Amejibu= amejaibu😂 this one can be a good singer jinsi alivyo anza kuimba he is the best nimuombe aingiye kwenye music ataimba vizurisana naatabariki Watu Sana katika jina la Yesu Kristo ❤❤️♥️🇨🇩
eti ela frani yaku msumbua mtu we toka hapo yaani bado saana mme jaa njaa tuu posho zamwezi izo kwenye ma UA-cam watu wanajua tafuta pesa mpaka kwenye kifo uenda watu Wasinielewe nini Namanisha
@@grannyboy3606 hiyo interview yenyewe umeielewa!?. Tuache kutazama mambo kwamtazamo wa kitoto. Unajua maana ya Interview. Uliza swali moja kisha mpe uhuru mtu wa kujielezea na wengine wapewe maelekezo kabla ya kuanza kuwa wasiingiliane katika mahojiano. Mmoja akijibu wengine wanatulia mpaka mwingine aulizwe. Lakini hawa wanaingiliana kama wapomtaani wanapiga stori. Sisi tuliokua enzi za kufatilia vipindi vya habari vya redio tunajua nini lengo na maana ya mahojiano. Sio hizi zenu za kukurupuka kurupuka
@@JenifaJohn-k5d hakuna mchawi zaidi ya shabiki mbumbumbu anaweza kukutoa ktk mstari mnyoofu. Nikisema mimi mwenye akili timamu inatosha. Wataacha uzembe katika kazi hakuna kitu cha maana walichokifanya hapo. Bora wangeita mtu mmoja tu akahojiwa kwa upana akafunguka. Hii EATV inajifanya ya vijana kumbe ya wahuni wa vijiweni. Kaangalie interview za SnS. Mtu anaulizwa maswali ya akili na anapewa muda wa kujibu kwa akili
eti ela frani yaku msumbua mtu we toka hapo yaani bado saana mme jaa njaa tuu posho zamwezi izo kwenye ma UA-cam watu wanajua tafuta pesa mpaka kwenye kifo uenda watu Wasinielewe nini Namanisha
Amejibu= amejaibu😂 this one can be a good singer jinsi alivyo anza kuimba he is the best nimuombe aingiye kwenye music ataimba vizurisana naatabariki Watu Sana katika jina la Yesu Kristo ❤❤️♥️🇨🇩
Mm namkubar sana mtumish
Safii ndalo uko vizuri maelezo yako
Ndaro muha huy anajua kujieleza🥳🥳
TX Dullah amempa irene ushauri wa uhakika na kiunyamaaa,inabidi msichana apewe kazi
Ndaro apo umewabeba sanA wenzako awajui kujieleza
Pamoja sana🔥🔥🔥🔥
Never Dissapoint Ndaro🎉🎉🎉🎉
Never disappoint East Africa
eti ela frani yaku msumbua mtu we toka hapo yaani bado saana mme jaa njaa tuu posho zamwezi izo kwenye ma UA-cam watu wanajua tafuta pesa mpaka kwenye kifo uenda watu Wasinielewe nini Namanisha
Swala lakubadilisha nyimbo tune mpk melodies makanisa mengine mpk lines hilijambo nilakwelinalinaboa
Hii squad ni hatari.. Alafu uongeze steve mweusi.. Matata sanaa😂
Sa mbn nikimuangalia dula nacheka sijui nacheka nn
Dullah hapo ndo umenikosha mwana umetaja Burundi kwr mwakani show umeandaliwa mwanangu
Haijapendeza sana, uwezo wa kwenye video zsnu haujaendana na kwenye interview hata kidogo.
Interview sio comedy
@@grannyboy3606 hiyo interview yenyewe umeielewa!?. Tuache kutazama mambo kwamtazamo wa kitoto. Unajua maana ya Interview. Uliza swali moja kisha mpe uhuru mtu wa kujielezea na wengine wapewe maelekezo kabla ya kuanza kuwa wasiingiliane katika mahojiano. Mmoja akijibu wengine wanatulia mpaka mwingine aulizwe. Lakini hawa wanaingiliana kama wapomtaani wanapiga stori. Sisi tuliokua enzi za kufatilia vipindi vya habari vya redio tunajua nini lengo na maana ya mahojiano. Sio hizi zenu za kukurupuka kurupuka
Acha uchawii
@@JenifaJohn-k5d hakuna mchawi zaidi ya shabiki mbumbumbu anaweza kukutoa ktk mstari mnyoofu. Nikisema mimi mwenye akili timamu inatosha. Wataacha uzembe katika kazi hakuna kitu cha maana walichokifanya hapo. Bora wangeita mtu mmoja tu akahojiwa kwa upana akafunguka. Hii EATV inajifanya ya vijana kumbe ya wahuni wa vijiweni. Kaangalie interview za SnS. Mtu anaulizwa maswali ya akili na anapewa muda wa kujibu kwa akili
Huo ni wivu
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nampendaga chard 😊😊😊😊
Wabongo bwana mukipata shida munatusumbuwa sana kwa vibakuri endereeni muwe munatunza hayo maneno
Ila masatu yuko cool sana i feel jealous kwa bby wake😂
😂😂😂😂😂 jaman mchungaj 😂😂😂😂
Tx alivyojikaza na hiyo headphone😂😂😂
Bubu anaitwa maneno😂😂😂 nakubali
Duuuhh Dada mrembo pink, nakubali mtumishi
Ni zamu ya T e k c 😂😂😂😂
Nmekubal san wanang
eti ela frani yaku msumbua mtu we toka hapo yaani bado saana mme jaa njaa tuu posho zamwezi izo kwenye ma UA-cam watu wanajua tafuta pesa mpaka kwenye kifo uenda watu Wasinielewe nini Namanisha
TX Dullah amempa irene ushauri wa uhakika na kiunyamaaa,inabidi msichana apewe kazi
TX Dullah amempa irene ushauri wa uhakika na kiunyamaaa,inabidi msichana apewe kazi