NILIJIFANYA MSOMALI | NILITUMIKA NA WAZUNGU HATARI | SHULE ILINIOKOA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 191

  • @njokimwaniki364
    @njokimwaniki364 2 місяці тому +5

    This DJ brother is so deep...full of wisdom.He isn't living in an illusion.

  • @amneriyami2409
    @amneriyami2409 2 місяці тому +3

    Mashallah allah akuhifadhi jasiri sana maisha ni safari ndefu upo ngangariiiiiii nimependa unaongea kwa umakini

  • @elsaMo-b5r
    @elsaMo-b5r 3 місяці тому +7

    Hii interview nimecheka mwanzo mwisho jamani huyu Kaka ni jasiri .
    Kwanza hiyo visa feki hadi nimetetemeka.
    Ila msisahau mlikuwa n'a Mungu kabisa.
    Big up bro

  • @abdulyibrahim2125
    @abdulyibrahim2125 3 місяці тому +9

    Story nzur kaka kaitowa inafundisha kitu kwenye maisha kwenda ulaya au kuishii ulaya

  • @Lizzyktd
    @Lizzyktd 2 місяці тому +2

    Ahsante sana kwa Elimu hii brother 🎉🎉🎉🎉

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 3 місяці тому +4

    I like that DJ, umeowa mtu sio awe mtumwa wako, but patner wako, hapo uliemuoa akiwa ni muelewa, na mwenye imani, kama hivyo, bila ya shaka mutasaidiana vizuri tu

  • @khalid-oh5uu
    @khalid-oh5uu 3 місяці тому +3

    Best one. Ameeleza vizuri

  • @Bariadi-ug8ve
    @Bariadi-ug8ve 3 місяці тому +24

    Hii interview imenifanya hii ela ya kwenda ulaya ninunue kiwanja nijenge..😅😅😅😅

  • @Bariadi-ug8ve
    @Bariadi-ug8ve 3 місяці тому +9

    Tatizo la mijitu ya tanzania mingii inaakili finyu mijuaji ina maisha ya shida ,kazi kupinga kila kitu ivi ukisikia ukajifunza kitu unapungukiwa nini?

  • @maimukanabora8751
    @maimukanabora8751 3 місяці тому +5

    Mungu wabariki kaka hongera Kwa utulivu na dada Shena nimejifunza zaidi

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 3 місяці тому +1

    The hastles was really 😊 watoto wa kiume bwana Mungu awasaidie.

  • @sadiqfixer
    @sadiqfixer 3 місяці тому +1

    Hapo kweli kabisa Shena, turudi kwa Mwenyezi Mungu si kwa watoto tu, yaani kwa kila kitu

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 3 місяці тому +1

    Hiyo ni good idea Shena, kuleta hiyo mada na mzee ya kuhusu uzeeni, coz kuna baadhi yetu hufikiria tu pesa ya kustaafu nchi za nje, ndio itamfanyia kila kitu, ambayo kwamba hata utaratibu wake hawautafiti ki undani

  • @fatemamahmood5440
    @fatemamahmood5440 2 місяці тому

    Hongera kwa Safar na pole Sana ulizamilia kutimiza ndoto zako haikuww rahisi 🎉

  • @WahidaAlharthi
    @WahidaAlharthi 3 місяці тому +1

    MashaAllah tabaraka Rahman
    Elim haimtupi MTU

  • @WahidaAlharthi
    @WahidaAlharthi 3 місяці тому +3

    Kweli kabisaaa. WA Zanzibari. Wana. Hikma na. HESHIMA. ZA wazee. HONGERA. Sana

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 2 місяці тому +1

    Wanasema wazee tembea uone na maisha ni safari life is Journey so kaza buti lakini usimsahau MOLA wako na Ibada.

