Safi kabisa. Umeongea vizuri Mungu ailaze inapostahili sisi wanadamu hatujui roho ya mtu inaenda wapi wala hatuna uwezo wa kumuombea mtu aende mbinguni au jehanamu
Baadhi yenu hapa mnaeza sema ni bangi 🤔 but sy kwel boda boda wa Arusha wakogo na kalove flani hv na kaheshima flan hv wanako onyeshaga pindi mwenzao anapofariki so hii sy bangi sy vurugu it's love❤❤❤🙌 FOR THE LOVE OF ARUSHA rest in paradise😢😢
Hiki kitu kinaonekana kama ni umaarufu lkn baadae watu watakuja kulia na kuomboleza ukweli nikwamba ujana unamambo yake lkn sio hayo huo ni zaidi ya uhuni wanaofanya vijana, na simaanishi alichofanyiwa huyo kijana mpaka kupata umauti kuwa ni sawa ila namaanisha hiyo lifestyle ya vijana wa kwetu Arusha sio nzuri ni hatari kabisa tusichekelee, Mungu awasaidie wabadilike
Inasikitisha sana serikali inalea mambo kama haya, jeh tumewahi kujiuliza baada ya muda kizazi kinachotegemewa ambacho ndio vijana itakuwaje hasa ukizingatia swala zima la amani na namna ya kufuata sheria za nchi, maana naamini uhuru unamipaka. Kuna haja ya elimu kutolewa na hatua kubwa kuchukuliwa kuanzia ngazi ya familia hadi serikalini
Ni kweli apumzike kwa amani huyu kijana! Ila serikali inapaswa kuangalia kwa jicho la tatu hawa vijana! Naiona hatari iliyoko mbele yetu! Na ubaya wanasema Cha Arusha kina nguvu
Fainali uzeeni !! Ujana maji ya moto !! Vijana wanajisahau kwamba nguvu nyingi walizonazo wanazitumia kujiangamiza wenyewe na sio kujiendeleza !! Hao vijana bado ni wadogo mno na kasi waliyonayo sio salama kabisa !! Mungu tuu mwenyewe akiokoe kizazi hiki ambacho hakina dalili ya kudumu bali kuangamia !!
Mimi nafikiri ifike mahala sasa serikali yetu iwe na jicho la kuona mbali hapa tunazalisha vijana wa aina gani jmn,tukumbuke kuna watu wanalea familia zao wazazi wao na wengine kusomesha pia sasa hawa wapuuzi wachache wanafanya madereva wa pikipiki waonekane sio waungwana angali sio kweli! Serikali kupitia vyombo vya ulinzi na usalama tunaomba mtazame hili, naomba kuwasilisha.
Inaonekana vijana wengi Arusha wanatumia mmea vibaya Kwa hari hii niliyoiona inaonyesha akina Dangote hawawez kupotea...ila yote na yote poleni kwa msiba wa dereva mwenzenu..!!?
ARUSHA INATAKIWA IWE KANDA MAALUM YA KIPOLISI NA KIUSALAMA. INAONEKANA BODABODA INATAKA KUWA CHAKA AU GENGE LA WAVUTA BANGI NA MADAWA YA KULEVYA. KUNA SIKU HAO VIJANA WATATUMIKA VIBAYA NA ITAKUWA HATARI!
Yote na yote wamiliki wa magari waelekezwe hii kitu aiseh... Kwakweli hata mm pia iliwahi nitokea nikataka kufa kama alivokufa huyu kijana. Nilikua naendesha pikipiki nawahi sokoni, kuna Mahali nikawa nimepita kulikua na gari imepaki mbele... Yaani ile nakaribia tu akawa amefungua mlango wa upande wa barabarani, kilichotokea nilifunga breki kwa haraka nikaruka ule mlango pikipiki ndo ikawa imegonga mlango... Kwakweli niliumia sana... Hadi leo sijawahi sahau na huwa nakua Makini sana nikiwa naendesha boda nikiona gari imepaki... Madereva waelekezwe sana hii kitu. Najua tupo wengi tulokutana hii changamoto
Niko Chuga ila kuna muda naogopa asee 🤣🤣🤣🤣awa jamaa kwanza ukikutana nao ili uwahi mzozo kuumaliza wee uwe na chenchi zao ...yaaan we uwe na 2000 ya silver watupie apo asee utaitwa boss na utasindikizwa umbali wowote ule usiku wamanane other wise utaita maji mma
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU Ingia kwenye simu yako📲NAMBA YA KAMPUNI 553111 KUMB NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1000 Utapata ujumbe wa USHINDI
Mmeanza Utapeli nanyinyi sio
Ila halusha bangesana tuwaombee
No
Mungu itazame tanzania kwa macho ya huruma. Kila kitu kimeharibika, sio maadili, sio siasa . Misingi ikiharibika mwenye haki atafanya nini?.
