MUUZA MADAFU IKULU NI KOMANDO ALIYETUA NA HELIKOPTA? KATUONESHA ANAPOISHI “UKIJA VIBAYA NAKUKALISHA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 кві 2024
  • MAPYA YA MUUZA DAFU WA IKULU, JE NI KOMANDO ALIYETUA NA HELIKOPTA? UKIJA VIBAYA LAZIMA NIKUKALISHE"
    ALIYEUZA MADAFU IKULU AONDOA UTATA KUTUA NA HELIKOPTA MUUNGANO "UKIJA VIBAYA LAZIMA NIKUKALISHE"

КОМЕНТАРІ • 1,7 тис.

  • @Nufaila442
    @Nufaila442 3 місяці тому +543

    Mnaotaka milard awakutanshe wawili hawa Gonga like

    • @EdwardSamson-uf1ee
      @EdwardSamson-uf1ee 3 місяці тому +15

      Hatuna hata shida nao. waendelee na maisha yao na sisi tuendelee na yetu

    • @user-yn4di1lj7f
      @user-yn4di1lj7f 3 місяці тому

      Mnachekesha nyny ndo nn ah 😅😅😅😅😅😅😅😅 upumbavu tuu hii nchi

    • @modekaijames
      @modekaijames 3 місяці тому

      ​@@EdwardSamson-uf1eeewaaaah

    • @davisjuma5887
      @davisjuma5887 3 місяці тому +1

      haiwezi tokea ata sikumoja kiukweli

    • @user-hp7rx4zk4t
      @user-hp7rx4zk4t 3 місяці тому +3

      Niyeye uyo mmoja

  • @Amani-kr9ln
    @Amani-kr9ln 3 місяці тому +205

    Tunao tamani huyu jamaa akutane na yule comando tujuane hapa kwa like jamani

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr 3 місяці тому +89

    "ASKARI HACHAGUI KAMBI " pigia mstari hilo neno halafu twende sambamba na muuza madafu ikulu.

    • @janetdundul3858
      @janetdundul3858 3 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 3 місяці тому +4

      Wanakuwaga hata vichaa mitaa muhimu hivyo yote yanawezekana

    • @siaammo1104
      @siaammo1104 3 місяці тому

      😅😅😅😅😅

    • @VeronicaAdam-lx8yd
      @VeronicaAdam-lx8yd 3 місяці тому

      😂😂😂😂😂

    • @user-vh7ll3vp7w
      @user-vh7ll3vp7w 3 місяці тому +2

      Huyu jamaa Nyota yake inahitaji ikamilishe kusudi la Mungu Mh. Rais ampe tuuu nafasi'

  • @allidehunter3223
    @allidehunter3223 3 місяці тому +77

    Security top ukija vibaya lazma uka, Askar hachagui kambi, Raisi ajione yupo salma sanaa (kwa maana ya kwamba kila kona wapo) lugha ya mazungumzo inajielezaa - JAMANII SIO YEYEE ILA NA YY NI MIONGONI MWA WALIOMOO-. 2lio pata mafunzo ya kizalendoa JKT naomba tujiane kweny LIKE APOOH👇.

    • @MahmudSaidy
      @MahmudSaidy 3 місяці тому +2

      Huwez elewa kama haujasoma fasihii 😂😂😂

    • @samboy5033
      @samboy5033 3 місяці тому +2

      Komando huyu

    • @sweetrayuzuwiya8375
      @sweetrayuzuwiya8375 3 місяці тому +4

      Bado hajasema, kwa nini auze madafu ikulu na kwa nini yupo fiti kiasi hicho na kwa nini afanane na komando kama mapacha na kwa nini yupo flexible kwenye pikipiki kiasi hicho?