  • @TichaSabah
    @TichaSabah 3 місяці тому +1

    Niligonga schnegn visa nikatembelea nchi 8.ikiwemo germany franfurt na berline.ila kwa upande wangu dharau iliyonikuta italy rome.sitakaa nikasahau na mm mzanzibar nasubiri nimuone mtaliano ana shida nimtemeee mate haswa

  • @sanaf8367
    @sanaf8367 3 місяці тому

    Jamaa majiekti sana and..... and.......... and nyingi sana

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 3 місяці тому +10

    Story ya huyu dah ni fundisho kwa makaka zetu wenye ndoto za kujilipua wajifunze

  • @farhiaabdulaziz8549
    @farhiaabdulaziz8549 3 місяці тому +2

    Aunt yangu Sheina umeongea point kabisaa hata ukizaa na mwafrica hao watoto siwatakuwa Ukhty wataolewa au kuowa wazungu ndio hayo hayo tutaishia kambini tusijipangie hatujijui watoto pia wanaweza kukimbia

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah 3 місяці тому +3

    Interview ili zinoge na kuwa murua watafute wazanzibar utakula store nzur nzur za kufurahisha na za kuchekesha pia za kuhuzunisha watafute huko ulaya marekani mpaka Arabuni utapata muendelezo nzur tu

  • @tinanicholasligwile6972
    @tinanicholasligwile6972 3 місяці тому +2

    Story kama inanivitia ivii 😊😊

  • @SalumJohn-h2s
    @SalumJohn-h2s 3 місяці тому +6

    Karibu tena bububu kamanda

  • @robbyissack8575
    @robbyissack8575 3 місяці тому +3

    Nice interview

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 3 місяці тому +4

    Hapo sasa, "kuzaa sio kuhudumiwa kwa mzazi" yategemea tu imani na akili ya mtoto, pamoja na majaaliwa
    Then mtoto kumzaa nchi za nje, je kweli atafuata wazazi wake Africa, au kuwa support ki fedha? tuombe tu angalau waweze kujisaidia wenyewe kwanza

  • @TichaSabah
    @TichaSabah 3 місяці тому +1

    Nice

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 3 місяці тому +4

    Huyo asiyesikia akapimwe

  • @josephatjosephat4269
    @josephatjosephat4269 3 місяці тому +8

    Maisha ya Africa ni mazuri unakuwa karibu na familia kuliko maisha ya ukaya

    • @veronicankhwazi7954
      @veronicankhwazi7954 3 місяці тому

      Kabisaa

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 3 місяці тому

      Sadakta nipo huku kuna wakati najikuta nashinda chumbani nalia kwa upweke najiuliza nitarudi lini huku kinachoumiza maisha ya upweke hususani ukiumwa watt wapo school huku watu wapo busy na kazi wakitoka alfajiri kiza wanarudi jioni kiza hakuna hata wakukuuliza hali wala kukupikia uji

  • @jimmykitura5803
    @jimmykitura5803 2 місяці тому

    Story za kijeshi sio vizuri kuziongelea Kama una story tulia kala kimya siri zingne ziache hivyo hivyo be strong sio kila kitu chakusimulia

  • @WahidaAlharthi
    @WahidaAlharthi 3 місяці тому

    InshaAllah biidhnillah taala Utapata

  • @amneriyami2409
    @amneriyami2409 2 місяці тому

    shukran mr dj

  • @glammummy
    @glammummy 3 місяці тому +3

    kaka ana akili huyuuu Maashallah

  • @reginalemunge1221
    @reginalemunge1221 2 місяці тому

    Tunawasikia vzuri dada Shena

  • @nicedavid8536
    @nicedavid8536 3 місяці тому

    Shena nimependa sana ushauli wako wa kuhusu uzee na watoto, nikweli hata uko bongo kuna wazee wamezaa watoto wengi na wanaishi maisha ya peke yao,watoto wako busy na familia zao .Mama au baba anaumwa anatumiwa pesa tu.wachache sana wanawachukuwa wazazi wao.

