MAPYA YAIBUKA NYUMBANI MUME ALIYEUAWA NA MKE MOSHI "ALIMJENGEA MKE MDOGO FAMILIA HATUJUI"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 521

  • @annarosegodfreymuro1194
    @annarosegodfreymuro1194 3 місяці тому +21

    Mwanamke mwenzangu ukiona ndoa yako haina amani mwachie Mungu, chagua wanao, hakikisha wanapata elimu na malezi bora, jipende, jithamini, jipe raha, naamini utakuwa na amani sana ktk haya maisha. Mwanaume akikengeuka ni Mungu tu peke yake anaweza akambadirisha, hata upige kelele unajiumiza, hakikisha unapambana na kulea wanao mengine mwachie Mungu.
    Inasikitisha kuwaacha watoto yatima na kupoteza mwelekeo hasa ktk dunia hii ya sasa, Mungu tusaidie wanawake

  • @ACHP-o20
    @ACHP-o20 3 місяці тому +55

    Haya miungu ya duniani najua uyu mwanamke hakupanga kumuuwa mume wake jumbo povu tu limemuangukia ila maumivu ya kusalitiwa anayajua Mungu mama wa watu na kwenda jehanamu ndogo leba mara sita bado kiumbe cha Mungu kikatafuta mwingine na tisa kumi kamjengea kimada yamkinii mwanamke uyo alilala njaa alipokuwa anatafuta na uyo mwanaume leo kimtu kinakuja kumenya tu kwa kuondoa ukakasi eti mke mdogo toka lini wakristo wakaoa wake wawili binadamu tuache unafiki hao mashemeji,mawifi na wanaona mke kakosea sana ingefika kwao wangefanya ukatili mara tano ya hivyo

    • @DM.2200
      @DM.2200 3 місяці тому +6

      Upo sawa kabsa yani iweje mtu eti aje kula kirahisi na mwenzake anapigwa jua lautosi kwenye biashara zake kila siku ata wasimlaumu huyo mke mkubwa stress kamletea mume wake na zimemmaliza yy

    • @valeriamtenga3384
      @valeriamtenga3384 3 місяці тому +5

      So alivyoua imempa nn zaidi ya kutesa uzao wake?
      Hiyo ni hukumu ya kibinadanu

    • @jamesjoseph6825
      @jamesjoseph6825 3 місяці тому +7

      Roho mbaya na wivu, hata kama alilala njaa ndo uende kuua? Kwani upo nyumbani tena mjengo mkubwa hivyo huli? Hulali? Shida ni nini mpk ukaue kisa eti umemkuta kwa mke mdogo? Hapo angekua mwanaume ndo kaua sidhani kama haya maneno ungeyaongea. Angeua mwanaume hapo ungesema kama umemchoka mwache wala hilo neno maumivu ya kusalitiwa usingeliweka, all in all haijalishi nini kimekutokea kwenye maisha kwanza kaa chini umshirikishe Mungu

    • @ubuntubantu2404
      @ubuntubantu2404 3 місяці тому +3

      @rosetemba una nyota ya mauwaji dada yangu, ikemee

    • @jescarwegoshola1754
      @jescarwegoshola1754 3 місяці тому

      Umeonae

  • @nesielias9493
    @nesielias9493 3 місяці тому +110

    Unazaa na mwanaume watoto 6 unamuuwa kwajiri ya bi mdogo watoto wanakuwa yatima kwajiri hasira za kipumbavu😭

    • @kanankirannko6174
      @kanankirannko6174 3 місяці тому +9

      Na bado unaenda jela duh hapana akiamua ahamie huko kabisa

    • @betyjoseph6812
      @betyjoseph6812 3 місяці тому +10

      Sahiv anajuta,, hasira hasara

    • @csato9415
      @csato9415 3 місяці тому +7

      ​@@betyjoseph6812 Ndio hivyo ukiwa na hasira usifanye MAAMUZI na ukiwa na furaha USIAHIDI.

    • @valeriamtenga3384
      @valeriamtenga3384 3 місяці тому +6

      Ningewaza watoto wote 6 hapana aise
      Afu watoto wanavyomweka busy mwanamke,
      Aende tu, wengi tu tumeumizwa na mapenzi na tumeanza a , kwa kusema unazaliwa Uchi na utakufa Uchi
      Kisasi kikizidi moyo wa mwanadamu lazima alipize!
      Tujitaidi kusoma neno na kuomba, dunia ina maumivu mengi sana

    • @twiseghekisilu8845
      @twiseghekisilu8845 3 місяці тому +10

      Mpumbavu Sana huyu mama!watoto sita bado una wivu wakijinga hivyo!nyoko zake huyu dada

  • @palokuthereza2555
    @palokuthereza2555 3 місяці тому +18

    Trust me mtu Wakulaumiwa ni aliyeingilia ndoa ya watu 😢😢sababu angetulia na amuache mume wa watu yote haya yasingetokea.Ndoa na iheshimiwe na watu wote

    • @GloryMariki-ng6gf
      @GloryMariki-ng6gf 3 місяці тому +3

      Wakulaumiwa ni huyo mwanaume mwenyewe... kwanini hakutunza agano la ndoa aliloliweka kwa mkewe??
      Asingemtongoza huyo mchepuko wangeingiaje kwenye mahusiano

    • @gracegeorge4848
      @gracegeorge4848 3 місяці тому

      Kakojoe ulale hakunaga mume wa mtuuuu.ndo maana mwanaume ndo anaetoa mahari na si mwanamke

    • @merygodfrey3709
      @merygodfrey3709 3 місяці тому

      Soo kusema wanawake wa kichaga.Watu wangapi wameuwawa bila hatia na wake zao au waume zao?WW umeona ni wachaga tuu.Acheni Zenu Shetani yupo kazini na hofu ya Mungu ikikutoka lolote waweza fanya.
      2. Mambo ya ndani kwa wanandoa ni siri kubwa sana hakuna wa kumlaumu wala kuhukumiwa.

    • @PeninaJonh
      @PeninaJonh 3 місяці тому

      Hakika umenena vyema

    • @sarahfuraha875
      @sarahfuraha875 3 місяці тому +1

      ​@@gracegeorge4848Kwan huyo unayesema hakuna mume wa mtu anapokuwa anaapa kanisani ulisikia anasema atakuwa mume wa wake wengi? Nyie michepuko ndo mnasemaga hakuna mume wa mtu. Jitengeneze ufae kuitwa mke wa mtu dada..

