MUNGU YU KARIBU NASI - Kwaya ya Mt. Cecilia - Hai Mjini-Moshi (Official Video) - AFLOB STUDIO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • Hii kwaya ya Mt. Cecilia, Parokia ya Familia Takatifu Hai Mjini, Jimbo Katoliki Moshi.
    Recorded at AFLOB STUDIO
    Audio Producer & Video Director ALEX LOBULU
    Contact: +255 753 453 940
    #AlexLobulu #AflobStudio #TumainiLetu #BwanaAmefufuka

КОМЕНТАРІ • 161

  • @linahsemindu9575
    @linahsemindu9575 4 роки тому +5

    wanaoangalia kwaya comment na uzur wa jengo.la kanisa kama mm tujuane jmn 👏hakika romani kathorik tumebalikiwa najivunia kuwa mkatoliki

  • @rosemikambi4672
    @rosemikambi4672 2 місяці тому

    Hongera kwa kazi nzuri yenye kubariki na kuinua utukufu wa MUNGU WETU

  • @josephambrose2215
    @josephambrose2215 2 роки тому

    Kazi nzuri sana, hongereni sana wote mliyo shiriki ktk kutuletea ujumbe huo🙏🙏🤔

  • @mariasimon9421
    @mariasimon9421 3 роки тому +1

    Safi Sana huu wimbo naupunda saaan

  • @mahmah7250
    @mahmah7250 Рік тому

    Mungu mwenyeesi azidi kuwapaliki kwa nyimbo zuri

  • @adelthamiyonga2435
    @adelthamiyonga2435 3 роки тому +1

    Mungu Mwenyezi azidi kuwabariki na kuwainua katika uinjilishaji Mzuri mnaofanya.Hakika wimbo huu ni ushuhuda tosha katika maisha yangu .kila nikiusikiliza napata amani katika moyo wangu.Asanteni sana

  • @cayusoginga
    @cayusoginga 4 місяці тому +1

    Cayus oginga Watching from manga girls high school kenya 🎉❤

  • @maycoandrea240
    @maycoandrea240 4 роки тому +4

    Asanten jaman nikisikilinza hizi nyimbo najihisi Kama vile Niko mbinguni nimeketi na malaika

  • @emmanuelmutinda9621
    @emmanuelmutinda9621 Рік тому +1

    ❤❤❤❤❤❤the song is so touching to my soul,,,and again nice synchronisation

  • @cayusoginga
    @cayusoginga 4 місяці тому +1

    Congratulations for a job well done ✅👍

  • @cayusoginga
    @cayusoginga 4 місяці тому +1

    Watching from manga girls high school kenya 🎉

  • @jamesfesto1178
    @jamesfesto1178 3 роки тому +1

    Mnanibarikisana wanakwaya wangu

  • @cayusoginga
    @cayusoginga 3 місяці тому +1

    Watching from manga girls high school 🎉

  • @wamupepe5301
    @wamupepe5301 Рік тому

    Baraka ya mungu, nahasa heshma kwake . Vitendo nzuri tu bila ubaguzi niyo siri.Apana????

  • @philippemukotshi6179
    @philippemukotshi6179 4 роки тому +1

    Tu kwe na Jésus pa modia tuta shukurwa emen. Philippe Mukotshi M

  • @user-uv4fd5rz8q
    @user-uv4fd5rz8q 6 місяців тому

    Naipenda iyo wanakwaya hongereni sana kwetu hai iyo iko hai kwelii

  • @aminaibrahim8466
    @aminaibrahim8466 2 роки тому

    Hongereni sana wimbo huu nimeupenda sana mbarikiwe sana utume mwema

  • @georgengugi4668
    @georgengugi4668 4 роки тому +2

    Wimbo mitatu na wa mafunzo kweli. Heko kwenu Bw. Tumaini Swai na waimbaji wrngineo

