Sikiliza hapo una katiba kwa nn ? Tunaongozwa na kanuni sindio sasa kwa nn usijibu maswali uliyo ulizwa badala yake unasema wewe mwafrika kwani umeulizwa hillo swali kama ali tumwa na buge hilo ende urusi kwa nn ashushe waafrika tuokane zaifu mzee ajibu hoja utaeleweka
Swala la kumuua hawawezi Kwa sababau yupo makini ndo maana wakati amemaliza tu kuongea Kuna mtu alimpa maji na glasi akapokea akaweka pembeni so tulia yupo makini sana
Waheshimiwa waandishi watanzania wote sisi tuliokuwa wafanyakazi wa iliyokuwa hotel 77 ya Arusha madai yetu hatujalipwa kutoka mwaka 2000 mpaka Leo mwaka 2024 tunaomba watanzania mtuombee serikali ikubali kutulipa madai yetu
Tusiwe wepesi wakupongeza kilakitu vingine tuvipinge vipi vingi sana hapa Tanzania vinawakandamiza watanzania wa. Hali ya chini kama madai ya waliokuwa wafanyakazi hotel 77 ya Arusha madai hawajalipwa miaka 24 imepita
Huyu jamaa mpumbavu na anajiita mzalendo ni mnafiki. Kenya inakuja vipi kwenye suala aliloulizwa? Kenya ni taifa lililofeli kisiasa. Kabla ya wauliza maswali yale kwa Tulia kulikuwa na maneno kadhaa ya kejeli na dharau ndani yake. Sasa kumsikia mtanzania wa kweli akimkejeli Tulia kwenye majibu yake kwa wabaguzi wale unakaa unashangaa jinsi watanzania tulivo wasaliti wenyewe kwa wenyewe.
Huyo jamaa anayaona mambo haya kwa akili. Tulia alisimama na kutoa majibu safi kabisa. Wazungu wana kiburi na unafiki sana. Itawachukuwa waafrica miaka mingi sana kuja kuwaelewa hawa mazeruzeru(wazungu).
Tulia ni wa hovyo mno.Sema watanzania uwezo wetu wa kufikiri ni mdogo mno kila kitu ni kusifu.Spika ni mzururaji tu,kutwa yanatafuta posho.Ukaombe uspika Ipu wakati bunge lako la msingi linadorora,halina meno.amelidhoofisha na kulifanya bunge la serikali.
Wabongo toka lini wakawa na akili waone leo heti wanajifanya kumsifia Tulia ilihali kutwa walikuwa namtukana kwa kulifanya bunge la nchi kuwa la vilaza na machawa wa kusifia kila kitu badala ya kuisimamia serikali si upumbavu huo.
Alifanya makosa alitakiwa kurudi kwenye Bunge na kusema hawezi kwenda UKRAINE kwa sababu moja mbili tatu then wangemruhusu kuanzia Russia hakufanya hivyo
@@ZakariaYahya-c3n nadhan hujanielewa nakwambia ww urusi kavaamia ukreni anasababu zake wamemchokoza kwaiyo lazma wapgwe Na NATO pia natamani awapge nyuklia vta iishe Na ushoga uishe.
Acha kumfundisha spika wetu, ungekuwa wewe kwani swali lile lilikuwa na busara, hv yule mbunge hajui taratibu? Ya mpina ajitetee wapi? Alisikilizwa akaagizwa alete evidence badala ya kupeleka ofisu ya bunge aliita waandishi wa habari. Sasa ajitetee kuwa hakuwa na waandishi? Wajifunze protocol wabunge.
Kwa Usemaji Wa Uyu Asidanganye Angekua Yeye Uyu Asingesema Kitu Zaidi Ya Kutetema Anapiga Domo Lakini Kwenye Ukweli Akuna Kitu Cha Kufanya Supka Anajua Anachofanya Wewe Auna Uzarendo Wowote Unapga Kelele2 Bola Amefoka Mana Wameuliza Kitu Ambacho Wao Wanajua Lakini Kwakua Rangi Alionayo Black Wameuliza Ujinga Sasa Ulitaka Ajibu2 Eti Katumwa Na Umoja Fulani Nibola Amewapa Makavu
Huyu ni mmoja ya washangiliaji tu. Akipewa nafasi aliyonayo Tulia kilugha kingeongeleka vizuri😂😂😂. Ujasiri anao kwa sababu yupo na anaemhoji tu. Sio mbele ya bunge kama Tulia aksoni alivyojibu kiufasaha.
