EXCLUSIVE: NOORAH AWA MUUZA DUKA, AFUNGUKA MAZITO "KILA SHABIKI NAMDAI ELFU 10, WANAABUDU NGONO"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 444

  • @ImraanSaeed
    @ImraanSaeed 4 роки тому +48

    Noorah maneno mazito. Noorah ni mtu akiongea unamskiliza. Yaani ni minimalist. Simpo language, simple delivery. Big up kwake

  • @Kandege
    @Kandege 4 роки тому +41

    Naona tunaodaiwa mwekundu na Noorah tumekuwa wengi. Hebu tujirejiste hapa 👇🏾

  • @dukeofothaya5039
    @dukeofothaya5039 4 роки тому +35

    Mad respect to noorahs hustle, he feeds his family and has a clear head on his shoulders.....the brother is woke

  • @sylvesterchisenga3707
    @sylvesterchisenga3707 4 роки тому +16

    Unapanda jukwaani ghafla inakujia Picha ya Ngwear, kama yupo pembeni , Mara Mez B unasikia kama anakuita ..unavuta Picha utani Wa Mazengo High school na wana chemba lakini unagundua Ngwear yupo mavumbini , Mez B yupo mavumbini! ... Hamu yote ya kuimba inaisha unaamua kuacha mziki na kuwaenzi wanao! Hongera bro Noorah Kwa busara hizo mpe Hi Dark Master

  • @ThePHARESJ
    @ThePHARESJ 4 роки тому +11

    Noorah alikuwa mwanamziki mzuri. Ila ukweli ni kuwa muziki haukuwahi kumlipa.
    Kuna maisha pembeni ya muziki, sio kila MTU ana destiny katika music industry.
    Good work brother.

  • @peterlujuo1640
    @peterlujuo1640 4 роки тому +45

    Mshkaji amestuka mapema kabla ya kuingia kwenye stress na kutumia madawa, Big up lyrical & flow genius Baba stars.

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel7752 4 роки тому +27

    Huyu jamaa aliwahi kuugua mpaka baadhi ya watu wakakata tamaa ila siku zote MUNGU akisimama nawe hakuna wa kukutetelesha 🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏

    • @suitbertmaro5792
      @suitbertmaro5792 4 роки тому

      Brain concussion eeeh?

    • @ramsikhamis7083
      @ramsikhamis7083 4 роки тому +2

      @@suitbertmaro5792 amaa Shake Memories walitokea madirishani ilikuwa ni Ra4 min walikuwa wanaenda Dom

    • @elishaobadia8829
      @elishaobadia8829 2 роки тому

      @@ramsikhamis7083 umeongea lugha gani!!?

  • @saidikaniki1632
    @saidikaniki1632 2 місяці тому +1

    Allah akuongoze maalim Noorah. Jamaa anajua kujielezea sana! Na vitu vingi sana vya kuwasaidia watu ktk nyanja zote za maisha. Unaweza kutaman kumsikiliza hata masaa 10 na usichoke.

  • @philjonez3324
    @philjonez3324 4 роки тому +68

    Amechukua uamuzi sahihi yaleyale yakina Vanessa uwezi fanya kitu kikawa kinakutoa Hela wakati hiko kitu kilitakiwa kikulipee imagine for 15yrs alafu hufaidiki ..He was my Best Artist back in the days pamoja na Marehemu Mangwea.. Pumzika Bro fanya mambo yako mengine Mziki unastress sanaa

  • @kijitamfyomi5598
    @kijitamfyomi5598 4 роки тому +16

    Jamaa smart sana halafu nimenote kadiri umri unavyokwenda ndio anazidi kua handsome kumbe siri ni ibada anazozifanya TID inabidi ajifunze kupitia Noorah big up sana bro.

  • @kiun08
    @kiun08 2 роки тому +5

    Umetuwakilisha vizuri sana SHY TOWN kwenye Music...Much Respect Bro
    Great Interview

  • @fedrickwilliam1721
    @fedrickwilliam1721 4 роки тому +23

    "WAKUABUDIWA NI MUNGU PEKE YAKE" 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿 Kweli brodha. Like kama unakubaliana na NOORAH

  • @wishfmradiowhatyouwishfor532
    @wishfmradiowhatyouwishfor532 Рік тому +4

    Respect to Noorah this guy knew what club music was tempo, pitch, kick you could mix his songs with anything kwa club na watu hawatatoka dance floor... Respect!!

