Roho Mtakatifu naungana na fundisho hili ktk Roho(kwa IMANI) najitenga na mazuio yote maishani mwangu; kwenye ndoa,kwenye ajira,kwenye kazi,kwenye UTUMISHI/HUDUMA , na maendeleo yangu yote kwa kila eneo......... Ameeeen
Asante Bwana YESU kwajili ya hiii huduma na kwajili ya ujumbee huu. Nimefunguliwa macho na akili yangu imeelewa.Mungunipe neema yakutekeleza maelekezo haya.
Shalom baba,namtukuza Mungu kwa ajili yako kwa mafunuo haya. Nina maswali yasiyo na majibu sababu mimi ni muhanga wa haya baba. Katazo au zuio la miungu. Natamani kutoka huko, natokaje baba????? Nimeomba mda mrefu bila mafanikio kamili, naamini ni wakati wangu umefuka wa kutoka.naomba nisaidie baba namna ya kutoka usipuuzie baba nakuomba pamoja na majukumumengi uliyonayo naomba unisaidie.barikiwa mno
Mungu Baba wa rehema nyingi unisaidie nisikupokeee kimazoea bali kwa kuongozwa na Roho wako Mtakatifu. Asante Mwalimu Christopher Mwakasege na huduma ya MANA kwa huduma njema. Mungu awabariki sana.
Shalom baba, nabarikiwa sana tena sana ila maswali ni mengi na sina majibu.yote unayoyaongea baba ni kweli juu ya katazo la miungu ktk maeneo mbalimbali.baba ntaondoaje hayo mazuio??? Naomba msaada nini cha kufanya
Nilitoka kwenye hili kongamano nikapata channel ya kazi aisee ... Mungu ni mwaminifu sana
Roho Mtakatifu naungana na fundisho hili ktk Roho(kwa IMANI) najitenga na mazuio yote maishani mwangu; kwenye ndoa,kwenye ajira,kwenye kazi,kwenye UTUMISHI/HUDUMA , na maendeleo yangu yote kwa kila eneo......... Ameeeen
Mungu akubariki sana mwalimu kwa mafundisho inayotubarika kila Siku.
Amen amen penda sana baba Mungu mwema kwakunipa wewe nafundishwa sana na wewe mpakwa mafuta wa Mungu ❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️
Amen❤️
@@jescambembela2011 🙏
Nabarikiwa sana na hili somo Utukufu na heshima zirudi kwa Bwana wetu Yesu Kristo.
Amina mchungaji karibi Moshi makutini
Amina mafundisho yako yananihusa baba
Amen
Amen 🚦 I will go
Asante Yesu mmerusha hii part two ni kwa ajili yangu niliiwaza mno
Amen 🙏
Bwana Yesu asifiwe. Naitaji vitabu vya ndoto na tafsiri tafadhali. Nitavipata kwa njia gani maana niko nje na Tanzania 🇹🇿. Asante.
Asante mt kwa mafundisho mazuri
BwanaYesu asifiwe, Mungu akutunze mwalimu .Nabarikiwa sana na mafundisho yako.
Masomo ya Mwal. Mazuri sana, yana tusogeza mbele katika maisha. My God bless you more and more and give you more good food for us.
Asante Bwana YESU kwajili ya hiii huduma na kwajili ya ujumbee huu. Nimefunguliwa macho na akili yangu imeelewa.Mungunipe neema yakutekeleza maelekezo haya.
Amen mtumishi wamungu nakupenda sana mungu amekipa kipawa kizuri ubarikiwe
Asante baba Mungu awatunze.
Shalom baba,namtukuza Mungu kwa ajili yako kwa mafunuo haya. Nina maswali yasiyo na majibu sababu mimi ni muhanga wa haya baba. Katazo au zuio la miungu. Natamani kutoka huko, natokaje baba????? Nimeomba mda mrefu bila mafanikio kamili, naamini ni wakati wangu umefuka wa kutoka.naomba nisaidie baba namna ya kutoka usipuuzie baba nakuomba pamoja na majukumumengi uliyonayo naomba unisaidie.barikiwa mno
Amen amen 🙏🙏🙏
Bwana apewe sifa tunabalikiwa sana
Mungu Baba wa rehema nyingi unisaidie nisikupokeee kimazoea bali kwa kuongozwa na Roho wako Mtakatifu. Asante Mwalimu Christopher Mwakasege na huduma ya MANA kwa huduma njema. Mungu awabariki sana.
Amina
Amina!Mwalimu karibu Burundi
Utukufu kwa Mungu ubarikiwe mwl christopher 🙏🙏🙏
Damu ya agano la kristo iambatane na huduma ya mana duniani pote 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
❤❤❤❤
Ututoe gizani
Sifa zimurudie mungu.
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu; walipomega mkate macho yao yakafunguliwa
Amen mtumishi wa Mungu aliye hai
Lord Jesus thank you for this massage
I blessed your name
Am blessed with your teachings
Ubarikiwe mwalimu kwa somo hii imenifungua kwa kweli🙏
👃
Barikiwa baba, nijifunza kwa habari ya kujitenga na Miungu.
Good
Amen Amen
Ubarikiwe mwalimu mungu aendeleee kuku tunza wakati wote ameen.!
❤❤❤❤Amina mtumishi wa mungu
Ubarikiwe mwalim
Amina Baba
Amen Mwal !
Msaada.
Amen Amen Amen!!!!
Mungu akutie nguvu baba mwakasege
Amen, MUNGU akutie nguvu Sana Man of God, Nakupenda 🙏🙏
Amina utukufu kwa Mungu
Thank-you Lord Jesus Christ, for your grace and mercy.
Shalom baba, nabarikiwa sana tena sana ila maswali ni mengi na sina majibu.yote unayoyaongea baba ni kweli juu ya katazo la miungu ktk maeneo mbalimbali.baba ntaondoaje hayo mazuio??? Naomba msaada nini cha kufanya
Nuru na maarifa zikuangaze mtumishi !!?
Kila wakati nikuona mwalimu mwakasege Christopher. Ninajiuliza ndamuonaka jee. Kama unapata nafasi yakumuona nisaidie umuambie kwa niabayangu.
KWANINI BAADHI YA VIDEO MNAFUNGA COMMENTS????
Pia sijaelewa kwanini mika yote masomo ni sadaka tu, kweli hakuna masomo mengine tunaweza kujifunza?!
kwasabab ina umuhim ambao bado haujauelewa siku ukiuelewa utawafundisha wengine hilo na sio kukosoa
Amen
Amen Amen