Mgogo anajua sana ,hilo la ndoa ambazo zilishakufa ila watu wanaishi kwa sababu ya watoto na mimi ni mmoja wapo ,pengine mwenzangu anajua kuna ndoa ila moyoni hakika kama sio watoto wangu sitaki wateseke ningeshamuacha kitambo sana
Imani ya kufunga ni imani ya kujikana. Ni kuishinda hisia ya kunusa, kuonja, kuona, kugusa na kusikia chakula kikipikwa. Na si kutotaka kuona mtu anakula na wewe huli, kisha unataka anayekula asile mbele yako. Huo huitwa uoga wa kufunga. Na hapo siyo funga ya imani inayopaswa kujaribiwa, bali ni kujilazimisha kufunga au kulazimishwa kufunga wakati moyo wako hauna imani hiyo.
Umejibu vizuri sana tunahitaji vijana waje kwa Yesu wamjue Yesu katika umri walionao yeyote aliyeona Diamond kufika kwenye mtoko wa Pasaka ni vibaya hajui maana ya injili ...Yesu hakuwafukuza bali aliwakumbatia. Tujifunze neno la Mungu tumjue Mungu kwenye neno lake tusikurupuke ukristo sio wa mtu binafsi. Yesu alikufa kwa ajili ya ulimwengu mzima plsss😊
@@woah.africa99 karibu kwenye kazi ya Mungu uje kuvuna sadaka uone kama ni rahisi. Na ukishaona watu wa alia kuwa wanaibiwa sadaka ujue katika mwaka mzima sadaka yake haizidi hata elfu kumi acheni porojo
Mimi hilo kwangu nalitaman sana aokoke...ila shida iko kwa anaenwalika na vijineno anavyosemasema maana hatumskii nasib akisema kitu ila ndg yetu shusho sasa😢
Il était ici chez nous à Bukavu précisément à mon église sayuni il nous à manqué vrema, et nous prépare comment réussir à entré dans le royaume de Dieu Jésus Christ nous l'aimons bcp
Alichosema mchungaji kuhusu Diamond Platinum ni kwamba hakuna mkamilifu miongoni mwetu, sote ni wakosa na haina haja ya kushambuliana na kuitana wa peponi na wa motoni.!!! Pia ameshauri kuwa mtu anapokaribia kumrudia Mungu asibezwe na hayo ndio mafundisho ya dini. Hata Mitume ya Mungu ilikua inatumia lugha nyepesi,laini na ya upole katika kuongoa watu kutokama na neno la Mungu. Na huenda Mitume wangetumia kebehi,kejeli na ukali katika kufikisha neno la Mungu huenda hata sisi wa zama hizi dini zisingetufikia kabisa!!! Zaidi tunapotaka kumhukumu mtu tutumie vitabu vitakatifu vya Mungu na sio kutumia maono yetu binafsi. Hongera sana Mchungaji kwa kuwa muwazi na kutushauri kubase ktk vitabu vitakatifu vya Quran (muslims), bibble (Chritians) etc na sio kufuata mihemko yetu ktk kuamua mambo ya dini!!
Kama media mnadhani mtaweza kuleta chukizo baina ya dini zetu Kwa kuuliza maswali kama hayo basi sio Kwa nchi yetu dogo umefeli hapo ishu ya kutokula nyama IJUMAA KUU Fanya interview na kamati husika ya WAKATOLIKI UTAPATA majibu mazuri zaidi
japo umechapia (ashakum si matusi)ila nilikua naitafuta coment kama yako aisee umeona kama mm jamaa swaga zimepitiliza khaa hyo simu sasa inavyowekwa juu mara imewekwa huku mara kulee ili mradi tujue na yy ana macho ma3🤣🤣🤣
Mchungaji Mgongo yuko vizuri sana.🙏
Hongera sana Mchungaji kwa majibu mazuri👏
Pastor Mgogo yuko sawa sana. Anahubiri true facts za maisha na dini. Nimefundishika sana na Pastor Mgogo.
Hakika huyu nimutumishi wa Mungu amekuja kutuhudumia Butembo DRC tume barikiwa sana Daniel Mungu akulinde
Kumbe nawe ushaona ?
