Dizasta Vina - Chupa moja ya ziada
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- Official UA-cam video of Dizasta Vina performing Chupa moja ya ziada Off the album 'A Father Figure'
Produced and mastered by Ringle Beatz
Stream/Download Chupa moja ya ziada
Mdundo - mdundo.com/son...
Audiomack - audiomack.com/...
Spotify - open.spotify.c...
Boomplay - www.boomplay.c...
Connect with Dizasta Vina on social medias
Instagram - / dizastavina
Twitter - / dizastavina
Facebook - / dizastavina07
Business: Pan.authentik@yahoo.com
Website - bio.link/dizas...,
Lyrics
Kalala chini ubongo na fuvu vimetengana
Hatoi sauti hana hata nguvu ya kulalama
Macho yetu yanagongana ya kwangu yanaona haya
Natamani kufumba maana naona uchungu kumtazama
Ni butwaa siwezi eleza hali yake
Mifupa imezagaa kadhaa haipo mahali pake
Waungwana wamejaa wanauliza ka' mi' timamu
Damu nyingi nataka niamini ni filamu
Hata nikifumba macho naona jambo hili hili
Nafsi yangu inahofu na inatukana kwa siri siri
Ameumia siwezi kumtazama mara mbili mbili
Mguu mmoja umetengana na kiwiliwili
Kweli nimeamini utu wa mtu ni uhai wake
Mja amelala watu wamewahi karai lake
Wengi wanatabiri tanzia bila kuficha
Wema wanalia na mabazazi wanapiga picha
Amechanika nyama kuonyesha nyama si tunu
Anapata maumivu kabla hajaikumbata huru
Anaonyesha kuwa mwili ni kasha lisilodumu
Na kujua siku ya uhai kutoka ilivyo sumu
Mtoto wake analia ameisoma ajenda
Kuwa baba uhai umetoka na roho yake ishakwenda
Anahitaji uthibitisho na picha inajieleza
Ananiona mimi nami sina ninachokiweza
Natamani niamke nigundue picha nicheke
Au labda naota ndoto ya kutisha nikeshe
Huku wapita njia wakipiga kelele
Kuona mtoto anakuwa yatima milele
Chorus
Chupa moja ya ziada
Chupa moja ya ziada
Nilipigiwa simu ikisema njoo baa
Maana mtungi wa nyumbani haunogi
Nikalewa kisha nikataka kuondoka
Mpumbavu mwingine akasema one for the .....
Chupa nikazipanga panga
Mfuko ulipokauka wakanijaza
Nikanywa nikijitapa kama mjanja
Wana wakipiga kelele kuniita
(mwamba mwamba)
Sikio la mlevi likashika habari
Sifa walizonipa zikanishika hatari
Sikuwaza kuwajibika kuwa nani nitamuumiza
Nilikuwa mbinafsi kiasi nilishindwa kujali
Labda ningebakia kwenye kijiwe nongwa cha Biafra
Ninywe kahawa nikisikiliza soga za siasa
Ningekunywa kidogo labda nisingerudia
nimeua mpita njia sababu ya chupa moja tu ya ziada
Nimefanya kosa na muda unakwenda hasa
Hasa nitaongea kipi? kipi nitaeleza sasa?
Sababu chupa moja tu ya ziada
Mke anamkosa mume aliyempenda
Mtoto anampoteza baba
Maji yameshamwagika nani wa kunifundisha lugha?
Niseme kwa nani ama nani wa kuunganisha nyufa?
Nani wa kuujuza umma kuwa nami najuta nafsi?
Nani asimamishe siku kisha akaurudisha muda?
Malipo gani yakurudisha pumzi kwenye mwili
Uamke tena? uhai hata kwa hela tu haukopwi
Adhabu gani itamfaa mpuuzi kama mimi
Asiyejua maana ya pumzi?
Maana hata jela tu hainitoshi
Hata nikiamua kufunga na kuuungama
Siwezi kuzuia uuma wa watu wakiungana
Kuamua kumwaga damu kwa mja nilie na laana
Nife nilipe deni kwa hii dhuluma niliyoifanya
Muda umesimama moyo unaingia baridi
Nimemgonga na gari picha inanijia saa hizi
Mja anakata roho picha inayoingia zaidi
Ni kuona vibaka wanaiibia maiti
Chorus
Chupa moja ya ziada
Ziada ziada ziada ziada ziada
Chupa moja ya ziada
genius.com/Diz...
The fact kwamba hii hadithi imesimuliwa kutoka nyuma kwenda mbele is intriguing. GENIUS at work.
Flashback wanaita 🔥.
Nilikuwa nakufuatilia Toka kipindi Cha sister kadata mpaka Leo huwa najiuliza kuhusu utunzi wako
Teacher not sister @@mwasavevo
@@sangavilley2792 Yuko sahihi ni Sister Kadata. Vipi umeanza kumfuatilia Dizasta Juzi nini? Sisi tulioanza kufuatilia Mziki wake tangu 2014 tunafahamu ngoma nyingi sana za dizasta ikiwemo sister kadata na album yake ya kipindi kile cha nyuma ya kuitwa Jesusta.
Na hiyo Ngoma haiitwi Sister Kadata bali inaitwa Sister. Kitu kama hicho.