  • @deokessy6288
    @deokessy6288 4 роки тому +3

    Organist Swai nakupata vizuri,,, Great

  • @nathannbanda3345
    @nathannbanda3345 Рік тому +1

    Beautiful ever, I love the message and everything in it. Thanks for putting English subtitles ❤😊

  • @dismaskimario2116
    @dismaskimario2116 4 роки тому +1

    Mungu Mwenyezi yupo nasi popote tulipo. Sababu kuu ni kwamba ana siri na uumbaji wake, kwa mfano mazingira aliyoumba utajuaje kama pia yanampelekea taarifa zetu na sura zetu. Mungu yu karibu nasi, tupendane na tupende viumbe vyote na mazingira yote.

  • @benmarkmbonabucha5289
    @benmarkmbonabucha5289 2 роки тому

    Asanten Sana wanakwaya mungu awabariki siku zote.

  • @dahsiejules7128
    @dahsiejules7128 4 роки тому +1

    26 Pia, kumbuka kuwa yeye ni mtu yule yule na kumbukumbu moja. Anakumbuka kuwa alikuwa na wandugu na dada wengi hivi kwamba alifanya vile na kitendo kama hicho duniani wakati wa maisha yake. Na ni ama malaika wa Mungu ambao wanakupeleka, au malaika wa Shetani ambao wanakupeleka. Yote inaambatana na njia aliyokuwa ameifuata duniani! Mnaona? Sio kitu cha siri, utaonekana huko katika mwili usioonekana kwa wanadamu na watu ambao hauwajui watakupeleka mahali pako pa mbinguni! Na mara tu huko, utagundua wale ambao wapo! Ni wale wa kanisa lako duniani! Unaweza kuona ndugu kama hawa na ambao walikuwa wamekufa! Na kama wewe "ulikuwa mwanasiasa utajikuta katika kikundi cha wanasiasa wengine! Ikiwa ulikuwa mcheza mpira au ikiwa ulichukua hatua kama hiyo na vile, utapata sehemu yenu Mbinguni!

  • @ambrosethomas5922
    @ambrosethomas5922 4 роки тому +2

    Naupenda huu wimbo, Swai na nakuona kazi nzuri

  • @felistamwita1546
    @felistamwita1546 3 роки тому +1

    Namuona mwalimu wangu Amaro jamaniiiii,,,, hongereni sana kwaya nzuri

  • @buraibrahim7079
    @buraibrahim7079 3 роки тому +1

    Mungu akaibariki kazi ya miko yete pamoja na vipaji vyao kwa catholic i love u my songs

  • @jusperkhamala9371
    @jusperkhamala9371 Рік тому

    Hongera wapendwa,sauti za ninga .

  • @cayusoginga
    @cayusoginga 4 місяці тому +1

    Asante Mungu

  • @wamupepe5301
    @wamupepe5301 11 місяців тому

    Munapendaka ma uniformes,kabisa RDC -CHINE 😂 bravo 👍

  • @irenekoikai349
    @irenekoikai349 3 місяці тому

    Amen, mbarikiwe sana

  • @wamupepe5301
    @wamupepe5301 11 місяців тому

    Athénée royale iko wapiiii 😂, ?? 👌

  • @hekimakuciga7512
    @hekimakuciga7512 3 роки тому +1

    Nzuri sanaaa.

  • @jmskiwi
    @jmskiwi 3 роки тому +1

    Amen.Amen.Amen

  • @hamisimarko239
    @hamisimarko239 4 роки тому

    Nzuri

  • @alexkiwale5883
    @alexkiwale5883 4 роки тому +1

    Kwaya nzuri sana

  • @nestorystephen8559
    @nestorystephen8559 3 роки тому +1

    Nabarikiwa sana na huu wimbo mungu awe nanyi

  • @edwardkioko4455
    @edwardkioko4455 4 роки тому +1

    Wonderful sana waimbaji. Kazi nzuri sana hii mlioifanya. Pongezi za dhati tena kwako Mheshimiwa Tumaini kwa kazi yeko nzuri. Ctawai kukusaha kwa kazi nzuuuri uliotufanyia Arusha kwaya yetu kutoka Kenya Mombasa. Tunakupenda sana Tumaini.

