KWAYA YA UMOJA - NINATAKA KUINGIA [TUMWABUDU MUNGU WETU (154)] (KKKT WAZO HILL)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • KKKT - DMP WAZO HILL
    KWAYA YA UMOJA - NINATAKA KUINGIA [TUMWABUDU MUNGU WETU (154)]
    TUFUATILIE KUPITIA MITANDAO YETU:
    INSTAGRAM - / kkkt_wazo_hill
    FACEBOOK ACCOUNT - / 100069093037456
    FACEBOOK PAGE - / kkkt-wazo-hill-dmp-103...
    UA-cam - / @kkktwazohill
    WEBSITE : www.wazohillpa...
    KWA MAONI NA USHAURI:
    Simu : +255 653 659 110
    Barua Pepe : wazohillchurch21@gmail.com
    #kkkt #dmp #kkktwazohill #kkktkijitonyama #kkktmbezibeach #kkktkimara #azaniafrontlutheranchurch #upendomedia #upendotv #love #mungu #god #yesu #jesus #religion #spiritual #faith #dayosisi #dayosisiyamashirikipwani #ibada #pasaka #live #mubashara #wazo #wazohill #kinondoni #tanzania #eastafrica #africa

КОМЕНТАРІ • 181

  • @RehemaTogwa
    @RehemaTogwa 21 годину тому

    Wimbo unanikumbusha mazishi ya Bibi yangu aliuimba kabla yakukata roho

  • @brysonjohnlukumay
    @brysonjohnlukumay 7 місяців тому +5

    Namkumbuka Mama yangu alitangulia kwa Mungu,huu wimbo aliupenda sana,Mungu endelea kumhifadhi Mama Yangu mahali pazuri hadi siku nitakayomuona tena,AMEN

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA 6 місяців тому +6

    Aisee huu wimbo mimi kama mKKKT naupenda sana kwakweli,aisee aliyeleta huu wimbo na hii notem MUNGU AMBARIKI SANA 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @peaceakyoo7618
    @peaceakyoo7618 2 місяці тому +4

    Mmeimba vizuri mnoo,bass voice ur Amazing❤❤❤

  • @brantywilson1347
    @brantywilson1347 9 місяців тому +6

    Bila hiyo sauti ya 4 wimbo usingenoga....you made my day! Waao!

  • @JordanBegumisa
    @JordanBegumisa 8 місяців тому +4

    Mungu wangu wambinguni awatunze hakika Wimbo umenifanya nabubujikwa namachonzi umenikumbusha mbali sana Mungu awatunze.

  • @TinnahJatros
    @TinnahJatros 8 місяців тому +4

    Neno lako ee yesu linanipa uzima nikifika nitaimba umeniponya🙏😭

  • @FarajaGodson
    @FarajaGodson 3 місяці тому +4

    ❤❤wimboo wangu pendwaaa

  • @leonardkiyabo139
    @leonardkiyabo139 5 місяців тому +3

    Mungu awabariki sana ,mnatisha kwelikwel

  • @merceulomi4003
    @merceulomi4003 Рік тому +4

    Mungu wangu najisifia mno kuwa mluteri jamani nyimbo zetu ni za Utukufu na injili tuuu oh hleluia Bwana

  • @francescammari5337
    @francescammari5337 8 місяців тому +3

    Kila nikiliza wimbo huu napata aman na roho mtskatifu kuwepo na kutawala
    Hongera saaana baba kwa sauti yako ya 4

  • @shyneafya
    @shyneafya 5 місяців тому +3

    Wimbo umeniliza jaman dah mbarikiwe sana watumishi wa mungu kwa wimbo mzuri yan mmeimba kwa utulivu japokuwa sauti ya nne imezidi kidogo,,, Nimejisikia kama nipo kanisan kwetu SABATO

  • @MichaelMhagama
    @MichaelMhagama 5 місяців тому +4

    BASS ANAMEZA WENZIE

  • @SaraMaphie
    @SaraMaphie 9 місяців тому +2

    Mungu wa mbinguni awabariki kwa wimbo mzuri na sauti nzuri

  • @leslietewe5520
    @leslietewe5520 11 місяців тому +2

    Ukiusikiliza wimbo huu kwa umakini unisikia hisia nzito moyoni!! Kuna wadada wawili wanaimba kwa hisia kali hadi machozi yanatiririka!! Hongera sana kwaya nzima!!

