Bony Mwaitege -Mkono wako '' (Official Music Video)
Вставка
- Опубліковано 14 чер 2023
- Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
MUNGU AKUBARIKI SANA.
Can't wait to play this song to my wedding day 🎉🎉🎉❤❤ God hear my pray u know me very 🎉🎉😂😂😂 more love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 like za Kenya 🇰🇪
ASANTE SANA
Congratulation my kaka nafurahia sana naungana nawe Kwa shukurani maana Kwa mkono wake tumekuwa hivi tulivyo Leo japo hatukustahili
OOOH MY DADA , MTOTO WA MZEE
MUHANDO .....ALIYEKUPATIA JINA LA ROSE..
NASHUKURU SANA
Nakupenda baba yangu nyimbo zako zilinfanya nikue kimaadili sana Mungu atakushangaza zaidi na zaidi
After everything I was going through in kenya, I was the talk of town 😢😢Today I can testify I have Seen the hand of God here in Dubai! Thank you Lord Jesus!
God bless you 😅😅😅❤
Ameeen kweli amenitendea mengi bwana
Amen amen
amen
hi
Who else feels touched whenever this man of God sings?
Right here
Hapa kenya tunakutambua kuliko rais wetu. Tunaomba mkono wa bwana uinue uchumi wetu, mbinu zetu binafsi zimegonga mwamba.
Kazi nzuri mtumishi napenda huimbaji wako sana
ASANTE
Japo napitia magumu. Kupitia wimbo huu nina imani kuwa Mungu atanipa ushuhuda. Ipo siku ataunyoosha mkono wake maishani mwangu
Amen
Asante sana mtumishi kwa ujumbe mzuri sana umenitia moyo sana kazi nzuri sana bila Mungu nisingeweza
Jamani Mimi wamwisho hâta likes mbili zinanitosha❤
Am a Muslim but Napenda ur songs so powerful.. Wapi likes team gulf
Hii n kubwa my favourite Bony Mwaitege song is Dunia drop yako tukisonga❤
ASANTE
All the way from TikTok to listen to this song
Thanks
Bony Mungu akuzidishie maudhui ya nyimbo zako sisi wengine tunabarikiwa
Kweli nimeuona mkono wako ❤❤ asanti for this
hongera sana mtumishi wa Mungu keep going 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏😂😂🎵🎵
Amina
mtumishi bwana hasifiwe mimi niko mombasa natamani nikuone Mtumishi naomba nikuwe nawe pamoja tupinge kazi ya Mungu hiyo ndiyo ombi langu mtumishi 😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🎵🎵🎵
Wow! uyo mwanadada ambae anaimb kamfanana sana Zuchu hadi mi nikadhani et ndo yeye Zuchu mwenyewe 🥲🥲🥲🥲🥲.
Ongera san mchugaji mwezangu
ASANTE SANA NDUGU YANGU
Ameeen , Wimbo Nzuri sana , Ubarikiwe sana Na Mungu mtumishi wa Mungu 💐💐💐🔥🔥❤️❤️❤️🙏🏼Hakika Bwana anatuwazia mema
ASANTE SANA NDUGU YANGU
ila bony wewe ubalikiwe sana unanifanya nalia nikisikiliza nyimbo zako hua zinanigusa moyoni ndani kabisaaa kama hapo ananiwazia mema duh mpaka nafunguka moyoni nakutamani niwe muibaji namimi❤❤❤sana bony
Nikiskia wimbo huu nakumbuka last month niliepuka Kwa ajali,,, God is great sikuumia na hakuna aliyeumia🙏
Bila huyu mungu singeweza mimi na maisha yangu kwa hakika nasidi kuona mkono weka bwana,barikiwa sana kaka
Baraka teletele Betty
Tokea utotoni napenda sana nyimbo zako mwaitege nikiwa nchini🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
ASANTE SANA
Hongera baba Kwa wimbo mzuri mweeee ila shati la kijani hili naomba niseme umenibariki sana hahahahaaaa
Nimeusikiza huu wimbo siku nzima❤❤
Bony nyimbo zako hakika unibariki sana.Mungu azidi kukuinua Kwa kazi yake
Nice song,Umenitendea mema mengi Bwana.