  • @mwanaidiheintel1760
    @mwanaidiheintel1760 3 місяці тому +1

    Wengine tunaishi miaka mingi na Alhamdulilah hatujapitia hayo mambo hayo jiongelee wewe bro

    • @Fetty-r4o
      @Fetty-r4o 3 місяці тому

      Unaishi kwa kuingilia njia ipi, au ki vipi ndugu?

    • @AngelaLyimo-d7x
      @AngelaLyimo-d7x 2 місяці тому

      Bahati yako

  • @PtransJulius
    @PtransJulius 3 місяці тому

    nawapata vizuri south Africa.

  • @MdOmane-yg9gi
    @MdOmane-yg9gi 3 місяці тому +1

    Nimejifunza kitu kaka umeeleza vizuri story Yako

  • @HassanAhmed-di9jq
    @HassanAhmed-di9jq 3 місяці тому +2

    Koyama na chula ivyo visiwa

  • @abasiabdulabi5430
    @abasiabdulabi5430 3 місяці тому +1

    Ogela kaka

  • @EstherNgayiwona
    @EstherNgayiwona 3 місяці тому

    Sasa hivi una umri Gani Dj

  • @AgathaMpemba
    @AgathaMpemba 3 місяці тому +2

    Story nzuri sana nimejifunza

  • @kshamte9582
    @kshamte9582 3 місяці тому +1

    Maisha dah! Mafunzo kila siku

  • @NiyonkuruAudu
    @NiyonkuruAudu 3 місяці тому +1

    Nawapata vyena naomba siku hiyoniarifuni
    Nikupeni somo

  • @FaustineTz
    @FaustineTz 2 місяці тому

    Alafu awa wanzanzibar mbona wanapenda kujinadi sana wao ni wa Tz bwana

  • @susans4490
    @susans4490 3 місяці тому +1

    Mmh mbona kama umetupinga changa la macho Inamaana skuli form ulimaliza ukiwa na 15yra old

    • @jacqueisaac8155
      @jacqueisaac8155 3 місяці тому +2

      Mwanangu alianza grade 1 na 5yrs so atamaliza form 4 na 15yrs

  • @Mariam-c6b3o
    @Mariam-c6b3o 2 місяці тому

    Wote mnasikika vizuri

  • @MussaPaul-ob3nh
    @MussaPaul-ob3nh 3 місяці тому

    I recommend seminar machundo from Denmark for that dialogue😊.

  • @mwanaidiheintel1760
    @mwanaidiheintel1760 3 місяці тому +2

    Shena umeongea ukweli, kuzaa sio kujiwekea hao watoto watakusaidia .kuna watoto wako bongo na hawawasaidii wazazi wao au wanatangulia watoto wewe ukabakia

  • @roselambert6700
    @roselambert6700 3 місяці тому

    Mnasikika vizuri

  • @mikiothman103
    @mikiothman103 3 місяці тому

    nahisi iyo sehemu inaitwa Barawa

  • @nataliaemanuely4046
    @nataliaemanuely4046 2 місяці тому

    Nice

  • @EstherNgayiwona
    @EstherNgayiwona 3 місяці тому

    Kwa hiyo baada ya kutumika sana na wazungi je hivi Sasa umeona au una mahusiano yote?

  • @farhiaabdulaziz8549
    @farhiaabdulaziz8549 3 місяці тому +3

    Na hao wazungu sio woote wabaya ni baadhi ni binaadam woote tuko hivyo hivyo kila mtu na tabia zake, huko nyumbani wanaume au wanawake sipia vita kila siku kuachana jamani au

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 3 місяці тому

    Mimi naona sometimes mtoto kumuweka mzazi wake nyumba za wazee, ni vile huwa busy na maisha yake na kazi, then mzazi hutaka huduma, hii ni kama vile wazazi huwapeleka watoto wao wadogo kulelewa kutwa 'Day/Child Care' so yajirudia