  • @emmanueljuma651
    @emmanueljuma651 3 роки тому +1

    nyimbo nzuri mungu awabariki

  • @bennokiyanga509
    @bennokiyanga509 6 років тому +3

    BONGE LA SONG,,,,kiukweli niupenda bureeeee,,,mlijipanga kufanya vzr,,na ninyi mpo bwana,,,sharapuuuu kwenuuuu,,,mbarikiweeee

  • @patrickmukambilwa584
    @patrickmukambilwa584 5 років тому +3

    Ingawa atumuone mungu kwa macho ya ubinadamu asante sana kwamaneno ayo mungu awajalie neema nabaraka katika kazi yenu ya utume ili mpate kumtumikia sikuzote zamaisha yenu amina

  • @dismaskimario2116
    @dismaskimario2116 4 роки тому +1

    Mungu Wetu yupo pamoja nasi daima, yani milele na milele. Soma zaburi ya 82:6; imetufanya sisi binadamu miungu wake hapa duniani/ulimwenguni. Ebu fikiri hata katika ubatizo wetu tumefanywa wana wa Mungu. Kweli Mungu yu pamoja nasi daima.

  • @cayusoginga
    @cayusoginga 4 місяці тому

    Asante sana Mungu

  • @davidamundala9720
    @davidamundala9720 6 років тому +4

    Mzuri sana, Baba apewa Sifa yake kweli pia awajaze na baraka na furaha yake. Asante sana. P. Alphonse Marie.

  • @sulehassanshall6140
    @sulehassanshall6140 4 роки тому

    Eee nyi wakirsto waki Afrika. .yesu Hakua mkristo wala hakuingia kanisani. .kwann ninyi munaenda Katika nyumba wanaokaa masheta n lusifaa yuko kanisan. Mungu hakubali dini yyte ila uislam tu. Nidini Alio watuma manabii wote

    • @prosistakimario6589
      @prosistakimario6589 4 роки тому

      Namuona Salome na Tumaini. Hongereni

    • @smnakachindu2952
      @smnakachindu2952 4 роки тому

      Wewe ni mpumbafu sana ni nani kakulazimisha kuangalia wimbo huu?
      Wewe ni shetani kama ilivyo dini yako

    • @sulehassanshall6140
      @sulehassanshall6140 4 роки тому

      @@smnakachindu2952.Eee we kafiri muovu ulie mfuata shetan Alielaaniwa .unamfuata Paulo Kafri Alie watumamuende kanisani kwenye kiti chashtan.paulo smbae hakumuona nabii yesu..ukamuacha nabii yesu Alikua Akienda katika misikiti kumuabudu mungu mmoja..Baci ole wao watakao kufa katika Dini isio kua yakiislam mahali yao siku itakua nijahannam...bblia insema kanisani kuna kiti cah enzi zashetan.kisha ikasema walio lala katika ukirsto wamepotea toa andiko katika bblia au quraan yakua walio lala ktka uislam wamepotea. .Au andiko miskitini kuna kit chashtan??Eeewe kafri unae mfuata shetan kumbuka kifo kitakuja ciku hio hakuna mtetzi ila niwale walio muabudu mungu wakiswali kwakusujudu hio ndio itamsaidia mtu ..hakuna mtu atakae msaidia mtu mwengine ciku hio ila nimatendo mazuri yakumuabudu mungu....achen ushabki nakupozezwa namakuhani wen namabishop ciku hio watawaruka hao munao wafuata wanawpoteza tauften dini yahaki nao niuislam..siais waislam tunamuabudu mungu mmoja tu .hatumuabudu mtu.lkn ninyi makkafri munamuadu yesu mtu ...hammmjui mungu wakweli lakini mukisoma vzr bblia ndio mutamjua mungu wakweli...Ewe kafri angalia ulimwengu watu wanavo slim Hamizingatii hilo. Achen dini zawatungu itafuten dini ya mungu ya kweli. .jahannam iko kweli mutajuta ciku hio makafiri. .bc kimbilien kwa mungu waulimwengu nae Hakuzaa wala hakuzaliwa wala hafanani nakiumbe yoyote..Ewee kafri Tafuta haki ujue ..uache ushindani naubishi. Kuna watu wengi katika mapasta wamslim wanapo ja ukweli wameacha Mali kanisni lkn wakaona ukweli uislam..

