UNDANI TUKIO LA KUPIGWA KWA JUMA NA WAFANYAKAZI WA OYA, MKE AFUNGUKA/SHUHUDA AELEZEA ILIVYOKUWA
Вставка
- Опубліковано 8 жов 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►UA-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Hii mikopo ndugu zangu tuache kukopa kwa sababu kwanza riba zao ni kubwa sana mkopo ambao mm naukubali niwa mama samia hauna riba ukichukuwa mkopo mnakaa miezi 3 ,bila kurejesha mnajikusanya kikundi watu kumi ni mkopo mzur sana tulikopa na tulimaliza mkopo vizur hivi tunasubiria tena tukopeshwe sijuwi oya kausha damu acheni ndugu zangu hawafaii mkopo ni mmoja tu wa mama yetu kipenzi muheshimiwa mama samia
Mikopo enyewe huyo inatolewa wapi
@@hadijauledi6995 sio kila mtu anapewa mikopo hii mpaka ujulikane
mikopo yasamia inaishia juu juu hiyonayonimikopo
@@PeterMahona-zd3oz ndio atuambie, maana mikopo inakuja kimyakimya na ikiwalenga wanaccm tu ,sijui yeye huwa anachukua wapi,
Mungu amweke mahali pema peponi.
Lakini, majirani na hasa wapangaji wenzake na marehemu, kwakweli hawakutoa ushirikiano. Laiti wangetoa ushirikiano, haya yasingaliyokea.
Pamoja na sheria kuchukua mkondo wake kwa wafanyakazi wa kampuni ya OYA,kampuni hii ya OYA ifungiwe.
Mwenyekiti amenyooka sana anaekubaliana nami weka like hapa
It seems jamaa ni msomi sana,vijana weng wasomi bado wapo mtaani,mwenyekit ni genius, smart ana akili mno anafaa awe mwnyekiti wa wenyeviti wotee
Majirani kidogo mlikosea ,hamkuonyesha ushirikiano nzuri kwa mwenzenu, basi mngepiga cm polisi kwa msaada zaidi
.kabisa na tukio wameliona majirani wangejikusanya nankuingilia kati wangemuàchia hila ndo lisbatokea akuna jinsi
Wangepiga simu polisi?polisi wepi hao?
🙏🙏🙏🙏🙏mama tuangalie pakuingia tunapotaka mikopo🙏🙏🙏kwingine hapaingiliki
hiyo OYA ifutwe tu hata wengine wanaodaiwa wasilipe kabisa hao ni majambazi.
Kabisa pumbavu zao
Kausha Damu kiboko😊
Kwa nchi hii oya watauwa watakavyotaka hakuna serikali ya kuwashtaki mwenyewe pesa hafungwi i love Tanzania
Kwani OYA ni mali ya nani?
Poleni sana ndugu juma ila Hawa oya walichokifanya sio mambi
Huyo shaidi wa kiume kw nn asingepiga kelele kutaka msaada
Hii OYA itakuwa sehemu ya KAUSHA DAMU.
Jamani oya wauwaji walitaka kumpiga mama mmoja tabata
Hawa oya niwasumbufu sana na huwa wanapenda kutishia maisha sana ila hili limewakuta
Ulitumwa ukakope ? Msiba ukishaisha na kec imeisha
@@hassanrashid-l3u Una utu wewe Mungu asaidie ufiwe na mtu wako WA karibu
Tanzania ukiwa na Pesa haufungwi, ndiyo maana kuuwa mtu ukiwa na pesa sio kitu. Watu hawaogopi kuvunja sheria, haswa wenye pesa. Afande aliyetumwa kubaka mpaka sasa yuko huru. Hi nfdiyo Tamzania yetu viongozi wetu wanasema ni nchi ya amani
Huyu jamaa si jirani mwema kwanini usingeenda polisi au kumweleza mwenyekiti mshenzi tuu
Eti anaenda Shamba, angekuwa Mwanae angeenda Shamba, tupendane jaman! Leo kwa Mwenzio kesho kwako, ht km sio Mkopo laweza tokea lingine
inalilahwaina ilaihi lajiunni😮
Yaani hao ndio utaratibu waliojiwekea Kama ukichelewesha Salio wakikufuata nyumbani ni kipigo Cha mbwa mwizi yaani nashangaa sijui watu wa aina Gani hao
Tupate fundisho hapa pia. Jamani mnaokopa hovyo bila kuwa na mawasiliano yenye afya na wenza wenu, acheni tabia hizo. Tazameni sasa, dada Khadija kasababisha mwenzake atolewe roho.
