MACHALII wa ARUSHA WADUDU WAFUNGA BARABARA, WAPIGA WATU WAKIENDA KUMZIKA MWENZAO...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 258

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Рік тому +2

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU Ingia kwenye simu yako📲NAMBA YA KAMPUNI 553111 KUMB NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1000 Utapata ujumbe wa USHINDI

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Рік тому +16

    Mungu itazame tanzania kwa macho ya huruma. Kila kitu kimeharibika, sio maadili, sio siasa . Misingi ikiharibika mwenye haki atafanya nini?.

  • @Wamimedia
    @Wamimedia 11 місяців тому

    Safi kabisa. Umeongea vizuri Mungu ailaze inapostahili sisi wanadamu hatujui roho ya mtu inaenda wapi wala hatuna uwezo wa kumuombea mtu aende mbinguni au jehanamu

  • @consomatogaudence136
    @consomatogaudence136 5 місяців тому

    Dah! Mungu awasaidie sana

  • @89_Media
    @89_Media Рік тому +4

    Mungu uliye hai watazame tena vijana wako na warejee nyumbani mwako kwa maana wewe ni upendo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Рік тому +8

    Huu ugonjwa unaolelewa ar ni tatizo sana

  • @Jicho03
    @Jicho03 5 місяців тому

    Mungu amlaze anapoona panastaili ,,mwandishii wewee!!

  • @blackeagle4441
    @blackeagle4441 Рік тому +2

    Baadhi yenu hapa mnaeza sema ni bangi 🤔 but sy kwel boda boda wa Arusha wakogo na kalove flani hv na kaheshima flan hv wanako onyeshaga pindi mwenzao anapofariki so hii sy bangi sy vurugu it's love❤❤❤🙌 FOR THE LOVE OF ARUSHA rest in paradise😢😢

  • @nicksonthomas5429
    @nicksonthomas5429 11 місяців тому +1

    Hiki kitu kinaonekana kama ni umaarufu lkn baadae watu watakuja kulia na kuomboleza ukweli nikwamba ujana unamambo yake lkn sio hayo huo ni zaidi ya uhuni wanaofanya vijana, na simaanishi alichofanyiwa huyo kijana mpaka kupata umauti kuwa ni sawa ila namaanisha hiyo lifestyle ya vijana wa kwetu Arusha sio nzuri ni hatari kabisa tusichekelee, Mungu awasaidie wabadilike

  • @zaujatnoah-ro6uj
    @zaujatnoah-ro6uj Рік тому

    Nimatahila sana hawa tukiachana na mambo ya msiba ilakwa mwendohuu miaka miwili mbele arusha itakua na matahila wengi tanzania

  • @talents7934
    @talents7934 Рік тому

    Eti Mungu Ailaze Roho Ya marehemu anapoona panastahili ,Daah mwandishi Hapo umewaza nini?????😊😊😊😊😊😊

  • @JumaKilowoko-ie1kz
    @JumaKilowoko-ie1kz Рік тому

    mungu amlaze mahala pemapema ameena

  • @saidiabdul1635
    @saidiabdul1635 Рік тому +14

    Itabidi serikal iwaangalie awa vijana mna uhuru umepitiliza sana..Wamekua wahuni sana wanaweza kufanya matukio ya ajabu kama kukaba kubaka nk.

    • @ummySheikh72
      @ummySheikh72 Рік тому

      Nadhani ni hicho cha Arusha wanalima mpaka uwani, wanatisha kama ( ALSHABAB WA TANZANIA)

    • @saidiabdul1635
      @saidiabdul1635 Рік тому

      @@ummySheikh72 Kwel kabsa ndugu

    • @abuutamliikhaothmaan7244
      @abuutamliikhaothmaan7244 Рік тому +1

      Hawa hawaibi wala kubaka ni maderva wa Toyo na wana madem wao hawabaki

    • @Estherbongo
      @Estherbongo Рік тому

      Abake nan ndicho hicho tu kipo kichwan KWAKO fyuuuuuu

    • @samsont.albini5998
      @samsont.albini5998 Рік тому

      Mawazo yako ya kiwaki

  • @hansmsangi9828
    @hansmsangi9828 Рік тому

    Poleni sana ndg zangu pole sana

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Рік тому +1

    Pombe bangi,, noma sana Allah atuongoze

    • @omyhaby1912
      @omyhaby1912 7 місяців тому

      Allah Anasema usihukumu mtu usiyemjua,Arusha Kwa Usiokaaa A-city Utasema Machalii wanakula Hizo vitu Umeandika lakini hamna....

