Weee, Mimi huyu niko nje ya nchi, halafu nilee mbuzi ya mwanamke mwenzangu. Mwenyezi Mungu nakuomba nilindie Mama yangu , angalau nilipie hata sabuni aliyoniogeshea
Hamna cha omani wala nini kwanza huo sio mlango wa arrived ni mlango wa departure pili hicho kibegi hakina ushirikiano wa mtu aliekaa nnje miaka mitano
Nyege tu huwa zinawasumbua baadhi ya team strong 😅😅😅 Alafu kiredio komaaaaaaaa nakwambia hiyo miundombinu ya Jembe letu (Magu)💔 Wadada fanyeni Kaz wanaume wenye mapenzi ya kweli wapo tu acheni kuwahonga meumbwa kuhongwa na sio kuhonga hebu acheni vihereheree 😅😅
@@ZuhuraMwalimuShabani hahahaha hata mie nilikua nahisi huenda ni content tu wanafanya na sio kweli ivi pesa ilivyo ngumu hivyo eti utoe pesa yote hiyo umpe mwanaume tenaaa boyfriend kwakweli mie hapanaaa hata kama awe mume wangu na niwe na Watt naye 🙌😂😂
@@hamidahamidu16 ila wapo mazuzu wa kuhonga mwanaume akirudi anabaki kulia lia pengine hii ni content tu wanafanya ila wapo Masha ghala wanawapa wanaume pesa sijui hawawazi make wao wapo huku huko bongo bwanake naye anahonga kama alivyomuhonga yy 😅😅😅
Naombeni mshaurini huyo dada kama anajipenda na anahitaji kuishi maisha marefu asirudie tena hiyo tabia ya kuja Tanzania kwa mpenz wake bila taarifa,wenye akili timamu wameshanielewa hii ni bongo
Bismilaahi rahmani raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi YAKE AMIN AMIN AMIN yaarab AMIN msiseme dada wa oman sema mfanyakazi alikua oman anafanya kazi oman mkataba wake wa miaka miwili imeishaaa huyoo ni mtanzania siyo muoman
Walah kweli izi pesa atupati kirahisi mtu unakuja kuhumia mwanaume khaaa!! Mwenyezi mungu atunusuru yaani unalala ukiamka pameshakucha na miguu inatetema kama unacheza kiduku kwa kusimama wanawake tujione huruma wanaume awabebeki
Wallah hawa wanaume daaaaahhhh me yamenikuta haya kwa mwanaume wa chuo nmemvmilia nmepmbna naye nahangaika namtumia pesa mwish wa ck qmenisalit na msom mwenzie mpka sasa cna ham na mapenz 😢
Kwanza watu wa oman tunawajua na beg zao sio hizo lamd km anaendaga kudanga maan kule bora dubei omani umetokea wp get la arrival ujatokea hapo wee si wasafiri msitudanganye
Kumpa mwanaume pesa sio kama unamuhonga pengine uyo dada alikuwa anaweka izo pesa kwa uyo kijana ili akirudi waendelee na biashara kumbukeni yakuwa wapo watu pia waaminifu sio wote matapelikama uyo kaka kama umemsikiliza uyo dada hapo amesema sasa mkataba wake umeisha karudi nyumbani ili yeye na mpenzi wake waendelee na biashara kwaiyo msikimbilie tu kusema Kwamba alikuwa anamuonga pengine kulikuwa na makubaliano flani
Mimi nilivyomis wanangu na wazazi wangu huwaga nikirudi break ni nyumbani kwetu na wote wanakuja airport kunipokea tunaanza kupiga stori kwenye gari mpaka nyumbani
Wewe kama mimi nipo uk huu mwaka wa tano ila akili yangu yote ipo kwa familia yangu hata wakinitapeli ni ndugu zangu inauma lakin sio kutapeliwa na mtu baki na hata mwaka nikirudi jambo la kwanza kuona familia yangu na kumshkuru mungu kunipa uzima na uhai kunikutanisha na familia yangu tena