Wabongo nyie kweli ni mavi kunuka sasa Tulia kuwajibu vile imekubadilishia nn kwenye maisha yko ? Yaani Spika wenu ashindwe kuwatetea wananchi kwenye nchi yenu heti anafokea wazungu mnasifia, kwa lipi hasa kimebadilika kwenu ujinga
Wewe Unapga Domo Ujui Kitu Tulia Kajibu Kwa Ulefu Kwa Umakini Kwakua Swali Walijua Wazi Tulia Yuko Sawa Lakini Waliuliza Kupma Hof Ya Supka Cha Ajabu Walikuta Chuma
😢bTulia Akson Big up !wazungu wajue kuwa hata Watanzania tumesoma na tunazijua taratibu zote Hongera Sana binti !!
Tuna bahati mbaya sana wakati huu kuwa incapables ndio wanapewa nafasi za uongozi. Shame to the entire nation.
Kwa kweli kijana mzalendo unatutengeneza vijana wazalendo tujao na tunakuahidi tutapita kwenye misingi yako
Mgogoro wa inchi na inchi ni tofauti na mgogoro wa ndani Kwa ndani.
🤣🤣🤣🤣nawe
Sikiliza hapo una katiba kwa nn ? Tunaongozwa na kanuni sindio sasa kwa nn usijibu maswali uliyo ulizwa badala yake unasema wewe mwafrika kwani umeulizwa hillo swali kama ali tumwa na buge hilo ende urusi kwa nn ashushe waafrika tuokane zaifu mzee ajibu hoja utaeleweka
Huyu nae hajielewi
Tulia ame tuheshimisha Africa hongera mama ❤🎉❤🎉
Ameheshimisha nini wakati alishinda Kwa kura za mbeleko
Purtin alikuwa akiwafunza wanajeshi wa south Africa kipindi cha ukombozi nchi za south Africa zote alikaa miaka tisa
Swala la kumuua hawawezi Kwa sababau yupo makini ndo maana wakati amemaliza tu kuongea Kuna mtu alimpa maji na glasi akapokea akaweka pembeni so tulia yupo makini sana
😂😂😂na mm nimeona hiyo
Ww hujaelewa yale masuali yalikuwa mengi hata mwenyekiti wa bunge alieleza lakini bado masuala yalikuwa yanajirudia alikuwa sawa
Madamu kafanya jambo bora ile misimamo ya kiume japo wapo wanaume wasingeweza kama alivyofanya madam
Tulia juuu
Bwege uyu...na suti yke ya kuazima nenda ukooo😅😅😅😅😅
Acha mambo mengi, hilo swali halikuwa no. 1
Sasa huyu ameeleza Nini amemuunga mkono au amemlaumu Tulia
Mwanzo kaanza kumlaum, kufika katikayi ya MAONGEZI kabadil GIA angan,,duh
Huyu jamaa haeleweki. Ameanza kutaka kumkosoa kakosa cha kuongea kaingia kwenye mfereji mwenyewe.
Waheshimiwa waandishi watanzania wote sisi tuliokuwa wafanyakazi wa iliyokuwa hotel 77 ya Arusha madai yetu hatujalipwa kutoka mwaka 2000 mpaka Leo mwaka 2024 tunaomba watanzania mtuombee serikali ikubali kutulipa madai yetu
true
Tusiwe wepesi wakupongeza kilakitu vingine tuvipinge vipi vingi sana hapa Tanzania vinawakandamiza watanzania wa. Hali ya chini kama madai ya waliokuwa wafanyakazi hotel 77 ya Arusha madai hawajalipwa miaka 24 imepita
Huyu jamaa mpumbavu na anajiita mzalendo ni mnafiki. Kenya inakuja vipi kwenye suala aliloulizwa? Kenya ni taifa lililofeli kisiasa. Kabla ya wauliza maswali yale kwa Tulia kulikuwa na maneno kadhaa ya kejeli na dharau ndani yake. Sasa kumsikia mtanzania wa kweli akimkejeli Tulia kwenye majibu yake kwa wabaguzi wale unakaa unashangaa jinsi watanzania tulivo wasaliti wenyewe kwa wenyewe.