    • @user-yb5hh9mr5q
      @user-yb5hh9mr5q 3 місяці тому +4

      Tulopita jkt kauli kama hizo zipo kwa maafande ,Chengne muuza madafu gan wa nchi gan anaeweza kuongea kauli za kishujaa kama hvyo

    • @Askari22
      @Askari22 3 місяці тому

      @@sweetrayuzuwiya8375aiseee

  • @manp9091
    @manp9091 3 місяці тому +369

    Mnao taka Millard ayo aende kwa comando mpo gonga like hapa

    • @user-xy6ed7ve6r
      @user-xy6ed7ve6r 3 місяці тому +13

      Sio aende tu, waitwe wote tuwaone kama ni watu wawili tofauti

    • @magneticofficialtz
      @magneticofficialtz 3 місяці тому +4

      Akienda bila gadi ataambiwa akoroge mike iwe uji halafu anywe😅😅😅

    • @amiibinam7774
      @amiibinam7774 3 місяці тому +3

      😂😂😂😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 місяці тому +3

      ​@@user-xy6ed7ve6rMILAD AYO MUWONGO WAWEKWE PAMOJA MDIO TUTAMUAMINI

    • @Ndenza
      @Ndenza 3 місяці тому

      ​@@user-xy6ed7ve6rwewe ndo una skil

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 3 місяці тому +70

    mnao taka Millard ayo aende kwa comando tujuane kwa kugonga lake

  • @AYUBPAULMWANGOKA
    @AYUBPAULMWANGOKA 3 місяці тому +2

    Kama nakosoa nitasifia pia.
    Hii ndyo Kazi ya Millard Ayo TV sio ule umbea siju aliposti mtandaoni mtapoteza uaminifu na Nita mshauri bosii wanotuletea udaku WA mtandaoni Awafukuze Kazi
    Umefanya Kazi nzuri Sana bro nitamshauri boss aongezo kipato chako usithubutu kutuletea udaku!🎉🎉🎉🎉

  • @CyprianBCTanzania
    @CyprianBCTanzania 3 місяці тому +12

    Wakati wa Mungu kumketisha Mtu juu na Wakuu ukishafika basi amini imekuwa, Bila shaka kabisa ndio wakati wake huyu ndugu yetu kutimia ndoto yake katika maisha na hakika kupitia vinywa vya Watu pia hata kupitia tukio la kufananishwa na moja ya Komando wa JWTZ hii naiona kabisa katika jicho la KiMungu tiki kubwa na tayari imekuwa na zaidi ajiandae tu kupokea maana tayari fursa imeshamfikia mlangoni mwake.

  • @rahmamukhtar521
    @rahmamukhtar521 3 місяці тому +19

    Safari hiyoooooo
    Majaliwa mwingine huyooooooo
    Nchi hii ALLAH akiamua kukutoa kwenye Hali Moja kwenda juu hakuna wa kuzuia

  • @bightmind.tv1
    @bightmind.tv1 3 місяці тому +12

    muuza madafu , anauza madafu hadi anapata hela ya kwenda kulipia chuo cha karatee.., tunaolewana vzr gonga like😁

    • @jessemadullu2226
      @jessemadullu2226 3 місяці тому

      Ha ha ha! Jamaa wanatuona watoto Sana! Tanzania ya gizani imeshapita! Hatujui kusoma sawa, Ila picha tunaona. Muuza madafu wa kawaida hana ubavu wa kuongea hivi. Anajua zimamoto, FFU, polisi etc.

    • @IbrahimMohamed-of3sl
      @IbrahimMohamed-of3sl 3 місяці тому

      Na ana bodaboda

  • @simonbura7890
    @simonbura7890 3 місяці тому +39

    Huyo ni komando, na yule wa jirani yake pia anaitwa captain paul Elias, kama mlifatilia maonyesho jana ndo alimtaja kama kiongozi wa wale makomando

    • @joycekaguo8476
      @joycekaguo8476 3 місяці тому

      Akai hapo

    • @johnmwandu2116
      @johnmwandu2116 3 місяці тому +3

      ​@@joycekaguo8476yaan mtu wa usalama mnaweza mkawa mnaishi naye sehemu moja na mkawa mnachakarika naye mtaani

    • @Askari22
      @Askari22 3 місяці тому

      @@johnmwandu2116 hii Nimecheka sanaa

    • @plukeria600
      @plukeria600 3 місяці тому

      Hqhah

    • @ezevisionmediastudioezevis7855
      @ezevisionmediastudioezevis7855 3 місяці тому +1

      @@johnmwandu2116 na kama ni demu anakupa na mzigo kabisaa

  • @josephevaristi8923
    @josephevaristi8923 3 місяці тому +20

    Walioshtukia jamaa ni muuza madafu wa mchongo,
    👇

  • @talents7934
    @talents7934 3 місяці тому +113

    Mmemsikia akisema "Hii ni security Top hazipitiki Njia" kwa wanaojua Hii ni kauli ya kijeshi jeshi