  • @jejophotofilmtz8057
    @jejophotofilmtz8057 Рік тому +16

    Inasikitisha sana serikali inalea mambo kama haya, jeh tumewahi kujiuliza baada ya muda kizazi kinachotegemewa ambacho ndio vijana itakuwaje hasa ukizingatia swala zima la amani na namna ya kufuata sheria za nchi, maana naamini uhuru unamipaka. Kuna haja ya elimu kutolewa na hatua kubwa kuchukuliwa kuanzia ngazi ya familia hadi serikalini

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 Рік тому +7

    Ni kweli apumzike kwa amani huyu kijana! Ila serikali inapaswa kuangalia kwa jicho la tatu hawa vijana! Naiona hatari iliyoko mbele yetu! Na ubaya wanasema Cha Arusha kina nguvu

  • @mbachoclassic7818
    @mbachoclassic7818 6 місяців тому

    Rc makonda aanze nao aisee tanzania haiwezi kwenda hivi hapana.! Sio maadili kabisa

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Рік тому +13

    🤣🤣ao machalii ni kwele ..ARUSHA ni nchi ndani ya nchi vijana waapo Wana life stail yao Wana kiswahili Chao Wana swagazao zakihuni

  • @Maconcepty
    @Maconcepty Рік тому +5

    Arusha wamenishinda tabia😃

  • @AlphaNdossi-on4os
    @AlphaNdossi-on4os Рік тому

    Noma Sana😀😀

  • @StevenLoita-rl9cx
    @StevenLoita-rl9cx 11 місяців тому

    Mungu awe msaada.?

  • @EdgarLema-qi9or
    @EdgarLema-qi9or Рік тому

    Najivunia CHUGA its ma motherland 🌴😆😉

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 11 місяців тому

    Wadudu wa arusha jamani msiipeleke watoto wenu arusha ni pa kufanyia maombi dogoo kapumnzika mazima

  • @samwelsamson4135
    @samwelsamson4135 Рік тому

    Polen Sana Wana chuga

  • @monicambuya-sq9ms
    @monicambuya-sq9ms Рік тому +12

    Mungu ikomboe Arusha asa hizo rebon kajipamba yeye ndio marehemu?😭😭😭

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 Рік тому +1

    tatizo wengi ni washamba hudhania uhuni ni sehemu ya maisha yao na ujinga ujinga

  • @shaibhasan9233
    @shaibhasan9233 Рік тому

    Jamaaa kala kofi

  • @yahayaallytv2852
    @yahayaallytv2852 Рік тому +3

    Huyu rais mpole sana

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 Рік тому

    Kizazi kwisha hapo

  • @ggfffhii4706
    @ggfffhii4706 Рік тому +4

    Arusha sio Tz nakupenda 😅😅😅

  • @elliyawilliam2521
    @elliyawilliam2521 Рік тому

    Hawa sio wadudu wadudu wanao respect sn hawa wame vamia tuu

  • @omyhaby1912
    @omyhaby1912 7 місяців тому

    Najivunia Saana Kutoka Kaskazini....