Safi kabisa. Umeongea vizuri Mungu ailaze inapostahili sisi wanadamu hatujui roho ya mtu inaenda wapi wala hatuna uwezo wa kumuombea mtu aende mbinguni au jehanamu
Dah! Mungu awasaidie sana
Mungu uliye hai watazame tena vijana wako na warejee nyumbani mwako kwa maana wewe ni upendo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢
Huu ugonjwa unaolelewa ar ni tatizo sana
Mungu amlaze anapoona panastaili ,,mwandishii wewee!!
Baadhi yenu hapa mnaeza sema ni bangi 🤔 but sy kwel boda boda wa Arusha wakogo na kalove flani hv na kaheshima flan hv wanako onyeshaga pindi mwenzao anapofariki so hii sy bangi sy vurugu it's love❤❤❤🙌 FOR THE LOVE OF ARUSHA rest in paradise😢😢
Hiki kitu kinaonekana kama ni umaarufu lkn baadae watu watakuja kulia na kuomboleza ukweli nikwamba ujana unamambo yake lkn sio hayo huo ni zaidi ya uhuni wanaofanya vijana, na simaanishi alichofanyiwa huyo kijana mpaka kupata umauti kuwa ni sawa ila namaanisha hiyo lifestyle ya vijana wa kwetu Arusha sio nzuri ni hatari kabisa tusichekelee, Mungu awasaidie wabadilike
Nimatahila sana hawa tukiachana na mambo ya msiba ilakwa mwendohuu miaka miwili mbele arusha itakua na matahila wengi tanzania
Eti Mungu Ailaze Roho Ya marehemu anapoona panastahili ,Daah mwandishi Hapo umewaza nini?????😊😊😊😊😊😊
mungu amlaze mahala pemapema ameena
Itabidi serikal iwaangalie awa vijana mna uhuru umepitiliza sana..Wamekua wahuni sana wanaweza kufanya matukio ya ajabu kama kukaba kubaka nk.
Nadhani ni hicho cha Arusha wanalima mpaka uwani, wanatisha kama ( ALSHABAB WA TANZANIA)
@@ummySheikh72 Kwel kabsa ndugu
Hawa hawaibi wala kubaka ni maderva wa Toyo na wana madem wao hawabaki
Abake nan ndicho hicho tu kipo kichwan KWAKO fyuuuuuu
Mawazo yako ya kiwaki
Poleni sana ndg zangu pole sana
Pombe bangi,, noma sana Allah atuongoze
Allah Anasema usihukumu mtu usiyemjua,Arusha Kwa Usiokaaa A-city Utasema Machalii wanakula Hizo vitu Umeandika lakini hamna....
Inasikitisha sana serikali inalea mambo kama haya, jeh tumewahi kujiuliza baada ya muda kizazi kinachotegemewa ambacho ndio vijana itakuwaje hasa ukizingatia swala zima la amani na namna ya kufuata sheria za nchi, maana naamini uhuru unamipaka. Kuna haja ya elimu kutolewa na hatua kubwa kuchukuliwa kuanzia ngazi ya familia hadi serikalini
Ni kweli apumzike kwa amani huyu kijana! Ila serikali inapaswa kuangalia kwa jicho la tatu hawa vijana! Naiona hatari iliyoko mbele yetu! Na ubaya wanasema Cha Arusha kina nguvu
Rc makonda aanze nao aisee tanzania haiwezi kwenda hivi hapana.! Sio maadili kabisa
🤣🤣ao machalii ni kwele ..ARUSHA ni nchi ndani ya nchi vijana waapo Wana life stail yao Wana kiswahili Chao Wana swagazao zakihuni
Kwere sio kwele jomba
Arusha wamenishinda tabia😃
Noma Sana😀😀
Mungu awe msaada.?