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 3 місяці тому +55

    Kwa wakristo hakuna mke mdogo ni hawara au mchepuko na Kuna Siri kubwa hapo hiyo ndo shida ya kutotulia na mke wa ndoa inauma mume unamzalia watoto 6 na Bado anachepuka u Malaya siyo mnzuri

    • @ikulunimahalipatakatifu7642
      @ikulunimahalipatakatifu7642 3 місяці тому +4

      nazani si vizuri kuukumu kwa sababu maisha ya ndoa wanajua waliomo, wanawake mna mambo mengi tena ya mauzi sana wanaume uwa wanaamua kuwa kimya na kuendelea na maisha mengine..,

    • @EmmettOnike
      @EmmettOnike 3 місяці тому +4

      Mmh watu mnapenda kuhukumu Sasa akichepuka unamuua.una watoto wako sita unaua mtu Sasa unaenda jela wanao wanalelewa na nan?kabla ya kutenda fikiria kwanza

    • @NuruJara
      @NuruJara 3 місяці тому +3

      Jamani mm leo michepuko wa mume wangu amenipigia akanieleza kila kitu hata audio zipo amemkodishia sijui nifanyeje naumwa na moyo nko na miaka kumi sija wai kumcheat natetemeka sijui nifanyeje nk Kenya naomba msaada wenu yy hataki kukubali makosa

    • @Allybinamour
      @Allybinamour 3 місяці тому

      mume kakuzalia watoto 6 anachepuka hio ndo inauma lakini mwanamke kumuua mumewe hio haiumi sio?

    • @anunalamin6472
      @anunalamin6472 3 місяці тому

      ​@@NuruJarakimya usimuulize la heri wala shari ukimya ni jibu Tosha

  • @GetrudyGt
    @GetrudyGt 3 місяці тому +51

    Mwanaume anakuwekea mazingira mazuri Ivo bado unamuuwa si umuache Aende Mimi hata akiamia ili mradi watoto wanasoma ,awalali njaa na maisha yanaenda ohiiiii aende tu na njululu yake ohiiiii

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 3 місяці тому +3

      Yaaan mtu akisha kjengeaa, uhakika wakula upo kwa dniaaaaa hiiii muacheeeee tu aeende akitakaaa kwenda

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 3 місяці тому +8

      Shida sasa atakuletea magonjwa,wengi huwa wanaogopa hivyo,maana mbali na huyo bibi mdogo,kesho ataenda kwa mwingine,sasa mtu unakuta ndo Ana watoto 6,halafu anapatia magonjwa ukubwani,ndo Inawauma.

    • @maprotv1
      @maprotv1 3 місяці тому +2

      @@israelkisaila8401 unaogopa magonjwa kwa kumuua mtu?

    • @neemamtangi4818
      @neemamtangi4818 3 місяці тому +5

      Yaan dada angu nikama upo moyoni mwangu me umenijengea nyumba nzur hivyo hata watoto weletu me nitalea jmn kuna watu hawana bahati😢

    • @ummySheikh72
      @ummySheikh72 3 місяці тому +10

      Rahisi tu kusema hivyo labda uwe hujampenda umefata pesa itakuwa rahisi. Mume anauma weee! Acha ya sikukute unaweza kufanya kama hivyo au zaidi wao wanatuuw kila siku! Kwa hisia tu sikwambii umeona mazingira! Kafia kwa mchepuko aibu saana kakuzalia wtt 6 bado hajaridhika

  • @hawaa341
    @hawaa341 3 місяці тому +32

    Hata mkificha lakini kidini Yule sio bi mdogo mchepuko tu mke mmoja tu

    • @user-ln8fy8yj5x
      @user-ln8fy8yj5x 3 місяці тому +2

      Kidini kuua ni sawa? Mbona kama una Judge upande mmoja

    • @g_forcemusician4242
      @g_forcemusician4242 3 місяці тому +1

      Kwahiyo amefaidi nini

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 3 місяці тому

      Mmmmmmh😊

    • @user-ln8fy8yj5x
      @user-ln8fy8yj5x 3 місяці тому +1

      @@g_forcemusician4242 Swali zuri sana.
      Mume kafa, yeye anaenda jela kifungo cha maisha.
      Watoto wanakosa vyote.

    • @ElizabethMkini
      @ElizabethMkini 3 місяці тому

      ​Hajafaidi chochote...kaka zetu muache umalaya...chanzo hapo ni mume angetulia na mke wake yangetoka wapi yote haya?!inasikitisha watoto wanakuwa kwa wakati mgumu.kila mtu anauwezo tofauti wa ku control hasira...so mtulia period.​@@g_forcemusician4242

  • @EddahBure-te7ft
    @EddahBure-te7ft 3 місяці тому +19

    Mtuhumiwa Ali mpenda sana mumewe jmn, ukiona mwanamke kakuzalia watoto wote hao ni kweli alikupenda kwa dhati na ndio mana ilimuuma sana kuona mwanaume kama ni watoto nimekupa lkn bado hawakutoshi unaenda kuongeza wengine unahamisha mapenzi kwa wanao wakubwa unapeleka kwa mchepuko hii inaumiza sana kwa ambae hajawah penda na akatendewa hivi anaweza ona ni mwanamke mkatili lkn hii ipo na inatokea sana tu mungu atuepushe kwa kweli

    • @mustafamsati9599
      @mustafamsati9599 3 місяці тому +5

      Hapana mtuhumiwa anaipendasana pesa hataki mtu mwengine hao ndio wanaoamini kuongeza mke ni kuzini wakati hilojambo lilianza tangia enzi za manabii

    • @mustafamsati9599
      @mustafamsati9599 3 місяці тому +1

      Hapana mtuhumiwa anaipendasana pesa hataki mtu mwengine hao ndio wanaoamini kuongeza mke ni kuzini wakati hilojambo lilianza tangia enzi za manabii

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft 3 місяці тому

      Nakupinga asilimia zote kwa mana manabii hakufanya sifa kama mnavyofanya nyie kwa sasa, kwanza mke hadi kufika kupatwa hasira kiasi hiko ni wazi mume hakukushirikisha kama anaoa imagine amemjengea hata familia yake haijui afu umfwatilie ukute mambo kama hayo jazba lazima ikukute tuu,, kama unge mwambia mkeo ukweli sizan kama angefanya hayo mwanamke anapenda kubembelezwa tu japo ukweli unauma lkn ingefika mda akazoea wangap tunawaona wapo mitara na wala hawajal mnakerekwa nyinyi majiran lkn wao wala hawastuki ni swala la mwanaume kua na busara tu lkn nyinyi mnafanya sifa sifa na kumkomoa mwanamke hapo ndo mnakosea, ww ukitaka kujua huyo alifanya hasira tu utaona ni kwann kakamatwa kama alipanga kumuua tu kwaajili ya mali si angeanza kupanga mipango yake mapema angehamisha watoto hata nje ya nchi na yeye akafanya tukio then akatoweka nani angempata ? Lkn ye kabak hapo hapo ni hasira tu na huwezi elewa hadi yakukute ko tuliopitia tunaelewa 👍​@@mustafamsati9599