  • @sheyosquad5755
    @sheyosquad5755 Рік тому

    Mtakufa muishe kbsa

  • @emazjassam2452
    @emazjassam2452 Рік тому +2

    Eti wadudu😂😂ila machalii wanakula bangi kali sana

    • @zawadijuma9681
      @zawadijuma9681 11 місяців тому

      😂😂😂 nafikili huko ndio unalimwa

  • @aminaathuman8146
    @aminaathuman8146 Рік тому

    Napenda xana sun rise jaman 🔥🔥👊

  • @hildadaniel4892
    @hildadaniel4892 Рік тому +1

    Mi sijaelewa hata Neno mojaa uwiiiii

  • @ConsciousConscious-b1d
    @ConsciousConscious-b1d Рік тому

    Hawa macharii wakikutana na PANYA road wa dar ni kwilikwichi

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 Рік тому +2

    Nimeipenda hii ya mtangazaji mungu amuweke anapoona panastahili💯👆🤣

  • @lesilale
    @lesilale Рік тому

    Republic of Arusha

  • @kelvinkasanga1235
    @kelvinkasanga1235 Рік тому +1

    Kwan Kuna mwandishi mbumbumbu

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand6723 Рік тому +4

    Yaani Ni Arusha mtu ananyonga bangi bila kwere
    It's another Nation in Tanzania
    Og machalii

  • @Zainabungwai
    @Zainabungwai Рік тому

    Mmhh Arusha nae

  • @impokisanga9636
    @impokisanga9636 Рік тому +1

    Hawana shida wamepat maumivu ya wenzao

  • @TOUNDISELASSIE-xj8oy
    @TOUNDISELASSIE-xj8oy Рік тому +1

    Da! Hatari sana, nchi ina maadili, najua, tuanze na hawa

    • @Paplick9
      @Paplick9 Рік тому

      Serekali inajua Arusha ni mkoa unao jitegemea

  • @musicworldwide2625
    @musicworldwide2625 Рік тому

    Duh!

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka Рік тому

    Jaman vijana wetu Mungu wasaidie

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de Рік тому +1

    Mtu anaitwa mdudu jmn nyie jhaa😂marehem pumzika kwa aman 🙏

  • @elividakasari1356
    @elividakasari1356 Рік тому

    Mungu atunusuru na vizazi vyetu

    • @WilsonEmmanuel-bs6op
      @WilsonEmmanuel-bs6op Рік тому

      Mm naona wapunguze bange hau Selekali wafutilie bange Zisiwe kuunzwa

  • @leinaamos
    @leinaamos Рік тому

    Arusha changamoto sana watoto wetu nitatizo sana

  • @adelinabaitu3291
    @adelinabaitu3291 Рік тому

    Jamani apo ni tz kweli.mbona sielewi

  • @neemalema5312
    @neemalema5312 Рік тому +3

    Najivunia kuwa mtu wa Arusha

  • @ibrahimally-j4g
    @ibrahimally-j4g 11 місяців тому

    mtiani sanà

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 Рік тому

    Wapiga kura wa mama samia hao....Sasa hapo bandari ya nini?

  • @panadomadola3064
    @panadomadola3064 Рік тому

    Wadudu ngaaaa hahahahaaa hii ni nomaaa

  • @sistimasawe5936
    @sistimasawe5936 Рік тому

    Kuna jamaa kalamba teke latumbo apo aisee machali yachuga nomaa

  • @FahadShaaban-f6w
    @FahadShaaban-f6w Рік тому

    Accheni viredio kama ingekuwa tunaharibikiwa mbn mnataman kuwaleta watoto wenu ILBORU na KISIMIRI waje wachukuwe material??????

  • @jamessichimata36
    @jamessichimata36 Рік тому

    Wako karibu na milaaa

  • @fredyshirima8594
    @fredyshirima8594 Рік тому

    Kisimiri plantation

  • @BrunoFaustini-ii5hn
    @BrunoFaustini-ii5hn Рік тому

    Dadeki Hadi raha hiy vurugu

  • @JoyceMwita-e3w
    @JoyceMwita-e3w Рік тому

    Nimemuona mmoja kanyoa àlama ya kuuliza?jaman wadudu

  • @peninandosi4096
    @peninandosi4096 Рік тому +3

    Kuna serekali kweliii au imelala?

