Na wahanga walipewa nini mpka wakakubali kufanyiwa ufuska hao na wameamua kukaa kimya mpaka Leo hii, Basi nao wanachakujibu maana walitaka au kupenda kufanyiwa ufuska huo bila shuruti otherwise Kuna namna mwamba kaukosea mfumo wameamua kumkomoa...
Umaarufu unasiri zake we fikiri mtu kama Ja Rule na ile musuli yake ya kiume ila na yeye alishikishwa ukuta hii ni kutokana na kutaka umaarufu kukuwa. Subiri siku hizo skendo siku zitafunguliwa Bongo utashanga majina ya watu watakao tajwa
mmmh lakini kama kuna video inaonesha Diddy anamshika paja tyson! na hizi scandal za mond hii inatosha kuhisiwa vibaya sisi wenyew weusi huwa tukipata tunajisahau
Kaka sky kazi nzuri ila naomba nikukosoe kidogo kuhusu hiyo list ya wasanii 20 wanainvolved na didy hasa hapo kwa foxy brown sidhani kama alikua close kabisa na didy Bali huyo ni msanii alikua close na Jay z since she was 16 years ni kama alikua ni msanii wake kabisa mana Wana collable zilizo fanya vizuri mfano ain't no nigga, I ll be good etc so instead of kum mention foxy ni Bora ungemweka lil Kim as alikua officially bad boy signed, pia wapo kama kina graig mack na black rob ambao pia ni officially bad boy artists na hao wamefariki kwa misongo ya mawazo ya maisha na walishalalamika sana kuhusu didy, pia yupo g deep ambae ameroka jela few past months na hujamtaja.... Hawa wanalawama nyingi kwa diidy za kidhulumiwa pia daz effex, 112
@@philipotieno9996 acha dharau mrumdogo ambaye ana cls2 10 million subscribers with international collaboration zinatesa kote kisa Grammy.... In fact naweza sema alinyimwa tuzo hizo sababu hakufanya huo ujinga mnafikiri ...
Unaesoma huu ujumbe MUNGU akulinde na akubariki na akupatie ukitakacho 🙏🙏
Yaaanii Diddy amehusikaa na kila mtu basii huyuu jamaa ni mtuu nomaaa sanaaa.
Hatari
Diamond
Sky big up bro uko vzr sana sauti na mpangilio wa habari ni 🔥 🔥 Keep doing it
Did Hana kes ya kubaka ila anakes za kuwanyanyasa kimapez watu walio nogewa wanataka tena ila did mfanya biashara kubwa
Wanamsingizia Diddy wetu
Kwa nn huamini
Kazi nzurii🎉🎉🎉
😮😮
Wanamuonea Wazungu wa Senge
Mbona diamond hajatajwa
😂😂 Simba badoo mdooogooo sanaaa
Kwanii Burnaboy ametaajwaaa.
Yan nyny wabongo mna ushamba kwhy mlitak awemo
Wana mnyanyasa kwasababu ana mpita jaz yes
No
😢😢
Kwahiyo huyo kaka alikuwa mpenzi wa Diddy
Hatuna uhakika ila kama alikuwa anaingia studio na mtu anayemiliki chupa 1000 za vilainishi, ni ngumu kuwa na hakika kama jamaa hajaliwa jicho
alio angalia nae move mbona hamjamjumuisha
Pamoja na yote mwamba na ushawishi mkubwa akiamua uwe star unakua star
Na wahanga walipewa nini mpka wakakubali kufanyiwa ufuska hao na wameamua kukaa kimya mpaka Leo hii, Basi nao wanachakujibu maana walitaka au kupenda kufanyiwa ufuska huo bila shuruti otherwise Kuna namna mwamba kaukosea mfumo wameamua kumkomoa...
Pesa
Umaarufu unasiri zake we fikiri mtu kama Ja Rule na ile musuli yake ya kiume ila na yeye alishikishwa ukuta hii ni kutokana na kutaka umaarufu kukuwa.
Subiri siku hizo skendo siku zitafunguliwa Bongo utashanga majina ya watu watakao tajwa
Jambo
DID HE DID IT 😳
Yes
Nah
Diamond
Mdooogooo sanaaa.😂😂
Nimeipata kwa wakatiii 😂😂
Wanafanya hivyo ili kupoteza uwezo wa muziki wa Africa,.
mmmh lakini kama kuna video inaonesha Diddy anamshika paja tyson! na hizi scandal za mond hii inatosha kuhisiwa vibaya sisi wenyew weusi huwa tukipata tunajisahau
@@DevZone1089 alisha wekewa pepo la Ng'ono huyo
@@AFRICA_D669 yeah ndo hvy...
Ilikuwa ngumu kuchomoka kwa Didy. Kila aliyetaka kutoboa alijisikia kufankiwa tayari baada ya kukutana na Didy.
Wamuachie bana hao niwivu tu
Kwa nn huamini?
@@mariamunishi4123 kuamin kitu gani
Ila jamaa aheshimiwewote waliokua chin yake walifanikiwa Sana
Kaka sky kazi nzuri ila naomba nikukosoe kidogo kuhusu hiyo list ya wasanii 20 wanainvolved na didy hasa hapo kwa foxy brown sidhani kama alikua close kabisa na didy Bali huyo ni msanii alikua close na Jay z since she was 16 years ni kama alikua ni msanii wake kabisa mana Wana collable zilizo fanya vizuri mfano ain't no nigga, I ll be good etc so instead of kum mention foxy ni Bora ungemweka lil Kim as alikua officially bad boy signed, pia wapo kama kina graig mack na black rob ambao pia ni officially bad boy artists na hao wamefariki kwa misongo ya mawazo ya maisha na walishalalamika sana kuhusu didy, pia yupo g deep ambae ameroka jela few past months na hujamtaja.... Hawa wanalawama nyingi kwa diidy za kidhulumiwa pia daz effex, 112
Asante Adam, uko sahihi kabisa! Tutakuja na makala specific itakayogusa wasanii ambao wamewahi kulalamika kuhusu kutendewa sivyo na Diddy
Kaka Fredrick bundala umeonesha uungwana kwa kukubali umekosea Big up💪
@@SimuliziNaSauti
Kaka Sky upo juu sana kwa kuunga mkono fanz wako.
Na inasemekana Fox Brown na Lil Kim walikuwa na bifu
Mtoto wa tandare no 21
Hayukoo 😂😂 mdooogooo sanaaa.
huku p didy hanao wake 1 😅😅
Kwaio kila aliyepiga picha na didy anahusika? Jambazi akirud mtaani kwake baada ya kazi sio jambaz ni raia tu wakawaida!
Sasa mimi ngoma yangu nitaisikiza pekeangu naomba sikizeni kaziangu pia msabcribe jamani atleast nipate 1000000+ subscriba
Ninavyomjua p diddy hawez kufanya hivyo
Kwa nn huamini?
Una mjua wapi bhana
Simba je vp?
😂😂 huyoo badoo mdooogooo.
@@philipotieno9996 acha dharau mrumdogo ambaye ana cls2 10 million subscribers with international collaboration zinatesa kote kisa Grammy.... In fact naweza sema alinyimwa tuzo hizo sababu hakufanya huo ujinga mnafikiri ...