  • @mossesmsuya7401
    @mossesmsuya7401 4 роки тому +2

    Hongereni kwa ujumbe mzuri... Hakika mungu yuko karibu nasi ktk kila hatua

  • @hildashayo7192
    @hildashayo7192 2 роки тому

    Asante Mungu wetu

  • @getrudetembop3924
    @getrudetembop3924 3 роки тому +1

    thanks so much my big family

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 6 років тому +5

    Hongereni ni mara ya kwanza kusikia kwaya ya kikatoliki kutoka HAI , nilidhani hai ni walutheri na waislam tuu

    • @SuperKellyalex
      @SuperKellyalex  6 років тому +2

      Bernard John Tunashukuru sana, Hai makanisa ya Katoliki yapo mengi ni wakati umefika sasa kutambulika zaidi

    • @frenkshaban8080
      @frenkshaban8080 5 років тому

      Bernard

    • @williumnguyamu2827
      @williumnguyamu2827 5 років тому

      @Faustine Wiboga upo maenro gani

  • @anoldanold3028
    @anoldanold3028 6 років тому +3

    wimbo mzur sana nawezaje kupata album

    • @SuperKellyalex
      @SuperKellyalex  6 років тому

      anold anold Asante sana, album inapatikana, piga namba hii utaipata ‭+255 754 054 051‬

    • @everfunda1758
      @everfunda1758 5 років тому

      Baba swai maisha marefu kwako

    • @emanuelcharles9080
      @emanuelcharles9080 5 років тому

      Hogeleni Sana wanna wamugu kwawimbo mzuli nahitaji alubamu yake

    • @edwardmahundi5433
      @edwardmahundi5433 4 роки тому

      Kweli kazi nzuri lazima niseme

    • @godlistenmushi1085
      @godlistenmushi1085 4 роки тому +1

      Kwaya ya hai mjini jimbo la Moshi. I love you Catholic church nakuona mwalimu wa shule ya msingi na wakwaya pia

  • @jovitaarufredi9287
    @jovitaarufredi9287 4 роки тому

    Kwaya

  • @stellakahambu4134
    @stellakahambu4134 4 роки тому +1

    Asanteni kwa nyimbo nzuri. Mungu awazidishie mema

  • @shaibuemmanuel5564
    @shaibuemmanuel5564 5 років тому +2

    Hakika mbarikiwe na bwana...Wimbo una ujumbe mzurii..Ameena sana

  • @samsawidi5648
    @samsawidi5648 6 років тому +6

    Daaaaaaaaaaaaah kilichonizingua muundo wa jengo daaaaa afuuu sauti zenu zilizonyokaaaa daaaaah,,, natamani ningewepoooo live kuwa on a,,, be blessed awesome work well done

    • @reyjosee9390
      @reyjosee9390 6 років тому +1

      Sam Sawidi mm hadi sielewi lipo wapi

    • @samsawidi5648
      @samsawidi5648 6 років тому +1

      Rey Josee,,, bro nitumie video wasapu npo kenya 254798694894

    • @reyjosee9390
      @reyjosee9390 6 років тому

      Sam Sawidi poaaa

    • @samsawidi5648
      @samsawidi5648 6 років тому

      Rey Josee,,,, upoo na video unitumie

    • @SuperKellyalex
      @SuperKellyalex  6 років тому

      Sam Sawidi Amina, tunashukuru sanaa

  • @MussaLepani-fk9yj
    @MussaLepani-fk9yj 6 місяців тому

    Amen ❤❤❤❤

  • @jumamarwa9985
    @jumamarwa9985 4 роки тому

    Wimbo mzuri sana, sauti nzuri, staili za kistaarabu za kumtukuza Mungu pamoja na mpangilio mzuri wa vyombo. Hongereni sana.

