A.I.C CHANGOMBE VIJANA CHOIR - KWA MACHO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 268

  • @batistamngullu9235
    @batistamngullu9235 8 місяців тому +11

    Mimi naangalia leo 2024 Mwenyezi Mungu awabariki sana waimbaji hawa 😇😇

  • @promisejoel1909
    @promisejoel1909 6 років тому +73

    Aliyeguswa na nyimbo hii agonge like Yake hapa

    • @evaeva8921
      @evaeva8921 5 років тому +2

      Napenda sana wimbo huu

    • @winniejoseph2224
      @winniejoseph2224 5 років тому +2

      Naupenda San na nyimbo zao zote nazipenda

  • @christinaanatory1962
    @christinaanatory1962 8 місяців тому +9

    Mimi nabarikiwa Leo 2024 ❤❤❤❤❤🎉

  • @HonoréBazibuhe
    @HonoréBazibuhe 2 місяці тому +2

    Mungu awajaliye nguvu kila siku kwakuhubiri watu kupitiya nyimbo

  • @geraniz3046
    @geraniz3046 10 років тому +9

    Ni ukweli mutupu! Kama hauongozwe na Yesu, nguvu za giza zikuzunguka na zunakuangamiza, lakini kama uko na Yesu, nguvu za giza hazigusogelee, macho yako, amabae anaongizwa na Yesu, anaziona hapo hapo, na zinashindwa! Jamani tumupe Yesu nafasi zetu tufurahi maishani hapa duniani nna Mbinguni tunaenda kabisa! Amen

  • @mariamhumphrey4622
    @mariamhumphrey4622 2 роки тому +8

    2022.. Bado nausikiliza huu wimbo.. hakika Mungu anatupigania Kila siku kwenye ulimwengu WA roho bila ya sisi kufaham ... Mbarikiwe San 🙌🙌🙌🙌❤️

  • @jonathanmunyoki5161
    @jonathanmunyoki5161 17 днів тому

    From Kenya 🇰🇪, Nairobi.. Mbona tangu niskize huu wimbo unanirudisha miaka ya kitambo sana in the late 1990s.. It's as if this song was there in one of my dad's radio cassette. It sounds very familiar.. I don't know why.. But it's blessing me in 2024..my son actually loves it but he discovered the modern version you guys have. Another song I remembered after watching this is a song from Tanzania as well "katikati viumbe vyote vilivyoumbwa, binadamu kaumbika...." I don't quite remember the rest.. God bless you people

  • @juliethlucas9260
    @juliethlucas9260 7 років тому +19

    nabarikiwa sana na nyimbo zenu AIC Chang'ombe Vijana Dar. Mungu awabariki

  • @philimonambilikile6645
    @philimonambilikile6645 2 роки тому +4

    Ndo mara yangu ya kwanza kusikia nyimbo zenu wapendwa mbarikiwe sana

  • @chausikuarfred6785
    @chausikuarfred6785 3 роки тому +4

    Tarehe 15.7.201 Nina angalia Mungu awabaliki

  • @wilsonniwagila9534
    @wilsonniwagila9534 8 років тому +14

    Karama ya uimbaji no sehemu kubwa ya kutangaza matendo makubwa Mungu aliyomfanyia mwanadamu. Uumbaji, ukombozi na msamaha wa dhambi vyatusukuma kumwimbia Mungu wimbo mpya. Nawapongeza sana ndugu zetu kwa kutushirikisha violates hivyo

  • @elctelvdnyakatohospital5602
    @elctelvdnyakatohospital5602 3 місяці тому +1

    Hongera saana chang'ombe nabarikiwa saana na nyimbo zenu

  • @wambokatzmwandishi9302
    @wambokatzmwandishi9302 6 років тому +14

    Hii ndio choir kubwa Tanzania
    God bless you all

  • @davidmaximmilian9734
    @davidmaximmilian9734 9 років тому +3

    Bila yesu kweli n kazi bure, wimbo huuu unanifanya kuwa jasri sana kw kumtegemea yeye anayenipigania siku zote za maisha yangu.

  • @NuruAshery
    @NuruAshery 7 місяців тому +6

    2024 tujuane kwa like❤

  • @estherndunge3064
    @estherndunge3064 9 годин тому

    Bila macho ya kiroho nivigumu kuyaona Asante yesu .