    • @tamisiliwano5291
      @tamisiliwano5291 3 місяці тому +5

      kwel kaka maana wana vibao vyao pia huwa wanaadika kuwa hakuna njia Amri😂

    • @nurumwangoka5924
      @nurumwangoka5924 3 місяці тому +5

      Na hapo wala sio kwake anazuga

    • @anoldmmari-mi7qg
      @anoldmmari-mi7qg 3 місяці тому +6

      Ni sawa ila hizo quote anazotumia zipo kwenye wimbo wa Dizasta vina Tribulations diss track

    • @AbcD-bn1nz
      @AbcD-bn1nz 3 місяці тому

      ​@@tamisiliwano5291😂😂

    • @peternguma9182
      @peternguma9182 3 місяці тому +2

      Iyo anamaanisha, security ya juu ya kulinda mipaka

  • @dicksonmgoga-hj4im
    @dicksonmgoga-hj4im 3 місяці тому +23

    Nchi yangu naipenda sana, watu wake wanalala muda wanaotaka, kuna watu wanafanyakazi muda wote! Tuendelee kulinda nchi yetu kila mmoja!

    • @vitalismushi1858
      @vitalismushi1858 3 місяці тому

      Huyu atakuwa anafanya kazi muda wote. Kulala kwake ni kwa machale sana. Commando kutokulala kwa siku kadhaa ni jambo la kawaida kwao.

    • @dicksonmgoga-hj4im
      @dicksonmgoga-hj4im 3 місяці тому

      Watu wa hivi tunao wengi Sana, ndo maana kitu chochote kinapotokea kinachohatarisha nchi ni haraka Sana kukidhibiti! Pia alimhakikishia Mama Samia atembee kifua mbele Kwa jeshi letu liko macho!

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d 3 місяці тому

      Allahuma Amin

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 3 місяці тому +3

    Dunia wawili kweli... Tunaomba uyu kijana awezeshwe...atafika mbali anakitu....mama yetu .SAMIA. SULUHU HASSAN TUNAKUOMBA. inua kipaji cha uyu kijana wako.....NA MNGU. AKUBARIKI📌🙏

  • @tobiasantony3644
    @tobiasantony3644 3 місяці тому +2

    Huyo niyeye. 1. Sauti zinafanana, 2. Wote wanavichogo, huyo komando pale jukwani aligeuka tazama kichogo na huyo muuza Madafu. 3. Mwili unene, kimo na rangi. 4. Swala la kuuza Madafu ikuru na kutumia pikipiki kuuzia Madafu, 5. Mazingira ya nyumba anayokaa na sifa alizonazo ni kweli anaekti kukaa hapo. 6. Huyo ni kamandoo lakini kitengo Cha usalama. Huyo ni mamba.

  • @SamwelAngelile
    @SamwelAngelile 3 місяці тому +25

    Hiyo ni code..watafutwe ili wakutane hiyo ni zuga zuga baada ya mda uyo atapoteah na kurud kambin kwake

  • @DStvTz.
    @DStvTz. 3 місяці тому +62

    Hana ndevu na commando Hana ndevu kama umegundua hili ebu gonga like tujuane

    • @frankdionis7700
      @frankdionis7700 3 місяці тому +1

      Anaweza kuingiza sana sela

    • @mussamussa9446
      @mussamussa9446 3 місяці тому +1

      aliyekwambia komando hana ndevu ni nani, KOMANDO anaweza kuwa vyovyote kulingana na mazingira na hali

    • @amonymzawaaa8934
      @amonymzawaaa8934 3 місяці тому +1

      Umenipa akili😂

    • @jabiryyunus9782
      @jabiryyunus9782 3 місяці тому +1

      Makomando wana ndevu kama Osama sasa kama hujuii

    • @Denis_prudence
      @Denis_prudence 3 місяці тому

      @@jabiryyunus9782 unachosema ni kwel kaka ila huyu jaamaa anamaanisha komandoo aliyeshuka kwa helikopta siku ile hakuwa na uchebe na huyu wa hapa hana uchebe..

