SHUHUDIA ROBOTI LILIVYOINGIA MBELE YA RAIS SAMIA KWENYE UZINDUZI WA MKONGO WA MAWASILIANO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 сер 2023
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

КОМЕНТАРІ • 237

  • @Damas_243
    @Damas_243 28 днів тому +42

    😭😭😭aisee inaniuma hatakama mimi sio mu Tanzania 🇹🇿 mimi ni mu congo 🇨🇩 kiukweli nyakati za mzee @MAGUFULI vitu kama hivi havinge fika Tanzania 🇹🇿 ange kemea huu upuuzi daah mwenyezi mungu amulaze mahal pema peponi 😭😭😭🙏🤲🤲🙌

    • @joabPeter-rm1vm
      @joabPeter-rm1vm 27 днів тому +1

      Pamoja sana ndugu yangu

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 27 днів тому +1

      amin yarab

    • @zakhiaomary3717
      @zakhiaomary3717 21 день тому

      Amiin

    • @amereciumfemium885
      @amereciumfemium885 18 днів тому

      uko sahihi ndugu yangu mambo ya kishamba haya

    • @pillyseleman8090
      @pillyseleman8090 15 днів тому

      Kwakweli ukingalia basi Tanzania Kwa unashughuli gani za kuhitaji robot wenyewe umeme wa mgao viti vyakula vya kishida wanavyotafuta vyahabika kwa mafriji kwa umeme wakuzima zima vionhoz jitafakarin muache kuiga nchi za watu waliondelea

  • @rachelkihaka9204
    @rachelkihaka9204 Місяць тому +14

    Daaaah kwakweli Mungu tunaomba utupe raisi kiongozi bora na si bora kiongozi katika taifa letu

  • @AishaJuma-zf6pw
    @AishaJuma-zf6pw 13 днів тому +8

    Kuna wananchi wengi hawana ajira mnatengeneza robot wann hii ndio moja ya roho mbaya

    • @fridayuda9577
      @fridayuda9577 День тому

      Najiuliza Sana hili swali,😭😭😭😭 tuombe Mungu Sana maana Hakuna kilichobaki

  • @StephenMalubi
    @StephenMalubi 17 днів тому +6

    Hii ni nchi yakipumbavu sana ,pumzika Kwa amani baba magu mema yako na mazur yako yatadumu daima

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 27 днів тому +19

    Kama hamna chaku fanya tufundishen hata mambo ya mungu tuwe na iman kuliko huo upuuzi

  • @user-lf1iy3tr6k
    @user-lf1iy3tr6k 20 днів тому +4

    Ehee Mungu kwa hili nfundishe kunyamaza maana nikisema hatari

  • @ZainabuSanga-yd7fg
    @ZainabuSanga-yd7fg 16 днів тому +3

    Da Mungu atusaidie sana

  • @MamyNjiwa
    @MamyNjiwa 3 дні тому

    Tunakukumbuka sanaaa mwana chato,mungu akupunguzie adhabu ya kabuli kipenzi chetu😢

  • @user-xw3wz5ov3u
    @user-xw3wz5ov3u 4 дні тому +1

    Dunia imeisha Mungu tusaidie😢

  • @creticiadonald1904
    @creticiadonald1904 6 днів тому +1

    Daah dear Lord have mercy on us

  • @talekush5623
    @talekush5623 10 місяців тому +10

    Mama ana uza bandali alafu anatuletea maloboti sisi yanini ayo maloboti..au ndo anaupiga mwingi?

    • @Kondoa805
      @Kondoa805 22 дні тому

      😂😂😂😂😂sijui nacheka nini

  • @ReahAdam
    @ReahAdam 24 дні тому +3

    Mh jaman unabii huo inaenda kutimia muyaonapo hayo changamken mkaviinue vichwa vyenu kwamana ukomboz ukalibu

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 29 днів тому

    Mashallah ❤❤❤

  • @msafirlaizer2368
    @msafirlaizer2368 10 місяців тому +3

    Kusema kweli tuwe makini hii ni program ya A.I inayoendelea duniani kwasasa, nilijua Tanzania yangu haitaingia huku. NI HATARI JAMANI, Tuweni makini karibia TERMINATOR Wana take over DUNIA NZIMA 😭😭😭

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Місяць тому +3

      Ulichokisema kimeshaonekana ndugu yangu 😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @jumamaster934
    @jumamaster934 29 днів тому +4

    Tnaiitaji madawa ndoyamsingi namba Moja pili ndotupate hao madaktari

  • @coneephraim7756
    @coneephraim7756 Місяць тому +4

    Very shame.........tpuuuuuuu........ I dont know if our brain still intact........ is something not ok somewhere.......

