Huu wimbo unanihusuu kama vile nliwasimulia hostiria ya maisha yangu, kisha wao kutoa wimbo, asanten sana nimepata nguvu ya kuzid kuomba zaid jicho la tatu.
Nafarijika mno mno nisikiapo hizi sauti Mungu azidi kuwatumia katika huduma ya kulitangaza Neno lake kwa njia ya Nyimbo Barikiwa mno mno watumishi wa Mungu
Mbarikiwe sana, leo hii ndo nimewaona kwa mara ya kwanza via Upendo TV. MUNGU azidi kuwabariki na kuwainua. Mnaimba ujumbe mzuri, mko smart na mnaimba mkifurahia. Viwango viongezeke zaidi, na mzidi kutofautishwa. YESU awe Kiongozi wenu na kuishi maisha ya Utakatifu ili mzidi kumuimbia MUNGU mpaka mwisho.
Nimewasikia leo clouds radio..Nimewapensa sana.. Siku hizi Kwaya zetu zinakua kimtazamo hasa kwa nyakati hizi tunahitaji kumkaribia Yesu namna hii.. Abarikiwe mtunzi wa wimbo.. Mbarikiwe waimbaji . Yesu asifiwe.
Jaman huu wimbo naupenda mnoo na Kila nikiusikiliza hata kama nilikuwa na msongo wa mawazo nakua na aman kupitia maneno yaliyonenwa humu ndan alikiwe sana mwandishi 🙏🙏
Bwana Awabariki sana watukishi.... Mimi sio mzur sana kwa nyimbo za kwaya ila nilipowaona WASAFI TV nilipenda na hakika bwana amewapa karama ya kumtukuza... And for sure I will buy your album if any......
Huu ni wimbo wa Familia yangu kila mmoja anaupenda na kuimba even my 3yrs son Mungu awabariki, ambariki mtunzi na aliyepata haya mafunuo.kwa siku 2mfululizo nausikiliza na umebaki moyoni mwangu.More Annointing to you Mkombozi Choir.
Jicho la tatu. Nimetafakari sana ujumbe wa huu wimbo kwakweli aliyetunga Roho wa Mungu alimuongoza. Unapoomba jicho la tatu pia unatakiwa kuwa jasiri kwasababu sio vyote twaweza kuhimili pale tunavyooneshwa. kuna sehemu Mungu anatuvusha kwa namna ambayo kama tungeona huenda tungevunjika moyo ila Mungu alitubeba na kutuvusha. Asante Mungu
Yani mnashawishi kwakweli nachelewa kulala nakuwa bsy na huu wimbo naupenda saana niamkapo nikisikiliza huu wimbo nabarikiwa siku mzima kiukweli mnashawishi watu tuingiie kwaya jmn msasani nawapenda saaana mungu awainue zaid kwa viwango vingine jamn hakika mmeimba na mungu awabariki saaana💪🙏🙏🙏
Kama bado unaskiliza wimbo huu mpka 2024 gonga like apa❤
2023 tunaousikiliza huu ujumbee gonga like hapa twende kaziii
2024❤❤❤
Naangalia hii nyimbo may 2024,sifa na utukufu ni kwa Mungu wetu 🙏
Inabidi niushike huu wimbo wote, nisala nzito sana nilikuwa sijausikiliza vizuri❤ alie andika huu wimbo Mungu azidi kumuinua, Juu.🙌
Jicho la tatu
Raise up your hand if your in love with this song like me💯❤
Good song be blessed more ❤❤
Gonga like 2021 tunaozidi kusikiliza huu wimbo
Huyu dada wa solo naomba namba zake
Huu wimbo unanihusuu kama vile nliwasimulia hostiria ya maisha yangu, kisha wao kutoa wimbo, asanten sana nimepata nguvu ya kuzid kuomba zaid jicho la tatu.
