Nikuambie kitu na ukubaŕi ama ukatae ila ndio ukweli. Kwenye nchi hii kati ya wasanii wenye akili timamu ni Dudu baya, Amanda sele na Jey dee hawa wengine ni bendera fuata upepo
Msigwa alikuwa karibu sana na Mbowe aliwasaliti watu wengi sana kwa kupelekea wenzie maneno mabaya sana kwabowe kila alipokuwabowe yeye humkoai ghafla mbowe akambwaga mpaka uchaguzi wa majimbo akambwaga msigwa alochanganyakiwa sana
Dudu hapo umejibu kishamba sana kuhusu Mbowe. Ukifanya hivyo Mamafya wanaingiza kiongozi wao(MAMLUKI) , anakiua chama mara moja. Kikubwa ni UCHAGUZI, na harakati ziendelee hadi CCM ITOKE.
😎😎😎🥸🥸 PUMBAVU ZAKO,,, HAWACHAGULIWI MARAIS NA MUNGU BALI MFUMO WA UCHAGUZI NA NGUVU YA WENYE MAMLAKA HUWAWEKA ,,LABDA WA MUNGU WAANZE KUALETWA MWAKA2025 ..mwehu, tz.
Kuna kauli aliwahi kuitoa James Kamau (Kenyatta) kuwa yeye anaongoza wagonjwa, Milton WA Uganda anaongoza wagonjwa walio mochwari, sikumbuki alisema nini kuhusu Kambarage anaongoza nini.....
Msigwa kama anahekima ya kiuchungaji kweli anawezaje kutamka nakusema akihamia ccm basi tumchomee nyumba je,anaifikiliaje familya yake kama nyumba itachomwa hana akili muhehe huyo apimwe
Viongozi wengi wanaohamahama kwenye vyama hawafai kabisa kuwahutubia wananchi kwani hotuba zao zote tunazo wanavyoongea leo wanatueleza hivi kesho akihama ansema hili inaonyesha mtu wa namna hiyo ni mchumia tumbo.
Dudu baya nakukubar San unasema ukwel hawa wanasiasa njaa Kali zinawasumbua Et mtu anajiita mchungaj pita msigwa mtu mwenyewe hata hofu yamungu Hana ovyo kabisa mungu awahurumie
manjaa tumbo nimeikubali kiufupi ukweli aupo kwenye nchi yetu wengi awajali nchi yetu na ndomaana ubinafsishaji umezidi kuwa mkubwa sana wanasahau waliowaletea demokrasia wanafanya siasa ya kweli na wanajali taifa lao njoo tanzania ni kuuza tu rasilimali zao
MSIGWAAAAA UNAFIKIIII UMEKUJAAAA KUMBUKAA ULISHAAHIDI NINI ..MAISHA YA WATANZANIA NA CHEO WAPI NA WAPI ...KUMBE NI MSALITI NA MNAFIKI ISITOSHE WE SI PETER BALI MCHUNGAJI
Sio kweli. kiongozi wa chama hawezi kujito mpaka wakamate dola kama alivyofanya Baba wa taifa Raisi wa kwanza.Mwanzilishi akijitoa kabla ya kukamata dola chama hufa mapema..Mifano chunguza vyama vingine vipoje?
Dudu baya hapa ameongea ukweli kwa 95% ila hapo eti viongozi wameteuliwa na Mungu mhhh! mfano mzuri ni kule Zanzibar Marehemu Maalimu Seif karibu chaguzi zote alikua anashinda. wazanzibar walimpenda sana na kumkubali ila hakuwahi tangazwa hata siku 1 kua eti ni mshindi. kwa Mbowe pia Nyerere alikaa miaka mingapi chama cha TANU kabla ya CCM? na hakubanduka hata....
Si kweli viongozi uliowataja(Magu, Majaliwa, Samia na Mizengo eti ni wa wa Mungu!!!! si kweli. Ila hapo na wewe umetia uchawa angalau wakukumbuke. Ungemtaja pia Warioba, Mbowe, Lissu etc ningekusikiliza.
