UTACHEKA..!!! MACHALII WA R WALIVYO TIMBA KWA NABII MKUU GEORDAVIE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 401

  • @fredymponji1423
    @fredymponji1423 Рік тому +6

    Hizo sifa kana kwamba ni maadili ya kuigwa, now I understand Godbless Lema.
    Humo ukute kuna wanaoabudu na wana njaa na shida, ila kutafuta umaarufu.

  • @christophermakunzo4232
    @christophermakunzo4232 Рік тому +3

    Hit ndiyo Injili ya wazi na kweli kuwasaidia wasio na uwezo na kuisaidia Injili. Kristo alilisha kundi kubwa la watu kwa sababu alikuwa nan uwezo wa kufanya hivyo. Napenda sana tu shida uwezo wangu mdogo....

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 11 місяців тому +11

    Mchungaji uyu abarikiwe Sana,Achagui Abagui Ni mfano wa YESU!

    • @user-allan448
      @user-allan448 4 місяці тому

      Wewe Una akili kweli huyu unafananisha na Yesu?

    • @user-mi7yx8ew1k
      @user-mi7yx8ew1k 2 місяці тому

      ​@@user-allan448mpuuz uyo happy

  • @evanccast6228
    @evanccast6228 8 місяців тому +4

    Amina mchungaji katisha sanaa Hadi Baba aketiye juu mahala palipo inuka kafrai sanaakafrahiii

  • @anatoryjames4128
    @anatoryjames4128 10 місяців тому +2

    Hacheni kujaji sana kila mtu mungu kampa kipaji chake uyo nabii sio kwamba hajui kuwaongoza Sara ya toba bali kawasogeza kimaisha kuna watu wanjifanya ni watakatifu kumbe waovu wachenu hao vijapa wapambane na maisha yao bhana

    • @godlistenlaban9933
      @godlistenlaban9933 8 місяців тому

      Wakatoke kimaisha bila kutegemea Mungu.... Wasahau hilo... Hapa wamejifunga tiyari.

  • @BelckEustace-di2md
    @BelckEustace-di2md 11 місяців тому +4

    Linda sana moyo wako kuliko yote uyalindayo, Maana huko ndiko zitokako chemchemi za uzima.
    Itoshe kusema napoteza Imani ktk mienendo ya namna hii ndani ya makanisa.
    Ee Bwana okoa watu wako.

  • @rosemaryikamba5288
    @rosemaryikamba5288 Рік тому +17

    Ngurumo ya Upako is unique place ambayo huwezi ipata mahali popote Especially katika makanisa hawa vijana wametengwa kabisa kwamba niwahuni hawafai hata sogelea mlango wa kanisa
    Ni lazma wakaribishwe wakiwa karibu ni rahisi kubadilika
    Big hug Sana BABA yangu NABII MKUU GEORDAVIE

    • @laurentraphael5470
      @laurentraphael5470 Рік тому

      Unique place for devil worshippers. Nonsense

    • @warakawayohana2896
      @warakawayohana2896 Рік тому +1

      Wamekuja kuchangamsha kanisa 😂😂😂 ndio uamsho huo maana uamsho wa Roho Mtakatifu haupo

    • @mwinjilistiaristidesmeja1834
      @mwinjilistiaristidesmeja1834 Рік тому +1

      Kwa kweli wamekuja kuchangamsha maana limepoa sababu roho wa Mungu Hayupo, kwa hawa wanaleta roho wa dunia na watu wamechangamka kweli, vizuri mmmhh

    • @misertz9633
      @misertz9633 Рік тому

      Kumbe on baba yako waooo kazanA

    • @olivernyange2349
      @olivernyange2349 11 місяців тому +1

      Uchawi makanisani,watu ni wavivu hamsomi neno hamyajui maandiko ndo mana hamuelewi maana ya kanisa.hiyo ni shivas no 2 na bado mtakomeshwa waabudu watu mpaka siku mtakapojua kufungua bible wenyewe na kusoma na kupata ufahamu.sasa hamtaelewa but later you will understand.l pray it won't be too late.

  • @user-hg1mb1gh2i
    @user-hg1mb1gh2i Рік тому +11

    Hats Yesu hakuja duniani Kwa ajili ya wakamilifu!