Huu wimbo umenikumbusha mbali sana 😭😭🙆,maali mungu amenitoa sina la kusema,na ww mtumishi wa mungu,mungu akupariki milele na milele ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 👈❤❤
ASANTE
Amina🙌🙌🙌Mtumishi tumeponywa na mkono wa Mungu, Be blessed from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Be blessed...from kyela mbeya
Nimesikiliza nyimbo zako tangu utotoni mwangu hadi wa leo,, walai umeteuliwa kutangaza injili,,be blessed 🙏🙏
ASANTE SANA EDDAH
Hakika ni mkono wa Mungu uliotufikisha tulipo ,,,, Mungu akubariki mtumishi wa Mungu bonny mwaitege na azidi kukuinua kiwango hadi kiwango ,,,,much love from kenya
ASANTE SANAAAA, MTUMISHI, WA MUNGU, KWA KUNITIA MOYO , KATIKA SAFARI YA KWENDA MBINGUNI, BARIKIWA SANAAAA
Kumbe shetan anaogopa mkono wako (Mungu) the bonfance mwaitege haujawahi kuwa na kazi mbovu te heaven will declare and implemente your demands
Hakika nimeuona mkono wako baba wa kuume umeniponya tena asante.
ASANTE SANA NDUGU YANGU
Wauuuuu.....!what a blessing song,kwa hakika mimi nimeona mkono wa mungu pia🙏na nyenyekea.
ASANTE SANA
Ninavyo barikiwa na ulindwe undelee kubariki wengine nikiwa mmoja wao nabarikiwa nawe ndugu. Naona mkono wa MUNGU katika maisha yangu yote.
Mtumishi wewe waga hukosei kabsa kazi nzuri sana mchungaji wetu
ASANTE SANA NDUGU YANGU
Nmeona mkono wa mungu maishani mwangu! Uabudiwe milele yesu🙏
Amen nimeona mkono wako kwenye maisha yangu ubaliwe sana
❤❤❤❤nashukuru saana nyimbo yako imenijenga saana kiroho🎉🎉🎉🎉🎉
umbali amenitoa pia nami nashukuru,ameniketisha na wafalme mimi niliekua nadharauliwa.hakika nimeuona mkono wako...kutoka kenya twakupenda mtumishi wa Mungu🙏
ASANTE SANA
nashukuru sana bonny nimekua fan wako tangu niwe mdogo nyimbo zako ziko na nguvu zamungu uwa nikisikiliza napata faraja kwakweli nimeuwona mkono wangu,barikiwa sana mtumishi wa mungu love from kenya
ASANTE
Bon mwaitege bado ni yule yule kwa Yesu amna kuzeeka
Nimeuona mkono wako Bwana. Barikiwa mtumishi wa Mungu
Alleluia, powerful song. MKONO WAKO.
Iyi ni zuri saana sasa ndugu unaaza kuchezesha wanawake mu mavazi mbaya
Barikiwa sana mtume wa bwana Bonny mwaitege
ASANTE SANA NDUGU YANGU
Ameni balikiwa sana Mtumishi wa mungu🎉🎉
ASANTE SANA
Tunaicunga kbsa Papa Mwaitege tunakupenda sana 🤗🤗👌
ASANTE SANA
@@BonyMwaitegeOfficial Ndiyo hatanami ni muimbaji wanyimbo za kumuabudu Mungu sijuwi kana ninaweza kupata number yako ya WhatsApp ??
Mungu akubariki sana kaka yangu ulinifanya niokoke sana kwa ile wimbo wa mama roho yangu iko mikononi yake ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ hata na iyi ni powa sana
ASANTE
saidia mungu wangu pokea sifa mungu akuinue sana sana🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mungu asifiwe sana na awa bariki, from Kolwezi 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩.
I like this song mtu wa mungu zidi kumsifu mungu upokeee mafuta zaidi na zaidi
Nyimbo nzuri sana, Asante mwaitege
ASANTE
Jameni mtumishi ww baraka .Akubariki God
Jamani imenigusa sana ubarikiwe
Amen Mungu kwel amenitoa mbali kijiji kilinijua km mwenye hakusoma lakini saii penye niko ni kwa neema yake aliwazipa midomo nko gulf nashukuru
Aaamen
I love this song... always look up to God for all your doings and the Lord will put his hand on it...