Konk Master chukua huu ushauri wangu ...ww una kipaji Mungu amekupa cha kuchambua mambo ...sio kila mtu hata awe amesoma vp anaweza fanya kama wewe unavyo fanya. Huu ni muda sasa wa kubadili icho kipawa alichokupa Mungu kikuingizie pesa. Please take this and act immediately.
Hakika, most of the politians are oppotunist. Future ya gari alilokuwa amepanda imepotea kabisa, so kaona ni bora aingie kwenye gari ambalo linampa uhakika wa maslahi! Dudu baya anajitahidi kuzungumza vizuri.
Kuna umakini wa kina ambao unatakiwa mtu uwe nao,kuna watu wanapoongea usipokuwa makini unaweza potezwa,Mtu kusema maraisi wote ni wateule wa Mungu mmmmmh.Huyu mtu hawezi kupigania wananchi na wala hawezi pigania mabadiliko chanya katika taifa,maana amekaa kichawachawa
Ccm imeongoza muda mrefu mbona husemi?mbowe hawezi kutoka sababu yeye ndie hahongeki na ccm,wengine wanakuita chama mapema tu,kama vyama vingine vya uponzani vilivyo dhaifu sana,ccm wanambinu chafu,wanataka mtu imara kwelikweli
Dudu BAYA.kumbuka mbowe.ndie mhimili wa chadema.kwa msimamo.angalia ccm ilivyovuruga vyama vilivyokua vinaibuka kua mshindani wake.cuf nccr.lkn kwa mbowe ccm umeshindwa kusambaratisha cdm kwa sababu ya msimamo wake.wanachama na viongozi na wabunge wamenunuliwa wamepewa uongozi.waliokua na msimamo walitishwa walibambikiwa kesi na kufungwa walifirisiwa na TRA..mbowe ameafanyiwa hayo yote.hujui.???? Acha uchawa au hujitambui.nyelele alikaa miaka mingapi.??.huzungumzii ccm kuzuia wanachama kugombea urais anayejaribu anafukuzwa marehemu membe.kama hujui kitu kaa kimya
Lakini Lisu anatofautiana na wewe kuhusu Nyerere. Lisu anamwona Nyerere kama ndio chanzo cha matatizo hapa Tanzania. Ninakubaliana na wewe siasa za nchi hii ni kinyesi na kila anayetaka uongozi yuko tayari hata kuua. Mfumo wa kuwapata viongozi una milango ya rushwa kuanzia kwenye vyama vya siasa mpaka kwenye uchaguzi wa kitaifa. Mtu mwenye akili hawexi kuutafuta uongozi kwa gharama zaidi ya uwezo na weledi wake. Lakini hili nalo ni neno " Mbowe kile ni kiwanda chake hawezi kuondoka mpaka afe."
Daaah nimekuelewa dudu baya,naam na huo ndio ukweli na uhalisia wa hawa vibaka wanaojiita watetezi wa wanyonge,msiba ni takataka mshamba mbabaishaji na maskini wa akili na kipato
Huyu jamaa anajiamini sana Yupo huru kuwakilisha mawazo yake tena kwa mambo magumu ambayo wengine wanaogopa napendaga sana watu huru na ajilinde asiyekuwa chawa maana kuna baadhi ya viongozi wanaweza mfuata ili awasifie kwa malipo fulani uchaguzi unakuja.
Mungu akubariki Kwa hilo. Naona sasa utatusua bro nakutia moyo wa nguvu
Nikuambie kitu na ukubaŕi ama ukatae ila ndio ukweli.
