Hongereni sana watanzania wazalendo mpina na hao mawakili MUNGU awasaidie na kuwapigania maana hiyo si vita ya mahakamani tu maana mnashindana na maroho ya unafiki, uzembe, uongo, usaliti, ubabaishaji, ukabaila, unyonyaji, ukandamizaji, dharau, ufisadi na ushetani zaidi pia majaji wa mahakama hiyo wasipokee maelekezo mabaya toka juu ili mahakama angalau katika hilo shauri iwe huru isifungwe mikono kama ilivyofungwa kwenye kesi ya kina mwabukusi kupinga mkataba mbovu wenye utata wa kuwapa waarabu wa Dubai bandari zetu zote bila ukomo
Hapo imekaa vizuri sana. Atukuzwe Mungu aliyekuumba na heri maziwa uliyonyonya, mh. Mpina. Hatuwezi kuwa na viongozi wa mihimili wanaoshindwa kutekeleza majukumu ya mhimili husika na badala yake wanatekeleza majukumu ya mhimili mwingine.
Hawa wote wana kesi ya kujibu. Wanaitafuna Tanzania huku tukiona.,Asante mawakili kumuakilisha Mpiina kwa niaba ya watanzania. Katiba mpya inahitajika kuikombowa Tanzania kutoka kwa watu wachache
Asanteni , asanteni. Alimugukuza mbunge na kumwambia abebe mizigo yake na atoke. Tonę yake ilikuwa ya kumufedhehesha Mpina. Speaker alitumia madaraka kama Tanzania na bunge ni Mali yake. Wengi tumesikitika sana na kumudharau speaker kwa kutumia mararaka yake vibaya - Huyu speaker hafai kabisa
Hapo ni sawa lakini kulingana na record za utendaji wa mahakama za Tanzania tayari majibu yanafahamika. Shida na tatizo ni mahakama za Tanzania ziko chini ya mhimili wa CCM. Mahakama zetu mara nyingi husikiliza order kwamba inasemaje. Mpina kupata haki mahakani inategeameana kama CCM na mfumo wa serikali watapata faida.
Mpina ndo mzarendo pekee hapo ccm ila wengine wote ni wezi tu tena ni wezi hatali wakiongozwa na mwenyekiti wao wa chama ndo mana mpaka leo wezi na ubadirifu uliotajwa na CAG hata mmoja aliechukuliwa hatuwa kwa kuwa mwenyewe anahusika na wizi hata be lango wa mbeya yupo kimya pamoja na kufika kwenye kiti chake hayo yote kwa kuwa ni mmoja wa wezi wa mali za uma
Hongereni sana watanzania wazalendo mpina na hao mawakili MUNGU awasaidie na kuwapigania maana hiyo si vita ya mahakamani tu maana mnashindana na maroho ya unafiki, uzembe, uongo, wizi, ufisadi, ukabaila, unyonyaji, usaliti, uzandiki na matumizi mabaya ya madaraka kinyume cha haki na sheria pia majaji wa mahakama hiyo wasipokee maelekezo mabaya ya vigogo wateuzi toka juu ili mahakama angalau katika hilo shauri iwe huru usifungwe mikono kama ilivyofungwa kwenye kesi ya kina mwabukusi kupinga mkataba mbovu wenye utata wa kuwapa waarabu wa Dubai bandari zetu zote bila ukomo
Mpina mzalendo Wabunge kama kibajaji na msukuma ni hatari katika usalama wa Taifa kwa sababu ni mzigo bungeni wanakula pesa zetu bure kazi ku attack mzalendo kama Mpina anaye tetea wanaichi kwa dhati
Mbona wakati sukari inauzwa elfu 11000 kilo nyinyi mawakili hamjajitokeza kutetea bei ishuke nendeni huko wajinga nyiye nyuma yenu kunawatu wanawatuma wanaouhitaji urais wa nchi hii mbona ngorongoro imechukuliwa nawadubai hamjajitokeza mbona wakati wa dp word hatujawaona au hizo sio lasilimali za taifa hili acheni ujinga wenu mnataka mtuvuligie nchi
Mawakili siyo sehemu ya tume ya bei ya sukari na mazao mengine bali inapoonekana katiba inaharibiwa hapo ndopo wao wanapata nafasi ya kuingia kuchanganua nani kaivunja na kututia hasara kama taifa. HONGERA KWENU MAWAKILI.