  • @oshaimuafrica8398
    @oshaimuafrica8398 3 місяці тому +22

    Gonga like Kama unamkubali komando chapu hapa tiwazidi wote humu

  • @HanceBablo-ot8sz
    @HanceBablo-ot8sz 3 місяці тому +2

    God bless you guy

  • @issakimvuli2099
    @issakimvuli2099 3 місяці тому +81

    Inawezekana ikawa co yy,lkn yupo ndani ya system kwa mtazamo wng!

    • @raymrash
      @raymrash 3 місяці тому +6

      hata mimi naamini hivyo..kwenda kuuza madafu ikulu sio jambo dogo

    • @willygraphics360
      @willygraphics360 3 місяці тому +2

      ​@@raymrash nenda kizembe, ukijua ni ordinary muuza madafu 😂

    • @MarthaTraceFrancis
      @MarthaTraceFrancis 3 місяці тому +2

      Jamani ni yeye uyo msidanganywe

    • @AbcD-bn1nz
      @AbcD-bn1nz 3 місяці тому +1

      ​@@willygraphics360😂😂

    • @1stladyafrica402
      @1stladyafrica402 3 місяці тому

      ​@MarthaTraceFrancis kabisa ni yeye bana hivi hata macho yanashindwa kuona kweli?

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 3 місяці тому +28

    Mimi watanzania na wa amini Sana kwahiyo wengi wamesema ni yeye Aya na mimi nasema ni yeye😅😅😅

  • @HamadAlex
    @HamadAlex 3 місяці тому +1

    Hongera Millard you're now halfway to get another UA-cam button

  • @bensonmasanja9862
    @bensonmasanja9862 3 місяці тому

    Yeah God bless you

  • @pascalvitalis
    @pascalvitalis 3 місяці тому +42

    Security top hazipiti njia, askar achagui kambi, afu mwamba hacheki😂😂😂 i love Tz🎉

    • @shufaahmmmohamed1833
      @shufaahmmmohamed1833 3 місяці тому +2

      Umeelewa had ongea yake mmmh huwa hawasemi bana mi bado naona anakitu ndan yake

    • @baloz8974
      @baloz8974 3 місяці тому

      Ndio hivyo

    • @mad0060
      @mad0060 3 місяці тому

      Kackilizeni nyimbo za Dizasta vina..... mtaelewa

  • @bensonmasanja9862
    @bensonmasanja9862 3 місяці тому +7

    Hiyo kofia naijua hongera Ndugu

    • @keagleeagle821
      @keagleeagle821 3 місяці тому

      Hii kofia nili search hadi mtandaoni.
      Nipe siri
      Maana imefanana na ya huyo commando

  • @sylvesterchisenga3707
    @sylvesterchisenga3707 3 місяці тому +16

    "Kama raia mnaacha kuuzima"
    Tumekushtukia
    Angalau ungesema"kama raia tunaacha kuuzima

    • @josephherman201
      @josephherman201 3 місяці тому

      Anajitahidi kuongea kwa kujiweka ndani lakini anajishtukia!

    • @AbdulMagembe
      @AbdulMagembe Місяць тому

      Mwenye asili haachi asili . Huyo ni undercover ipo waz

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 3 місяці тому +11

    Kama ni komandoo na anauza madafu nampongeza anafanya kazi nzuri hongera sana bwashe

  • @shedrackshaibu1986
    @shedrackshaibu1986 3 місяці тому +28

    Leo anaongea tofaut na mwanzo mwanzo alikuwa anaongea kiha saiz anaongea vizur

  • @nsuriitv2468
    @nsuriitv2468 3 місяці тому +43

    HONGERA SANA MILARD AYO KWA KUFIKISHA SUBSCRIBERS 5ML

    • @user-yn4di1lj7f
      @user-yn4di1lj7f 3 місяці тому +1

      Asifikishe Kwa upumbavu 😅😅😅😅😅😅

  • @user-qx6mm2lp2b
    @user-qx6mm2lp2b 3 місяці тому

    😂😂😂 safi sana nimependa mwamba huyu..yes huyu by mm ndiye yule ila taratibu haziruhusu kusema yess cz apo anakaz maalum..na yess be kwanza anahusishwa na yule mwamba alie kua muungano day.pili ana vitu vingi vinavyofanana na sifa ya komando mwenye mazoez maalum pia naye anyone mfano fighting skills..na sura plus mophology yan muonekano wanafanana so conclusion yess ndie..usalama wetu wa yaifa uko vzur safi sanaaaaa..❤❤❤❤❤

