Bila kujali MAKONDA amlipua tena MKURUGENZI MWANAMKE "Niwahujumu uchumi kama wengine, WAKAMATWE"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 тра 2024
  • ..................
    Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
    Instagram, Twitter na Facebook
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 136

  • @SamwelSilvester-sp5ow
    @SamwelSilvester-sp5ow 28 днів тому +5

    Eee mwenyezi mungu mlinde makonda na akawe rais wetu amen

  • @user-oy5pq3eh5y
    @user-oy5pq3eh5y Місяць тому +14

    Mungu atakuwezesha Makonda kuwa Rais wa tanzania,

  • @user-sg6iy4kv4y
    @user-sg6iy4kv4y Місяць тому +9

    Makonda anafaa kabisa kuwa kiongoz wa nchi baada ya mama

  • @shamidubadru9505
    @shamidubadru9505 Місяць тому +1

    Makonda safi sana mungu akupewepesi katka kazi zako

  • @user-pf2bu4hn1j
    @user-pf2bu4hn1j Місяць тому +5

    Hhhu mimi ni murundi Ila nampenda Makonda❤❤🇧🇮❤

  • @kwasmokweka9598
    @kwasmokweka9598 Місяць тому +6

    Makonda apewe nafasi ya waziri mkuu!,anapenda haki na kumwogopa MUNGU.

  • @DicksonKimoso-ds4xw
    @DicksonKimoso-ds4xw Місяць тому +6

    Makonda ni rais ajayo ni mtu makini sana kama hayati magufuli baba tenda haki panatendeka wafanye kazi kama KURUTI WA JESHI

  • @user-gp2ue2ny6n
    @user-gp2ue2ny6n Місяць тому +12

    Mkuu wa mkoa bora zaidi kuwahi kutokea 🎉🎉🎉

    • @SidatiSaidi
      @SidatiSaidi Місяць тому

      Sio mkuu wa mkoa bora ni kiongozi bora hapa naelewa kwann magufuri alisema atakama elimu yke ni ndogo huyu ni wangu anastaili kuwa Raisi

    • @user-ku3om4bu8j
      @user-ku3om4bu8j Місяць тому

      hii nafasi huyu haiufaii ahamishwe

    • @publicityzone9583
      @publicityzone9583 Місяць тому

      Ahamishwe wewe kama nani?​@@user-ku3om4bu8j

    • @CalninhoMhagama
      @CalninhoMhagama 22 дні тому

      Umesahau agrei mwandl mzee wa injinia somaioooo na yule aliklud nchi itanyooka

  • @user-eo2jf5cb7z
    @user-eo2jf5cb7z Місяць тому +2

    Mm namuomba Mungu sana ujekuwa rais wa Tanzania

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 26 днів тому +1

    Mungu akupe dalaja lajuuu mkuu pamoja mama samia

  • @angelfortunatus117
    @angelfortunatus117 Місяць тому +1

    Mungu akupe maisha marefu Makondaa

  • @GerardSanga-jq6ep
    @GerardSanga-jq6ep Місяць тому +2

    Makonda upo vizuri

  • @JumaMakalebela
    @JumaMakalebela 29 днів тому +3

    Baba makonda Tanya kazi hao ndio wanaochafua sela

  • @JumaMakalebela
    @JumaMakalebela 29 днів тому +3

    Makonda watumbue hao wezi tu

  • @user-jt7uv6vu1d
    @user-jt7uv6vu1d Місяць тому +6

    Wanyooshe hao wahujum uchumi

  • @user-db9hx8xp9e
    @user-db9hx8xp9e Місяць тому +1

    Uko vuzuri Kamanda tunakuombeya mungu uwe rasi wa inchi yetu makonda

  • @olesaitotilaizlaiz1766
    @olesaitotilaizlaiz1766 Місяць тому +4

    😂😂😂😂😂😂😂 mwaka huu mta ona moto,,,,,,

  • @trillionthamani
    @trillionthamani Місяць тому +1

    Hii style ni nzuri,spana spana

  • @user-ee1el5pe9d
    @user-ee1el5pe9d Місяць тому +10

    maisha marefu baba kegan

  • @user-rj5ct4bz6j
    @user-rj5ct4bz6j 28 днів тому +1

    Makonda upo sahihi Sana kaka

  • @allysaidy1840
    @allysaidy1840 11 годин тому

    Qmmqe monduli kazi wanayo😊😊😊

  • @saidsai846
    @saidsai846 28 днів тому +1

    Ndugu mkuu wa mkoa wa Arusha viongozi wengi mnao wateja ni viongozi waizi kwani wengi hawana ueredi wa majukumu mnayo wapa hawajui hata Sheria na kanuni za nchi yetu