  • @charlesnyanhanga4382
    @charlesnyanhanga4382 4 місяці тому +3

    Watu wanahitaji msaada wa kiroho munashindwa kuwaongoza sara ya toba wamujue yesu

  • @user-kt6ub3kh1l
    @user-kt6ub3kh1l 2 місяці тому

    Mungu haziakiwi, badala ya kuwaongoza Sala ya Toba ameona hela ndo kila kitu kuliko kuwaokoa na jehanamu😢

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 9 місяців тому +1

    Wakabe? Waibe? Waue? Hapana, hawa wamejiongeza katika kutafuta riziki kwa namna yao, na Mungu lazima awabless kwa namna yake, kupitia alichokifanya Geordavie hao machalii wameweka akilini kuwa hakika Mungu yupo, sasa wengine jikaririsheni maneno na mawazo yaliyojaa chuki wakati kula yenu tu ni shida. Glory to God

  • @Emmanuellobelo
    @Emmanuellobelo Рік тому

    Big up sana Nabii mkuu Baba GeorDevi ,hakika hii ni kazi ya mungu na kazi sahihi ya mungu sio tu kuwaita watu waliothabiti na wakamilifu kanisani ila Kanisa ni sehemu huenda wenye shida mbalimbali ili wakapate faraja ya moyo na kubadilishwa kuwa katika ukuu wa mungu

    • @desirengenerwasobanuka9015
      @desirengenerwasobanuka9015 Рік тому +1

      Kazi ya Mungu gani iko hapa? Nawe umekuwa mjinga kama wengine. Haya unayasoma wapi katika Biblia wewe mjinga.

  • @EmmanuelTate
    @EmmanuelTate Рік тому +6

    Mathayo 24:5
    [5]Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi.
    For many shall come in my name, saying, I am Christ; and shall deceive many.

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 Рік тому +1

    kwa haya nabii mkuu nakuerewaga ira kwa kushabikiaga ccm hua nakuchukiaaga kumpa muuaji mkuuwakoa ambae leo nimbunge kwa sasa na kumpinga lema hua sikuerewi nabii nakuonaga kama mnafiki kama gwajima au mzee wa upako lusekelo niwatumishi wa shetana au watumishi wa pesa sio mungu

  • @boazimaganga
    @boazimaganga Рік тому +5

    Malaki 2
    7 : Kwa maana yapasa midomo ya kuhani ihifadhi maarifa, tena yawapasa watu kuitafuta sheria kinywani mwake; kwa kuwa yeye ni mjumbe wa Bwana wa majeshi.
    8 : Bali ninyi mmegeuka mkaiacha njia; mmewakwaza watu wengi katika sheria; mmeliharibu agano la Lawi, asema Bwana wa majeshi.

    • @user-de3vn9vv3n
      @user-de3vn9vv3n Рік тому

      Yani Mungu wa Mbinguni asimame tuu kututetea na afungue akili zetu

  • @charlesmbunda6759
    @charlesmbunda6759 Рік тому +7

    Ee Bwana Yesu, nikumbuke mimi katika Ufalme wako!

  • @ngombegeorge3577
    @ngombegeorge3577 Рік тому +5

    Ukiwa unasali ,Sali kwa kweli na uwe na uwakika umeokoka na jehanamu , na kuona ufalme wa mungu si kilahisi watu wanavyozani ni hata sadaka usiweke mahalo popote unanapo , lazma ujue inaenda kufanya nini

  • @idrisssaidi4530
    @idrisssaidi4530 Рік тому +19

    kweli Miskiti ni Nyumba Ya Mungu uwezi kuta upuuzi kama uuwu

    • @ellgodfather282
      @ellgodfather282 Рік тому +1

      Roho Mtakatifu ndiyo jibu njue Yesu

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 Рік тому +5

      Acha upuuzi wewe Imani ndio kila kitu hakuna Cha msikiti Wala kanisa,alafu angalia matendo yako usiyaangalie yamwingine.

