🔴LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ELIBARIKI SEHEMU YA 8 - JULY 10
Вставка
- Опубліковано 7 жов 2024
- 🔴LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ELIBARIKI SEHEMU YA 8 - JULY 10
-
Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9
Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
-
Follow Us On:
INSTAGRAM:
Efmtanzania:
TWITTER:
Efmtanzania
FACEBOOK:
Efmtanzania:
Jamani mtu anapoleta story kwa vero kusudi ni sisi tujifunze kwa namna moja au nyingine sasa baadhi yenu mnapomahambulia kwa maneno mabaya mnakosea
Shida ya elibariki sio mshamba shida ujuaji na ubishi ulipata nafasi ya kupata mtu wa kukuongoza baya na zuri ukapuuza wakati wengn hua hawapati ata nafas ya kuambiwa usifanye ivi sio vzr hao ndo tunawaonea huruma sio ww shwaiin simbilisi kabs
Yes. Ujuaji na mbishi
Mkaka mjuaji sana 😂😂
watoto wengi wanaolelewa katika familia za kitajiri ndivyo walivyo wanajiona wao ndo wajuzi kuliko wengine na hii huwa inawacost sana
dah jmni Elibariki wa watu. Pole sana na mambo yote..yaani mie mpaka chozi likanitoka ulivolia..najua moyo wako umeuma mnoo baada ya kumuona mzee akiwa mgonjwa na maneneo alokuambiwa. thanks again Elly for sharing your story God bless u so much
UJUWAJI AUJAWAHI MWACHA MTU SALAMA📌
Vero sio urahabu ni uraibu
Watu wanashaur utadhan wanaangalia tamthilia this is past jaman😂😂😂😂
Watu weny akil nzito wasilet simulz zao hapa wanatutia hasira😢
😂 lete yako ya akili nyepesi uone km itanoga
Jamani nimecheka umenifurahisha sna
Pole Elly kwa hayo mapito….sio wakati mzuri wa kukulaumu ila kila hatua ina mafunzo
Mi namuelewa elly ..... tusimjudge sana
Akome mim kanikwanza sn
Huyo naye siumwambie baba ake na eribariki maan Kila sku nitamwambia nitamwambia eee
Afadhar Elbarik ameleta simuliz yake watu tujifunze maana kiukwel vijana wengi wa Tanzania wakienda nje %kubwa awatimiz lililowapeleka huko labda wapelekwe uganda au kesha ndo wanarud salama😂😂😂😂😂
😂😂😂
Dogo umepotea sana😂😂😂😂😂 37:46 37:50
Ulifanya unajua kumbe unaungua jua
Ilikuwa nilazima upite uko ili sisi tujifunze
Komaaaaaa
Dogo umepotea sana😂😂😂😂😂
😏😏eli ulikuwa unajuskia sana na kujiona ww ni mjuaji 😏
Haaaaa
Mtoto WA kishua 😅
@@MsAggie5 mwache apigwe na kitu kizito😏
Dogo umepotea sana😂😂😂😂😂 37:46 37:50
Dogo umepotea sana😂😂😂😂😂 37:46 37:50
Dogo umepotea sana😂😂😂😂😂 37:46 37:50
Dogo umepotea sana😂😂😂😂😂 37:46 37:50