KWAYA YA VIJANA KKKT KEKO - KVK - AMEFANYAJE..? (COVER) (Official Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • Sitaki kujua ilikuwaje, Sitaki kujua ilikuw vipi..! ninachojua nilikuwa kipofu sasa naona, nilikuwa kiwete sasa ninatembea......AMEFANYAJE..?
    Karibu kubarikiwa na ujumbe huu na Mungu akubariki.

КОМЕНТАРІ • 1 тис.

  • @wisemanking001
    @wisemanking001 Рік тому +7

    Kazi nzuri ya marehemu Samson Kibaso

  • @princemujuni9803
    @princemujuni9803 3 роки тому +5

    Hii nyimbo nimeiona tiktok jamaa kapost harusi nafikir mmoja wenu alikua kafunga ndoa . Nimeipenda ghafla kaz nzuri mbarikiwe kwakweli

  • @salomeagweyo9869
    @salomeagweyo9869 2 роки тому +8

    Mmeimba kama SDA kwaya kumbe kkkt jamn mmenibariki sana Mungu atukuzwe

  • @Yasinibabu
    @Yasinibabu Рік тому +1

    Hongereni sana kwa kumtumikia MUNGU

  • @elizabethcharles3541
    @elizabethcharles3541 3 роки тому +3

    Nilijua n Sda kwaya..nilipousikia upendo fm..daa kumbe ni vijn wetu kkkt ase mmeimbaa hd milima inaitika.. saut nzrii manen mazuriiii.. utulivu wa ki Mungu kbsa. Utukufu kwa Mungu.

  • @pwoka5208
    @pwoka5208 3 роки тому +72

    I like the way you sing like Adventist and this Song by Kurasini SDA Choir you did justice am happy great impressed dini zisiwe msingi bali tuungane na zote tufike mbinguni be blessed...

    • @elct-kekolutheranyouthchoi9828
      @elct-kekolutheranyouthchoi9828  3 роки тому +3

      Ameen Ameen! To God be the Glory forever and ever!

    • @pwoka5208
      @pwoka5208 3 роки тому +6

      Will glad to even be posting your songs in our SDA group with a large following as promoting also your great work...

    • @elct-kekolutheranyouthchoi9828
      @elct-kekolutheranyouthchoi9828  3 роки тому +2

      @@pwoka5208 Thanks for your support!
      Please share with them as you can.

    • @pwoka5208
      @pwoka5208 3 роки тому +3

      Can see doing good... when you post others will be with you... be blessed...

    • @briannyaberi5022
      @briannyaberi5022 3 роки тому +2

      Yes very perfect

  • @JeremiahNamunyu
    @JeremiahNamunyu 2 роки тому +41

    Am a living testimony of this great song......i was blind in all spheres : financiallyless, jobless, businessless, childrenless, faithless, homeless, carless, farmproduceless, thankfulless...........Belief me ...sijui amefanyaje.....ninalojua sasa ni kwamba.......am full in ALL the above spheres.....Amen!!!

  • @careenallyally3668
    @careenallyally3668 2 роки тому +1

    Mnaimba bwana

  • @Teemovingbusiness
    @Teemovingbusiness 2 роки тому +6

    nimebarikiwa sana na kwaya yenu mmehudumu Yombo vitukaaa mbarikiwee mnaimbaaaa upako juu ya upako

  • @veronikajackison4682
    @veronikajackison4682 2 роки тому +6

    Mmeimba vizuri sana, mungu awabariki,kupitia wimbo huu wengi waokolewe wamjue yesu.

  • @aganokomba2423
    @aganokomba2423 3 роки тому +35

    Mimi kama mwaadventsta msabato nawapongeza sana kwakuimba nyimbo nzuri yakumtukuza Mungu nyimbo nzuri Mungu awafikishe mbali sana mbalikiwe sana, 😘😘😘😘

    • @elct-kekolutheranyouthchoi9828
      @elct-kekolutheranyouthchoi9828  3 роки тому +1

      Ameen Ameen shukrani sana mtu wa Mungu

    • @komboakiwale
      @komboakiwale Рік тому

      Watumishi wa bwana msonge mbele kwa uimbaji
      💓

    • @musanaberaxaverine
      @musanaberaxaverine Рік тому

      ❤0

    • @jaquelinemunish3183
      @jaquelinemunish3183 Рік тому

      Hii nyimbo ni kkkt lakin wana vocal kama wasabato , i like the way wana imba aisee❤

    • @happyharuni1402
      @happyharuni1402 2 місяці тому

      ​@@jaquelinemunish3183wametoa cover Ila wamiliki wa huu wimbo ni Kurasini SDA church but Vijana wakeko wametendea haki hii cover

  • @RwechungulaBegumisa
    @RwechungulaBegumisa 5 місяців тому

    Huu ndo uimbaji wa kkkt naomba mnaohalibu uimbaji wa kkkt mkajifunze kupitia wimbo huu,hongera Sana Kwa uwinjilishaji mzuri.