Daniel namukubali. Na Mimi
Alikuwa bitembo sikugani?
Thank you so much pastor its very true what pastor is talking about May GOD guide you all the time and be blessed 🙏🏽🙏🏽🙏🏽❤️❤️
Asnte pastor Mungu akubariki kwa maneno mazur ya kujenga kwa kila mtu🙏🏼🙏🏼
Mchungaji mgogo ni genius 🔥 umejibu vyema sana
Kabisa 🤝🏼
Baba mchungaji barikiwa sana kwa majibu mazuri❤
I love this studio thank u for beautiful programs keep up we re following u guys.
Safi sana. Naseeb. Mungu akubariki
NAPENDA EAST AFRICA RADIO , KENYA 🇰🇪 Nairobi.
Asante sana kwa maelezo ya sadaka. Makanisa mengi hayatoi maelezo kuhusu sadaka. Ubarikiwe sana
Mgogo anajua sana ,hilo la ndoa ambazo zilishakufa ila watu wanaishi kwa sababu ya watoto na mimi ni mmoja wapo ,pengine mwenzangu anajua kuna ndoa ila moyoni hakika kama sio watoto wangu sitaki wateseke ningeshamuacha kitambo sana
Ongera sana Mtumishi wa Bwana,kwamajibu mazuri Mungu akulinde
Huyu mchungaji yupo vzr🎉🎉🎉🎉 mwenyezi mungu Akulinde wewe na Familia nzima usiku na mchana.🙌🙌🙏
Mchungaji amejibu vyema sana, ana jitambua sana..
Ni kwel kabsa huyu pastar hakika mungu ambaliki sana Yuko vizur sana
All done pastor mgogo This is very really God bless you pastor❤
Imani ya kufunga ni imani ya kujikana. Ni kuishinda hisia ya kunusa, kuonja, kuona, kugusa na kusikia chakula kikipikwa. Na si kutotaka kuona mtu anakula na wewe huli, kisha unataka anayekula asile mbele yako. Huo huitwa uoga wa kufunga. Na hapo siyo funga ya imani inayopaswa kujaribiwa, bali ni kujilazimisha kufunga au kulazimishwa kufunga wakati moyo wako hauna imani hiyo.
Nakubar
L
Iyo ni funga ya kikristo ,
Mtumishi wa Mungu. Huwaga nabarikiwa sana.nauwepo wako upo makini sana naimani ya kwel
Nyama hazina shinda ni kula tu🎉🎉🎉🎉
Mm nimekuja hapa kwasbb ya simba tu maisha marefu kwake 🤝
Mchungaji yuko vizuri sana Kila swali ana majibu
❤ Umeongea point pastor unajibu kwa hekima tujihadhari waimbaji wa mziki wa gospel Pesa isitutoe kwenye uwepo wa Mungu
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu ❤❤
Ameeen 🙏🙏🙏barikiwa MGOGO,usiusemee moyo🙏🙏
Hapo kwa mfungo umenena vizuri sana ❤❤
Mchungaj mungu akabarki Sana Kwa ufafanuz mzur ubarkiwe Sana tunakupenda Sana sis vjana
Amen Mtumishi wa Bwana
Be blessed pastor
Ata kuwa na hekima ya maneno ni bonge la ZAWADI kutoka Kwa mungu ubarikiwe mtumishi 🙏
Umejibu vizuri sana tunahitaji vijana waje kwa Yesu wamjue Yesu katika umri walionao yeyote aliyeona Diamond kufika kwenye mtoko wa Pasaka ni vibaya hajui maana ya injili ...Yesu hakuwafukuza bali aliwakumbatia. Tujifunze neno la Mungu tumjue Mungu kwenye neno lake tusikurupuke ukristo sio wa mtu binafsi. Yesu alikufa kwa ajili ya ulimwengu mzima plsss😊
Duh msimzingizie yesu kila mtu na dhambi zake na pastor anataka sadaka ndio mana kila mtu pastor unataka pesa
@@woah.africa99 karibu kwenye kazi ya Mungu uje kuvuna sadaka uone kama ni rahisi. Na ukishaona watu wa alia kuwa wanaibiwa sadaka ujue katika mwaka mzima sadaka yake haizidi hata elfu kumi acheni porojo
Mimi hilo kwangu nalitaman sana aokoke...ila shida iko kwa anaenwalika na vijineno anavyosemasema maana hatumskii nasib akisema kitu ila ndg yetu shusho sasa😢
Mgogo yuko vizuri MUNGU hahitaji pesa anakuhitaji wewe ujitoe kwake kama sadaka.
