewe nimujinga
Kweli anataka nafasi lakini naamini anacho kiongea ni ukweli mtupu mana hapo anayatoa yele ya ndani ya chama
Ukiamua kuhamia CCM akili unaiacha pembeni na kwenda kichwa tupu.
Ukiangalia hoja ya kwa nini amehama chadema hana, anarudia maelezo yaleyale ya watu wananunuliwa na ccm na kumezeshwa mambo ya kukichafua chama.
Jua ya kuwa hata upige kelele aje wananchi wanajua hali ya maisha ilivyo na ujinga huo ulikuwa enzi za mkapa ila sasa watu wanajitambua.
Siamini wanasiasa tenah
Huyu mpuuzi tu njaaa inamla
Kagame/aic recruit
Anaongea upuuzi TU
Japo karibu chama kubwa ambalo
Huwa hata wanafiki kama wewe linaishi nao tu...
Nakuhurumia pumbaf,ndio umeisha,kweli ndio mana wanajeshi kwa wasaliti Kama hawa hukumu yao ni kunyongwa,!..
Nenda kaandamane
Dada ulisoma ulee familia yako sio kushabikia mbowe na group lake umefunguliwa dada Mungu amekuona sasa tafuta ridhiki ulee watoto wako na wazazi. Wewe ni mwanamke shujaa awezi kuwa wanakutumia tu bila ata aibu wao na familia zao ni kujinufaisha. Mama atakusaidia na elimu unayo njoo utulie ccm
Upendo wa Maisha Plus kipindi cha Masoud enzi zilee nani anakumbuka alivyofanya jini mmoja akapandisha mashetani akapiga vibao
Fala na toa njaa zako hapo.
Cheki wanaccm walivokodoa macho mwenzenu anakuwa mkuu wa mkoa
Ajielewi huyo umeamua kuondo funga mdomo wako ipo cku utajutia maneno yako
Asiwe katumwa na Chadema huyu dada!!
CCM NI KUBWAAAAAAAAAAAAAAA😂😂😂😂
Wewe mujinga
Tayari ubunge unao dada usijali
Hunajipya wewe dada.,.
Wewe nimuongo nyie lambalamba usaliti mkijua katiba inawaleta hamna lolote napoteza muda kukusikiliza
Kinachokuhamisha ni njaa tuu hauna jipya
Anakula matapushi yake mwenyewe
Mimi katibu wa kata ya ludete nakutakia safari njema lakini mkumbuke mawazo aliye uwawa kikatili sana dada yetu upendo umesahau ni?
Pumbafu kabisa huyu
Sasa elimu yako unaenda kufanya kazi
Upendo peneza ametumia haki yake yakikatiba kuchagua chama anacho kitaka hongera sana
Lakini umechagua ccm kweli? Ccm hii ya tanzania? Kwwli? Hapana lazima kuna akili zimefeli
Mnafki mkubwa wewe,malaya wa kisiasa wewe,bila chadema nani angekujuwa Malaya wewe,njaa na tamaa ya pesa ndio inawasumbuwa mpaka mkauza utu wenu,na ukae ukijuwa ndio umeshajiuwa mwenyewe kisiasa,umalaya umekuponza
Kwendraaa tetea tumbo lako unadhan kwa akili mgando kama zako unauwezo wa kulbadili hili taifa
Wewe dr.wiblod silaa nyote hamuna chama nyote mulikua makada wa ccm Tanzania hamuna chama ila vyama vitakuja vibaraka mutapata shida