  • @FestoMbwilo-xf9px
    @FestoMbwilo-xf9px Місяць тому +4

    Watakuchukia ila piga kazi

  • @magrethdaniel8441
    @magrethdaniel8441 Місяць тому +1

    Yani wenye vieo ndyo wanaongoza kwa wizi ila vibaka wanachomwa moto wezi wako maofisini wanakula kiyoyoz dah nchi yetu jamani

  • @aizzyashery5564
    @aizzyashery5564 Місяць тому +2

    Mkuu wa kwanza wa mkoa hatari kuliko wote ndo huyu

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Місяць тому +5

    ukiona camera za kimataifa zimeanza kumsogelea makonda ujuee kuna mataifa yana mzoom

  • @user-yn4ev5gz7c
    @user-yn4ev5gz7c 26 днів тому +1

    ccm oyee

  • @emiliamlolere5748
    @emiliamlolere5748 17 днів тому +1

    Huyu mkurugenzi mbona ananichosha. I doubt her. Inasikitisha sana Mkurugenzi anaongea hivo, ivi Ana utimamu wa taaluma yake kweli?? Shame on her

  • @JovinusJuvenary-pp3rn
    @JovinusJuvenary-pp3rn 9 днів тому

    Aiseee makonda aumeletwa na mungu haswa

  • @Ndu-wa.uroony2
    @Ndu-wa.uroony2 Місяць тому +5

    Mkurugenzi huyu ni kilaza sana

    • @AminaRamadhan-mg9lj
      @AminaRamadhan-mg9lj Місяць тому

      Yaaaan hakunaa kituu apoo wakiambiwaa ukwelii taar watuu wanaandaman unyanyasaj wa jinsiaa duuuuh

    • @publicityzone9583
      @publicityzone9583 Місяць тому

      Uwezo wa kuchambua mambo mdogo

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 Місяць тому

      Hovyoo kabisa. Apishe hiyo nafasi haimtoshi! Sijui aliipataje ?

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni Місяць тому +3

    Ipo siku utakuwa raisi

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623 Місяць тому +2

    Ni kweli

  • @AibaSaidy-jz3xs
    @AibaSaidy-jz3xs Місяць тому +1

    Makonda ndo mkuu wa mkoa wa wakuu wote tz

  • @sudymohamedy9717
    @sudymohamedy9717 28 днів тому

    Makonda I love so much

  • @brunidamadege3747
    @brunidamadege3747 27 днів тому

    Waaaapii layzaaa!!!. Kule kwetu ulituonea sasa jeee?

  • @SimbaNaali-fw3zz
    @SimbaNaali-fw3zz Місяць тому +1

    Makonda kamanda nitafute nikupe mbinu za songea mbane waliosoma cuba wanaelewa maan wahuni hawakupendi nadhan umenielewa

  • @mwajumaomary1918
    @mwajumaomary1918 13 днів тому

    Hao wakurugenzi wetu ndo wateule

  • @NengaiiLelya-ty5nn
    @NengaiiLelya-ty5nn 15 днів тому

    Jamani makonda awe rais hata kama ni miaka mingapi ijayoo

  • @SusanaSimoni
    @SusanaSimoni Місяць тому +1

    Paulo makonda Rc wewe ndo Rais wa nchi yetu baada ya huyu mama kumaliza muda wa ke ,2030 ccm wasituchanganyie habari 2030 makondaa