  • @fridadavid3151
    @fridadavid3151 3 місяці тому

    Dada sena hutukusikii

  • @annamussa185
    @annamussa185 3 місяці тому +3

    Wasomali wachafu kama warabu wanapenda kufanyiwa kilakitu kupelekesha wakiwa wanakula kama ugomvi

    • @Ilhamtube554
      @Ilhamtube554 3 місяці тому +1

      Na nyie nae mna roho mbaya, chuki na kutukana watu waliowazidi ndo maana zari huwa tusi nyie na uchafu wenu, wanuka chupi na vikwapa

    • @annamussa185
      @annamussa185 3 місяці тому

      @@Ilhamtube554 hujielewi paka wewe mpaka na makaburi ya ukoo wako 🐕🐕

    • @Ilhamtube554
      @Ilhamtube554 3 місяці тому

      @@annamussa185 we nguruwe tulia, changudoa mchafu wa bei chee, njaa zitakuua,🤣🤣🤣🤣

    • @annamussa185
      @annamussa185 3 місяці тому

      @@Ilhamtube554 huna maajabu sasa Nguruwe nalo tusi kahaba wa kizamani ww

    • @annamussa185
      @annamussa185 3 місяці тому +1

      @@Ilhamtube554 nimekuzidi kilakitu mpaka akili

  • @mamaabduly
    @mamaabduly 3 місяці тому

    WATU UNAOWAHOJI WANAWEKA HANDLE ZAO KAMA FB AU INSTA KAMA MTU ANAHITAJI USHAURI KWA ALICHOELEZEA IWE RAHUSI KUMFATA.. ANATU INSPIRE NINI?

  • @mamaabduly
    @mamaabduly 3 місяці тому

    Shena.. Naomba niwasiliane na huyo kaka plz... 🙏Pls

  • @NiyonkuruAudu
    @NiyonkuruAudu 3 місяці тому +1

    Shena hata MIE pia nitafute naeshi umarekani natokeya bongo na Burundi nimechaga kihivyo ukinialika unatakiwa unipatie nikiwa home

  • @susans4490
    @susans4490 3 місяці тому +4

    Akaa baada ya kumaliza form ukakaa dar 5yrs ukatafuta visa 2 to 3yrs baadae ukarudi tena Zenji na ukarudi miaka pia 😂 mara ukawq 19yrs 🏃‍♀️🏃‍♀️

    • @jacqueisaac8155
      @jacqueisaac8155 3 місяці тому +1

      Story nzima hayo tu ndio ulopata ya kukujenga?

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  3 місяці тому +1

      😁

    • @DM.2200
      @DM.2200 3 місяці тому

      ​@@OfficialDatingAssistance Da shena kuna yule mama alitoa story yake kama sikosei yupo marekani watu wali comment sana arudiwe, alikua anaongea kama mchaga naomba kufaham story yake naipataj coz siioni kwenye list

    • @mwanaidiheintel1760
      @mwanaidiheintel1760 3 місяці тому +1

      Hata mimi sikuelewa hiyo miaka bado 😂😂😂😂😂

    • @SamwelJoseph-yk3cw
      @SamwelJoseph-yk3cw 3 місяці тому

      😂😂😂

  • @DorethMselem
    @DorethMselem 2 місяці тому

    Mnh kwani si unatumia nida au mlitumia nida za watu wengine?

  • @janechipeta6231
    @janechipeta6231 3 місяці тому

    Sasa yule rafiki yako mlikuja kuonana tena?

  • @sweetykabeya5873
    @sweetykabeya5873 3 місяці тому +1

    Watu tunaishi Germany tunakuelewa sana,its not easy tuna mengi ya kusimulia

  • @hedayamohammed2781
    @hedayamohammed2781 3 місяці тому

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 3 місяці тому

    Dj nitampata wapi shena.

