Bony Mwaitege - Usijitetee (Official Music Video) SMS SKIZA 9840975 TO 811
Вставка
- Опубліковано 12 чер 2021
- Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
Bony Mwaitege - Usijitetee Official Video- ni kazi yangu mpya na ya kwanza kati ya video nyingi ambazo ntaziachilia mwaka huu,Mungu amenipa kibali cha kuipeleka injili tena kwa njia hii.,nikuombe uungane nami katika kuwafikia mataifa.
Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
MUNGU AKUBARIKI SANA.
Asanteni Sana wote mliosikiliza wimbo huu mkabarikiwa nisaidie kusambaza ujumbe huu kwa wote mlio karibu nao Ili nao wahudumiwe by ..Bony Mwaitege. Nawapenda sana
nimebarikiwa sana mtumishi plz naomba niufanye cover huu wimbo nimeupenda sana ni msanii wa comedy kutoka joti TV naitwa malima
Hongera sana Kaka hilo base me hoi na ndo limenogesha wimbo Ubarikiwe
Barikiwa kaka nyimbo zr sana
Be blessed keep the fire burning ♨♨♨
Imeaambazwa mkuu hongera kwakurud kutupatia chakulA cha masikio na kiroho
Wale ambao huwa tunatetewa na mungu tujuane hapa🙏🙏🙏 kazi nzuri bony
Asante ndugu yangu
Mimi hapa
Mm je? Mnaniachawap
tupo pamoja bon
Mimi hapa wacha Mungu akutete
Barikiwa Sana mwimbaji mwenzangu, natizama nikiwa kenya
Amen
Sitajitetea kutoka leo....Mungu ajidhihirishe sasa
Usijiteteee waaaaa nipe like za boniiii
Nitetee eeh mungu wangu 🤲am Muslim but to this song lee god bless me through this song 🤲baba bony love you napenda kuskia nyimbo zako sana be blessed 🙏
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏AMINA😢
asante kwa wimbo sukari kabisaaa
Somo kazi iko sawa,, nakuombea sana kwa Mungu uzindi kubariki wengi
Oyoooooo!! Hii ni kizaz zaidi bony mungu akujalie maisha marefu huku ukiendelea kutoa huduma za kimaadil mema jaman ''like'' kwa huu wimbo walao ataa.10
Nitanyamaza Mungu aniteteye Barikiwa mtu wa Mungu
Mungu pekee ndie mtetezi wetu Amen ubalikiwe
Hongera baba uko vizuru kila SKU najivunia uwepo wako Mungu akutunze nilifika kanisani kwako Mwakajana wakarimu sana Hongera
HEEE😳😳Nyimbo hii imenigusa na kuniondolea hofu ya moyo wangu!!!!Mungu ukienileta katka dunia hii atakua mtetezi wangu mpaka siku ya mwsho!!!kweli muachie mungu wataondoka kwa njia saba ila wanakujaga njia moja 🙏🙏🙏🙏.....BARIKIWA MTUMISHI
Bony Mwaitege una kazi kubwa sana ya kufanya huku digital watu wakutambue, sababu mtaani tayari unatambulika na album zako zinaunguruma kila leo.
Nimesubiri sana video hiii,, Mungu Akubariki 🙏
Kupitia wimbo huu MUNGU naomba unitete Kila magumu yote nayopitia mim pamoja mwenza wangu tuweze kuelewana
BWANA YESU ASIFIWE Napenda Nyimbo Zako Zote NAOMBA Kufanya Corable Na Wewe Tafathari GOD BLESS YOU
Kwa kila Jambo mungu die mtetezi wangu ata kama SA ivi naapitia hali ngumu mungu nishike mkono nko karibu kukufa
Asànte Sana ndugu yangu
Amina nyimbo imenibariki mungu akubaliki sana
Wow wow wow maneno mazito Sana yanenitia moyo mno kweli uimbaji ni mzuri Sana hasa mwimbaji akiwa anampenda MUNGU kwa moyo wake wote ninebarikiwa Sana
Mungu ndiye mtetezi wangu!! Asante kwa wimbo mzuri !!!
Nawashukuru twendele kushea kazi na kumsapoti mtumishi wa mungu Bonny mwaitege mungu awabariki kwa kusikia ujumbe God bless you all
Asante sana ndugu yangu , Tena SHEMEJI YANGU, KEa wanya kyusa
Kaz nzur kaka bon fansi mwaitege nakukubasanaa blood
My GOD IS ABL TO SAVE ME IN JESUS NAME 🙇🏽♀️🙇🏽♀️🙌🏽🙌🏽🙏
Ameen 🙏 mungu nitete bwana wa bwana wewe n mwaminifu 🙌🙌🙌🙌🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪we love you so much be blessed Man of God 🙏
Facts amina Asante sana barikiwa mtumishi wa Mungu 🥺🥺🥺🤭🤭🥺💖🥺🥺🤭👏🏾👏🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾👏🏾🔥💯
Amen songa,mbere mungu awe nanyiye
Aisee ujumbe umejaa nguvu ya Mungu, amen #Usijitetee wewe mwache Mungu akutetee
"...wameruhusiwa kushindana na wewe lakini kukushinda hawawezi..."