    • @babydlagwen9446
      @babydlagwen9446 Рік тому +7

      Kanisani ni mahali pakufurahi

    • @thomasndewa4797
      @thomasndewa4797 Рік тому +2

      Takbirrr

    • @thomasndewa4797
      @thomasndewa4797 Рік тому +1

      Poleni Tanzani mumefungwa ufahamu wa kutambua fake pro

  • @christaeletlawe
    @christaeletlawe Рік тому

    Amen Amen I mtumishi Mungu akubariki mno Naona ni Kama njia yan gu inaenda kufunguka natamani Mungu anipe kibali Mungaji huyo anisaidie Ada ya mtoto wangu naamini Mungu Ana njia nyingi

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Рік тому

    Suprise nzuri sasa msali na my brothers

  • @fredrickmikera5998
    @fredrickmikera5998 Рік тому +1

    Unajivika utikufu,Mungu alimwambia Musa kuwa hakuna mwanadamu awesome kuniona uso wangu akawa mzima na pia kutoka 20 anasema yeye ni Mungu mwenye wivu hawezi share utukufu na mwanadamu,ila wew mtoto wa ibilisi unajiita nabii mkuu.kati yako na Yesu ni nanj nabii mkuu

  • @charliechikopa5414
    @charliechikopa5414 Рік тому +4

    Mbn amefanya jambo lamaana tu maaana kajua wanahitaj msaada wakifedha so nibora awasaidie kwakuwa yy amejaaliwa kwan pesa si kila kitu hapa dunian hao wkiamua kubadilika wataamua kwa matakwa yao ila amewaeleza kabisa kuwa kile kizazi hakitambui

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 Рік тому +4

    Hii Ni Churchill show..Hakuna kanisa

  • @felixsamford4168
    @felixsamford4168 10 місяців тому +1

    Baba jo devi barikiwa sana mmi ni na shauku ipo ciku nitakuja kukuona kwa sasa nipo tanga baba hakika wewe ni mtetezi wa wengi

  • @alexisannick
    @alexisannick Рік тому +1

    Imana iguhezagire caaane

  • @saimonmuhando
    @saimonmuhando Рік тому +1

    Hi nikali san sio kitu chakawaida😅😅😅,duh mungu na atusaidietu mwenyewe

  • @raymondmagere4696
    @raymondmagere4696 Рік тому +2

    Kusaidia nijambo jama sana maana mungu humtumia mtu mtumishi kuja kukusaidia sasa mungu naomba nikutanishe na mtu mwenye kunishika mkono

    • @Vj_hAnss
      @Vj_hAnss 8 місяців тому

      😂😂😂 truly, poverty is deep

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Рік тому +8

    Genge la waabudu mashetani at work. Kufanikiwa bila Yesu moyoni ni sawa na kufanikiwa kwa wapumbavu hakika kutawaangamiza.

    • @sarahmshanga9224
      @sarahmshanga9224 Рік тому

      Usiseme nigenge lawaabudu mashetani kama hauna hakika, Mungu pekee ndio anamjua Kila mmoja moyoni mwake nayeye ndiye atamjibu Kila mmoja kutokana namatendo yake

    • @user-mk2sm4pw6r
      @user-mk2sm4pw6r 11 місяців тому

      Mungu ndiye ajuayeee tusihukumuuu

    • @evaristkobelo3936
      @evaristkobelo3936 10 місяців тому

      Wasaka tonge hawana mpango wa ibada

    • @oscarmbilinyi
      @oscarmbilinyi 9 місяців тому

      Ngoja nichore tatuu ya nabii mkuu nipate mamilioni

    • @Vj_hAnss
      @Vj_hAnss 8 місяців тому

      ​@@user-mk2sm4pw6r na io ndio falsafa waliyotujaza ndio tiwape nafasi ya kutufanya watakavyo.,tafakari

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 Рік тому +9

    Kuna namna mungu huwatoa watu kwenye giza😅😅😅 be blessed prophet

  • @barakaomari8899
    @barakaomari8899 11 місяців тому +3

    Allaah awahurumie sana , Alihamdulilahi tobe born as Muslim, huwezi kuta upuuzi kama huu msikitini

    • @victorianganyagwa2467
      @victorianganyagwa2467 11 місяців тому

      CYO wkrist wote wanafanya hvy hilo ni dhehebu Tu Roman Catholic Aglican KKT uez kukut km hvy Hao waliokuja n kujiita manabii nd wanaouchafua Ukrto kw kujfich ktk ukrito

    • @jeniphermyingajeniphermyin8029
      @jeniphermyingajeniphermyin8029 11 місяців тому

      Siyo makanisa yote lkn

    • @jeniphermyingajeniphermyin8029
      @jeniphermyingajeniphermyin8029 11 місяців тому

      Hawezi kukosea mmoja alafu wakaitwa wakrito wote wakp hivyo hapana,niwao tu

    • @user-bt3wt6nt4z
      @user-bt3wt6nt4z 5 місяців тому

      Umesikia kuwa nyie waislam mmekamilika?😮😮

  • @elizabethswai7777
    @elizabethswai7777 Рік тому +1

    Ipo cku,moja hiyo NEMA ya miracle money itanipata mil 100,mtumwa WA Jehova,nataka na mm niwe na canta langu na coaster yangu kama super woman,I trust in God,lv u nabii

  • @amanihare21
    @amanihare21 10 місяців тому +2

    Hapa niuongo mtupu! Hakuna Mungu ndani yake!! 👉Hivi🤭🤭!!