Kwenye nchi hii kati ya wasanii wenye akili timamu ni Dudu baya, Amanda sele na Jey dee hawa wengine ni bendera fuata upepo
Msigwa alikuwa karibu sana na Mbowe aliwasaliti watu wengi sana kwa kupelekea wenzie maneno mabaya sana kwabowe kila alipokuwabowe yeye humkoai ghafla mbowe akambwaga mpaka uchaguzi wa majimbo akambwaga msigwa alochanganyakiwa sana
Huyu jamaa ana akili kuliko watu wengi sana nchi hii. Duuh
Umeongea point
Konk umependeza hongera pia afya yako imerudi
Godfrey Matumaini a.k.a Dudu baya,safi kabisa😂😂😂
Dudu hapo umejibu kishamba sana kuhusu Mbowe. Ukifanya hivyo Mamafya wanaingiza kiongozi wao(MAMLUKI) , anakiua chama mara moja. Kikubwa ni UCHAGUZI, na harakati ziendelee hadi CCM ITOKE.
Safi sana, mwanamziki mkongwe... role mode wangu enzi hizo " KUNGURU HAFUGIKI, TOKA....".
Duh! Dudu baya akili kubwa sana. Hongera sana hebu lete hizi akili kwenye INJILI ya BWANA!
Hawa njaa tu kaka umeingea safi wapumbavu hawa
Safi sana kwa kusema ukweli
Umesema ukweli wanasiasa wa kweli walikuwa ni hao ulowataja.nakukubali kulikoni
Tanganyika ni ulaji tu hakuna mwenye chama, wenye vyama vapo Zanzibar.
Wewe mzee dudu ni noma sana unatetemesha
Kweli ww ndio Dudu 💪🏽🤣🤣🙏🏼 👊👍
Msigwa we ulikuwa mnafiki kumbuka pia maneno yako msigwa
Msigwa kuhamia chama kile ameboa sana hafai hata kidogo. bora angehamia hata ACT WAZALENDO
Umeongea vitu vikubwa 🙏
Uchawa ni shida sana katika nchi hii mtasema sana kuhusu MBOWE
😎😎😎🥸🥸 PUMBAVU ZAKO,,, HAWACHAGULIWI MARAIS NA MUNGU BALI MFUMO WA UCHAGUZI NA NGUVU YA WENYE MAMLAKA HUWAWEKA ,,LABDA WA MUNGU WAANZE KUALETWA MWAKA2025 ..mwehu, tz.
Dudu nimecheka Sana
Hasa hapo pa kudaiwa na Tajiri na Chama kinakutaka
Kuna kauli aliwahi kuitoa James Kamau (Kenyatta) kuwa yeye anaongoza wagonjwa, Milton WA Uganda anaongoza wagonjwa walio mochwari, sikumbuki alisema nini kuhusu Kambarage anaongoza nini.....
Huwa napenda kukusikiliza....akili iko...... Fact facts
Big up uko vizuri sana
Hapo umejichanganya Rudi kwa Nyerere alikuwa TANU kwa muda Gani kabla ya kupata uhuru
Hapo na mimi kaniacha hoi.
Political prostituions 0:42 🎉😂😂😂 umalaya wa kisiasa 😂😂 nyambafu 😂😂😂 Hivi sie watanganyika aliyeturoga ni nani 🤔 🤔🤣🤣
Hapo kwenye kuteuliwa na Mungu sikuungi mkono
😂😂😂
Msigwa kama anahekima ya kiuchungaji kweli anawezaje kutamka nakusema akihamia ccm basi tumchomee nyumba je,anaifikiliaje familya yake kama nyumba itachomwa hana akili muhehe huyo apimwe
mamba ukombari sana kwa uerewa aikiu yako iko juu
Sio kwamba wengine hawaelewi ila wamejizima data mpaka siku likiwafika wakapata pa kusemea ndo watasema sasa ila kwa sasa!
😂😂😂hapo kwa Mbowe kumpiga upako umenivunja mbavu
Viongozi wengi wanaohamahama kwenye vyama hawafai kabisa kuwahutubia wananchi kwani hotuba zao zote tunazo wanavyoongea leo wanatueleza hivi kesho akihama ansema hili inaonyesha mtu wa namna hiyo ni mchumia tumbo.
