Bless up Ahsante doctor Malongo # humo kwa interview nimekurusha baba ,,, 😂😂😂 🙌🙌🙌 wewe ni mmoja wapo ya watu walichangia kukua kwa Jina la nyumbu mjanja
Kwanza hongera afande, binafsi nimekoshwa sana na flowing yake , ni rapa mzuri na ni vyema angeendeleza kipaji hiki, lakini kwa upande wa pili naliangalia jeshi letu la polisi baada ya miaka kumi ijayo litakua na watu waelevu zaidi na wenye kuielewa jamii na wao wenyewe pia kujielewa. Ndani ya miaka hiyo kumi hiki kizazi cha polisi virungu, polisi pingu, polisi kukwidana suruali kwa nyuma, polisi kumpiga mtu kibao bila sababu, polisi kumsingizia mtu kesi , polisi kuondoa uhai wa mtu kabla ya muda wake choote kitatokelea mbali na kutupatia jeshi jema lisilo na lawama na lenye kupendwa na kupata msaada mkubwa kwa jamii, ninaamini ndani ya miaka hiyo kumi jeshi la polisi litakua limesheheni wasomi weeengi na kuleta heshima ya jeshi . Kwa sasa tunashuhudia mapinduzi makubwa jeshi la polisi na yatadhihirika baada ya miaka hiyo kumi. Mungu ibariki Tanzania.
big up bro,nilikua siipendi kaz ya uaskari ila km unanitia dimu vile nimegundua kumbe askari wote hawajielewi maana hawajui hata misingi ya kaz zao yani wanatumia nguvu akili ziro,unakuta wanaenda kumkamata mtumiwa hawajui km kweli kafanya ualifu wao ni kipigotu,hawajui ata km mahakama ndo itakaebaini ukweli zidi ya mtuhumiwa km kwel au sio, ila ww umetumia sana yako kuelimisha bila kutumia nguvu nataman askar wote wangekua km ww haki ingepatikana kuanzia chini,nimekuelewa sana bro kaz nzur
mtateseka sana na siasa, mwezio anatumia kipaji chake na kazi yake kufika ujumbe katika jamii we unakalia siasa ameimbea kura ccm mpaka ule mambo ya siasa, ubinasi na chuki ndo unaosumbua jambo jema kwenu ni baya tu mbwa kabisa😂😂
hujui kitu ww panya, mwenzio anatoa ujumbe kwa madereva kupitia kipaji mugu alichompa unatokea mweu moja unapinga ilo ndo jina la kipaji chake haiusian na uasikari wake,chuki tu utakufa ivyo ivyo na machuki yako.
All the Best Nyumbu Wa Kitaa Unaiwakilisha Vyema Shytown pia Unaelimisha Jamii ndani na Nje ya Kitengo ulichonacho cha POLISI Jamii
Bless up Ahsante doctor Malongo # humo kwa interview nimekurusha baba ,,, 😂😂😂 🙌🙌🙌 wewe ni mmoja wapo ya watu walichangia kukua kwa Jina la nyumbu mjanja
Ngoma kali sana afandeeeee Nyumbu
HII FLOW YAKE NI KAMA RAPPER BORA ROHO SABA
Hongera sana afande nimependa sana ujumbe kwa jamii karibu tunduma by Hamu
Asante sana nitakuja Siku ndugu
Kwanza hongera afande, binafsi nimekoshwa sana na flowing yake , ni rapa mzuri na ni vyema angeendeleza kipaji hiki, lakini kwa upande wa pili naliangalia jeshi letu la polisi baada ya miaka kumi ijayo litakua na watu waelevu zaidi na wenye kuielewa jamii na wao wenyewe pia kujielewa. Ndani ya miaka hiyo kumi hiki kizazi cha polisi virungu, polisi pingu, polisi kukwidana suruali kwa nyuma, polisi kumpiga mtu kibao bila sababu, polisi kumsingizia mtu kesi , polisi kuondoa uhai wa mtu kabla ya muda wake choote kitatokelea mbali na kutupatia jeshi jema lisilo na lawama na lenye kupendwa na kupata msaada mkubwa kwa jamii, ninaamini ndani ya miaka hiyo kumi jeshi la polisi litakua limesheheni wasomi weeengi na kuleta heshima ya jeshi . Kwa sasa tunashuhudia mapinduzi makubwa jeshi la polisi na yatadhihirika baada ya miaka hiyo kumi. Mungu ibariki Tanzania.
ua-cam.com/video/vDx5AndlFyg/v-deo.htmlfeature=shared
ASAnte sn ua-cam.com/video/jTDVVXp4OKM/v-deo.htmlsi=wZugN23kLOb6lPQS
Asante sana
Safi sana dogo wataelewa tuu awiiii.
