Uyo chid benz analake tu kwa konde man km kishajua atapewa lak3 kwnn ackatae boya tu uyo ss mbn kakubal na pes kachua kwa mzik gn alokua nao mpk alew milion naend uk
Nashangaa watu wanavyoropoka km huyo chiz mwnzao chid! Laki tatu kapewa kasaidiwa tu kafanya kaz gani ya maajabu hapo!? Kpewa ya kula ck kadhaa tu! Kuliko angepewa bila kufanya chochote, angejishtukia kupokea 😂
Mbona hata na yy hajatumia gharama ya kutafuta hata wa kuwalipa sasa laki3 inakuwaje ndogo wakat kuperform kwenyewe hakufk hata dk10 pia alikuwa peke yake,akiwa anapotezewa anaanza kulalamika kuwa hakumbukwi,,usipokuwa makini Chidy kila msanii mkubwa atakuogopa kukuita ksha urud kwenye kuperform kwenye mabaa na kupewa elfu20 kama miaka kadhaa iliyopta 😃😃😃
Ijapokua chid benz ni mla unga bado thamani yake ipo pale pale, hakuna msanii bora wa hip-hop Tanzania hii kama yeye lazima apewe respect yake msimdharau kiiivyo
Kweli leo ndio nimeshtuka chid bez kumbe anaakili za kitoto kbs.. Kwan hata angefanya bure kwani amelazimishwa kuja pia sisi inatuhusu nini kama mashabiki, Dogo jinga kbs shoo yenywe ya bure akuna kingilio chochote sasa laki 3 kwa dakika 15 mbona pesa nyingi sana.. Oya temu mm shabiki yako since before 5000 subscriber ..
Nadhan Kama pesa aliolipwa ni tofaut na makubaliano alitakiwa kufuata utaratibu kudai haki yake,.....alichofany n kudhalilisha tamasha na aliempa dili.......mbn kunawakati wasanii walikua wanafany shoo kwa kupewa nauli tuu....chidy atafany watu wapate hofu kumpa shoo zao........
@@officialmrtop1018 swali ni kama laiki 3 ni ndogo mbona kapanda jukwaani kuperform, mi nilijua angekataa kupanda jukwaani na ansingekuja kwenye hiyo show
Chid Benz ni msenge kinyama kama ulikuwa na hiyo laki tatu si ung'ekataa kwenda kupiga hiyo show fala kweli!!utakufa na maunga yako so jeshi usikatwishwe tamaa na mataga kama huyo
Huu ulimwengu unakwenda kuisha Sasa, watu wa hovyo hovyo wanaopotosha jamii ndio wamekuwa waheshimiwa, viongozi wa dini ambao ndio warithi wa mitume wanauwawa na kusekwa magerezani kinachofata ni nn unadhani?
Jamani baada ya kumwona chuma Basi twendeni tukajifunze uzalishaji wa bidhaa mbali mbali za viwandani huku kwenye channel yetu RABAONE TV Mafunzo ni BURE KABISAAA Tunafundisha uzalishaji wa bidhaa mbali mbali kama vile sabuni aina zote, lotion, cream, mifuko na zinginezo nyingi.
Wasanii wa bongo wamekata tamaa wajikuta ma legend wakat mafanikio kma chd yuko poa ila kashaa jkatia tamaa kwajili ya mafanikio ya wenzake na huo ni wivu mchekin na dudubaya ndo hao ma legend wanao tukana wasanii wadogo koz hawana mashair ya kuimba kizazi kipya Kama unapenda mzki sikiliza miziki
laki kwa chidi ni mkwanja mrefu sana,Kiukweli kabisa chidi hana thaman ya laki 3,hiyo show hakumaliza hata dakika 60 kulipwa laki 3 ni fair kabisa yaani,hali ngumu saa hivi...
Harmonize kweli kawa mtu mkubwa yaan kaanza mziki 2014 Leo hii anamlipa cheed benzi wa miaka ya nyuma Sana daaah jamani embu gonga like hapo
Chid benzi ni tejja
Chid benzi mbumbavu tuuu ngoma hana
Ndo maana wana hasira nae
Sema nshukuruni diamond alie mtowa
Awadhi Ismail subscriber channel yangu
Namkubali jeshi Konde boy for everybody 💯🙏💪🔥💥🎤Jeeshi all the way!! Sadikhan boy from KENYA
Its all about creativity mambo na Ubunifu..
ww ni jechi tuh hakuna mwengine kabisa Kazan naile kipaji man❤ 9:40
Jeshi anajitahidi sana kuwabeba ila mijitu bangi haibebeki mbona kiuchifu katulia na maisha mazuri tu yanaenda
Teja ataka shindana na king harmo jeshiii mtu mwema 😍😘
Harmonize noma sana Kweri we ni jeshi
Jamaa namkubali san
Hata aropoke vipi.... atajijua mwenyewe.... tunasepa mbele... huyo Chizi tulishamsahau... hana jipya. Konde Boy to the World.🤣🤣🤣🤣🤣
Uhakika
Umeona eeeh mteja anatav
Unga bwana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Diana Samson subscriber channel yangu
bro chid unalipwa laki 3 na madogo mlio wa inspire. unga haujawahi kumuacha mtu salama. @chidbenz na tid.
