Kweli hawa MANYUMBU sasa hapa wanamaindi nini cha zaidi mbona mwamba yupo sahihi tu - hawa wanaojitokeza na kummaindi mwamba nafikiri nyuma ya pazia wanafaida zao binafsi juu ya swala hili ndomana mapovu kibao. #BABALEVO usiogope.✊✊✊
Asilimia kubwa ya bongo movie hawana kazi ambazo nje uigizaj zkawa znawasogeza ndomana wanapapatka na vtu vdogo 😢 Sasa 30 mtu anachanganyikiwa naona huruma
Huyuu jamaa anaongea point mno ila kulingana na masihala aliyonayo ndomana watu wanaona kama anawakejeli cos katika hii dunia kila kitu kinaanza na ww mwenyewe kujibrand msanii ni kaz yake yeye mwenyewe if leo ukikubali elfu 20 kesho uwez kataa hiyoo pesa na inshu kama zamalipo huwa zinaenea kulingana na umaarufu wako
Ila kweli kwenye vipindi mpk home bongo movies hawana maisha utakuta jina kubwaa harafu analala kamlango kama kwa mganga....kutwa kuingiza kwenye majumba ya watu ya kifahari
Sio rahisi. Kujibrand unahitaji pesa. Wao pesa wanapata wapi? Huko ndiko kunawapeleka wauze dawa za kulevya na kupata mabwana wenye pesa wawabanduwe hadi watoto wa kiume. Ni kheri mtu uishi kwa urefu wa kamba yako badala ya kufosi mambo. Baba Levo anawafundisha kufake maisha ili uwone wa standard ya juu!
Baba levo namukubali sana anaongea ukwel 💖💖🙏🙏👋👋amuna shida apo
Ivi babalevoo Akilii nyingi hiziiii unatoa wapii 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣 salute
Kipaji 😁
Mwamba Uyu Hapa…Nyumbu kama Nyumbu😂😂😂But he’s absolutely Right.
Milioni kwa mwezi Yuko floo ya chini nakaa nae hapo baba love 🔥😃😃😃
Kweli hawa MANYUMBU sasa hapa wanamaindi nini cha zaidi mbona mwamba yupo sahihi tu - hawa wanaojitokeza na kummaindi mwamba nafikiri nyuma ya pazia wanafaida zao binafsi juu ya swala hili ndomana mapovu kibao. #BABALEVO usiogope.✊✊✊
Selfie kontena🤣🤣🙌🙌huyu ndio b levo baa fundi majumba ya self kontena😅😅🙌🙌🙌❤️
Mambo ya mention😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂that enough!!
Hahaha nimecheka wallah 🤣🤣🤣🤣
Mchaga og Hana mbavu aisee anaenjoy sana❤️🤣🤣🤣
Mwamba huyu hapa 🤣fundi majumba nakukubali halafu nakukubali tena🥰🥰
Hahahah niliisubir kwahamu sana hii vita yaduma mtaalamu fundi manyumbaa,,,,,the guy is very funny
🤣🤣🤣🤣
Moja kati ya watu makini sana ndani ya WASAFI industry.
🤣🤣🤣 sasa Duma ana mind nini wakati huo ushauri uko sahihi kabisa! Ila nikikumbuka hiyo nyumbu sasa 🤣🤣🤣🤣
Yaaa hatariii🤣🤣🤣
Nyumbu ndo inaniacha hoii 😂😂😂
😂😂😂 ni hatareee Mzee...
Baba Levo ni Mwamba, big up!!!
Aahhh ukweli mtupu alouongea #Babalevo
Bongo movie Baba level anawapenda anataka mjiongeze
Kabisa 😁😁
Wasafi mediaaa ni media kubwa sana yaani interview ya Babalevo siku mbili Ina views 85k kuna msaniiii katoa album nyimbo youtube siku ya 5 views 25k
Kabisa
Saaaaaaaanaaa
🤣🤣🤣 kabixa wasafi tuko juuu
Sasa hv 138k
🤣🤣🤣🤣🤣
Uko sahh kabsa Baba levo wanajlundka ur right
😂😂 ukwel sikuzote unauma baba ake levo tuachie nyumbu wetu sisi aseh 😂😂😂🤣
Hahahahaaaa uyu jamaa asiwe anahojiwa atatuvunja mbavu🙌🙌
Namuelewa sana
Ila kama ameongea ukweli Industry ya Bongo Movie ipo cheep sana Tz.
