Bony Mwaitege - 'BADO NAMPENDA' (Official Music Video) SMS SKIZA 9840971 TO 811
Вставка
- Опубліковано 22 сер 2022
- Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
Bony Mwaitege - 'BADO NAMPENDA'
Video Directed by Director Willy +255 673 734 620
MUNGU AKUBARIKI SANA.
Wimbo unanifinulia kwamba Yesu angali anakupenda licha ya makosa yako, tubu kwake tu anakupenda❤
Fellow Kenyans Enjoying this Song Please Pass by and Leave a THUMBS UP👍
This is a blessing....
Huu wombo unanitoa machoz kwan kuna mwanamke alinikimbiaga kwaajil ya umasikin nilivyo miliki gar na nyumba akaniomba radhi lkn moyo ulishindwa kuaamehe ingawa nikua nampenda mungu atusaidie sana kupendana wakat wa shida na raha kama tuapavyo mbele ya mazabahu ya mungu
Nilikuwa napita makutano ya soko la wazi la kongowea kaskazini mwa kisiwa Cha Mombasa nikaskisia wimbo huu kwenye mikutano wa injili,niliguswa na hapa nasema Mungu ambariki mtunzi na aliyeimba,nimebarikwa mara dufu
Eeh Mungu mpe mtumishi wako maisha marefu aendelee kutubariki
Upendo wa Baba Mungu ni wa Ajabu sana asante Kaka
Kaka wimbo tamu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Family yangu inapitia haya wimbo umenifanya nilie mungu akubaliki kunipunguzia maumivu haya
Huu wimbo naupenda sana maana inanikumbusha ndugu yangu aliyetoroka nyumbani😭😭lakini naamini kupitia huu wimbo atarudi...
Hakika naupenda sana kaona mbali
Ata me mdogo wangu kila siku namuombea sana arud aombe msamaha nyumbani?
Nakupenda Sana unaenda na mazingira
Amen mungu ni wa miujiuza🎉...after a long time he finally came back home
Amen amen... Mungu ni mwaminifu
My fellow 🇰🇪🇰🇪kenyans let's show bony mwaitenge love❤....pita na like plizzzzz.....I love its🔥🔥🔥🔥🔥
True
True
I love your hits🎉
Kenyans in the house 🇰🇪❤️❤️
Kenya here
Here we're
Am here
Yan nyimbo hiii nikisikiriza Na toa machozi kabsa
Huo muonekano ulioutumia kwenye huu wimbo ndio ninaouhitaj kwenye wimbo wangu niombee tu niko napambana
Mtunzi wa nyimbo mungu amekutumia kwa kweli ,,nyimbo imenifunza kila mara niangukapo dhambini nokatubu kwa mungu
Jamani huyo kaka wa 'ngoma' almaarufu kama "drum" 🥁 kwa kimombo ameweza vibaya sana 🎉
Hasa hapo wimbo ukielekea kuisha, (paa paa paa pa pa pa pa!) kazi safi sàna 😅 unaielewa kazi yako 💪
Nakumbuka matusi nilyo ambiwa na mwanangu kuwa sina uwezo wa kumzaa Yeye mwanaume ila nina mbegu za kuzala wanawake inaniuma sana.
msamehe
Muombe kwa mungu amsamehe sababu alijuhi alitendalo na mungu ambadilishe
Nyimbo za bonne zinanibariki sanaa natamani mwanangu akikuq aje siku moja na yeye aimbe kama huyu kaka aishi kwakumtumikia mungu
Baba bonny nakutakiya sikumingi watufariji munyimbozako❤❤❤❤❤❤❤❤
Balikiwa mweshimiwa ZAMBIA🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲 NAKONDE -TUNDUMA TANZANIA🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ujumbe umejitosheleza, ubarikiwe sana kwa upeo mkubwa umegusa maisha ya mzazi na mtoto, mungu akuongeze daiman.....nk
Wimbo mtamu sana wenye matumaini ya kwamba tunapojua tumekosea tukitubu bwana ako tayari kutusamehe makosa yetu
Mtumishi wa mungu hichi ni kitu kwelikweli. Kula chuma hichooooo! (Bado nampenda!)
Nisawa kwamawaitha MUNGU akubariki , Mimi ni muimbaji hapa Kenya Eldoret unikumbuke pia niinuke
Bado tunapenda sauti yako Mzee Bonimweitege usituache tumekaukiwa kusikia ile amsha amsha yako nchi nzima imelala Mzee wangu kunavitu unaviimba vya maisha yangu....