  • @fatimakhatibu8256
    @fatimakhatibu8256 20 днів тому +1

    Mingu ailinde Nchi yangu huyu mama ametuletee shetanii atutaeale Yaah Allah

  • @coneephraim7756
    @coneephraim7756 Місяць тому +6

    Daaah...... kweli kunatofauti kati ya binadamu na kivuli....... vivuli vikibaki.......... everything goes FU*****D
    So pain and very Pain...... No solidality, no Vission,.... no goals..... no stretigies..... Just Stupidity and staying on a palace throne having a ceremony for UTUMBOOO....... my tears for my lovely Country...... so Pain for my Africa........

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 29 днів тому +4

    Oooh allah jaaalia amani

  • @FatmaRashid-rr8yw
    @FatmaRashid-rr8yw 18 днів тому +2

    Upuuz gan huo wananchi hawana kaz pesa mwamalza kutengeneza upuuz uwo mtakuja kufa vbaya na marobot yenu

  • @MitchellErmina
    @MitchellErmina 22 дні тому +2

    Kazi yake nini wafrica mko nakazi mumeharibu pesa kutengeza kitu ambacho hakina maana sasa huyo robot mkikosea mtaona kazi

  • @MapandaBagiligwa
    @MapandaBagiligwa 28 днів тому +4

    Magufur Fufuka utasaidie hv hy bajety yakuagiza marobot Vp! Mngeierekeza kutujazia Mita zamaji watanzania wote tukatumia maj bure ata kwa ck 3

  • @JofryDaud-kc2du
    @JofryDaud-kc2du 23 дні тому +1

    Someni (1timoseo2:12)haya,kazikwenu,ilasiasa,niatali,leowanamsifia,akitoka,mbaya,siasa,niunafikitu,niwakati,wakumtafuta,MUNGU,yadunia,hayanamaana,yakobo5:1-4)

  • @emmanuelmlekwangano9991
    @emmanuelmlekwangano9991 27 днів тому +7

    Waabudu sanamu ole wenu

    • @user-zk8sg3iw1z
      @user-zk8sg3iw1z 3 дні тому

      Maana yake na Tanzania pia inaabudu sanamu Kwa kuwa wameshawaingiza nchini kwetu kama laana ya nchi😢

  • @JulianaKokujuna
    @JulianaKokujuna 25 днів тому +2

    Mwenyezi Mungu tupe akili😢

  • @JaneDaimon
    @JaneDaimon 27 днів тому +3

    Watu wengi mtaani hawana ajila nyie mnapiga makofi robot kweeeli MUNGU wape macho ya rohoni viongozi wetu tz

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 10 місяців тому +4

    Roboti ana mapoziiii zaidi ya mr blue

  • @emanuelnyab9872
    @emanuelnyab9872 Місяць тому +3

    Nape huna jipya kwenye wizara ya mawasiliano tokea urudi kwenye wizara Mambo yameharibik kabisa bando juu, voucher juu yaani kaa umebaki kutuletea midoli ya umeme kutoka ulaya sijui inafaida gani kwa Tanganyika yetu.

    • @EllyjTengeneza
      @EllyjTengeneza 16 днів тому

      Siyo Tanganyika bali ni Tanzania ila kama ni ziwa Tanganyika hapo sawa

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 29 днів тому

    Wenye nchi awo hadi raha❤

  • @JaneKikoti
    @JaneKikoti 3 дні тому

    Magufuri baba pumzika salama daima tutakukumbuka haya mambo ungekuwepo usingeruhusu yafanyike kabsa 🥲🥲

