KWAYA YA VIJANA KKKT KEKO - KVK - AMEFANYAJE..? (COVER) (Official Video)
Вставка
- Опубліковано 17 кві 2021
- Sitaki kujua ilikuwaje, Sitaki kujua ilikuw vipi..! ninachojua nilikuwa kipofu sasa naona, nilikuwa kiwete sasa ninatembea......AMEFANYAJE..?
Karibu kubarikiwa na ujumbe huu na Mungu akubariki.
Mmeimba kama SDA kwaya kumbe kkkt jamn mmenibariki sana Mungu atukuzwe
Wachatu ni comment maana wimbo ni mzuri na mmeutendea haki alafu mmependeza sana kama mnaiona comment yangu naomba like zenu
Asante sana!
Nilijua n Sda kwaya..nilipousikia upendo fm..daa kumbe ni vijn wetu kkkt ase mmeimbaa hd milima inaitika.. saut nzrii manen mazuriiii.. utulivu wa ki Mungu kbsa. Utukufu kwa Mungu.
nimebarikiwa sana na kwaya yenu mmehudumu Yombo vitukaaa mbarikiwee mnaimbaaaa upako juu ya upako
Ameen Ameen asante sana, usiache kutuombea.
Am a living testimony of this great song......i was blind in all spheres : financiallyless, jobless, businessless, childrenless, faithless, homeless, carless, farmproduceless, thankfulless...........Belief me ...sijui amefanyaje.....ninalojua sasa ni kwamba.......am full in ALL the above spheres.....Amen!!!
Praise the Lord
Amen and may Almighty God continue lifting higher and highest , Amen🙏🙏
Ni kweli Yesu ni mwema anatenda Makuu hongereni sana kwa wimbo mzuri.
Mnaimba vizuri kama wasabato jamani tena hamchezi ovyo kama wapumbavu yaani mmeutendea haki wimbo mbarikiwe sana kwa ujumbe nzuri
Kucheza sio upumbavu, labda kama una mapepo ndio utaona ni upumbavu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ati kama wapumbavu 😂😂😂 Niokotwe Kenya 🇰🇪
Hii song ni cover meaning si yao ni ya kurasini sda
Upumbavu unaingiaje hapo, daud alicheza mpaka akadondosha nguo je alicheza kwanmna gani inahisi?
Im brought here by McgaraB...much love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Thanks for coming. Be blessed!
Mmeimba vizuri sana, mungu awabariki,kupitia wimbo huu wengi waokolewe wamjue yesu.
Kazi nzuri ya marehemu Samson Kibaso
TUJUANI TULIOKUWA TUNASUBIRI KWA HAMU HUU WIMBO KAZI YENU NI NJEMA MUNGU AWABARIKI SANA💃💃💃💃💃💃💞💞💞
Ameen Ameen ubarikiwe sana!
@@elct-kekolutheranyouthchoi9828 Ameni
Nilikuwa nasubiria huu wimbo finally hongereni Sana Mungu azidi kuwainua
Mungu awabariki sanaaa
Aiseee niliusubiri mnooooo
Ujumbe mzuri sana binafsi mimi napenda sana mziki mmefanya niwe shabiki wenu hongeleni sana
Sichoki kutaza👀 na kusikiliza👂 wimbo unanibariki sana, na Sisi Leo tukimwita Yesu atatutendea, mbarikiwe nyote🙌
Je suis du message du temps de la fin en RDC mais j'apprécie beaucoup ce cantique ILIKUWAJE👍👍👍👍👍
Hongeren sana vijana katka Bwana wetu Yesu krst mm ni muadventist msabato mmeimba vzr sana mungu awabariki huo uimbaji uliotulia ndio unaotakiwa watu wa mungu ndio tunapaswa kumuimbia krst kwa stahili iyo hongeren sana mungu awabark
Ameen Ameen Ubarikiwe sana
Hongeren san mmeimba vizur xan
Hii nyimbo nimeiona tiktok jamaa kapost harusi nafikir mmoja wenu alikua kafunga ndoa . Nimeipenda ghafla kaz nzuri mbarikiwe kwakweli
Ameen! ubarikiwe sana
Mpo vizuri wadogo zangu nawapenda, mnaimba vizuri pacha wa sda kurasini
Hongereni sana vijana, mmeimba vizuri mnooo. Mungu awakumbuke kwa utumishi wenu.
