MZEE MTITU: AFUNGUKA USIYOYAJUA SAKATA LA MAGOMA | WANACHAMA WASIMUONE KICHAA KUWASHITAKI.
Вставка
- Опубліковано 14 жов 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Nilikua nakusubili Kwa ham mzee wewe ndomwelewa kuliko ote unaogea kiumakini mno mungu akuongeze maisha malefu ili niendelehe kukusikiliza vitu vingi unavijua
Kweli kina vilaza na waelevu.kakushinda mzeee we kijana point huna.. mzee magoma yupo sahihi
JUMA MAGOMA HOYEEEEEEEEE!
Vyiura cf mnateseka mkiwa wapi hahahaha hii ndoo ubaya ubwela😂😂😂😂
Wenye akili yanga wawili lakin kwa sasa watatu na magoma ndan
Kwa hiyo wanaofoji Saini za watu na kufungua kesi ndo wana akili?
Engeneer madawa huuzi tena. Biashsra imeshaanza kuharibika umewazurumu wenzio. Unakula peke yako. Wajanja wameshtuka. Safari haxiishi kimbe anauza madawa. Anzeni kumchunguza vzr. Hana uengeneer wwte anauza madawa
Katoe taarifa polisi,,,, hapa sio mahali pake....! Utajichumia kesi ndugu.
😂😂😂😂 msiye jua maana ya kolo ni mjomba na makolo ni wajomb kwaiy youote any ita kolo jua unait mjomb😂😂
Yanga vichwa vigumu Sana kuelewa achana nao
Acha habari zenu
Magoma achukuliwe hatua zakishelia kwakuidhalilisha yanga African
Magom yuko sahihi mimi ni yanga naona wazi kuna upigaj mkubwa sana unaoendelea yanga.kuna wazee wanapozwa pesa na kuna kundi la vijana wanapozwa ili wamdhihaki mzee magoma kunyamaza.kiukweli kagoma yuko sahihi sana
Ww ni taahira kama alivyo kagoma
Ww ni taahira kama alivyo magoma
Hivi kwann Yanga wanaongea Pumba sana aisee yaan Kijana kazidiwa na mzee ambaye hata kutumia vizur google hajui
Yanga kweli vilaza
Magoma katumwa na Mangungu na Try again full stop ✋️
Huyu mzee niwalewale😂😂😂😂😂😂
Kivip yan au kipi hujaelewa😂😂halaf kumbuka huyo ni mzee,hajui kutumia google lkn yupo straight 😂😂angalia hilo la pemben linalokuna pua tu,yan lipo tayar kwa mabishano tu huyu ndo walewale sasa kwel uto😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
😀😀😀😀😀magoma ashakua super star
Kabisaaaaaaaaaaaaaa! ulijuaje?
Wala mihogo jazz band
Magomaaaaaa😅
Conflict of interest
Uyo mzee ni simba
Huyo jamaa wa pemben amekaa kinafiki nafiki kwel yan
Simba jifarijini mapema kabla kivumbi akijaanza uo ndio us Hindi wenu ligi ikianza auna chenu tabu iko palepale
Controversy??????
Waandishi wakat mwingn watu kam nasoro pila msiwe mnawahoj maan wanapend kuongelea mapenz ya uyanga hawan hoj za msingi mabwabwa hawa
Hivi vizee vyahivi ni vya hovyo
SIKILIZA HOJA
Kumbe nyinyi ndio munao mtuma uyo bwege mwenzio uyo, baasi mutayaoga
Utopolo,mmemuelewa,mzee,
Makolo mikundu inawasha jambo haliwahusu
Mgongano wa maslahi ni Conflict of interest sio controversy. Ubaya Ubwela
Aliesema Yanga woote hawana akili pepo ataiona.wale wawili mpokeeni na huyo mmoja Mzee magoma.nyinyi vyura aka gongowazi hebu toeni mwiko huko nyuma labda akili itawarudi mnaibiwa acheni kuendelea kullewa supu na ipo siku mtamkumbuka Mzee magoma
Utopolo mbona coment siizioni leo mzee mtitu anawaelewesha mana huku mtaani jitu hayajui ki2 yanatubania pua tu
Huyu ni Yanga
Huyu ni Simba,wametumwa
We mzee waambiye hao vijana wanunulie hiyo kahawa maana nakuona unajichanganya yaani unataka kusema mama Karume atiye saini ajishitaki mwenyewe ? Hapo wewe umesema bodi iliyopita na mama Karume alikuwepo sasa vipi leo atiye saini kwa kujishitaki ? Mimi hapo sijaelewa
Simba wanawatu bana
Bundi limehamia jangwani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hapo ndo mtajua nini maana wa neno ,UBAYA UBWELA 😅😅😅
Huyo shabiki wa Yanga Hana uelewa, hajui lolote linalohusu sheria
HAWA WAZEE WA YANAGA NINAWAELEWA VIZURI WAKO MAKINI MNO.