  • @user-kf8hc5rt7k
    @user-kf8hc5rt7k 10 місяців тому +1

    Barikiwa nabiii

  • @hamadmohamedy
    @hamadmohamedy 8 місяців тому

    Hatar kanisa limekuwa 😂😂😂😂 rege imbaaaaa ooo imbaaa yellloooo imbaaaa

  • @sasiNJ
    @sasiNJ Рік тому +4

    Awa machaliii hatariiiii😅😅😅

  • @user-xw9wo7nh6c
    @user-xw9wo7nh6c 3 місяці тому

    Chuga moja kila chuma icho makonda hapa kz hipo ndugu yng😅😅😅😅😅

  • @africanmitindo2160
    @africanmitindo2160 Рік тому +6

    Devil at work 😢😢😢

  • @ellymartin9343
    @ellymartin9343 Рік тому +3

    Huyu mtu anachochea sana mmomonyoko wa maadiri, yeye pia ni kizazi cha ajabu sijawahi kuona wala kusikia. Mambo ya Mungu yupo mbali nayo mno.

    • @Excel-Elevation-School
      @Excel-Elevation-School 9 місяців тому

      Me naona hachochei soma biblia vizur mfano Hosea 3:1 uje na Majibu Nabii Mkuu anachochea nn.

  • @pendokatonge3926
    @pendokatonge3926 9 місяців тому

    Mmmhh ngoja ninyamaze.😭😭😭Dunia imefika hapa vioja tunvyoviona leo na bado

  • @abdallahamiri8527
    @abdallahamiri8527 Рік тому +1

    Mkiingia ivyo msikitini mtapigwa bakora nyingi xana🤣🤣😂😂

    • @user-dq3fk1xn1e
      @user-dq3fk1xn1e 10 місяців тому

      😅😅😅

    • @user-bt3wt6nt4z
      @user-bt3wt6nt4z 5 місяців тому

      Kwamba nyie mmekamilika au ndo xjaelewa?

    • @user-mi7yx8ew1k
      @user-mi7yx8ew1k 2 місяці тому

      ​@@user-bt3wt6nt4zkwamba nyumba ya mungu haichezewi kiasi hicho kbs mchungaj katulia msiifanye nyumba ya mungu kuwa kambi ya wanyanganyi

  • @EmmanuelWaisse-s5e
    @EmmanuelWaisse-s5e 2 місяці тому

    Watu watu jamani waache mizaha kwa lord tuache ku support mamb ya ajaabu

  • @lucasmabuli4786
    @lucasmabuli4786 7 місяців тому

    😢😢😢😢Inauma saana tuombe sana MUNGU atufumbue macho

  • @fainedamwai8156
    @fainedamwai8156 8 місяців тому

    ❤nakupenda buru nabii

  • @user-js5io7sf5f
    @user-js5io7sf5f 10 місяців тому +1

    Ama kweli hii sio sawa

  • @immasoi384
    @immasoi384 Рік тому +4

    Kemea mapepo yawatoke. Sio kuwapa hela ambazo hazitawasaidia kwa ufahamu walio nao.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 11 місяців тому

    Mchungaji angekuwa na imani ya mungu kweli kweli na mcha mungu wa dhati kutoka moyoni mwake hakika hao vijana angewapa mawaidha na wangewaidhika na kuwa waumini wa kweli , lkn amewapa pesa na kuwaombea tu waendelee ktk uendawazimu wao .

