HOFU YATANDA , VIONGOZI WA CHADEMA TEMEKE HAWAJULIKANI WALIPO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 46

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 2 місяці тому +3

    Uchaguzi huenda ukawa mbaya kuliko wakati wa kupitishwa bila kupingwa....kumeanza kuchangamka mmm! Ugali mbaya sana

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 2 місяці тому +4

    poleni sana makamanda

  • @acariusamos6228
    @acariusamos6228 2 місяці тому +2

    Pole sana makamanda people's

  • @duniakidogo8516
    @duniakidogo8516 2 місяці тому +3

    Wapo wale wa CCM waliosema kama wapo watu 6:29 wanaomkosoa mama watapotezwa. Ànzeni nao hao

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul 2 місяці тому +3

    Kwn polisi wako mitaani nyongeni na familia zao

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 2 місяці тому +2

    POLENI SANA MAKAMANDA, TUPAZE KELELE

  • @jescageorge-fv8yt
    @jescageorge-fv8yt 2 місяці тому

    Polen sana mkamanda

  • @AlfredMatemu
    @AlfredMatemu 2 місяці тому +2

    Wanaosema maigizo siku wakitekwa watayaona hayo maaigizo

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 2 місяці тому +1

    Poleni sana makamanda wetu

  • @Uhuru1234
    @Uhuru1234 2 місяці тому +3

    Polisi wanashida gani nchi hii jamani?

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 2 місяці тому +1

    CCM WANESHA SEMA JESHI LA POLISI WASIWAINGILIE WAKIANZA KUWAKAMATA NA KUWAPOTEZA,

  • @jumakisailo8496
    @jumakisailo8496 2 місяці тому

    Jamani serikali ya ccm hivi kwanini Kila ikifika uchaguzi Hali inakuwa hivi tatizo ni nini..!!? Tuseme ni uwoga wa kupoteza madaraka au kuna nini hasa..? Jamani sisi wananchi tumechoka na haya matukio yanayoibuka Kila uchaguzi unapofika. Hofu inatanda kwa sisi wananchi na kibaya zaidi serikali ya ccm na jeshi letu la polisi wanakuwa kimya hawasemi chochote . Binafsi nakerwa sana na haya matukio ila sina jinsi kwa vile mimi ni mnyonge. Ewe mwenyeeZimungu sikia kilio chetu sisi wanyonge na ufanye kitu kwa hawa wanaofanya matukio wananchi tuwe na Amani.

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 2 місяці тому

    Serikali hii Haina tofaut na Ile nyingine

  • @raymondnlelwa427
    @raymondnlelwa427 2 місяці тому

    Hivi polisi wameishiwa mbinu kabisa kupambana na uhalifu hadi wanateka watu na kuwapoteza. Warudisheni hao watu mliowateka vinginevyo Mungu anakwenda kuwaharibu muda mfupi ujao. Nawatahadharisha kwamba mnaenda kuharibiwa kwa aibu na mtakiri kwa ulimi wenu kuwa ninyi ndo wapotezaji wakubwa wa watu nchi hii. Ninyi mtakuwa kama mashetani sasa!!!

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 2 місяці тому +1

    Kaka hizo no mbina za kutisha Wana chama semi na Wananchi Kwa ujumla Ili waogope nawashindwe kupitia kura. Lakini nose me tu, serekali ya Samia inatisja kilo última na ubiko

  • @JekobuNgwara
    @JekobuNgwara 2 місяці тому

    Jamani tuwatafute izilaeli

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 2 місяці тому +1

    Nini kifanyike kama wanaotekwa ni wapinzani tu kwanini ccm hawatekwi

  • @JacksonMartin-pb2vq
    @JacksonMartin-pb2vq 2 місяці тому

    Sasa brother mbona ujasema kama mlienda polisi kuuliza wewe unakimbilia kutoa taarifa sasa wametekwa wakati unajua walipo

  • @estachengula3902
    @estachengula3902 2 місяці тому

    Raisi tusaidie tunaishi kwa hofu sana wewe mkuu wetu Samia tunakuomba haya yasitoke

    • @maryamabdullah9169
      @maryamabdullah9169 2 місяці тому

      Mama hana msaada maana keshawaambia Majeshi wajipange na Uchaguzi wa Mwakani kwa hio wamekusudia vibaya

  • @ThomasAlute
    @ThomasAlute 2 місяці тому

    Mkuu wa polisi wa Tanzania ni shida yaani hafanyi kazi yake kwa weledi

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 2 місяці тому

    Nyie mnaosema ni maigizo nawaona ni machiz kwenye ziara ya makonda hamjaona mamia ya watu watu wametekwa subirn yawakute hv yule jamaa wacc aliyesema wakiwapotza wasiwatafute mbona haulizwi??