insha'Allah my mie mwaka Jana nimeludi family yote wamekuja tena na gari Yale magari nyuma wazi wamekodi tumejazana kibao hapo story mbaka tunafika sijawa na kihere here kumjuza mwanaume mbaka week 2 ndio nimemtafuta 😂😂😂😂😂😂😂 nashangaaa hao wanaoludigi wanawaza wanaume kwanza kuriko family zao majaabu😂😂
Sio kweli huyu yupo Dara sani anafundisha Wana wake wanao fanya kz omani jinsi wanavo endekeza mapenz wee miaka mi 3 kibegi kidogo afu kimoja? Ila hongera Sana ❤❤❤
Hebu mje huku mwanzo kwa wale ambao wanataka kufanya kazi wakati upon mapumzikoni c kutegea hela za Oman tuu twasafiri hadi Philippines msikae tuu wadada
Tena Muongo sana hana cha omani wala nini Tizama zamaradi TV wamefanya sijui birthday wamevaa nguo nyeupe wapo watatu na shoga yake anatwa Asha mmanga wiki mbili zilizopita haya uko omani kaenda kufanya kazi lini eti ndio anashuka airport Muongo sana huyu dada na kiredio wake
@@ywydhhd7941 hapana bby ul hakuna kurogwa sasa Bora yy anamjuwa mwanaume maana aliondoka wakiwa na mipango ila mm hata kama tuna mipango pesa yangu mmmh sasa Kuna huyo lafiki yangu anatumia pesa hata bwana hamjui mara nenda Hospital mara kanunue nguo mara ivi oyaa dear Alf nimda kidogo na bwana hawakuwahi onana 🤣🤣 walikutania Instagram akawa mke huko huko wakaachania Instagram 🤣🤣🤣 mm Bora nilewe kuliko huo ujinga nikirudi nikikukuta ni sawa mm sinipo ila nikutumie never pesa ni shetani humbadilisha mtu hata kama hakuwa na lengo baya ww unakaa ufanyi mapenzi yy anatumia pesa zako kuhonga apate k mmmh
@@ywydhhd7941 hakuna bana ni ujinga TU nakutaka kuonekana juu watu wana hisi ukimuhonga mwanaume ndo inamfanya asikuache au akupende sisi wa dada ndo Huwa tunapashikilia sehemu yenye miloo ila wanaume ni watofauti mwanaume ukimuhonga anakuona chizi kumbe ww unamnyanyu TU yy anaanza kukutumia ila sisi ukipewa pesa wallah utapashikilia Yani eeh mm naosha nyumba mabati Alf nikutumie pesa yangu sibora nikanywe mapombe TU 🤣🤣
😂😂😂😂😂mama eee..hivi huyu shangazi nae ni mpumbavu hivi kweli kabisaa miaka mitatu huyo mwanaume ni hanisi au anataka akute imeota kutu pumbavu kabisaaa😂😂😂😂
RIP Magufuli mungu akupunguzie adhabu ya kaburi. Raia wako tunakukumbuka sana, asante kwamengi mazuri yako uliyotutendea WATANZANIA.
Ni wapi hapo pachaaaafu
Kwani magufuli kaingiaje hapa wakati kulijengwa kabla hajaingia
Umeandika kwa uchungu umenigusa na mm
😅😅😅😂😂😂
AMINA AMINA
KIUFUPI TUNAMKUMBUKA KWA MENGI
Tusio na wapenz gonga like hapa tuna matapeli wengine😂😂
Tuwe single tu
😂😂😂😂😂😂😂
Tupoo🎉🎉
@@user-vo8go4zj6t nipo hapaaaa☝️☝️☝️
😂😂
Weee, Mimi huyu niko nje ya nchi, halafu nilee mbuzi ya mwanamke mwenzangu. Mwenyezi Mungu nakuomba nilindie Mama yangu , angalau nilipie hata sabuni aliyoniogeshea
Acha tu😢😢
Nahisi sio kweli hii ni kwa ajili ya mafunzo kwetu sisi wanawake mn ata ilo begi linaonesha halina kitu😂By the way asante kwa kutuzindua❤
