Ila bongo bhana kipi jema? Nakumbuka mtu ambaye alikuwa ana hiyo ndoto ya kufikisha game yetu mbele alikuwa AY ila sasa DIAMOND kashika hicho kijiti kweli wana haki ya kusema hivyo ila kwa nini tunakuwa tuna angalia upande wa kuvunja moyo tuu na unajua mashabiki wa bongo kitu kikisemwa kwenye Media kubwa kama hiyo basi wanakichukua kama ilivyo yaaan tubadulike bana anajitahidi tumpe heshima yake nasi kumkatisha tamaa hivyo yaaan
Kwani jonijooh bado anatangaza? Mm namjua kupitia wasafi tv. Sns achen kuwapa clout wajinga kama hao. SNS is far bigger than jonijoh .Fredwaah caome on bro you are legend unajua? Vp bwana
We bro nakupenda saana.And I appreciate very much what you're doing.Yaan ww unastahil kufanikiwa kabsaaa ht Mungu anajua.Hakuna mtangazaji mwenye sauti nzuri inayofit in formal or street like yours. But also the intelligence and humbleness withnin.
Natoka drc kongo pa Kinshasa ila watanzania ni tu nabii haana eshima kwao, akifa diamond platnumz basi mutalia jinsi mziki wenu utashuka sana kama filamu zenu
N gharama kubwa zaid pia kumshrksha msanii wa marekan ambaye yuko on top now . Cost management hyo imagine unamwambia Chris Brown unamshrksha cost yake n kubwa mno. Ila Diamond kaweza mno na n mwanzo mzur kwenda kwa wakina Chrisbrown sasa na wengneo weng sasa mnaosema wenye maajabu zaid. Taking all things postive
Watanzania mda mwengine mna boa sn ivi bila diamond ku fanya iyo ft mgetoa huo uchambuzi wenu shidweni na pepo ya umaskini tupo USA 🇺🇸 na twaicheza comasava
Kwanza no body listens to radio anymore. Now media ni youtube na nyie wakina sns na millard ayo mliotangulia bdae mtakuja kua then next big thing keep it up
Hapo wakazi umeonea watu wengine bwana hao wanamawazo.mafupi. Una wanweza ukafanya na.mtu mkubwa mwenye hot soup na nymbo ikawa.mbaya. think twice before you talk. Hao watangazaji kwa kifupi viziwi na vipofu hawajiu kitu. Diamond ana akili sana. Hafatagi mawazo ya.mtu anafata mawazo yake ni yeye km yeye sio.photo.copy. na bado mnazidishia atapaa.sana.tu
Hao watangazaji watoa maoni yao kwa kinyongo , ila ngonja tusubiri mda uende ndio tutajua kuwa ana impact au hana impact, yaani video ina SK moja tu mmeanza kujaji mmmmmmm bongo bwana hatunaga jambo hahahaha!
Majizo unaangalia vigezo gani kumuajiri mtangazaji mbona unaajiri watu walio chini ya uwezo hawana upeo ndiomaana median zingine zinakuwacha mbali sana
HATA WAKATI ANAANZA KUWASHIRIKISHA WASANII WA CONGO DR MLIMCHEKA SANA OK KUANZIA INAMA NA FALLY, yope na INNO’S B NA WAAAH NA KOFFI OLOMIDE ANGALIENI NUMBERS ON UA-cam KILA MTU ANASHIRIKISHA YULE ALIYEELEWANa naye kwa mda fulani, kwani kuzozana kupo katika maisha.