Omari Mtoro sdguyreh
Uyo chid benz analake tu kwa konde man km kishajua atapewa lak3 kwnn ackatae boya tu uyo ss mbn kakubal na pes kachua kwa mzik gn alokua nao mpk alew milion naend uk
Uyo konde anahaja nae nn asingemuita atakuja muazirisha bure..teja hana amani
ww ni jechi tuh hakuna mwengine kabisa Kazan naile kipaji man❤
Sahii walipwa na madogo na ww uliokomaa kwa mziki hahah unga hauachi mtu salama
Nmemuona h baba
Nashangaa watu wanavyoropoka km huyo chiz mwnzao chid! Laki tatu kapewa kasaidiwa tu kafanya kaz gani ya maajabu hapo!? Kpewa ya kula ck kadhaa tu! Kuliko angepewa bila kufanya chochote, angejishtukia kupokea 😂
Tatizo wanafata akiwa tayali kashakula vitu vyake
William Tarama ata apewe milioni ishilini yote atakula unga
Sjui alitak apewe sh ngp?? Binadamu bhnaa hatulizikii, angekaa tu hiy el angeipt wap Sasa, !!!,
Duh kaaibishwa mdogo wangu
Laki 3 hela ndogo kwa maisha haya na mziki hiiii ya zamani chid come on banaaa
Chid Benz amenivuruga sijaona alichofanya zaidi ya mambo ya kitoto kabisa
Kama unamkubal harmonize gonga like hapa maana namkubal mbaka naumwa yaan
Hizi story zinatokea wapi !? Jamani hebu tusizenguane hapa !
Huyu chalii anajiskia sana sa ndio ilikua anajiandaa mda wote huo kwenye kosta, acha ujinga mmakonde wew
Laki 3 hela ndogo hasa kwa msanii mkubwa kama benzi japo 5 basi
Kwani kama kaona laki 3 ndogo si angekataa!!!! Kwani kashikiwa bakola au? Konde mbele kwa mbele aturudi nyuma
Kweli angekataa tato unga haumuachi mutu salama
Ngada c mchezo
Sio bure konde atakuwa anakutomba wew🇹🇿🇹🇿
@@danmsafi2383 si alianzia kwako ndo maana unajua
Chid kichwa chake kishapagawa unapomuita sehem utegemee lolote kutokea,
Mm nimeckia mc kasema mimi masi yeye kasikia chid benzi
😱😱😲😲🥴🥴😸😸😸😂😂😂chid haki nushabiki wangu na wewe kwisha umezingua laki tatu sikidogo
Watu kama woteee
Bro chidi benz sio mzima ule ni msenge tu
Mbona hata na yy hajatumia gharama ya kutafuta hata wa kuwalipa sasa laki3 inakuwaje ndogo wakat kuperform kwenyewe hakufk hata dk10 pia alikuwa peke yake,akiwa anapotezewa anaanza kulalamika kuwa hakumbukwi,,usipokuwa makini Chidy kila msanii mkubwa atakuogopa kukuita ksha urud kwenye kuperform kwenye mabaa na kupewa elfu20 kama miaka kadhaa iliyopta 😃😃😃
Ijapokua chid benz ni mla unga bado thamani yake ipo pale pale, hakuna msanii bora wa hip-hop Tanzania hii kama yeye lazima apewe respect yake msimdharau kiiivyo
Umeonaa
Naona umewasahau binadamu wamjali ana nini??? Au apewe heshima ya nini shida ya wasanii Wa bongo wanajisahau sana
Kweli leo ndio nimeshtuka chid bez kumbe anaakili za kitoto kbs.. Kwan hata angefanya bure kwani amelazimishwa kuja pia sisi inatuhusu nini kama mashabiki, Dogo jinga kbs shoo yenywe ya bure akuna kingilio chochote sasa laki 3 kwa dakika 15 mbona pesa nyingi sana..
Oya temu mm shabiki yako since before 5000 subscriber ..