😂😂😂😂😂begi tupu😂😂
Kabisa ni staged 😂😂😂😂
Hamna cha omani wala nini kwanza huo sio mlango wa arrived ni mlango wa departure pili hicho kibegi hakina ushirikiano wa mtu aliekaa nnje miaka mitano
Afadhali tupo pamoja 😂😂
Me nawajua awa waongo wanapiga ela tu
Na miee nikirudi tz nitakutafuta jamaniii tuliokuwa Oman tujuane hapa LIKE 😂😂😂😂haya tuone huyo mpenzi wake wa ukweli 😂😂😂
Tupo kipenzi
Tupo wengi
Tupo kipenziii mm nitamtafuta anipeleke kwamama aangu 😊😅😅😅
😂😂😂😂mtutafutiepo kazi jmn uku tunakufa na njaa tz
Na Mimi naomba niwe mpenz wako ukija uni suprise
Frenki anataka kusababisha sisi ambao hatujapangiwa tusipangiwe..Jamani Frenki mbona unatuharibia😂😂😂
Nimecheka wallah
Njoo upangiwe si mnataka vya bure tumewashtukia😂😂
Akuna kitonga apa pesa ngumu zawarabu 😢😢😢
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂Sinchekeshe jamaniii njoo nikupangie
Nyege tu huwa zinawasumbua baadhi ya team strong 😅😅😅
Alafu kiredio komaaaaaaaa nakwambia hiyo miundombinu ya Jembe letu (Magu)💔
Wadada fanyeni Kaz wanaume wenye mapenzi ya kweli wapo tu acheni kuwahonga meumbwa kuhongwa na sio kuhonga hebu acheni vihereheree 😅😅
Kiredio katuangusha kwenye hili uongo wa wazi kabisa 😅😅😅😅😅
@@zayumar2955 uyo sio team strong,team strong ha deals na mapenzi weweee 🤣🤣🤣anasngalia pesa tuu n hn ps y kuhonga
MAGUFULI 💪 💪 💪 💪 💪 💪
@@ZuhuraMwalimuShabani hahahaha hata mie nilikua nahisi huenda ni content tu wanafanya na sio kweli ivi pesa ilivyo ngumu hivyo eti utoe pesa yote hiyo umpe mwanaume tenaaa boyfriend kwakweli mie hapanaaa hata kama awe mume wangu na niwe na Watt naye 🙌😂😂
@@hamidahamidu16 ila wapo mazuzu wa kuhonga mwanaume akirudi anabaki kulia lia pengine hii ni content tu wanafanya ila wapo Masha ghala wanawapa wanaume pesa sijui hawawazi make wao wapo huku huko bongo bwanake naye anahonga kama alivyomuhonga yy 😅😅😅
Tushuku dr John Pombe Magufuli kwa kutuachia airport nzuri ina pendeza sana
Mdada hana baya hadi kawapokea begi😂😂😂😂🙌🙌
Alijua ndugu wa mume jmn😢
@@mariamusameer3742 waongo hawa wanatengeneza content
Nmempenda Bure cjui part 2 itakuwaje 😂
Huyu Mdada kama kawapokeya nikwa Maana Aliona wako wawili alifahamu ni Mme na Mkewe ndio Maana kawapokeya
@@perryqwizzle8839 tunasubiri Part ya Pili 2 kwa Hamu
Mamae niache mhudumia mama yangu et nihudumie mtt wa Mama mkwe daaaaaaaaah mungu nisaidie
tena mpenzi ,anamlipia ,alafu ,anapiga kwingne , ,na pikipk juu na duka , kwani lazima kuwa na mpenzi 😂😂😂😂
@@ywydhhd7941 saut iongezwee haitoshi 😄 🤣
Kwakwel acha mama yangu ale pesa yangu mpaka nibaki na makalio😂😂😂😂😂
Umeona hpo katuma pesa weeee mama yke akimuomba anasema hana ata mimi cwezi😢😂😂😂
Daaah maisha haya mwanaume kanyweaaa
9:50 wale wa nyash tujuanee hpo, big up cameraman 😅😅😅😅😅
Kazi ya Magufuli mungu ailaze roho yake mahala pema peponi
Nimependa mdada tajiri alivyokuwa calm 😂🔥🔥❤️
Kiredio ww mmbeaa 😂😂😂😂
