🔴LIVE : RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA EDGAR SEHEMU YA 10 - JUNE 21
Вставка
- Опубліковано 20 чер 2024
- 🔴LIVE : RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA EDGAR SEHEMU YA 10 - JUNE 21
-
Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9
Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
-
Follow Us On:
INSTAGRAM:
Efmtanzania:
TWITTER:
Efmtanzania
FACEBOOK:
Efmtanzania:
Mungu atuepushe na watu wabaya jamani. Edgar ni mfano wa watu wengi tunaishi na watu bila kujua kua ndio wabaya wetu. Tupo hai sababu Mungu anapigana vita kwa niaba yetu
Tunaishi Kwa neema ya Mungu tu
Kabisaa mpenz yaan dunia ihi ni ngum sana kwakweli 😢😢
Mungu tulinde vizazi vyetu
😢😢ya Allah tunakuomba utupiganie sisi hatuna wajomba wakutupambania na tuna maaduwi kwa dhahiri ila tunae ww Allah ambaye hulali husinziii wala hushindwi na kitu chochote tunaomba utulinde na kila mabaya wanayotufanyiaga 😢😢😢😢na kutuwazia🙏
Amina. Mungu ni mwema siku zote
Aamiiina yarab lalamina
🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Amina
Amiiin Thumma Amiiin Inshaallah
Vero simulizi hizi zinstugusa sana na maisha ambayo tunayo kwenye familia zetu unakuja familia hatuelewani kwa sababu ya watu wamama you wanaoingia kwenye familia kwa kuoa au kuolewa
Hii issue ya ulevi aisee ni ukweli kabisa pumzika kwa amani mdogo wangu kipenzi 😢hii simulizi imenikumbusha mbali sana Mungu atupe macho ya rohoni pumzika Mpoki wangu
Nimeipenda hiyo wanaweza kusimamisha juw kikasimama
Mungu aepushe watoto wetu na mabayaa,
Na watoto wawe wanasikiaaa wazaziiiii
💔💔💔💔MUNGU ATUSAIDIE🙏
Dah inatisha sana Mungu atujalie mwisho mwema 😭😢
EDGAR stori yako himenigusa sana na pia himekusa mdogo wangu pia alikuwa na akili sana lakini sasa anakunywa pombe kuliko kawaida
Mpelekeni akaombewe au apate visomo, hatuna macho ya rohoni maadui wanatufanyi vitu vibaya sana. Mtoto WA mjomba angu yatima hana mzazi hata mmoja ana degree hapati kazi, mlevi anafanana na chokolaa wa mtaani. Dunia hii si mchezo.
Mpeleke kwenye maombi atakuwa sawa
@@MsAggie5nendeni kwenye maombi na aokoke ampokee Yesu atapona kabisa
Hata Mimi mdogo wangu alikuwa na akili sana akaanza kunywa pombe mwaka 2020 February akafariki Kwa pombe Kali zinazotoka Zambia (veve) pumzika Kwa Amani mdogo wangu nakukumbuka sana
Nakumbuka alipokuwa mdogo darasa la Tatum hivi 2005 kuna Bibi alimwambia mama mbona huyu mtoto wako walishamchukua muda mrefu sana hangaika mtoto apone lkn mama yangu hakufanya chochote
Dui dunia inamengi jamani
Ila hii dunia jaman ya Allah atusaidue , sisi tunasumbuliwa na bb mzaa mama tena kamtoa mama sijui msukule kwa sasa sijui walimla nyama tunasukuiwa mambo balaa dada yetu aliugua jaman humtamqn alibadilika alikonda hakuweza kuona vizur ,ila sasa alihamndulillah jitihada za mama mkwe na sasa amekuwa mtu wakusali pqmoja na familia yake ila hata sisi tu nasukumiwa vitu balaaa sasa kaka yetu mkubwa yy ndo bas na alikuwa mtt mzur sana mwenye akili anapata dili za kaz pesa anapata ila wap zinaenda hatujui akili yake haiko sawa miaka nenda miaka rudi hana chochote si watt wala mke jaman ni yupoyupo tu kaka haishi matukio mara amepelekwa mahakaman , police ila anakuwa anatoka ni mungu anamrinda ila shida hatujawah kujua ila huyu bb si mtu mzur yarabby atunusuru amin
Hii ndio maana halisi ya mjomba ni mama yaan mambo anayofanya mjomba ni mama kabisa ndo angefanya..alafu hii ya kuonekana mzee hata mm watu Huwa nikiwaambia Nina miaka31 hawaamini kabisa wanasema ni kama nmezaliwa miaka ya80 huko ee MUNGU nitolee uso wa kizee kwa jina la YESU 🙏
Pole pendo
Pendo,Pole kipenz yaan hata me ndo hali niko nayo yaan watu hawaamin kile unachowaambia wanadhan ni uongo na Mungu atusaidie kwa hili haki 😢
Mambo mazito haya mmmmh
Na mm leo nimewahi sana
Bila kuchelewa
Hello vero
Jamani kuna na wakaka wachawi haswaaa!anajifanya anakupenda ili akuue apate mali zako kama unazo
Kuna mmoja alijifanya kumpenda dada yangu,kumbe ni lichawi hilo likaka na kazi yake kutapeli mali kiuchawi,mpaka dada yangu alipoteza maisha kimazingara,,,yaani siwezi kusahau na hilo lichawi lipo linaendelea kulaghai wanawake wengine wenye pesa,kazi nzuri na mali.😢😢
Duuh inaogopesha
Mno
Duuuu hii ni ngumu jmniii😢