Naangalia jinsi ya kuileta hii Kwaya Songea mwezi Septemba 2024 nina jambo langu.
Nafarijika mno mno nisikiapo hizi sauti Mungu azidi kuwatumia katika huduma ya kulitangaza Neno lake kwa njia ya Nyimbo Barikiwa mno mno watumishi wa Mungu
2023 still watching
🎉 naupenda sana huu wimbo❤ na pia nabarikiwa sana ninapousikiliza MUNGU awabariki wote
Huu wimbo nakupenda Sana naomba kila wakat ad watoto nao wameushika nawakuta wanaimba huku wanacheza God bless them all
Eeeh uyu dada anaeimba mungu naomba jicho la tatu ananikoshaaaaa
mungu awabariki sana tena sana kwa huu ujumbe
Jaman natamani huu wimbo uwe na mamilioni ya watu katika views coz huu wimbo ni mzuri mno na unabariki hasa cc vijana tumesha potea sana😎😗😗😗
Nimebarikiwa sana na wimbo huu kweli mungu anipe jicho la tatu
Nawapenda mnoooo yan sanaaaaaaa
Mumenibalik cn mung awap wepes wa Kaz yn 🙏🙏🙏
❤❤❤❤❤❤❤❤ jicho la tatu mungu atufanyie vitu katk jicho la tatu ambalo hatulion
Hongereni sana kwa wimbo mzuri sana Mungu azidi kuwabariki mkaendelee kuitenda kazi yake ya kuhubiri kwa njia ya nyimbo kwa nguvu na akili zenu zote.
Mungu awabariki sana Kwa ujumbe mwema Kwa njia ya uimbaji
Gonga like kama bado unaangalia mpaka 2022
Hiiii nyimbo ninzuri mno napenda nikiwa nausikiliza mda wote mbalikiwe
Mbarikiwe watumishi wa bwana wimbo mzuriii mnoooo😊 nabarikiwa sana kupitiwa huu wimbo.
Mwenyezi mungu nipe jicho la tatu
Mungu awabariki sana kwa sala hii ina ukweli ndani yake
Yaan kila mtu ndani kwangu anaimba wimbo huu...Mungu awabariki sana❤
Ninafarijika sana nikisikiliza huu wimbo Mungu azidi kuwabariki nyote
Nimebarikiwa na ii nyimbo sana...Mwenyezi Mungu awabariki sana
Mnanibariki Sanaa Mungu awabariki Sanaa jmn!!!
Mbarikiwe sana, leo hii ndo nimewaona kwa mara ya kwanza via Upendo TV. MUNGU azidi kuwabariki na kuwainua. Mnaimba ujumbe mzuri, mko smart na mnaimba mkifurahia. Viwango viongezeke zaidi, na mzidi kutofautishwa. YESU awe Kiongozi wenu na kuishi maisha ya Utakatifu ili mzidi kumuimbia MUNGU mpaka mwisho.
Nimewasikia leo clouds radio..Nimewapensa sana..
Siku hizi Kwaya zetu zinakua kimtazamo hasa kwa nyakati hizi tunahitaji kumkaribia Yesu namna hii..
Abarikiwe mtunzi wa wimbo..
Mbarikiwe waimbaji .
Yesu asifiwe.
Huu wimbo naupenda kuusikiliza wakati wote.
Bwana Yesu asifiwe.