  • @reginahwanjala413
    @reginahwanjala413 3 роки тому +11

    Im brought here by McgaraB...much love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @sharonmtai5696
    @sharonmtai5696 2 роки тому +1

    You almost outdid The master good job

    • @gloriousnp
      @gloriousnp 2 роки тому

      I am SDA and na kubaliana na wewe
      🙌🏾🙏🏿😱🙏🏿

  • @norbethaminaubarikiwekwaut1072
    @norbethaminaubarikiwekwaut1072 2 роки тому +3

    Ujumbe mzuri sana binafsi mimi napenda sana mziki mmefanya niwe shabiki wenu hongeleni sana

  • @GodfreyNsanya-v7o
    @GodfreyNsanya-v7o Рік тому +1

    Mpo vizuri wadogo zangu nawapenda, mnaimba vizuri pacha wa sda kurasini

  • @godsonmushi9606
    @godsonmushi9606 3 роки тому +8

    Hongereni sana vijana, mmeimba vizuri mnooo. Mungu awakumbuke kwa utumishi wenu.

  • @julianacharles9018
    @julianacharles9018 3 роки тому +3

    Daaah Mimi nilidhani wasabato et,mmeimba vizuri kwa utulivu mbarikiwe

  • @devothaignatus5911
    @devothaignatus5911 3 роки тому +6

    Wimbo mzr,, sale zenu nzr,,sauti nzur dah hiyo ndo kaz ya Mungu kila kitu nichema

  • @elctemmanuelchoirkariakoo3991
    @elctemmanuelchoirkariakoo3991 2 роки тому +5

    Amefanyaje, sijui... hongera sana kwa utumishi huu. hakika ni Mungu tu

  • @rosemarykiwelu7034
    @rosemarykiwelu7034 3 місяці тому +5

    It's October 2024 and am still listening to this master piece ❤

  • @emmanuelsimon7706
    @emmanuelsimon7706 3 роки тому +4

    BWANA Awazidishie hekima na upole na unyenyekevu zaidi sana mfike mbali hadi mbinguni kwa Neema ya Yesu!! Nawapenda nyiee

  • @thomasmwachambi1024
    @thomasmwachambi1024 3 роки тому +4

    Ujumbe mzuri sana kwetu wanadamu

  • @josephedward2803
    @josephedward2803 3 роки тому +32

    Mmeimba. Kwa utulivu kama wasabato.. Hakika. Mwalimu amefanya kazi kubwa saaana ...Mbalikiwe zaidi waimbaji woote na uongozi wa kwaya kwa ujumla

  • @migosiprimary
    @migosiprimary 3 роки тому +20

    Kazi Nzuri usisahau kutambulisha wenye wimbo. *KURASINI SDA CHOIR*

    • @irenemark6908
      @irenemark6908 11 місяців тому +1

      KKKT hao japo copy ya kurasini SDA na mwalimu wao alikua mmoja Marehemu Kibaso

    • @OnorinaKiza
      @OnorinaKiza 11 місяців тому +1

      Nami sinilishangaa

  • @AngelaMagoti
    @AngelaMagoti Місяць тому

    Mi nikajua wasabato unaona sasa huu ndo uimbaji siyo kurukaruka kama mmeshikwa na degedege hapa safi. Huu ndiyo uimbaji wa kikristo mbarikiwe sana.