  • @vanessaandrew737
    @vanessaandrew737 Рік тому +3

    2023 bado nasikiliza this song🙏

  • @berthakobelo140
    @berthakobelo140 9 років тому +16

    I love this song, kwa macho ya nyama huwezi ona

  • @magesamweli7018
    @magesamweli7018 4 роки тому +3

    Naendelea kufarijika na nyimbo zenu nzur mbarikiwe

  • @johngabriel7683
    @johngabriel7683 6 років тому +8

    Mungu awazidishie katika uimbaji wenu

  • @beatricemuthusi7905
    @beatricemuthusi7905 Рік тому +4

    A very touching song
    2023 but still hits like it was sung yesterday 🎉

  • @naftalimimbi4924
    @naftalimimbi4924 5 років тому +31

    26.5.2019 kama unasikiliza gonga like twende sawa

  • @elishapaulo9790
    @elishapaulo9790 6 років тому +3

    Kweli bila Yesu asubuhi wajikuta upo uvunguni. Kweli hii imenibariki Mungu azidi kuwainua na kuwapeleka mbali zaidi. Barikiwa sana

  • @daudsunzula2169
    @daudsunzula2169 4 роки тому +9

    Asante kwa nyimbo nzuri vijana chang'ombe mungu awe nasi daima

  • @ellakapugi3498
    @ellakapugi3498 10 років тому +1

    Mungu awasaidie ndugu zangu,tuishi kwa sheria na ushuhuda ikiwa hatusemi sawasawa na neno hilo kwetu hakutakua na asubuhi,Mungu awaimarishe mstawi saana ili uimbaji wenu uendelee kuwahubiri watu wamjue mungu. barikiwen saana watumishi!!

  • @janefrey9471
    @janefrey9471 Рік тому +4

    2023 bado nabarikiwaaaa🙏🙏🙏

  • @fraidamsemwa5518
    @fraidamsemwa5518 Рік тому +1

    Huu wimbo unanibariki mnoo ❤Mungu wambinguni awainue zaidiii

  • @levinasamwel8346
    @levinasamwel8346 Рік тому +9

    2023 wekaa like hapa kam bado unaguswa

  • @JuliethMabuga
    @JuliethMabuga 10 днів тому

    Weka like hapa kamabado unabarikiwa 2024

  • @doricesamwel7785
    @doricesamwel7785 2 роки тому

    Amen mmebarikiwa video nimependa zaid,,jins watu wa Mungu wanavyolindwa na jeshi la malaika maana si malaika mmoja ila hatuoni kwa macho ya nyama

  • @georgenyamongo4622
    @georgenyamongo4622 9 років тому +5

    Nawapenda sana Chang'ombe! Awesome song! Hongereni sana ndugu zetu.

  • @MrsEdmond_2.0
    @MrsEdmond_2.0 8 років тому +7

    I truly love this song so much. God bless u so much with other songs that can take someone from this place to other place by feeling the holy spirit of Jesus Christ in heaven. Amen.........Amen....... Hallelujah

  • @queenietheamaizing2
    @queenietheamaizing2 4 роки тому +6

    Mwenye yuko na mm December 17 __ 2019 tujuane kwa like

  • @JuliethMabuga
    @JuliethMabuga 10 днів тому

    Me nawapenda sana watumishi wa mungu

  • @RuthBabu-uv2kq
    @RuthBabu-uv2kq 4 місяці тому +1

    Mubarikiwe sana waimbaji

  • @HakunaMatata_2024
    @HakunaMatata_2024 10 місяців тому +3

    wanaosikiliza wimbo huu December 2023 gonga like hapa

  • @Salomesalomejoseph
    @Salomesalomejoseph Рік тому

    Old is gold am just Inlove with this songs 😢😢😢😢😢 mayeGod hear my strength 😢

  • @gracembinya1909
    @gracembinya1909 9 років тому +10

    i really like this choir,it blesses me.

  • @natachamunezero5239
    @natachamunezero5239 5 років тому +13

    Nyimbo hii inanibariki sana. 2019 october

  • @ramadhanimbwambo1932
    @ramadhanimbwambo1932 6 років тому +1

    Kwa macho ya nyama huwezi ona yakupasa kuwa naye Yesu.

  • @benithabeneth4637
    @benithabeneth4637 10 років тому +1

    Nawapenda nyote nyimbo zenu znanibariki sana mungu awape baraka tele na vizaz vyenu vibarikiwe. Ila naomba mtoe albam nyingine Nina ham sana kuiona na kuiskiliza

  • @nananana4885
    @nananana4885 5 років тому +6

    😢😢😢😢😢 Mungu azidi kuwatumia❤❤❤❤

  • @nthewawabwenzi5329
    @nthewawabwenzi5329 7 років тому +10

    god bless you all for this wonderful song

  • @evalinekaaya8305
    @evalinekaaya8305 Рік тому

    Mbarikiwe sana kwa nyimbo zenu"" katika nyimbo ambazo siwezi kuchoka kuiskiliza ni hii.