Asilimia kubwa ya bongo movie hawana kazi ambazo nje uigizaj zkawa znawasogeza ndomana wanapapatka na vtu vdogo 😢 Sasa 30 mtu anachanganyikiwa naona huruma
wanachokitizama wao ni jina star . Ukimtizama analala njaa ikisha kujifanya kuisji maisha ya kifakhari kumbe usanii tu .
Ye anahuakika Gan kama wanalipwa 30
KINACHOSABABISHA IWE HIVYO NI NINI?ACHA KUONGEA VITU USIVYOJUA
@@kiri5807 hapohapo ni ukweli kabisa! Ustaa wameweka mbele kulko maslah! Wanajituma Sana lakn wanaofaid jasho Lao ni wengne so sad
UYO BABA LEVO YEYE NJE YAMZIKI ANAKAZI GAN ZAIDI YAUCHAWA NAKUMSIFIA BWNAAKE MOND
Hasa hiyo inaubaya gan sasa hela Nimezitowa wap 😂😂😂 Baba Levo jaman 😂😂
Huyuu jamaa anaongea point mno ila kulingana na masihala aliyonayo ndomana watu wanaona kama anawakejeli cos katika hii dunia kila kitu kinaanza na ww mwenyewe kujibrand msanii ni kaz yake yeye mwenyewe if leo ukikubali elfu 20 kesho uwez kataa hiyoo pesa na inshu kama zamalipo huwa zinaenea kulingana na umaarufu wako
😁😁😁😁unatudharau sana baba levo mbwa weee😁😁
Kawaambia ukweli
@@ramadhanikawele2475 yaani we acha tu... Ni ukweli mtupu... Sie wasanii wa bongo move hatuna tofauti na nyumbu🤣🤣🤣🤣🤣
Babalevo is very creative about thinking.
HAKUNA MTU HAPO
Baba levo eti siwezi toa bila diamond visije kubuma 🤣🤣🤣
Anajua huyu bila mondi husogei
Sasa iv wengine wapo arusha kwa nabiii mkuuu
Nnacho mkubali Babalevo hua anasema ukweli 🤣
B levo nakukubali sana
B LEVO BAAAAAA JAMAA UNA AKILI NYINGI SANA
Namkubal saaan bab lev 🔥
Baba levo kaongea kweli, anawa challenge tu
We ishi tu babalevo unatupa Raha yan duma ampotezee tu uyu mtu hauez mchukua asee😂😂😂😂
Huyu brother nimekubali 🤣🤣🤣🇲🇼🇲🇼🇲🇼
🇲🇼🇲🇼
Waha noma sana hawajitambui man
B Levo Mr miakili mingii,Shamsford Kesha kuwakilisha kuwajibia kuhusu Wana bongo movie. Kujiaajiri ni jambo la maana.
Nimekuelewa b levo
Unajua sana
The man I do salute everytime G Nako collabo yake Ina miaaka minne,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
kmmk😂😂
USHAURI WA BUREEEE
Aliecheka kwasauti baada ya Babalevo kumchana mtangazaji Kuhusu kumtegemea Mondi Alike twende sawa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Niko hapo
Hahahahahaaa bora kanumba angekuwepooo, safi sana baba leeeeeevoooooooo🤣🤣🤣🤣🤣
Baba revo anatia hasira🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huwa nacheka sanaa
😂😂😂😂 saa 8:23 wapo bagamoyo😂😂😂😂😂😂😂😂😂 baba levoooo
😂😂😂😂😂 Dah B levo Ba anasema Ngumi hataki
😅😅😅🙌🙌🙌 alaf et umnunie babalevo🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂..... Dah baba levo leo umenifanya nicheke sana bro
Tupo tayari kwa elfu 70 sabini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💪
Sawa bba manyoni stand up
Wasijirudike Kama nyumbu Hilo ni kosa ? 😂😂😂😂
Hahahaha ili jamaa linasemaga ukwel afu linachekesha et eeeh namtegemea mwehu nn
Aisee
Ukiwa Serious na Baba levo utaumia sana😂😂😂😂
Hahahhh mnooo kichwa kibovu hiki
Ila kweli kwenye vipindi mpk home bongo movies hawana maisha utakuta jina kubwaa harafu analala kamlango kama kwa mganga....kutwa kuingiza kwenye majumba ya watu ya kifahari
Nyumbuuuuuuu sanaaaaaaa
Tunawapenda sana
Ukweli mchungu
Tuongee tukishindwana kila mtu aende kwake🤣🤣🤣🤣 baba levo
Baba levo fayaaaaa Sana hahhh
Ila una ushauri mzuri sana japo unapiga kwenye mshono aloo
Kweli unachokisema baba levo....