  • @joachimlazaro3698
    @joachimlazaro3698 3 роки тому +6

    Yesu atanitendea na Mimi, Barikiwa sana🙏

  • @jamesenock2075
    @jamesenock2075 3 роки тому +4

    Nimependa huu wimbo hongera sana kwenu

  • @georgemaziku6610
    @georgemaziku6610 3 роки тому +5

    Mmeimba vizuri na mmebuni sare nzuri sana

  • @andrewkyabashasa8993
    @andrewkyabashasa8993 4 місяці тому

    Sijui ni kwanini KKKT kama kanisa kongwe halina melody ya kutambulisha nyimbo zake kama ilivyo kwa Wakatholiki na Wasabato. Hata hivyo wimbo huu ni mzuri na una ujumbe murua. Hongera kwaya Vijana wa KKKT. Kazi nzuri sana, mbarikiwe

  • @saimonmadandi7419
    @saimonmadandi7419 2 роки тому +3

    Hakika mmeutendea haki wimbo,barikiweni sanaa

  • @agreymsalilwa7804
    @agreymsalilwa7804 2 роки тому

    Nmeipenda

  • @happymarwa4517
    @happymarwa4517 2 роки тому +1

    Mwalimu huu wimbo uwe ufunguo wa nyimbo nzuri, natumai umeelewa watu wanapenda tone ipi, inshort watu wengi saaaana walijua huu wimbo ni wa wasabato, so hii inaonyesha nyimbo za sabato ni bora so na sisi tusimamie hapohapo, huu wimbo ni mzuri sana mwanzo mpk kituo hakuna mapungufu, watu wametabasamu vyema, Bwana Yesu lazima alitabasamu kwa sauti hizi zilipaa mpk akasikia

    • @gloriousnp
      @gloriousnp 2 роки тому +2

      Kweli hata mm Natamani watu wote tungeimba Hivi tukaachana na zile beat za ajabu na kurukaruka ,
      Wimbo ni wa wasabato ndio na originali unaimbwa na kwaya ya kurasini SDA , but all in all sote tunamuimbia Mungu na tunakwenda Mbingu moja.

    • @irenemark6908
      @irenemark6908 11 місяців тому

      Uimbaji huu kwaya za KKKT wanaimbaga pia sio wasabato peke yake nadhani wa KKKT wenzangu wanaelewa hilo ndio maana kufanya cover Hii ikabamba sababu sio wageni wa hizi sauti

  • @philbertmrema5753
    @philbertmrema5753 2 роки тому +3

    Hongera sana kwa wimbo mzuri wenye mafundisho na mifano ambayo kwayo twajifunza ukuu wajina la Yesu. Mungu awabariki kwa kazi hii nzuri

  • @kwandikwa8733
    @kwandikwa8733 3 роки тому +2

    Huu ni utunzi wa marehemu Kibaso kabisa kama sikosei

  • @happynesskimt6249
    @happynesskimt6249 2 роки тому +7

    Sichoki kutaza👀 na kusikiliza👂 wimbo unanibariki sana, na Sisi Leo tukimwita Yesu atatutendea, mbarikiwe nyote🙌

  • @tugemwakatumbula7851
    @tugemwakatumbula7851 3 роки тому +2

    Nilizani wasabato hongera mmeimba vizuri sanaaa

  • @jenipherkimaro1096
    @jenipherkimaro1096 3 роки тому +3

    Waoooooo
    Hongereni Sana kwakuimba vizur sana

  • @DianaMinja-m6t
    @DianaMinja-m6t Рік тому +1

    Mungu naomba uendelee kunitumzia muujiza wangu nakataaa magonjwa kwa jina lako

  • @ngolomahewa3707
    @ngolomahewa3707 3 роки тому +7

    Yaani kwa MUNGU bwana hakuna baya, kuna wazuri tu, vizuri na mambo mazuri raha tupu.Yesu tutendee watu wako.

  • @titusmutindaomonya2384
    @titusmutindaomonya2384 3 роки тому +2

    Heko kwenu enyi vijana kwa kazi nzuri katika shamba la Bwana Mungu

  • @annnyambura8479
    @annnyambura8479 3 роки тому +7

    From Kenya this is wonderful acha mwenyezi atukuzwe

  • @vicentamandus6149
    @vicentamandus6149 Місяць тому

    Wimbo mzuri sana huu aseh ..
    Kwa playlist ni wa kwanza huu😊

  • @zinogalgreater8604
    @zinogalgreater8604 3 роки тому +3

    Sisi kama SDAs we are happy twin choir we love you guys na tuliletwa huku na Crazy Kenner

  • @upendombowe1838
    @upendombowe1838 Місяць тому

    Mnaimba vizuri sana kwaya kvk. Sifa apewe Bwana kwa sauti yenu nzuri ya uimbaji

  • @itsngaki4507
    @itsngaki4507 3 роки тому +9

    Mc Gara kanileta hapa👌🤲👏👏

  • @sirielmziray7704
    @sirielmziray7704 3 роки тому +3

    Safi Sana mumeimba vizur nimewapenda

  • @rubyasenga9392
    @rubyasenga9392 3 роки тому +4

    Hongeren sana vijana katka Bwana wetu Yesu krst mm ni muadventist msabato mmeimba vzr sana mungu awabariki huo uimbaji uliotulia ndio unaotakiwa watu wa mungu ndio tunapaswa kumuimbia krst kwa stahili iyo hongeren sana mungu awabark