  • @pendochima7573
    @pendochima7573 2 роки тому

    Mungu ni mwema.kwakweli nyimbo zenu zinanigusa sana mungu awabariki

  • @samsonfongo4213
    @samsonfongo4213 8 років тому +1

    Mbarikiwe sana waimbaji, kweli " USIOGOPE HATA NJEMBE UKIWA NA YESU MOYONI" Amen

  • @tumsifushoo3379
    @tumsifushoo3379 10 років тому +10

    Jamani nimebarikiwa sana na wimbo wenu wenye ujumbe na sauti nzuri na hata kila kitu..Mungu azidi kuwabariki.

  • @mbonikelubiloh1012
    @mbonikelubiloh1012 9 років тому +7

    Mawakubali sana wapenzi na hii kwaya

  • @salmamkomwa4955
    @salmamkomwa4955 4 роки тому

    Macho uwezi ona mungu ndo kimbilio la maisha ni baba wa wote

  • @Jack-v5w2n
    @Jack-v5w2n Рік тому

    2023 still my favorite❤❤❤
    Huu wimbo unibariki sana aki

  • @sibuboytz
    @sibuboytz 3 роки тому

    mungu aendelee kuwatumia katika kazi yake

  • @gabriellnkya8625
    @gabriellnkya8625 5 років тому +12

    We are still waiting that beautiful song of God at 2019

  • @elikanaboyi8925
    @elikanaboyi8925 3 роки тому

    Amen. Nimebarikiwa Sanaa. Usiogope hata chembe kama unaye Yesu moyoni

  • @veronicamigera5227
    @veronicamigera5227 2 місяці тому

    Nawapenda sana aic chang'ombe

  • @EvaristeMaloba-xk2tf
    @EvaristeMaloba-xk2tf 4 місяці тому

    Mwenyezi Mungu Awa bariki sana

  • @sadockamos8899
    @sadockamos8899 Рік тому

    Mungu awabariki zaidi. Msichoke/msizimie mioyo.

  • @daynessmollel7660
    @daynessmollel7660 5 років тому +1

    Nawapenda sana Mungu azidi kuwainua kila Siku, kila saa!

  • @atienograce7564
    @atienograce7564 3 роки тому +1

    Hiki kipindi gospel song zilikuwa na upako...❤❤❤

  • @paulsimiyu3466
    @paulsimiyu3466 8 років тому

    wimbo huu Kwa macho unabariki moyo wangu ,Jina la Yesu Kristo libarikiwe milele, Na hongereni sana choir ya aic vijana chan'gombe Kwa Nazi nzuri.Mungu awabariki.

  • @sweetchanzi5468
    @sweetchanzi5468 8 років тому +5

    naupenda sana huu wimbo,Mungu awabariki..

  • @ganital2223
    @ganital2223 6 років тому +7

    Am soo much blessed ,God bless u guys most

  • @mercywandha2187
    @mercywandha2187 8 років тому +1

    asante sana kwa nyimbo yenye mzuri,barakiweni sana,nafarijika sana

  • @edinamwambipile3813
    @edinamwambipile3813 4 роки тому

    Nabarikiwa sana na nyimbo zenu aic chang'ombe, mungu azidi kuwabariki mala dufu

  • @hurumaelly4199
    @hurumaelly4199 10 років тому +8

    Wimbo Babu kubwa!

  • @fridakweka2492
    @fridakweka2492 Рік тому +3

    So blessed song

  • @hullcanada
    @hullcanada 9 років тому +3

    awesome,,, these kinds of songs make me weak for sure...

  • @estherluciomwita3987
    @estherluciomwita3987 8 років тому +1

    Amina Mungu azidi kuwainua kufanya kazi yake, kwa njia ya uimbaji

  • @shadrackmwithi4534
    @shadrackmwithi4534 9 місяців тому

    I like the song so much ,barikiweni sana.