Siku yake ilifika
Mungu atusaidie
Ninachoshangaa ni kwamba pesa mitaani hakuna kwa watu wa hali ya chini biashala zinakufa hela imekuwa ngumu kwa wanaonunua na wanaouza lakini kuna makampuni kibao mitaani na mitandaoni hizo hela nyingi walizonazo kukopesha watu zimetokana nini watu wanahozi pesa nyingi kwa njia halamu wanakopesha watu na kuendelea kuwafanya masikini hata kunyan'ganya vitu vya ndani selekali inatakiwa iliangalie sana hili
Swadaktaa.
Oya ni genge la wahuni.....wanakujaga kudai madeni wamelewa bwiii
Ndo wananch mnasem mpambane na watekaji weny silaha, wkt wenye panga t hd wameua mtu, huo n uzembe mkubw majiran wot kenge tu, wwe unaend shambn baad ya kukushnda kupambana lkn mweny utu angeit watu na kuwajuz wengne man mtu kashik panga ukujua n wabaya hao jmn kwl?
Inalilah wainalilah rajuuni
Hawa majirani washenzi sana mtu anapigwa mtaani.kwenu.asubih na wala.hamuhangaiki kujua hari yake
Marehemu inaelekea hakuwa na Habari ya huu mkopo
Huyu nae bure pia, kwa nini hakutoa taarifa kwa uongozi wa mtaa badala ya kwenda shamba kwanza bila kujua hatma ya jamaa yake?
Shamba usiku
Alfajir@@SirajiAbdalah
Alienda shamba baada ya wahusika kutoka na mwili kwenda nao hospitali. Na ilikuwa ni alfajili
Jirani nae chenga tuu,msaada wa marehemu haukuwa na faida kwake, yaani mtu anaonewa kwa kushambuliwa na silaha jirani yupo anashuhudia tuu hata angepiga ukunga ajaze watu pengine ingeokoa maisha ya mtu pale ktk tukio...!!
Mwenyezi mungu akipanga jambo lazima litimie kwa wakat wake@@michaelnsangano2229
Mwanzo umesema alitambulika kwa jina moja badae unataja majina yote matatu vp ndugu mwandishi unajitambua ?
Atakae enda chukua mikopo ya OYA inabidi apimwe akili kama yupo sawa lazima atakuwa tahira.
Yaaaani Toka Nilivyosikia Hii Habari Nimemkumbuka Marehemu Magufuli Kipindi Cha Uhai Wake Alikizungumza Hili Na Leo Limetokea 😭🙏
Tabata hao oya walikuja kudai mama mmoja saa 8 ya usiku wakaandika nyumba nzima lipa deni la oya lipa deni la oya lipa deni la oya
Hii nchi itaku imetoboka sehem!!