  • @JumaSalim-bd1ff
    @JumaSalim-bd1ff 27 днів тому +2

    Yaani naamini mataifa mengine wanatusikitikia sijui anafaida gani huyu robot

  • @pamelaaugustino5909
    @pamelaaugustino5909 7 днів тому

    Mungu tu ahusike Tz

  • @FranceMaiko-cs6il
    @FranceMaiko-cs6il 16 днів тому +1

    Bora angalau mfundishe biashara ya forex trading duuuhhh Tanzania bana

  • @user-do7pj7xg5u
    @user-do7pj7xg5u 17 днів тому +1

    Kwakwel tuombeni sana hizi ni nyakati za mwisho tunako elekea hizi hizi roboti zitakuja kutuua sisi wenyewe MUNGU itetee Tanzania tupe watu sahii Katika tafifa letu

  • @EdwinAbuya-en6yl
    @EdwinAbuya-en6yl 5 днів тому

    Wabudu shetan Tz mnaipusha African i wish nengekua Rais wa kenya Ruto ningekata husiano wetu juu bibilia lasema chitenge nawao

  • @ElizabettEmanuel
    @ElizabettEmanuel 5 днів тому

    Tanzania yetu. Inaitaji lehema za mungu

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 26 днів тому +1

    Ivi tz ndo tumefikia hapa kweli!

  • @user-xc5or1ph8x
    @user-xc5or1ph8x 10 днів тому +1

    yaan mpaka nacheka kwa kwel ila tanzania bana uwiiii

  • @JosephmwitaJosephmwita
    @JosephmwitaJosephmwita 28 днів тому +3

    Hizi kufuru huwa sizipendi huu upuzi

  • @user-xw3wz5ov3u
    @user-xw3wz5ov3u 4 дні тому

    Mataka taka Tanzania inchi yangu yanini😢

  • @eddakasela
    @eddakasela Місяць тому +3

    Hapo kuna majabu gani jamani

  • @HanifaNgasa
    @HanifaNgasa 27 днів тому

    Nipe kazi yakumogesha

  • @KelvinZabron-xs2vp
    @KelvinZabron-xs2vp 16 днів тому +1

    Sasa ilo limashine lakazi gani mbona kama ushetani mnatufundisha nini

  • @ShadrackJr
    @ShadrackJr 27 днів тому

    🎉🎉

  • @Upendo-hi1be
    @Upendo-hi1be 25 днів тому +1

    Mungu ingili kati tanzania

  • @Sifa-ol4lb
    @Sifa-ol4lb День тому

    😢😢😢😢 mama etu nae analiga makof ni nini hii mung tupe.macho ya rohon

  • @tumainikomba9008
    @tumainikomba9008 24 дні тому

    Mhn...

  • @MercyNjuguna-vw8gy
    @MercyNjuguna-vw8gy 17 днів тому +1

    Hii ni Mungu ya gizani tu siipendi kamwe

  • @OTAIGOMNANDE-kh7ny
    @OTAIGOMNANDE-kh7ny 2 дні тому

    Kwakweli mungu tusadie

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 26 днів тому

    ❤❤❤

  • @user-rn2dl1rg8b
    @user-rn2dl1rg8b 22 дні тому +1

    Ivi nanyiii mulio Kaa umo ndani munakenua tu alafu mnashangilia sisi uku tunaumia

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 27 днів тому +2

    Mimi sina chakula robot inanisaidiaje?

  • @patrixvii
    @patrixvii 26 днів тому

    Let's see what is our future

  • @SalamaJuma-mg3ru
    @SalamaJuma-mg3ru 9 днів тому +1

    Mama unatufundisha nini sisi waislam hivi kweli unaanza kuabudu sanamu na unalipigia 10 ewe mola wngu mzindue huyu mama hajui alitendalo

  • @xmathematics_
    @xmathematics_ 10 місяців тому

    Vitu vidogo sana hivyo

  • @user-ti5iu7lj5s
    @user-ti5iu7lj5s 16 днів тому

    Ila Mungu anawaona

  • @user-jq5pq9wn9e
    @user-jq5pq9wn9e День тому

    Dah sjui kwann nime zaliwa tz 😢😢😢

  • @johnshayo9635
    @johnshayo9635 Місяць тому +1

    Sisi Bado sana kwa kweli vitu vya kawaida kabisa hivyo

  • @thegalaxy2298
    @thegalaxy2298 10 місяців тому +2

    Safi sana.