  • @alexjacob3255
    @alexjacob3255 4 роки тому +1

    Nyimbo hii ukiiskiliza kwamakin lazim upate chochot wala huwez kuondoka hvyo hvyo jalibu kuirudia rudia mara kwamala hatimae utapata kitu Mungu awabarik san

  • @aminaephraim4553
    @aminaephraim4553 7 років тому +1

    Nabarikiwa sana na nyimbo zenu.... May God bless you

  • @WinifridaLubango
    @WinifridaLubango 7 місяців тому

    nabarikiwa sana Hawa watu jmn🙏🙏

  • @sirielikisefu5112
    @sirielikisefu5112 5 років тому +27

    Tunaongalia 2019 like

  • @Jack-v5w2n
    @Jack-v5w2n Рік тому

    My love for this song is on another level.
    I listen to it thrice a day. It really blesses me, gives me the knowledge to know the spiritual world. Naipenda sana❤❤❤

  • @dangalafransis626
    @dangalafransis626 5 років тому +8

    Wangapi bado tunaangalia wimbo huu 2019 hii?

  • @magezilucas5854
    @magezilucas5854 8 років тому

    Mungu ni mwema kwa kila jambo.tumsifu na kumuabudu Amina.

  • @paskalipaulo1719
    @paskalipaulo1719 5 років тому

    Amina Amina nabarikiwa mno na huuwimbo

  • @neemamatayomasanyiwa1658
    @neemamatayomasanyiwa1658 Рік тому

    Hakika mungu aendelee kutupigania kwenye ulimwengu waroho malaika watusimamie hat tukiwa tumelala usiku was manane

  • @liciajais4131
    @liciajais4131 2 роки тому

    Mungu awabariki sana watumishi

  • @lameckmmbaga7605
    @lameckmmbaga7605 Рік тому

    Mungungu atusaidie wenyewe hatuwez

  • @judithnyaboke4112
    @judithnyaboke4112 7 років тому

    Nimebarikiwa na nyimbo zenu.Mungu azidi kuwabariki

  • @dadilydanny7653
    @dadilydanny7653 8 років тому +2

    Mungu awabariki kwa kazi nzuri ya kuhubiri neno la Bwana kwa njia ya uimba#AIC VIJANA CHANG'OMBE

  • @mwezanephta1107
    @mwezanephta1107 7 років тому

    Mungu awabariki saana, endeleeni kutangaza injiri kwa njia ya uimbaji

  • @pilikilindo8202
    @pilikilindo8202 Місяць тому

    Nahii jamani mufanye live 🙏

  • @magdalenemusyoki4893
    @magdalenemusyoki4893 2 роки тому

    Napenda kuusikiliza kila siku. Lovely music

  • @agnesszefania_ad6138
    @agnesszefania_ad6138 7 років тому +4

    asanteni sana kwa nyimbo Mungu awabariki

  • @obillaezra6205
    @obillaezra6205 5 років тому +1

    Wapo Vizuri Sana hi kwanya!! Waimbaji hawabadiliki!! Wapo imara hakika

  • @langatkibet7980
    @langatkibet7980 5 років тому +10

    Still 2019 August watching.

  • @KhadijaJacob
    @KhadijaJacob 5 місяців тому

    Barikiwen sana❤

  • @davidhyera4504
    @davidhyera4504 7 років тому +3

    Mko vizuri sana

  • @ngassajuliusmussachallya
    @ngassajuliusmussachallya 2 роки тому

    From Bangkok Thailand naendelea kubarikiwa 2022

  • @mirrenhenry6916
    @mirrenhenry6916 3 роки тому

    Nawapendaa since udogoniii hadiii ukubwaniii

  • @juliusrichard1786
    @juliusrichard1786 4 роки тому

    barikiwa Wana na nyimbo hizi za kwaya hii zote nzuri zinanibariki

  • @ndayizeyemediatrice
    @ndayizeyemediatrice 4 роки тому

    Amen nawapenda saanaa

  • @leahmathius7691
    @leahmathius7691 6 років тому +1

    kwa macho ya mungu naweza ona haya

  • @enockshiamola6323
    @enockshiamola6323 7 років тому

    kwa macho ya nyama kukaa ndani ya Yesu.

  • @charlesmkisi8052
    @charlesmkisi8052 Місяць тому

    Kwauwezo wa mungu bado nipo

  • @abelobura5228
    @abelobura5228 8 років тому

    mungu awazidishie uwezo katika uinjilishaji WA nyimbo

  • @Multi10091974
    @Multi10091974 5 років тому +1

    Amina ! YESU A awabariki sana ! Hallelujha ! Amina 💙🕊🕊🕊🙏

  • @maryjerad1578
    @maryjerad1578 6 років тому

    wimbo mzur sana jaman ubalikiwe muimbishaji nakupenda mama

  • @nasiadomary4893
    @nasiadomary4893 10 років тому

    nafarijika sana moyoni mwangu ninapo sikiliza nyimbo za dini! kazi njema katika utunzi