    • @EmatashiTashi
      @EmatashiTashi 10 місяців тому

      Uwezi kuzuia kipaji Cha mtu

  • @DeboraNgura
    @DeboraNgura Рік тому

    Huyo mwenye kofia nyekundu anapepea kma mwenyeji😂😂

  • @user-qo9dg4xk6j
    @user-qo9dg4xk6j 9 місяців тому

    Nimejikuta nalia😢kwafuraha mungu anawatow watu waishi kwaajili ywwengine

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 11 місяців тому +1

    Hili kanisa sikuwahi kulisikia wala kuliona kipindi cha Yesu. Shetani amevuruga vichwa vya watu

  • @myself4128
    @myself4128 8 місяців тому

    baba Tumeona Ufalme wako😂😂😂
    hii ni Misukule Inamuabudu Jamaa bila Kujua! hapo hakuna Atakayepona!malango ya Kuzimu

  • @EliaMwashibanda
    @EliaMwashibanda 10 місяців тому +1

    Kanisani ni mahali pa matengenezo nikama gereji mwache Bwana atengeneze watu wake

  • @odalomary5446
    @odalomary5446 11 місяців тому

    Kanisa la maokoto ila mbona waumini wake..awapi ayo maokoto 😂😂😂

  • @AbdullaSeifKhamis-se9sc
    @AbdullaSeifKhamis-se9sc 3 місяці тому

    Amakweli hii dini Ya Pesa tu 😂😂 mwenye macho haambiwi tazama

  • @janethedward4631
    @janethedward4631 Рік тому +1

    Mimi naona kafanya jambo la msingi tu maisha magumu ajara akuna sasa jamani km mtumishi wa MUNGU kaguswa lazima atoe kutoa ni moyo na si utajiri wchungaji wangapi wapo Tanzani ata kusaidia watu akuna binafsi Mtumishi wa MUNGU mimi nakuombea MUNGU akupe Maisha marefu yenye Amani na Upendo km moyo wako ulivo na unavo toa akuzidishie mara 💯

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 Рік тому +3

    god have mercy of this churchu we are on the end time

  • @user-tc1cw6un1b
    @user-tc1cw6un1b Рік тому

    That's amazing stely

  • @olivernyange2349
    @olivernyange2349 Рік тому

    Ukiingia deep sana utaonea waafrica huruma,kigezo cha dini mmmmmh

  • @user-bo3nt4ji2c
    @user-bo3nt4ji2c Рік тому

    Khaaaa nimecheka paka bas😅😅😅😅

  • @erickbenjamini8154
    @erickbenjamini8154 Рік тому

    Nabii Mkuu hao vijana Mungu kawaleta kwako waokolewe waombee Toba baba

  • @user-nb5hy1jn2u
    @user-nb5hy1jn2u 11 місяців тому

    😂😂😂hii imeenda Tena imeinda kwel kwel Yan sehem yakumuabudu imegeuka video show

  • @GraceCelestin-ln3dp
    @GraceCelestin-ln3dp 3 місяці тому

    Kwani nyinyi hamuone ? Tupo katika siku za hatari, yesu hukaribu

  • @zawadijuma9681
    @zawadijuma9681 9 місяців тому +1

    Wamepata ya bangi😮

  • @KifmboKifimbo-qh2ze
    @KifmboKifimbo-qh2ze 11 місяців тому

    Mungu waongoze man tunajuwa kam Hujuw unacho kifanya

  • @jacklineiman8131
    @jacklineiman8131 11 місяців тому

    Hakuna kuwahubiria kuokoka watoke huko waliko umeacha kondoo warudi vile walivyokuja kweli ee Mungu wangu hawajaokokaa

  • @EmmanuelSanare-bc7si
    @EmmanuelSanare-bc7si 9 місяців тому +1

    Amina🙏

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Рік тому +7

    Shetani mkubwa hakuna kanisa hapa

    • @anesansibert2968
      @anesansibert2968 Рік тому

      Bora wew umeliona hilo

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Рік тому +1

      Mungu wetu ni anayegusa maisha ya wahitaji...mimi sio anayeamini kwa Kanisa hilo,lakini kuwajali na kuwakaribisha vijana kama hao ni jambo jema

    • @mwinjilistiaristidesmeja1834
      @mwinjilistiaristidesmeja1834 Рік тому +1

      Siku nyingine leteni na mashoga na wasagaji maana mamiss tayari mmeisha leta

    • @heritier5119
      @heritier5119 Рік тому

      ​@@mwinjilistiaristidesmeja1834
      Awazuiliwi kuingia Kanisa Kanisa ni kwa ajili ya wenye dhambi

  • @sofiasofia7557
    @sofiasofia7557 10 місяців тому +1

    Kwani huyu jamaa yy anapata wapi hela nyingi kiasi hicho🙄🙄

  • @barakakiwangaog
    @barakakiwangaog Рік тому

    Noma

  • @ElishaMosses-fn1qu
    @ElishaMosses-fn1qu 11 місяців тому +1

    Appreciate more Honorable prophet Geor Davie

    • @myself4128
      @myself4128 8 місяців тому

      Aliyekuroga Alishakufa
      wewe kapime akili au kaombewe na Watumishi wa Mungu unahitaji deliverance!!