  • @isaackijoti1283
    @isaackijoti1283 24 дні тому

    Alooooooh!😮😮

  • @mkanulamajid500
    @mkanulamajid500 2 дні тому

    Mmezoea kuyaona hayo Duniani sasa yamekuja hapa inamaana hapa sio Duniani ni wapi sasa????!!

  • @JosephBahati-bz4bu
    @JosephBahati-bz4bu 11 днів тому

    Daah ❤❤❤❤❤

  • @user-qv8qo3ff3q
    @user-qv8qo3ff3q 26 днів тому +1

    nchi zilizo piga hatua wanacheka mpaka wanakaukia jinsi tulivyo mapunguani kichwani tena mpka Mh raisi wa nchi anakuja kuangalia hii toii dah mama washauri wako wanakuangamiza hawakupi ushauri unaojenga

  • @josephatmdede2304
    @josephatmdede2304 5 днів тому

    Mungu anatuangalia tu Wacha tutape tapeeee Kisha Kun sim tutajua mung ni nani naon bad hatumjui mungu ni nani?

  • @user-mc2dp1rj9d
    @user-mc2dp1rj9d 27 днів тому +1

    Kumbe watanzania munakuaga na ujinga nilizani munahakili hamuna kabifa munadhamini kitu kisio sema nalipokosa akili munashagiria watu wazima hovyo😂😂😂😂😂😂😂

  • @rahamkibinda6137
    @rahamkibinda6137 5 днів тому

    Kwan Tanzania haipo duniani 😭😭😭

  • @asifamwenga210
    @asifamwenga210 2 години тому

    Hataree

  • @josephatmdede2304
    @josephatmdede2304 5 днів тому

    Daaaah hivi tunajua tunakojipeleka kweli jmn tunajua kwel tunakoend?

  • @carondiwa795
    @carondiwa795 6 днів тому

    Jiuliseni hizo pembe 👹 sini ni. Ya kishetani😭😭, ewe Mungu utusamehe maana Dunia ya Sasa inaongoswa na shetani👹👹😭

  • @claraedwardmalingumu3565
    @claraedwardmalingumu3565 День тому

    RIP raisi yetu kipenzi JPM❤

  • @SulleymanRamadhan-vm1jg
    @SulleymanRamadhan-vm1jg 3 дні тому

    Mhh mambo meusi watu tunashindwa kupeleka watoto shule kumbe hela ipo ndio muyaone hayo
    5:00

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 10 місяців тому

    Kazi ziendelee maendeleo na mapinduzi makubwa ya kiteknolojia

  • @user-jn2qj5wf6c
    @user-jn2qj5wf6c 7 днів тому

    Naomba kuuliza iyo pesa mgenipa mm kungekuwa na ubaya gan iyo 5 G nikapeleka mwenyewe kwa mama?

  • @ZawadiMwabadilanga
    @ZawadiMwabadilanga 24 дні тому

    Jamani achine kutaka kuchukuwa na fasi ya Allah tume chuku wana wana ume wame kuwa wana wake wana wake wame kwahiyo hatu rizike na fasi ya mungu tuaa che

  • @allykomsonde7813
    @allykomsonde7813 28 днів тому +1

    Kwakweli haya madogolingo mimi sijayaelewa rabda sijaelewa

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 10 місяців тому +3

    Roboti apewe uteuzi ukuu wa mkoa mara

    • @c-4839
      @c-4839 9 місяців тому +1

      😂

  • @josephnziku2997
    @josephnziku2997 Місяць тому +1

    Kuna ulazima kwa hili robot kuwekewa mapembe na sura yakutisha?

  • @lucysanka1665
    @lucysanka1665 29 днів тому +1

    Robot Lina mapembe ya shetani au ndo shetani mwenyewe?