Kuhusu mwanasheria kweli Yanga hatuna kabisa.
Kwenda huko,we kaongee ya simba
Vyura mwaka huu wanacho utopolo bwana
Huyo jamaa wa utopolo kalewa chibuku
Tatizo hata mkisema wanachama waende wote wakajadili hayo marekebisho Dar wanachama wataweza kufika wote acheni fikira za kizee nyie kinawauma nini
Auna lolote mzee Mtitu nyinyi watu wa simba mpo nyuma ya huyo mzee kagoma
Wachezaji Sasa hivi wanalipwa kiasi gani
Uyo hajui kitu utopolo
Wanafiki Hawa wanaingikiaje mambo ya Yanga?Watatuvuruga,watatuchanganya?Tuwe makini
Masuala ya yanga unamhoji mtu wa simba kulikoni
Huna akili hiyo ni press wanachama wa nini
Huyu bwege alisema heri baba afe abaki mo
Ubera ubwera
Hakuna mwanasimba ambaye anaweza kumuongelea vibaya magoma over ila dozi ipo palepale
Mie ni yanga ila magoma yuko sahihi .tuache ushabiki maandaz .tuangalie maslah ya yanga yetu.sio wamekaa wapigaj
Sasa mzee mtitu turudi nyuma mama Samia ni raisi wa jamuur wa muungano wa Tanzania ukirudi yeye ndie mwenyekiti wa ccm jee mzeemtitu unajuwa iyo unaic aiwezekani
Mwandishi mjinga na yeye ni kolo
Kolo yeyote yule katika hili nilazima atampigia chapuo tu mzee magoma kitakita
Mnajionyesha wazi kuwa hamjielewi aisee yaan Mangoma kawazidi akili nyie mnafurah wakat Yanga inapotezwa kwa kudanganywa na matokeo ya uwanjan Timu inatakiwa kuingiza hela zaidi sio kuacha sifa za kufika robo fainali au kujaza vikombe wewe dogo
Mzee huna akili wewe umekujaa ushabiki
Mashabiki WA SIMBA siyo waelewa na ndiyo maana timu Yao aifanikiwi kamwe ni kama mashabiki wanao mshabikia harmonaizi vile awajitambui ikitokea harmonaizi ayupo woote watarudi Kwa Ally kiba ndiyo maana diamond kafanya mchezo mchafu kumtoa harmonaizi kundini kijanja ili ampoteze Ally kiba na kafanikiwa ila hao mashabiki ni madunduka awajielewi ndiyo mashabiki WA simba
Haifanikiwi wakati iko ndani ya vilabu 10 bora Afrika. Wewe kweli chizi😂😂😂
wee choko kweli aya nyinyi utopolo mnae jierewa mna mafanikio gani 😢😢
Hawa watu wayanga hawajui wanachokiongea maskini
Mgongano wa kimaslahi = conflict of interest.
Kolo akili hawana, Magoma hatambuliki kwa sasa kwa katiba iliyopo, na kakiri mwenyewe hajawahi kulipia 😅
Kama magoma, atambuliki, na wale wanne Nao awatambuliki?! Utopolo, msilete mihemko. Kikubwa kukaa na wale wazee, kwani walicho kisema ni kweli au katiba aijachezewa?! Tunapenda maendereo ya mpira na hata Hawa wazee wakiachiwa Timu awawezi, ila wanahaki tusilete ujanja janja, na tusilete mihemko ya Simba na Yanga. Kaeni Nao zungumzeni Nao vinginevyo mtatafutana saana.
@@AzizMangara Sio mimi ni yeye mwenyewe kasema hajawahi kulipia kadi miaka minne sasa, je ukiwa na akili timamu atakuwa mwanachama kweli au shabiki?
Mawazo yako mgando unadhani kesi kapeleka Juma peke yake. Wako wengi wewe mshamba😂😂😂
V