Kwa nini mdanganye mseme maoni ya Samia wakati wote tunafahamu JPM alianzisha ujenzi wote huo>1 treni la Kwanza la MGR liliingiza mzigo wa kwanza JPM akiwa bado yupo madarakani, tena kabla ya muhula wake wa pili!!! Aibu sana mnapojaribu kumdiscredit JPM
Hongera mama yetu kipenzi
Hope kwala haiyeyukii Dubai. Kishindo cha JPM
Kwa nini mdanganye mseme maoni ya Samia wakati wote tunafahamu JPM alianzisha ujenzi wote huo>1 treni la Kwanza la MGR liliingiza mzigo wa kwanza JPM akiwa bado yupo madarakani, tena kabla ya muhula wake wa pili!!! Aibu sana mnapojaribu kumdiscredit JPM