Hongereni Sana Kvk....Nawakubali Sana. Mungu azidi kuwabariki ❤️
Ameen Ameen ubarikiwe sana
Yesu atanitendea na Mimi, Barikiwa sana🙏
ujumbe muhimu sana , mbarikiwe sana Wana keko youth Lutheran 🙏💪
Amefanyaje yesu ametenda kweli. Lutheran church so lovely ladies hair style wow team vikanyage white rubbers
Daaah Mimi nilidhani wasabato et,mmeimba vizuri kwa utulivu mbarikiwe
Amefanyaje, sijui... hongera sana kwa utumishi huu. hakika ni Mungu tu
Yaani kwa MUNGU bwana hakuna baya, kuna wazuri tu, vizuri na mambo mazuri raha tupu.Yesu tutendee watu wako.
Ni kweli kabisa ndugu yangu
From Kenya this is wonderful acha mwenyezi atukuzwe
Hongeren wimbo mzur sn umenibarik saut zmetulia like wasabato
Heko kwenu enyi vijana kwa kazi nzuri katika shamba la Bwana Mungu
Nimependa huu wimbo hongera sana kwenu
Mmeimba. Kwa utulivu kama wasabato.. Hakika. Mwalimu amefanya kazi kubwa saaana ...Mbalikiwe zaidi waimbaji woote na uongozi wa kwaya kwa ujumla
The song is for kurasini sda
@@gospelsongslyrics7113 to
Waoooooo
Hongereni Sana kwakuimba vizur sana
Amaizing fantastic ,,MUNGU azidi kuwainia
Sisi kama SDAs we are happy twin choir we love you guys na tuliletwa huku na Crazy Kenner
Ameen to God be the Glory
Kazi Nzuri usisahau kutambulisha wenye wimbo. *KURASINI SDA CHOIR*
KKKT hao japo copy ya kurasini SDA na mwalimu wao alikua mmoja Marehemu Kibaso
Nami sinilishangaa
BWANA Awazidishie hekima na upole na unyenyekevu zaidi sana mfike mbali hadi mbinguni kwa Neema ya Yesu!! Nawapenda nyiee
Ameen tunapokea kwa unyenyekevu mkubwa!
our congratulations I like it
Naupenda huu wimbo unanibariki sana kila siku nausikiliza zaidi ya mara 5 from UK 🇬🇧
Wow! Ubarikiwe sana mtu wa Mungu na asante kwa support.
🎸🎤🎤🙏🙏🙏
Huu wimbo unanikumbusha kurasini SDA choir na mtunzi mwalimu kibaso😭😭Na mmeimba vzr kweli cover yake
Hawa ndo watunzi kamili wa hii wimbo waliimba mbele ya kurasini ni wewe ndo hauoni muda ya utoaji kati ya hawa na kurasini
Wimbo ulitungwa Na Kibaso Wa Kurasini
@@faithzolar8695hapana hauoni ni cover ya kurasini?? Soma label hapo juu. (cover) meaning kuna original choir imeimba ambayo ni kurasini wenyeji but keko wameimba vizuri sana kuliko WENYE wimbo
@@faithzolar8695WEWE HUONI WAMEANDIKA COVER 😂
WAUUUUUH Mbarikiwe na Bwana YESU Viana had Mshangae.
Barikiweni ninamini akunajabi lilsilo wezekaka kwa mungu
Mungu naomba uendelee kunitumzia muujiza wangu nakataaa magonjwa kwa jina lako
Mimi sio msabato ila napenda sana nyimbo za sabato wamejitahidi sana
Hongereni sana kwa kazi nzuri mno!