Dudu baya nakukubar San unasema ukwel hawa wanasiasa njaa Kali zinawasumbua Et mtu anajiita mchungaj pita msigwa mtu mwenyewe hata hofu yamungu Hana ovyo kabisa mungu awahurumie
Sijawahi Kuzichoka Intaviu Za Niki mbishi Chidi benz Na Dudu baya Hawa jama Nihatali Sana
Wachen choyo kwa mbowe hata kwa maalim seif ukisema sana .Mungu humteuwa kiongozi wa kupigania hak
Ameshurutishwa na kinana ajiunge na CCM kwani Kinana alishinda kesi dhidi yake. Mahakama ilmpa ushindi kinana kwa kesi ya defamation.
Bibilia inaseama mkopaji ni mtumwa wamkopeshaji kweli madeni yanatesa
Zee Dudu mwenyewe. Madini kila mda.
Huyu ndiyo mwana hip pop siku zote uwa ni wanaharakati wana madini sana
Kumbe ni akili ya dudu baya imechakaa, ni kama kichaa " KUMBE HANA AKILI, AKILI YAKE NI MATOPE yaan ZERO BRAIN- KENGE WA KIJANI".
Eti, huna hoja
Huyu tahira amshauri mbowe unafikiri mbowe kawa mwenyekiti chadema anavmalu zake wewe lofa nyerere kakaa madarakani miaka 27 umeshindwa muziki utajua siasa
Ila daaaah wewe jamaa akili yako mavi kbs
Watu wanatakiwa kujua hakuna aijuae kesho!
Kupita bila kupingwa itakuwaje Ni mungu acha kumdhihaki mungu
P msigwa alisema:akihama cdm,nyumba na magari yake yachomwe moto.
Mfuateni,mmbananishe kuhusu kauli yake!
Kauli inafutika.
Me nigekuwa nazijua nigezichoma maana kutimiza kauli yke
Huyu jamaa kutu namjubali hajawahi kuwa mnafiki kwenye nyekundu anakwambia kabisa
Wanasiasa uchwara wachane awo konk master
Ni kama anachosema ni kweli! Ila amepwaya sana
Hii imeandikwa pia katika Biblia lakini Mungu aliwaahidi Israel kwamba wao hawatakopa, watakopesha, watatawala na watabarikiwa
Sijaamini kama yuko iq kiasi ichi aisee
manjaa tumbo nimeikubali
kiufupi ukweli aupo kwenye nchi yetu
wengi awajali nchi yetu na ndomaana ubinafsishaji umezidi kuwa mkubwa sana
wanasahau waliowaletea demokrasia wanafanya siasa ya kweli na wanajali taifa lao
njoo tanzania ni kuuza tu rasilimali zao
Aise kuna maeneo unanikonga kumoyo.
MSIGWAAAAA UNAFIKIIII UMEKUJAAAA KUMBUKAA ULISHAAHIDI NINI ..MAISHA YA WATANZANIA NA CHEO WAPI NA WAPI ...KUMBE NI MSALITI NA MNAFIKI ISITOSHE WE SI PETER BALI MCHUNGAJI
Sio kweli. kiongozi wa chama hawezi kujito mpaka wakamate dola kama alivyofanya Baba wa taifa Raisi wa kwanza.Mwanzilishi akijitoa kabla ya kukamata dola chama hufa mapema..Mifano chunguza vyama vingine vipoje?
Dudu baya hapa ameongea ukweli kwa 95% ila hapo eti viongozi wameteuliwa na Mungu mhhh! mfano mzuri ni kule Zanzibar Marehemu Maalimu Seif karibu chaguzi zote alikua anashinda. wazanzibar walimpenda sana na kumkubali ila hakuwahi tangazwa hata siku 1 kua eti ni mshindi. kwa Mbowe pia Nyerere alikaa miaka mingapi chama cha TANU kabla ya CCM? na hakubanduka hata....