  • @frowinimwinuka9736
    @frowinimwinuka9736 4 роки тому

    Mbarikiwe sana Mimi Flowin Mwinuka ikonda makete

  • @zainabumwambughi219
    @zainabumwambughi219 4 роки тому +1

    Mungu awasaidie

  • @tasiananicholaus9423
    @tasiananicholaus9423 6 років тому +4

    hongereni sana mko vizuri.

  • @victorsilayo2736
    @victorsilayo2736 5 років тому +1

    haloo,, huu wimbo nauskilizaga kila siku kabla ya kulala ila leo ndo najikuta online nawatch video nashangaa "Hai mjini" nimebarikiwa sana,,, ila huyo zeruzeru j2 ilopita nlisali boma sikumwona Choir master mzur sana......@ mwarabu mdogo matelephone boma

  • @benardmunyao5487
    @benardmunyao5487 4 роки тому

    huu wimbo uucheza karibu kila siku

  • @erastuslutsachishisanya3791
    @erastuslutsachishisanya3791 4 роки тому

    Wah watu waokoke wahachane na yatunia.asanteni sana Mungu yuko karibu nasi

  • @deoscorusshayo1909
    @deoscorusshayo1909 5 років тому +3

    Mheshimiwa tumaini hongera kwa kucharaza vyema hyo Yamaha

  • @johnmwanga9706
    @johnmwanga9706 5 років тому +2

    Nzur sna

  • @benleyan
    @benleyan 6 років тому +1

    Hongereni sana wanakwaua. Mwimbo mzuri kweli, nimeupenda. Msele nakuona. Uimbaji ni wito kweli.Superb!

  • @magretijohnhongereni3294
    @magretijohnhongereni3294 5 років тому +1

    Mbarikiwe Sana mungu aware nguvu ya kuitangaza injiri kupitia kwaya Ni meguswa Sana Na maneno mnayoimba

  • @janethkimario6064
    @janethkimario6064 5 років тому +1

    Sauti ya nne wapi Tido na saimoni nimemic Sana wanakwaya wezangu nawapenda Sana na Mungu awabariki

  • @dahsiejules7128
    @dahsiejules7128 4 роки тому

    28 Ufunuo wa mihuri ni siri. Narudia: Mbegu ya nyoka ni siri! Ufunuo wa lugha isiyojulikana ni siri lakini kupita kutoka kwa ulimwengu huu hadi ulimwengu mwingine sio siri! Utakuwa mtu yule yule lakini bila mwili! Utakumbuka kila kitu kama ulivyokuwa katika mwili wako!

  • @shukurumshihili2386
    @shukurumshihili2386 5 років тому +1

    Hongera baada ya ksusikia hapa LUHANGA umekuja kivingine Swai upo juu.

  • @daudimhoha5050
    @daudimhoha5050 4 роки тому

    Munguawabarikisana.kwakippawa.chauimbaji.

  • @albertkarakha4364
    @albertkarakha4364 5 років тому +1

    Hayo Marinda yenu yako chonjo mnapendeza Saana.

  • @merdaniely4775
    @merdaniely4775 5 років тому

    Organist Kaka Tumaini Swai na Dada yangu Salome nawaona hakika kazi nzuri sanaaaaa.....Mungu awabariki jamani. Mlitusaidia kwenye kazi ya TANGAZENI UKUU WAKE Chuo Kikuu SMMUCO.