    • @nasramohamedi4095
      @nasramohamedi4095 3 місяці тому +5

      Kwa ujinga huu czai tenaaa! Unamzalia mwanaume watoto lukuki then fadhila zake kwako ni usaliti😢😢😢 nimesema czai Tena akichepuka na achepuke tu😏😏

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft 3 місяці тому +2

      @@nasramohamedi4095 😂 na mm hivyo hivyo nimesema sizai tena namuangalia tuu wala sjamwambia 😏

  • @ubongosahihi
    @ubongosahihi 3 місяці тому +2

    Siyo lazima mtu ajue kama alimjengea au la Wanawake wengi tu wanajengewa hata pasipo kumzalia mradi alimpenda. Na pia inategemea mwanaume anapitia changamoto zipi huko kwa mke wa ndoa au huwa tu ni tabia za wanaume Fulani tuwaombee Wanaume wote Pumzika kwa Amani Baba wa Familia 👏🏾

    • @ShomaryShomary-j9d
      @ShomaryShomary-j9d 2 місяці тому

      hiyo mama nayey ajiuwe tyuu mana sioni sababu ya kuishi

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 3 місяці тому +26

    Mjengo upo vzr

    • @Njeriii536
      @Njeriii536 3 місяці тому +3

      Sana alafu kusafi sana

  • @cosmaskulaya5297
    @cosmaskulaya5297 3 місяці тому +8

    Hawa wake za matajiri hapa moshi hawajafundwa wala kufuzwa, wana mavikoba yao wanachaguana eti wake za mabosi kwenye mavikao yao wanakunywa mapombe na kufundishana upuuzi usiofaa mbele ya jamii yeyote. Vitambi vyao huwezi kuvibeba

    • @salhawaziri1668
      @salhawaziri1668 3 місяці тому +1

      Hahahah tuacheeee watoto wa moshi

    • @roynessmanji6292
      @roynessmanji6292 3 місяці тому +3

      Km hapewi Pesa zinaishia kwa michepuko kwann asijiongeze na vikoba

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 3 місяці тому +1

      Mmmmmmmmmmmmmmh

    • @user-tw4nf6bv8b
      @user-tw4nf6bv8b 3 місяці тому

      Hili ndio jibu wamempambisha mwenzao kwa kumjaza roho ya wivu na ushetani
      Asimame mke mmoja tu atoe ushuhuda mumewake Ana mwanamke mmoja tu
      Ujinga roho mbaya maana marehemu amezaa naye pia huo mpango wa kando ndo maana pia amejengea kwa ajili ya mtoto wake
      Lkn maneno ya mashosti yakumjaza shoga yao haya kikowapi sasa

  • @mwasitigervas2624
    @mwasitigervas2624 3 місяці тому +20

    Nyumba nzuri hivyo nahangaika na mke mwenzangu natulia nakula tu hata maua ,,maamuzi magumu ,,pumzika kwa amani marehemu🙏

    • @marthadaniel4904
      @marthadaniel4904 3 місяці тому

      😂😂😂😂😂unakula mpak maua jmn mm nasom comment na kuangalia mazingira ya nyumba😂😂 kila mtu atakuf na kifo chak

    • @Mbarukuhawa
      @Mbarukuhawa 3 місяці тому

      Mke anaolewa na mtu sio nyumba.

    • @mrsdeborahurio
      @mrsdeborahurio 3 місяці тому

      Una akili km yangu!

  • @ShukranMwakyambo
    @ShukranMwakyambo 3 місяці тому +25

    Mashemeji nyinyi.unasema humfahamu alafu unasema uliongea na shemeji.alafu Malehemu ana watoto saba na kwa b mdogo mmoja.ndugu wa mume pepo mtalisikia tu.

    • @nasramohamedi4095
      @nasramohamedi4095 3 місяці тому +4

      Yaan ndugu wa mume ni nyokoo

    • @unknownbutterfly6310
      @unknownbutterfly6310 3 місяці тому +2

      Kuna yule aliimba wimbo kua mashemeji wote wapigwe mawe.... Yaani, ni wanafiki kinoma😂😂

    • @ahz6907
      @ahz6907 3 місяці тому

      Nadhani Alisema hakuwa akimfahamu.itakuwa baada ya tukio ndio kamfahamu.

    • @eve762
      @eve762 3 місяці тому

      Wanamjua wanazimuga tu,maneno yake kwa mtu aliesoma Cuba anamuelewa vzr tu

    • @ShukranMwakyambo
      @ShukranMwakyambo 3 місяці тому +1

      @@eve762 kweri kabisa

  • @superwomanmwenyeheri.1367
    @superwomanmwenyeheri.1367 3 місяці тому +2

    Kama aliweza kubeba kisu mpaka eneo la tukio, kaona kabisa huyu ni mume wangu, na bado kamchoma kimoja tu kikamtoa roho,alidhamiria hakika na alitenda kwa ujasiri na nguvu zote.
    Hii ni dhahiri kuwa hata huko ndani hakua mtu mzuri, alipenda kumtawala mume,
    Na si ajabu mume kavumilia mengi kashindwa ndipo akajiongeza.
    Hebu imagen mke ana drive prado mume rav4,
    Kweli alikua ampendi?
    Mke mwema ni yule anaeona changamoto kwenye ndoa yake zinazidi anaamua kukimbilia kwa Mungu na Mungu huwa hamuachi mke wa namna hii.
    Nimewaona wengi na Mungu huwatetea.
    Sijawahi olewa lakn mmmmmh...hii.

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 3 місяці тому +10

    Kama alikuwa na uwezo wa kumiliki wake wawili kulikuwa na shida gani?mbona wenzetu wanaoa wake 4 na heshima inakuwepo tu?

    • @MWANAIDIRULIMBIYE
      @MWANAIDIRULIMBIYE 3 місяці тому +1

      Yaan acha tu maana mwanaume hata uwe pekee yako lazima tu awe na mwanamke wa nje wanaume huwa hawaridhiki jamani wanawake wenzangu afu mkumbuke ki ukweli wanawake tupo wengi wanaume wachache afu kwani akienda huko kwa mwanamke wake wakitombana anaiacha huko c anarudi nayo na wewe unaitumiaa wee haikondi haipungui haiishi ladha ya nini kuacha watoto mahatima lakini mweee😢😢😢😢

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 3 місяці тому

      ❤❤❤❤❤❤❤❤ Sofia congretchulation mama total them,

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 3 місяці тому

      ❤❤❤❤❤❤❤❤ Sofia congretchulation mama total them,

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 3 місяці тому +3

    Huyu mwanamkehajamuua mme wake kwa bahati mbaya, bali alikusudia na kudhamiria kutenda uovu. Umbali na muda aliyotumia kumfuata huku akiwa na silaha ungemtosha kutafakari upya uovu aliyodhamiria kuutenda na kughairi kwa kuishinda hasira. Kwa vyovyote haya ni mauaji ya kudhamiria (murder case) na si mauaji bila kukusudia yaani (man slaughter).