  • @edwardouma1630
    @edwardouma1630 3 місяці тому +14

    Uyo jamaa ni usalama wa taifa asikudanganye by fossil nikiwa Nairobi Kenya

  • @Babaharvey3624
    @Babaharvey3624 3 місяці тому +11

    Namba yako nimeisave nitakutafuta komando wangu❤🎉

    • @user-sg6lc4te4o
      @user-sg6lc4te4o 3 місяці тому

      Utaskia namba unayopiga kwa sasa haipatikani

  • @christophermgaya4670
    @christophermgaya4670 3 місяці тому +30

    Muuza madafu anafanya mambo yote ya kikomando. Enewei😅😅😅

  • @vicentmichael5028
    @vicentmichael5028 3 місяці тому +2

    Ukiskiliza interview vzr utaelewa

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 3 місяці тому +8

    Komando Kama komando picha limeanza ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-id7lc7tk4d
    @user-id7lc7tk4d 3 місяці тому +21

    Muuza madafu ajieleze vizuri namna iyo ata hakosei

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 3 місяці тому +4

    Watu wawili tofauti, mapua

  • @user-mb2iq8ht3c
    @user-mb2iq8ht3c 3 місяці тому +1

    Anamsikiliza sana Dizasta vina

  • @jastinj.joseph7577
    @jastinj.joseph7577 3 місяці тому +17

    Huyo ni afsa wa serikali

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 3 місяці тому +12

    Ni yeye

  • @Y.D.c.p
    @Y.D.c.p 3 місяці тому +3

    Alie beba namba ya comando, gonga like yako hapa chini

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 3 місяці тому +2

    Mama samia msappoti huyu kijana anaweza 💗

  • @AZAM_MEDIA
    @AZAM_MEDIA 3 місяці тому +9

    Wa kwanza

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 3 місяці тому +70

    Kuna jamaa mmoja alikuwa secrets office. Akitoka nyumbani anatoka na suti bag ya lap top na gari. Sasa kuna rafiki ya mke wake akamwambia mbona anamwona mtu posta ni kichaa anafanana na mume wake?
    Huyo dada alishtuka mume wangu kuwa kichaa. Yule dada ilibidi waongozane naye kwenda posta. Walipofika waliona jamaa kichaa anafanana na mume wake.
    Basi walichukua baunsa wakamnyakua wakampeleka nyumbani wakamweka store.
    Wakaa kusubiri kama mume atarudi nyumbani mpaka saa tano za usiku alikuwa hajarudi. Baadae yule bwana kichaa alibidi aseme ukweli kwamba alikuwa kazini.

    • @magrethhillary5449
      @magrethhillary5449 3 місяці тому +1

      Duuuh

    • @fatmamdihiri4164
      @fatmamdihiri4164 3 місяці тому +4

      Ndio zao Kuna rafiki yangu namjua vzr ndio kazi zake ivyo😂😂😂lkn kanambia ni sisemi watamuhua sababu Ana fichua siri za watu wengi

    • @magrethhillary5449
      @magrethhillary5449 3 місяці тому

      @@fatmamdihiri4164 kheee sas ua anapata faida gani

    • @rasnchimbi
      @rasnchimbi 3 місяці тому

      😂😂😂

    • @EdwardSamson-uf1ee
      @EdwardSamson-uf1ee 3 місяці тому +8

      kama huyoo secret service alishikwa mpaka na baunsa na kwenye usafiri akapelekwa basi alikuwa mzembe sana

  • @saidihamisi4949
    @saidihamisi4949 3 місяці тому +1

    Mungu anatisha! Duniani wawili wawili Bora mwenzetu wapili yake yupo hapo hapo. Wewe Sasa wapili wako marekani.

  • @princepintz
    @princepintz 3 місяці тому +2

    Hongera sana Madam Mshupavu na Mama wa mfano time will tell, Samia 2025 tunaimani na wewe kubwa sana Mama.