  • @tinamanzala
    @tinamanzala 4 роки тому +7

    I love this guy na nikawa najiuliza yuko wapi, finally nimemuona 🙏

  • @karimabubakary385
    @karimabubakary385 4 роки тому +36

    Kama namuona mzee ngarama baba nura ustaadhi from kigoma God bless u bro hope hapo kamabarage wadau wanatoa support ya kutosha

  • @anwarfundi5748
    @anwarfundi5748 4 роки тому +23

    Moja Legendary wa Tanzania niliocheza Sana nyimbo zake disco big up real artist

    • @watakaniitaje1215
      @watakaniitaje1215 4 роки тому +1

      Kabisaaa yaani tulienjoy Sanaa Enzi izo sio saa hii kanyaga kanyaga mmh

    • @swabirsudi4859
      @swabirsudi4859 4 роки тому

      @@watakaniitaje1215 😂😂😂ati nini? Kanyaga kanyaga

    • @shardalove1159
      @shardalove1159 2 роки тому

      @@watakaniitaje1215 heheee

  • @dekeif255arttz8
    @dekeif255arttz8 4 роки тому +16

    👊👊👊👊🔥Tengeneza wasanii bro unaakili kubwa sana ya maswala ya music napenda nyimbo zako interview yako imefanya nikukubali zaid bro👊👊👊👊👊

  • @ericklaura7511
    @ericklaura7511 4 роки тому +34

    This man knows how to answer questions in interview, thumb up to him

  • @SirdickOmondi
    @SirdickOmondi 4 роки тому +15

    This the Best Motivational Interview have ever seen....Maisha ya UMARUUFU ni gharama...sometimes Living normal is Good.

  • @johnlyimo2227
    @johnlyimo2227 4 роки тому +107

    Haya tukimaliza kuchek hii interview naomba turud UA-cam kuchek ngoma za jamaa....

  • @JMDunia
    @JMDunia 4 роки тому +3

    Smart sana Noorah. Majibu mazuri na ushauri mzuri sana kwa vijana,wasanii na binadamu wote kwa ujumla. All the best bruh!

  • @mvumobalati2822
    @mvumobalati2822 Рік тому +1

    Mi nimemuelewa sana and so humble, real and honest. Maisha ni mazuri sana, nimemuelewa sana.

  • @kingcopper_tz
    @kingcopper_tz 4 роки тому +28

    Kuna kipindi nilitaka niache shule ili nikafanye mziki, kuna mtu akanambia kama kweli unataka mziki soma kwanza, nimemaliza chuo nafanya kazi niliyosomea pia nikifanya mziki, ila ni mwaka wa tatu sasa sijatoka kimzki, nawaza bila hii elimu ningekuwa nimekata tamaa na maisha labda

    • @dennmkumbala1779
      @dennmkumbala1779 4 роки тому

      Kwer bro mipia napenda san mzki nafanya mziki uku na fanya kaz mwak wa5 nafany na bado miyayusho bila kaz ninge maish yasingeenda

    • @tinamanzala
      @tinamanzala 4 роки тому

      Muziki unaumiza sana wanamuziki

    • @dottodavid1935
      @dottodavid1935 4 роки тому

      Tuko wengi kwenye hili
      Mziki ulinichukuwa kiasi cha kutaka kuwa my major career
      Lakini sasa miaka kibao imepita nimeopt kuinvest kwenye media tu
      Mziki stress sijutii kufanya nnachokifanya kwa sasa

    • @bromanfexxaofficial935
      @bromanfexxaofficial935 3 місяці тому

      Mimi nafanya kwa vile napenda tu kutokana na mfumo wa bongo industry hakuna heka kwenye muziki .....😂😂😂

  • @thomasnachenga795
    @thomasnachenga795 4 роки тому +39

    Nina elf 10 yako bro bila ubishi...ila mm nafkir unanidai zaid ya hiyo. Sabab umeinspire kitu kikubwa sana ndan yangu..."UKURASA WA PILI"

    • @yusufmwangichannel6692
      @yusufmwangichannel6692 4 роки тому +1

      Saidia masikini na fukara utapata malipo mazuri kwa Mwenyezi Mungu

    • @giselaherman6799
      @giselaherman6799 3 роки тому

      Kwanini tuditafute namna ya kuchanga na kumtumia bro... Mimi roho inaniuma nahisi ananidai saaaaana