  • @ElGraciouskwayayavijanakkkt
    @ElGraciouskwayayavijanakkkt Рік тому +3

    Mungu azidi kuwainua vipawa vyenu

  • @kenjunior3443
    @kenjunior3443 2 роки тому +4

    ujumbe muhimu sana , mbarikiwe sana Wana keko youth Lutheran 🙏💪

  • @elishasimba3181
    @elishasimba3181 2 роки тому +2

    Mwenyenzi Mungu awazidishie vipaji vya uimbaji maradufu

  • @veelubuvadamas8623
    @veelubuvadamas8623 3 роки тому +69

    Tuliotoka kwa gara B na mc luvanda tulike hapa🥰🥰nimewapenda

  • @evelynekakore7208
    @evelynekakore7208 3 роки тому +6

    Hongereni Sana Kvk....Nawakubali Sana. Mungu azidi kuwabariki ❤️

  • @MARIAMNGELEJA
    @MARIAMNGELEJA Рік тому +1

    Amaizing fantastic ,,MUNGU azidi kuwainia

  • @hktztv6519
    @hktztv6519 3 роки тому +4

    Kazi njema San naikubl kazi yenu . Toka iringa huk

  • @nellyneorege8480
    @nellyneorege8480 3 роки тому +3

    Amefanyaje yesu ametenda kweli. Lutheran church so lovely ladies hair style wow team vikanyage white rubbers

  • @RosemaryNyale
    @RosemaryNyale Рік тому +1

    Wimbo mzuri sanaaa

  • @irenemaaritopondo8242
    @irenemaaritopondo8242 3 роки тому +37

    I am a Lutheran and I like the way SDA choirs sing. I love the fact that you focus more on the message and not the dance style and beats. This is kkkt singing like SDA . Good work

  • @hopehope8368
    @hopehope8368 2 роки тому

    Amefanyaje, ilikuaje MIMI SIJUI. Nilaloijua nilikuwa Africa na Sasa niko US, Yesu alifanya. Glory to God.

  • @blandinamngara2456
    @blandinamngara2456 3 роки тому +3

    Hongera sana keko mungu awabariki bado rusha kombora

  • @neemakishiwa4224
    @neemakishiwa4224 3 роки тому +1

    Hapo mwalimu ni msabato pyua kabisa Mungu abubariki kwa kazi zur

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua8804 3 роки тому +22

    TUJUANI TULIOKUWA TUNASUBIRI KWA HAMU HUU WIMBO KAZI YENU NI NJEMA MUNGU AWABARIKI SANA💃💃💃💃💃💃💞💞💞

  • @rebecatemu1344
    @rebecatemu1344 2 місяці тому

    Nzuriiiii sanaaaa MUNGU sikia toka moyoni mwetu kusifu na kuabudu kwetu,Amen

  • @missmrs829
    @missmrs829 3 роки тому +22

    Mnaimba vizuri kama wasabato jamani tena hamchezi ovyo kama wapumbavu yaani mmeutendea haki wimbo mbarikiwe sana kwa ujumbe nzuri

    • @wellnaton6013
      @wellnaton6013 3 роки тому +5

      Kucheza sio upumbavu, labda kama una mapepo ndio utaona ni upumbavu

    • @faithndirangu4846
      @faithndirangu4846 3 роки тому +3

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ati kama wapumbavu 😂😂😂 Niokotwe Kenya 🇰🇪

    • @ejnjjsjsodlrlrlrkktktkktan6607
      @ejnjjsjsodlrlrlrkktktkktan6607 Рік тому +1

      Hii song ni cover meaning si yao ni ya kurasini sda

    • @rachelmdodo3057
      @rachelmdodo3057 8 місяців тому +2

      Upumbavu unaingiaje hapo, daud alicheza mpaka akadondosha nguo je alicheza kwanmna gani inahisi?