Amen.
❤
Napenda sana nyimbo zako zote nakufuatilia sana Nikiwa kigoma pia nilikuona bandarini kigoma nikatamani nikusalimie, 🙏🙏
Nami naenda kutetewa na mungu ktk jina la yesu anaye amini mungu anaend kumtetea na yeye aseme amen
Amen pastor ubarikiwe sana
Namwachia Mungu anitetee.
Amen natetewa namungu nabalikia mno From🇧🇮
Nmebarikiwa kwa kweli na huu wimbo,,,Yan saiv naamka nao,,nalala nao,,,Yan unanipa nguvu kwa kweli,,,ubarikiwe na uzidishiwe baba Bonny
jambo mchungaji wa mungu nyimbo zuri saaana kabisa baba
Barikiwa Sana Mwimbaji wangu wa nyimbo za injili Bora kuwahi kutokea Tanzania MUNGU akupe maisha marefu uzidi kufundisha kupitia nyimbo zako.
Amen amen Mtetezi wangu yupo waku nitetea katika maicha yangu hata watesi wangu wakuje kwanjia moja watarudi kwanjia saba sababu ninae Mtetezi wangu. be blessed man of God💖🙌
Amen
Utukufu kwa mwanakondoo wa Mungu alie chukuwa dhambi za ulimwengu.... Mungu atuwezeshe kutojitetea,sababu kwa nguvu za binadamu hatuwezi lolote...mara na mara mwanadamu anapenda sana jitetea.aksante muimbaji mkuu Bonny.
Baba yangu tupo pamoja ninasikiliza wimbo nikiwa inchini Congo Mjini Kalemii by mwl Florian Nkwita Mjasiriamali
Waoooo Hongera kaka hakika wimbo unamfuta sn
Kutoka nikuwa mdogo nilipenda sana nyimbo zako Bonny, be blessed my brother, Mungu ataniletea kwa kweli🙏🙏🙏am a new subscriber be blessed🙏🙏🙏
Mahatma twende sambamba🙌🔥💯🙏💝
Dhaaa kak munguu azidii kukupiganiya maana munguu ndiyo muwezaa yotee ni kiwaa hapa Kenya nyumbaa nitanzania 🙏🙏💯💯
Asante sana kaka Bony kwa huu wimbo mzuri. Mungu ndiye mtetezi wetu, nautazama nikiwa uarabuni..ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Lingala: Nzembo Kitoko
French: belle musique
Swahili: wimbo Mzuri
English: good music
Spanish:buena música
Portuguese: boã musica
🔥❤️🎶🤗
#randykinamber
071388i
Nakukubari sana bro. Ubarikiwe sana kaka mungu akupe afya uzidi kutuletea ujumbe zaid na zaidi
Oya Oya oooyaaaaaa Kenyan tuko Rada Sana,, nyimbo zako Ni Baraka tu,,,,nikiwa Na 17 yrs 2010,,sahii nimekua mama watoto Bibi YA mtu,,but nyimbo zako still strong brother,,, God with you and your family,,
Hongera Sana BRO. HAKIKA UMEONGEA UKWELI MTUPU HONGERA SANA
Wow wapi likes za 🇰🇪🇰🇪 🇰🇪 wakenya
Mimi sijiteteiii Nitetee wewe Mungu wangu unayeweza yootee! Elishaadaaii
Hakika baba sitajitete daima nita mwacha Mungu mwenyewe anitetee 🙏
Congrats broooh bonny mwaitege
Nikweli kabisa asante kwa huu umenifalinji sana mungu akutete pia wewe 🙏🇰🇪🇶🇦
Naupenda ujumbe wako mtishi wa mungu....##usijitetee mungu nakuachia wewe unitetee...
Muyimbaji muzuri mungu akbarki Sana na akuwuse tunakuombea baraka uwezo furaha kutokea kwa mungu ubarkiwe Sana.
Mungu ndiye mtetezi wetu ata tutetea GOD bless you we love the song
Mtetezi wetu ni Mungu pekee🙏🙏
Amen ...because I dont have parents ,,God will fight for me and my sis
Usijali jipe moyo Mungu n baba na nimama yetu anatuteteya kila wakati
Jamani nikiona wimbo huu naona tatizolangu alishi limekuwa sugu maombi yako nimsaada kubwa
Ubarikiwe mtumishi wamungu. Kwa ujumbe huu. Mzuri kupitia wimbo huu. Protais TURAKINGIWE from bufundi
Asante kwa kufungua Chaneli yako. Sasa kila siku sibanduki hapa🔥🔥🔥🇰🇪🇹🇿
Video haiko kama inavyotakiwa kuwa crear (HD) camera man hakujiandaa vzr ila yote ni kwa UTUKUFU WA MUNGU ujumbe umefika mahali ulipokusudiwa Mungu awabariki washiriki wote wskiongozwa na kaka yangu mtumishi wa Mungu BM
Amen nashukuru Sana ndugu ninamuomba mungu atusaidie kuboresha nyimbo zijazo...