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b 3 місяці тому +2

    Wakiristu mnajidanganya mke moja mungu arivyotoa mandiko howeni wake zaid ya moja arijua wanaume hamridhiki na mke moja na amuwezi tamaha mnazo nyingi na nguvu,,,na pya mke uriehaza nae maisha hacheni zarau ukiowa mke mdgo

    • @AnneHarold
      @AnneHarold 3 місяці тому

      arivyotoa
      howeni
      arijua
      amuwezi
      tamaha
      pya
      uriehaza
      hacheni
      zarau
      ukiowa
      🤐🙄😎

    • @shamilashabani4288
      @shamilashabani4288 3 місяці тому

      ​@@AnneHarold😂😂😂😂😂

    • @blessedaggie9159
      @blessedaggie9159 3 місяці тому

      Kuandika kwenyewe hujui pyeee

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 3 місяці тому +7

    Hasira hasara tujaribu kudhibiti hasira zetu maana huu ni mtihani

    • @angelchuwa3668
      @angelchuwa3668 3 місяці тому

      Hasira hasara kwakweli.. na utajiri wote huo bado unahangaika hivyo mpk kuua jmn

  • @privasara3971
    @privasara3971 3 місяці тому +24

    Naona wanawake wengi wanacomment eti wangewekwa kwenye nyumba kama hiyo wangetulia,hayo ni mawazo ya kimasikini sana,mnajuake kama mwanamke ndo alkuwa na kipato kikubwa zaidi ya mume?na sio rahis kuaacha vitu kirahisi hvyo esply kama kuna pesa tayari,watu hawalali kuzitafuta hizo pesa so akikumbuka hekaheka alizopitia ndo matokeo yake yanakuwa hayo,sisuport kuua mtu ila mnahukumu sana

    • @nixonjohnson4908
      @nixonjohnson4908 3 місяці тому +1

      Na mdogo naye kajengewa na mkubwa... huyu anajiweza bhana

    • @japhetpeter4095
      @japhetpeter4095 3 місяці тому

      usihukumu ucje ukahukumiwa aliekudanganya Kuna mwanaume mwenye make Mmoja ni nani

    • @JacklineMnganya
      @JacklineMnganya 3 місяці тому

      Kama unaona kero mumeo kawa na nyumba ndogo Cha kumuuwa mtoto wawatu Nini? Chepuka na wewe au kama unajiina mpambanaji huwezi kupokea kaa pemben. Mimi kama tunapata mahitaji nikumwombea afya njema apambane wote tupate haki sawa. Wanawake tupendane tuaeche wivu usio na maslai ona Sasa anakosa vyote

  • @victoriadenis1694
    @victoriadenis1694 3 місяці тому +16

    Mume anauma hapa huwez judge mwanamke peke yake huwez jua huyo mwanaume tofauti na hyo kumcheat labda alkua anampa manyanyaso mengine yakuathiri psychology yake jaman manyanyaso sio lazima upgwe watu wana mahela ila wanaishi maisha ya taabu sana.

    • @kelvinmmassy348
      @kelvinmmassy348 3 місяці тому

      Mume anauma lakini ndo ifikie hatua ya kutoa uhai wake

    • @valeriamtenga3384
      @valeriamtenga3384 3 місяці тому +1

      Mbona wetu wamechukuliwa mazima na michepuko hata hatujui wako wapi tena, bora huyo alikua anarudi home kwake!
      So tukiua inatupa suluhu kweli?
      Andiko linasema: mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote.....sasa tunapoupa moyo kazi ya kumpenda mwanadamu kuliko Mungu, ni tatizo!
      Lazima utaumia sana, swala la kumove on ni ligumu lkn ni la muda tuuu,
      Hatujazaliwa na kitu, tukubali kupoteza vitu/ watu ikiwa ni gharama ya kuanza upya

    • @ElizabethKiria
      @ElizabethKiria 3 місяці тому

      Nasikia hawara alikuwa anamtusi mke mkubwa ,

    • @summanelson5523
      @summanelson5523 3 місяці тому

      Tatio kubwa hapa ni kuua! Tumeambiwa " usiue". Hakuna sababu yeyote inayohalallisha kutoa roho ya mwenzio! Sasa atafungwa pengine maisha. Amepata nini? Dhambi ya mtu inakufanya na wewe utende dhambi!!! Llah hasha!

    • @fetyalmas698
      @fetyalmas698 3 місяці тому

      Kweli kbs

  • @veronicajohn7645
    @veronicajohn7645 3 місяці тому +7

    Dah Adui yupo kazini.

  • @user-ls2uj3fl1o
    @user-ls2uj3fl1o 3 місяці тому +3

    Alhamdulilah kwa kuniruzuku kuwa mwislam haki sisi wanawake wa ki.islam hatuna mbaya mume anaoa na maisha yanaendelea binafsi mimi nipo kwenye ndoa ya wake wa 3 na bado nafasi 1 jimbo lipo wazi na tuna Amani hakuna kuchoma visu

    • @svt3
      @svt3 3 місяці тому +1

      Ila hapo hampendani, unafiki, wivu, kuangaliana kijicho, kusemana vibaya🤔🤔🤫🤫 maisha gani hayo ni umadkini na akili za kimaskini ndio zina wafanya muvumilie hata waislam matajiri kama Dangoote, Mo de...... wanawake mmoja mmoja ila hawa waislam makapuku ndio wanakimbilia kuweka wanawake zaidi ya mmoja

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin7521 3 місяці тому +2

    This what we call power of love

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 3 місяці тому +1

    Wakristo hatujidanganyi ni agizo mme mmoja mke mmoja. Mungu amempa mwanadamu free will aamue atakavyo ingawa Mungu keshatoa mwongozo. Hata wenye wake wengi nao wanachangamoto zao.

  • @mgesizablon790
    @mgesizablon790 3 місяці тому +8

    Nikweli inauma sana kusalitiwa lakini vyema tujitahidi kuzuia hasira zetu ona sasa watoto wanakosa malezi ya baba kwa sababu ya hasira ya mama.