    • @teachergodfreypeter9052
      @teachergodfreypeter9052 5 місяців тому

      😂😂😂😂😂 dah nmecheka sana

  • @olipamkuyu5149
    @olipamkuyu5149 3 місяці тому

    Hata mimi sijui haya alionitendea I'm kuwajengea ninungana nanyi mbarikiwe, nimeupenda ❤❤❤ sana wimbo

  • @raphaelkanyandenge440
    @raphaelkanyandenge440 3 роки тому +5

    mko vizuri vijana Mungu awabariki mno

  • @SarahFrank-w7n
    @SarahFrank-w7n 3 місяці тому

    Mbarikiwe na mungu wote mliye imba huu wimbo mungu awazidishie

  • @zerahgasper5516
    @zerahgasper5516 3 роки тому +4

    Hongeren wimbo mzur sn umenibarik saut zmetulia like wasabato

  • @rehemafungo5042
    @rehemafungo5042 3 роки тому +2

    Hongereni walutheri wenzangu

  • @bonifacekoko172
    @bonifacekoko172 3 роки тому +4

    our congratulations I like it

  • @doktab
    @doktab 3 роки тому +3

    kazi yenye baraka...inabariki

  • @furahambughi4977
    @furahambughi4977 3 роки тому +9

    Hongereni sana kwa kazi nzuri mno!
    Wengi tumebarikiwa sana na wimbo huu, regardless of our denominations.

  • @joshuakibra7010
    @joshuakibra7010 3 роки тому +2

    Hii ni wimbo wa Kurasini ya Kibaso ama vipi

    • @gloriousnp
      @gloriousnp 3 роки тому

      Huitaji hata kuuliza ❤️❤️🇹🇿😂🙏🏿

  • @roselambert6700
    @roselambert6700 3 роки тому +5

    Naupenda huu wimbo unanibariki sana kila siku nausikiliza zaidi ya mara 5 from UK 🇬🇧

  • @corretatz6335
    @corretatz6335 3 роки тому +2

    Kwa hakika mmenibariki nilijua ni wasabato yani mpka mnamatch, Mungu awabariki sana

  • @nyarkomala
    @nyarkomala 2 роки тому +18

    Imagine heaven, all nations, tribe, religion, race singing in God's presence. I want to be there. God help me.

  • @ConsciousGunda
    @ConsciousGunda Рік тому

    Id love to hear your rendition of #jiwe by @Beroya

  • @monniekevin9303
    @monniekevin9303 3 роки тому +4

    Wimbo mzuri kweli Mungu awabariki

  • @maureenkemei8762
    @maureenkemei8762 5 місяців тому

    Nyimbo nzuri ya marehemu kibaso Mungu atukuzwe, mbarikiwe pia.

  • @judymasunzu7517
    @judymasunzu7517 3 роки тому +3

    WAUUUUUH Mbarikiwe na Bwana YESU Viana had Mshangae.

  • @gewatv
    @gewatv 3 роки тому +15

    Sasa ngoja niwaambie enyi vijana wa Keko KKKT,
    wimbo nimemsikiliza kwa siku Tatu nikiwa naukagua, kwa hakika Sina comments, Kwanza mwalimu ametunga wimbo wenye ujumbe mzuri, lkn pia amefanya harmony nzuri Sana. Mimi ni mwalimu, video shooter lkn pia ni mwimbaji wa sauti ya nne, bass congratulations bwana.
    Lkn pia shooting na uchanganyaji wa picha uko vizuri Sana, Hongera Sana producer mwenzangu.
    Nije kwa waimbaji Sasa, daaa waimbaji mko mbuya Sanaa, utafikiri mlichagiliwa kufanya shooting bwana?,
    Kwanza waimbaji wote Wazurii attractive, wameuchangamkia wimbo kama wameutunga wao, yani wameendana na hisia za mtunzi. Imekaa vizuri Sana, halafu Hilo matching yani kama najiona ndani ya kanisa langu SDA hahaha.
    Daaa mpo vizuri sanaaa pokeeni pongezi zangu za dhati tena kutoka moyoni.
    Siyo mwepesi wa kukubali vitu hivi hivi hasa ninavuovijua lkn ktk hii aaaah nikibeza nitakuwa mchawi. Hongereni mnooo.
    Barikiweni na Bwana

    • @elct-kekolutheranyouthchoi9828
      @elct-kekolutheranyouthchoi9828  3 роки тому +1

      Ameen Ameen Utukufu tunamrudishia Mungu aliyetuwezesha! Pia asante sana kwa kukagua kwa makini kila hatua kwenye wimbo huu. Bado tunahitaji sana watu kama wewe kwaajili ya kutushauri ili tuendelee kufanya kazi nzuri na zenye viwango.