Mungu akubariki Sana Mtumishi wa Mungu huduma yako ni njema sana 🙏
ASANTE SANA
Amen barikiwa sana kaka wimbo mzuri sana unanitia moyo,ila hao dancers wanacheza kidunia alafu wanawake wamavaa trousers haimpi mungu utukufu 😢
hakika nimeuona mukono wabwana nyimbo inabaliki sana
Amen ,hakika nimeuona mkono wa Bwna,God bless you Sir🙏🙏
Hakika mkono wa Bwana nimeuona.barikiwa San mtumishi
Mungu kweli amenivusha kwa majaribu na changamoto😭😭😭
Much love the song from uwarabuni originality from...Kenyans hata kama tuko gulf countries we still love you bony and listening for you song coz your songs have more blessing...thank you brother bony
Amen
Kazi nzuri mtumishi ubarikiwe sana
ASANTE SANA
Amen l love is song 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 mungu akubariki sana ,,,, mtumishi wa mungu ,,,,,, najua mungu atatutoa viwago vya chini atupeleke viwago vya juu
Amen
Bonny siku moja majaliwa tutaimba pamoja... Naamini,,, Mungu awe nawe milele
KARIBU
Eeee baba nimeuona mkono 🤲 hallelujah hallelujah 🙌🇰🇪👌💃💃💃💃💃🔥🔥🔥 mikono yako ni mizuri mungu 🧎🏼♀️🤝💗🙏🙏🙏
Amen
Barikiwa sana mtumishi wa mungu bonny mwaitege
ASANTE
Mimi nimkenya na niko mbali kwa wakati hu yaani niko warabuni nataka nikirudi nitasafiri mpaka kwenye kanisa lako
Wonderful song nimerudia karibu mara 10 kwa ukweli nimeona mkono wake mungu
ASANTE SANA
Wewe bonny,nyimbo zako ufurahisha moyo wangu licha ya mapito 🙏🙏🙏
ASANTE SANA NDUGU YANGU
Barikiwa sana Kaka
Amen Amen 🙏imenikuza
Nabarikiwa sana na zako haswa hiib inanikumbusha kumtegemea mungu
haleluya !yes God shows us without hand of glory
Ni kweli Mungu anatuwasia mema barikiwa mtumishi.
ubalikiwe Sanaa mtumish
Amen Mungu akutie nguvu
HUU WIMBO UNANIPA NGUVU NA IMANI DHABITI KATIKA MAISHA YANGU....UBARIKIWE...🙏🙏🙏
Amen ASANTE
Asanteee Yesu kwa kumtumia mtumishi wako kutuvusha kupitia wimbo huuu, Barikiwaaa saaana Mtumishi Mwaitege🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 , BABA NIMEUONA MKONO WAKOOOOO🙌🙌🙌🔥🔥🔥
ASANTE SANA NDUGU YANGU
Kwa hakika nmeona mkono wa bwana,from all what have been through I can testify his goodness😢😢
Asante sana Mungu nami nimeona mkono wako kwenye maisha yangu. Ubalikiwe sana tunakupenda sana sisi watu wa Burundi
ASANTE SANA Nipo BURUNDI
Kumbukumbu latorati 22:5 wanawake wana vala suluwali😭😭🇨🇩 Paschal casian uko wapi?🇨🇩🇨🇩
Hakika anatuwazia mema Baba❤
Amen
Amina kubwa 🙏 ubarikiwe sana 🙏
Asanteee baba 🙏🙏😍😍😍😍😍😍😍🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌nipo naenjoy hapa kazini 😘😘😂😂😂😂😂nyie raha sana mungu akubariki sana 🙏💪❤❤❤
ASANTE SANA ZURFA
Umebariki wengi kwa mataifa mengi mungu wa uwezo akuneemeshe zaidi mtumishi wa mungu Asante sana
ASANTE NAPOKEA
Hatanami nime uona mkono Wabwana Yesu Asante sana kwanyimbo hiyi 😊😊🙏
ASANTE SANA NDUGU YANGU
utukufu Kwa Bwana 🙏🙏🙏
Bony mwaitege never disappoint am blsd nkiwa dubai 🙏
ASANTE SANA
Amen Amen barikiwa sana mtumishi wa Mungu
mungu azid kuku kuza kwa vema najinsi unavotupa neno
Amen from Bujumbura my Burundi🇧🇮🇧🇮
ASANTE SANA
Amen wimbo huu ninapo usikiliza unanibaliki sana
Barikiwa sana baba yetu hakika nyimbo zako zina gusa nyoyo zetu❤❤
ASANTE SANA
Baba kama baba kweli nimeona mkono wako Bwana Yesu ameen nimebarikiwa sana baba Mungu akupe maisha malefu sana
ASANTE SANA MWANANGU KEFA MALI MALI
Imependeza ni mkono wa mungu tu pekee
❤❤❤❤ mungu hy n mkubwa wa vyote teams khamama mko wp plz imgn vile watulisema hatutafika mbali weee