EFM wanacheza na moto diamond Platnumz ndokila kitu Tanzania hii sisi mashabiki wake tukisema basi hiyo radio wataifunga, kwa nini wanaoleta zarau au tuseme wanajua nini kuhusu mziki zaidi ya Diamondplatnumz wasifikiri labda amekurupuka hapana bali anajua kama Derulo nimkubwa pia atamfikisha sehemu shenzi zao wote na EFM yao😢😢😢😢😢😢
Watangazaji wanafeli kusema mziki kufanya collabo ni Trending wasipaliwe na Tiktok angalia mziki unamfaa nani sio trending kwaiyo wote wamshirikishe Cris brown? MONDI ANAWANYOOSHA na anapita ki Nginjanginja
Diss Diss you can diss even your parents guys that way uncle Majaliwa say skanka is not allowed in our country destroyed our guys look this 🇹🇿 presents
Mashabiki wa Diamond tu unfollow na ku unsubscribe accounts za EFM TV E Majizo umeajiri mataahira, Jason on spotify monthly listeners ni over 31M and a lot of good records, no professionalism hapo, how come unaskiliza presenters wasiofuatlia vitu kwa undani yani wasiojua chochote na hawaogopi kudanganya
Hao Si Wametoka Bushh Juzi juzi hawa Ndo walikua wanamwita #Simba Dimond kwanza walikua hawajui hata Maana yake nini Now Mavichwa yao Yameejaa Maji chumvi Wanabwabwaja Ka Wacshambaa😂😂😅 sorry ila Wanazingua Sanaaah😢
Young killer aliwahi kusema, "bongo ukifanikiwa unachukiwa wazi wazi, ila sisi kazi kazi, wengine tumetoka kwenye msoto, kuoga mpaka tushikiwe viboko..." 😅😅😅
NIMESIKILIZA HICHO KIPANDE...NIMESHANGAA SANA YANI MT MWENZAO WANA MKAZIA HIVYO...ETI NEXT TIME WASANII WETU WATAFUTE WASANII WENYE IMPACT 😂😂DUUUU MIMI NIOMBE WAO WANAO JUA WASANII WAJARIBU TU KUIMBA NA KINGWENDU KAMA WATA WEZA.....AISEE HUSDA NIMBAYA SANA KULIKO UCHAWI.
Hawa majaa ni makuma tu kwa ufupi Derulo unasema umemsaidia mtu ambae total views wa UA-cam billion 25 unasema umemsaidia kujulikana aisee nyie ni wapuuzi kweli.
Ilo ndo tatizo linalokuja pale ambapo unamchukia mtu alafu anafanya vizuri ...inabidi ulazimishe angle za kumkosoa ilimradi tu uonekane kama humpondi yeye kumbe una hate😂😂 kiufupi jamaa wamefail afu inaonekananwalijiandaa kabisa kuchafua dah shame on them
Ni kwer ngoma ya derulo ya mwisho ilo it yan it song ni ngoma inaita Love not war ilitoka 2022 mbaka saiv akuna ngoma yyote alotoa imasumbua kama komasava ni wazi kwamba tumemsaidia 😅
Ila bongo bhana kipi jema? Nakumbuka mtu ambaye alikuwa ana hiyo ndoto ya kufikisha game yetu mbele alikuwa AY ila sasa DIAMOND kashika hicho kijiti kweli wana haki ya kusema hivyo ila kwa nini tunakuwa tuna angalia upande wa kuvunja moyo tuu na unajua mashabiki wa bongo kitu kikisemwa kwenye Media kubwa kama hiyo basi wanakichukua kama ilivyo yaaan tubadulike bana anajitahidi tumpe heshima yake nasi kumkatisha tamaa hivyo yaaan
Diamond Platinum angefanya hiyo remix na Chris Brown bado tu mugeongea mbaya
Sio wangeongea Chris brown ile challenge tu walisema sio kitu Cha ajabu Chris brown ashaisha saiz
@@emanueldranculana kabla afanye walisema ungekuwa wimbo mkubwa ungefanyiwa challenge hata na kina CHRIS BROWN 😂alipofanya tena wakabadili maneno
😅uchawi upo@@rosemahenge9071
EFM inatembea na upepo wa Damiond 😂
Hao kina Jonijo wameshapotea wanatafuta kiki yakurudi mjini.....😂
Brother Sky mimi nakukubali sana ,Wewe nimkweli ,nawapenda sana SNS ❤❤ Simba ni big Aest Africa
Kwa leo nimekubaliana na Wakazi
Leo ameongea fact
Ifike mahali diamond aende zake States, coz wa bongo 🤦🏾♂️🤦🏾♂️🤦🏾♂️🤦🏾♂️ chuki za kijinga
Ht Serena Gomez hana maajabu marekani lkn Rema kamshikirisha kwenye Calm down na ndo nyimbo iliyohit kuliko original song
Watu wanaonyesha chuki za wazi… ni Ushamba
Hawa jamaa wapuuzi sana tena wivu unawasumbua sana naona hawapendi mafanikio ya wasanii wenzake ila hata hawamkomoi Simba la masimba 😂
EFM lazima iende mjini kupitia Simba la Masimba Dangote
Wale watangazaji wa kile kipindi wote ni walevi na wavuta bange tena huyo jonhn ndo kabisa ndo maaan hata wasafi walimtimua pale
Umepigaje hapo
Bangi haihusiki hapo..watu wanaovuta bange wana upeo mkubwa sana
Kwani jonijooh bado anatangaza? Mm namjua kupitia wasafi tv. Sns achen kuwapa clout wajinga kama hao. SNS is far bigger than jonijoh .Fredwaah caome on bro you are legend unajua? Vp bwana
We bro nakupenda saana.And I appreciate very much what you're doing.Yaan ww unastahil kufanikiwa kabsaaa ht Mungu anajua.Hakuna mtangazaji mwenye sauti nzuri inayofit in formal or street like yours. But also the intelligence and humbleness withnin.