  • @dannyboytz6198
    @dannyboytz6198 11 місяців тому

    Ongeza saut mtangazaji

  • @AshrafuJonny-sz4gs
    @AshrafuJonny-sz4gs 6 місяців тому

    inabidi wapigwe risasi kufuta kizazi hicho

  • @ElishaErnest-xd9qt
    @ElishaErnest-xd9qt Рік тому

    N vile nafeel iyo pain aloh😢

  • @Razack-k5o
    @Razack-k5o Рік тому

    apumzike kwa amani mameni ken

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 Рік тому

    Huwa sitaman kabisa kuishi huu mji dah

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 Рік тому

    Duuuuu😊😊😊😊😊😊

  • @GidionMassatu
    @GidionMassatu 11 місяців тому

    Baada ya miaka kadhaa sipati picha hawa watakuwa ni wazee wa aina gani

  • @lasteckmmary9741
    @lasteckmmary9741 Рік тому +2

    Hahahahaaaa, nimependa iyo buti huyo mbanga kapigwa ya mbavu?

  • @AnoriasKope
    @AnoriasKope 10 місяців тому

    hee Arusha imebadirika

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Рік тому

    Udereva wa hovyo tunajua mnavyoendeshaga mkituka au kwenda kuzika

  • @happinessmosala2217
    @happinessmosala2217 Рік тому +1

    Sasa hao wavuta bangi unapanda bodaboda yao kweli kuna usalama hapo?

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 Рік тому +4

    Fainali uzeeni !! Ujana maji ya moto !! Vijana wanajisahau kwamba nguvu nyingi walizonazo wanazitumia kujiangamiza wenyewe na sio kujiendeleza !! Hao vijana bado ni wadogo mno na kasi waliyonayo sio salama kabisa !! Mungu tuu mwenyewe akiokoe kizazi hiki ambacho hakina dalili ya kudumu bali kuangamia !!

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 Рік тому +2

    Ngekua ofisah..Hawa wote nawaweka ndan. Washawaka

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Рік тому

    Hawa wenyewe tu nivichaa hamna watu hapo

  • @beckhmediaproduction7624
    @beckhmediaproduction7624 Рік тому

    Mungu awape hekima wahandishi manake mnavyo warekodi ndio mnawapa kuja juu .au na nyie mnainjoy

    • @BerthaSimon-bn7oc
      @BerthaSimon-bn7oc Рік тому

      Kumbe nawewe umeliona hilo,,mmi nawashangaa waandshi wanavyoshabikia upuuz wa namna hyo na wako tayar hata kurekod mtu anashambuliwa mpka kuuwawa cku hzi hakuna utu kabsa 😢

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Рік тому

    Duuu wadudu ndani ya arusha

  • @theroggyplus255
    @theroggyplus255 Рік тому

    HOME BOYS... Baada ya miaka mi5 sijui nawaona wapi wazee

  • @bonnyngowo7567
    @bonnyngowo7567 Рік тому

    Hili ni TIME BOMB kwa taifa letu😢😢😢😢😢Serikali ipo???

  • @ezekielmollel-rv1ge
    @ezekielmollel-rv1ge Рік тому +2

    Mimi nafikiri ifike mahala sasa serikali yetu iwe na jicho la kuona mbali hapa tunazalisha vijana wa aina gani jmn,tukumbuke kuna watu wanalea familia zao wazazi wao na wengine kusomesha pia sasa hawa wapuuzi wachache wanafanya madereva wa pikipiki waonekane sio waungwana angali sio kweli! Serikali kupitia vyombo vya ulinzi na usalama tunaomba mtazame hili, naomba kuwasilisha.

  • @deliriousgentleman7369
    @deliriousgentleman7369 Рік тому +1

    Mungu ailaze mahali panapo stahili roho ya marehemu.😅😅 Kwanini isilazwe peponi dingii??

  • @IranezezaSamuel
    @IranezezaSamuel 6 місяців тому

    Anapoona bana estahili😅😅😅😂😂😂

  • @elicanageorge1319
    @elicanageorge1319 Рік тому

    BODA WA AINA HII ASE, MBONA TUNAKWENDA KASI SANA MAZEE.

  • @richytarimo4656
    @richytarimo4656 Рік тому

    bajaji arusha mbona wapo kimya

  • @SwalehMgomba
    @SwalehMgomba Рік тому

    Sasa naanza kumuelewa lema

  • @clemenceernestshooga
    @clemenceernestshooga 11 місяців тому

    Inaonekana vijana wengi Arusha wanatumia mmea vibaya Kwa hari hii niliyoiona inaonyesha akina Dangote hawawez kupotea...ila yote na yote poleni kwa msiba wa dereva mwenzenu..!!?

