#2. CHAKULA CHA BWANA KAMA MAHAKAMA INAYOMPA MUNGU UHALALI WA KUHUKUMU MIUNGU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 гру 2022
  • KONGAMANO LA MAOMBI KANDA YA ZIWA - BUKOBA

КОМЕНТАРІ • 58

  • @jaqueeen1
    @jaqueeen1 Рік тому +6

    Nilitoka kwenye hili kongamano nikapata channel ya kazi aisee ... Mungu ni mwaminifu sana

  • @charlessimon1663
    @charlessimon1663 Рік тому +4

    Roho Mtakatifu naungana na fundisho hili ktk Roho(kwa IMANI) najitenga na mazuio yote maishani mwangu; kwenye ndoa,kwenye ajira,kwenye kazi,kwenye UTUMISHI/HUDUMA , na maendeleo yangu yote kwa kila eneo......... Ameeeen

  • @TheophileMibambwe
    @TheophileMibambwe 3 місяці тому

    Mungu akubariki sana mwalimu kwa mafundisho inayotubarika kila Siku.

  • @ambindwilehosea6837
    @ambindwilehosea6837 Рік тому +6

    Amen amen penda sana baba Mungu mwema kwakunipa wewe nafundishwa sana na wewe mpakwa mafuta wa Mungu ❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️

  • @goodluckmartin4101
    @goodluckmartin4101 Рік тому +3

    Nabarikiwa sana na hili somo Utukufu na heshima zirudi kwa Bwana wetu Yesu Kristo.

  • @marryasantemunguawapemaish1755
    @marryasantemunguawapemaish1755 5 днів тому

    Amina mchungaji karibi Moshi makutini

  • @marryasantemunguawapemaish1755
    @marryasantemunguawapemaish1755 5 днів тому

    Amina mafundisho yako yananihusa baba

  • @NaimaChatanda
    @NaimaChatanda Рік тому +1

    Amen

  • @Openchequecarservices
    @Openchequecarservices 11 місяців тому +1

    Amen 🚦 I will go

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 Рік тому +4

    Asante Yesu mmerusha hii part two ni kwa ajili yangu niliiwaza mno

  • @user-oi1uk3rs2h
    @user-oi1uk3rs2h 3 місяці тому

    Amen 🙏

  • @kizammasa6388
    @kizammasa6388 Рік тому

    Bwana Yesu asifiwe. Naitaji vitabu vya ndoto na tafsiri tafadhali. Nitavipata kwa njia gani maana niko nje na Tanzania 🇹🇿. Asante.

  • @GeorgeUlemak
    @GeorgeUlemak 11 місяців тому

    Asante mt kwa mafundisho mazuri

  • @joyceenock4756
    @joyceenock4756 Рік тому +1

    BwanaYesu asifiwe, Mungu akutunze mwalimu .Nabarikiwa sana na mafundisho yako.

  • @erickvenance5717
    @erickvenance5717 Рік тому +1

    Masomo ya Mwal. Mazuri sana, yana tusogeza mbele katika maisha. My God bless you more and more and give you more good food for us.

  • @narggdhdv765
    @narggdhdv765 Рік тому +1

    Asante Bwana YESU kwajili ya hiii huduma na kwajili ya ujumbee huu. Nimefunguliwa macho na akili yangu imeelewa.Mungunipe neema yakutekeleza maelekezo haya.

  • @MerceySamson
    @MerceySamson 3 місяці тому

    Amen mtumishi wamungu nakupenda sana mungu amekipa kipawa kizuri ubarikiwe

  • @BeatriceModest-vx7sr
    @BeatriceModest-vx7sr 9 місяців тому

    Asante baba Mungu awatunze.

  • @ME-qe8ui
    @ME-qe8ui Рік тому +1

    Shalom baba,namtukuza Mungu kwa ajili yako kwa mafunuo haya. Nina maswali yasiyo na majibu sababu mimi ni muhanga wa haya baba. Katazo au zuio la miungu. Natamani kutoka huko, natokaje baba????? Nimeomba mda mrefu bila mafanikio kamili, naamini ni wakati wangu umefuka wa kutoka.naomba nisaidie baba namna ya kutoka usipuuzie baba nakuomba pamoja na majukumumengi uliyonayo naomba unisaidie.barikiwa mno

  • @shallonjoel4682
    @shallonjoel4682 Рік тому +2

    Amen amen 🙏🙏🙏

  • @dorcuskennedy1118
    @dorcuskennedy1118 Рік тому +1

    Bwana apewe sifa tunabalikiwa sana

  • @blessedtumaini516
    @blessedtumaini516 Рік тому

    Mungu Baba wa rehema nyingi unisaidie nisikupokeee kimazoea bali kwa kuongozwa na Roho wako Mtakatifu. Asante Mwalimu Christopher Mwakasege na huduma ya MANA kwa huduma njema. Mungu awabariki sana.