Natoka drc kongo pa Kinshasa ila watanzania ni tu nabii haana eshima kwao, akifa diamond platnumz basi mutalia jinsi mziki wenu utashuka sana kama filamu zenu
Umeongea la maan xaan
Kweli kabisa
N gharama kubwa zaid pia kumshrksha msanii wa marekan ambaye yuko on top now . Cost management hyo imagine unamwambia Chris Brown unamshrksha cost yake n kubwa mno. Ila Diamond kaweza mno na n mwanzo mzur kwenda kwa wakina Chrisbrown sasa na wengneo weng sasa mnaosema wenye maajabu zaid. Taking all things postive
Acheni majungu ...let's praise our east African artists
Roho mbaya TU !!! Nyie hata kukoroma hamuwezi
Watanzania mda mwengine mna boa sn ivi bila diamond ku fanya iyo ft mgetoa huo uchambuzi wenu shidweni na pepo ya umaskini tupo USA 🇺🇸 na twaicheza comasava
Marioo alifanya yimbo na mr nice kwan saiz mr nice ana nn BONGO jau sanaa 😂😂
Tafuteni Shughuli nyinyi sikubwata tuh😂😂😂😂💔
Kwanza no body listens to radio anymore. Now media ni youtube na nyie wakina sns na millard ayo mliotangulia bdae mtakuja kua then next big thing keep it up
Kaka SKY ww ndio unafaa uwe unasoma hata zile habari za kimataifa kuliko yule mwenye msauti mzito huwa hasikiki hata 😢
Hapo wakazi umeonea watu wengine bwana hao wanamawazo.mafupi. Una wanweza ukafanya na.mtu mkubwa mwenye hot soup na nymbo ikawa.mbaya. think twice before you talk. Hao watangazaji kwa kifupi viziwi na vipofu hawajiu kitu. Diamond ana akili sana. Hafatagi mawazo ya.mtu anafata mawazo yake ni yeye km yeye sio.photo.copy. na bado mnazidishia atapaa.sana.tu
Watangazaji vilaza wengi wanatokea EFM
Arf nd mnataka gemu liendelee watangazi wenyew wanawivu na wasanii 😂😂😂 kula chuma iko
Aho watangazaji vichaa... Me sio shabik wa diamond ila Jamaa anatisha😊
Roha mbaya tu, watangazaji walitakiwa kupongeza ndio wanaponda, bongo bana
Wimbo mzuri, Jason ni msanii mkubwa
Wao wenyewe ni watangazaji waliokosa mvuto na hawana maajab tena
Hao watangazaji watoa maoni yao kwa kinyongo , ila ngonja tusubiri mda uende ndio tutajua kuwa ana impact au hana impact, yaani video ina SK moja tu mmeanza kujaji mmmmmmm bongo bwana hatunaga jambo hahahaha!
Yoote haya kwasababu jonijoo alifukuzwa kazi wasafi 😂😂😂😂😂
Jonijo chuki haiishi kama demu
Diamond atawanyoosha mamaezenu.
Ona huyu mshamba anazungumzia wigo hajui ngoma kama swalla haujui ngoma kama Good bye
Daaaa kumbe watu wana chuki hivi??!!!!!!😢😢
TV E Ina upuuzi
Majizo unaangalia vigezo gani kumuajiri mtangazaji mbona unaajiri watu walio chini ya uwezo hawana upeo ndiomaana median zingine zinakuwacha mbali sana
Salute sns for correcting those fools
Derulo msanii mkubwa achen ujinga
Wanaujiinga sanaaa❤❤.