Ubarikiwe san Mchungaji hekima ni kitu Bora san majibu mazuri🔥🔥🙏
Yesu akubariki sana mtumishi wa Mungu
ALICHOFANYA MAANA YAKE KILA GOTI LITAPIGWA NA KILA ULIMI UTAKIRI KUWA YESU NI BWANA
Amen
Mtumishi umeongea vizur sana ubarikiwe sana❤
Thanks pastor 🙏🏽🙏🏽🙏🏽😇❤️❤️
Woow thanks pastor
Ubarikiwe sana daniel mgogo kwamajibu yako mazuli
Kindly do research African was not created on religion but on spirituality
❤❤❤Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu 5/5 umejibu vizuri sana
Kwanza mwili wa yesu hauna nyama za ng'ombe,Yesu alikuja Duniani kama binadamu na si Kama Ng'ombe
Uuuuh nzuri sana pongezi
Hiii imeendaa 🍎🍎♥️ mbarikiwe sanaaaaa ♥️♥️♥️♥️♥️
Mm nawasikilisa tu na mm nikisoma text yenu😂😂😂 mugogo umeongea ukweli tulianza hotelini
Nyama haina uhusiano na Yesu 😂😂 Daniel nakupenda bure from kenya❤
😂😂😂😂 huyu mchungaji kiboko eti tunafungisha ndoa kumbe wenzio washamaliza kila kitu wachungaji tunakuwa kama tunapasha kipolo 😂😂 kuna ukweli lakini
Namtabilia msafi kwenda wasafi🤗
akili zako2
Usiaze uchaw hapa naww
Mungu akubariki sana
Umejibu vizuri sana mtumishi
Umenena vyema sana pastor mgogo
Asante sana mchungaji
Hongera sana mchungaji kwa majibu mazuri ubarikiwe sana upo sawa kabisa
Asante saaana mwalimu
Il était ici chez nous à Bukavu précisément à mon église sayuni il nous à manqué vrema, et nous prépare comment réussir à entré dans le royaume de Dieu Jésus Christ nous l'aimons bcp
Vraiment la parole de Dieu est nouvelle chaque jour. Felicitation d'avoir ce serviteur de Dieu
Safii kabisa majibu mazuri Mutumishi
Barikiwa sana mchungaji kwa majibu.
Huo ndiyo ukweli,adui atumia njia hiyo kuharibu kusudi la Mungu.Amen
Pastor 🎉🎉🎉❤
Nipo Congo 🇨🇩🔥☝️ gonga likes
Mambo ashura
Hujaulizwa acha kiherehere 😊
@@highthemetv7857 tayari bwana we vipi 😂😂
Nakukubali sana mchungaji mgogo mungu aendelee kukutunza
Mungu/ MUNGU
Kabisa Diamond amekaribia 😊
Perfect pastor
Mungu aku inue mchungaji mgogo
SANAAA. ANAKARIBIA KARIBU BA BWANA. MUNGU AMZIDISHIE IMANI NA UPENDO.
Safi sana mchungaji kwakweli mi nakukubali sana unaongeaga ukweli mtupu, Mungu azidi kukulinda na kukutumia apendavyo yeye.
Ijumaa nzuri
Pas uko vizuri sana kwa majibu mazuri
Namupenda muchunga anatu elimisha,kiimani barikiwa
Diamond yupo vizuri anahitaji kuombewa ili aokoke pia hongerasana Christina shushu hongera sana Rozimuhando.