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 3 місяці тому +5

    R.I.P poleni sana wafiwa. Sasa mmeachia watoto mateso na ndugu ndio watajinufaisha na mlivyoviacha hasira hasara. Msiseme Mke wa pili nyinyi ndugu maana Mkristo ataoje Mke ndani ya ndoa. Semeni hawara yake huyo. Pia inaonyesha nyinyi ndugu hamumpendi Mke wa kwanza kwa matamshi yenu

  • @jeangodelo5349
    @jeangodelo5349 3 місяці тому +2

    Duuuh😢😢😢 shetani shindwa kabisa mjumba wote huo unaumiliki,biashara gari vyote hivyo unavyo ungemuacha hata ahamie hukox2 duuu..😢 pole sana

    • @upendombise8113
      @upendombise8113 3 місяці тому +1

      Unajua sisi wanawake tuko hivi tukiwa atuna haya maisha tunasema tunaona ni raisi lakini kweli ni kwamba tukipata nyumba nzuri gari nzuri watoto wakasoma shule nzuri hela ipo tunaitaji upendo Sasa unatamani mume awe wako tu muwe sawa ndo matokeo yake hayo

  • @faithlutainulwa3832
    @faithlutainulwa3832 3 місяці тому +1

    Looh!
    Mungu wape watu roho ya uvumilivu.
    R.I.P Baba.

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi9226 3 місяці тому +2

    Pole mke maumivu ni makubwa pole sana kusalitiwa kusikie tu

  • @rizikisam6481
    @rizikisam6481 3 місяці тому +4

    Baba amekufa mama yupo jela watoto wamekosa wazazi wote na hao watoto sijui kama kuna kitu utawambia wamsamehe mama yao

  • @VumiDavid-lo1cl
    @VumiDavid-lo1cl 3 місяці тому +4

    Kuzaa na mwanamke mwingine ndo kuamua kumuua mkaka wa watu baba wa watoto wako jamani samehe saba mala sabini.

    • @RittaBryson-co4vp
      @RittaBryson-co4vp 3 місяці тому

      Unajuaje kama ni kuzaa TU...hakuna na heshima huyo

  • @MaryamAlli-is1jg
    @MaryamAlli-is1jg 3 місяці тому +15

    Ilivyotangazwa mwanzo ni hawara na sio mke wa ndoa wanaficha ukweli tu

    • @user-ln8fy8yj5x
      @user-ln8fy8yj5x 3 місяці тому +4

      Nikwambie ukweli?
      Mama anaenda jela kifungo cha maisha.
      Mume amekufa
      Watoto wanakosa baba na Mama.
      Biashara zao zipo hatiani kufa pia, maisha yanaweza kuwa magumu sana kwa watoto.
      Huo ndio UKWELI.
      Hilo la mke ama hawara ni IMANI tu.

    • @AnnaAnthony-is9wj
      @AnnaAnthony-is9wj 3 місяці тому +1

      P

    • @user-eb4nq5du2q
      @user-eb4nq5du2q 3 місяці тому

      ​@@user-ln8fy8yj5xkabisa lazima life ibadilikeee

    • @ahz6907
      @ahz6907 3 місяці тому

      Kiserikali huyo ni mke kabisa na ana haki zake hata kurithi mali za marehemu.😂

  • @happinesstesha7061
    @happinesstesha7061 3 місяці тому +15

    Kaacha nyumba nzuri anaenda jela dah na watoto😢 hiv watakua na maumivu kiasi gani

    • @user-xd4lu1xl6c
      @user-xd4lu1xl6c 3 місяці тому +2

      We acha hizo huyo atatoka tu mbona ngoja msiba wishes.kwn yule kijana aliemuuwa mm ake mfanya biashala wa madini na kumtumbukiza kwny Chamba ya choo hapo kwny mjengo wake mbona katoka na kesi imeisha!

    • @user-xd4lu1xl6c
      @user-xd4lu1xl6c 3 місяці тому +1

      Na yule bilinear msuya naye mke si alimmaliza tena na wifi akauwa mbona katoka kainekana hana hatia,kwa huyu atatoka mn ukichunguza zaidi huyo mume ana makosa sn,

    • @jovanafidelis2802
      @jovanafidelis2802 3 місяці тому

      Unahisi ana makosa kustahili hii hukumu?​@@user-xd4lu1xl6c

    • @Zaynab-ny6gr
      @Zaynab-ny6gr 2 місяці тому

      ​@@user-xd4lu1xl6cana makosa gani mume asihudumie mtt wake??
      Yy mbona ana maisha mazuri wanaume kuchepuka kawaida km tukisema tuwauwe tutabaki wanawake watupu ni upungufu wa fikra tuu

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x 3 місяці тому +4

    Yani ningemuacha aende tu kwa mazingira ya nyumba hii halooo atajiju mm napambana na watoto na kuremba nyumba na biashara

    • @RittaBryson-co4vp
      @RittaBryson-co4vp 3 місяці тому +1

      Hivi wewe....umetafuta nae from zero saivi mna vingi Ivo uache TU akagawe jasho lako kwa mchepuko!! Hufikirii sawa na wala sijasema kuua ni sawa.

  • @user-wc3hn4kt1x
    @user-wc3hn4kt1x 2 місяці тому

    Hilo li Mwanamke litakuwa liMACHAME. Hakuna Mwanamke wa Kichaga anayeua zaidi ya MMACHAME. Wanaume tukae mbalii na Wamachame..

  • @fadhilajamal217
    @fadhilajamal217 3 місяці тому +2

    😢😢😢mjengo wa maana kabisa maisha mazuri sasa unamuuwa nn

  • @victorsolomon-ze8uw
    @victorsolomon-ze8uw 3 місяці тому +1

    Moyo wa mtu ni kichaka, unaweza kufikiri amemuua mumewe kwa wivu kumbe mtu alishapiga mahesabu ya kumiliki hiyo mijengo na biashara na kimada ametumika kama kigezo tu cha kumuangamiza mwenzake,siamini kama kweli hakumjua huyo kimada siku zote hizo.Anajua atafungwa lkn atatoka mapema tu.Na wanawake wa kaskazini ndio zao hizo,mapovu ruksa.

    • @user-km1do5lq7c
      @user-km1do5lq7c 3 місяці тому

      Ukweli kabisa kaka.mimi ninavyo jua serikali ya Tanzania Sheria ni ya munyonge.kwanza hiyo kesi itatupiliwa mbali.huyo mwanamke muwaji atawachiliwa pesa itatumika.hakuna Shahid atandikisha report kwa police ya Tanzania kua aliona tukio likifanyika.watakao muzaidia huyo muwaji mwanamke ni mashemeji lakini inauma kweli poleni

  • @nuruabraham3769
    @nuruabraham3769 2 місяці тому

    hasira hasara ona sasa umepata faida gani, hata kama inaumiza lakini umepata nini kutoa uhai wa mwenzako? yaani uliangalia wivu wako tuu hata hukuwaangalia watoto kumkosa baba yao kweli na vipi kuhusu ndugu zake ambao walikuwa wakimtegemea. MUNGU AKUSAMEHE.

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam9960 3 місяці тому +1

    Wake wadogo/michepuko,Wanakuwaga na wivu mnooooo,kwa waume ambao wamewakuta tayari wana miji yao na ni roho mbaya komeshaaaaa.Wanaume wajifunze kutulia na mke mmoja hata kama ni kisirani badirisha chumba.