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 2 місяці тому

    Nyie jiteken tu hakuna shida

  • @maryhando227
    @maryhando227 2 місяці тому

    Nyie mtaogea mpaka lini chukueni hatua.

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 2 місяці тому

    Acheni drama za kitoto hizo

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 2 місяці тому

    Watz tubadrike tuache uoga nchihii niyetusote hakunamwenyehatimiliki, mapolisi watz nimakada waccm wanakula sahanimoja namafisadi wanchihii

    • @EzekiaMtwale
      @EzekiaMtwale 2 місяці тому

      Alafu wapo wasiojitambua wanasema eti wanajiteka?! iv mtu anaweza jiteka na kujipiga Risasi?! mtu kama hujatekewa huwez jua uzito wake!

  • @yonassngonye3759
    @yonassngonye3759 2 місяці тому

    Unondolism wa Chadema unaendelea

  • @HASSANWAZIRIGAO
    @HASSANWAZIRIGAO 2 місяці тому

    Kwanza Temeke Hakuna Ngome ya Chadema Kule Nguvu ni Cuf ndio Mpinzani Mkuu wa Ccm hata Mkutano hamjai Acheni Uongo

    • @abbyadams8691
      @abbyadams8691 2 місяці тому

      Acha ujinga wewe watu yupo serious we unaendekeza uchawa na njaa yako. Hovyo kabsa

    • @zuchuNosha
      @zuchuNosha 2 місяці тому +1

      We mbwa mwitu Marajó ya Bibi yako why unaongea upuuzi kwani kutweka watu Kila siku we huvisikiii? Acha ujinga wako hii watu wanatekwa tekwa ovyo ovyo tu.au ingekutachi pindi babá yako ema mama nahisi ungeamini kwamba hivi tendo vipo

    • @MawazoKitumbo
      @MawazoKitumbo 2 місяці тому +1

      Mbwa wewe ndoo mnahalibu nch

  • @JeradiMaulidi
    @JeradiMaulidi 2 місяці тому

    Nyiechadima tumechoka nacelles kelelembakalini

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 2 місяці тому

      Wewe Mhehe kama angelikuwa ndugu yako au mwanachama wenu mbona nchi haikaliki jamani muwe na hofu ya Mungu kwa nini lakini hamjiamini shida uroho wa madaraka mmeshajua kutupiga sasa mnafikiri wakipata nafasi za uongozi watalipiza visasi na kufilisiwa huu ni ubinafsi kwelikweli

    • @zuchuNosha
      @zuchuNosha 2 місяці тому

      We mbwa mwitu IPO siku atatekwa babá yako au mama yako we Kila siku watu wanatekwa tekwa ovyo ovyo tu afu wewe, unaongea upuuzi kama huna chá kukoment kaa kimyaa chizi wewe

  • @maryhando227
    @maryhando227 2 місяці тому

    Nyie itisheni maandamano nyie mtatekwa yote.

  • @JeradiMaulidi
    @JeradiMaulidi 2 місяці тому +1

    Hivihinitazania au

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si 2 місяці тому

    Mjue kuna shida chadema,mjitafakari IMA mnauhalifu na mnajificha kwenye chama,

  • @malikidaudi2517
    @malikidaudi2517 2 місяці тому

    KAMA NI MHALIFU KWA NINI ASIKAMATWE ETI NI KIONGOZI WA CHADEMA ASIKAMATWE HATA KAMA NI MHALIFU NYIE MNATAKA KICK TUUU KWA WANANCHI ILI MHURUMIWE MPEWE KURA

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 2 місяці тому

    CHADEMA TENA WAKO KWENYE MAIGIZO FILAMU INAENDELEA MPAKA 2030😢😢😢😢😢