Mko vizuri, utunzi,kumtukuvmza Mungu, classic
Nimeupenda sana huu wimbo kweli Mungu atupe jicho la tatu Mungu awabariki sana kwaya ya ukombozi k kkt msasani
Jamani nipewe namm jicho la tatuu
Aminaaaaa kubwa na mungu awabariki
Munguuu kweli atusaidie tuone yaliyo mbele yetu jaman nmebarikiwa saaaana Mungu awainue
Kwa mara ya kwanza huu wimbo nilipousikia upendo tv ukanibariki sana,🙏🏼 powerful song
Bwana Yesu awatunze nmefurahi sana kuwasikia leo KKKT Kinondoni, Upendo endelea kusugua taji lako.👏👏
Wimbo huu hunipa utuliv ndani ya moyo wangu🙏🙏
Wimbo umenivusha kwenye mengi asnte Mungu mbarikiwe
Nimeipenda ujumbe mzuri Mungu awakuze katika uimbaji wenu
Wimbo ni mzuri sana, nabarikiwa nao sana, Mungu awabariki sana waimbaji wote na watunzi
Yaani hyu mkaka anayeimbisha anaweza kkufanya ukaimba kwaya bila kupenda🥰!!! Me nampendaaa jmani❤️
Mungu awabariki sana naawatie nguvu
Yaani naurudia sichoki jamani jicho l tatu
Truth
Jaman huu wimbo naupenda mnoo na Kila nikiusikiliza hata kama nilikuwa na msongo wa mawazo nakua na aman kupitia maneno yaliyonenwa humu ndan alikiwe sana mwandishi 🙏🙏
Bwana Awabariki sana watukishi.... Mimi sio mzur sana kwa nyimbo za kwaya ila nilipowaona WASAFI TV nilipenda na hakika bwana amewapa karama ya kumtukuza... And for sure I will buy your album if any......
Mungu awabariki na Wasafi FM imenileta mpaka UA-cam niwaone vizuri mko powa sana na Mungu awabariki kwa kweli mko pouwa sana maadhi fulani amaizing.
Yesu naomba Jicho la Tatu ni wajue watesi wangu wote Zaidi ya hawa ninao waona Ili niweze kuwashukuru,
Kwaya mubarikiwe sana najifunza sana na kufunguka kiroho kupitia wimbo huu, jicho la tatu ni la muhimu nahitaji kuona Ewe Mungu tusaidie
Mbarikiwe xana na Mungu kwel tunahitaj jicho la tatu
Nabarikiwa saana kupitia huu wimbo
Huu wimbo ,,,,,,!!! Sina neno zaid ya kumuomba Mungu jicho La tatu.mbarikiwe mnoooooooo
Amen! Wabarikiwe sana
Jmn huyu kaka kanifanya nicheze kazini nusu kibarua kiingie moto Mungu awabariki sana🙏
Aisee huyu dada anasauti... Mpaka nywele zinasisimka... Mungu awainue viwango vya juu zaidi...
Yupi apo nimskie vizur
Good song god bless you
Wonderful song...watching it in 2023
Mbarikiwee na mungu
2022 I'm still here ❤️
mungu naomba unipe jicho la tatu kupitia wimbo huu na barikiwa sana nikiwa chuoni
Huu wimbo una ujumbe mzurii sanaa
Yesu Kristo naomba jicho la tatu
Wabarikkwe watunzi na waimbaji, nausikiliza huu wimbo sichoki, Neema ya Mungu iwe juu yao
Ameen nikweli nisala kubwaa sana mtumishi
Amina mungu azidi kuwabariki mtumike vema tumebarikiwa sana na mungu kupitia wimbo huu
Huu wimbo naombea ushike views
Milioni 25 na zaidi unamafunzo makubwa sana🙏
Amin
Sanaa
Kabisa huwa sichoki kusikia wimbo huu, Mungu ambariki mtunzi wa huu wimbo
Mbarikiwe na Bwana! Ni kweli kabisa.