  • @YAHAYAMTOO
    @YAHAYAMTOO 3 місяці тому +5

    Mmmmh bwana watu ao nawajua vizuri umeona ilo buti na staili zake

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 3 місяці тому +6

    Ogopa sana mungu na teknollj

  • @SurprisedMacawBird-qh7dg
    @SurprisedMacawBird-qh7dg 3 місяці тому

    WELL DONE

  • @EdifonceSylvester
    @EdifonceSylvester 3 місяці тому +1

    Angalia hayo macho mzee hyo ni hatari sana

  • @user-fs8kl1gd7u
    @user-fs8kl1gd7u 3 місяці тому +4

    Cha kwanza kabisa suruali aliyovaaa angalia kwa umakini ndo utajua.pili buti alilovaa tatu mazungumzo yake.nne yupo fitness kabisa huyo yupo kwenye sesytem

  • @HusnaSimbila
    @HusnaSimbila 3 місяці тому +12

    securuty top haipiti njia

  • @raulianraphael6853
    @raulianraphael6853 3 місяці тому

    Upo vzr Madafuboy kaz nzur
    Nimshaur kitu Achana Na Interview Piga kaz
    Kua nje ya Camera
    Kitengo watakuekea kitengo maalum so Kua makini
    Siri ibaki Sirini
    Mtaji utaongezewa na majukumu utayatimiza

  • @joshuanassary5072
    @joshuanassary5072 3 місяці тому +2

    Kauli zake ni tata, very technical...

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd 3 місяці тому

      Umeona eeeh kazi ya kulinda amani kudumisha umoja ni kazi ya kila mtanzania haya ni maneno ya kitaalam kabisa😂😂

  • @RichWise671
    @RichWise671 3 місяці тому +49

    Lakin Hii ni Security Top hazipiti njia 🔥🔥🔥

  • @stivejayngoga1403
    @stivejayngoga1403 3 місяці тому +4

    Jamaa siyo yeye!! KWASABABU;
    1.Huyu jamaa anavindevu(sharubu) yule komando hana kabisa
    2. Muundo wa Pua huyu anapua ndefu kuliko yule komando

    • @ibrahtv5592
      @ibrahtv5592 3 місяці тому

      Duuu yaa wee jamaa😂

    • @bullahrwabatika8014
      @bullahrwabatika8014 3 місяці тому +1

      Wauza madafu huwa wana visu vikali saaana vya Likatia madafu rais alienda kununua madafu bila bodyguard yoyote hii inawezekanaje?

  • @cheedinhoonlinetv7339
    @cheedinhoonlinetv7339 3 місяці тому +1

    Muuza madafu ghafra Kawa star mara kanunua piki piki mara bishoo mara anataman awe jeshi mara anataman awe mwanamichezo mara ooh mara anakosa pesa yakulipa pango ghafra muuza madafu anamiliki boxer saafi kabisaa daah hongera sana kwake 👍👏 kweli maisha ni bahati
    NB; huku mtaani hajanyoa mustach pale uwanjani kanyoa ndavu oya wanangu stukeni😅😅😅 ooh

  • @laurentndowa2304
    @laurentndowa2304 3 місяці тому

    Huyu Kijana,kaka millard Ungempigia Promo, Natamani Angepata Hiyo nafasi ya jeshi akatimiza Ndoto zake, ningekuwa mtu mkubwa serikalini .ningempeleka jeshi huyu Kijana, MUNGU amsaidie Atimize Ndoto zake, Nawe Kaka Millard MUNGU ndiye atakae Kulipa,kupitia nyie Jamaa anaweza kupata nafasi serikali ikamuona. Ahsante

  • @MichaelJames-tp6co
    @MichaelJames-tp6co 3 місяці тому +28

    Sawa kaka tuendelee kuuza madafu yetu,

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 3 місяці тому +3

    Wapo tofauti kabisa,

    • @latifamuhunzi4061
      @latifamuhunzi4061 3 місяці тому

      Na hasa ukiangalia pua zao ndio utaona utaona tofauti zao,ila wa bongo wakisha shupalia jambo si ujuwaga

  • @alicksinkamba3401
    @alicksinkamba3401 3 місяці тому +2

    Zingatia neno mama Samia awe na Aman kabisa Kwa lile jeshi aliloliona pale

  • @allidehunter3223
    @allidehunter3223 3 місяці тому +1

    👏

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid 3 місяці тому +12

    Huyo alikua asijioneshee yengelikua vizr zaid

    • @user-bh4up3dg5m
      @user-bh4up3dg5m 3 місяці тому

      Sio yy wamefanana tu

    • @kiuje
      @kiuje 3 місяці тому

      Kwanza mlitakiwa mitumie akili mboni aombi msaada😂

    • @charlessomi2506
      @charlessomi2506 3 місяці тому

      Asijioneshe aache kufanya majukumu yake kisa watu watamuhisi kua yeye n komando, halafu majukumu yake akayafanye nani