  • @fredrickayunga9564
    @fredrickayunga9564 4 роки тому

    Bwana Ibariki TZ

  • @cecilianzilani5773
    @cecilianzilani5773 4 роки тому +1

    Wimbo mzuri sana...Hongera👏

  • @emmanuelkonki59
    @emmanuelkonki59 5 років тому +2

    Conductor upo juu mdada hongera sana

  • @glorychuwa608
    @glorychuwa608 4 роки тому +1

    It is so good choir

  • @theresiamasawe8544
    @theresiamasawe8544 4 роки тому +1

    Gooooooooood!!!! 👏👏👏👏

  • @bisekojmafwele2777
    @bisekojmafwele2777 6 років тому +1

    Hongereni sana kwa kazi nzuri iliyo tukuka

  • @reyjosee9390
    @reyjosee9390 6 років тому +2

    Tumaini nakuona tuu unatiririka,,,Thanks organist wa nguvu,!!!

    • @catherinetallo4981
      @catherinetallo4981 5 років тому

      Daaa kumbe Organist ni Tumaini..... nilikuwa sijamuona vizur, Mwl wangu wa nguvu

  • @bennynjiku9689
    @bennynjiku9689 4 роки тому

    safi sana

  • @pasilisajerono7409
    @pasilisajerono7409 3 роки тому

    OGod strengthen all catholic believes.

  • @s.simponda138
    @s.simponda138 6 років тому +4

    HAI Kweli mpo hai Bonge moja la song mungu awabariki

  • @jacintakiio695
    @jacintakiio695 4 роки тому +1

    Wow

  • @frenkshaban8080
    @frenkshaban8080 5 років тому +1

    Bahati bukuku

  • @petermwololo675
    @petermwololo675 4 роки тому

    Wimbo mzuri sana barikiweni kabisa

  • @emmanuelkonki59
    @emmanuelkonki59 5 років тому +5

    Wimbo mzuri waimbaji vizuri organist mzuri very excellent instrumentation catholic we need to here what organ sounds like

  • @adeekporko8776
    @adeekporko8776 4 роки тому +2

    Listening to inspired melody made my day brighter and fulfill congratulations ma Swahili choir

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 4 роки тому

    Nc song

  • @mbatatakiazi1678
    @mbatatakiazi1678 5 років тому +1

    Hongereni sana. nawiwa kuitazama pasi na kuchoka. mbarikiwe sana

  • @gloriakomba9380
    @gloriakomba9380 5 років тому +1

    Mbarikiwe sana

  • @charlesmutua9460
    @charlesmutua9460 3 роки тому

    wonderful nice song,,,

  • @luisandohonchama2347
    @luisandohonchama2347 4 роки тому

    Very nice song God bless you people. It is always good to whoship our Lord

  • @janethkimario6064
    @janethkimario6064 6 років тому

    kwaya yang jamani natamani nirudi hvyo npo mbali hongereni na Mungu awabariki sana

  • @judithwangwe2372
    @judithwangwe2372 3 роки тому

    Great.God bless

  • @nicholasmakau8850
    @nicholasmakau8850 4 роки тому

    Mungu akubariki kwa kutuinjilisha

  • @mgaobenson7680
    @mgaobenson7680 6 років тому

    hongereni sana kwa wimbo mzuri nimeupenda kuliko kawaida

  • @mcfrancoevents8058
    @mcfrancoevents8058 4 роки тому +1

    Blessed

  • @evancemartin713
    @evancemartin713 6 років тому

    Faraja sana

  • @nforngwahwilfred7572
    @nforngwahwilfred7572 5 років тому

    More grace to you guys, your voices are so angelistic but most of all your costume are of high decency

  • @leonidaskwigize9194
    @leonidaskwigize9194 5 років тому +2

    congts may da bless of our lord be with you

  • @salomepaul3989
    @salomepaul3989 4 роки тому

    Woooooi 😘😘😘😘😘