  • @evancetarimo1310
    @evancetarimo1310 Місяць тому

    Asee huyu jamaa mungu amuache hapo

  • @nyoracnn7256
    @nyoracnn7256 13 днів тому

    Huku kwetu mpaka sasa maduka yamefungwa serengeti

  • @Nyanimzee
    @Nyanimzee 20 днів тому

    Nakubali njombeya nikupe ng'ombe

  • @ENOCKKIPANGA
    @ENOCKKIPANGA 18 днів тому

    Yani huyu makonda akachukue. Form

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni Місяць тому +1

    Dawa ya wizi ni kuondilewa kwenye uongozi

  • @abdulazizabdillahkijaro3070
    @abdulazizabdillahkijaro3070 12 днів тому

    Huyu mkurugenzi pia mwizi

  • @ANNAKISIGA-pc5qs
    @ANNAKISIGA-pc5qs 18 днів тому

    Utawwla.awa mama ni wakujichotea tu wananchi tunapata shida kila siku pandiahiwa mabando na sukar

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Місяць тому +1

    Wezi wote washikwe na wafungwe huyo mama ndio wote wamoja tu wafungwe jela kama wameshikwa cha kusubiri nini? Nchi imeoza Makonda wafungwe tu

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it Місяць тому +1

    Wakamatwe maramoja

  • @ANGELINANDALONdalo
    @ANGELINANDALONdalo 24 дні тому

    Makonda baba nyosha yaani wabakaji wanatuhalibia watoto wetu

  • @user-nt4rt4hz1h
    @user-nt4rt4hz1h 19 днів тому

    Ni kutumbua tu hana kazi yoyote inayo fanyika hapo.

  • @latifasuleiman7527
    @latifasuleiman7527 26 днів тому

    Making ❤❤

  • @user-kw5pb9dd7p
    @user-kw5pb9dd7p 19 днів тому

    Duhuuu

  • @justerissaya9165
    @justerissaya9165 Місяць тому

    Aibu jmn eti mtumishi anaatua za kushghulikiwa😭😭😭😭😭😂😂 duh tutakoma

  • @Worldunite
    @Worldunite Місяць тому

    Yaani Makonda umempatia kweli huyu dada

  • @user-lr1sd3wq4d
    @user-lr1sd3wq4d 28 днів тому

    Yaani hii inchi wanaofaidi wanajijua Sisi walala nishida. Ila dah, nakumbuka kale kawimbo kanakosema Acha waisome namba, ndio namba zenyewe tunazisoma

  • @user-ds7ho1my4u
    @user-ds7ho1my4u Місяць тому

    Mkuu wa Mkoa, Mh Makonda huu wizi wa Taasisi za Serikali ni mtandao wa wizi hakuna usalama kuhusu Pesa.

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 22 дні тому

    Kumbe ccm ni chama nzuri ,ila wapigaji

  • @aidankatunzi1196
    @aidankatunzi1196 Місяць тому

    Wewe Ni Bora Sana mkuuu tunakukubali Sana Ona ss era zinavyoliwa mtu anachukulia poa Yani Hawa mkuuu waziludishe

  • @Abasi-ej9qw
    @Abasi-ej9qw Місяць тому

    Safi

  • @samsonelikana903
    @samsonelikana903 Місяць тому

    🔥🔥🔥

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 Місяць тому

    Huyo mkurugenzi hafai, uwezo wake mdogo ndio maana tunataka nafasi za wakurugenzi zifanyiwe usaili, unaonyesha kabisa uwezo wake mdogo, hata kujibu maswali ya kitoto anashindwa kujibu

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 Місяць тому

    Sheria zinasemaje Kwa utaratibu huu, tunatatua au tunafanya tofauti na utaratibu WA sheria😮

  • @kareem1182
    @kareem1182 19 днів тому

    Makonda makonda makonda
    Nimekuita mara 3

  • @AlfredAlfred-yd2mg
    @AlfredAlfred-yd2mg 10 днів тому

    Huyo mkurugenzi hafai hata kusimamia kuku

  • @loycenicolao7488
    @loycenicolao7488 22 дні тому

    Mapapa yapo huko juu zaidi

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg 18 днів тому

    Makoda oyooooooo

  • @ramadhanimohamed4190
    @ramadhanimohamed4190 Місяць тому

    Uyu mama pia ni mwizi

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni Місяць тому

    Makonda baba naomba sana utembee kila mkoa bas afu hao viongozi wasiondolewe kaxin kabisa

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri Місяць тому

    Hapo kweli kasheshe lakini kulingana na walivyojieleza si vibaya kutoa muda hata ikiwa kuna wasiwasi wanaweza kuingia makubaliano fulani.
    Kwakuwa ukihamaki zaidi pesa itaweza kupotea kabisa Mhe RC Makonda jamani.

