Daaaah,Hadi machozi yamenitoka,chidbenz huyu mtu ni balaaaa,bonge la kipaji,diamond mungu akulinde,hii Ngoma inaenda kumpa pesa nyingi sana chid.thanks diamond.
Baada ya Chid kulia sana kwenye Media akihusisha Diamond kumwona hafai tena kufanya mziki kwasababu ya Bangi zake,,leo ndo kaona aizime ki dizaini hii..kama ndo mnazaliwa juzi basi hamtoweza kumwelewa Diamond ni mtu wa aina gani linapokuja swala la Biashara na Kutunza Brand yake.. #SemaHiloGomaNiHatariAisee
@@bensonpeter4692Hapa kati jamaaa alikua na hali mbaya sana.Sema mwamba amerudi mwili upo.Huyu mwamba akiwa fit hakuna mwanahiphop nchi hii anamfunika kwa perfomance
Tukipata nafasi katika maisha tusizichezee kwa hanasa ambazo zina madhara badae pombe na mihadarati sio nzur zinauwa ndoto za vijana wengi nchini Mungu atupe hekima ya utambuzi kupamban na hivi vitu yan ukiingia huku heshima inashuka unaonekan si wamaan tena yan unadhalilika Chidi umejifunza na umekua miongon mwa masomo mazur from your status to your downfall nataman ukapate nafasi nyingine ukasimame kama dada yet Rayc inshallah utainuka tana kupigania ugali wako wa daily amen 🙏 nimeandika haya kwauchungu mkubwa mno vijana wenzang stareh bila mihadarati inawezekana ninae andika hapa ni bint tu wa miak 23 bora ujinga wenye faida kulikonujanja wenye hasara
Simba mwenyezi mungu akuweke nimefurai Sana kumkumbu Kaka kila kitu kinawakati wake Sasa hv chid anavyoonekana afya yake imekaa vizuri Aya akifanya kazi itakuwa bomba msimamie huyo broo anajua kwakweli tunaomba asirudie Tena makosa maana hayo madawa ukiyatumia usaminiki unakimbiwa na kila mtu big up diamond usikwamishwe na waja allaah akulinde
Huyu jamaaaa @diamond platnum na team yake hawaoti mipango ila wanapanga mipango na ndo maaana inapangikaaa …. Asante sana Chidy kwa hicho chumaaaaaa , it’s a right time with a right place
Kila nikimuangalia chid benz ni Kama namwona lil Wayne. Hivi ni viumbe vilivyojaaliwa IQ kubwa ya uandishi kwa upande wa hiphop japo hadi sasa bado dunia haijawapa heshima wanayostahili
Dah maniner hii nyimbo hivi hivi ilivyo naweka ringtone yangu. Mistari imepata chorus mamae kabisa! Beat iwe ya hiphop sio amapiano aisee tafadhali sana
Chid Benz ukute hi ngoma Ni freestyle but ameimba uhalisia wa maisha yake big up ngoma Kali Wenda ikawa wimbo Bora wa hipohop ya mwaka huu
Sure Kaka jmaaa apate pesa mchizi anajuwa sana
Hapawamekutana wa namziki wote kiuhakika
Mfufue chidi maze 💪
Huyu jamaa freestyles zake ni 🔥🔥
Sio pow jamaa anateknic
Chibu ni mmoja tu Tanzania, mtapambana kumshusha lkn hamtaweza,Mungu akupe maisha marefu diamond platnumz ❤❤❤❤
Nakubali mze wakazi 👍
Amina ndugu
Amiina inshallah ❤
long live Platnumz 🙌🙌
Ni kwel kabixaa kaka mungu amtunze
Kama umerudia huu mziki zaidi ya Mara 50 nipe like ndugu .chidi never left
La kasela.
Pure talent never dies
Chid Benziiiiii🔥🔥the true rapper 🫡🫡🫡
❤❤
Hii ngoma naitabiri hata bila promotion itatembea maana alichokiimba chidy ni maisha yake na wengi yanawahusu🔥🔥🔥
Kabisa
Sauti ya chid benz sijawah isikia popote Tanzania🥰mondi hapa haujafanya makosa mondi wa 2012 ndo huyu sasa amerudi simba
amini kwamba
WaTanzania msipomjengea Diamond sanamu Dodoma, tutaijenga sisi wakenya Nairobi
Mashaallaah
Daaaah,Hadi machozi yamenitoka,chidbenz huyu mtu ni balaaaa,bonge la kipaji,diamond mungu akulinde,hii Ngoma inaenda kumpa pesa nyingi sana chid.thanks diamond.
futa machozi mzee tuisapoti ngoma kali CHID IS BACK hapa WCB kule LAFAMILIA 🔥🙌
Bonge ya ngoma aisee, diamond stay blessed., Chid is a real talented hip hop artist..... Eti kigodoro mwasiti Kakivalia dela...dope
gonga like kama umeirudia hii video kama mimi
Diamond mwenyex mungu akufanyie wepex ktk maixha yako weye ni mfano bora wa kuogea 🙏🙏🙏🙏
Mashaallaah
Amiina inshallah na sisi mwenyezi mungu atujalie
Chidi anajua sana mashallah kanenepa now❤❤❤
Mashaallah ❤
Diamond is a great man. Godbless him.