Wengi tumebarikiwa sana na wimbo huu, regardless of our denominations.
I like the song so powerful and uplifting indeed
Nilizani wasabato hongera mmeimba vizuri sanaaa
Amen 🙏🙏🙏 sitaki kujua ilikuwaje ninachojua Yesu amtenda ... nawapenda hii kwaya
Ameen shukrani sana!
Hongera sana keko mungu awabariki bado rusha kombora
Ameen! Barikiwa sana! Kombora iko njiani
Wimbo huu ni mzuri sana na mmeuimba kwa hisia. Mungu awabariki sana Vijana wa Keko.
Ameen Ameen ubarikiwe sana!
Amen
Ama kweli mungu ni roho huwa hajifichi mungu awabariki sana.naona kama iko kanisa la wasbato
Woooow my favorite choirs ninawapenda katika Kristo Yesu,mbarikiwe kwakweli,Haya ni mapinduzi makubwa Kweli uimbaji wetu KKKT , Mwalim na wanakwaya wote mbarikiwe mpaka mshangae.......🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Ameen Ameen Utukufu na heshima tunamrudishia Mungu wetu!
Amen
Kazi njema San naikubl kazi yenu . Toka iringa huk
Barikiwa sana
Hapo mwalimu ni msabato pyua kabisa Mungu abubariki kwa kazi zur
Hakika mmeutendea haki wimbo,barikiweni sanaa
Amazing song ,people of God be blessed
Mmeimba vizuri na mmebuni sare nzuri sana
Ameen utukufu kwa Mungu. Asante sana!
Ujumbe mzuri sana kwetu wanadamu
Hongereni sana
Kazi nzur na Mungu awabariki
Jamani mmejua kunibariki sana sana nimependa toka moyo nami ni mwimbaji mwenzenu Niko musoma ila na sali sabatho kiukweli mnaimba Mungu azidi kuwatumia apendavyo
Aminaaa! Ubarikiwe sana
Amina Mungu azidi kuwatumia apendavyo
Wooow!!! Mmenibariki sana kwa wimbo wenu na mko makini kweli,sifa kwa Yesu
Kibaso aliwafundisha kkkt uimbaji wa kisabato
Imagine heaven, all nations, tribe, religion, race singing in God's presence. I want to be there. God help me.
Hakika mmeni bamba kinoma. Barikiweni sana, sana wapendwa.
Mimi sijuiii🤷♂️Asante Yesu🙏🏼🙏🏼🙏🏼
I am a Lutheran and I like the way SDA choirs sing. I love the fact that you focus more on the message and not the dance style and beats. This is kkkt singing like SDA . Good work
Hao ni kkkt
Exactly!!
@@pulikisia7963 f0
Safi Sana mumeimba vizur nimewapenda
Safi sana wanangu nawapenda saaqna kqzi mzuri Mungu awabariki
adventist system is always awesome, being an adventist you welcome your christian brothers from the Martin Luther roots
for surenilisikia huu wimbo first time upendo radio but leo nimeukuta live God bless all KVK
Ameen, ubarikiwe sana!
Mungu azidi kuwainua vipawa vyenu
Mwenyenzi Mungu awazidishie vipaji vya uimbaji maradufu
Very touching song,be blessed to continue glorifying God.
Adventist inspired....Gospel to the world 🙌🙌
Hawa KKKT dear
@@annaleonard3864ila umeimbwa hivi hivi na adventist SDA Kurasini kausikilize ndiyo utamuelewa. Hii ni copy ya original ile.
Waaawuuuu l dont understand the language but l enjoy God bless you sisters and brothers and your are so smart
Melody ya Wasabato 100% Ila yote yote mmemtukuza MUNGU wa Mbinguni,Mbarikiwe Vijana K.K.K.T Mbarikiwe Sana mmeimba vizuri sana
Najikuta tu nauplay Mara tatu tatu huu wimbo,, Leo mbn mpk bundle likwishe,,nyie pipo mnajua mpk baaaaaasiiiiii 🙌🙌🙌
Mungu akubariki sana na kwa sadaka yako hiyo usipungukiwe!
jamni manibarik sana san Mungu awainue kwa viwango vingine
Amen
Am thrilled ,watching you singing this song reminds me of the late Samson kibaso of kurasini ,..kwa kweli injili itambae kwa kila lugha na jamaa ,......