  • @allyirunde7198
    @allyirunde7198 4 роки тому +9

    Noorah nakukumbuka sana kwenye nyimbo yako ya lugha gongana aseee nilikua nafatilia mpaka interview zako ulisema hio nyimbo uliifanya pekeyako na ulifanya sehem ambayo alitakiwa akae mwanamke 💪🏽💪🏽💪🏽 noorah

    • @nassirshiboli4424
      @nassirshiboli4424 8 місяців тому

      Wimbo wote aliandka yeye ila Ile sauti ya kike Alikua ni Sara (shaa)yule wa kundi la WAKILISHA

  • @jamesgeofrey8692
    @jamesgeofrey8692 4 роки тому +23

    A man is smart. Dat’s why he had a good and distinctive lyric. Now I see...

  • @jacksonelias2417
    @jacksonelias2417 4 роки тому +9

    Wasanii wa Zamani Shule ilikuepo buana!..sio wasanii wa sikuizi Shule ngumu vingereza vingi much respect Bro@buku ten yako ninayo😂

  • @jysleek5241
    @jysleek5241 4 роки тому +11

    To me he's a music genius and together with Ngwair they made me love music. Keep doing your thing and I've learnt some tips from you. Bless up

  • @gilbertkavishe3725
    @gilbertkavishe3725 4 роки тому +9

    Interview ilikuwa nzuri snaa. Binafsi imenifundisha vitu vingi. U are very smart bro.

  • @johnmosha
    @johnmosha 4 роки тому +4

    Noora you are very matured now... Wisdom yako imepamda Sanaa. Remembering the days of Wu-Zengo

  • @abdulwahidmsellem1998
    @abdulwahidmsellem1998 4 роки тому +9

    Uyu msanii namkubali Sanaa🙏🏽🇹🇿👌
    Ayo tv bigup Sana👏👏

  • @Bitlontravels555
    @Bitlontravels555 4 роки тому +38

    This guy is very wise.

  • @msombanehemia7503
    @msombanehemia7503 4 роки тому +24

    Hongeraaaa pia kuna maisha mengine baada ya mziki

  • @OG_20
    @OG_20 4 роки тому +7

    Mad love for u bro! Yo a music legend and if there was a good formation mazee this industry ingekua juu sana cause they would have the best teachers!

  • @godwinmpazi1560
    @godwinmpazi1560 4 роки тому +10

    Respect brudah...nipo London nimefulia but sijakata tamaa...Nina kazi ninayopenda kufanya na bado naisomea zaidi lakini tatizo Niko nalo ni siwezi ku save enough niseme sasa nirudi nyumbani Singida...Nimeangalia hii clip na sasa nimepata moyo zaidi kwamba bado nina Nafasi tho I gotta race against time.Ahsante bro

  • @saidmlindwa7954
    @saidmlindwa7954 4 роки тому +7

    This dude nice,calm,slow and humble💯hatujasahau ur good music

  • @queenfletcher4223
    @queenfletcher4223 3 роки тому +2

    THIS DUDE THOU WHAT A GEM💎 … Ila watanzania sijui tunafeli nini walah SAD!!!

  • @geeva99
    @geeva99 4 роки тому +62

    Mziki ulikuwa zamani, sikiliza sasa msanii wa zamani anavyoongea kama professor

    • @johnny.j.nyondo
      @johnny.j.nyondo 4 роки тому +1

      Wewe sasa ndo umeongea

    • @salumsalum3792
      @salumsalum3792 4 роки тому +1

      Yani mtu wangu wewe utakuwa intelegencia kuliona hilo mimi nilisema hivyo hivyo Big up Bro

    • @jamesmukweyi3965
      @jamesmukweyi3965 3 роки тому

      Mr Noorah,long time bro

  • @abdulzackawami7780
    @abdulzackawami7780 4 роки тому +11

    Chemba squard imeondoka daah!Mez B Albart Mangwea😭😭😭

  • @husnangapu502
    @husnangapu502 4 роки тому +70

    Ukiishi kwa kuangalia macho ya watu hauwezi kutoboa me sioni ajabu kuuza duka as long as ni biashara halali afanye tu!!!