Huyu dogo anajua sana kucheza na nyakati aisee
Nimeirudia zaid ya mara Tano mond umespraiz jamaa verse alizo record na zimetolewa imepachikwa sauti yako chid poz ziii like Apo mulio rudia kama mimi
Walai nikifa nifikie mbinguni na nikose diamond platinumz nitajua niko jehanam walai this guy may God bless you❤❤🙏🙏
Diamond we ni Mfano wakuigwa na kitu kizuri unakisifiya unaubaya🎉🎉🎉 Hii,Imeendaaaa ,,,,,❤❤❤ More love uje na Ruvuma mwaka Huuu❤
Na ndio mna namkubali sana Diamond platinum big up tu Sanaa kumrudisha chid benziiiiiiiiiiiiiiiii ebu riliz hiiiii song inatugusa sanaaa tuuuu
Baada ya Chid kulia sana kwenye Media akihusisha Diamond kumwona hafai tena kufanya mziki kwasababu ya Bangi zake,,leo ndo kaona aizime ki dizaini hii..kama ndo mnazaliwa juzi basi hamtoweza kumwelewa Diamond ni mtu wa aina gani linapokuja swala la Biashara na Kutunza Brand yake.. #SemaHiloGomaNiHatariAisee
Chid benz akiwa kwenye pic alimshika mkono bwana almasi
@@bensonpeter4692Hapa kati jamaaa alikua na hali mbaya sana.Sema mwamba amerudi mwili upo.Huyu mwamba akiwa fit hakuna mwanahiphop nchi hii anamfunika kwa perfomance
Wivu itakua mapema , do you know how many sponsors have invested dollars there, or you're just talking because you were given a mouthful?
Ana sauti yake flani hivi@@mugadimon3563
Yani hapa diamond ka sound kama alivyoanza mziki pure bongo flava pure flames 🔥🔥🔥
Mamaaeee Chidi is back and Hiphop is alive
Hii imeenda, hii imeenda.... hii imeendaaaaah
The Kingkong and Diamond hawa watu chemistry yao nikali sanaa❤❤❤❤
Hi ngoma itakuwa kali balaaa itoeni jamani
Chidbenz ni 👑 always namwombea tu sana lakn bhang apungushe kiac
Mondi apewe 🌼🌺yake unyamasana mungu awabaliki
Child + Chibu = 💥💥💥💯
Tukipata nafasi katika maisha tusizichezee kwa hanasa ambazo zina madhara badae pombe na mihadarati sio nzur zinauwa ndoto za vijana wengi nchini Mungu atupe hekima ya utambuzi kupamban na hivi vitu yan ukiingia huku heshima inashuka unaonekan si wamaan tena yan unadhalilika Chidi umejifunza na umekua miongon mwa masomo mazur from your status to your downfall nataman ukapate nafasi nyingine ukasimame kama dada yet Rayc inshallah utainuka tana kupigania ugali wako wa daily amen 🙏 nimeandika haya kwauchungu mkubwa mno vijana wenzang stareh bila mihadarati inawezekana ninae andika hapa ni bint tu wa miak 23 bora ujinga wenye faida kulikonujanja wenye hasara
Fact umeolewa
Be bless dear 🎉
Diamond ure so talented bro hakuna kama u
Simba mwenyezi mungu akuweke nimefurai Sana kumkumbu Kaka kila kitu kinawakati wake Sasa hv chid anavyoonekana afya yake imekaa vizuri Aya akifanya kazi itakuwa bomba msimamie huyo broo anajua kwakweli tunaomba asirudie Tena makosa maana hayo madawa ukiyatumia usaminiki unakimbiwa na kila mtu big up diamond usikwamishwe na waja allaah akulinde
Hizo kelele za chid zinaonesha hisia kweli aisee all in all ngoma kali
Congratulations kwa wasafi zaidi boss mondi 🎉baba laooo.inani towa machozi bwana 😢❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤the dual between diamond platnumz and chid benz on Another level
Diamond juuuuu weweeeeee🎉
Hizi punch ndio tulikuwa tumezimiss kutoka kwa chid benz ... La FAmilia ... 💪
This is great love simba😭😭😭
= Chiiiiiiii🔥🔥🔥
Kwa upande wangu tayar hit song !!!!