Hii vita naifananisha na ya gigi na diva..mmoja anapanic mwingine kutia hasira😂😂😂😂
Baba levo nikwako umejenga kweli we kicha 😁😁😁
Daaaah
UKWELI UNAUMAAAAAAA
Nakukubali
We baba levo mambwamwe 😂😂😂👍
Hahaha kihaa inafanana na kirundi
Baba levo hapoi haboi❤️
😂😂😂 dakika ya 3:13 Mwijaku kalipwa Mamilioni ya Pesa, Wao wakalipwa Perdiem"
Babalevo tunakupenda
Gari limewaka😁😁😁😁
Hili Jamaa Nalipendaaa Kinoumaaa Be Levo Bar
Nlijuaaa tuuuuuu😂😂😂
Dah baba levo umenishinda tabia🤣🤣🤣🤣🤣
Ila kama kunakweli iviii 😂😂😂
He’s right… absolutely.. 😂😂😂😂
Ila kweli lazima tuwe na dhamani wasanii was bongo move unashoot weee unapewa 30 au 20
hahaahahahaha...nimecheka mpaka basi baba levo ni atari
WAMEMCHOKOZA WENYEWE
B Levo blue chawaaa 😄😅 hatar saaana 🔥💯👏💪
Ww baba levo ni mtiaji sana
Baba levo noma san
Sio rahisi. Kujibrand unahitaji pesa. Wao pesa wanapata wapi? Huko ndiko kunawapeleka wauze dawa za kulevya na kupata mabwana wenye pesa wawabanduwe hadi watoto wa kiume. Ni kheri mtu uishi kwa urefu wa kamba yako badala ya kufosi mambo. Baba Levo anawafundisha kufake maisha ili uwone wa standard ya juu!
Fanya vita yamaneno na mtu yeyote sio baba levo ukimtukana anakusaidia kama umesahau na hichi ila akikutukana yy lzm uwe na mhaho
Hahahahah😂😂 banana levo bhana et ukinipiga ngumi nakimbilia polisi, yeye Hana mambo yangumi
Mbona Collabo ya Hbaba na Diamond Platnumz huizungumzii 😎
Nikweli
Huyu mwamba namkubali Sana sijawahi pitwa na interview zake
Imeandikwa amelaaniwa amtegemea binadamu mwenza kwa maana moyoni mwake hakuna mungu
Daaah baba levo Mungu anakuona jaman nyumbu siyo lugha nzur ujue kuwa nyumbu hawana akili kabsa
Umeongea ukwel baba levo hao bongo movie ni vilaza watup
Kila siku unampya bilevo balaa, ep hutaki ibume mjanja kweli kweli
Kaka unajua bhana
Msijirundike hilo ni kosa? 🤣🤣🤣
Msiende kama nyumbu hilo ni kosa🤣🤣🤣🤣
Nikweli 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 ucjiweke chp sikupendi baba lev ila leo nimejifunza na mimi
Baba Levo❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Dat enough
nakukubali xana jexh lang ila tu nkuombe kitu punguza ukwel kdogo maana ukwel cku zote huwa unauma xana
Baba levo bwana
Baba levo yupo sahihi
🤣🤣🤣🤣🤣 ila baba levo dah lakin kasema ukwelii