Teja afadhiliki ashazoea maisha ya uteja chidy afadhiliki
Kumamako
@@LeilyMwakajumbajewewe
Chidy benz wew fara ungeji tambua mapema usinge kuwa hapa
Chidi ashakuwa hater ana chuki za wazi wzi km ktu hutk ni bora useme tu kulko chuki za kijinga hvy punguza chuki haisaidii
Huyu hampendi harmonize si aliwahi kumponda sasa ndo hiyo anafanya laki 3 nyingi sana kwa yeye na anaimba nini sauti lishakufa
Ili li bwana chid Benz pesa zote atauza dawa ya kulevya na iyo ma unga.konde boy fire
Jeshii
Madawa noma aiseee
Jeshiiiiiiii
Jamani uyo si h baba alie mtusi konde boy
chid anazngua sanaa yan kiukwel daaah chid anazngua,..
Namuona h baba hapo mlangoni amempisha njia konde boy mziki sio uadui
Nadhan Kama pesa aliolipwa ni tofaut na makubaliano alitakiwa kufuata utaratibu kudai haki yake,.....alichofany n kudhalilisha tamasha na aliempa dili.......mbn kunawakati wasanii walikua wanafany shoo kwa kupewa nauli tuu....chidy atafany watu wapate hofu kumpa shoo zao........
Hivi unavaaje jacket kwenye joto mmakonde mwenzangu unaniangusha 😂😂 KONDE MTOTO
Wakati mwingine ukimsaidia mwenzio nae ingalau apate chochote kitu,matokeo yake ni kulaumiwa na matusi,ni bora usimsaidie mtu ili uepushe nongwa.
We boya kweli laki tatu kwa msani kamsaidia nini? Chizi
Mariam Fritsi subscriber channel yangu apo
@@officialmrtop1018 mla unga unataka apewe ngapi?!
@@officialmrtop1018 laki 3 kwa dakika 10 alizoperform ni ndogo? Hapo kalipa watu wangapi na yeye kaingiza ngapi?
@@officialmrtop1018 swali ni kama laiki 3 ni ndogo mbona kapanda jukwaani kuperform, mi nilijua angekataa kupanda jukwaani na ansingekuja kwenye hiyo show
mshahara wa mtumishi wa serikal wa mwezi ye anaona ndogo msenge nini hata hivo konde anajitahi masaa tu laki tatu duuu
Hakika hela ndo kila kitu laki tatu zinaenda kukusumbua na ulegendary wako!!
😂😂😂😂
Ukiwa huna akili huo ukubwa wako unakua haina mana amelipwa laki tatu ila hajalazimishwa so hapo utaona upeo wa mtu kama yuko sawa au la
si angataa kwanini kakubali kupiga show chid chiz mkorofi.
Harmonize jeshi king
Hamonaz Big up
Chid Benz ni msenge kinyama kama ulikuwa na hiyo laki tatu si ung'ekataa kwenda kupiga hiyo show fala kweli!!utakufa na maunga yako so jeshi usikatwishwe tamaa na mataga kama huyo
H nakupenda kama nini yan tembo OG yani
Hiyo laki tatu Chidi alitakiwa kupewa tu bila kufanya kazi yoyote, kumpandisha stejini mnatakiwa kumpa pesa zaidi ya hiyo.
Yeye kama nan apewe hyo laki 3 bila kufanya Kaz?
Umeona eeh
si ndio anavyotaka yeye?
Arusha Mix yanini siya unga tu na bangi kwanza hizo nyingi
Arusha Mix we unaweza kumpa mtu ela bila kazi au unasema tu
Flag sana kw Konde boy, sem2 chid madawa yalmfanya kaarb na kutaka kumshusha!!
LAKI 3 YA TANZANIA 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Play back c mzuka izo ni show mbovu
Haha haha huhuhuhu hahahaha dunia wadaa ulimwengu shujaaa
Kaka mkubwa chid nae kwani hakujua au alialikwa kama underground😂😂😂😂
Utoto mwing child benz
@@saidally4106 amesahau kama ni mfano kwa wadogo zake sasa kama anafanya hivyo haileti picha nzuri
Huu ulimwengu unakwenda kuisha Sasa, watu wa hovyo hovyo wanaopotosha jamii ndio wamekuwa waheshimiwa, viongozi wa dini ambao ndio warithi wa mitume wanauwawa na kusekwa magerezani kinachofata ni nn unadhani?
Chaka yes
mijitu kama hii ndio maana inaachwaga tu yeye alikuwa anataka million 10?
Yuda Daniel subscriber channel yangu
Alivoona kumejaa alidhan ye ndo kajaza hahah
Tatizo ndio hivyo unapomsaidia mwenzio ingalao apate kitu,matokeo ni kulaumiwa,bora usisaidie kuepusha lawama.