Mungu awabariki, mmeimba vizuri saana kwaya yangu. Mrs. Angetile
Hongereni sana KAZI nzuri sana MUNGU awabariki
Ameen
Hii nyimbo naipenda sana ahsante kwakunikuniimbia maana naisikiliza kila wakati hakika Mungu amenitendea nilikua kipofu yesu amenitendea na ninaona kweli Mungu wabariki sana
This is beautiful.... just like SDA you have done the vocals well
Powerful powerful powerful powerful amen amen and amen amen amen and amen
Waoooh jamanii Mungu awabariki sana nasubiri kwa hamu rusha kombora
Stay tuned soon Kombora itakuwa hapa
Barikiweni ujumbe mzuri sana na mmependeza
Just like Adventist do ,thank God of Sabbath as visited your church be blessed 🙏
Mc Gara kanileta hapa👌🤲👏👏
Hata mimi😂
Amefanyaje, ilikuaje MIMI SIJUI. Nilaloijua nilikuwa Africa na Sasa niko US, Yesu alifanya. Glory to God.
Waoooo nawapenda sana mungu awabariki nimependa sana hiyo
Am a Catholic but you really bless me.am happy,be blessed
Wimbo mzuri kweli Mungu awabariki
Hongereni mabingwa wa Dayosisi mpo vizuri wanangu sasa Mungu amruhusu mwl Raingod aoe ili akamilike kiumbaji.
Hahahahaaa asante sana! Karibu sana kwenye maandalizi ya Arusi yake, kwa neema ya Mungu mwezi August anakamilisha tukio.
Wooow mmependeza mnaimba vzr Yesu awainue zaid
Mmmmmh! Mwalim inawezekana kuwa ni msabato. Maana co Kwa utulivu huo.
Yes mwalimu wakisabato
Nyimbo zenye utulivu ndizo tunazozitaka ,huezi kwenda mbele za Mungu bila utulivu
Thanks keko kkkt choir. I'm blessing through this song. Dah! MUNGU awabariki.
Ameen Ameen
Amen
wimbo mzuri sana, nimebarikiwa nao. Mungu aibariki huduma yenu.
Mmeibariki Sana. Karibuni tena na tena Kibaga Kkkt
Ameen tutakuja tena mtumishi
Wimbo mzr,, sale zenu nzr,,sauti nzur dah hiyo ndo kaz ya Mungu kila kitu nichema
najikuta natamani nipige keleleeee
Bonge la wimbo niliusubiria sana
Hongereni KVK
ujumbe 100%
Ubora wa sauti 150%
Ubora wa picha 180%
what a song!! Dah
Am speechless mbarikiwe tu
Kutoka kkkt Dkms usharika wa makorora tanga pokeeni salamu zangu
Ameen tunazipokea kwa unyenyekevu mkubwa!
Hahaa niliusikia huu wimbo mwaka juzi kwa mara ya kwanzaa nilisubiri hii video mnooooo....kumbe tulikuwa wengi
Bonge la wimbo....Mungu aimarishe hatua zenu
@@consolatablasi6212 h
WAMEKOPY HII NI COVER NYIMBO YA WASABATO KURASINI SDA
Amen amen amen ametenda kwangu hakika atakutendea na wewe…barikiweni sana wajoli
Uimbaji nmeupenda mnaimba mmetulia sauti Sasa yaaani mmenibariki Sana mfikife mbali
Ameen ubarikiwe!
thi's agood message god bless more and more 💯💯💯💯🙏🙏🙏
Sasa Nina ona 🤰🤱😘
Hongeraa sana mpo vizuri mungu abark
Mungu awabariki mkawe na albam bora Wimbo mzuri sana
Adventist indeed, Good work God bless