Najivunia CHUGA its ma motherland 🌴😆😉
Wadudu wa arusha jamani msiipeleke watoto wenu arusha ni pa kufanyia maombi dogoo kapumnzika mazima
Polen Sana Wana chuga
Mungu ikomboe Arusha asa hizo rebon kajipamba yeye ndio marehemu?😭😭😭
🤣🤣🤣 ni masikitiko
😢😢😢 wanamuezi.marehem
Arusha lnahitaji nguvu ya ziada ya serikali na Jamie itoe ushirikiano ni wadogo ukiwaangalia
washadanja tayari na wao
😂😂😂😂😂😂😂😂
tatizo wengi ni washamba hudhania uhuni ni sehemu ya maisha yao na ujinga ujinga
Jamaaa kala kofi
Huyu rais mpole sana
Kizazi kwisha hapo
Arusha sio Tz nakupenda 😅😅😅
Hawa sio wadudu wadudu wanao respect sn hawa wame vamia tuu
Najivunia Saana Kutoka Kaskazini....
Mtakufa muishe kbsa
Eti wadudu😂😂ila machalii wanakula bangi kali sana
😂😂😂 nafikili huko ndio unalimwa
Napenda xana sun rise jaman 🔥🔥👊
Mi sijaelewa hata Neno mojaa uwiiiii
Hawa macharii wakikutana na PANYA road wa dar ni kwilikwichi
Nimeipenda hii ya mtangazaji mungu amuweke anapoona panastahili💯👆🤣
Republic of Arusha
Kwan Kuna mwandishi mbumbumbu
Yaani Ni Arusha mtu ananyonga bangi bila kwere
It's another Nation in Tanzania
Og machalii
Mmhh Arusha nae
Hawana shida wamepat maumivu ya wenzao
Da! Hatari sana, nchi ina maadili, najua, tuanze na hawa
Serekali inajua Arusha ni mkoa unao jitegemea
Duh!
Jaman vijana wetu Mungu wasaidie
Mtu anaitwa mdudu jmn nyie jhaa😂marehem pumzika kwa aman 🙏
Mungu atunusuru na vizazi vyetu
Mm naona wapunguze bange hau Selekali wafutilie bange Zisiwe kuunzwa
Arusha changamoto sana watoto wetu nitatizo sana
Jamani apo ni tz kweli.mbona sielewi
Najivunia kuwa mtu wa Arusha
😂poleee
mtiani sanà
Wapiga kura wa mama samia hao....Sasa hapo bandari ya nini?
Wadudu ngaaaa hahahahaaa hii ni nomaaa
Kuna jamaa kalamba teke latumbo apo aisee machali yachuga nomaa
Accheni viredio kama ingekuwa tunaharibikiwa mbn mnataman kuwaleta watoto wenu ILBORU na KISIMIRI waje wachukuwe material??????
Wako karibu na milaaa
Kisimiri plantation
Dadeki Hadi raha hiy vurugu
Nimemuona mmoja kanyoa àlama ya kuuliza?jaman wadudu
Kuna serekali kweliii au imelala?
Hakuna,Tanzania imekua ya ovyo mno
Chuga amnaga uwoga Yani Ni nguv moko
Ongeza saut mtangazaji
inabidi wapigwe risasi kufuta kizazi hicho
N vile nafeel iyo pain aloh😢
apumzike kwa amani mameni ken
Huwa sitaman kabisa kuishi huu mji dah
Duuuuu😊😊😊😊😊😊
Baada ya miaka kadhaa sipati picha hawa watakuwa ni wazee wa aina gani
Hahahahaaaa, nimependa iyo buti huyo mbanga kapigwa ya mbavu?
hee Arusha imebadirika
Udereva wa hovyo tunajua mnavyoendeshaga mkituka au kwenda kuzika
Sasa hao wavuta bangi unapanda bodaboda yao kweli kuna usalama hapo?
Fainali uzeeni !! Ujana maji ya moto !! Vijana wanajisahau kwamba nguvu nyingi walizonazo wanazitumia kujiangamiza wenyewe na sio kujiendeleza !! Hao vijana bado ni wadogo mno na kasi waliyonayo sio salama kabisa !! Mungu tuu mwenyewe akiokoe kizazi hiki ambacho hakina dalili ya kudumu bali kuangamia !!