  • @MichaelJames-tp6co
    @MichaelJames-tp6co 3 місяці тому +127

    Baas yule komandoo tuombe nayeye awepo kwenye interview na huyu nae awepo😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 місяці тому +2

      HAPO SAWA

    • @annodaboy
      @annodaboy 3 місяці тому +1

      😂😂😂

    • @GloryMbwambo
      @GloryMbwambo 3 місяці тому +1

      Sindo huyo

    • @GloryMbwambo
      @GloryMbwambo 3 місяці тому +2

      Acheni kujichanganya ndo huyo huyo wee huon maneno yake Ni kejeli

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 3 місяці тому +2

      Waje Wawili wote tuone
      😂😂😂😂😂😂😂

  • @IbraMedan
    @IbraMedan 2 місяці тому

    Noma

  • @damiansambuo5955
    @damiansambuo5955 3 місяці тому

    Kazi ya kudumisha amani ni ya kila Mtanzania. Gonga like

  • @samboarnold611
    @samboarnold611 3 місяці тому +8

    Usafi (ndevu ), nidham ya maneno, confidence ... Una juaje mixed martia art ( combat)

  • @collinstemba6040
    @collinstemba6040 3 місяці тому +50

    Huyu yupo kwenye system 😮

  • @comradejonasrwegoshoramwal5727
    @comradejonasrwegoshoramwal5727 3 місяці тому

    Good interviewer

  • @kennethipapo9552
    @kennethipapo9552 3 місяці тому

    Mhuuuuuu,, like father like son

  • @joshuajohn2668
    @joshuajohn2668 3 місяці тому +49

    Jamaa anakofia moja ya buku jero ila boot la laki na nusu

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 3 місяці тому +43

    Hapo mngemfuata huyo mjeda na yeye ukweli ungejulikana huyo ni yeye anacheza na akili za watu

    • @IdarousPossy
      @IdarousPossy 3 місяці тому +2

      Sas unasema ni yey unauhakik?kuliko yeye anaejisemea?kwamba wewe ndio unajifanya unamjua sana au khaaa achen kulazmisha vitu ambvyo huvujui chizi wewe

    • @SaidiAmiri-qv5ed
      @SaidiAmiri-qv5ed 3 місяці тому +3

      Huwa hawaonekani ovyo,utampatia wapi hahahahhahahahha makomando

    • @naah884
      @naah884 3 місяці тому +2

      Sasa kama ni yeye itakusaidia nn

    • @SaraMathew-xd2vp
      @SaraMathew-xd2vp 3 місяці тому

      Ten itakuwa vzuri kama wakitutanisha nao wote wawili ili tulizike

    • @baloz8974
      @baloz8974 3 місяці тому

      Usikatizie rizki yake tumpigie kampeini achukuwe jeshini

  • @youthmediatv1
    @youthmediatv1 3 місяці тому

    Duh

  • @MastoryWorldwide
    @MastoryWorldwide 3 місяці тому

    Duh mbona noma

  • @dicksondkaganga1290
    @dicksondkaganga1290 3 місяці тому +3

    He is very bright. Kama siyo Askari basi mama mwangalie huyu kijana!

    • @susanmshindo7593
      @susanmshindo7593 3 місяці тому

      Yap! Kabisa kasoma mwelewa Yuko poa atatufaa ki kazi

    • @ezrommkambati1554
      @ezrommkambati1554 3 місяці тому

      Ampe mara ngapi mbona wabongo vilaza sana?