  • @benjaminkiwandaimbise4985
    @benjaminkiwandaimbise4985 Рік тому +1

    Kifupi tu ni Yesu yupo karibu sana😔

    • @ikabako2454
      @ikabako2454 Рік тому

      Yesu ni muongo sana. Hajawahi kuwepo na wala hatarudi

  • @kateadam8204
    @kateadam8204 11 місяців тому

    hii nchi kweli inavituko haya tuseme kwa pa1 Vituko viendelee😂😂😂

  • @FelisterDuway
    @FelisterDuway Рік тому +2

    😂😂😂😂😂😂ndo maana sahivi siitwi ireen tena😂😂jamani mie naitwa sumaira sijuti kusilim makanisa ya leo hayaeleweki😢😢

    • @Najdi358
      @Najdi358 Рік тому

      Yaan mie mpaka nacheka, yaan huyo jamaa anae jiita nabii anawapotosha watu tu,

    • @happykibiki2883
      @happykibiki2883 Рік тому +1

      Wew ndouelewe mungu yupo popote pale n SS wote ni watoto wake

    • @FelisterDuway
      @FelisterDuway Рік тому

      Dah kwakweli simhukumu ila hapo kwenye hiyo kanisa hapana.. naijua sana na nilishaingia sana tu yaani ni mauzauza

    • @Abdul-rn5zj
      @Abdul-rn5zj Рік тому

      mashaalwa

    • @pulikisia7963
      @pulikisia7963 Рік тому

      Umependa tu kujipoteza,kwani kanisa ni Hilo tu?? Makanisa yote yako hivyo??

  • @richtarimo4470
    @richtarimo4470 Рік тому

    Nabangi iuzwe bei rahisi😅😅😅😅 chuga

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde6129 Рік тому +3

    MUNGU akubariki Sana Nabii,kwa kuwaona nakuwajari.nahili liwefundisho kwa serikali kuwawezesha vijana wasio na Ajira waweze kujitegemea.

    • @rasuliathumani1599
      @rasuliathumani1599 Рік тому

      Acha usenge akuna nabii hapo

    • @ombeniruvubika5392
      @ombeniruvubika5392 Рік тому

      ​@@rasuliathumani1599
      😂😂😂😂
      Nakwambiya nihatari man... tutaona mengi sn kwenye hii Generation

    • @omarymnuru8746
      @omarymnuru8746 Рік тому

      Kuwajali wahuni, we hizo Ni nguo gani na miviatu gani, sasa hapo una-support nini Kwa mfano...hiyo ni Sanaa gani?😊

    • @kingruvako7590
      @kingruvako7590 Рік тому

      ​@@omarymnuru8746acha upimbi huo sio uhuni ni ubunifu wa kutafuta ridhiki kwahiyo ulitaka wakaibe hiyo ni sanaa km sanaa nyingine ww mshamba wa wapi

    • @thomasndewa4797
      @thomasndewa4797 Рік тому

      Upuzi wenu muache, ogopeni Mungu ata kidogo basi.

  • @user-zu7jd2uq8k
    @user-zu7jd2uq8k 6 місяців тому

    Love you my dady

  • @solomoneglesias9752
    @solomoneglesias9752 Рік тому

    Nyoka 🐍 uyu APA yaaan ibilisi live🤣🤣🤣🤣🤣

  • @SamwelJoseph-yk3cw
    @SamwelJoseph-yk3cw 8 місяців тому

    Wanadam ukiwafanyia mambo mema sana sana wanakugeuza kuwa kama mungu wao, kwa maana hiyo mtu huyu afanyacho sio sahihi

  • @user-um8cw6ze6f
    @user-um8cw6ze6f Рік тому

    Asante
    🎉

  • @rehemaakyoo
    @rehemaakyoo 8 місяців тому

    Hata yesu alikuja ulimwenguni kwa kile kilichopotea nasio kile kilichokamilifu

  • @user-jr1bd1wx5k
    @user-jr1bd1wx5k 11 місяців тому

    Ume nigusa Sana nabii lkn wapigia sm mbona hamni fatilii jaman napenda uduma zenu