  • @AshaMohamed-ib4le
    @AshaMohamed-ib4le 3 місяці тому

    Anaskilizika tu

  • @joycelaizer4600
    @joycelaizer4600 3 місяці тому +1

    Soma kijana kichwa hakina madeni 😂😂😂

  • @hassanibanzi9322
    @hassanibanzi9322 29 днів тому

    See you soon Budda tutasomana Europe najilipua soon 😂

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 3 місяці тому

    Ujerumani sio masihala uwe kidume Kwanza usome lugha angalau utapata kibaua na unajua kuzungumza ,na hospital angalau la kama hujasoma lugha Moto utaowona yaani ujerumani wa Nigeria wamedundo huko mjerumani ana roho mbaya hawana masihala mtoto wa sister wangu yupo huko mzenji yeye alivyofika huko kasoma lugha

  • @gracelyimo6256
    @gracelyimo6256 3 місяці тому

    Hivi Shena kuna baadhi ya videos huwa unazifuta!?

  • @WahidaAlharthi
    @WahidaAlharthi 3 місяці тому

    Tuna wasikiya.

  • @EstherNgayiwona
    @EstherNgayiwona 3 місяці тому

    Mnasikika wote tuendelee

  • @FortunataChande
    @FortunataChande 3 місяці тому

    Samahani kwa kutoliandika vzr jina lako

  • @thuweiybab3338
    @thuweiybab3338 3 місяці тому

    Koyama

  • @KhadijaLitami
    @KhadijaLitami 2 місяці тому

    Mbona mimi simuoni mzungumzaji, nakuona Shena mwenyewe tu. Msaada plse!!

    • @nanguniMtaita-hz4zt
      @nanguniMtaita-hz4zt 2 місяці тому +2

      Kwa namna hadithi yake ilivyo, isingekuwa vizuri aonekane mubashara. Kawataja jamaa fulani hapa na mengi ambayo lazima ajifiche. Alimradi tunamsikia sineno. Kwani unachotaka ni mlio wa punda au punda?

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 3 місяці тому

    Mara nyingi hutokea hivyo, jamaa zetu back home, tukijibana sisi na kuwasaidia wao, wao hawajuwi hilo, hujuwa tunazo tu, na pia ni kama lazima tuwape

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 3 місяці тому +1

    Wow! ila for example wa TZ, yategemea ni kujiripuwa miaka ipi nyuma ndugu, so kesi sio Somali, na ushaga tu, za kisiasa ya TZ pia zilikuweko zamani

    • @merycianachangarawe8979
      @merycianachangarawe8979 3 місяці тому

      Kweli sio izo kesi tu
      Sema huyo alipata Zari la fake visa
      Lakini ukiwa na visa ya kweli jamni usijibadilishie utaifa maana watacheki kwa system wakuone unatokea nchi gani then unazidi kujikaanga
      Yaani inshort usiseme uongo kwa vitu ambayo viko kwa system
      Only ushoga danganya uwezavyo
      Iko siku nitahadithia hivi vitu kwa Shena maana namimi nimepitia hiyo procedure ya ukimbizi but sikubadilisha chochote!na mambo yalikuwa very smooth

    • @Fetty-r4o
      @Fetty-r4o 3 місяці тому

      @@merycianachangarawe8979 Ila watu wengi tu, hasa miaka ya nyuma, walijibadilisha majina na tarehe za kuzaliwa, kisha hawakuingia na document yeyote nchi waliojiripuwa, na pia wengi wao walivuka mipaka, hawakuingia nchi husika moja kwa moja, na wamefanikiwa kesi zao. Haya mambo hayatabiriki

    • @Fetty-r4o
      @Fetty-r4o 3 місяці тому

      @@merycianachangarawe8979 Kubadilisha jina na tarehe ya kuzaliwa pia yategemea umeingia vipi, kama nilivyotangulia kujibu hapo, then sio fake visa tu, kuna walioingia na "bandika banduwa" picha yako, passport ya mtu mwengine

  • @FortunataChande
    @FortunataChande 3 місяці тому +1

    Dada Shehina,samahani,hawa wazungu wanaotaka mpaka uwalipie apple card ili waje nchini ikoje hii,.tena si hela kidogo kuanzia milioni siyo matapeli hawa?