Sio kweli ametudanya bana 😂🙌🏾
Jamani kiredio umetupiga begiii alina kitu chochote 🤣🤣🤣🤣
Na awe wakwanza kutoka jmn😂😂😂 na kibegi hicho subutuu😅😅
Naombeni mshaurini huyo dada kama anajipenda na anahitaji kuishi maisha marefu asirudie tena hiyo tabia ya kuja Tanzania kwa mpenz wake bila taarifa,wenye akili timamu wameshanielewa hii ni bongo
Uyu dada n chizi eeh amempangia mwanaume😂😂😂😂
😂😂😂😂
Tena chizi na nusu kumanina zake
🤣🤣🤣🤣🤣
@@rukiaiddyyahaya9506 yaan n mkundu sana ata haogopi kusema usenge wake
😂😂😂😂me kwanza hapo ncheke🤣🤣🤣🤣nilijua tu atasurprisewa yeye 😂😂
Uwiiiiiiiiiiiii nipe hela nisabusikiraibu jamaniiiii😅😅😅😅😅
😅😅😅😅
Bismilaahi rahmani raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi YAKE AMIN AMIN AMIN yaarab AMIN msiseme dada wa oman sema mfanyakazi alikua oman anafanya kazi oman mkataba wake wa miaka miwili imeishaaa huyoo ni mtanzania siyo muoman
Sijui huyu dada kalipwa shingap kudanganya...maan mwenzie anapiga pesa kupitia yy😅😅😅😅
Ukimkuta mwenzio ndani ya nyumba ndiyo suprise itaishia hapo😂😂
😂😂😂 surprise ya mahusiano y Sasa n fumaniz
Sina tu mpenzi ningekuwa nae uko bongo Kiredio tungefanya hii mana watu sio waaminifu this days 😅
Mpenzi nipo hapa sio tapeli sana 😂
KAMA UKO OMAN KIMALENGO USIACHE KUWEKA LIKE .. TEAM STRONG TUJUANE 😄✅📌😀
Pesa mwanzo mapenzi mwisho😊
Nipo Al adhaiba
Mbona bag haina ushirikiano. Mwenzenu hapa huwa na beba kubeba 😂😂
Leta pat two 😭😭😭😭😭 nimeria mpka mwarabu anatak kunipereka hospital
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂@@fatimaharoun-np8uv
😂😂😂
Unalia nini wakati mwenzio wanatengeneza content 😢😅😅 hakuna ukweli hapo. Dada kajipeleka Airport 😂😂. Yan
😂😂😂😂daaaah aisee nimejua kuchekaa
Frenk kaacha mshangaz kachukua wa afumbili😂
Mshangaz ana tako na muelfu mbili nae analo limejaaa daaaaah Frank anafaidi😂😂😂😂😂
@@PiliMachela-i8b tatizo ili
@@user-uz3sr1gg7ushida nikwamba mshangazi ana mawe ingekuwa mm ningekuwa najipigia tu siwezi acha mwanamke mwenyew pesa awe hata awe chongo😂😂
😂😂😂 sijawahi huo ujinga
😂😂😂
Kazi kwa waarabu ilivyo ngumu ...halafu unamhudumia na kumlea mwanaume
We dada are serious with this complicated life
Wwww kaka nimekupenda buleeeeeeee 🎉🎉🎉😂😂😂
Miaka mitatu weeeeee😀😀😀daaaahhh sema pole mpenzi
Tim strong
😂😂😂😂😂 watashtukia nipo zangu kwetu atakua anaambiwa tu na watu kam nisharud swz kwenda kwa mwanaume niache kwenda kwetu miaka miwl sijawaona upuuz
Kabisa upuuzi mtupu😂
Yan niache kwenda nyumbani niende kwa jitu
Huyu kaenda huko ili ajuwe kama mkweli angifikia kwao mwanaume angepata taarifa angemtoa huyo mwanamke alie kuwepo hapo
@@user-fs7xc2bb5d bas hana akili kumuudumia mwanaume huo ujinga uliopitiliza na hil joto la uku we kuweza 😂😂😂😂
Wee nijikute mama kwanza
Daaa,una mwenzio anakupenda mnamaleongo ,kwann ufanye hiv daaa😢😢
Hahaha😂😂😂😂 kiredio jamaniiiii ,,,,,,,,,,,uwiii nitakuita unifanyie challenge mpenziii
Kurudi kuwahi upwiru aaahh😂😂😂😂😂
Amna upwiru apo
😂😂😂😂😂