  • @user-pi1st6pj3w
    @user-pi1st6pj3w 3 місяці тому

    Amina

  • @ndatoyeaspert6745
    @ndatoyeaspert6745 Рік тому +2

    Amina!Mwalimu karibu Burundi

  • @christinephilip5043
    @christinephilip5043 Рік тому +3

    Utukufu kwa Mungu ubarikiwe mwl christopher 🙏🙏🙏

    • @ElizabethJumbe-ch7xn
      @ElizabethJumbe-ch7xn Рік тому

      Damu ya agano la kristo iambatane na huduma ya mana duniani pote 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @KephasKayanda
    @KephasKayanda Рік тому +1

    ❤❤❤❤

  • @marryasantemunguawapemaish1755
    @marryasantemunguawapemaish1755 5 днів тому

    Ututoe gizani

  • @mielmianda2780
    @mielmianda2780 Рік тому +2

    Sifa zimurudie mungu.

  • @alfredkuria7673
    @alfredkuria7673 Рік тому

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu; walipomega mkate macho yao yakafunguliwa

  • @user-xw5lq7pg6u
    @user-xw5lq7pg6u 10 місяців тому

    Amen mtumishi wa Mungu aliye hai

  • @kingnikhmanay2707
    @kingnikhmanay2707 Рік тому +1

    Lord Jesus thank you for this massage
    I blessed your name

  • @zebedayomyengi2312
    @zebedayomyengi2312 Рік тому +4

    Am blessed with your teachings

  • @stevejumbe9355
    @stevejumbe9355 Рік тому

    Ubarikiwe mwalimu kwa somo hii imenifungua kwa kweli🙏

  • @georgeulema9118
    @georgeulema9118 3 місяці тому +1

    👃

  • @tansianashirima2843
    @tansianashirima2843 Рік тому

    Barikiwa baba, nijifunza kwa habari ya kujitenga na Miungu.

  • @rehemamwampiki8603
    @rehemamwampiki8603 Рік тому +1

    Good

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 Рік тому +1

    Amen Amen

  • @jenjuma6255
    @jenjuma6255 Рік тому

    ❤❤❤❤Amina mtumishi wa mungu

  • @mashuvekivaria8867
    @mashuvekivaria8867 Рік тому

    Ubarikiwe mwalim

  • @datydon6676
    @datydon6676 Рік тому

    Amina Baba

  • @rhodanangoma7386
    @rhodanangoma7386 Рік тому

    Amen Mwal !

  • @isayamlimbila1522
    @isayamlimbila1522 Рік тому

    Msaada.

  • @prisca4612
    @prisca4612 Рік тому

    Amen Amen Amen!!!!

  • @shalomtv1803
    @shalomtv1803 Рік тому +2

    Amen, MUNGU akutie nguvu Sana Man of God, Nakupenda 🙏🙏

  • @aureliekatempa9519
    @aureliekatempa9519 Рік тому +2

    Thank-you Lord Jesus Christ, for your grace and mercy.

    • @ME-qe8ui
      @ME-qe8ui Рік тому

      Shalom baba, nabarikiwa sana tena sana ila maswali ni mengi na sina majibu.yote unayoyaongea baba ni kweli juu ya katazo la miungu ktk maeneo mbalimbali.baba ntaondoaje hayo mazuio??? Naomba msaada nini cha kufanya

  • @bilugwemwanzije
    @bilugwemwanzije Рік тому

    Nuru na maarifa zikuangaze mtumishi !!?

  • @mielmianda2780
    @mielmianda2780 Рік тому +1

    Kila wakati nikuona mwalimu mwakasege Christopher. Ninajiuliza ndamuonaka jee. Kama unapata nafasi yakumuona nisaidie umuambie kwa niabayangu.

  • @linkreuben3108
    @linkreuben3108 Рік тому +1

    KWANINI BAADHI YA VIDEO MNAFUNGA COMMENTS????
    Pia sijaelewa kwanini mika yote masomo ni sadaka tu, kweli hakuna masomo mengine tunaweza kujifunza?!

    • @producerflorizy2365
      @producerflorizy2365 4 місяці тому

      kwasabab ina umuhim ambao bado haujauelewa siku ukiuelewa utawafundisha wengine hilo na sio kukosoa

  • @user-zc1vu5kn7w
    @user-zc1vu5kn7w Рік тому

    Amen

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 Рік тому

    Amen Amen