    • @AgathaMpemba
      @AgathaMpemba 3 місяці тому

      Mh! Kama hawezi kuja aache kwanini ww umlipie pesa?? Shtuka ndugu

    • @AgathaMpemba
      @AgathaMpemba 3 місяці тому

      Mh!

    • @AgathaMpemba
      @AgathaMpemba 3 місяці тому

      Shtuka ndugu jiongeze Kama hawezi kuja aache

    • @atomphoton5000
      @atomphoton5000 3 місяці тому +1

      Mzungu anatakwa kuhongwa na wadada wa Bongo. Aisee hii Dunia ina mambo kweli kweli. Achana na wanaijeria wewe utakuja kulia mchana kweupe

    • @AgathaMpemba
      @AgathaMpemba 3 місяці тому

      @@atomphoton5000 apo ashtuke mapema hamna kitu apo ukute uyo ni mbongo mwenzako😂😂

  • @YasinMsonjo
    @YasinMsonjo 28 днів тому

    Na je sura zinafanana na Somali ama

  • @mwanaidiheintel1760
    @mwanaidiheintel1760 3 місяці тому

    Ukiwa mkimbizi kwa ujerumani ni shida mpaka uje kusimama.watu waje ulaya maisha ya ulaya sio kama nyumbani

    • @Fetty-r4o
      @Fetty-r4o 3 місяці тому

      Yeah, nasikia kuwa Ujerumani, na kama mfano Belgium, kujiripuwa kwake pia ni tofauti na sehemu nyengine, kama hivyo huko kuwekwa camp mpaka ufanikiwe, tofauti na nchi nyengine, hupewa hela kiasi ya kukodi sehemu pa kuishi, ya kula, usafiri, pamoja na ID na work permit, ili utafute kazi, au na study permit, ili uende shule, huku ukijiandaa kusikilizwa kesi yako, ila wakikukatalia, na kisha ukitaka una appeal kwa gharama zako, then unaenda nayo process, ila ukikwama, mwisho hukuzuilia na hizo IDs wakikuandaa kukurudisha kwenu, ila Ujerumani, kwa hiyo kupewa sheria kupitia kwenda shule kama alivyosema amepata DJ ni afadhali basi

  • @ShadowScreamStudio
    @ShadowScreamStudio 3 місяці тому

    Kuddadeki mbogo mbishii ..lazima ulaya nitimbee tu

  • @nanguniMtaita-hz4zt
    @nanguniMtaita-hz4zt 2 місяці тому

    Shena, huyu jamaa anayejiita DJ hadithi yake ni funzo nzuri la maana sana. Hatimaye amezungumzia mwishoni uzeeni mwake anavyo hisi. Tumuunge mkono mia kwa mia. Ulaya huko watoto ni noma zaidi. Afrika hatujaharibikiwa kivile. Huko ni kweli hawajali wazazi wao. Sababu kubwa ni malezi yao, watoto au vijana hawana dini. Hawatambui Mungu kisawasawa. Watawajali wazazi kivipi? Mutakapo kutana tena na DJ acheni kupeana matumaini ya kusadikika. Rudini nyumbani hapajaharibika kama Europe(Ulaya)

  • @aasatt78
    @aasatt78 3 місяці тому +1

    Kipindi kizuri ila muda mrefu

  • @timejames5099
    @timejames5099 3 місяці тому

    Tunasikia wote

  • @anaabsaid3544
    @anaabsaid3544 3 місяці тому

    Na nyiyi wazanzibar mkiwa oman mnatufanya vipi msomali anaye zungumza kiswahili mnamweka ndani kwasababu wengi wenu ni immigration huko oman