  • @AbuuThabiti
    @AbuuThabiti 27 днів тому +3

    Yalabi tunusuru wajawako

  • @sharifajamal5764
    @sharifajamal5764 3 дні тому

    😢

  • @ataamansi8941
    @ataamansi8941 27 днів тому

    Ngoja likosee lianzekutembeza kichapo cha maana,Mie Simo

    • @user-dx4ow8vq1c
      @user-dx4ow8vq1c 14 днів тому

      Lifinye mimacho ya ilo libibi tuki ntachela nizimie kiukweli mm magu Bado ndio raisiwangu

  • @HildaEliphazi-dt3nh
    @HildaEliphazi-dt3nh 6 днів тому

    Kwanza ingetakiwa liwakanyage wote hapo ndani

  • @user-gq1bu4do5t
    @user-gq1bu4do5t 20 днів тому

    Kufanya ivyo maanayake nini inafaidagani uyo roboti ni wa kazi gani kwenye maendereo yetu au ni kupotezeana time ya kufikiria mengine

  • @franktangeki9342
    @franktangeki9342 10 місяців тому +1

    hayo Maroboti ndiyo yatakuwa yanafanya kazi Bandarini baada ya DP WORLD kukabidhiwa Bandari

  • @helenajoel5101
    @helenajoel5101 29 днів тому +5

    Kazizuli mamaangu hakika Mungu aendelee kukutetea ombilangu mama kwako mm jasiliamali soko limevujwa nimeyumba kimtaji nakuomba mama unisaidie nipo kigoma mama🙏

    • @pillyseleman8090
      @pillyseleman8090 15 днів тому

      Hiyo kazi ya robot ingepewa mtanzania akapata ugali wa wanae

  • @valencechacha
    @valencechacha 4 дні тому

    Roboti bado kichanga anajifunza kutembea😂😂

  • @Abynardo_decruel
    @Abynardo_decruel 5 днів тому

    Wapuuzi kwel sas hilo robot au mtu kavaa si bora mtutafute vijana tupo amabao tunaweza tukatengeneza modern and functional robot amna kitu hapa

  • @joycerichard9274
    @joycerichard9274 10 місяців тому

    Nani katengeneza

  • @ismailkasim9060
    @ismailkasim9060 20 днів тому

    Watu wanajua kupiga ela kisomi uyo roboti anaweza kununuliwa bilioni 5 wakati uko vijijini shule hakuna na watoto wanakaa chini, wanajua maendeleo ni kuangalia mjini tu .

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 10 місяців тому

    Roboti kauzu ata picha na mheshimiwa Rais aombi 😂😂😂

  • @user-hm4or9sf8y
    @user-hm4or9sf8y 13 днів тому +2

    Makubwa c shetan huyu nyie kha

  • @ChristopherNelian-ko7jr
    @ChristopherNelian-ko7jr 16 днів тому

    Samahani sina cha kukoment ila kwanini bodyguard amekaa wakati rais amesimama?

  • @yasiniSwedi-qg5oc
    @yasiniSwedi-qg5oc Місяць тому +2

    Ni vtu vyakijinga Sana vitu muhimu nikulinda asilimali za selikali kuzbiti ufisadi nalushwa uwajibkaji kwa wtumishiwauma hyo ndoyamcngi siyo upuuzi ambao haunatija

  • @JuniorBilonkela
    @JuniorBilonkela День тому

    Mmmh

  • @josephmwakalobo7104
    @josephmwakalobo7104 23 дні тому

    Nawakumbusha tena mbeya maji yanasumbua sana achaneni na haya masanam mnailetea laana

  • @user-gi3io1ew8e
    @user-gi3io1ew8e 24 дні тому

    Kuku anarushiwaa maidi mwesho wake watanzani watachijwa hahaha wanadam wame kaaha kuwona romboti nyinyi amujuwe African Tanzania ni ichi takatifu kwa nini ivyo very said kizazi Cha nyoka 🐍 mimi nina wawona nikiwa kwetu Nairobi Kenya western Ingo luyha 🤔 pst mubarikiwe ajawonaa hayo Diyo tenaaa mumufuge kwa jelaa

  • @nikrahayubu-sz3pw
    @nikrahayubu-sz3pw 6 днів тому

    Siku ya siku wanaenda kuangalia roboti linawauwa wenyewe wapuuzi sana 😂😂😂😂

  • @bongo39
    @bongo39 10 місяців тому

    Mama watakukubali tuu wacha wakomae ila watakukubali tuu japo wanajifanya hawaoni hawasikii

  • @PiliSalehe-lt9ul
    @PiliSalehe-lt9ul 25 днів тому

    Mwanamke ni mwanamke2 awez mshinda akili mwanaume😢

  • @SULUMUABDUL
    @SULUMUABDUL 29 днів тому +1

    Sio yatuchenjie ndio tukome