  • @nancyandrew9273
    @nancyandrew9273 4 роки тому +12

    Free style ni noooma alfu wimbo wa chochote utapata wa kelyn ndo huwa unanifanya nijiulize huyu broo yuko wapiiiiiiiiii

  • @khadijakayuzi8471
    @khadijakayuzi8471 4 роки тому +2

    Uko vizuri Noor rudi kwenye gems tunakupenda kk tutakusapot na elfu 10000 nitumie namba nikutumie

  • @kijitamfyomi5598
    @kijitamfyomi5598 4 роки тому +22

    Bro usirudi tena huko hata kama kunapesa mtumikia Allah kwa ajili ya maisha yako baadae.maisha ya dunia ni mafupi sana.

  • @nyumbumjanja
    @nyumbumjanja 4 роки тому +10

    Kila huwa nikihitaji kupata ushauri & story za music,,, huwa nakuja kwako bigup mangiii #letambegee

  • @wanvinnah3456
    @wanvinnah3456 4 роки тому +10

    noorah anatuchapa bdo na lugha gongana kwa interview pia 😂😂 yenyewe ajuae ajua💪

  • @KevoMazziwa
    @KevoMazziwa 4 роки тому +2

    Ingekua bora zaidi. Ungeikweka no ya noorah.. tumlipe hela zake elfu Kumi sisi mafans wake wa kweli.... Tunafurahishwa na kazi zake. Kabisa.. kwa ujumla what i take from this is Noorah.. is wise .. very wise...

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 4 роки тому +6

    MSHUKURU ALLAH AMEKUONGOZA,TULIA HUKOHUKO KWENYE IBADA NA BIASHARA NYINGINE SIO MUZIKI,KAZI YA SHETANI NI MUZIKI AMINI USIAMINI,USIJE UKAFIA HUKO

  • @usanifumaandishi7519
    @usanifumaandishi7519 4 роки тому +33

    Lakini pamoja na yote nafikiri baada ya kifo cha Ngwair naona uliwaza mengi ukaamua kuacha game

    • @innomghase3713
      @innomghase3713 4 роки тому

      Coz ukiangalia ata mwak alioacha game ndo mwak alio farik ngwea

  • @alinadee8207
    @alinadee8207 4 роки тому +23

    Good artist ever Tanzania apart from trending singers we have this one is musical educated in industry

  • @shijacs23
    @shijacs23 4 роки тому +11

    Nimetoka kusikiliza tena Unanitega na Chochote Utapata kweli mashabiki wako unatudai elfu kumikumi, seriously tudondoshee namba yako maana tunajisikia tuna deni kwako!!

  • @ferouzmasoud4870
    @ferouzmasoud4870 2 роки тому +2

    Legendary Kama legendary kitambo Sanaaa broo noorah 👊👊👊🇹🇿🇹🇿

  • @zzuuhassani5205
    @zzuuhassani5205 4 роки тому +15

    daah bg suprise kwangu unaipataje iyo elafu kumi sasa ??

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 7 місяців тому

    Hii ya mwisho ya kuhusu imani ni a very huge point ambayo itajenga watu milele ..Big up brother me nilikuwa sidoz mpaka niskize migoma yako capital fm na eved suza

  • @zaitunijuma7831
    @zaitunijuma7831 4 роки тому +9

    ukiendekeza macho ya watu kamwee huwezi fikia malengo yk bora ufanye kile unachokion kitalet faid kwako na famili yk so kufat2 mkumbo honger kk ila nime kusahau sijuw nilikuw mdog kipindi kile waimba au ndo maisha2

  • @queenandchill91
    @queenandchill91 2 роки тому +2

    Noorah a.k.a Baba Styles❤❤
    Ishi sana brother, I 'm glad i found this interview, after kuona ile ya Big Chawa.God bless you 🙏🏼

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 4 роки тому +7

    Safi sana..umeonyesha uthubutu mkubwa kwa kuwaambia wanamuziki wengine.