    • @anaabsaid3544
      @anaabsaid3544 3 місяці тому

      Utantusemeya mbaya lakini wazanzibar tunawajua sana ndiyo sababu huwezi kukuta msomali zanzibar na tuko majirani

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 3 місяці тому

    Aaa mambo ya ushoga yamekuja juzi hayo

    • @shenasnas2229
      @shenasnas2229 3 місяці тому

      Bosi sio juzi Abeid Sisimizi kaenda Belgium miaka zaidi ya 10 na kaingia huko kwa ticket ya ushoga

  • @AliMobarak-gc9gd
    @AliMobarak-gc9gd 3 місяці тому

    Upo mji gani

  • @safiam5338
    @safiam5338 3 місяці тому

    No tunawaskiya nyote

  • @mwanaidiheintel1760
    @mwanaidiheintel1760 3 місяці тому

    Kupata Million 20 unaweza bro ila inategemea umekujajaje ndio shida, mtu kama wewe na story yako lazima ukae miaka kazaa mpaka usimame . Ila maisha ni individuell. Sio wote wanapitia hayo maisha bro

  • @haikaelkiwia9705
    @haikaelkiwia9705 3 місяці тому

    Kionyesha vidole bado sijaelewa

  • @MoviesRecaps.92
    @MoviesRecaps.92 3 місяці тому +5

    Your a risk taker hakika,

  • @IrambonaIssa
    @IrambonaIssa 3 місяці тому

    Tupo warabu huwa wanasema wana nyongana ila sisi bado twa pambana😂😂😂. Bariadi duniya lazima upitiyee changa moto ata uwanja una zulumiwa

  • @HassanAhmed-di9jq
    @HassanAhmed-di9jq 3 місяці тому

    Hiyo ilikua unaita somali kenya

  • @hatiagk4447
    @hatiagk4447 3 місяці тому

    Story hii inafurahisha

  • @mimahtv2974
    @mimahtv2974 3 місяці тому

    Kuna wasomali wa tanga pia..!😅

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 3 місяці тому

    Huyu nitampata wapi sheyna

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 3 місяці тому

    Wasomali kweli ni wagomvi sana halafu wasomali hawapendi watu wafanikiwe kwani kama sio msomali unamtakia nini au kusema sio msomali unataka nini mwezio anatafuta maisha

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 3 місяці тому +2

      Hiyo nikweli tulienda kujiandikisha college mimi na wenzangu yule
      alietupokea akatwambia hapa kuna munira kutoka Somali ngoja niwatambulishe akaambiwa kuna wasomali wenzako njoo wapokee alipofika alianza kufoka hawa sio wasomali every country from Somali mbele za watu ukumbi umejaa sisahau akatuchambaa mpaka mpaka miguu imekufa nguvu shoga angu akasema mimi natoka kenya sitoki somali yule dada akatununia hatusalimiani nae mungu si athman dada yake msomali mimi shoga yangu namuuzia biashara zake mashuka mitandio na mapazia sasa akanikuta nae akamuuliza unajua huyu akamwambia my best friend mimi nikamwambia mimi na huyu hatuongei basi yule dada siku ya eid akatuita tulikuwa tunasali akasema peaneni mikono mukumbatiane yenye haki ya kujua nani msomali nani sie ni uhamiaji kuanzia leo muongee toka siku ile tukawa friend na watt wetu wakawa wanasoma nasary moja tukawa tunakutana ndio mpaka leo tunaongea ogopa wasomali 😢😢😢

    • @siasia5469
      @siasia5469 3 місяці тому

      Wasonji wana umimi sana... Mkikutana Nchi za watu utawajua vizuri😮

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h 2 місяці тому

    Mesali umeikosa sio mkabure sema mtembea bure.halafu wakat upo bara miaka 20 po znz 19.

  • @OllykekeSwahili
    @OllykekeSwahili 3 місяці тому

    Me Somali😀😀😀