From 🇧🇮 inalillah wa inalillah rajiun nawao wawauwe tu
Mimi siwapendi Hawa oya
Watuhumiwa wlio tekeleza mauji hayo ya madai wafungwe kifungo cha maisha wananchi tujue tunataka tuone shelia inavo. Tendeka kama kwa wengine
Wanyongwe tu
hao majirani wanawivu wa maisha roho mbaya tu
Ninge kuwepo hilo gari lisinge ondoka watu wa Dar waoga sana
Huyu mtangazaji yeye neno LA kuhoji analolijua ni changamoto tuu😂😂
Wanatabia baya sana hawa oya hukukwetu wanawazaririsha sana wateja wao wanakuja kudai malejesho saa 4 usiku jamani wakiwa wanatafuta wateja niwapole sana yani hao vijana wa oya siyo itakuwa niwalevi
Hata angemshirkisha Mme wangechelewesha kulpa wangejeruhiwa tu inaonyesha siwavumilivu
Mmmh jamani mbona viongozi wamikowa..hawanasauti au Sheriya kweli binadamu wanakufa kama vile wanyama dhamani yamwanadamu ipo wapi???pya maana yakuwaviongozi nini?hivi hata aibu hamna wakati wakugombeya uchaguzi mnakujanamachoyenu makubwa bila hataaibu...??kunafaida gani kuchaguwakiongozi hata ushirikiyano haupo nawanainchiwake..tatizo kama hili lazima diwani awemstari wambeli kufwatiliya mbunge nayeye aonyesheushirikiyano kuwahawapendezwi natabiya zaukatili..jamani serekali mnatengeneza Roho zavisasi..watu watakuwawanawindana kama ndege..kutekwa watukupoteya hakutakwisha..kupoteya kusipojulikana hakutakwisha kabisa...jamani Sheriya tendenihaki vingnevyo damuzawatu zitawaliliyasana vinginevyo family zenu hazitakuwasawa kbs.
Au pia wanyongwe na hiyo laki iliyowafanya wauwe pia wanyongwe.
Sio kweli msisikilize sehemu moja hawawezi kuondoka na mtu kapigwa mpaka kaka kama ni ndugu yako kwa nini uende shambq ndugu yako anapigwa kweli jamani mpangaji pia hakuamka hao labda majambazi sio oya
Wa hapa mlandiz jilan kabisa ulipo msiba hii sio haki mi nazan Sheria ifate mkondo wake na hak itendeke
Nishida kwakweli hii OYA ifungwe tu hili nimeona kwa wengi wakifanyiwa fujo daaa
Neema,huwajui.... Niko kijichi Mbagala, mimi ni mmoja wa waanga wa kampuni hiyo... NI MOTO USIWACHEZEE... NI VIJANA WANAKUJA WAMELEWA SOMETIMES WANAKUJA NA MAGARI 7 KUKUDAI SAA 8 USIKU, NA TAA ZOTE ZIMEMULIKA KWAKO... OGOPA SANA!
Tuambie ukweli neema
Ni sehemu gan ndugu hapo Mlandizi???@@JumanneHaruna-l8d
Daah poleni sana kweli inauma😢
hawa jamaa wachukuliwe hatua kali sana zakishelia
Hawa watu wamikopo kwa upande mwingine nikama wezi fulani hivi wameenea kila mahali mpaka vijijini wapo
Yani saizi watu wanajiamulia cha kufanya na hawaogopi lolote
Hayo oya wakija mtaani wapigwe mawe
Ninachokiona hapo tatizo wakopeshaji nguvu wanayotumia kudai mikopo sio mfumo sahihi ila niwaambie wakopaji kama hawakubali kuziishi sheria za urejeshaji mikopo angalizo ipo siku mtauziwa kila kitu dawa ys feni ni kulipa sio kwa utaratibu wa kujipangia mliokubaliana kwenye mkataba🙏
Nasikia tu mimi hao jamaa mikopo yao ni shida
Unachuaje mkopo bila kumshirkisha mume wako sura zitoo 😏😏😏
Kikwel OYA wanadai vibaya na kisheria mtu yoyote haruhusiwi kuwa Hakuna Sheria ya kuuwa hata Kama unadai
Duuh aiseee naogopa sana dunia jamani 😭😭😭😭 kwanini iwe hivi kkmmk 🤦♀️
Ndugu wanakijiji jifunzeni kutumia fedha kulingana bakia kipato chenu kukopa ni changamoto sana hasa hasa kama mtakopa ktk benk ambazo sio sahihi Lakini tunaomba tusikie upande wa 2 ktk shauri hili.
