🔴LIVE : RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA EDGAR SEHEMU YA 10 - JUNE 21

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 чер 2024
  • 🔴LIVE : RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA EDGAR SEHEMU YA 10 - JUNE 21
    -
    Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9
    Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
    -
    Follow Us On:
    INSTAGRAM:
    Efmtanzania:
    TWITTER:
    Efmtanzania
    FACEBOOK:
    Efmtanzania:

КОМЕНТАРІ • 35

  • @marialaurent7144
    @marialaurent7144 19 днів тому +19

    Mungu atuepushe na watu wabaya jamani. Edgar ni mfano wa watu wengi tunaishi na watu bila kujua kua ndio wabaya wetu. Tupo hai sababu Mungu anapigana vita kwa niaba yetu

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 19 днів тому +2

      Tunaishi Kwa neema ya Mungu tu

    • @ScholarPeter
      @ScholarPeter 19 днів тому +1

      Kabisaa mpenz yaan dunia ihi ni ngum sana kwakweli 😢😢

  • @fora2009
    @fora2009 19 днів тому +6

    Mungu tulinde vizazi vyetu

  • @user-ex1lt9ed8w
    @user-ex1lt9ed8w 19 днів тому +11

    😢😢ya Allah tunakuomba utupiganie sisi hatuna wajomba wakutupambania na tuna maaduwi kwa dhahiri ila tunae ww Allah ambaye hulali husinziii wala hushindwi na kitu chochote tunaomba utulinde na kila mabaya wanayotufanyiaga 😢😢😢😢na kutuwazia🙏

  • @florakomba5522
    @florakomba5522 19 днів тому +2

    Vero simulizi hizi zinstugusa sana na maisha ambayo tunayo kwenye familia zetu unakuja familia hatuelewani kwa sababu ya watu wamama you wanaoingia kwenye familia kwa kuoa au kuolewa

  • @yusterwilliam6048
    @yusterwilliam6048 18 днів тому +1

    Hii issue ya ulevi aisee ni ukweli kabisa pumzika kwa amani mdogo wangu kipenzi 😢hii simulizi imenikumbusha mbali sana Mungu atupe macho ya rohoni pumzika Mpoki wangu

  • @MinaeliMbonea
    @MinaeliMbonea 15 днів тому

    Nimeipenda hiyo wanaweza kusimamisha juw kikasimama

  • @WariankiraMathayo
    @WariankiraMathayo 16 днів тому

    Mungu aepushe watoto wetu na mabayaa,
    Na watoto wawe wanasikiaaa wazaziiiii

  • @user-uu6ei1ys3k
    @user-uu6ei1ys3k 19 днів тому +2

    💔💔💔💔MUNGU ATUSAIDIE🙏

  • @abdallahassan6378
    @abdallahassan6378 19 днів тому +3

    Dah inatisha sana Mungu atujalie mwisho mwema 😭😢

  • @user-gw2jg4xu5p
    @user-gw2jg4xu5p 19 днів тому +5

    EDGAR stori yako himenigusa sana na pia himekusa mdogo wangu pia alikuwa na akili sana lakini sasa anakunywa pombe kuliko kawaida

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 19 днів тому

      Mpelekeni akaombewe au apate visomo, hatuna macho ya rohoni maadui wanatufanyi vitu vibaya sana. Mtoto WA mjomba angu yatima hana mzazi hata mmoja ana degree hapati kazi, mlevi anafanana na chokolaa wa mtaani. Dunia hii si mchezo.