Wimbo mzuri sn mungu akubariki san Mzee boni
❤
Kok
..0,,xsd
How can I join u mzee boni
kupitia wimbo huu namkumbuka sana mumewangu
Wimbo huu ni wa mafanikio sana kwangu asante kaka
My first time kuskiza wimbo hii,niliskia roho yangu imekuwa nyepesi na nikasamehe watu wote,,be blessed man of Watching from kenya🇰🇪🇰🇪
So good song
Amazing song❤❤❤
Dunia ina njaa ya mziki wa namna hii. Barikiwa mtumishi wa Mungu 🙏
Amen
@@ibragichukiofficial2035 g
@@wanjugugeorge1594 AAAAAAaaaaAaaaAàaaaaaaAaaaaaaÀÀAAAÀPpppppppappAÀÀAaAAAAààaAaAaa
Mwenyez Mungu awatuze sana wazazi wetu tunawakosea tunawafanyia vitimbwi vya kila aina ila huwa wanatusamehe kabla hatujawaomba msamaha , tukikwama tunashindwa namna ya kurudi kumbe tushasamehewa tujifunze kutubu hata Kama huna uhakika wa kupatiwa msamaha we tubu tu
Ameen and ameen mimi ni mtu tu ila mwenye kibali, asante sana Martha i love all your songs,hawa zinanipa mtumaini bariki sana mum nasikiza nikiwa saudi❤❤❤❤❤❤
Napenda sana huduma Yako 🙏🙏🙏🙏 Mungu akubariki sana Kwa viwango vya juu 🙏🙏🙏
🇰🇪🔥🔥🔥
God bless you
Toka nikiwa mdogo najifunza kitu kwa MUNGU kupitia nyimbo zako.Tuko pamoja katika kazi ya BWANA
"Barikiwa sana Mtumshi"
Watoto tuache dharau Kwa Wazazi wetu hata km tumefanikiwa kimaisha, Wazazi ni Wazazi tuu hapana wengine zaidi ya hawa au haoooo.
Toka Dodoma mpaka naingia iringa sijabadili wimbo mwingine. Mwaitege wewe ni hatari
Boni naomba nikudie imegusa mtoto wangu
Nabarikiwa sana na nyimbo zako Baba hujawahi kosea ujumbe mzur sana barikiwa🙏
My first time kusikia hii wimbo kwa Ena coach nikienda Bondo kwa orientation ya my son ❤❤ ilinibariki sana until now imekua favourite yangu
Bado nampenda akirudi namsamehe. Pst his kali sana
Wimbo mzuri sana GOD bless you bonny mwaitenge from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪best song i like it
Mungu akuzidishie kipaji chako na akupe maisha mema 🙏
My daughter was deceived and ran away from home,by one of pastor,l heard this song on my way to Nairobi,l felt in tears up to date she has never settled at home due to that pastor.Good message in it.
Naupenda wimbo huu kweli nakumbuka pale nyumaa nilikuwa mtu si kamili kweli ukirudi ukitubu utasamehewa i love you song
BADO pia Mimi napendwa na mungu, mapenzi yake kwangu Haina mivaka nashukuru mwenyezi mungu sana kwa uwepo Wake kwangu siku zote..amina
Good song hakika mwaitege unakonga nyoyo zetu ndagha malafyale
Barikiwa nabwana mtumishiwamungu
Haleluyaaa.sifa.nautukufu.apewe.Bwana.mwenye.huruma.milele.na.milele
Brother bonny nmeokoka kupitia nyimbo zako mungu azidi kukupa nguvu wengine nao waokolewe Amen 254
Msamaha wa mzazi kweli wa maana🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾, hivyo ndivyo Mungu wetu hutusamehe Bali tunazidi kumkosea 👏👏👏 . Mungu tunatubu 💔
Nikweli
Daaah kaka hongerako jina lako liandikwe mbinguni mungu akupe viwango vya juu sana sana!
Mungu wa mbinguni aendelee kukutumia atakavyo
katika nyimbo za bony huu kweli moyo wangu unafurahishwa unatia huzuni nimeupenda sana
Ubarikiwe mwimbaji wa mungu
Kazi nzuri sana mutumishi wa mungu unanibariki🇨🇩🇧🇮
🎉chukua maua yako bonny artist kali sana yaan muonekana saut tofaut hongera
We tubu tu mungu anakusamehe. Mungu anatupenda sana.
Our king of gospel❤❤❤❤much love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪you never disappoint
Nice song 🙏🙏🙏🙏. Let's learn to accept our mistakes and we will be forgiven GOD 🙏 🙌 loves us. We🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪ns loves u 💕💖 brother. Amen.