  • @ericsababu8825
    @ericsababu8825 6 місяців тому +4

    All voices are clear amazing.

  • @francescammari5337
    @francescammari5337 8 місяців тому +2

    Mungu akutunze saana baba sauti yako ya 4 ni nzuri mno mno kwa ujumla mnaimba vizuri sana
    Neno lako eeeeh Yesu

  • @MARYNAGUJustin
    @MARYNAGUJustin 7 місяців тому +5

    ❤❤❤❤ I 😢😢😢 huu wimbo nafurahi hd na Lia haswa kipindi hiki nilichompoteza mdogo wangu ghafla wakiwa wanapenda kumzika upareni alafu kwenye ajali akafa peke yake uwiii mungu awa bariki kwakutupa vitu adim

  • @semkito9444
    @semkito9444 5 місяців тому +3

    Huyu bass kafanya vizuri mno. Changamoto ni mchanganya sauti kuziweka sauti sawia!

  • @ruthmoshi2620
    @ruthmoshi2620 5 місяців тому +3

    Nimebarikiwa sana ❤❤

  • @DastanKitojo-bo1cc
    @DastanKitojo-bo1cc 10 місяців тому +2

    Mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri ila besi halikupendeza

  • @latiaelimbise8584
    @latiaelimbise8584 Рік тому +2

    Wimbo huu kiukweli ukiwa nahuzuni faraja inarudi.pia miaka ya 1963 Dunia ilikuwa na Amani kubwa Mno Mbarikiwe sana Wazo Amen

  • @drigolismIT
    @drigolismIT 3 місяці тому +2

    What a Bass...aisee jamaa anajua sana

  • @SelestinaJohn-r5p
    @SelestinaJohn-r5p 4 місяці тому +2

    Ukitaka kuguswa moyo sikiliza wimbo huu,pokea maua yako wewe uliyetunga wimbo huu, hakika Roho mtakatifu alikutumia kwa viwango vya juu sana, nausikiliza siku nzima jamani hauchoshi najiona niko uweponi kabisa 🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @inesmtoi7344
    @inesmtoi7344 Рік тому +21

    Huu wimbo aisee... Ukiuimba kwa kuutafakari lazima utoe machozi, anyways mbarikiwe Sana wazo hill, nawapendaga Sana ila huyo aliyeimba sauti ya nne ameharibu ladha halisi iliyotakiwa kwa Susi wasikilizaji not nyngi haziimbi kwa usahihi na Mic kaiweka karibu Sana imeharibu harmony ya muziki..mwalimu pokea maoni Haya uyafanyie kazi, NAWATAKIA HUDUMA NJEMA

    • @kkktwazohill
      @kkktwazohill  Рік тому +2

      Asante tumepokea mawazo yako mpendwa

    • @sir_ENOCKMACHA
      @sir_ENOCKMACHA 6 місяців тому

      @@kkktwazohill napendekeza uimbwe upya ndio muuapload bila huyo wa base

    • @happycharles3585
      @happycharles3585 Місяць тому

      Balikiweni sana waimbaji wetu wakkt hakika hii niviwango vingine tuawaombea maana uwepo mungu unashula tu lohoni mwangu juu yahiinyombo

  • @arttilioemiliam2419
    @arttilioemiliam2419 Рік тому +3

    This is not just like a song is a powerful prayer. Am not kkkt but I like all team Jesus. Am proud being team Jesus from Catholic

  • @leahdaniel1117
    @leahdaniel1117 Рік тому +2

    Ooooh haleluya hizi ndizo nyimbo zinazompa MUNGU wetu UTUKUFU na uwepo wake unalijaza kanisa

  • @christophermshuza5648
    @christophermshuza5648 5 місяців тому +3

    Yesu unisaidie nisikuache.