Hongereni sana watanzania wazalendo mpina na hao mawakili MUNGU awasaidie na kuwapigania maana hiyo si vita ya mahakamani tu maana mnashindana na maroho ya unafiki, uzembe, uongo, usaliti, ubabaishaji, ukabaila, unyonyaji, ukandamizaji, dharau, ufisadi na ushetani zaidi pia majaji wa mahakama hiyo wasipokee maelekezo mabaya toka juu ili mahakama angalau katika hilo shauri iwe huru isifungwe mikono kama ilivyofungwa kwenye kesi ya kina mwabukusi kupinga mkataba mbovu wenye utata wa kuwapa waarabu wa Dubai bandari zetu zote bila ukomo
Viva mpina ni mzalendo Sana mungu akulinde Sana japo haki inagalama mungu yupo
Hongera mh, mpina upo vizuri inshaallah
Mungu akulinde Mpina na akapigane na majizi na manyonyaji yote.
Hongereni sana pia Mawakili mlio jitokeza Mungu awaongoze na kuwasimamia 🙏
Mungu awabariki
Hapo imekaa vizuri sana. Atukuzwe Mungu aliyekuumba na heri maziwa uliyonyonya, mh. Mpina.
Hatuwezi kuwa na viongozi wa mihimili wanaoshindwa kutekeleza majukumu ya mhimili husika na badala yake wanatekeleza majukumu ya mhimili mwingine.
Mungu akulinde na atende haki juu ya wtz wote tunaonyonywa
Nadhani hii ndiyo dawa kwa nchi yetu
Hawa wote wana kesi ya kujibu. Wanaitafuna Tanzania huku tukiona.,Asante mawakili kumuakilisha Mpiina kwa niaba ya watanzania. Katiba mpya inahitajika kuikombowa Tanzania kutoka kwa watu wachache
Monica timotheo uko vizuri sana hongera sana
Uyu mpina mwamba Sana wanamchi tunapenda Sana aya mambo amjui tuu
Asanteni , asanteni. Alimugukuza mbunge na kumwambia abebe mizigo yake na atoke. Tonę yake ilikuwa ya kumufedhehesha Mpina. Speaker alitumia madaraka kama Tanzania na bunge ni Mali yake. Wengi tumesikitika sana na kumudharau speaker kwa kutumia mararaka yake vibaya - Huyu speaker hafai kabisa
Iwe hivyo.Sheria Itafuata.Mkondo wake.
Tuchagie miamia tusapoti mfuko tusapoti waumiaji
Sawa
Hapo ni sawa lakini kulingana na record za utendaji wa mahakama za Tanzania tayari majibu yanafahamika. Shida na tatizo ni mahakama za Tanzania ziko chini ya mhimili wa CCM. Mahakama zetu mara nyingi husikiliza order kwamba inasemaje. Mpina kupata haki mahakani inategeameana kama CCM na mfumo wa serikali watapata faida.
Siyo Mpina kupata haki, kumbuka Mpina ni mwakilishi wa wananchi, anatetea maslahi ya wananchi na kutenda kwa.niaba ya watanganyika.
Mungu awalinde sana sana tenaa awakumbuke sana
Akika mungu awalinde mana ih innchi inachezewa sana asante majaji wetu asante mpina mana unatufungua macho
Vizuri sana kupata haki ya rasilimali zetu. Kwani tumeendelea kunyonywa kwa namna isiyo haki.
Mpina toa number mwenye kuguswa atachangia chochote watu wapo teari kuchangisha
Asante Mungu komesha ubathifu hapa nchini
Mungu awabaliki sana
Daaaa😂😂😂😂 nchi hii, wakulima wa mchongo.... 😂😂 Sema sawa tu amsha amsha muhimu
Mungu akusimamie shujaa wetu
Wapelekwe hao na spika wao.
Tuko pamoja jamani sisi Mawakili kusaidia panapo Hitajika MUNGU Atasimama Sana Wajanja wanamuonea Mama sana
Mimi ninacho jua waziri bashe ni mtata sana ila kwa mpina sidhani kama atatoboa
Mpina kambana, KIASI mwamba hapumui😁😁😁😁
Nimefurahi to the maximum naona taifa linaenda kupata ukombozi
Kama wamekiuka Katiba na Sheria ya Tz Mpina yuko sahihi buruza watu Mahakaman kwani watu wamejisahau sana!
