Ni ukweli mutupu! Kama hauongozwe na Yesu, nguvu za giza zikuzunguka na zunakuangamiza, lakini kama uko na Yesu, nguvu za giza hazigusogelee, macho yako, amabae anaongizwa na Yesu, anaziona hapo hapo, na zinashindwa! Jamani tumupe Yesu nafasi zetu tufurahi maishani hapa duniani nna Mbinguni tunaenda kabisa! Amen
From Kenya 🇰🇪, Nairobi.. Mbona tangu niskize huu wimbo unanirudisha miaka ya kitambo sana in the late 1990s.. It's as if this song was there in one of my dad's radio cassette. It sounds very familiar.. I don't know why.. But it's blessing me in 2024..my son actually loves it but he discovered the modern version you guys have. Another song I remembered after watching this is a song from Tanzania as well "katikati viumbe vyote vilivyoumbwa, binadamu kaumbika...." I don't quite remember the rest.. God bless you people
Karama ya uimbaji no sehemu kubwa ya kutangaza matendo makubwa Mungu aliyomfanyia mwanadamu. Uumbaji, ukombozi na msamaha wa dhambi vyatusukuma kumwimbia Mungu wimbo mpya. Nawapongeza sana ndugu zetu kwa kutushirikisha violates hivyo
Mungu awasaidie ndugu zangu,tuishi kwa sheria na ushuhuda ikiwa hatusemi sawasawa na neno hilo kwetu hakutakua na asubuhi,Mungu awaimarishe mstawi saana ili uimbaji wenu uendelee kuwahubiri watu wamjue mungu. barikiwen saana watumishi!!
I truly love this song so much. God bless u so much with other songs that can take someone from this place to other place by feeling the holy spirit of Jesus Christ in heaven. Amen.........Amen....... Hallelujah
Nawapenda nyote nyimbo zenu znanibariki sana mungu awape baraka tele na vizaz vyenu vibarikiwe. Ila naomba mtoe albam nyingine Nina ham sana kuiona na kuiskiliza
wimbo huu Kwa macho unabariki moyo wangu ,Jina la Yesu Kristo libarikiwe milele, Na hongereni sana choir ya aic vijana chan'gombe Kwa Nazi nzuri.Mungu awabariki.
Nyimbo hii ukiiskiliza kwamakin lazim upate chochot wala huwez kuondoka hvyo hvyo jalibu kuirudia rudia mara kwamala hatimae utapata kitu Mungu awabarik san
My love for this song is on another level. I listen to it thrice a day. It really blesses me, gives me the knowledge to know the spiritual world. Naipenda sana❤❤❤
Mimi naangalia leo 2024 Mwenyezi Mungu awabariki sana waimbaji hawa 😇😇
Nimekukuta aise nami pia
Hakika
Aliyeguswa na nyimbo hii agonge like Yake hapa
Napenda sana wimbo huu
Naupenda San na nyimbo zao zote nazipenda
Mimi nabarikiwa Leo 2024 ❤❤❤❤❤🎉
Mungu awajaliye nguvu kila siku kwakuhubiri watu kupitiya nyimbo
Ni ukweli mutupu! Kama hauongozwe na Yesu, nguvu za giza zikuzunguka na zunakuangamiza, lakini kama uko na Yesu, nguvu za giza hazigusogelee, macho yako, amabae anaongizwa na Yesu, anaziona hapo hapo, na zinashindwa! Jamani tumupe Yesu nafasi zetu tufurahi maishani hapa duniani nna Mbinguni tunaenda kabisa! Amen
2022.. Bado nausikiliza huu wimbo.. hakika Mungu anatupigania Kila siku kwenye ulimwengu WA roho bila ya sisi kufaham ... Mbarikiwe San 🙌🙌🙌🙌❤️
From Kenya 🇰🇪, Nairobi.. Mbona tangu niskize huu wimbo unanirudisha miaka ya kitambo sana in the late 1990s.. It's as if this song was there in one of my dad's radio cassette. It sounds very familiar.. I don't know why.. But it's blessing me in 2024..my son actually loves it but he discovered the modern version you guys have. Another song I remembered after watching this is a song from Tanzania as well "katikati viumbe vyote vilivyoumbwa, binadamu kaumbika...." I don't quite remember the rest.. God bless you people
nabarikiwa sana na nyimbo zenu AIC Chang'ombe Vijana Dar. Mungu awabariki
Ndo mara yangu ya kwanza kusikia nyimbo zenu wapendwa mbarikiwe sana
Tarehe 15.7.201 Nina angalia Mungu awabaliki
Karama ya uimbaji no sehemu kubwa ya kutangaza matendo makubwa Mungu aliyomfanyia mwanadamu. Uumbaji, ukombozi na msamaha wa dhambi vyatusukuma kumwimbia Mungu wimbo mpya. Nawapongeza sana ndugu zetu kwa kutushirikisha violates hivyo
Hongera saana chang'ombe nabarikiwa saana na nyimbo zenu
Hii ndio choir kubwa Tanzania
God bless you all
Bila yesu kweli n kazi bure, wimbo huuu unanifanya kuwa jasri sana kw kumtegemea yeye anayenipigania siku zote za maisha yangu.