😅😅😅😅😅 nimependa sana unavyosoma comment.... Nice 1
True 🔥
Kaka Skywalker umechimbaaaaaaaa nakupa 💯
Ujuaji mwingi😅
Mwisho wanazirika na comment za wasomi😂😂
Wamuite na wao
Wanaropoka tu Jeson anapiga hela ndefu sana apo tiktok tu
Wajinga hao sns achan watakufa na ndevu zao kama mizizi ya bangi
Wa kusini aliimba na shirmuda mlimuandalia tamasha ila bongo🙌😂💔
Asante sana Sky kwa elimu nzuri. Sasa Jonijo na wenzie wachukue madini hayo yawasaidie hasa kuongea bila kufanya utafiti kwanza
Hawa watangazaji wa hiki kipindi ni watu wa kuponda tu juzi ilikuwa Jay melody sio watu wa ku appreciate
Wapumbavu hao
HATA WAKATI ANAANZA KUWASHIRIKISHA WASANII WA CONGO DR MLIMCHEKA SANA OK KUANZIA INAMA NA FALLY, yope na INNO’S B NA WAAAH NA KOFFI OLOMIDE ANGALIENI NUMBERS ON UA-cam KILA MTU ANASHIRIKISHA YULE ALIYEELEWANa naye kwa mda fulani, kwani kuzozana kupo katika maisha.
Ndo maana kumbe Kenya na Uganda wanasema Diamond ni msanii wao,, leo sas nimeelewa aiseee😅😅😅
#wiggle 903M
#swala 1.7B
#savage love.190M
Acheni bangi Jason derulo impact yake ni kubwa
EFM wanacheza na moto diamond Platnumz ndokila kitu Tanzania hii sisi mashabiki wake tukisema basi hiyo radio wataifunga, kwa nini wanaoleta zarau au tuseme wanajua nini kuhusu mziki zaidi ya Diamondplatnumz wasifikiri labda amekurupuka hapana bali anajua kama Derulo nimkubwa pia atamfikisha sehemu shenzi zao wote na EFM yao😢😢😢😢😢😢
😂😂mie wasafi tu ndo redio yangu cna muda na redio zingine 😂
Hawa ni walevi na hapo pengine walikuwa wamelewa😂😂
Watangazaji wanafeli kusema mziki kufanya collabo ni Trending wasipaliwe na Tiktok angalia mziki unamfaa nani sio trending kwaiyo wote wamshirikishe Cris brown? MONDI ANAWANYOOSHA na anapita ki Nginjanginja
Wapo sahihi kabisa.. #Les Twins kuwepo kwenye video kuna more impact kuliko #JasonDerulo
Mtakufa na vihoro! Wanaume wazima mnajichekesha hovyo! Wivu utawauwa
Ulivyo ianza story na ulivyo i wind up binafsi nasema inatosha. Zile brahbrah huenda watapunguza.
Kwani wapo radio gan ao?ifungiwe au walikua wamelewa?😂😂😂
😅😅😅😅😅simba katulia tu yani nawazi kasema😂😂😂😂
Ni ukwel mtupu derulo kaisha hana miujiza yeyote now angekua breezy ingekua hatar nyingne
Diss Diss you can diss even your parents guys that way uncle Majaliwa say skanka is not allowed in our country destroyed our guys look this 🇹🇿 presents
hayo ndo madhala ya kupiga moshi na kuingia kwenye media.....stupid🖕
Wakazi Leo nimemuela
Nyinyi wajinga sana Jason Derulo munamjua nyie vizuri kweli?