Loooooh wanaume sio watu wazur mie ndugu zangu siwaamiin jeee mwanaume😀😀😀😀shoga wahamishe uchukùe chumba chako na uendeleze biashara zako pesa za omn zinauma dada angu unalala taaban unaamka majeruhi🤣🤣🤣👌
Walah kweli izi pesa atupati kirahisi mtu unakuja kuhumia mwanaume khaaa!! Mwenyezi mungu atunusuru yaani unalala ukiamka pameshakucha na miguu inatetema kama unacheza kiduku kwa kusimama wanawake tujione huruma wanaume awabebeki
Muongo banah Katia Oman gan na kibegi hicho
Mimi mwenyewe nikirudi home sisemi ng'ooo!! Atashangaa namuambia "baby njoo njeee"😂😂
Asipo zimia daaah
Au ni move bongo Subhanna Allah kama ni kwel Allah atupe fikira wanawake tunaopambana
Kama kuna dada kama huyu anitafute tafadhali like tu hapa
Npo hapa ila kitu utapata ni uwepo wangu tu dear😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂mamae zako
@@pendorobert3552 si ni ukweli😅
Wallah hawa wanaume daaaaahhhh me yamenikuta haya kwa mwanaume wa chuo nmemvmilia nmepmbna naye nahangaika namtumia pesa mwish wa ck qmenisalit na msom mwenzie mpka sasa cna ham na mapenz 😢
Pole ukupigao ndio ukufunzao tafuta maisha mambo mengine yatakuja
@@Awatee kweli kbs
🥹🥹😫
Na hizo pesaa unazo dada😂😂
Ki redio kualibu mapenz ya wenzio yakwako aaaah😂😂😂😂😂 part 2 jaman tuinjoi hii tamu kuliko Zote tuliokua Oman gonga like apa😂😂
Tamu mno
Unafurahia maumivu ya wenzio ya kwako aaaahaa!
Tupoo😂😂
Ubaya ubwelaa😂
@usx9kq6ke2m mnapata wapi ujasir wakuwap watu pesa😂
Sema Huy Dada Kakaa Kuhonga Honga Kwel😂😂😂...
😂😂😂😂😂
Survival Is Winning Franklin 😂😂😂😂😂
Omani Wanaume wengi saaana sijuwi mnawashwa na nini tz jamani 😂😂😂😂😂😂😂alafu mlioko hatutaki hizi aibu teem strong Hatuongi
Nijikute nampa mtu ela 😂😂😂😂😂acha tu nikae msimbe kwan ntababuka
Mimi namjua frank kwa taarifa kamili, tunajua ujio wake😂
😂😂😂😂😂😂
Kumbe wanatuectia hawa😮
Kwanza watu wa oman tunawajua na beg zao sio hizo lamd km anaendaga kudanga maan kule bora dubei omani umetokea wp get la arrival ujatokea hapo wee si wasafiri msitudanganye
Alikuwa ameshaandaa kikojoleo vyema yan na mungu alijua ndizi ingekaa kwenye utumbo mwezi 😅😅😅😂
Moyo wangu unasema Bora nimpende tu alie nizaa😂😂😂
😁😁😁😁😁😁kwelii
Nicheke kma mazuri vile😂😂😂😂😂cjui nguvu munaitoa wp y kulea wanaume
😂😂😂😂 il jmb
Hawa wanaigiza msafiri wa omani tunawajua hatunaga begi moja😂😂😂😂miaka 2 u akili 8 aaaasubutu
@@user-pg6jr7kp2w 😀😀😀😀😀😀
@@zulekhasaud483nimewaza kama mm yaani katoka Oman na kashanta Ka dogo mmh
😂😂😂😂si hawana majukumu zaidi ya kulea wanaume😂😂😂
Kumpa mwanaume pesa sio kama unamuhonga pengine uyo dada alikuwa anaweka izo pesa kwa uyo kijana ili akirudi waendelee na biashara kumbukeni yakuwa wapo watu pia waaminifu sio wote matapelikama uyo kaka kama umemsikiliza uyo dada hapo amesema sasa mkataba wake umeisha karudi nyumbani ili yeye na mpenzi wake waendelee na biashara kwaiyo msikimbilie tu kusema Kwamba alikuwa anamuonga pengine kulikuwa na makubaliano flani
Kwan benki hazipo upumbavu too ???