Aisee, kumbe mandezi waheshimiwa!
muache afuate ela, kule kuna ela za kutosha, muacheni aende jamani harakati wa kweli wapo wachache njaaaaaaaaaaaaaaaa,
Dudu anauwezo mkubwa sana,sijui alisoma wapi maana uwezi wake sio wa kawaida
Kama unaona dudu anauwezo basi ww zombi la elimu
Safi sana umeongea point kubwa sana 😂🤣
International pure points
Si kweli viongozi uliowataja(Magu, Majaliwa, Samia na Mizengo eti ni wa wa Mungu!!!! si kweli. Ila hapo na wewe umetia uchawa angalau wakukumbuke. Ungemtaja pia Warioba, Mbowe, Lissu etc ningekusikiliza.
Ila kweli hata mimi dudu kanishangaza asee kuna aman na upendo na mungu wa aina gani kwaviongoz hao hapo?
Mzee salimu ahamed,mzee butiku,mzee Edwin mtei,mzee warioba,BABA TAIFA,mzee kawawa,mzee karume,mzee sir George kahama,mtikila,kambona,nk ni wazalendo halisi.siyo wazalendo mafisi.
Dudu unajua siasa sana
Dudu Baya kumbe kichwa. Nakutolea kofia yangu. Kuuzika kirahisi. Basi tumpe pongezi nyingi Mbowe na Tundulisu kwa kuwa wazalendo. Inasikitisha.
Dudu baya hongera sana
Konk Master chukua huu ushauri wangu ...ww una kipaji Mungu amekupa cha kuchambua mambo ...sio kila mtu hata awe amesoma vp anaweza fanya kama wewe unavyo fanya. Huu ni muda sasa wa kubadili icho kipawa alichokupa Mungu kikuingizie pesa. Please take this and act immediately.
Hakika, most of the politians are oppotunist.
Future ya gari alilokuwa amepanda imepotea kabisa, so kaona ni bora aingie kwenye gari ambalo linampa uhakika wa maslahi!
Dudu baya anajitahidi kuzungumza vizuri.
Mkimtoa Mbowe atakaa nani? Ndiyo Hawa kina Msigwa na kina Sumaye?
Lini huyu amekuwa mchambuzi wa habari? Okay every one can be mchambuzi right? This is Tanganyika bana.
Hili jamaa lifala halijui vitu vingi
GENIOUS DUDUBAYA
Kwer Kaka Wapinzani Wa Kwer Kwenye Nchi Hii Bado Tuko Njee Hila. Kunawakati Muda Utaamua
Kwani wananchi wanasubiri Nini kuchoma nyumbani yake......
Aise uko gudi
Yes dudu.baya
ni ukweli mtupu
Mbona hamsemi wanaorithishana madaraka na watoto wao,wakina mwinyi,makamba,kikwete,mwigulu,Hadi watoto wao wamepewa nafasi za chipkizi ccm.hamuoni?
Ulipe madeni
Kuna umakini wa kina ambao unatakiwa mtu uwe nao,kuna watu wanapoongea usipokuwa makini unaweza potezwa,Mtu kusema maraisi wote ni wateule wa Mungu mmmmmh.Huyu mtu hawezi kupigania wananchi na wala hawezi pigania mabadiliko chanya katika taifa,maana amekaa kichawachawa
Uko Sahihi mh Godfrey Dudubaya
Upinzani wa bongo nikinyesi tu.