  • @PriskasatielSatiel
    @PriskasatielSatiel Рік тому +1

    Huu wimbo unanikumbusha mbali mungu awabalik sana muda wenu sibule mungu ata walipa

  • @emmanuelidafa2974
    @emmanuelidafa2974 Рік тому +4

    Hongera sana Elihudi Emmanuel kwa kazi nzuri mngeuimba tena u control sauti ya 4 kwenye Mike. Zaidi mbarikiwe kwa ubunifu wa Kiwango cha juu cha uimbaji wimbo huu. Sichokagi mana niwimbo wangu wa Kipaimara tuliingia nao na Trapet miaka hiyo. Nakuelewa kwa kazi hizi

  • @MargarethKisse
    @MargarethKisse Рік тому +1

    Nakupenda wimbo huu ninataka kuingia mjini Kwa Mungu

  • @godfreyhiza1075
    @godfreyhiza1075 3 місяці тому +2

    Sauti 1-3 zinatoa ujumbe sauti ya 4 inauhakikishia moyo kuwa maneno haya ni kweli na amini...Kama Mwanzo 41:32, barikiweni sana!

  • @elamungairo4785
    @elamungairo4785 Рік тому +2

    Hiyo ndo KKKT OG. Hadi raha. Hongereni sana

  • @allanngowi9015
    @allanngowi9015 Рік тому +1

    Home sweet home !! Mmenikumbusha nyumbani ❤❤❤

  • @richardkirenga1112
    @richardkirenga1112 Рік тому +5

    Huyo wa sauti ya 4 ndiye aliyenogesha huu wimbo kiasi hiku ,kiongozi naye da yuko vizuri mno mno wimbo wa nguvu sana

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 11 місяців тому +1

      Kabisa mtumishi, Sauti ya 4 nzuri na yakuvutia imenibariki sana.. Mwisho wa siku wote wameniambia vizuri sana.. Katika maisha yangu hapa duniani hii ni kati ya nyimbo zilizonibariki

  • @francescammari5337
    @francescammari5337 7 місяців тому +1

    Hongera sana Baba yangu kwa kumuimbia Mungu na Kwaya nzima

  • @kimanzitunzi4600
    @kimanzitunzi4600 Рік тому +3

    Mwimbaji na Mike ana base Safi lakini ameiweka karibu sana

  • @rhodanangoma7386
    @rhodanangoma7386 Рік тому +3

    Nimebarikiwa sana sana! nimekumbuka nyumbani

  • @ClemenceAweda
    @ClemenceAweda 5 місяців тому +2

    Mungu awabariki wanakwaya hawa

  • @augustinenjengwa7515
    @augustinenjengwa7515 Рік тому +6

    I like the base leading,am blessed

  • @solomonkingu3837
    @solomonkingu3837 Рік тому +1

    Ni wimbo unaonipa faraja kubwa Sana! Mungu awabariki

  • @gracenyanchama9869
    @gracenyanchama9869 Рік тому +1

    Kwaya nzuri na sauti nzuri sana ,hongera sana watumishi wa Mungu ,

  • @christophermshuza5648
    @christophermshuza5648 8 місяців тому +2

    Mimi sitaki kingine ila uzima🙏🏽

  • @MargarethKisse
    @MargarethKisse Рік тому +1

    Naupenda wimbo huu

  • @CharityJoseph-ov5dm
    @CharityJoseph-ov5dm Місяць тому +1

    Mmeimba vizurii mbarikiwe sana 🙏🙏

  • @julietymartin1739
    @julietymartin1739 Рік тому +3

    Huu Mwimbo unanikumbusha Baba yangu alivyokuwa anaimba yaan Tena huyo Baba anayeimba hapo kwa sauti ananipa Faraja ya kwamba Niko na Baba yangu mzazi kabisa Mungu endelea kumpunzisha kwa Amani Mzee Martin ameacha alama nzuri Duniani😢😢
    Mkono wako unishike nisianguke najiona kuwa mnyonge Nuru mwake. ×2
    Neno lako eee Yesu linanipa uzima Nikifika nitaimba umeniponya×2