  • @adieljoshua640
    @adieljoshua640 Рік тому

    kanisa la maonesho ya saba saba na maigizo kama zilipendwa
    Oooh! my God Dunia imeisha hawa manabii wamezidi kubuka na kumea every where like a Mushroom

  • @DONALDYOWAS-rr7tz
    @DONALDYOWAS-rr7tz 3 місяці тому

    😂😂😂😂😂 siopw kàbisa

  • @HumphreyNyamoga
    @HumphreyNyamoga 2 місяці тому

    Jaman mpaka kanisan

  • @eliyahango4278
    @eliyahango4278 Рік тому

    Hii Ni Safi ,hawataacha kuja tena😂😂😂

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 10 місяців тому +1

    Hapa inatukuzwa hela utapeli

  • @nellymarylucas
    @nellymarylucas Рік тому +1

    Mungu awape mafanikio mema chugas boy

  • @EsterShirima-vr7cv
    @EsterShirima-vr7cv 3 місяці тому

    Uhakika nimekukubali nabii

  • @Levimico
    @Levimico 6 місяців тому

    Nyie pokea tu ipo siku mtamwona mwenye mapembe mawili akiwakalibisha kuzimu munaandikwa kuzimu hakuna cha mungu hapo 5:09

  • @marymwanziamary6623
    @marymwanziamary6623 Рік тому +1

    MUNGU wahurumie hawa watu na uwaokoe kutoka katika hili shimo la kuzimu kweli hawajitambui.

    • @filbertdamiani101
      @filbertdamiani101 11 місяців тому

      Sikia mnamjua huyu mtu ninani? Mafarisayo walimuuliza yesu, kwanini una na kula pamoja na wenye dhambi? Naye kawajibu mwana wa adamu hakuja kwa ajili ya wakamilifu, Bali alikuja kuokoa waliopotea.

  • @joh113
    @joh113 Рік тому +3

    Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa

    • @millicentanyango526
      @millicentanyango526 Рік тому

      Kabisa

    • @ladislausmoris9638
      @ladislausmoris9638 Рік тому

      Tunakula laana hapo hamna imani fumbuen macho wana wa mungu tunaelekea jehanam

    • @ladislausmoris9638
      @ladislausmoris9638 Рік тому

      Wagonjwa makaisani, yatima, wagane na majeruhi kibao wamekosa msaada wanateseka leo unadapoti majizi kweli

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 4 місяці тому

    Country hilo

  • @enockmichael7472
    @enockmichael7472 Рік тому

    Ngenge la wahun

  • @Karromia-vq5vw
    @Karromia-vq5vw 9 місяців тому

    Hapa hakuna kanisa ( wenye akili watajua)

  • @kijakazinyalinga7003
    @kijakazinyalinga7003 Рік тому

    😂😂hili sio kanisa ni jumba la maigizo

  • @paulkidula1663
    @paulkidula1663 Рік тому +1

    🤣🤣🤣😂😂chugga kama chugga

  • @SiriackSadick
    @SiriackSadick 7 місяців тому

    Nielekezen hili kanisa liko wapi niende na Mimi nilambe hizo milion

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de Рік тому +1

    Khaaa 😂😂 kwa mwamposa hakuna ujinga huu watu wanacheza kwa kumanuka kisa milion moja? Hawana hofu y Mungu n comed tu hapo mana wapp watu wenye uhitaj mkubwa wa pesa mnawapa watu wanaojichetua jmn " unadhan watakuja kusali tena hao

  • @user-ry9yw6mn4x
    @user-ry9yw6mn4x 5 місяців тому

    Aminaaaaa❤

  • @AnisetaMeena-pz7ft
    @AnisetaMeena-pz7ft 9 місяців тому

    Hiyo miwani yako haina tofauti na hivo viatu

  • @saitotimeshilieki1217
    @saitotimeshilieki1217 Рік тому +2

    jamani siamini mm kama leo vijana hawa wanasifiwa kwa hii staiili na kupewa hela kana kwamba ni jambo jema wakati wenzao watatu jana waliuwawa na kuchomwa na kuaga dunia,jamani hii sio kabisa wabadilike na kufuata torati iliyokuwepo mwanzo na kujieshimu