  • @Love4Ril
    @Love4Ril 4 роки тому +21

    Sad news ever! He was one of the best players in the game

  • @atupelemwasambili4476
    @atupelemwasambili4476 4 роки тому +15

    Wise and smart. Big up brother

  • @masebochris3050
    @masebochris3050 4 роки тому +8

    Hongera ndugu ma elezo yame nyooka,,

  • @benardmwakilasa3969
    @benardmwakilasa3969 4 роки тому +26

    Noorah toa namba nikutumie 10000

    • @yusufmwangichannel6692
      @yusufmwangichannel6692 4 роки тому

      Saidia masikini na fukara utapata malipo mazuri kwa Mwenyezi Mungu

    • @lizzydiy4590
      @lizzydiy4590 4 роки тому

      0689442347 iyo apo mdogo wangu

    • @alvinsafi2733
      @alvinsafi2733 4 роки тому +1

      @@lizzydiy4590 😁😁😁

    • @lizzydiy4590
      @lizzydiy4590 4 роки тому +1

      @@alvinsafi2733 😂😂😂 watu tuna njaa

    • @alvinsafi2733
      @alvinsafi2733 4 роки тому +1

      @@lizzydiy4590 Hatari sana

  • @40kstore
    @40kstore 4 роки тому +7

    Hivi Kwanini wasanii wanapata kidogo tofaut na wanachofanya !? Katika Watanzania million 50,million 1 hawakosi kuwa mashabiki wa muziki,kwa mwaka msanii mkali kama Noorah alitakiwa afunge hesabu hata ya million 500 na kuendelea,ila kuna Wasanii wabongo wanatoa mangoma makali alafu wako pale pale,yaani Wasanii ni billionaires ambao wamelala

  • @ibrahimjobu9141
    @ibrahimjobu9141 4 роки тому +10

    Noorah A.K.A Baba stadh nakubali sana flow zako zilikuwa za kipekee sanaaaaaaah Mzee Baba jah Bless you

  • @satwanthoogan6429
    @satwanthoogan6429 2 роки тому +1

    Nilikuwa namkubali sanaaa,na voice yake iko powa sanaa! Alafu Amenenepa...😉👍🏻

  • @januaryyolamu4069
    @januaryyolamu4069 2 роки тому

    funzo kwa vijana naujumbe kiujumula thank you so much again game is my favorite songs My brother

  • @mangib52
    @mangib52 4 роки тому +8

    Nimemuelewa sana noorah✌

  • @emanueltobias3420
    @emanueltobias3420 4 роки тому +9

    Du ni kitambo sana ni kwetu shiy like atakaetokoea shy

    • @adrianalberto7043
      @adrianalberto7043 4 роки тому

      Tena hapo sio kambarage ni nssf ya zamani kwa nyuma karibu fundi pikipiki almasi

  • @alexmalisani898
    @alexmalisani898 4 роки тому +1

    Nime mwelewa sana broo nikweli watu wana fanya vitu waonekane rakini hawapo kwjiri ya maisha yao yabade

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 Рік тому +1

    noorah sio kwa sababu haupo kuna michawi iko humo ni balaaaa bora fanya maisha kaka nimependa unachofanya mno tena mno yaani mno anayemuunga mkono gonga like

  • @bonifacenicholaus5167
    @bonifacenicholaus5167 4 роки тому +7

    Unanidai elfu kumi bro! Fan wako leo kesho

  • @mfaumerashid4358
    @mfaumerashid4358 4 роки тому

    He was ahead of time....naamin ktk hlo n miongon mwa wasanii walioanza kuswitch kitambo sanaaaa enzi hizo mc weng walikuw wanaandika na kuchana tofaut na yy...

  • @aishafahdi8355
    @aishafahdi8355 2 роки тому +1

    Mpaka leo nasikiliza music wako❤️❤️

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 4 роки тому +2

    Safi sana kaka wewe ndiyo umechukua uamuzi wakiume siyo kuabudu tu watu kama huyo mzee yusufu

  • @abdulkadir-ly9ko
    @abdulkadir-ly9ko 4 роки тому +5

    Ana maarifa flan hv amazing @Noorah

  • @vonnyangarika4226
    @vonnyangarika4226 4 роки тому +9

    Huyu ndio msanii mwenye hekima pekee niliyewahi kumsikiliza

  • @sixbertbudodi
    @sixbertbudodi 4 роки тому

    Walimwengu tunaangamia kwa kukosa maarifa. Kutokuwa na hekima, busara, werevu n.k nako pia ni kufa. Noorah anafanya ibada ndiyo maana ana hekima. Hongera sana Baba Styz, umeongea vizuri sana. Hata rafiki yako Ngwair alisema "PIGA DILI YOYOTE SIYO LAZIMA KU-FLOO, CHA MSINGI NI KU-MAKE MONEY MAKE MORE DOO" Endelea na maisha yako kaka. All the best!!