Na aje tu mazima maana hajawahi kua ktk mila za Ibrahim na Is-haka wala Ismail..hakuwahi kua muislamu
Hta Yesu alisema fata maneno yangu na sio matendo yangu ,Simba hapo Hana baya Ani
@@JacksonMsumiAmna akuna andiko ilo
Safi sana mchungaji mgogo
👍👍
Mchungaji Daniel Mgogo nimekuelewa Mungu amekupa hekima kubwa sana umejibu vema sana
Kweli kabisa wajina hiyo umesema kweli naunga mkono💪💪💪
Waas nyama sitawaiimis judii from Kenya
Mchungaji ubarikiwe sana😂😂❤
Good
Amina
Alichosema mchungaji kuhusu Diamond Platinum ni kwamba hakuna mkamilifu miongoni mwetu, sote ni wakosa na haina haja ya kushambuliana na kuitana wa peponi na wa motoni.!!!
Pia ameshauri kuwa mtu anapokaribia kumrudia Mungu asibezwe na hayo ndio mafundisho ya dini.
Hata Mitume ya Mungu ilikua inatumia lugha nyepesi,laini na ya upole katika kuongoa watu kutokama na neno la Mungu.
Na huenda Mitume wangetumia kebehi,kejeli na ukali katika kufikisha neno la Mungu huenda hata sisi wa zama hizi dini zisingetufikia kabisa!!!
Zaidi tunapotaka kumhukumu mtu tutumie vitabu vitakatifu vya Mungu na sio kutumia maono yetu binafsi.
Hongera sana Mchungaji kwa kuwa muwazi na kutushauri kubase ktk vitabu vitakatifu vya Quran (muslims), bibble (Chritians) etc na sio kufuata mihemko yetu ktk kuamua mambo ya dini!!
Kama media mnadhani mtaweza kuleta chukizo baina ya dini zetu Kwa kuuliza maswali kama hayo basi sio Kwa nchi yetu dogo umefeli hapo ishu ya kutokula nyama IJUMAA KUU Fanya interview na kamati husika ya WAKATOLIKI UTAPATA majibu mazuri zaidi
Kwani kakosea wapi?Na Dini hapo imetokea wap ndugu? KWANI PASAKA NI KWAAJILI YA KAMATI YA WAKATOLIKI?
❤❤Safi sana
Pastor Mgogo ni mwamba sana has wauza mafuta wangekua kama huyu asee kwel ingependeza mno
Kwann
Pastor mgogo umejibu vyema Sana
Umejibu vizur sanamtu mishii
Nyama hazina uhusiano na yesu,nyama zinaliwa tu hahahahaha
Nimependa ana ubaguzi wakidini apo moyo wangu kautengeneza
Kweli
Waaaoooooh be Blessed 🙌 MTUMISHI Mgogo mstari wangu naupenda sana 🙏 😢 ZABURI133:1 Tazama jinsi ilivyo vyema nakupendeza NDUGU wakae PAMOJA kwa UMOJA.
Kulalana kabla ya ndoa ni kwamba baada ya ndoa utafanya kitu kama unapasha cabbages 😂🔥🔥🔥🙌
Hata mimi kwa kweli nyama sikuacha nilikula na kama ni kwa ajili ya Yesu imakaa sawa nimemla Yesu niko sawa
Tunao soma comment tujuane
Ok ❤
Ubarikiwe mushungaji tafusiri yako Mungu akubariki sana
Kweli nimependa majibu yote
Hapo kwenye watoto ndoa nyingi ndo zinashikilia mchungaji anamajibu ya point
Yes hata mm n hvo tu
Que mon Dieu Jésus Christ Luis protège
❤
😊
Uchi kijamaa kunazidisha swaga adi kinaboa sasa kwani kuongea kawaida uwezi
japo umechapia (ashakum si matusi)ila nilikua naitafuta coment kama yako aisee umeona kama mm jamaa swaga zimepitiliza khaa hyo simu sasa inavyowekwa juu mara imewekwa huku mara kulee ili mradi tujue na yy ana macho ma3🤣🤣🤣
Vzur sn
Mchangani hapo kwenye nyama. Nenda ukachimbe vizuri mambo ya Imani angalia chanzo cha Kila kitu
Nyama zinaliwa tu wewe
Ni mapokeo ndugu nothing else