  • @francescammari5337
    @francescammari5337 5 місяців тому +3

    Very inspirational song

  • @ManaseChiwuyo-z4n
    @ManaseChiwuyo-z4n 3 місяці тому +1

    umenibaliki sana🙏🙏

  • @simonmusyimi2209
    @simonmusyimi2209 11 місяців тому +1

    Hongereni sana..mpiga kinanda kafanya kweli pia

  • @dennisondari94
    @dennisondari94 Рік тому +2

    The bass is so powerful and beautiful. I love the melody

  • @williamnyaga6094
    @williamnyaga6094 Рік тому +1

    Hongereni sana aise satu tamu mno ,, I love it so much 💓🔥🔥🔥💕💕💕

  • @joelrushima6487
    @joelrushima6487 Рік тому +2

    Mungu awabariki kwa wimbo mzuri

  • @annaikungu6429
    @annaikungu6429 Рік тому +2

    😢😢huu wimbo umenikumbusha siku namzika Baba yangu😢😢 pia unanifariji sana

    • @henrymfinanga1558
      @henrymfinanga1558 Місяць тому

      @annaikungu6429 na mimi unanikumbusha tukio la mazishi ya baba yangu mwez wa 6 mwaka 2019

  • @agnesm6570
    @agnesm6570 5 місяців тому +2

    waooooo.........those voices are superb

  • @ceciliakingazi6792
    @ceciliakingazi6792 Рік тому +1

    Yesu ananiambia uningojee😢🙏🙏🙏🙏

  • @MargarethKisse
    @MargarethKisse Рік тому +1

    Baba hongera sana Kwa sauti ya nne

  • @heavenlymusicproduction4360
    @heavenlymusicproduction4360 Рік тому +3

    Mmeimba vizuri sanaa Yani
    Siku nyingine huyo aliyeimba ameshika maiki msimpe tena maiki kaharibu Radha yani

  • @neemamchaki
    @neemamchaki 3 місяці тому +1

    Muongozaji uko vizuri

  • @eliawonylauwo1005
    @eliawonylauwo1005 Рік тому +2

    Well sung song by it when sung in truth and spirit it can open the heaven showers of blessings Steven Lauwo

  • @kipipakipipa5050
    @kipipakipipa5050 Рік тому +1

    Touching song ever. Hongereni sana

  • @ronn3340
    @ronn3340 Рік тому +1

    Angelic voices praising mighty God in heaven. God the son in control of his flock!
    Receive the praises.

  • @mmbandomacky2117
    @mmbandomacky2117 Рік тому +1

    well sing ,good dressing all are smart.....barikiweni sana

  • @SilasMbise-bp4ph
    @SilasMbise-bp4ph Рік тому +1

    Jaman hyo ndo kkkt dah hakika

  • @RichardMwambipile
    @RichardMwambipile 4 місяці тому +2

    Ni kweli ameuharibu Bora asingeimba

  • @roseolotu2352
    @roseolotu2352 3 місяці тому +1

    wimbo huu unaniingia sana akilini unanitoa machozi

  • @godluckmasawe2173
    @godluckmasawe2173 Рік тому +2

    Mwimba bezi umenifuraisha sana mungu awabarik

    • @jimmymassam8657
      @jimmymassam8657 Рік тому

      kuna mahali anahama kuimba sauti ya tatu but very good

  • @evajestcaemmanuel6456
    @evajestcaemmanuel6456 Рік тому +1

    Hongereni sana waimbaji ....

  • @rahelmdoe3460
    @rahelmdoe3460 Рік тому +1

    Hongelen sana mmenikimbusha mbali

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 2 роки тому +4

    ♥️♥️😢♥️👏🇮🇱🇹🇿 Huwa najisikia Raha sana ndani yangu wimbo huu ukipigwa Ibada I.

  • @ceciliampamila2000
    @ceciliampamila2000 9 місяців тому

    Hongera sana Kwaya ya umoja. Sauti yako njema Teacher Erick nimekusoma # Kwaya ya wanawake msasani