Mashabiki wa Diamond tu unfollow na ku unsubscribe accounts za EFM TV E
Majizo umeajiri mataahira, Jason on spotify monthly listeners ni over 31M and a lot of good records, no professionalism hapo, how come unaskiliza presenters wasiofuatlia vitu kwa undani yani wasiojua chochote na hawaogopi kudanganya
Itawauma Sana na ndio simba ameanza more still to come, already Montana and DJ Khaled imewafikia
ifike muda watanzania washimu Kaz tá mtu mana sio Laisss kupata kufanaha Kaz na muana músic Derulo respct 🤨🤨🤨🤨
Wivu
Hao Si Wametoka Bushh Juzi juzi hawa Ndo walikua wanamwita #Simba Dimond kwanza walikua hawajui hata Maana yake nini Now Mavichwa yao Yameejaa Maji chumvi Wanabwabwaja Ka Wacshambaa😂😂😅 sorry ila Wanazingua Sanaaah😢
nyie wenyewe apo mnataka kwenda mjini kwa kumuongelea mondi.
ata atuwajui kipindi chenu wenywe hatukijui. mbuzi nyie
Watanzania wengine hamuna akili kuongea tu mbaya zaidi munaongea ata vitu ambavyo hamujuwe...wasani wenu wakose kolabo kwasababu ya mudomo😅
Young killer aliwahi kusema, "bongo ukifanikiwa unachukiwa wazi wazi, ila sisi kazi kazi, wengine tumetoka kwenye msoto, kuoga mpaka tushikiwe viboko..." 😅😅😅
Kuna comment imesomwa naenda kukagua coment section sasahivi ili io comment ni ipin na niibookmark, huyo jamaa kacoment kisomi sana
NIMESIKILIZA HICHO KIPANDE...NIMESHANGAA SANA YANI MT MWENZAO WANA MKAZIA HIVYO...ETI NEXT TIME WASANII WETU WATAFUTE WASANII WENYE IMPACT 😂😂DUUUU MIMI NIOMBE WAO WANAO JUA WASANII WAJARIBU TU KUIMBA NA KINGWENDU KAMA WATA WEZA.....AISEE HUSDA NIMBAYA SANA KULIKO UCHAWI.
Shida bongo ukijuaa kuongeaa tuu unakuwa mtangazaji,Kwanza wote washambaa tuu wanamaajabugani kwa tasnia ya habari 😂😂😂
Hawa majaa ni makuma tu kwa ufupi Derulo unasema umemsaidia mtu ambae total views wa UA-cam billion 25 unasema umemsaidia kujulikana aisee nyie ni wapuuzi kweli.
Sisi wa congo tuna kubali kazi zenu ila eshima kwa diamond,😂 mkikua studio mnaongea ongea tu mi bange 😅
Ilo ndo tatizo linalokuja pale ambapo unamchukia mtu alafu anafanya vizuri ...inabidi ulazimishe angle za kumkosoa ilimradi tu uonekane kama humpondi yeye kumbe una hate😂😂 kiufupi jamaa wamefail afu inaonekananwalijiandaa kabisa kuchafua dah shame on them
EFM | soon biashara yenu inaharibika kwa kuruhusu huu ujinga.
Jonijoo skutegemeag km anawez ishiwa mpka akawa anaongea huu upuuzi
Amjawaelewa awa mkiwa na akili mtawaelewa mana kuanzia brwon na jaruro wameputa na upepo konasava
Derulo alikuwa zamani huo ndio ukweli au kwa lugha nyingne ni amekuwa cheap
Wakwanza leo naombeni likes zangu 👍
Hao Forbes mm hua siwaamini kwa sabab kuna vtu hua haviendani na uhalisia kabisa kuhusu net worth za wasaniii
hawana shule hawa... diamond anachukua followers wa jamaa
Ni kwer ngoma ya derulo ya mwisho ilo it yan it song ni ngoma inaita Love not war ilitoka 2022 mbaka saiv akuna ngoma yyote alotoa imasumbua kama komasava ni wazi kwamba tumemsaidia 😅
Hata baada ya kusikiliza hii video yote bado una mawazo hayo.... Huna akili masta
Kujua kuwa kwingi
Hio ni kweli
Kua makini pia nawe usiwe una tuposta mambo ya utopolo
Hawa jamaa sauti na sura zao haviendani kabixxaa 😮
Tubadilike ili tuupeleke mzik wetu mbali zaidi!!
Bongo ni kawaida sana kitu kikubwa kirahisisha
Washamba wakiwa wanaongea ushamba
Sasa hapo wakina jonijo si ni wivu ndio unaongea 😂
Wanatafuta kk hawa wavuta bangii😅
Waafrika nakuchambulawatu tuachiyemungu
EFM watangazaji wote ni wavuta bangi😂
Washamba hao wanatafuta kiki za ujinga tu
Awo.Wanafik TU