Mbunge Livingstone Lusinde 'Nataka niwapongeze Upinzani'
Вставка
- Опубліковано 16 вер 2024
- Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde hajapendezwa na baadhi ya wabunge kukosoa utendaji kazi wa Rais John Pombe Magufuli pamoja na watendaji wake na kuamua kuyaongea haya
tell them the truth bro Jpm is doing a good job, hawa wapinzani wamekosa hoja kabisa
speech nzur na imeonyesha wap ni tatzo la kutokuwepo pesa mtaan maden yalipwe ya wawekezaj wa ndan hili ndo suluhisho zur ili pesa iweze zunguka mtaaan
Thanks lusinde guud sanaa mzee wakuwachana
Huyu jaaama kichwa Sana ! wapinzani kerere tuh
safi sana lusinde big up
👐👐👐 lusinde moma
Hiyo ndiyo point kubwa,
Kamua baba mzee Lusinde wape makavu
Nakukubali bajaji
Hivi mnaosema nchi inaelekea kubaya mna hoja za msingi. Hebu tuambieni ni zipi hizo na sisi tuzione.
una akili sana
Mungu angeluhusu kikao na wanadamu hadi leo kisingeisha ametisha sanaa
safisana
Safi sana mh lusinde
Nchi hii!!!
Lusinde noma
sema baba dawa imewaingia
HUO UKWELI MCHUNGU
NYALUKOLO UKO FITI
Tuiombeeni nchi yetu Tanzania.... Hali ni tete sana.... Mungu atusaidie....
Kwakweli Mr Rusinde huwa unaniflahisha Sana ktk bunge usipo simama huwa nakosa Amani kabisa Kama dawa wapizani wanaipata kwa wakati muafaka
lusinde unatisha
yaani huyu jamaa ananikumbusha kasehemu Deo aisee ana akili sana
زهراhawawezi Diana kukushusha زهرا that's true his very smart
we need to change our ideology of thinking
kibajaji uyo
mhhh bro
Lusinde ww unafaa kuwa rais
Lusinde uwaziri hipati ww piga poyoyo tuuuuu weye
kiandee
Nimemsikiliza ila sijasikia point yoyote zaidi ya vijembe na mapambia,hapo unaweza sasa kufafanisha uchangiaji wa msomi na darasa la 7#hii ndio ssm HALISI
lusinde kama ww nimsafi rudisha m10 ulizopewa na majaliwa laasivyo mungu atakulaani maisha magumu mtaani nyinyi mnahongana pesa bungeni ila namshauli waziri mkuu awaite wandishi akanushe mbona yukokimya
Mhhhhhj
2020 sio mbali
Ndo nn sasa 2020 Mwehu?
Anyoshe wapi watu wako wa mtrea wanashindwa hata kunywa chai maisha yalivyo magumu unaakili kwerli wewe
Wap muwe na akiba ya maneno leo wametumbuliwa.
Jamaa kiboko
mmmmmmh....nothing else
akili ndogo
😂😂😂
Hatujui tunako toka wala tunako enda hao ndo wawakilishi wawananchi Tz, hasara tupu hawakumbuki kama watarudi 2020 kuomba kura.
kaka lusinde una pumba balaa
tuombe sana coz cjui nchi yetu inaelekea wapi
Yaani huyu mbunge hajielewi hata kidogo. Inawezekana haelewi nn maana na hawezi kuambiwa maana.
sisi huku tunashinda na njaa nyie mnagawana hela zote hizo? iyo kazi mmeifanyia wapi achen izo
Best unashinda nã njaa kwa ujinganani akuletee pesa,
Anatafuta nafasi ya kuteuliwa (uwaziri) huyo tatizo shule ndo kikwazo.
Tatizo nimetoka kapaaaaa
hacha unafika bro siasa hazitokufikisha popote
anataka kiki kwa piki piki.
hili hapa tatizo
hivi hakuna wakati Lusinde akawa na hoja ya msingi, muda wote ujinga ujinga tu
mpuuzi we mjinga ndo we ucyetaka kuambiwa ukweli!lusinde anaongea ukweli mtupu
ueleweki
pumbaaaaaaaaaaaaaaaa
Maisha mgumu Hakuna pesa. Kodi juu. Wateja hakuna. hali ni mbaya sana kwa hiyo nakushauri acha pumba zako
Kwendrwaaaaaa fankrurooooo weweee
ana point uyo mzee
Huyu haeleweki labda shule ndo chanzo
Lusinde umezngua
we chiz
kibajaji huna lolote
huna hoja za maana kazi kumsifia rais
mmmmmmh....nothing else