2024 tujuane kwa like❤
Bila macho ya kiroho nivigumu kuyaona Asante yesu .
2023 bado nasikiliza this song🙏
I love this song, kwa macho ya nyama huwezi ona
Naendelea kufarijika na nyimbo zenu nzur mbarikiwe
Mungu awazidishie katika uimbaji wenu
A very touching song
2023 but still hits like it was sung yesterday 🎉
H5y7😮😮 by
26.5.2019 kama unasikiliza gonga like twende sawa
Kweli bila Yesu asubuhi wajikuta upo uvunguni. Kweli hii imenibariki Mungu azidi kuwainua na kuwapeleka mbali zaidi. Barikiwa sana
Amen
Asante kwa nyimbo nzuri vijana chang'ombe mungu awe nasi daima
Mungu awasaidie ndugu zangu,tuishi kwa sheria na ushuhuda ikiwa hatusemi sawasawa na neno hilo kwetu hakutakua na asubuhi,Mungu awaimarishe mstawi saana ili uimbaji wenu uendelee kuwahubiri watu wamjue mungu. barikiwen saana watumishi!!
2023 bado nabarikiwaaaa🙏🙏🙏
Huu wimbo unanibariki mnoo ❤Mungu wambinguni awainue zaidiii
2023 wekaa like hapa kam bado unaguswa
Weka like hapa kamabado unabarikiwa 2024
Amen mmebarikiwa video nimependa zaid,,jins watu wa Mungu wanavyolindwa na jeshi la malaika maana si malaika mmoja ila hatuoni kwa macho ya nyama
Nawapenda sana Chang'ombe! Awesome song! Hongereni sana ndugu zetu.
I truly love this song so much. God bless u so much with other songs that can take someone from this place to other place by feeling the holy spirit of Jesus Christ in heaven. Amen.........Amen....... Hallelujah
Esta Nabarikiwa xana nanyimbo zenu
Esta Niyongabire pamoja
Mwenye yuko na mm December 17 __ 2019 tujuane kwa like
Me nawapenda sana watumishi wa mungu
Mubarikiwe sana waimbaji
wanaosikiliza wimbo huu December 2023 gonga like hapa
Old is gold am just Inlove with this songs 😢😢😢😢😢 mayeGod hear my strength 😢
i really like this choir,it blesses me.
v
Nyimbo hii inanibariki sana. 2019 october
Kwa macho ya nyama huwezi ona yakupasa kuwa naye Yesu.
Nawapenda nyote nyimbo zenu znanibariki sana mungu awape baraka tele na vizaz vyenu vibarikiwe. Ila naomba mtoe albam nyingine Nina ham sana kuiona na kuiskiliza
😢😢😢😢😢 Mungu azidi kuwatumia❤❤❤❤
god bless you all for this wonderful song
Mbarikiwe sana kwa nyimbo zenu"" katika nyimbo ambazo siwezi kuchoka kuiskiliza ni hii.
Mungu ni mwema.kwakweli nyimbo zenu zinanigusa sana mungu awabariki
Mbarikiwe sana waimbaji, kweli " USIOGOPE HATA NJEMBE UKIWA NA YESU MOYONI" Amen
Jamani nimebarikiwa sana na wimbo wenu wenye ujumbe na sauti nzuri na hata kila kitu..Mungu azidi kuwabariki.