Hakika barikwa mtumishi wa Mungu
Jamani ndugu zetu wakenya kiukweli mnaupendo wa dhati kweli maana nimeona coment zenu humu hakika bado wa tz tunawapenda pia
Ujumbe mzuri kwa jamii na vijana , mungu azidi kukubariki bon mwaitege, kazi nzuri yenye ubunifu uliosanifiwa na roho mtakatifu
Let us all gather here to congratulate this man
Pure talent, good music, full package
We're blessed and educated
We love you Kenyans Mwaitege
Mwaitege is from mbeya Tanzania not kenya
Mungu akubariki na azidi kukupa ufunuo wa utumzi aina hii,,,hizi ndio nyimno watu wanatamani kisikia,,zinazoongea na moyo wa mtu,,,
Bony ata Mimi bado napenda nyimbo zako hunibariki Sana,,,,,baaado nakupenda Bony
Watching from Kenya
God bless you boniboni may God bless you abundantly ad give you more revalations 🔥🔥🙏💖🇰🇪
Wimbo mtamu sana... much love from Kenya ♥️💞💞🙏🙏🙏💪💪💪
Long life man of God, much love from kenya🇰🇪
Àsante sana kaka bony hakika nyimbo imenibariki na kupitia huu wimbo mdg wangu alikua ametoweka mda sana had ikasemekana amefariki hatimaye amekuja kutuomba msamaha
Bony bwana we! unampenda yeye anasema bado yupo batani anakula bata labda zikiisha
Great job Bonny watching from Kenya I really love the song it teaches ❤️❤️❤️❤️
Ubalikiwe sana mtumishi wa Mungu
Baado legend yupo sawa kabisa nakupenda sana Baba wa roho nipo kenya nakusikiza kwa sana tangu utoto wangu
Wimbo wapendeza huu. Talanta kuu hii. Pongezi Bonny Mwaitege
This song has made my day to be honest shukran baba mwaitege kwa ngoma mzuri 🇲🇼🇿🇦🇹🇿🔥🔥
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU🙏🙏🙏
Aki Mimi napenda sana the way dancers wamedress pamoja na dance yao, na the way hii song ilianza 😀😀💯
huu wimbo unanikumbusha maisha 🥺🥺🥺
This songs encourages me it has made me to forgive everyone,,,,,May Holy spirit of God take space in my heart in Jesus name 🙏.
Favourite song! 🔥 🔥 🔥,Kenya nakupenda sana! video 💯💯🔥🔥
Instrumental 💯🔥💯🔥🔥 vocals 💯💯💯🔥💯🔥
Dah jamani Bonny umenikonga moyo. Kusamehe ni jambo la msingi ❤❤
Namuomba Mungu Siku moja niweze kukutans na kaka yangu mkubwa nimuda mrefu hstujsonans
The Producer behind this is a genius!!!!!!
A nice message 🔥🔥
Huu wimbo hata nikisikiliza kila siku auchoshi ❤
nimeusikia leo na nimeplay zaidi ya Mara 10 maana ujumbe wake ni mzuri, vocals, instrumentals and beat all are good and delicious music at all
Nimevutiwa na production producer alitulia...bravo
Father of the Gospel in Tanzania🔥🔥🔥🔥
Glory to our God 🙏🙏🙏
J
Kila chenye mwanzo lazima kiwenamwishoo man umezeekaaa
Shallom baba nyimbo zako ni mafundicho kabisa mungu akutie nguvu
Hongera pastor mungu akubaliki
Ooooooh my God, thanks for letting me know that God still loves me, He's just waiting me to repent and rebuild me again. Thanks mwaitege am tuning in from Uganda Kampala. Love ur songs legendary be blessed
Mungu akubariki Sana kwa injili ya uimbaji ambayo imetufanya tuokoke wengi ambao hata hatukuwa na mawazo ya kuokoka lakini jumbe zako hakika zimetuvuta wengi kumpenda Mungu
kwakweli huu wimbo no nzuri Sana Mimi binafsi nakupenda Sana mungu akubaliki
Naipenda sanaaa mtumishi wa Mungu. Watching from Kenya's🇰🇪🇰🇪🔥💪
Niwaathimwa takwa we?
Ujumbe huu umetufikia ubalikiwe mtumishi wamungu
The song is a hit 🎯 it's on another level...it's just amazing 😍 can't get enough of it 🔥 more grace in the ministry father of gospel....Much love from Kenya ♥️🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nyimbo safi sana mtumishi wa mungu Mwaitege,naomba namba yako please Bonny.
Huu wimbo unagusa sana, amenena maneno ya uchungu sana,,❤
Bado nampenda ni vile na bwana wetu yesu bado anatupenda àngaliye zambi zetu
Bado nampenda. Wimbo unabariki sana.
hatarii san wimbo hu👍
Beautiful gospel song listening from zambia 🇿🇲
Wow Bony, we are ageing gracefully. May God Almighty bless you. Shalom
What a hit!
Wimbo huu kila nikiusikiliza Na toa machozi kabsa
Bony mnaimba vizuli sana nyimbo zenu nazipenda saaaana
I don't get enough of this song...i repeat it continues as I go at work at back from job.. nikifika kwa nyumba n ya kwanza kuicheza kwa Bluetooth yangu much love from me here in Kenya
I love your music brother Bonny
Want an inspiration for young generation we respect your bonny ubarikiwe
F
Powerful and beautiful song
aminaaaaa jpe Myo mung atamldxhaaa wkti utfka wkat ukifka kuna jmbo linatakiwa lifanyike
sasa uyu ndo bony mwaitege nnae mfahamu Long time ago
songs za ujumbe safi na mziki usio kuwa na makelele
Kazi nzuri mtumish wa Bwana Yesu
Hongera