  • @MkapaMmoja
    @MkapaMmoja Місяць тому

    Mkurugenzi akiwa mwanamke so mwinzi sy hila hii nchi awu wapekua wakiseng makond we wa adhibu2 mpa wanyook

  • @leonardmwayeya13
    @leonardmwayeya13 27 днів тому

    Makonda tunakuomba uje mbarari Kuna maduduhuku sio kawaida

  • @bernardmdendemi7347
    @bernardmdendemi7347 Місяць тому

    Mama hafai kuwa mgurugenzi

  • @sudymohamedy9717
    @sudymohamedy9717 28 днів тому

    Kamata mkurugenzi weka ndani

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni Місяць тому

    Au wameshirikiana nini mbona anapindapinda huyo mkurugenzi

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni Місяць тому

    Hao ni watalamu wa wizi sukuma ndani watakusumbua

  • @revocatusvedastus8893
    @revocatusvedastus8893 Місяць тому

    Sheria lazima zitumike siyo vingnevyo

  • @musamkembela1395
    @musamkembela1395 Місяць тому

    Ifike mahali makonda awe rais

  • @ShinjeMackenzie
    @ShinjeMackenzie Місяць тому

    Huyu ni mkurugwa wala hana sifa ya ukurugezi

  • @NicholausAlois
    @NicholausAlois Місяць тому

    Jamanikuna maswali siyo

  • @IsaacpauloNgwavi
    @IsaacpauloNgwavi Місяць тому

    kwahiyo mbunge anaogopa mwanamke kubananishwa kwani wanawake sio mafisadi?

  • @AgnesKungwi
    @AgnesKungwi Місяць тому

    Nakuona raisi wa mwaka 2035

  • @kainimlowe9646
    @kainimlowe9646 Місяць тому

    Mkurugenzi ni mbugila utine

    • @lilyabel2320
      @lilyabel2320 27 днів тому

      Mkurugenzi ni mbugila kweli kweli

  • @Yusra-rj7re
    @Yusra-rj7re Місяць тому

    Mtanyooka

  • @Rasuli-lf1hv
    @Rasuli-lf1hv 28 днів тому

    Saf san

  • @amoswankara3863
    @amoswankara3863 Місяць тому

    mkurugenz hajui kujieleza

  • @stevenkatani3047
    @stevenkatani3047 10 днів тому

    Uyu ni rais tuzid kumuombea2

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo Місяць тому

    Wakurugenzi wa mchongo, aliyemteua ni wa mchongo, riasi na wabunge walipatikana kwa mchongo? Na bunge je??
    Nchi ya michongo

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Місяць тому

    Hao ndio wakurugenzi wetu...!! Hata taratibu za utumishi hawazijui. Hovyo kabisa.

  • @allenmmari6327
    @allenmmari6327 Місяць тому +1

    Unapotaka kumuadhibu mtumishi wa uma, huwezi kutumia njia za kihuni kumuadhibu km kibaka wa mtaani, kuna taratibu zake, ukienda ndivyo sivyo ndiyo yale mtumishi anaiba pesa na bado anawashinda mahakamani na mwisho mnamlipa fidia!

    • @richardmathayo5537
      @richardmathayo5537 Місяць тому

      kivipi kwenye wizi hakuna sheria inayomlinda mtumishi wa umma

    • @user13375
      @user13375 Місяць тому +1

      Wez mnateteana😮😮😮

    • @openmusicglobalrecordlabel
      @openmusicglobalrecordlabel Місяць тому

      Mwili awezi kulindwa hata awe Rais atalindwa ikiwa nchi kama ni mbovu ukitaka kunielewa tazama Marekani mwili awezi kukaa maana wanaogopa kupoteza nguvu walionayo.

    • @RobartShello-qj4vr
      @RobartShello-qj4vr Місяць тому

      Jidanganye, wakamatwe ikibidi wafungwe, maana niwezi makonda Yuko sahihi

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Місяць тому

      Sasa ndio inatakiwa wachukuliwe hatua kama vibaka .......halafu uelewe tayari kishakundulika ni mwizi, anapewaje muda ..?