Yani mnawinda watu usiku,ila nahisi hao walikuwa wasumbufu wa kulipa why mfatwe usiku
Siyo jamani, OYA ni wajinga kabisa
Hawa jamaa hata ukiwa mdhamini wanakuja mpaka usiku Kwa mdhamini kwahiyo ni shule wamepewa nchi nzima maana Hawa utaratibu wao ndo ulivyo hawafai kiujumla Hawa.
Kosa ni la serikali hapo sababu mikopo ya halimashaul hamtor Kwa walemgwa halisi Bali ni Kwa wasip na wahitaji pili bank Kwa Nini inshidwa kukuposwa kupuguza mashart
Wahusika wafungwe miaka 50. Kama kumpa mtoto wa shule mimba anafanya miaka 30, basi wauwaji miaka 60 au wasitoke wasitoke kabisa jera.
Hao ni wamikopo au majambazi jmn khee polen sana ilamajiran mnasikia vurugu hata kutoka jmn na nyie oya laki 2 niyakuua mtu kweli
20:124 gur'an
Mambo Nimengi Kukopa Nimtihani Nakukopesha Nimtihani. Kwaufupi Umauti Nihaki Hivyo Hizi Ninjia Tu Zakufika. Hivyo Tujipange Hakuna Namna Kukikwepa Kifo ila Namna Yakujiandaa Naumauti.
Sheria ipo polisi watatenda haki apo watafungwa akuna kitu cha kuchukua sheria mkononi kama wanadai ndio mfuate mtu kibabe mbona vikundi vingine aviko ivyo
Mfu Mara nyingi ndio mchokozi ila kwa sasa kafa kila mtu atamtetea ila kunawatuna watu huwa ni wababe kulipa deni kazi,na haswa wao pia walishambuliwa
Kwanza tu jina la kampuni ni la kihuni OYA na ndio maana hata vijana wake ni wahuni kampuni inatembea na mapanga!!
Sio mapanga tu na fimbo kibao kwenye buti wanapiga sana watu hao sasa limewakuta jambo
Mm nasema ukweli oya awa watu atar wanaga stara mkopo wana kubembeleza siku moja ukikosa kihama hii kampun ata iwe ya mkubwa gan ifungwe na ifirisiwe.
Leo ndo nimeelewa maana ya kaisha damu.Wamemkausha jamaa
Nihatari kinamama punguzeni kukopa mikopo af hamshirikish waume zenu!
Hao nisawa tu naujambazi aiwezekani kuingia makubaliano na wake za watu na kupeana pesa kwa kuto muhusisha mume
Wafungiwe biashara hawa OYA, ni Washenzi kabisa hawana usitarabu. Kwani mtu anaitwa kwa sababu tu ya laki 300,000 ya simu. Washenzi sana hawa wanyanganywe licence ya biashara. Yaani haya mambo Yaana uchungu sana. Samia funga hizi biashara chora chora
Ukweli tusiseme mke ndokamponza Mume nainawezekana alikuwa ajui Mume nahao walijua labda kamficha ndougomvi wote wasinge mjimiy uyoo
Kwan hiyo Hoya ndo takataka gan
Serikal ifutilie mbal huo uchafu
Serikali inajua fika Hali ngumu iliyopo kwa raia wake wengi wanaishi chini ya Dola moja kwa siku hivyo kuruhusu hizi taasisi zisizo angaliwa vizuri na serikali nikuruhusu Hali itokee,suluhisho hii taasisi/kampuni ifutwe kabisa isionekane kwani Bora wameua wengi wamenyanyasika
Hawa watu ni wahun Hawa
Lak inatoa mtu roho
Au Hawa ndo wale wasiojulika
Hizi kampuni zisizo na too Sheria za ukopeshaji zifungwe matapeli wamekuwa wengi mitandaoni selikari inawaona inawaachia sasa wamefikia hatuna ya kuua si Haki kabisa wanachokifanya inabidi lifanyiwe kazi kwa wakopeshaji wote isiwe sababu kuwanyanyasa watu kwa umasikini wao.