    • @magdalenashayo1256
      @magdalenashayo1256 19 днів тому

      Mpeleke kwenye maombi atakuwa sawa

    • @user-vd2zg1fe5g
      @user-vd2zg1fe5g 19 днів тому

      ​@@MsAggie5nendeni kwenye maombi na aokoke ampokee Yesu atapona kabisa

    • @yusterwilliam6048
      @yusterwilliam6048 18 днів тому

      Hata Mimi mdogo wangu alikuwa na akili sana akaanza kunywa pombe mwaka 2020 February akafariki Kwa pombe Kali zinazotoka Zambia (veve) pumzika Kwa Amani mdogo wangu nakukumbuka sana
      Nakumbuka alipokuwa mdogo darasa la Tatum hivi 2005 kuna Bibi alimwambia mama mbona huyu mtoto wako walishamchukua muda mrefu sana hangaika mtoto apone lkn mama yangu hakufanya chochote

  • @user-lu4ie4fp1o
    @user-lu4ie4fp1o 19 днів тому +2

    Dui dunia inamengi jamani

  • @user-ei2ud7gh5h
    @user-ei2ud7gh5h 3 дні тому

    Ila hii dunia jaman ya Allah atusaidue , sisi tunasumbuliwa na bb mzaa mama tena kamtoa mama sijui msukule kwa sasa sijui walimla nyama tunasukuiwa mambo balaa dada yetu aliugua jaman humtamqn alibadilika alikonda hakuweza kuona vizur ,ila sasa alihamndulillah jitihada za mama mkwe na sasa amekuwa mtu wakusali pqmoja na familia yake ila hata sisi tu nasukumiwa vitu balaaa sasa kaka yetu mkubwa yy ndo bas na alikuwa mtt mzur sana mwenye akili anapata dili za kaz pesa anapata ila wap zinaenda hatujui akili yake haiko sawa miaka nenda miaka rudi hana chochote si watt wala mke jaman ni yupoyupo tu kaka haishi matukio mara amepelekwa mahakaman , police ila anakuwa anatoka ni mungu anamrinda ila shida hatujawah kujua ila huyu bb si mtu mzur yarabby atunusuru amin

  • @pendorobert3552
    @pendorobert3552 19 днів тому +2

    Hii ndio maana halisi ya mjomba ni mama yaan mambo anayofanya mjomba ni mama kabisa ndo angefanya..alafu hii ya kuonekana mzee hata mm watu Huwa nikiwaambia Nina miaka31 hawaamini kabisa wanasema ni kama nmezaliwa miaka ya80 huko ee MUNGU nitolee uso wa kizee kwa jina la YESU 🙏

    • @racherkijugu14
      @racherkijugu14 18 днів тому

      Pole pendo

    • @user-no4rf5tu3h
      @user-no4rf5tu3h 16 днів тому

      Pendo,Pole kipenz yaan hata me ndo hali niko nayo yaan watu hawaamin kile unachowaambia wanadhan ni uongo na Mungu atusaidie kwa hili haki 😢

  • @fatumakyengya45
    @fatumakyengya45 16 днів тому

    Mambo mazito haya mmmmh

  • @bettygervas2042
    @bettygervas2042 19 днів тому +1

    Na mm leo nimewahi sana

  • @fatumayusufu2924
    @fatumayusufu2924 19 днів тому

    Bila kuchelewa

  • @AbdallahYassin-ky5ic
    @AbdallahYassin-ky5ic 19 днів тому

    Hello vero

  • @user-vd2zg1fe5g
    @user-vd2zg1fe5g 19 днів тому

    Jamani kuna na wakaka wachawi haswaaa!anajifanya anakupenda ili akuue apate mali zako kama unazo

    • @user-vd2zg1fe5g
      @user-vd2zg1fe5g 18 днів тому

      Kuna mmoja alijifanya kumpenda dada yangu,kumbe ni lichawi hilo likaka na kazi yake kutapeli mali kiuchawi,mpaka dada yangu alipoteza maisha kimazingara,,,yaani siwezi kusahau na hilo lichawi lipo linaendelea kulaghai wanawake wengine wenye pesa,kazi nzuri na mali.😢😢

  • @user-ol6dk4bp9x
    @user-ol6dk4bp9x 19 днів тому +2

    Duuh inaogopesha

  • @Martha-gs3in
    @Martha-gs3in 19 днів тому

    Duuuu hii ni ngumu jmniii😢