Mpina ndo mzarendo pekee hapo ccm ila wengine wote ni wezi tu tena ni wezi hatali wakiongozwa na mwenyekiti wao wa chama ndo mana mpaka leo wezi na ubadirifu uliotajwa na CAG hata mmoja aliechukuliwa hatuwa kwa kuwa mwenyewe anahusika na wizi hata be lango wa mbeya yupo kimya pamoja na kufika kwenye kiti chake hayo yote kwa kuwa ni mmoja wa wezi wa mali za uma
Hapo nawaelewa na watanzania tupo nyuma yenu wasimamia haki
Sisi hatuandamani kama Kenya, bali tunashindana Mahakamani
Panapobidi tuandamane tu
Hongereni sana watanzania wazalendo mpina na hao mawakili MUNGU awasaidie na kuwapigania maana hiyo si vita ya mahakamani tu maana mnashindana na maroho ya unafiki, uzembe, uongo, wizi, ufisadi, ukabaila, unyonyaji, usaliti, uzandiki na matumizi mabaya ya madaraka kinyume cha haki na sheria pia majaji wa mahakama hiyo wasipokee maelekezo mabaya ya vigogo wateuzi toka juu ili mahakama angalau katika hilo shauri iwe huru usifungwe mikono kama ilivyofungwa kwenye kesi ya kina mwabukusi kupinga mkataba mbovu wenye utata wa kuwapa waarabu wa Dubai bandari zetu zote bila ukomo
mahakama yenyewe wale wale tu sion haki
Ccm ya Awamu ya awamu ya sita kiboko tunachoomba Amani tu Tanzania
Aliyetengeneza skendo ya sukari kupanda ni waziri wa kilimo hata msimtee
Wanasheria wa tz Sasa mmeamua kusimamia ukwel
Huyo spika Tulia kiti kinampwaya awapishe wenye uwezo wa kusimamia haki
Mpina ni chuma
Kweli tuwachangie Mawakili waliojitolea kumsaidia Mpina jimboni kwake waaze kutandaza mkeka kwa kufungua account taratibu zifanyike
Ule mwanzo wa mwisho umekaribia, tutaelewana tu
Wekeni Namba ya kuchangia
MPINA Hana kosa Kabisa
Tunaomba numbs za simu titachhsngia fedha za kesi ,wekeni titume hela kuwezesha na sisi hii kesi ,
NASOMA COMMENTS TU ...
Mpina baba tunakuhitaji bungeni. Wewe ni mbunge pekee mutetezi wa watanzania. Karibu wote woga imewashika kuchunga ubunge wawo
Nan anamjua huyu baba anayezungumza naomba jina lake
Dr Nshallah Rugemalila
Namuona spika wa mchongo na waziri jambazi wa kilimo wakiumbuka awamu hii
Mpina mzalendo Wabunge kama kibajaji na msukuma ni hatari katika usalama wa Taifa kwa sababu ni mzigo bungeni wanakula pesa zetu bure kazi ku attack mzalendo kama Mpina anaye tetea wanaichi kwa dhati
Mbona wakati sukari inauzwa elfu 11000 kilo nyinyi mawakili hamjajitokeza kutetea bei ishuke nendeni huko wajinga nyiye nyuma yenu kunawatu wanawatuma wanaouhitaji urais wa nchi hii mbona ngorongoro imechukuliwa nawadubai hamjajitokeza mbona wakati wa dp word hatujawaona au hizo sio lasilimali za taifa hili acheni ujinga wenu mnataka mtuvuligie nchi
Mwajuma mbona una'mashaka?😅😅
ukitaka sukali huuziwe Bei raisi kalime miwa yako yani wewe unang'ang'ania mjini alafu unataka vyakula viuzwe bei ndogo
Rudi shule
Mawakili siyo sehemu ya tume ya bei ya sukari na mazao mengine bali inapoonekana katiba inaharibiwa hapo ndopo wao wanapata nafasi ya kuingia kuchanganua nani kaivunja na kututia hasara kama taifa. HONGERA KWENU MAWAKILI.