ngomaa moja kali sana simba na chuma
Dah chid inabidi apatiwe nafac nyingine tena auguse utajiriii❤❤😢😢
Hii bro ametisha sana 😢😢😢 yani sina hata na kusema bro diamond platinum umetisha bro
Huyu jamaaaa @diamond platnum na team yake hawaoti mipango ila wanapanga mipango na ndo maaana inapangikaaa …. Asante sana Chidy kwa hicho chumaaaaaa , it’s a right time with a right place
Walio rudia mara nyingi tujuane
Nipo nairudia apa😁😁😁
Mm hapa
Nimeamka narudia tena ni noma
Tupo hapa ❤
Nyimbo kali
Kila nikimuangalia chid benz ni Kama namwona lil Wayne. Hivi ni viumbe vilivyojaaliwa IQ kubwa ya uandishi kwa upande wa hiphop japo hadi sasa bado dunia haijawapa heshima wanayostahili
KING of music big #diamondplatnumz 💚🔥🔥🔥🔥
Hii Ngoma ni balaa aiseeeee
Nimependa alivyomsaprais hadi chid benzi kaishiwa poziiiii walah ni noma itowen jaman chuma kikal aseee
Hapa mond big up broo a real tallent from chidbenz what a verse
achayi bwana nime penda verse zako big de puis drc j vous ❤❤❤
ngoma kali meseji imendaaa
Hats off mr Diamond,,thanx for bringing back my number one artist Mr Chidi Benz.
Fikiria unapewa suprise Kama hii😪❤
Diamond fanya mpango mufanye video hio ngoma cause iko dope na itamfanya Chidi aende next level...MuCh LoVe FrOm MaLiNdI KeNyA.....
May God bless you Diamond Platinumz
Amen 🙏🙏🙏
Dah yn hii ngoma nimeirudia km mara mia simba fanya hii ngoma uitoe kali sana❤❤❤🔥🔥🔥
Me too
chidi wangu nakupenda sana bro
Thanks Diamond kwa brazza Chidi unyama mwingi
wanaume wanageuka wanawake kila kukicha... chid🫡🫡🎉
Mondi sometime one ❤
Bro nasib una moyo wa tofauti kaka wewe ni mtu mwema sana kaka big up kaka chid wew ni msani wangu bora wa muda wote much love guy's nawakubali sana
Bonge la ngoma, hebu wape mashavu wanahiphop diamond maana wewe una nafasi tayari kwenye game duniani kote
Nikweli kabisa
nasemaajeeee, hii imeendaaa❤❤❤😅😅😅
Hahaha ukute chidi mwenyew alikuwa ajui kama anangoma na mondi🤣🤣🤣
Chidbenz king🇹🇿🇹🇿👨👩👧👦❤️🙏
Dooh kumamake kumamake kumamake binadaam omba uteleze(hiki kitu nimekikubal hapa)
Chid Benz Feat Diamond Platnum-Binamu✅✅✅
Nimerudia rudia mpka bando limeisha😢
diamond platnumz is international level broo genius
Hii ngoma Kali sana
Big up CHID BENZIII
The true meaning of talent ❤ 2 legends
Hii Imeenda......🙌💣 mondi umefanya unyama mwingi 🫡
Hiii imeenda❤❤❤❤❤
Nyimbo nzuriiiiii
Daah emotional
Tunangoja sana🇰🇪 🔥🔥🔥🔥
kaka mashabiki wako tupo bado chid achieni hiyo ngoma
Chid Benz,,,,fundi👋👋👋👋Safi mondi mpe sapoti mwana!
Ngoma kalii barikiwa sana mondi
The true rapper 🙌🙌🙌 chid benz kaomba uhalisia mno
Noma sana...that was touching
Nakukubali daimond
bonge la ngoma aise😊
Hapo ukute chid kashasahau na mistari yake 😂😂
nimegunduwa zamani Chidi akumbuki ata Lyrics
Ngoma moja ya hisia alafu kali ❤️🔥
D umeweza✌
TUNAISHI NAOOO
Ngomaa kaliii chid Benz umetisha
Hii ngoma kali ❤
Acha tu niseme kitu , jamaaa huyu ni kipaji Sana, Ana rapu sanaaaaaaa
Ngoma kali sana❤
Dah maniner hii nyimbo hivi hivi ilivyo naweka ringtone yangu. Mistari imepata chorus mamae kabisa! Beat iwe ya hiphop sio amapiano aisee tafadhali sana
Chin Benz x Diamond Platnumz❤❤❤❤❤❤
Hii Mbelekooo Ya King Kon🔥🔥🔥
Hii ngoma yangu tayari🔥
Toka ni ya chidi sio ya kwako 😀😀
Walorudia hii clip tujuane hapa
Dah chidi una kipaji sana kaka yangu God bless you,bonge la zawadi kutoka kwa big
I don't know why this little kids do hate DIAMOND PLATNUMZ, little kid stay cool ,you all know what i speak about 😂😂😂
Duh chid benz mnyama
Diamond African one
Hiyo ngoma ni kali sana sio mchezo I hope watatowa video
Huyo ndyo simba sasa nae mjua ,❤❤❤❤❤mpaka nywele zmensimama ,big bruh love you man all day ,you inspire me a lot my n*gga🎉🎉🎉🎉🎉
My favourite singer....Chidy benz WA Ilalaaaaaaaaa....halaaaaaaa
Chidiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Ila Chid Benz basi tu ,,,,anajua sanaaaaaa