  • @ayoubmwansinga4475
    @ayoubmwansinga4475 Рік тому

    Daa baba style alifanya vizuri kwenye bongo flaver hakika kabisa mnaishi mioyon mwetu

  • @josephissara5704
    @josephissara5704 3 роки тому +1

    Jamani vp ngoma yako ya kazi za ATM imepotea wapi....turushie tena hapa kwenye youtube

  • @alvinmalipaya5844
    @alvinmalipaya5844 4 роки тому +2

    Kitambo sana Noorah nakumbuka kipindi kile cha kina kia bway, maloga, mpandiko, magadula na wengine kibao

  • @thelatestvideos6266
    @thelatestvideos6266 4 роки тому +16

    Noraah,Mangwair walkua mbele ya Muda

  • @kijolejosia167
    @kijolejosia167 3 роки тому

    Yes ,tuliumbwa ili kumwabudu Mungu .Big up bro

  • @finiacefick8166
    @finiacefick8166 4 роки тому +14

    Mi ni mteja wake knoma hapo dukani kwake. Buku ten unayonidai kama mshabiki wako ntakuletea

  • @rewaatesh4877
    @rewaatesh4877 4 роки тому +5

    Uko sahihi kabisa. Point kuanzia mwanzo hadi mwisho.

  • @SirdickOmondi
    @SirdickOmondi 4 роки тому +5

    I like you IQ bro.... Responses zako ximetulia just like kina ROMA, Chidi Beeenz...Mwana FA.... AY and more

  • @almasially6509
    @almasially6509 10 місяців тому

    Huyu jamaa alikuwa talented sana kwenye prime yake.

  • @babailu2133
    @babailu2133 4 роки тому +15

    Dah nilikukubali kipindi kile si mchezo yaani ulikuaga ni mzee wa FREE STLY kinoma.

  • @giselaherman6799
    @giselaherman6799 3 роки тому

    Noorah ungetuacha na namba ya simu tutume chochote, roho inaniuma sana kwani ni kweli UNATUDAI SANA SANA. Mungu akutunze

  • @tetetvlamu9224
    @tetetvlamu9224 4 роки тому +1

    Kusema kweli hata ilikuwa nimemsahau, but leo imebidi nidownload nyimbo zake zote

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 Рік тому

    Leo nimeonana na Noorah dukani kwake Nimemis sana kazi zake, Back to game mr tumekumiss sana

  • @mickyclemence3798
    @mickyclemence3798 4 місяці тому

    Ameongea vzr sana kaka noorah big up broo

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 4 роки тому +12

    akili nyingi sana huyu jamaa!!

  • @jamilaathumani9004
    @jamilaathumani9004 4 роки тому +6

    Maisha niyaajabu sana, tufanyeni ibada tu wanazengwe mana hamna jipya duniani,, umaalufu sikitu kumbe muda wako ukipita nalako haliko

    • @hallin9561
      @hallin9561 4 роки тому +2

      Izo ibada mnazifanya kweli au ni unafki tuu kujiosha

  • @kelvinokelo7992
    @kelvinokelo7992 4 роки тому +5

    Noorah yuko vizuri sana kwenye interview ila jamaa angeendelea na game tungekuwa tunaburudika sanaaa.

    • @mackjr5291
      @mackjr5291 4 роки тому

      Ku burudika bila yeye kupata mpunga ni 0

  • @ki-ds-shall2241
    @ki-ds-shall2241 4 роки тому

    Kweli soma kwanza ndouende shule!!!,respect 🙌 bro

  • @adridomi6344
    @adridomi6344 4 роки тому

    Big up bro fanya mpango uwe manager for the artist

  • @johnjackson9665
    @johnjackson9665 4 роки тому +7

    Blessed

  • @AbubakarMtiro
    @AbubakarMtiro Рік тому

    Haijawi kutokea ulisimama vichwa tofauti lkn pia ulionekana km nurah hapa yupo , hello 👋 hnsm boy how are you, Hawa yupo nimemuacha east zoo

  • @abdulhamidisiraja4930
    @abdulhamidisiraja4930 4 роки тому +24

    jamaaa yupovizuri akiliyake imetulia anajibuvizuri

  • @gilbertgerald5846
    @gilbertgerald5846 4 роки тому +7

    Good interview..

  • @johnny.j.nyondo
    @johnny.j.nyondo 4 роки тому +1

    Kwanini msiwe na microphones mbili interview awe na yake na anayefanyiwa interview awe na yake

  • @jovinathobias7163
    @jovinathobias7163 Рік тому

    Mungu akusimamie daima