  • @Raysam-ki1rc
    @Raysam-ki1rc 3 місяці тому +39

    Aliona A12 agonge like chin hapo

  • @DIRHungweTv2023
    @DIRHungweTv2023 3 місяці тому

    Nice

  • @catherinecostantino2034
    @catherinecostantino2034 3 місяці тому

    Pia tofaut

  • @sengiyumvaathanas8815
    @sengiyumvaathanas8815 3 місяці тому +27

    Security top hazipiti njiaa, ukija vibayaa lazima nikukalisheee sijui mnaelewaaaaaaa😀😀😀😀

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 3 місяці тому +8

    Vitu vingine ni siri za kiusalama sasa wabongo tumekomaa na mwana aisee, mambo ya Ngonswe tumwachie Ngonswe mwenyewe, utulivu tulionao hapa mamaland Tz kuna watu wenye dhamana ambao ndo kazi zao sasa media zimekomaa na hii ishu ya jamaa

  • @user-vy9en5ly1z
    @user-vy9en5ly1z 3 місяці тому

    Ila unatuchota. Wewe Mkuu bwana salute.

  • @HusseinBio
    @HusseinBio 3 місяці тому

    Nakubali San mwamba

  • @traudkamugisha8051
    @traudkamugisha8051 3 місяці тому +3

    Ahahahaaaa muuza madafu mpaka unamiliki boxer mpya, ahahahaaaa, niwewe bwana ila tunashukuru kwa kazi nzuri ya ulinzi kwa Nchi yetu.

  • @kenedyjoram8276
    @kenedyjoram8276 3 місяці тому +4

    Ni yenye

    • @Mwanah27
      @Mwanah27 3 місяці тому +1

      Niyeye kweli mbona kila akiulizwa kuhusu mambo ya kuwa mjeda ana support sana

  • @rajabuhamzambagonyonge3257
    @rajabuhamzambagonyonge3257 2 місяці тому

    ❤❤❤

  • @nobertdomic2119
    @nobertdomic2119 3 місяці тому

    Aisee

  • @CuteMaryam818
    @CuteMaryam818 3 місяці тому +6

    Nikiangalia pua zao kama tofauti kidogo au itakua ni pacha wake 🤔🤔

    • @wamisangi2801
      @wamisangi2801 3 місяці тому

      Na mustachi kwa mbali. Uko vizuri.

    • @lightnessmsuya3170
      @lightnessmsuya3170 3 місяці тому

      Au Mama yao alizaa pacha mmoja akapitea enz hzo ila najiuliza tu maan mmh

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 3 місяці тому +7

    Jamani hata mimi nafanana na mawaziri naomba kazi ya uwaziri

  • @simulizizamajonzi3541
    @simulizizamajonzi3541 3 місяці тому +1

    Ni yeeye..

  • @mariummfizowz6968
    @mariummfizowz6968 3 місяці тому

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz 3 місяці тому +15

    Mpeni kazi huyu kijana naeeza anania halisi Rais sikilia ombi huyu kijana

  • @LandrickXl
    @LandrickXl 3 місяці тому +1

    anamsikiliza sana @dizastavina 🎉🎉

  • @mohamedally121
    @mohamedally121 3 місяці тому +3

    Hawa ni watu wawili tofauti...

  • @user-mb2ek2ds1h
    @user-mb2ek2ds1h 3 місяці тому +2

    Jmn mama Samia sema neno bas kama sio yy mpe nafas jmn

  • @ObedMaturo-bd2zr
    @ObedMaturo-bd2zr 3 місяці тому +2

    Huyu jamaa muongo, yaan upate hel yakununua pkpk alaf ukose hela ya pango😂😂😂

  • @charlesmashaury1898
    @charlesmashaury1898 3 місяці тому +7

    Mwambieni atuache tumegoma kukubali kuwa yeye sio kitengo au commando

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 3 місяці тому +20

    Sasa wahojiwe wote wawili wakiwepo pamoja ndo tueze kuelewa vizuri.

    • @user-kg2tm2eq7q
      @user-kg2tm2eq7q 3 місяці тому

      Swadaktaaa umenena

    • @reubensileke1713
      @reubensileke1713 3 місяці тому

      Wewe siri kama hizi haiwezi tokea hiyo

    • @edwinalexander1170
      @edwinalexander1170 3 місяці тому +1

      @@reubensileke1713 Hahahaha hii nchi unaweza kukuta mtu anauza makaa ukiona hana hata wateja, lakini bado anakomaa na makaa kumbe sio mwenzetu.

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 3 місяці тому +1

    😅😅😅😅😅😅 nchi yangu naipenda❤❤❤❤❤❤❤

  • @JoeliAlfled
    @JoeliAlfled 3 місяці тому

    Niweeeee safiiii sanaaa