Kaongea kwa uchungu😅😅😅huenda na yy anahonga@@najmahhassan7853
Point
Hapo chacha @@najmahhassan7853
Etiee mpka ampe mtu amtuzie bank azipo
Waoo kumbe hata kwetu ipo minikajua ni kenya tu lkn pia mtizame cm zao kama wanachitiana
Mbona begi jepesi kama halina kitu 😂 (kutoka Oman)
Mimi nilivyomis wanangu na wazazi wangu huwaga nikirudi break ni nyumbani kwetu na wote wanakuja airport kunipokea tunaanza kupiga stori kwenye gari mpaka nyumbani
Wewe kama mimi nipo uk huu mwaka wa tano ila akili yangu yote ipo kwa familia yangu hata wakinitapeli ni ndugu zangu inauma lakin sio kutapeliwa na mtu baki na hata mwaka nikirudi jambo la kwanza kuona familia yangu na kumshkuru mungu kunipa uzima na uhai kunikutanisha na familia yangu tena
Hii ndo point umeongea et amempangia sii ujinga huu
Hta mimi huyo mume wala
Kuna watu wajinga nyie
insha'Allah my mie mwaka Jana nimeludi family yote wamekuja tena na gari Yale magari nyuma wazi wamekodi tumejazana kibao hapo story mbaka tunafika sijawa na kihere here kumjuza mwanaume mbaka week 2 ndio nimemtafuta 😂😂😂😂😂😂😂 nashangaaa hao wanaoludigi wanawaza wanaume kwanza kuriko family zao majaabu😂😂
Heheheee dada hata haya huna uteseke na mikaz uhonge mwanaume
😂😂😂😂ban
Ajabu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣watu wananguvu. Za pembeni🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Pesa ya Oman inavyouma😮😮😮😮😮
@@maimuna9132 bana wee. Hatar
Yaani duuu ana moyo wa dhahabu @@maimuna9132
Sio kweli huyu yupo Dara sani anafundisha Wana wake wanao fanya kz omani jinsi wanavo endekeza mapenz wee miaka mi 3 kibegi kidogo afu kimoja? Ila hongera Sana ❤❤❤
Halaf kibegi chepesiiiii hakuna kitu kabisa humo,ame akti tu sio kwel kama katoka oman
😂😂😂Boy friend wangu aniongagi kwa sabb awo wavuta bangi😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😅😅kirediooo wa maaana kabisaa
Part two😊😊😢😢😢
Tunaisubili kwa ham kiledio ww ni mwanaume na kilo sio nusu😂😂😂😂😂😂😂
Alhamdulilah kwa sababu sitaki kuchanya mapenzi na kazi nikiwa oman jaman I'm single girl
Hebu mje huku mwanzo kwa wale ambao wanataka kufanya kazi wakati upon mapumzikoni c kutegea hela za Oman tuu twasafiri hadi Philippines msikae tuu wadada
achana na mapenzi yatakuua😂😂😂
😂😂😂😂😂
Mi nipo Omani ila ukiniomba hela nakubroku
😂😂😂😂😂😂@@Zahara-or3cf
😂😂😂😂 na akili zako timamu kabisa unale mtu mwenye meno 32 😂😂😂
😂😂kiredio linafki eti frank wanaweza kua wengi😅😅😅
Oman na kasanduku. Mh, pole na kazi Alhamdulillah
Umeona miaka yote hata majibegi yetu siyaoni,me huwa sipendi vitu havina uhalisia
😂😂😂😂atupumzishe kwanzaa😅😅Oman na Tz wapi kuna joto kwanza
😂😂
Tupo weng 😂😂
Sio kasanduku tu, ni kasanduku af kepesi😂😂
Nife kisa ntatoa tu taalifa mie😂😂
😂😂😂😂😂😂 jaman nimecheka
😂😂😂wanawake mkue na akili jmn wanaume wengine sio watu wakuamini labda baba ako tu pole jmn dada wa oman wadada mwengine tunachakujifunza hapa 😂😂😂
Weekweli umeamini anatoka omani hana hata poshi beg ni moja humjui kiledio wewe hii ni mchezotu
Hahaha ndio tutajifunza
@@neemamtangi4818 inauma sana walai
We ata babah mwenyewe simuamini
@@neemamtangi4818 Hata mm nimewaza hivo