  • @neemamwakasape1630
    @neemamwakasape1630 3 місяці тому +10

    Mungu tunaomba mwisho mwema

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb 3 місяці тому

    True. BBL is rampant in Nigeria. Here in TZ it is not heard frequently. And those who do it must be very rich coz she has to travel abroad for the surgery. I also think most Tanzanian girls are well shaped so no need of bbl.

  • @user-hw7kz8rv2c
    @user-hw7kz8rv2c 3 місяці тому +1

    Poleni wanafamilia

  • @ilakozasembumende1975
    @ilakozasembumende1975 3 місяці тому +4

    Kwa shemeji .kwa mke mdogo😢😢😢😢 ndugu wamume jamani😢😢😢😢 pole kaka kwa kuawawa pole mama kwakumuua mpenzi wako wa ujanani na kuacha watoto peke yao😢😢😢😢

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 місяці тому +1

      Ndugu wa huyo Marehemu wabaya sana watamuitaje hawana wa ndugu yao ati mke mdogo?.Marehemu kaoa Kanisa Kidini ndoa ya mke mmoja, hajamuacha iweje waseme mke mdogo hawajitambui. Inaonyesha wazi pamoja na mke mkubwa kuwazalia watoto 6 lakini hawapendi .wanabariki mchepuko mfuata mali za ndugu yao .

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 3 місяці тому

      She is really wife because she's have a baby with husband, in this world not have a man who can stay with one wife, I am sorry ladies,😂😂😂😂😂😂, man can take a for ladies, ladies,

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 місяці тому

      @@aminakasim1198 Kuwa na mtoto sio kusema ndio mke wake. Huyo ni hawara tu mchepuko kwa jina lingine. Angetaka kuhalalisha awe mke angevunja ndoa ya kanisani ya mke mmoja, kisha akaoa mke huyo anaemtaka .Lakini kwa uoga wa kujua akivunja ndoa watagawana mali akaona aendelee kuchepuka huku akimuudhi labda na kumnyanyasa mke wake kisaikolojia. Mungu ampumzishe kwa Amani poleni wafiwa na watoto.

    • @ElizabethMkini
      @ElizabethMkini 3 місяці тому +2

      ​@@aminakasim1198 A big fat nooooo!I disagree with you...out there they are plenty of good hubbies...so don't generalized...Don't give these cheaters "air time" ...They have to respect matrimonial vows and the notion of the sanctity of the marriage at the first place...that concubine is not a wife😮

    • @ilakozasembumende1975
      @ilakozasembumende1975 3 місяці тому

      @@ElizabethMkini kabisaa kua ni dhambi kubwa .lakini uzinzi pia ni dhambi kubwa sana. So kwa kilichofanyika wote wa talipia ubaya walio fanyiana . Japo kumtoa mtu uhai ni hukumu mbaya sana na ni jambo baya sana. Ila kusikia mume wako ulie zaanae anakimada na amekijengea na amezaa nae kabisaa ni jambo ambalo bila nguvu ya mungu kuvumilia ni ngumu sana jambo lakwanza linalo kuja nikuua katika usariti masikini. So huyo dada mimi namuonea huruma sana sana natamani atoke gerezani aweze kulea watato wake nikama ameua bila kukusudia jamani . Tuliona kesi ya lulu na kanumba lulu aliua ila aliua bila kukusudia so ata dhamana huyu dada anaweza kupata tuu na kesi aka hukumiwa miaka miwili akarudi kulea watoto wake

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 3 місяці тому +1

    Wanawake wengine wapuziii sana unaua Cha moto atakiona hapa Dunia alikuwa halali njaa ni kiherehere chake mwanamke Moja hudumaza akili watoto wanajuwa wanasikia uliuwa baba yaoo laana kajitengezeaa

  • @AnethWambura
    @AnethWambura 3 місяці тому

    Wanaume wote waone ujumbe huuu.....mwingne kosa la kuchepuka mwingne la mauaji kwann lakn

  • @user-ow7pl6tz2c
    @user-ow7pl6tz2c 3 місяці тому +7

    Yani apo ndugu mnaficha uyo sio mke mdogo ni kimada cha uyo baba

    • @MaryamAlli-is1jg
      @MaryamAlli-is1jg 3 місяці тому +1

      Ilivyotangazwa mwanzo ni hawara na sio mke wa ndoa

    • @beatricepallangyo2821
      @beatricepallangyo2821 3 місяці тому +1

      Kwani Wakristo tuna wake wawili? Zaidi ya mmoja ni kimada siyo mke Kikristo

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 місяці тому

      Wanaonyesha hawampendi mke wa ndugu yao ndio maana wanabariki uzinzi

    • @tanzaniaafrica7019
      @tanzaniaafrica7019 3 місяці тому

      Sasa apo ata kama ungekua wew ndugu yako amesha uwawa na uyo mwanamke uraonyesha upendo vimada walikuwepo toka enzi za mababu na wataendelea kuwepo sasa kapata faida gani unaacha watoto wako wateseke kwa sababu ya hasira zosizo na faida ​@@leokamil6284

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 3 місяці тому

      Ladies ladies let me tell you, in this world aman can't sit, with one wife, forgot about Christian, religion,,

  • @user-bl4sy5ei1k
    @user-bl4sy5ei1k 3 місяці тому +2

    Haya ndio madhara ya kupata mpaka kuvimbiwa kuna watu hawatakiwi kuwa matajiri kabisa. Yaanu mtu hela inampelekesha mpaka mke anamuua. Hapo mke anaenda jela na yeye kashaondoka mali wanachukua ndugu kiulaini.

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 3 місяці тому

      Yaani mabibi wadogo wanapenda penye hela

  • @luluzegema5782
    @luluzegema5782 3 місяці тому +1

    Yan mimi atembee ata na chizi atajua mwenyewe simfanyi chochote Kwanza nimemkuta ukubwan tu anayemjua ni mama yake Mimi nitawapenda wanangu yatosha🙏😭😭

    • @neemajerome7981
      @neemajerome7981 2 місяці тому

      Labda uwe huna mapenzi nae unajua moyo ni kitu cha ajabu sanaa and utaruhusu hayo yatokee mwisho wa siku unakuletea maradhi wewe umekaa zako tu nyumban umetulia

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 3 місяці тому +2

    Haya mwenyewe niliwaza hivyo,yani watoto TU jamani😢

  • @michaelkamunyu567
    @michaelkamunyu567 3 місяці тому +4

    Wanawake wakichaga ndo walivo ni masingle maza weng wanasbria tu mzee andae kila kitu baada ya hapo wanamkwida shenz kabsa

    • @user-xd4lu1xl6c
      @user-xd4lu1xl6c 3 місяці тому

      Kwn hao wanaume wote wanaowauwa wanawake na kuwanjicha ni wachaga?kila siku mauwaji saizi wanawake tuna asila sn

    • @DM.2200
      @DM.2200 3 місяці тому

      Una uhakika uyo mam ni mchaga au unaongea tu ujinga pia wanawake wamechoshwa saiv mpaka mt anakuzalia watoto sit bado thaman huioni we si utakua balaa😢😢

    • @user-db2hi8jn3e
      @user-db2hi8jn3e 3 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 3 місяці тому

      Koma kabisa nyau wewe

  • @user-gv8yn9lg1i
    @user-gv8yn9lg1i 3 місяці тому +1

    Wanawake wa Kichaga .... hata bure sitaki.