Dah......😥
Serikari inayowapa leseni iwape masharti rafiki mbona benki kubwa au taasisi zingine hawafanyi mauwaji
kwanza tu jina la kampuni yenyewe
Ninyi wamama ndio mnasababisha mikopo kibaoo alafu majibu ya kipuuzi kwhy ndio hapo umefrahi mjinga sana
JAMANI SIO KUNYAMAZA KWA HAYAA..WAMEMPIGA HADI HII SIO WAKUMWACHIA.WENYEWE NI NYINYI..PIGENI KELELEE MATUKIO KAMA HAYAA WAJE RAIA WENGII
Yaani mm mwanamke akijichanganya akakopa bila mm kujua imekula kwake siingilia kama kumbeba wambebe
Shida wasipomkuta wanalazimisha kuingia ndan kubeba vitu
Hao mbwa mnawalea kama kuna atu wamekopa wasilipe kabisa na wakija kudai nanyiny8 uwenu shetan kabisa hao
Kausha damu
Hii kampuni ya oya inaamilikiwa na nani kwanza tunatakiwa tujue
Apo wanaodaiwa awatolipa tena kiufupi oya kapata asala ya nguvu na ni bora asilipwe
Ao oya balaa masuguru chpch kuuwa mama alikopa alipowaona alikimbia wamemfukuza mana ilibdi single kwenye Lambourn last maji wanakijiji idiot waliokuja kumuokoa na kumlipia deni
wana mpaka mapanga
Mbona wao hamwahoji au wapi lokap pia bos wao si yupo aseme
HIO KAMPUNI IWE CHINI YA POLISI.KUFATA RAIA NYUMBANI KWAKE.KUMPIKA HADI MAUTI 😅😅 SHERIA NA VITUO VIPO
Oya wafilisiwe pesa walipwe familia, hamuwezi kutoa uhai wa mtu kwa deni
Kwani BOT iko wapi kwanini hii kampuni haifungiwi? Mbona inafahammika kwa kudhalilisha watu? Na bungeni ilishatajwa?? Au ni ya watu wakubwa???
Hata kama ni deni Ina utaratibu wa kudai hi ni kossa
Oya nawaona wanavyodhalilisha ila wamama hawaach wanadhalilishwa hii kampuni
ukumu ipo aa apa. na ss nyie oya mkija mtaaní tuwapige
Je, laki 2 inafaa kuhatarisha maisha ya mtu?
mjingA wewe unaona lakimbili nindogo acheni kukopa
@@ZakayoYohana Mjinga huona ujinga wake pitia wenzake. Neno: Bibilia Takatifu Luka 12:15-21 “Jihadharini na jilindeni na aina zote za choyo. Kwa maana uhai wa mtu hautokani na wingi wa mali aliyo nayo.” Sasa kama wewe unaona ni nyingi kugharimu uhai wa Mtu jipime
Mwandishi nipo tabora ila oya wanatabia mbaya sana ninaushuuda
Ww mwanamke kumamako sura ngum kama mkundu wako
WAUWAJI HAO SIO PESA..WAULIWE NA WAOO TU
Oya Niwakorofi Mnakopa Yanini
Yaani hivi vigari vya oya vinazunguka hadi usiku wa manane ni shidaa
Angalizo tu tukiwaona mtaani tunachoma moto gari zao
Wanawake acheni mikopo ili kushindana kimaishaa rizika naunachokipataa onaa Sasa
Shida ni mtu kuuliwa mikopo ni sehemu ya maisha hata serikali inakopa
Waende na musoma wakafanye huo ujinga
Walitakiwa washambuliwe wauwawe na wao