Wenye tuko omani na tutarudi vijijini kwetu bila hata wazazi kujua tujuane😅😅😅
Wa Tz munatudanganya. Eti dada katoka Oman na begi halina hata tag ya kuonyeshabkapansa ndege gani😂😂. Kutafuta Kiki tu
Wadada wa Oman hawanaga akili weng wanalizwa hamjifunzi tu😂😂😂
Km wasengee😢😢
Sema kimeumanaaaaaaa😂😂😂😂😂😂kimekurambaaaaaaaaaa
Atareeeeeeee
@@Zizzah2707 😂😂😂😂😂
Kimeumanaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂
Mi nioikua sipajui mikocheni , kumbe uswahilini , ninapicha yangu nikiskia mikocheni najua ni mitaa ya kizungu kizungu 😂
We jamni sitaki presha za kujitakia mimi pambaneeni na hali zenuu
Nimecheka
Hahahaaaaa
😂😂😂😂😂
We jamaa unajuaga kutupata
Kweli @@HanifaOman-oo4pl
Uongo huyo uongo sianauza mkorogo huyo umetupiga namjua huyo dada vizuri😂😂😂😂😂
Tena Muongo sana hana cha omani wala nini Tizama zamaradi TV wamefanya sijui birthday wamevaa nguo nyeupe wapo watatu na shoga yake anatwa Asha mmanga wiki mbili zilizopita haya uko omani kaenda kufanya kazi lini eti ndio anashuka airport Muongo sana huyu dada na kiredio wake
@@AshuraMaulidmpumbavu anatafuta kiki
Mm nawaza aliwezaje kupiga sm?😂😂😂
Anaitwa nani insta nikaone hyo mikorogo
@@m.mmarckus6298 umeonaeee vipi kapiga sim hata ongea yake sio ya team strong 😂😂
Nimeipenda aliye toka omani😂😂fukuza paka hao😅😅😅
Duuuuu ni huzuni kwa kweli
Hivi kadama hamjifunzi alf unapataje nguvu za kumuhudumia mtu kwa life la warabu okay kadama from iraq❤ niko hapa
Madam yeye
😂😂😂😂😂😂😂labda wanarogwa
@@ywydhhd7941 hapana bby ul hakuna kurogwa sasa Bora yy anamjuwa mwanaume maana aliondoka wakiwa na mipango ila mm hata kama tuna mipango pesa yangu mmmh sasa Kuna huyo lafiki yangu anatumia pesa hata bwana hamjui mara nenda Hospital mara kanunue nguo mara ivi oyaa dear Alf nimda kidogo na bwana hawakuwahi onana 🤣🤣 walikutania Instagram akawa mke huko huko wakaachania Instagram 🤣🤣🤣 mm Bora nilewe kuliko huo ujinga nikirudi nikikukuta ni sawa mm sinipo ila nikutumie never pesa ni shetani humbadilisha mtu hata kama hakuwa na lengo baya ww unakaa ufanyi mapenzi yy anatumia pesa zako kuhonga apate k mmmh
@@salmaalimusa6809 haha haha
@@ywydhhd7941 hakuna bana ni ujinga TU nakutaka kuonekana juu watu wana hisi ukimuhonga mwanaume ndo inamfanya asikuache au akupende sisi wa dada ndo Huwa tunapashikilia sehemu yenye miloo ila wanaume ni watofauti mwanaume ukimuhonga anakuona chizi kumbe ww unamnyanyu TU yy anaanza kukutumia ila sisi ukipewa pesa wallah utapashikilia Yani eeh mm naosha nyumba mabati Alf nikutumie pesa yangu sibora nikanywe mapombe TU 🤣🤣
Type part two basi kiredio😂
Yaan mm nipambane kumpa mwanaume serious 😄😄😄😄
Utapeliwe wewe niumie mm kweli😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅
😂😂😂
😂😂😂😂
Mimi nimpe hela mwanaume? Aisee naweza nikaumwa na kulazwa😂😂
🤣🤣
Yan nilivo mbali ivi aah yake nataka na yakwng naitaka😂😂
😅😅😂😂tuekee part 2 😂😂😂
We kweli boya mama Samia kajenga uwanja lini yaani km mmenywesha maji ya chooni kumsifia mama yenu kitu asichokifanya 😂😂😂😂
Bora hii comment ingekuwa ya kwanza😂😂 waione wote😅
😂😂😂😂😂😂😂
😢😢😢
Chuki ni katika magonjwa yanayowasumbua watu wengi.