  • @fatumaissa2624
    @fatumaissa2624 3 місяці тому

    Mwenyezi mungu amulaze mahari pema pepono

  • @heriethsamwel7190
    @heriethsamwel7190 3 місяці тому +1

    Hata kam alikuwa anamfahamu awezi sema 😮

  • @FelisterMunissy
    @FelisterMunissy 2 місяці тому

    Hyo ni sadaka imetolewa hamjui tu hiz mali tzamen tu hyo ni sababu tu huyu mungu achezew

  • @NellyFrancis-nn3qb
    @NellyFrancis-nn3qb 2 місяці тому

    Mmh jamani mungu akupe mioyo mikunjufu

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 3 місяці тому +2

    Afadhali kamuua mumewe ingependeza na yeye anyongwe wakapendane ukouko milele

  • @AnameryGadius
    @AnameryGadius 2 місяці тому

    🎉

  • @mymuhnabdallahshaban7763
    @mymuhnabdallahshaban7763 3 місяці тому +1

    Ten mwanamme kajeng nyumb nzur t mke mkubw alikuwa na Maisha mazur jumba la kifahari na gari juu umenunuliwa na kutembelea bs angefikiria watoto wake kwanza kabla ya kufany tukio saiv watoto wataish mazingira magumu San sababu baba kafa mama ndo atahukumiwa jela maisha ina maan mali za marehem watashikilia ndug watoto hawatapata kufaid mali za baba yao maan ndug pia Hapo hizo mali na biashara wanazitolea macho 😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @ElizabethMkini
      @ElizabethMkini 3 місяці тому

      Jamani hajafata nyumba...kikubwa usi mjudge hujui alikuwa anapitia nini...

    • @estherkimario7940
      @estherkimario7940 3 місяці тому

      ​@@ElizabethMkinisasa apata faida gan kaendeshwa na hasira za kijinga hajafikiria kuna njia nyingi za kufanya mume atulie kusalitiwa kawaida kwa mahusiano ya sasa sasa hao wtt watateseka kwa ujinga

    • @ElizabethMkini
      @ElizabethMkini 3 місяці тому

      @@estherkimario7940 Faida hapati kaa ukijua kila mtu anapokea jambo tofauti...ni kumuombea tu hata huko alipo analia na kuomboleza...yote ni kazi ya shetani na mume angetulia yasingetokea haya yote...

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 3 місяці тому +1

    Hii nikukosa hofu ya Mungu.

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 3 місяці тому +2

    Nyumba nzuri sana

  • @GraceMakenga-zd1vn
    @GraceMakenga-zd1vn 2 місяці тому

    Marehemu kafa akifanya umalaya😅😅😅😅 afe tuuu umalaya tuuu

  • @salcle9702
    @salcle9702 3 місяці тому +2

    Mama prado baba R4 kweli kina mama wa kichaga kiboko😢

    • @palokuthereza2555
      @palokuthereza2555 3 місяці тому

      Sasa Prado lazima adrive mume 😅

    • @estherkimario7940
      @estherkimario7940 3 місяці тому

      Halafu bdo u naua hivi kwel huyu mama mbona katil na huo mjumba na mazingira sasa me hata nisingejali nazingatia maokoto mahusiano ya sasa kusalitiwa kawaida huyu bdo mshamba watt watateseka hao maana hawajui shida sasa cjui apata faida gan

  • @neemajerome7981
    @neemajerome7981 2 місяці тому

    Wanawake sisi tunapitia Mengi sanaa wanaume huwa hawaridhiki hata ufanye nin

  • @LesingoBaraka
    @LesingoBaraka 3 місяці тому +3

    Wachagaa tena mambo ya kawaida

  • @consomatogaudence136
    @consomatogaudence136 3 місяці тому +1

    Kuna siri kubwa nyuma ya pazia huenda huyu mama amtumika kama chanzo ila huenda cy yeye maana kwa harakaharaka cy akili zake

  • @rebbywealth9869
    @rebbywealth9869 3 місяці тому +1

    Ndo ya kikristo haina mke mdogo.... huyo mwingine ni hawara, tumieni kiswahili vizuri

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 3 місяці тому +4

    Mapenz yanauma omba usisalitiwe🤐

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 3 місяці тому

      Kwani amekuwa wakwanza kusalitiwa duniani? Ujinga tu unaua mume kisa wivu.

  • @OsiGaddy
    @OsiGaddy 3 місяці тому

    Mungu atusaidie 2

  • @idinado-wk3lx
    @idinado-wk3lx 3 місяці тому

    Wanawake wa Moshi Mimi nawaogopa sana maana matukiyo kwenu yamekuwa mengi sana mala kuuwa wazazi Kisa Mali mala muuwe wame zenu namengineyo mengi njiee TU duuuu

  • @user-ih9ou6bx2n
    @user-ih9ou6bx2n 3 місяці тому +2

    Mwanamke umejengewa nyumba nzuri bado unamuua mwanaume du

    • @givenessdavid3743
      @givenessdavid3743 3 місяці тому +11

      Mapenzi ni mapenzi na nyumba ni nyumba

    • @user-xd4lu1xl6c
      @user-xd4lu1xl6c 3 місяці тому +1

      Unajuaje km mwanaume amejenga mwanamme peke ake?huenda mwanamke alitoka mbali mpka hapo walipofikia leo hii mtu anazaa nje ya ndoa ht familia haijui km ana mchepuko ht mimi nauwa

    • @SuzanRowland
      @SuzanRowland 3 місяці тому

      Kwao hawana nyumba?watoto sita alfu pimbi analeta stress ndani

    • @DM.2200
      @DM.2200 3 місяці тому

      ​@@user-xd4lu1xl6c Haswaaa asilimia kubwa hapo wametoka mbali em fikiria watoto sita na pia sio kwamba mama alikua hafanyi kaz walikua wanatafta wote af mwingin anakuja kula kirais tu aweeee patachimbika labda ka una moyo wa chuma

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 3 місяці тому

      Hata kama angezaa watoto 10 hakutakiwa kuua mwezie

  • @hellenmollel6679
    @hellenmollel6679 3 місяці тому

    Mungu atusaidie jamani, kweli unaishia jela unaacha watoto wako kwa sababu ya mtoto wa Mama Mkwe? hapana kwa kweli mimi nina kwangu na watoto wanasoma ningekula niendelee kunenepeana kama nguruwe niwakuze wanangu, sasa unaua mwanaume watoto wateseke wenyewe kweli?

