Mnatukosea sana, meli ya mizigo yetu imefika port siku nyingi lkn tukipiga, simu kwa agent wa usafiri wanasema bandari kuna foleni kubwa, mnatuangusha sisi wafanyabiashara, muwe wazi kwa wananchi wenu
Kazi inapogwa duniani kote cha msingi ni mipango mizuri na hii nafasi muitumie mwaka huu ni waneema mtavunja recodi na iaweka sifa kubwa ya nchi wekeni wafanyakazi wa kutosha
Mnatukosea sana, meli ya mizigo yetu imefika port siku nyingi lkn tukipiga, simu kwa agent wa usafiri wanasema bandari kuna foleni kubwa, mnatuangusha sisi wafanyabiashara, muwe wazi kwa wananchi wenu
Ongera sanaa
Ni vizuri kusikia hivyo. Kwakua maendeleo hayaletwi na usingizi. Matajiri na nchi tajiri hufanya mainchi yao yanaendelea
Safi sana nimependa Kazi saa 24 hakuna sikukuu wala kupoteza mda hayo ndio maendeleo ya nchi yetu…
Tutaona kama kaz zita endelea kweli
Waongo tu ao
Mmeona wanna tkkokodish
Ss kwa nini mnaiuza kwa waarabu?
Eti Ee ! Kwa nini wanakodisha? Kwa mini wasifanye wenyewe tukafaidi sisi kiliko kugawana na wawekezaji
2:46 2:54 2:55 2:56
Congratulations TPA for the job well done! Keep on working hard and efficiently to maximize the operational profitability of the ports.
Mmefanya yote haya baada ya Mange kuamsha dude😂
Sawa fanyeni kazi wakati mnalipwa 😊kazi nzuri tupambane ili kujenga nchi yetu
Sasa mlivotaka muwekezaji iliiweje
Kazi inapogwa duniani kote cha msingi ni mipango mizuri na hii nafasi muitumie mwaka huu ni waneema mtavunja recodi na iaweka sifa kubwa ya nchi wekeni wafanyakazi wa kutosha
Kula hizo sifa basi!!
Hivi Bandari ya Tanga Kwa nini uwa haitumiki ?
Haitumiki labda hauna taarifa zake mjomba
WALA Sina talifa Hawa watalamu wetu wanatakiwa kuwafunga hawasaidii taifa kabisa.