  • @Enzo-cp
    @Enzo-cp Рік тому

    Chali angu katoka dizinga juzi wahuni wakamshona kipisi ya beleshi ........... wahuni wanazngua sana

  • @IssaKilimo
    @IssaKilimo Рік тому

    Kweli hawa wadudu

  • @StevenLoita-rl9cx
    @StevenLoita-rl9cx 11 місяців тому

    Arusha unakujia na Passport na Visa ni Taifa lingine hili.

  • @cleophacephelician6739
    @cleophacephelician6739 Рік тому +6

    ARUSHA INATAKIWA IWE KANDA MAALUM YA KIPOLISI NA KIUSALAMA. INAONEKANA BODABODA INATAKA KUWA CHAKA AU GENGE LA WAVUTA BANGI NA MADAWA YA KULEVYA. KUNA SIKU HAO VIJANA WATATUMIKA VIBAYA NA ITAKUWA HATARI!

  • @juniorsonofgod5675
    @juniorsonofgod5675 Рік тому +4

    Yote na yote wamiliki wa magari waelekezwe hii kitu aiseh... Kwakweli hata mm pia iliwahi nitokea nikataka kufa kama alivokufa huyu kijana. Nilikua naendesha pikipiki nawahi sokoni, kuna Mahali nikawa nimepita kulikua na gari imepaki mbele... Yaani ile nakaribia tu akawa amefungua mlango wa upande wa barabarani, kilichotokea nilifunga breki kwa haraka nikaruka ule mlango pikipiki ndo ikawa imegonga mlango... Kwakweli niliumia sana... Hadi leo sijawahi sahau na huwa nakua Makini sana nikiwa naendesha boda nikiona gari imepaki... Madereva waelekezwe sana hii kitu. Najua tupo wengi tulokutana hii changamoto

    • @scorasticaclement6308
      @scorasticaclement6308 Рік тому

      Pole Sana Aiseee

    • @saliminyusuph6122
      @saliminyusuph6122 Рік тому

      Ndo ujifunze uneona gari limesimama wewe unakuja na pikipiki spidi. Ila nakupa pole my brother.

    • @ConsciousConscious-b1d
      @ConsciousConscious-b1d Рік тому

      Boda wengi huwa hawatumii alama na Sheria za barabarani,wanafanya kama vile wapo peke yao barabarani

  • @VanShayokviewshoursago
    @VanShayokviewshoursago Рік тому +3

    Nifedhea tu😢

  • @jogoolajiji2499
    @jogoolajiji2499 Рік тому +4

    Uku kwakweri sio kuzuri😂😂😂😂😂

    • @Enzo-cp
      @Enzo-cp Рік тому

      Chuga sio kuzuri ni kuzuri sanaa

  • @maxlattinokiki8105
    @maxlattinokiki8105 5 місяців тому

    Serikali ina walea tu

  • @barakachibwana3708
    @barakachibwana3708 Рік тому

    Selikali hawa vijana inawachukuliaje hiki kizazi sio salama sana; hili kama ni gang

  • @yuzzomoro5306
    @yuzzomoro5306 Рік тому +1

    Niko Chuga ila kuna muda naogopa asee 🤣🤣🤣🤣awa jamaa kwanza ukikutana nao ili uwahi mzozo kuumaliza wee uwe na chenchi zao ...yaaan we uwe na 2000 ya silver watupie apo asee utaitwa boss na utasindikizwa umbali wowote ule usiku wamanane other wise utaita maji mma

  • @eliannko
    @eliannko Рік тому

    Centero Arusha wamejaa awa

  • @shilladickson3852
    @shilladickson3852 Рік тому +2

    Serikali isipoangalia kwa ukaribu itavuna mabua ..

  • @mcback4384
    @mcback4384 Рік тому +4

    Hata drug cartels za Mexico na Colombia zilianza hivi hivi serikali inalea ujinga, hawa wahuni wadhibitiwe mapema akiwemo mdogo wangu nae kalowea humo