    • @rubyasenga9392
      @rubyasenga9392 3 роки тому

      @@elct-kekolutheranyouthchoi9828 hlw

    • @YustaOsward
      @YustaOsward 5 місяців тому

      Ooh hallelujah utukufu Kwa Mungu, nabarikiwa sana naona uwepo wa Mungu kupitia hii nyimbo mbarikiwe sana

  • @shadracktoo3322
    @shadracktoo3322 2 роки тому +2

    adventist system is always awesome, being an adventist you welcome your christian brothers from the Martin Luther roots

  • @furahinimbwambo
    @furahinimbwambo 3 роки тому +23

    Wachatu ni comment maana wimbo ni mzuri na mmeutendea haki alafu mmependeza sana kama mnaiona comment yangu naomba like zenu

  • @marykutty1169
    @marykutty1169 2 роки тому +2

    Very good 🙏👍🇮🇳

  • @triviacissy6623
    @triviacissy6623 3 роки тому +3

    Waaawuuuu l dont understand the language but l enjoy God bless you sisters and brothers and your are so smart

  • @blessedtumaini516
    @blessedtumaini516 5 місяців тому

    Mungu Baba asante Yesu Kristo ametenda amenitendea ninalojua nilikuwa mpangaji sasa nina nyumba Haleluya Amina. ❤❤❤.

  • @veronicasanga2126
    @veronicasanga2126 3 роки тому +7

    Mmmmmh! Mwalim inawezekana kuwa ni msabato. Maana co Kwa utulivu huo.

    • @lovenessmgonja2596
      @lovenessmgonja2596 3 роки тому

      Yes mwalimu wakisabato

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 3 роки тому

      Nyimbo zenye utulivu ndizo tunazozitaka ,huezi kwenda mbele za Mungu bila utulivu

  • @rastalaiza2368
    @rastalaiza2368 3 роки тому +2

    Endeleeni hivo hivo nasi tutazidi kupuromot kaz hiyi ya mungu kwa community

  • @gideonkapange3905
    @gideonkapange3905 3 роки тому +23

    Well composed, super super super harmony, clear message. Lovely one!!!!! Nahisi Mpendwa Marehemu Mwalimu Kibaso ana mkono wake hapa. Hongereni wana wa Mungu

  • @manisobblowi8894
    @manisobblowi8894 3 роки тому +2

    Waaah wimbo mtamu sana l like this Mbarikiwe sana wapendwa wa Mungu

  • @ruthnzota7636
    @ruthnzota7636 3 роки тому +33

    Haijalishi ni uimbaji wa kiadiventisa au Baptist yote kwa yote MUNGU NI WETU SOTE 💪

  • @kwayayamtakatifusimonmtume
    @kwayayamtakatifusimonmtume 2 роки тому +1

    Hongereni sana wapendwa katika Kristo

  • @wolperandrea3813
    @wolperandrea3813 3 роки тому +3

    jamni manibarik sana san Mungu awainue kwa viwango vingine

  • @christopherhaule908
    @christopherhaule908 3 роки тому +2

    Mungu awabariki mkawe na albam bora Wimbo mzuri sana

  • @emilydavidmdoe3552
    @emilydavidmdoe3552 3 роки тому +6

    Wooow!!! Mmenibariki sana kwa wimbo wenu na mko makini kweli,sifa kwa Yesu

  • @KherryingOkello
    @KherryingOkello 7 місяців тому

    Melody ya Wasabato 100% Ila yote yote mmemtukuza MUNGU wa Mbinguni,Mbarikiwe Vijana K.K.K.T Mbarikiwe Sana mmeimba vizuri sana

  • @lydiamwaipyana2495
    @lydiamwaipyana2495 3 роки тому +5

    Wimbo huu ni mzuri sana na mmeuimba kwa hisia. Mungu awabariki sana Vijana wa Keko.

  • @ROSEKASIMU-ck5ub
    @ROSEKASIMU-ck5ub 7 місяців тому

    Barikiweni ninamini akunajabi lilsilo wezekaka kwa mungu

  • @yohanachuma5367
    @yohanachuma5367 3 роки тому +7

    Uimbaji wa Kisabato unabariki sana🙏

  • @elisameheyohana3358
    @elisameheyohana3358 Рік тому

    Wabarikiwe. Uimbaji huu unafiki ndani ya moyo ambapo ndilo hekalu na shetani hawezi kujificha tena hekaluni tukiwa na kumsifu Mungu kwa staili hii