  • @lizben1150
    @lizben1150 10 місяців тому +1

    Wimbo mtamu sana.barikiweni sana

  • @francescammari5337
    @francescammari5337 5 місяців тому +2

    Amen Amen

  • @HosianaUrio
    @HosianaUrio 8 місяців тому +2

    Hongeren sanaa

  • @magorimagori9264
    @magorimagori9264 Рік тому +2

    This is my fav song of all

  • @wintyapamawalla2539
    @wintyapamawalla2539 Рік тому +1

    Mungu awabariki sana mmeimba vzuri sanaaa

  • @godfreypeter4630
    @godfreypeter4630 Рік тому

    Hakika wimbo unagusa mioyo ya watu,barikiweni sana!!!!🙌🙌🙌

  • @NdindaKioko-jv5fy
    @NdindaKioko-jv5fy 9 місяців тому

    Hizo ndizo nyimbo tunafaa kuimba barikiweni sana

  • @elibarikmafie7490
    @elibarikmafie7490 Рік тому +1

    Mwenye mic jamn karibu ladha ya wimbo sana ,

  • @MaingiSMutua
    @MaingiSMutua 24 дні тому

    Naupataje huu Wimbo

  • @MartinChedy
    @MartinChedy 7 місяців тому +2

    Sauti ya nne ni haba sana duniani hawa wamebahatasha kuwa na mtu mmoja tu mwenye kipaji ktk sauti hiyo

    • @beatusnsiima8005
      @beatusnsiima8005 6 місяців тому

      Ni tatizo hilo, kundi ni kubwa hakutakiwa kusikika mtu mmoja akiwameza wenzie, amesogelea kinasa sauti peke yake,

    • @comradejonasrwegoshoramwal5727
      @comradejonasrwegoshoramwal5727 4 місяці тому

      @@MartinChedy lakini kazidisha. Sijapenda

  • @monicamwary8240
    @monicamwary8240 Рік тому +1

    Very touching song i like it

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 11 місяців тому +3

    SAUTI YA 4 , SAUTI YA 4 , IMENIBARIKI SANA SANA, WAIMBAJI WOTE PIA WAMEIMBA VIZURI SANA SANA PIA.. HII NI KATI YA NYIMBO ZITAKAZO BAKI KWENYE MOYO WANGU HAPA DUNIANI..

  • @emmanuljonathan
    @emmanuljonathan 7 місяців тому +1

    Hongreen sana

  • @edwardmkaro2021
    @edwardmkaro2021 Рік тому +1

    Hongeren kwa huduma nzuri

  • @vincentgodlisten1434
    @vincentgodlisten1434 Рік тому +2

    aloshika maiki kaharibu wimbo, wengine wote waliimba sawa ila yeye aliimba anachojua yeye

  • @samsonmwakikuti5318
    @samsonmwakikuti5318 Рік тому +1

    Kaharibu sana aliyepo kwenye 🎤

  • @busaraclemence4447
    @busaraclemence4447 Рік тому +1

    mmeuaa sana🤗

  • @upendokiwanga9538
    @upendokiwanga9538 7 місяців тому +1

    Bass safi sana

  • @SeaRockinvestments
    @SeaRockinvestments Рік тому +1

    Barikiweni mno tumebarikiwa sana na wimbo huu.

  • @GodlistenMushi-d3m
    @GodlistenMushi-d3m Рік тому

    Ni wimbo mzuri unipa ujasir

  • @theodorajohn9474
    @theodorajohn9474 Рік тому +1

    Halelujah

  • @HelenaPetro-w9q
    @HelenaPetro-w9q 8 місяців тому

    Hamna kitu hiyo bes ameharibu khaaa

  • @lameckkitiku
    @lameckkitiku 8 місяців тому

    Barikiweni sana mpo vizuri sana

  • @YustaMkemangwa
    @YustaMkemangwa Рік тому +1

    Congratulations 👍👍👍

  • @didanitondi1158
    @didanitondi1158 Рік тому +1

    Mbarikiwe sana

  • @didanitondi1158
    @didanitondi1158 Рік тому

    Mbarikiwee sanaaa ❤❤❤❤❤❤

  • @lucypeter7804
    @lucypeter7804 10 місяців тому +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @lanesmkemwa2718
    @lanesmkemwa2718 Рік тому +1

    Stay blessed Wazo Hill

  • @happyjanuaryfusi1145
    @happyjanuaryfusi1145 Рік тому

    Hongereni waimbaji mmeimba vizuri

  • @kwayamtgregorymkuubariadi-1940

    Hongereni sana kwa kuimba VIZURI