Ngekua ofisah..Hawa wote nawaweka ndan. Washawaka
Una jeuriii iyooo
Una jeuriii iyooo
We ni mama tu kwanza njoo huku chuga uone
Hawa wenyewe tu nivichaa hamna watu hapo
Mungu awape hekima wahandishi manake mnavyo warekodi ndio mnawapa kuja juu .au na nyie mnainjoy
Kumbe nawewe umeliona hilo,,mmi nawashangaa waandshi wanavyoshabikia upuuz wa namna hyo na wako tayar hata kurekod mtu anashambuliwa mpka kuuwawa cku hzi hakuna utu kabsa 😢
Duuu wadudu ndani ya arusha
HOME BOYS... Baada ya miaka mi5 sijui nawaona wapi wazee
Hili ni TIME BOMB kwa taifa letu😢😢😢😢😢Serikali ipo???
Mimi nafikiri ifike mahala sasa serikali yetu iwe na jicho la kuona mbali hapa tunazalisha vijana wa aina gani jmn,tukumbuke kuna watu wanalea familia zao wazazi wao na wengine kusomesha pia sasa hawa wapuuzi wachache wanafanya madereva wa pikipiki waonekane sio waungwana angali sio kweli! Serikali kupitia vyombo vya ulinzi na usalama tunaomba mtazame hili, naomba kuwasilisha.
Iko sawa maana kiukweli hawa wame zingua sana
Mungu ailaze mahali panapo stahili roho ya marehemu.😅😅 Kwanini isilazwe peponi dingii??
NI kafiri huyo Marehemu.
Anapoona bana estahili😅😅😅😂😂😂
BODA WA AINA HII ASE, MBONA TUNAKWENDA KASI SANA MAZEE.
bajaji arusha mbona wapo kimya
Sasa naanza kumuelewa lema
Inaonekana vijana wengi Arusha wanatumia mmea vibaya Kwa hari hii niliyoiona inaonyesha akina Dangote hawawez kupotea...ila yote na yote poleni kwa msiba wa dereva mwenzenu..!!?
Chali angu katoka dizinga juzi wahuni wakamshona kipisi ya beleshi ........... wahuni wanazngua sana
Kweli hawa wadudu
😂😂😂😂
Arusha unakujia na Passport na Visa ni Taifa lingine hili.
ARUSHA INATAKIWA IWE KANDA MAALUM YA KIPOLISI NA KIUSALAMA. INAONEKANA BODABODA INATAKA KUWA CHAKA AU GENGE LA WAVUTA BANGI NA MADAWA YA KULEVYA. KUNA SIKU HAO VIJANA WATATUMIKA VIBAYA NA ITAKUWA HATARI!
Yote na yote wamiliki wa magari waelekezwe hii kitu aiseh... Kwakweli hata mm pia iliwahi nitokea nikataka kufa kama alivokufa huyu kijana. Nilikua naendesha pikipiki nawahi sokoni, kuna Mahali nikawa nimepita kulikua na gari imepaki mbele... Yaani ile nakaribia tu akawa amefungua mlango wa upande wa barabarani, kilichotokea nilifunga breki kwa haraka nikaruka ule mlango pikipiki ndo ikawa imegonga mlango... Kwakweli niliumia sana... Hadi leo sijawahi sahau na huwa nakua Makini sana nikiwa naendesha boda nikiona gari imepaki... Madereva waelekezwe sana hii kitu. Najua tupo wengi tulokutana hii changamoto
Pole Sana Aiseee
Ndo ujifunze uneona gari limesimama wewe unakuja na pikipiki spidi. Ila nakupa pole my brother.
Boda wengi huwa hawatumii alama na Sheria za barabarani,wanafanya kama vile wapo peke yao barabarani
Nifedhea tu😢
Uku kwakweri sio kuzuri😂😂😂😂😂
Chuga sio kuzuri ni kuzuri sanaa
Serikali ina walea tu
Selikali hawa vijana inawachukuliaje hiki kizazi sio salama sana; hili kama ni gang
Niko Chuga ila kuna muda naogopa asee 🤣🤣🤣🤣awa jamaa kwanza ukikutana nao ili uwahi mzozo kuumaliza wee uwe na chenchi zao ...yaaan we uwe na 2000 ya silver watupie apo asee utaitwa boss na utasindikizwa umbali wowote ule usiku wamanane other wise utaita maji mma
Centero Arusha wamejaa awa
Serikali isipoangalia kwa ukaribu itavuna mabua ..
Hata drug cartels za Mexico na Colombia zilianza hivi hivi serikali inalea ujinga, hawa wahuni wadhibitiwe mapema akiwemo mdogo wangu nae kalowea humo
😂huna mwingine tuoe???
Vybz Kartel👐
Umafia tupu.😅😅