Ni usiku wa manane ambapo nipo nasikiliza wimbo huu. Hakika naziona baraka za Bwana moyoni mwangu. Mungu tunayemuamini ni Mkuu sana, tumwitapo anatuitika kwa namna anazozijua yeye. Nautumia usiku huu kumwita Mungu wangu
Mimi naitwa Desire ndayisenga kutoka Burundi Choir chang'ombe ninaipenda sana kwa Maneno wanao imba pande zote kutokana na uokovu na kuomba badaa ya kuokoka
Kumbuka kuwa kujitakasa nia kuacha maovu yote na kumrudia MUNGU katika kweli yote, wanawake wamekuwa sehemu kubwa ya kutangaza injili ya shetani na wala si kumtangaza MUNGU ALIYE HAI ona nywele zao.
Ni kati ya nyimbo bora kbs 1.usiku wa manane 2.ushuhuda.Lakini maombi yangu kwenu ni haya; angalieni sana maana shetani huliyumbisha kanisa kupitia wanakwaya.
2024 anyone🙏
Ni usiku wa manane ambapo nipo nasikiliza wimbo huu. Hakika naziona baraka za Bwana moyoni mwangu. Mungu tunayemuamini ni Mkuu sana, tumwitapo anatuitika kwa namna anazozijua yeye. Nautumia usiku huu kumwita Mungu wangu
freddy kippa Amen
Am still watching this song
In 2019,nyimbo bora kuwahi tokea,
1n
imk0llà0))⅞)))888)ⁿ08])m1%?))])/
.
8,4 rcf@ i4
Mimi naitwa Desire ndayisenga kutoka Burundi Choir chang'ombe ninaipenda sana kwa Maneno wanao imba pande zote kutokana na uokovu na kuomba badaa ya kuokoka
Mungu akubariki endelea kuwasikiliza
Who's still here 2019
Sitoacha kuusikiliza
2015-2019
I love this song coz it explains the reality of life without Jesus and afterward with jesus coz jesus changes your life completely once u accept him
safu sana
2020 bado napata tumaini jipya ktk janga hili la corona we Mungu tuzaidie hatutaweza sisi wenyewe.
Am watching 2020... Good message
I always feel Encouraged wen i here this song b4 praying at 3Am
Napata faraja sana ninaposkiliza huu wimbo Mungu wa mbinguni azid kuwatumia mzidi kubarikiwa wapendwa ...nawapenda
Usiku Wa Manane hunipa Muda na Muumba wangu! Dunia hutulia nami huzungumza na Mungu Baba Asikiae kuomba kwangu. Amina
tumrudie mungu na maombi bila kuchka usku wa mnane ndio vta kubwa uinuka juu yetu
Huwa najisikia ( wonderfully power kila niusikilizapo wimbo huu ) God bless Tanzania God bless Gusa Choir
Be with me on this song, this is the best choir ever, Amina
Who is here in 2020??
Ujumbe uko vizuri,wimbo huu unatufundisha Kuwa watu Wa maombi bila kuchoka!
Be blessed changombe aic choir.Mungu awajaze nguvu kutangaza injili
2020 - this song is really a blessing
wimbo huu naupenda saaana mpaka nikikaa na kuusikiliza namwaga chozi kwa kweli hongereni kwa huduma nzuri
sante sana nabarikiwa na uimbaji
wimboo huu unafariji sana
Mungu awabariki waimbaji
2023 still enjoying the beautiful song of Christ…..Jesus is good🙏🙏🙏
Huu wimbo nikiusikiliza huwa napata Tumain jipya ,hakika usiku wa manane ni muda wa kuzngumza Na MUNGU Na kujitakasa mbele zake.
wimbo mzur sana barkiwa waimbaji
I love you wen 20000 for you ok and I love you
Kumbuka kuwa kujitakasa nia kuacha maovu yote na kumrudia MUNGU katika kweli yote, wanawake wamekuwa sehemu kubwa ya kutangaza injili ya shetani na wala si kumtangaza MUNGU ALIYE HAI ona nywele zao.
Nimebarikiwa
Nimejifunza mengi kupitia wimbo huu
AIC Chang'ombe kwaya kwakweli wananibariki sana sana,Mungu azidi kuwaweka katika huduma hiyo aliyowaiitia.
Ameeen!!!
sina la kuongeza kuhusu juu wimbo. mbarikiwe sana kwa kazi nzuri.
Napatwa nafuraha Sana ninapo usikiliza wimbo huu unanipa nguvu yaimani yangu kuonge zeka hakika nakupenda Sana mbali sana
Napenda kuusikiliza Sana wimbo huu hakika naupenda
Wimbo mzuri wa nyakati zote
Sichoki kuwasikiliza kamwe,nawapenda sana chang'ombe
I really love this song ...usiku wa manane ukimtafuta Mungu kweli kabisa unaiona mbingu iko wazi afu Mungu Yuko karibu na ww.good job changombe
God bless this quoir coz its true of what they say AMEN
nimempenda sana huyu.sorolist, kaimba vizuri sana
Upendo Robert Ameeen!
Njo wenye napenda Sana hi nyimbo iko bhya.
mbarikiwe kwa kutupa neno la mungu kupia njia ya uimbaji
Usiku wa manane ni muda mzuri wa kuongea na Mungu
Sichoki kuwasikiza kamwe, wimbo wanipa nguvu na imani zaidi. Mbarikiwe sana.
