Ni biashara ya wtz tu ambayo eti mtu anatangaza biashara mtandaoni ila kutaja bei ni mwiko kuwa njoo uulize bei DM thts crazy huu ni wizi na uoga ambao bado mnafanyabiashara kimataifa ila bado mnaidea za kuwapiga watu , kuficha bei ukasema njoo bei utakuja kuijua that is being unscrupulous.
Kalifukuzwaaa gari kakapokonywaa ongea ukijua Kuna kesho sai Jiji ni la Harmo bado sana
Siku izi akichukwa na Wachafu😅😅😅Sikaoni tena akimtukana Harmo wala kumsifia Domo.....
Tume kusamehe ndugu yetu hakuna aliye mkamilifu (SEMA MSIMALIZE MANENO HII DUNIA)
Ni biashara ya wtz tu ambayo eti mtu anatangaza biashara mtandaoni ila kutaja bei ni mwiko kuwa njoo uulize bei DM thts crazy huu ni wizi na uoga ambao bado mnafanyabiashara kimataifa ila bado mnaidea za kuwapiga watu , kuficha bei ukasema njoo bei utakuja kuijua that is being unscrupulous.
Sure nchina wanatumia wichat
Looks like this one has quit wasafi or he was chesed away
🤣🤣🤣🤣🤣😞😞😞