Mawakubali sana wapenzi na hii kwaya
Macho uwezi ona mungu ndo kimbilio la maisha ni baba wa wote
2023 still my favorite❤❤❤
Huu wimbo unibariki sana aki
mungu aendelee kuwatumia katika kazi yake
We are still waiting that beautiful song of God at 2019
Amen. Nimebarikiwa Sanaa. Usiogope hata chembe kama unaye Yesu moyoni
Nawapenda sana aic chang'ombe
Mwenyezi Mungu Awa bariki sana
Mungu awabariki zaidi. Msichoke/msizimie mioyo.
Nawapenda sana Mungu azidi kuwainua kila Siku, kila saa!
Hiki kipindi gospel song zilikuwa na upako...❤❤❤
wimbo huu Kwa macho unabariki moyo wangu ,Jina la Yesu Kristo libarikiwe milele, Na hongereni sana choir ya aic vijana chan'gombe Kwa Nazi nzuri.Mungu awabariki.
Paul Simiyu pamoja
naupenda sana huu wimbo,Mungu awabariki..
Am soo much blessed ,God bless u guys most
Nabarikiwa sana na nyimbo za choir hii..niko Kenya
asante sana kwa nyimbo yenye mzuri,barakiweni sana,nafarijika sana
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu aic chang'ombe, mungu azidi kuwabariki mala dufu
Wimbo Babu kubwa!
So blessed song
awesome,,, these kinds of songs make me weak for sure...
Amina Mungu azidi kuwainua kufanya kazi yake, kwa njia ya uimbaji
I like the song so much ,barikiweni sana.
Nyimbo hii ukiiskiliza kwamakin lazim upate chochot wala huwez kuondoka hvyo hvyo jalibu kuirudia rudia mara kwamala hatimae utapata kitu Mungu awabarik san
Kabisaaaaaa
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu.... May God bless you
nabarikiwa sana Hawa watu jmn🙏🙏
Tunaongalia 2019 like
77
My love for this song is on another level.
I listen to it thrice a day. It really blesses me, gives me the knowledge to know the spiritual world. Naipenda sana❤❤❤
Wangapi bado tunaangalia wimbo huu 2019 hii?
Mungu ni mwema kwa kila jambo.tumsifu na kumuabudu Amina.
Amina Amina nabarikiwa mno na huuwimbo
Hakika mungu aendelee kutupigania kwenye ulimwengu waroho malaika watusimamie hat tukiwa tumelala usiku was manane
Mungu awabariki sana watumishi
Mungungu atusaidie wenyewe hatuwez
Nimebarikiwa na nyimbo zenu.Mungu azidi kuwabariki
Mungu awabariki kwa kazi nzuri ya kuhubiri neno la Bwana kwa njia ya uimba#AIC VIJANA CHANG'OMBE
Dadily Danny Nawapenda.
Mungu awabariki saana, endeleeni kutangaza injiri kwa njia ya uimbaji
Nahii jamani mufanye live 🙏
Napenda kuusikiliza kila siku. Lovely music
asanteni sana kwa nyimbo Mungu awabariki
Wapo Vizuri Sana hi kwanya!! Waimbaji hawabadiliki!! Wapo imara hakika
Still 2019 August watching.
Amen
Barikiwen sana❤
Mko vizuri sana
From Bangkok Thailand naendelea kubarikiwa 2022
Nawapendaa since udogoniii hadiii ukubwaniii
barikiwa Wana na nyimbo hizi za kwaya hii zote nzuri zinanibariki
Amen nawapenda saanaa
kwa macho ya mungu naweza ona haya
kwa macho ya nyama kukaa ndani ya Yesu.
Kwauwezo wa mungu bado nipo
mungu awazidishie uwezo katika uinjilishaji WA nyimbo
Amina ! YESU A awabariki sana ! Hallelujha ! Amina 💙🕊🕊🕊🙏
Nawakubali
wimbo mzur sana jaman ubalikiwe muimbishaji nakupenda mama
nafarijika sana moyoni mwangu ninapo sikiliza nyimbo za dini! kazi njema katika utunzi
Wimbo mzr sanasanaaa