Ww akili zako ndio zimejaa kinyesi tu
Bro upinzani sio kinyesi walitutawala since 1961 wanatakiwa watueleza until when? Mambo yatakaa sawa
Siyo kinyesi
Huna akili wewe,hopeless kabisa
Ccm imeongoza muda mrefu mbona husemi?mbowe hawezi kutoka sababu yeye ndie hahongeki na ccm,wengine wanakuita chama mapema tu,kama vyama vingine vya uponzani vilivyo dhaifu sana,ccm wanambinu chafu,wanataka mtu imara kwelikweli
Nenda south Africa uone kama Mandela ni kuongoz jins alivyowauza watu weusi
Dudu BAYA.kumbuka mbowe.ndie mhimili wa chadema.kwa msimamo.angalia ccm ilivyovuruga vyama vilivyokua vinaibuka kua mshindani wake.cuf nccr.lkn kwa mbowe ccm umeshindwa kusambaratisha cdm kwa sababu ya msimamo wake.wanachama na viongozi na wabunge wamenunuliwa wamepewa uongozi.waliokua na msimamo walitishwa walibambikiwa kesi na kufungwa walifirisiwa na TRA..mbowe ameafanyiwa hayo yote.hujui.???? Acha uchawa au hujitambui.nyelele alikaa miaka mingapi.??.huzungumzii ccm kuzuia wanachama kugombea urais anayejaribu anafukuzwa marehemu membe.kama hujui kitu kaa kimya
Lakini Lisu anatofautiana na wewe kuhusu Nyerere. Lisu anamwona Nyerere kama ndio chanzo cha matatizo hapa Tanzania. Ninakubaliana na wewe siasa za nchi hii ni kinyesi na kila anayetaka uongozi yuko tayari hata kuua. Mfumo wa kuwapata viongozi una milango ya rushwa kuanzia kwenye vyama vya siasa mpaka kwenye uchaguzi wa kitaifa. Mtu mwenye akili hawexi kuutafuta uongozi kwa gharama zaidi ya uwezo na weledi wake. Lakini hili nalo ni neno " Mbowe kile ni kiwanda chake hawezi kuondoka mpaka afe."
Siasa ya tz nimaji taka anae weza kumuelewa msigwa jinsi alivyo kuwa anaitukana ccm leo aseme ccm inamema ujue mjinga ndo atamuelewa njaa zimempeleka ccm njaa mbaya
Mwambie AGombee tutampa kura anaAkili huy ya Uongoz
Apo uongo
Uko vizuri
Huyu jamaa kwa mara ya kwanza namkubali na nitakuwa namsikiliza
Yaani ni kichwa sana
HAKIKA huyu jamaa yupo safi
Daaah nimekuelewa dudu baya,naam na huo ndio ukweli na uhalisia wa hawa vibaka wanaojiita watetezi wa wanyonge,msiba ni takataka mshamba mbabaishaji na maskini wa akili na kipato
Huyu jamaa anajiamini sana Yupo huru kuwakilisha mawazo yake tena kwa mambo magumu ambayo wengine wanaogopa napendaga sana watu huru na ajilinde asiyekuwa chawa maana kuna baadhi ya viongozi wanaweza mfuata ili awasifie kwa malipo fulani uchaguzi unakuja.
Dudu Baya Konky Master sasa umekuwa akili imekujaa unatoa Madini sasa
NINYI MNAOJIITA WANASIASA KINDAKINDAKI ACHENI KUTUKANA WATANZANIA.KUWA WANAHONGWA KWENYE CHAGUZI.
Dah...mnawajua vizur hawa wanasiasa. kwa kifup wanasiasa ni maslah yao kwanza..sisi ndo tunahangaika na kurubuniwa tu. watanzania tuzinduke
Msigwa sio mzalendo ni mtu mganga njaa na hao ndio hua wasaliti na ndio Miongon wanaohalibu nchi
Kumbe jamaa una akili sana!??lakini unamkosea mbowe ulitaka mwenyekiti awe msigwa
Hata mbowe alikaa gerezani ili atukomboe kutoka mikononi mwa wakoloni weusi siyo wakununulika
Kwa nn mboye acwapshe wenzake je yy ni mtawala wa milele km ilivyokuwa kwa kamzu banda?
Hapo kwenye madeni nimecheka 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Jamaa uchambuzi unabahatisha bahatisha, akili za kifala sana, chama akiachiwagi ivyo
😂
Wako Wapi wake wanafiki kina lema lissu na wengine Mbona mko waongo chadema maslahi yenu mbele.
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nice
Ebu tafuta radio Moja ikuajili utatonoa Sana dudu baya nenda wasafi ama crown