AIC Chang'ombe Choir Wasamehe

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • The Best Of African Music: Kikuyu Music: Kikuyu Gospel Music: Kenyan New Music 2016: Kamba Music: kalenjin Music: Luyha Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music

КОМЕНТАРІ • 100

  • @user-pj6nd7up5p
    @user-pj6nd7up5p 8 місяців тому +4

    AMINA KUBWA. Duh huyu mama solo maua yake jamani

  • @user-pj6nd7up5p
    @user-pj6nd7up5p 7 місяців тому +2

    Wee mama wewe. Duh haleluya sana

  • @user-pj6nd7up5p
    @user-pj6nd7up5p 8 місяців тому +1

    Hongera kwa mwalimu anajuwa kuwapanga hawa masolo 3 wakongwe kila solo nafasi anayo solo humpendeza sana. Napenda sana hiyo. Mungu awabariki.

  • @presseg.6362
    @presseg.6362 4 роки тому +6

    Wakati mwingine nakata tamaa kwa changamoto ninazokutana nazo hasa za kugeukwa na watu uliowasaidia, lakini nikisikilizaga huu wimbo na ule Wa songa mbele, nafarijika Sana! Bwana awabariki sana watumishi Wa mungu chang'ombe.

    • @hawamdee8811
      @hawamdee8811 Рік тому +2

      Mama ana sauti kutoka kwa mungu ubarikiwe sana

    • @joywambua999
      @joywambua999 2 місяці тому

      Amen🙏🙏

  • @YohanaCharles-zx3py
    @YohanaCharles-zx3py 6 місяців тому +2

    Huu wimbo naupenda sana unanifariji sana sisi binadamu tumejaa usaliti mpaka hata ndugu unacheka nao kumbe wakuombea mabaya

  • @user-pj6nd7up5p
    @user-pj6nd7up5p 8 місяців тому +2

    Napenda sana uimbaji usio na mbwembwe nyiiiingi sana nadhani katika hilo mmefaulu saaana

  • @waridiua136
    @waridiua136 4 роки тому +7

    Nyimbo hizi zenu hunibariki sana moyoni ninapo zisikiza, Mungu awabariki na awainui katika kumtumikia

  • @user-vv2ov6wc4v
    @user-vv2ov6wc4v 2 місяці тому

    Tunabarikiwa sana na nyimbo zenu

  • @isacksamwel9488
    @isacksamwel9488 2 роки тому +3

    Jamani huu wimbo naupenda sana. Bwana awabariki. Really it is a spiritual song.

  • @kimombokikoti8052
    @kimombokikoti8052 4 роки тому +4

    Pongezi kwenu AIC chang'ombe hua mnanifariji sana baraka zimiminike kwenu

  • @muuofestus3067
    @muuofestus3067 5 місяців тому +1

    This choir has some special anointing

  • @andymukima6292
    @andymukima6292 4 роки тому +5

    AIC Changombe Choir. May the Mighty Lord God, creator of the world and the universe bless you.
    For lose to 15 years, I have been listening to your songs. They are masterpieces, sublime message of the Lord. Very sound doctrinal artistic stuff.
    Your latest song, Maneno Saba Ya Yesu is the icing of the cake.
    Mwenyezi Mungu akipenda, nitasafiri kutoka Nairobi to join you in Corporate church service, one of these fine days.
    I also thank the Mighty Lord that you did a song in the spirit of East Africa brotherhood, mkitusihi sisi Wakenya kutokata tawi kama tunaikalia.
    Mungu awabariki kwelikweli.
    Sometimes we Kenyans take the experimenting with disaster joke too far. Nivyema mlituonya.
    Last but not least, may the Fod of Abraham, Isaac and Jacob bless you, fill you with wisdom and good health.
    I LOVE YOU ALL.

    • @michaelmuthuri7471
      @michaelmuthuri7471 3 роки тому

      That's a wonderful comment and God bless you. Though I would like to ask you to correct the word Fod to God. Sehemu inayoongelea the Fod of Abraham, Isaac and Jacob; I believe you meant the God of Abraham, Isaac and Jacob.

    • @teddynishersmachibya8676
      @teddynishersmachibya8676 3 роки тому

      23

    • @user-yi2of9mq5i
      @user-yi2of9mq5i Рік тому

      Thank you for good songs god bless you

  • @estermsuya8818
    @estermsuya8818 3 роки тому +1

    Yesu nisaidie niweze kusamehe. Wimbo.mzuri.sana. Mungu naomba uendelee kuibariki hii kwaya..