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni Місяць тому

    Na kila mtu alipe hela ya usumbufu milioni 30

    • @DeboraNgura
      @DeboraNgura Місяць тому

      😂😂..Kwa neno lako mh.yohana

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin8107 Місяць тому +1

    Ndo uwashauri wakuu wako wakubari katiba mpya!!Ili Sheria hiz ziondolewe

  • @kamangutv5828
    @kamangutv5828 Місяць тому

    Makonda anafanya vizuri na anakosea , Sheria za kiutumishi. Mwizi nae anahaki ya kusikilizwa

    • @KhmsNsr
      @KhmsNsr Місяць тому +1

      Mwizi hawezi kumkubali MAKONDA KUMBE munaiba kwakua mnasikilizwa bas endeleeni kuiba spana iyo itawabana.MAKONDA WANYOOSHE WEZI WOTE

    • @publicityzone9583
      @publicityzone9583 Місяць тому

      Umekosea kusema mwizi anapaswa kusikilizwa anayepaswa kusikilizwa ni mtuhumiwa tu ila akishakuwa mwizi hamna haja ya kusikilizwa

  • @alfredziganya1310
    @alfredziganya1310 Місяць тому

    HIYO NDIYO CCM MNAJITEKENYA MNACHEKA WENYEWE ACHINI MAZIGAOMBWE

  • @user-xl5xi1uq9z
    @user-xl5xi1uq9z Місяць тому

    Mwiz mtaani akiiba kuku anapigwa anakufa ila mwizi wa serikalin akiwaibia wananchi kodi zao anatetewa na kukumbatiwa

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc Місяць тому

    Naye huyu anajifanya kiongozi bora sasa, ngoja aje kuwa ata Rais muone kama atakuwa hivi

    • @ikokijuma-zv7wd
      @ikokijuma-zv7wd Місяць тому

      Kuma lako fanya wewe tuone na mavuz yako

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc Місяць тому

      @@ikokijuma-zv7wd kuma la mama yako mwenyewe ndio maana unafirwa kila siku mkundu wa nyani wewe ata mbwa ana akili kuliko wewe pumbu zako kafie mbele huko umeoza kila sehemu chefuuuuu mavi kweli

    • @user-rj5ct4bz6j
      @user-rj5ct4bz6j 28 днів тому

      Ww dada chiz kuma lako Yani bd unaona anacho fanya makonda hayana Mana we Malaya kuma lako chafu

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 28 днів тому

      @@user-rj5ct4bz6j we kundu la nyani kwani we umeotokea wapi si kwenye kuma hukohuko bila hiyo kuma ungekuwepo, shoga mkubwa weeee nauonea huruma huo mkundu wako sijui kama haujalegea na kuanza kuvaa pampasi

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 28 днів тому

      @@ikokijuma-zv7wd mavuzi yako mwenyewe ndio maana umeoza dume zima unafirwa na wanaume wenzio

  • @shabanibussara8454
    @shabanibussara8454 Місяць тому +1

    DED anachoelezea ndiyo ilivyo kwa utaratibu kiutumishi..na Mhe. RC analijua vizuri tu hilo, ila amechagua kutokujua.

  • @SidatiSaidi
    @SidatiSaidi Місяць тому +1

    Ewe mwenyewezi mungu mtukufu mlinde makonda kwa maslahi ya wanachi maskini wa taifa ili mungu baridi nuru kwake siku 1 awe raisi na kutetea maskini na wote wanaokosa haki

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 Місяць тому

    Mwizi anapewa mda wakurudisha alichokiiba kweli!!!! Inauma!!!! Hata huyo mkurugenzi ni mwizi mkubwa.

  • @user13375
    @user13375 Місяць тому +1

    Mkurugenzi hana uwezo,hakuna kitu hapo😮😮

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 Місяць тому +1

      Watz bhana sijui nani alituloga, Mkurugenzi anateuliwa na nani ambaye hakuangalia uwezo hadi akawa hapo? CAG yote keshayaanika adharani hivyo hiki kinachoendelea ni kiki tu, waanze na hiyo ripoti!

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 Місяць тому

    Nchi hii haiendi kwa sababu tumeweka wasomi wapuuzi na wajinga na wasiojali maslahi ya watu na usitawi wa nchi