Sasa mbona unatuchanganya,Tulia ni moto wa kuotea mbali
Hongela sana Kwa ufafanuzi
Huyo jamaa anayaona mambo haya kwa akili. Tulia alisimama na kutoa majibu safi kabisa. Wazungu wana kiburi na unafiki sana. Itawachukuwa waafrica miaka mingi sana kuja kuwaelewa hawa mazeruzeru(wazungu).
Acha Uwongo Wewe😊😊 Putin ni X KGB, yaani KGB AJE KUJIFUNZA HAPA,,,pimbimaji kweli wewe
Kila kitu na wakati wake
Bora aliwafokea maan wangempanda kichwani😮
MBONA KUWATAJA MAJINA YA HAO VIONGOZI UJUI NA KISWAHILI KINAKUPA TABU WANDISHI HUYU SIO MTU WAKWENDA KUMUOJI MZOBA TU 😂😂😂
Tumpongeze Tulia
Kwa nn asnnge jibu hoja wewe huoni kwamba amekimbilia uzaifu kusema kwasababu yeye ni mwafrika sasa nikuulize kukimbilia kwenye uzaifu unaona nijibu.
Nyuu yoko 😂😂😂😂
Acha ujinga wewe kwani Alisha wauliza kwani nani aleliempa mandet spika aliepita kwenda kiv ukreini,ww nafara tu unalakusema
Tulia ni wa hovyo mno.Sema watanzania uwezo wetu wa kufikiri ni mdogo mno
kila kitu ni kusifu.Spika ni mzururaji tu,kutwa yanatafuta posho.Ukaombe uspika Ipu wakati bunge lako la msingi linadorora,halina meno.amelidhoofisha na kulifanya bunge la serikali.
Wabongo toka lini wakawa na akili waone leo heti wanajifanya kumsifia Tulia ilihali kutwa walikuwa namtukana kwa kulifanya bunge la nchi kuwa la vilaza na machawa wa kusifia kila kitu badala ya kuisimamia serikali si upumbavu huo.
Weye hujielewi yote kasema na kajieleza uzuri Tulia ameeleza uzuri sana na yote hayo kaelezea uzuri
Membe alikuwa sawa
Aliyoyazungumza.spika.wetu.wa.bunge.hakuna.hata.kiongozi..yoyote..hapa.tanzania.mwenye.ujasili.wa.kuyazungumza.maneno.kama.Yale.ukizingatia.viongozi.wa.africa.wote..ni.vibaraka.wa.eropean.dog
Alifanya makosa alitakiwa kurudi kwenye Bunge na kusema hawezi kwenda UKRAINE kwa sababu moja mbili tatu then wangemruhusu kuanzia Russia hakufanya hivyo
Lakini alijieleza kama hakwenda kama yeye personal, alienda na delegate ya IPU, na hao wanaompangia wapi aende na lini
MwanaHalisi mnahoji mtu haeleweki
Msukuma mbona anajichanganya? Kasupport au kacrush sasa??
Ama kweli ukitaka kumuelewa mtu msikilze huyu jamaa kaeleza saaafiii sana huo ndo uzalendo wafute kauli purtin n mwambaaaa!!
Alikulia Tanzania mkoa wa Dodoma wilaya ya kongwa na kipindi hicho alikuwa na cheo luten.
Kumbe huelewi chochote.
Right!!
Hajawafokea walipaswa kujibiwa hivyo kulingana na namna maswali yao yalivyo
Mtaishia kuponda tu huyu jamaa hajamtukana mtu kasifia akatoa na way nyingne ifutwe kauli ya purtin kuwa na damu
Mbunge ukrain alikuwa sawa kwa kuwa putin amevamia nchi yao na ameuwa watu
Amevamia bla Sababu Embu fatilia Kwanza ndy uje kuongea
Ww wasema eti Urusi amevamia ukreni bila sababu bc tushakujua kama na ww uchoga kama wazungu
@@ZakariaYahya-c3n nadhan hujanielewa nakwambia ww urusi kavaamia ukreni anasababu zake wamemchokoza kwaiyo lazma wapgwe Na NATO pia natamani awapge nyuklia vta iishe Na ushoga uishe.
@@HamiduMrisho-ck1ftkwa unavyojidanganya unafikiri Ni Urusi tu ndo ina hizo bomu za nyuklia upumbavu
Mnanialibia MB zangu et Putin kakulia apa Tanzania ngojea ni left kwendaaaaaa😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮....