  • @kulwakimote9671
    @kulwakimote9671 4 роки тому +6

    Kwakwel nikiangalia au kusikiliza nyimbo zenuuu naponywa moyo wangu sana mungu awabariki sana katika kuifanya kazi ya mungu nawapendaaa sana

  • @dewardbushala6883
    @dewardbushala6883 4 роки тому +1

    Asante tunawapenda sasa kutoka Goma, DR Congo, Mungu awabariki sana

  • @JustoMuema
    @JustoMuema 3 місяці тому

    Barikiweni sana

  • @elieniyukuri2896
    @elieniyukuri2896 2 місяці тому

    🎉🎉🎉🎉naipenda ❤❤❤❤

  • @happynyonga9328
    @happynyonga9328 2 роки тому

    Wasamehe hawajui lile wanalilitenda ooh!yesu nabarikiwa sana nanyimbo zenu nikiwa kyela

  • @antonymuriungi7809
    @antonymuriungi7809 4 роки тому +1

    Sauti tamu tamu na uchezaji wa kupendeza. Upendo wa Yesu ni mkuu. Atatusamehe kweli. Be blessed na Mendeleev vivyo hivyo.

  • @scholasticapauline1507
    @scholasticapauline1507 4 роки тому +2

    Hongera mtunzi pamoja na waimbaji kwa ujumla,wimbo huu umenipa funzo katika maisha yangu,mbarikiwe sana

  • @jescakitinga4393
    @jescakitinga4393 3 роки тому +3

    ( Mungu)awe nanyi daima

  • @yonagala3234
    @yonagala3234 10 місяців тому +1

    Mbarikiw

  • @SaakushOnline
    @SaakushOnline 2 роки тому

    Im still banging this golden hit in Kenya.. thanks to whoever share on their fb post and got me loving it ......Asanteni

  • @johnstonengeno1116
    @johnstonengeno1116 11 місяців тому

    Huu wimbo inanibariki sana, Asante wanachang'ombe

  • @pettybrown2655
    @pettybrown2655 7 місяців тому

    Yaani huyu Mama soloist hana maringo hapendeza hila jina silijui but be blessed Dada

  • @kisenasamson2520
    @kisenasamson2520 4 роки тому +4

    Upendo wa yesu unashangaza hongera

  • @joshuamuteti3131
    @joshuamuteti3131 Рік тому

    May Almighty God bless you for the good song, much love from kenya 🇰🇪

  • @koronaboy5579
    @koronaboy5579 4 роки тому +1

    Asante Sana watu wa mungu kwa nyimbo nzur Kama hii nimebarikiwa Sana Amin🙏🙏

    • @stivenmtimba663
      @stivenmtimba663 3 роки тому

      Nakupenda sana wewe mama soro hiyo sauti ningekuwa nayo mimi wasukuma mko vzr

    • @stivenmtimba663
      @stivenmtimba663 3 роки тому

      Nikwwli wasamehe nami baba niwe wa kwanza kusamehewa najuwa ninamkosa mengi nimekukosea yesu wangu

  • @rebeccamutile7416
    @rebeccamutile7416 2 роки тому +2

    Thank you for your songs ,lm so blessed

  • @ZakiaMwakikonyola
    @ZakiaMwakikonyola 3 місяці тому

    Amen and Amen

  • @user-gy3wl7ey1h
    @user-gy3wl7ey1h 3 місяці тому

    Yesu anaupendo wa kweli binadamu hatuwezi

  • @user-dx2mv9bm4x
    @user-dx2mv9bm4x 7 місяців тому

    ❤❤❤ wimbo huu inafunza sana🇰🇪

  • @NaomiMushi-bf8bt
    @NaomiMushi-bf8bt Рік тому

    Nakupenda sana we mama mungu akubariki kwa uimbaji wako

  • @chrisarypatesh5697
    @chrisarypatesh5697 Рік тому +1

    Your songs do bless me for real 🙏 ..May God continue blessing you more

  • @silasodeny2645
    @silasodeny2645 3 роки тому +3

    Love this choir so much ,it's my best choir ever,just continue with the same spirit of singing and God will bless you abundantly

  • @ombagijob9413
    @ombagijob9413 2 роки тому

    nyimbo zimabariki naomba mjue marembo ni dhambi kwa ivyo nawashauri mjitenge nayo kwa sababu ya ufalme wa mbingu

    • @hawamdee8811
      @hawamdee8811 Рік тому

      Mungu anabariki wenye moyo safii sio mapambo unaweza usijirembe kumbe wewe niubahili na roho mbaya