wimbo mzuri, hakika tunahitaji jicho la tatu
Mungu awazidishie ilo jicho la tatu kwaajili ya kaz yake
Mungu naomba jicho la tatu nione mengi zaidi ya haya yaliyojificha
Naomba jicho la tatu Yesu wangu nisije nikangukia Kwenye Shimo mbele yangu🙏
Hongereni sana Vijana wetu. Mmetutoa kimaso maso wakristo. Tunamtukuza Mungu kwaajili yenu.💥
Barikiwa
Nyimbo hii inanikumbusha mbali Sana
Amen mbarikiwe jaman nabarikiw sana na huu wimbo jaman kwa jicho la tatu mimi ningeweza kuona mengi zaidi mbele yangu
Amina sifa Kwa mungu wetu
ucku mkali hii nyimbo inanipa faraja
Mungu awabariki sana,,,Mungu tunahitaji jicho la tatu ili kumshinda shetani
Good song to me Glory to God
Huu ni wimbo wa Familia yangu kila mmoja anaupenda na kuimba even my 3yrs son Mungu awabariki, ambariki mtunzi na aliyepata haya mafunuo.kwa siku 2mfululizo nausikiliza na umebaki moyoni mwangu.More Annointing to you Mkombozi Choir.
Kwa kweli huu wimbo umenisogeza mahali Fulani Mungu awabariki sana
zinatutengeneza.sana kiimani aiseee
Huu wimbo unanipa matumain katk majarb ambay napitia
Huu wimbo huwa unanibariki sana sijawahi kuchoka kuuangalia hata mara Kumi Kwa siku
Ndio nyimbo yangu kila niamkapo, mungu awabariki sana nyimbo nzuri imenibariki.
Vhv Vgg
Huyo kijana wa mwisho kaua kabisa..amen wimbo unaujumbe nimebarikiwa
Naupenda sana huu wimbo mimi unanifarij
Mungu naomba jicho la tatu niweshe kuona mbele
Naupenda sana Tena sana❤
Jicho la tatu. Nimetafakari sana ujumbe wa huu wimbo kwakweli aliyetunga Roho wa Mungu alimuongoza. Unapoomba jicho la tatu pia unatakiwa kuwa jasiri kwasababu sio vyote twaweza kuhimili pale tunavyooneshwa. kuna sehemu Mungu anatuvusha kwa namna ambayo kama tungeona huenda tungevunjika moyo ila Mungu alitubeba na kutuvusha.
Asante Mungu
Hakika
AMEN MBARIKIWE SANA
JICHO la 3 hatari sana naimba mpaka bafuni.
Melodious voice, So touched. GOD BLESS YOU WATUMISHI❤
This song jamani naupenda sana congrats sana. Huyu dada na kaka wawili wameutendea haki huu wimbo
Kwakweli mungu anipe jicho latatu kwahaya majaribu ninayopitia nimefarijika mno
Mbarikiwe kwa ujumbe ❤
Mungu naomba jicho la tatu, jicho la rohoni, ama kwa hakika wimbo huu umenigusa sana 🙏🙏🙏Ahsante Mungu🙏🙏🙏
Kkkt msasani mnanibariki sana mnaimba mpaka raha
Nimebarikiwa na wimbo huu hakika nahitaji jicho la tatu. Mbarikiwe sana Ukombozi kwaya
Wimbo mzuri sana Mungu naomba jicho la tatu katika Jina la Yesu kritso
Good to see Dada Dora Kyelu wa Chimala kwetu.Hongereni sana wimbo mzuri sana.
Mungu naomba jicho la tatu niweze kuona mengine zaidi haya ninayo yaona amen
Yani mnashawishi kwakweli nachelewa kulala nakuwa bsy na huu wimbo naupenda saana niamkapo nikisikiliza huu wimbo nabarikiwa siku mzima kiukweli mnashawishi watu tuingiie kwaya jmn msasani nawapenda saaana mungu awainue zaid kwa viwango vingine jamn hakika mmeimba na mungu awabariki saaana💪🙏🙏🙏
Mungu awainue zaidi watumishi
Naipenda sana hii nyimbo
Mungu awabalik kwahudum nzuli ya mungu
Nabarikiwa na huu wimbo jamani sichoki kuusikiliza
Kwakweli huu wimbo Wa jicho la tatu unanibariki sana, mbarikiwe sana