Unapo sema ww Mungu ana nyamaza unapo nyamaza Mungu anasema nao bonge moja la wimbo Mungu akubariki bony kwa ujumbe mzuri🙏
Mungu akubariki sana dungu katika kristo
Asante mtumishi wa Mungu,uyu wimbo umenibariki na kuniponya vindonda moyoni 🥰
Wow....Kaka yanguuu na Mwimbaji wangu ninayekupenda...Barikiwa sanaaa Mtumishi wa Mungu....Mungu azidi kupanua na kutanua mipaka yako kaka. Falme na wakuu na wainame waseme Yesu ni Bwana kupitia huduma yako
Asante ndugu yangu naiwe hivyo kwako pia.
@@bonimwaitege4073 Aminaaa Mwimbaji Wanguuu...
Asante ndugu yangu
Nakuombea ufundi zaidi mungu akulinde sana
Ubarikiwe sana mtumishi ni Mungu tu ndiye anayetosha yuhai mtetezi wetu
From🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 I love this song❤️❤️❤️❤️❤️Let's God bless !!!sita jiii teteya Mungu tuuu ata ni teteyaaaa
Mimi personal I miss u big time, welcome back, leave it to GOD
Wimbo huu unaujumbe mzuri wakunijenga .asnte mtumish mwaitege.daudi kutoka Arusha.
Nilitarajia video moja simple sana... Simple in a way hakuna parts nyingi.. But the content still remains
Yeye ndie Alpha na Omega.... Nice work
Nzuri sana
Kazi nzuri sna
Eeeeh mungu wangu naomba Unitetee kwa mana pekee yangu siwezi 🙏🙏
Usijitetee wewe muache Mungu akutetee .Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu🙏
My mentor,he is the one who made me start to sing in gospel
Unaposema wewe Mungu ananyanza!! Ukinyamaza wewe Mungu anashuka 😍 can I get A Big Amen from you guys
Mungu akubariki sana kuna vita nilipitia nikawa ktkt ya ile vita nikasikia huu wimbo nilipata wa kunyamaza, na ni kweli nilimuona Mungu akinivusha ktk ile vita kwa hali ya juu sana . Watesi wangu walikaa kimya. Mu hatakuacha kama ulivyo.
EE Mungu mutetezi, utetee wa tanzania, wa congomani, wa Uganda , piya taïfa nzima.
😘😘😘U Bony
MUNGU mutetezi wangu,
Kazi nzuri mtumishi👏🤝
Video umeitendea haki mtumishi safi sana hauchoshi wimbo huu
Ubarikiwe mwana wa Mungu Bonny na wimbo wako wa usijitetee hakika ni faraja kwa wengi mmojawapo mimi asante saana
This song has really blessed and touched me in equal measure, nabarikiwa nikiwa Uarabuni. Bonny Mwaitege and Sifaeli has been anointed by God,.🇰🇪🇹🇿
Eethuis het geld naar jou ING Stuur aders en
I love the msg alot,and the video is wow
Amen amen nyimbo zako za ni bariki saana na zina ni faliji saana 🙏🙏
Yani Bonny Mwaitege alizama wapi
Hadi karejea sauti Tofauti
Mwimbie Mungu Bonny unacho kipaji
You lift alot of souls
Usikimie saana mtumishi
We Love you
Kaz nzur sana
The King is Back Jameni!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Amena, Iyo nikweli kabisa ubarikiwe baba
Bonny nakupenda bure.. kazi nzuri.🇰🇪🇰🇪🇰🇪
From south Africa but whenever I see your song it always new to me. I love your songs since when I was young till now
Mwenye mavazi yake karudi sasa
barikiwa sana
@@BonyMwaitegeOfficial God bless you
MUNGU akubariki baba nimda sana nilikuwa nimemis nyimbo zako aise
Amen kk bony ulikuwa wap safi umeludi vzr kwenye gem
Loving this in London! My 9 month old son loves this song! We put it for him all the time and he just dances and clap! Mungu anitetee!
have been loving to teach off there but challenges 😭😭
Oooooooh my goodness , what an amazing song with such a great messages, Thank you man of God,
I'm really blessed
Watching you from south Africa
Mungu akubariki ndugu yangu kwa wimbo ambao Mungu anakupeleka mbele zaidi tumebarikiwa endelea kuwa na furaha 🎧🎧🎧🎧🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Namwacha mungu anitetee..God bless you.more love from kenya 🇰🇪🇰🇪
Nice
Mmaitege mamanimama
Good, stay blessed Mtumishi