  • @agnessaid
    @agnessaid Рік тому

    Huu wimbo naurudiaga mara mbili mbili jmn unanijaza amani yamoyo sana

  • @florameza1028
    @florameza1028 2 роки тому

    Nakoshwa na style zenu penda saana AIC chang'ombe

  • @emannuelinzeli5808
    @emannuelinzeli5808 3 роки тому

    Ni ujumbe mzuri samehe hata baba yetu aliembinguni atatusamehe

  • @milembeshimbi9984
    @milembeshimbi9984 4 роки тому +2

    Naipenda Sana changombe mungu awabark

  • @user-ek2zk3gd6l
    @user-ek2zk3gd6l 11 місяців тому

    Mungu azidi kuibariki sana hii kwaya nawapenda sana

  • @florameza9529
    @florameza9529 2 роки тому

    Siku hizi mmepoa leteni vitu chang"ombe tunawapenda

  • @user-qi6fd7hx1b
    @user-qi6fd7hx1b Рік тому

    Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu

  • @tushythi5831
    @tushythi5831 11 місяців тому

    Cool soft gospel music. God bless you 🙏

  • @florameza1028
    @florameza1028 2 роки тому

    Upendo wa YESU unashangaza saaana

  • @hezronambition2886
    @hezronambition2886 2 роки тому +1

    Wimbo mzuri

  • @syliviamgeta8131
    @syliviamgeta8131 Рік тому

    Naupenda sana huu wimbo 🔥🔥❤❤❤❤🙏

  • @JustTalkShengTV
    @JustTalkShengTV 3 роки тому +1

    Wow! Asante sanaaa 🥰🥰

  • @benlaizer9936
    @benlaizer9936 4 роки тому

    AIC chang'ombe haijawahi kuacha mtu bila kumbariki

  • @user-xb5bu8fv5o
    @user-xb5bu8fv5o Рік тому

    Mungu ibariki sana hii kwaya

  • @barakaemmanuely8321
    @barakaemmanuely8321 4 роки тому +1

    Hakika upendo wake unashangaza sana

  • @japhethkiema2747
    @japhethkiema2747 Рік тому +1

    It's a blessing song

  • @josephmule2235
    @josephmule2235 2 роки тому +1

    My gospel truck ever!!!,,,big up Chang'ombe choir

  • @mektridaalex3675
    @mektridaalex3675 4 роки тому +2

    Asante mungu

  • @wilsterhatukupa4372
    @wilsterhatukupa4372 2 роки тому +1

    Powerful

  • @etwekitilya5855
    @etwekitilya5855 4 роки тому

    Nabarikiwa na nyimbo zenu mno asanten Mungu awabariki

  • @BeatriceBadou
    @BeatriceBadou 5 місяців тому

    J'aime vraiment ce chant, mais malheureusement je comprends pas les paroles ! C'est très profond.

  • @priscakenedy5336
    @priscakenedy5336 Рік тому

    Wimbo unaujumbe mzuri mno

  • @JumbaJulius-xy4st
    @JumbaJulius-xy4st Рік тому

    Blessed my sister

  • @happynesskabala7795
    @happynesskabala7795 4 роки тому

    Mungu awabariki Sana kwakazi nzuri mnayoifanya.Nawapenda

  • @dorahwekesa2388
    @dorahwekesa2388 3 роки тому

    Nampenda huyu mama mwimbaji bure

  • @karengeofrey6613
    @karengeofrey6613 3 роки тому

    Mungu awabarik sanaaaa, kaz nzur sanaaaa

  • @danielmusila5228
    @danielmusila5228 4 роки тому +2

    I love this so much you really blessing to many God bless you Chang'ombe

  • @gladnessvictorine3152
    @gladnessvictorine3152 3 роки тому

    Napenda sana wimbo huu

  • @jameskiplagat8010
    @jameskiplagat8010 Рік тому

    Good touching song

  • @hellenmaiyo2516
    @hellenmaiyo2516 4 роки тому +1

    Oh Yesu.😘🙏

  • @angelmwaigaga1563
    @angelmwaigaga1563 3 роки тому

    Mungu awabariki

  • @dominicmutai-ps5rg
    @dominicmutai-ps5rg Рік тому

    It's touching,I love this🔥

  • @dorcas6137
    @dorcas6137 Рік тому

    Barikiwa sn

  • @lizzybethrobethgobriel7005
    @lizzybethrobethgobriel7005 Рік тому

    Watu wang wa nguv

  • @ngwambazimagubiki6595
    @ngwambazimagubiki6595 4 роки тому

    MUNGU AWABARIKI SANA

  • @michaelmuthuri7471
    @michaelmuthuri7471 3 роки тому

    God bless you for this beautiful song.

  • @dicksonkinyaha8817
    @dicksonkinyaha8817 4 роки тому +3

    Nice

  • @flaviawilson865
    @flaviawilson865 Рік тому

    ❤️❤️❤️

  • @jacobkamakya4908
    @jacobkamakya4908 3 роки тому

    Touching song...

  • @lucyemanuel5102
    @lucyemanuel5102 3 роки тому

    Wasamehe

  • @priscadaniel4964
    @priscadaniel4964 4 роки тому +1

    Kwaya inayo jielewa

  • @esthermalaki8316
    @esthermalaki8316 4 роки тому

    TUJIFUNZE KUSAMEHE

    • @lazaromwonge665
      @lazaromwonge665 4 роки тому +1

      Nimeipenda San najifunza kutoludisha kiti Bali kusamehe

    • @michaelelizabeth1188
      @michaelelizabeth1188 3 роки тому

      Jambo njema kusamehe hawajui lile wanalolitenda

  • @josephsimon9333
    @josephsimon9333 Рік тому

    Iimbe

  • @godfreychisanga3929
    @godfreychisanga3929 3 роки тому

    Can some one translate this song in ENGLISH pleasr.

  • @user-ks8cz2qf1k
    @user-ks8cz2qf1k Рік тому

    Barikiwaa sanaa