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 3 місяці тому

    Chepuko jipange,utafukuxwa kwa nyumba km jambaxi sugu,hao hao wakijichanganya eti mke mdogo,mchepuko una nux kutembea na m2 then afe.

  • @faithlutainulwa3832
    @faithlutainulwa3832 3 місяці тому

    Toba Kwa ajili ya hiyo laana ya kumwaga damu, ni muhimu.

  • @queenmollel6739
    @queenmollel6739 3 місяці тому

    Poleni sanaaa tena sanaaa

  • @CarolinaMwagala
    @CarolinaMwagala 3 місяці тому

    Huyo mama ni mjinga sana jamani

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 3 місяці тому

    Amma kweli hasira hasara mhuuu

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 3 місяці тому +7

    Wenye hela hawana amani jamani.wakati mwingine bora ukiwa huna mambo mengi yanapungua

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 3 місяці тому

      Kabisaa aisee Amani hakuna

    • @user-mr7gl5ox6u
      @user-mr7gl5ox6u 3 місяці тому

      Weeee ndo yaleyale tu wanaume weng hawatabirik

    • @happynesssamwel2917
      @happynesssamwel2917 3 місяці тому

      Ata mwanaume asie na pesa Bado anachepuka hivo hivo

    • @sophiakimaro5174
      @sophiakimaro5174 3 місяці тому

      Atachepuka lakini hakuna wa kumfuatilia kihivyooooo!utapoteza mda uchukue mpaka kisu unapigania nn hapo?huyu alikuwa analinda utajiri wa mumewe.

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 3 місяці тому +1

    Dah

  • @joycefrances4516
    @joycefrances4516 2 місяці тому

    wanaume tulieni na wake zen u,mnaleta shida kwenye familia,utakuta wameanza kwa kulala chini,analeta uhuni,dah, aisee,mhhhh inauma,

  • @marcosnjau1630
    @marcosnjau1630 3 місяці тому

    Innah lilah wainnah ,illah RAAIJUN🤲🕯

  • @user-lz5it9yn4q
    @user-lz5it9yn4q 3 місяці тому

    Una watoto6, una gari na nyumba nzuri t haf unajipeleka jera kipuuz hivyo!!!! Mwehu kwel

  • @barutiabuu9492
    @barutiabuu9492 3 місяці тому +2

    Mimi mchaga sio ukitaka maisha ya amani oa kabila lengine nasio wachaga wana wake wakichaga wanekua wapuuz wamwisho zamani walikua na akili ila sasa wamekua wapuuz wamwisho kabisa oa wachaga uuliwa hawashindwi kukuua hata na chakula hawa

    • @DM.2200
      @DM.2200 3 місяці тому

      Huyo mama sio mchaga mume ndo mchaga so correct your point

    • @calvinpaul2171
      @calvinpaul2171 3 місяці тому

      Nkwel

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 3 місяці тому

      Kanye chooni, tutaolewa tu kwanza nani aolewe na wewe kapuku

    • @HellenMally
      @HellenMally 3 місяці тому

      Acha kutukana toa hoja

  • @neemahezron486
    @neemahezron486 2 місяці тому

    Watoto wanapitia mengi baba amekufa mama jera

  • @annamartine6669
    @annamartine6669 3 місяці тому

    Kwa marehem pazur❤❤

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769 3 місяці тому

    Ukiolewa kwajili ya mali utaona sawa tu mume kufanya chochote mradi anakupa pesa ila kama umeolewa kwa mapenzi ya dhati lazima utatikisika sana ndomana wapo wanaume pia wanauwa wake zao kwa uchungu wa mapenzi kwanini wasiamue kuoa mwingine? Yani hapo mungu tu akuvushe ukiweza mshukuru mungu usijisifu

  • @anunalamin6472
    @anunalamin6472 3 місяці тому

    Bora uislam walieka sheria wanne hakuna mambo na kujificha kuliko mambo ya ndoa moja michepuko kibao wanaume ni wale wale tu

  • @chimamilion
    @chimamilion 3 місяці тому +1

    Yn mimi niwekwe kwenye mjengo huo bdo tu nifanye ujinga aiweee mi ningemwacha aende loh sema shetani nae apunguze usenge ss ni nn iki jmn

  • @ChugaKazi
    @ChugaKazi 3 місяці тому

    Acha tu afe tena Kama Kuna uwezekano wa kufa mara mbili na afe tenaaa kudadekiii mshahara wa zambi ni mauti sasa michepuko si zambi sasa mnaumia Nini mtu kupokea mshahara wake

  • @reginaogutu2129
    @reginaogutu2129 3 місяці тому

    Hasira ni hasara, usifanye maamuzi ukiwa na hasira.

  • @summanelson5523
    @summanelson5523 3 місяці тому

    Loh masikini! Sasa mke kafanya nini? Na yeye kajiua kabisa. Hana Maisha tena!

  • @HappysangaHappy
    @HappysangaHappy 3 місяці тому

    Daah imenitoa machozi mm

  • @user-mv1gv2pp4n
    @user-mv1gv2pp4n 3 місяці тому

    Mh hivi tunaishi na wanaume kwa savabu ya pesa au mali hapana tusidanganyane

  • @ramadhaniJUMA-sg8ef
    @ramadhaniJUMA-sg8ef 3 місяці тому

    Aaa😮😢

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 3 місяці тому

    Ila jamani siwezi kumuuwa mme wangu siande tu kwani utafanya nini sasa kama mwanaume kaamuwa?ifikie hatuwa wanawke tusijipe presha wanaume hatukuzaliwa nao

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA 3 місяці тому

    Dah jamaa alijijenga mno aisee

  • @EngleUria-jx4kn
    @EngleUria-jx4kn 3 місяці тому

    Duuuuuh c kwa mjengo huo jmn unamuua mume watt wanabaki yatima kwaajili ya hawara.

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 3 місяці тому

    Mwanamke akifikia hapo jua kwanza ajutiii uamuzi wake, pili hana cha kupotez

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 3 місяці тому

    Unaweza kumpa kila kitu na anakuwa inaumizasana uyo mwanamke amekosa Nini kwenye utajili uo jumba zuli kanunuliwa Prado pesa ipo uyo mwanamke anyongwe nishetani afai kabisa

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi460 3 місяці тому

    Dahh! Wivu wamapenzi pamoja na Roho mbaaya vinakwenda kugharimu Maisha yawatoto

  • @nimuhimusana
    @nimuhimusana 3 місяці тому

    Hivi anakuzalia au mnazaa.....??????