Innocent Kenyan usiku 😭 wa manane kweli anjabu,wanipa amani na nguvu barikiweni Sana 👏 faith
Amina nafarijika Sana
Huu wimbo kwangu ni deni unapoimbwa unanikumbusha umuhimu wa maombi katika kanisa lote.
hakika niusku wa manane
Kweli wimbo huu unàpaswa kukilizi nawanatenda maovu usiku wa manane
2020 anyone
Wimbo naupenda sana, nausikiliza pindi nikiwa na huzuni
😭😭 unagusa sana nafsi
Wimbledon mzuri 😀😀😀👍👍👍sana
Wimbo mtam Sana huu huwa nausikiliza sanaaa una ladha Ya pekee hauchoshi... Bless you
Tunawapenda sana
I really like this song. Deep night .....
Huyu dada aliyeimba watatu anaimbaga vyema sana, nampendaga mno anajua
Naupenda wimbo huu sana
Wimbo mzur unanifanya niwe jisiri
M bad skiliz 2020
Naupenda mno
Nawapenda sana waimbaji Hawa kwakweli mnaimba mnoooo mubarikiwe mpaka mshangae
Mbarikiwe wapendwa bonge la song usiku wa manane mungu azidi kuwatumia ktk kumuabudu nakumtukuza yeyetu Amen
Husikiza wimbo huu kila siku ❤❤❤💓💓🙏🙏🙏
God bless one love from Australia 2022 🙏
Naipenda sana
This message is very good and all the message is true God bless this choir Amen
wimbo mzli sanaaa balikiwa mungu awape nguvu tena yakumutumikia
Nawapenda sanaa
good song kweli kitu chchote kiovu hufanyika uck wa manane
Evance Simbaya mwakiwako
guuud
Am still listening, 2020
Mungu utusaidie
Huu wimbo jamani ni zaidi ya nyimbo bora
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu kwa kazi zenu nzuri....endeleeni kuifanya kazi ya Bwana pasipo kuchoka maana taji yenu imeandaliwa mbinguni....
Ameeeen nawapenda
Huu wimbo unanifanyaga niutafakali sana ukuu wa MUNGU katika maisha yangu.
ajela kwaya
Nabarikiwa sana na wimbo
Huu Mungu awabariki
Sana
Watu wote
Nikisikiz hii nyimbo nakumbuka mbali Sana ata Kaka yangu Alex alikufa mida hiy mungu mpumzishe Safari yake iwe njema uko 😭😭😭😭
Am so blessed . wimbo huu unamafunzo mengi
ni kweli kabisa usiku wa manane wa maovu mengi.
My dear, my classmate i alwyz use my tym to listen this song,and ï never tired
Kweli kabisa mda wa usiku Ni mda mzuri kumtafuta Baba Mungu
daaa wimbo huu jaman unanibariki sana.MUNGU AWABARIKI
My all time song unanikumbusha mbali sana asubuhi eatv kila siku
Usiku wa manane ndio ulipo muita mama angu MUNGU wangu 😭😭😭🙏
l love this song todate 2022
2020 😭😭❤
mbarikiwe na JEHOVA
Usiku wa manane ndio wakati mzuri wa kuzungumza na Mungu
Kwa Mara Ya Kwanza Nausikiliza Na Nabarikiwa....USIKU WA MANANE
Ni kati ya nyimbo bora kbs 1.usiku wa manane 2.ushuhuda.Lakini maombi yangu kwenu ni haya; angalieni sana maana shetani huliyumbisha kanisa kupitia wanakwaya.
enox mabula
enox mabula nzur
good song M ungu nimwem san nabarkiwa saaan naposkia wimbo huu
Wimbo mtamu sana wenye mawaidha mbali na kumwabudu Maulana.Hongereni watunzi.
amen watumishi wa mungu nawapenda sana 2019
This song is such a blessing to me
Mungu awabariki. Mungu uwe kimbilio na njia hata tupitapo usiku wa manane. Nimebarakiwa tele na wimbo
Usiku wamananeee ndo mda wakutisha
Nabarikiwa sana n'a mwimbo hui mungu wetu awabariki
Am still watch this song 2020
October 2019 toka Burundi. Inanibariki sana
I love this song because of the message
Mbarikiwe Sana watumishi was Mungu kutupatia neno kwanjia ya uimbaji.Bwana awe nanyi wakati wote🙏
Nabarikiwa tu sana na hiyo chior
Amen nikweli tukijukuwa huu mda kuomba Yesu atushindie na mabaya hau we need to pray midnight to Lord to answer our questions
amina mbariķiwe
Until 2020 still watching this
huwa nafeel blessed nikisikiliza him song
Mungu awabariki na awainue sana wana kwaya wa kinondoni hakika mnanitia nguvu kila kuchao
2020🇰🇪🙏
Chang'ombe mungu awainue na kuwafungulia malango ya mbingu
Powerful
This song is indeed a blessing to me
It's 2021 November and I'm still watching this beautiful song... I wonder those who dislike the song...
Mungu awabariki
Usiku wa manane it's best song for me ever
Peter Mazengo
Usiku tatizo sana
ns sanaaa nyimbo nzuri
It is awesome to watch to greatest videos .
Wimbo mzuri sana unafundisha
I love this song
napenda vimbo huu sana mungu awabariki changombe