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyu jamaaa mungu anamunga mukono tulia ila kichwa cha habar ndo shida yaaan mwandishi kazngua
Mwandishi hajielewi
Huyo jamaa hana hoja,uwezo wake ni mdogo sana,haiwezi mkosoa tulia kwa hoja Ile ya IPU,labda anatafuta kiki
Wapinzani hawaishi na wajinga hawaishi sizani kama hata anajua anachokiongea hawa ndio wanaojiona kwamba niwalimu
Wewe usijipendekeze tena wewe sio mzalendo
Comedian
Acha kumfundisha spika wetu, ungekuwa wewe kwani swali lile lilikuwa na busara, hv yule mbunge hajui taratibu? Ya mpina ajitetee wapi? Alisikilizwa akaagizwa alete evidence badala ya kupeleka ofisu ya bunge aliita waandishi wa habari. Sasa ajitetee kuwa hakuwa na waandishi? Wajifunze protocol wabunge.
Kwa Usemaji Wa Uyu Asidanganye Angekua Yeye Uyu Asingesema Kitu Zaidi Ya Kutetema Anapiga Domo Lakini Kwenye Ukweli Akuna Kitu Cha Kufanya Supka Anajua Anachofanya Wewe Auna Uzarendo Wowote Unapga Kelele2 Bola Amefoka Mana Wameuliza Kitu Ambacho Wao Wanajua Lakini Kwakua Rangi Alionayo Black Wameuliza Ujinga Sasa Ulitaka Ajibu2 Eti Katumwa Na Umoja Fulani Nibola Amewapa Makavu
Hii mpya
😂😂
Puntin nikama yesu
Mmmh how?
Huyu naye hajielewi na hujui kabisa unaloliongea. Na wivu utakuua
Zaleski akuwepo....😢
wewe nenda kengee we huna cho kuzungumza pumbavuu
Acha kuchanganya mambo wee mwoga "totologie"unakokota muda wabure tulia hajakosea
Kaka makini uyu
Ukrane ni mateka wa marekani bila kujitambua lazma putin awashughulikie,
Duu!!! Sikuelewi.
Naona unajikanyaga tu
Halafu ukimsikiliza huyu jamaa, kama anakosoa na kusapot. Anajichanganya tu
Kumuelewa mpaka uangalie na kusikiliza vzr yy hampingi tulia ila kauli ya mzungu kwamba purtin ananuka damu ifutwe
Akili ya kuteka na kuua
Uyo hawezi akasema muoga kaongeya akitetemeka
Tulia Ni mwanasheria amesomea Sheria. Tulia anajitambua. Na ametokea kwenye bunge Bora katika afrika
Acha kuabudu wazungu wewe wasifokewe wao Kama nani
Nyooooo
Weni mjinga tu putin ni dictetor wa kijinga
Huyu ni mmoja ya washangiliaji tu. Akipewa nafasi aliyonayo Tulia kilugha kingeongeleka vizuri😂😂😂. Ujasiri anao kwa sababu yupo na anaemhoji tu. Sio mbele ya bunge kama Tulia aksoni alivyojibu kiufasaha.
Wabongo nyie kweli ni mavi kunuka sasa Tulia kuwajibu vile imekubadilishia nn kwenye maisha yko ? Yaani Spika wenu ashindwe kuwatetea wananchi kwenye nchi yenu heti anafokea wazungu mnasifia, kwa lipi hasa kimebadilika kwenu ujinga
Huna cha uzalendo
Huyu hajielewi
Yaani wewe
wewe ufai kabisaunauzalendo
Ww Siyo mzalendo
Ww huna cha maana cha kuongea
Ww nae unapayuka sana
Mbona unatoka nje ya mada mjinga wewe
Acha kujichanganya.Tulia anawafahamu hao watu.Ameishi nao wana dharau.
Msukuma msukuma tyu
Kwamba
@sebastian futa comment yako kabla watu hawajasibitisha hauna Akili
@@officialkishomonster3831 hahahahahaha mm mwenyewe msukuma namaanisha rafuzi zetu hazijiviki pole kama utakua umenielewa tofauti
Kwa kwel😂😂😂
Uelewa ni kitu kigumu sana hujaelewa
Wewe Unapga Domo Ujui Kitu Tulia Kajibu Kwa Ulefu Kwa Umakini Kwakua Swali Walijua Wazi Tulia Yuko Sawa Lakini Waliuliza Kupma Hof Ya Supka Cha Ajabu Walikuta Chuma
Hahaha! Haya bwana uelewa n kitu kigumu sana