Wasenge nyote nyinyi
😂😂😂😂😂mama eee..hivi huyu shangazi nae ni mpumbavu hivi kweli kabisaa miaka mitatu huyo mwanaume ni hanisi au anataka akute imeota kutu pumbavu kabisaaa😂😂😂😂
Tatizo mwanaume hana akili asingeoa au bs angeoa lakin si kweny nyumba ya mwanamke anayolipa yy kodi
@@NaftalMungure Hata kama wew miaka mitatu mtoto si mkubwa kabisa Na kindagate kaanza
@@selinakatega6691 ndio lakini si pale pale kwenye nyumba inayolipwa kodi na mwanamke. Angetafta nyumba nyingne mbali kabsa
Mie nikitoa msaada Mara moja nahisi kama nateketea 😂😂
Kazi nzv sanaa kiredio🎉🎉
Ogopa jina Frank... anyway labda huyu ni mtakatifu Frank😂😂😂😂😂😂😂
wewe hatuna majina wanacheeti kma Frank
😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Umeona eee@@happynesjohanes870
Jina frank nikumwachia Mungu tu
Piga 😂😂😂😂keleeleee kwa frenk🎉🎉🎉🎉🎉 haaa duuuu Bora nisiwe na mupenz😂😂😂😂😂
Mtakuja mkufe na stress , umetoka kwa waiguru ili mje mu enjoy unapigwa na tukio
Duh kuna mijitu inachezea fursa jman 😂😂
Sasaana
Yaani navohangaika hivi wakati wajoto hili leo hii nikahudumie mmwanaume yaa Allah niepushie mimi na hilo pepo😢😢
@@user-mz1uw8sl2r joto mpaka tunapata limonia tuko motoni uku aisee uyu dada mjingaa
Tn pepo kweli yn mm siwezi ujinga uwo😮😮😮😮😮
@@rahimaaaaa5682yaani mie kwanza mtu akiniomba rial 5 tu tena ya kumuazima moyo unasita wallah 😂
Mwili umepata barid kama nimefumania Mimi yani😂
ULILO FANYA LA APO KUJA BILA KUANGA MAKE YANAYO ENDELEA USINGE YAJUA NIMELIA SANA 🤣😭
Nguvu ya kumpangia mtu natoa wapi mimi jamani😂😂
Kwa kweli ana Moyo kama kaweza kumpangia hata ya chakula alikuwa anampa 😂. Mimi siwezi kwa kweli hizi hekaheka za huku nihudumie zee zima
Tuanzie apo kwanza, nguvu unatolea wapi 😢😢
Pesa anazo sas afanyaje
😁😁
tutakuombea wala usijar .. utaweza tu
Kiredio ata begi hujapokea 😂
Maigizo tuu hayo bt ahsanteni kwa funzo
Party 2 ikowapi sasa🙏🏻🤣🤣🤣
Dahaaa huyu kitakuwa kimemlamba huyuuu😂😂😂😂 yan dahaa wa dada wa omani jaamani
Acha kumlambe kwaujinga wapi
😂😂😂@@RejinaSilvesta
Unaacha kwenda kumsalimia Mama ako mzazi, unakimbilia kwa basha wako umalaya tu
Sy umalaya ni uchiz pia mi Nina miaka 4 sijaona sura ya wazazi ,walah ni umalaya kweli😅😅
MI mwenyewe huyo bwana mwenyewe atasikia tu Nina wiki kwa mama yangu mzazi 😂😂
Kuoga aaàh
Yani kuna wanawake ambao kichwani hakuna kitu ni 000+000
KUOGAAA AAAAHHHHH
Oman begi kamoj kweli ww ni muongo dada sio kweli 😂😂
Ulikua nahaja gani kusema unamlipia nyumba daaah!😂😂
Kwani huyu mshangazi wa oman alijua yatatokea haya ila nyie achen bas
Hii sio kweli huyu dada hajatoka Oman ila ni vizur amewafundisha wanatunza wanaume wajue kabisa hawana chao😂😂😂
😅😅😅😅Nashangaa pia mm kibag kidogo eti kutoka omani
😂😂
Kwel
Hahaha kibegi kiduchu kimoja hahaha
Pia chepesi hahaahahhah kibegi dili