Tishaa sanaaa Konde BoY🔥🔥
Ukiwa mteja sehemu yoyote lazima uzarauliwe
Jamani baada ya kumwona chuma
Basi twendeni tukajifunze uzalishaji wa bidhaa mbali mbali za viwandani huku kwenye channel yetu RABAONE TV
Mafunzo ni BURE KABISAAA
Tunafundisha uzalishaji wa bidhaa mbali mbali kama vile sabuni aina zote, lotion, cream, mifuko na zinginezo nyingi.
Haikustaili mkubwa kumuonesha hayo Mdogo ako ...kakukumbuka mpe hekima yake
Mtt wasimba huyu anawanyosha saf chid alitaka nn
ww ni jechi tuh hakuna mwengine kabisa Kazan naile kipaji man
Hahahaaaaaa nimecheka eti na nmepiga hii show kwa laki 3 tu hahah jamn sio saw bwan
😂😂😂😂😂😂😂😂 daaaah jamaa anazingua aiseee
@@jumayusuph8471 angepewa 50 tu inatosha kwa unga
Kumbe wenyewe hamjui kilichomkera, mbona head lines mnasema kulipwa laki tatu
anazngua kamma ndogo kwa nini alipanda jukwaani? sio ustaarabu
Konde yuko juu balala mijitu yote hio inaipa milo mitatu 3 af miaka sasa
You got it men 👊
Bange bwana 😂😂😂😂😂😂
Laki tatu izo Mie nazi subiri mwezi mzima aisee yeye amezikamata ndani ya siku moja. Maisha hayawezi kuwa sawa kwa kila mtu
Omary ndio Mimi wew hiyo ni show bro na ndo kaz yake wenzie wanaparfom had kwa million 100 kwa show moja
@@johnsilima6789 kabisa kwa msani kabisa kulipwa laki tatu ni maajabu sana
Wasanii wa bongo wamekata tamaa wajikuta ma legend wakat mafanikio kma chd yuko poa ila kashaa jkatia tamaa kwajili ya mafanikio ya wenzake na huo ni wivu mchekin na dudubaya ndo hao ma legend wanao tukana wasanii wadogo koz hawana mashair ya kuimba kizazi kipya
Kama unapenda mzki sikiliza miziki
Huyo maza na mjezi wa utopolo tumbo km Molinga
Kweli shetani ana nguvu sana haya yote ni maasia wallaah c biblia wala msaafu unakubaliana na hii kitu
Mola tujaalie mwisho mwema
fire❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kuwa makin na kazi mbona hakuna alicho fanya chid kwa konde
Hi
Duh
NILIKUWA NAMPENDA ILA ALICHEMSHA MDOMO AWACHIE WANA WAKE NA MAUNGA HAYAMUACHI MTU SAWA ...
Kweli asee uyu mshkaji ata mm amentoka kabisa nilikua fans wake mkubwa ila kafanya ungese fala uyu ana maana teja abebeki
We aunaakil
Hahahaha 😀
My son loves You KONDE boy
Good jeshi
Me I love you harmonice
Chid benzi ni chizi tuu huyo
Watu wamepinda vby.
Ana tafuta sifa mie huwana mkubali Sema kazingua uyu kwel bangi ndo mana dudu Ana mchamba teja ni teja tu kaniboa sana
Ana maeneno mengi sasa tabia zake asili zinaonekana
We tako nn
Mabaunsa nafikir wako vzr
Duuuh awa mabaunsa hizi walizovaa masikioni nao wana jamaa zao wanaoripotia kama viongozi wakubwa kumbe
Hiyo ni idara TPSI ipo chini ya jeshi la polisi pia
Huyu nae mshamba vibaya. Joto hilo la bongo kaenda kuvaa jacket la baridi? Khaaa
Kulikuwa na mvua inanyesha Dar ckuiyo acha kuongea bila kuwa na uhakika
Hako kachalii linajiskia sana miwani haon mbele
Duh hakuwepo sisi tuliloa mvua ila tukamsubir konde
Poor Millionaire subscriber channel yangu
Back stage ni hilo bus hahaha mziki ni mgumu sana
mia tatu...
Nakukubar sana
Good job harmo, keep up with the good job. And can someone tell ray to start thinking of his next step na achane ni baba yao harmo kabisa
Kichwa cha habari cha kutafutia viewers 😆😆😆🤦🏽♂️
Chid benzi analipwa laki3 sasa underground atalipwa ngap mamaee
laki kwa chidi ni mkwanja mrefu sana,Kiukweli kabisa chidi hana thaman ya laki 3,hiyo show hakumaliza hata dakika 60 kulipwa laki 3 ni fair kabisa yaani,hali ngumu saa hivi...
Bangi mbaya
Kweli tejaa abebeki broo kubali kushidwa
Kwani alilazimishwa iyo kitu alikua akitumia bado inamtatiza awepole
tisha mbaya mwanang konde gang😂
Chidi nae Sai anazeeka vibaya.....