big up bro,nilikua siipendi kaz ya uaskari ila km unanitia dimu vile nimegundua kumbe askari wote hawajielewi maana hawajui hata misingi ya kaz zao yani wanatumia nguvu akili ziro,unakuta wanaenda kumkamata mtumiwa hawajui km kweli kafanya ualifu wao ni kipigotu,hawajui ata km mahakama ndo itakaebaini ukweli zidi ya mtuhumiwa km kwel au sio, ila ww umetumia sana yako kuelimisha bila kutumia nguvu nataman askar wote wangekua km ww haki ingepatikana kuanzia chini,nimekuelewa sana bro kaz nzur
Aiseeeeh umetema madini mengi sana Afande aka Nyumbu Mjanja🎉🎉🎉🎉
Dahhhh mwamba yuko vizuli kwa kucana 👌 nimependa anavyo toa elimu kwa jamii, from Belgium 🇧🇪
Safi sana Mungu akufikishe mbali
Uko vizuri sana afade
Nyumbu wew bhana😂😂😂😂😂😂😂
Daaa ! Mzee gab a.k.a nyumbu nakukubali sana mzee endelea kutuelimisha usichoke !
Umejitahidi sana kiukweli unahitaji pongez kwakutumia ulichonacho kwakuelimisha jamii
Huyu yupo kazini
Hii r chugga DNA yake imeharibu Askari......
Huraaaa hip hop huraaa hip hop
Kazi Nzuri
Safi sana nyumbu mjanja...
Safi sana tumejifunza sana kupitia wewe
Aseiy hongera brother
❤mapigo na mwendo
Amshirikishe Roma na Chid bila kumsahau Mwaisa Nay
Hata Katiba ingekuwa kwenye mfumo wa sanaa watu wengi wangeijua
Kila hatua dua
Jamaa kajibu kisomii😂😂
❤uko saw broo
nyumbuuuuuu on millard ayo
Safi sana.
Kwamfano ikitokea kazi ya u mc hii unafanya?
Nafanya mkuu
Brother its good 4 everyone good job
Na kweli unajenga na kuijengea jamii itaipenda police tunaomba trh 24.1.24 uingie ktk maandamano ili jamii iandamane vyema na ifike slm iendako
Kipaji hicho
Big up
❤
Afande Saf kwa kuchana 🙏🙏
Asante sana wajina the same naitwa Gabriel
Waooooh my home
ua-cam.com/video/SSnUxziv5kU/v-deo.htmlsi=9kt-MOo0DU4Pj-dk
Kweli 🎉🎉
ua-cam.com/video/SSnUxziv5kU/v-deo.htmlsi=9kt-MOo0DU4Pj-dk
Amina🙏🏾🤔
Naona sasa polisi wanaelekea kuanzisha band ya bongo fleva kingilio bure 😂😂😂
IPO band ya muziki wa dansi
Pengine wataelewa kwa rap.. wanakimbiza magari ovyo sana
ua-cam.com/video/SSnUxziv5kU/v-deo.htmlsi=9kt-MOo0DU4Pj-dk
Tumezoea miziki ya NGONO tu
PATA Muzik WA Ujumbe huo
ua-cam.com/video/SSnUxziv5kU/v-deo.htmlsi=9kt-MOo0DU4Pj-dk
🔥🔥🔥🔥
mradikooooo
❤❤❤❤
ua-cam.com/video/SSnUxziv5kU/v-deo.htmlsi=9kt-MOo0DU4Pj-dk
💯
Nyumba mjanjanja
So askari wa mchongo uyo
👍✌️👊。
ua-cam.com/video/SSnUxziv5kU/v-deo.htmlsi=9kt-MOo0DU4Pj-dk
Kweli nyumbu mnatumika Sana hovyo na CCM.
mtateseka sana na siasa, mwezio anatumia kipaji chake na kazi yake kufika ujumbe katika jamii we unakalia siasa ameimbea kura ccm mpaka ule mambo ya siasa, ubinasi na chuki ndo unaosumbua jambo jema kwenu ni baya tu mbwa kabisa😂😂
ua-cam.com/video/vDx5AndlFyg/v-deo.htmlfeature=shared
Na aoni haya kujiita nyumbu Bora afukuswe uwasikari unawasalikisha wengine
Askari yupo sahihi acha chuki
Jifunze kuandika kwanza then uje na comment yako.
hujui kitu ww panya, mwenzio anatoa ujumbe kwa madereva kupitia kipaji mugu alichompa unatokea mweu moja unapinga ilo ndo jina la kipaji chake haiusian na uasikari wake,chuki tu utakufa ivyo ivyo na machuki yako.
Wewe huna akili😅
hana akili kwanza uuyo😅
Uko.poa.