@@sangavilley2792fala wewe humjui vina
Nafurahi sana kuona msanii wangu anaingia kwenye trending ingawa yeye sio mtu wa trending ila kazi zake zinampeleka huko
Hii hadithi imeanzia katikati ikaenda mwisho itarudi mwanzo. Akili kubwa dizasta vina
Kuna wasanii wa hip hop alaf kuna dizasta vina hivi ni vitu viwili tofautii
4sure
Hip hop itakua mikono salama kama tukiiikabidhishaa kwa dizasta vina
Wanaojua mziki pekee ndo wanamuelewa huyu mwamba
Uhai hat kwa hela tyu haukopwii 🎉🎉🎉 Nimemgong na gali pich ndo inanijia saizi
Jamn 2semen ukwel hv yupo kiumbe mweny kuijuw fasihi ambaye hampend na hamueli master DzstvN 4 my xide I appreciate ya kuw No one amby anamchkia DzstvN
RINGLE BEATS POPOTE ULIPO TUNAKUSHUKURU SANA MAANA WE NDO KIUMBE PEKEE ULIYEMUELEWA DIZASTA KIPINDI DUNIA IKIJIULIZA 🎉🎉🎉🎉🎉❤
Kumbe hii nyimbo umeanzia mwisho alafu inaenda mwanzo nimechukua muda sana kuelewa kali sana hii ngoma😂😂😂😂😂
Kuna mda nawaza Dizasta ndio angekuwa Darasa🤜🤛
Like comment hii tuipeleke top 5 Trending hii ngoma🔥
Darasa alikuwaga mkali mwanzo lakn akabadilika akaanza utopolo
Kama umesikiliza zaidi ya mara moja like hapa
Katka nyimbo niliyotaman iachiwe ya kwanza hii, bado karbu duniani na last Confession sas na karbu duniani, kwa tulionunua album tujuane..
Oi oi oi oi kama una amini maskio yako yako safe ukumsikiliza dizasta like hapa
Wakenya🇰🇪pitieni hapa tumpe like zake huyu mwamba
Ngoma Kali sana ,mafunzo mazuri respect kwa D vina
Kenya Mombasa ,huku mwamba anajua ...nko na album zake ya jesusta, verteller na wonder boy
D vina nakubar unacho kifanya na sio mm pekeangu tuko kama 💯
Tuliomsikia Nature hapo mwisho...
Tuna-Like hapa 😂😂😂😂
Meen This is Masterpiece
Kisengere nyuma
Nilipigiwa simu njoo bar maana mtungi wa nyumban haunogii
Nikalewa nikataka kuondoka mpumbavu mmoja akasema oya one for the road
😅😅😅😅😅😅
Daaagh
@ringlebeatz hatukadai kwa hii beat mwanang D vina legendary kak daah cjui nseme nn ww ndioo kioo na sanaaa ya wale madog wanayoililia kule mainstream forever legend🙌💯🍾
Siri ya Mchezo
@@DIMONKAT by fid q prod by Ben Mwamba
Hii beat ni sample ya beat ya siri ya mchezo ya FID Q ft nature
Jana tu ndo nilikua nimrkuja kuangalia kama jamaa ametoa ngoma mpya, kumbe my instincts weren't far from reality,,
Love from KENYA🔥🔥🇰🇪🤝🏽
kuna mda uwa nahisi wewe jamaa ni yule roho 7 amna wanao furahia mziki kama wale tunafutilia nyimbo zako 🔥🔥🔥🔥
Kama Fid Q Tu Alieleza Wazi Kuwa Hakuna Mwandishi Wa Muziki Wa Hip-hop Kumzidi Dizasta Vina, Jeeee Mimi Nani Nipinge..!!! Big Up Sana Bro Unajua Mpaka Unajua Tena❤❤
Dizasta n combination ya rappers wote bongo
Wa kwanzaaa ❤
Wa kwanz ni mm.
HIP HOP is back mpaka uwe na D2 ndo watakuelewa wapuuzi
Akili mingi Dizasta Vina Sagittarius 🏹
RINGLEBEAT😎🎧🎹📌
Nlikuwa nasema "wiggo" sikuzote
Bar builder🎉
Kweliiii hii 🔥🔥🔥🔥 kizazi jeuli
Da aseh unakarama sana yan sjapata kuona ngoma zako daa ee tunakukubali👊
Moja ya wimbo wangu pendwa kutoka kwenye album.....UNAJUA SANA MWANANGU HESHIMA YAKO ZIJE KWAKO.
Katika ngoma dizasta kaimba, ni hii. Kama umerudi zaid ya mara moja tujuane
Hongera sana wew msikilizaji mwenzangu uliepata bahati ya kumfahamu Dizasta Vina..maana wasio mfaham huyu jamaa wanapitwa na mambo ya msingi sana 😰😰😰
Wanamjua ila hawajui ana nini cha ziada.
Dah..!! 🔥🔥
Bro huwa nakusikiliza Sana pia natamani kukutana na wewe kwa sababu Mimi shabiki yako natamani nikupestory ambazo tumepitia kwenye maisha ya nyuma kidogo
Hii ni kali Ila siku ukidondosha FANANI lazima ishike number one UA-cam
Vina anaishi kwnye demission ambayO ni miungU tU ina settle .. miaku buku respect dizasta vina
haujawahi kutuangusha MASHABIKI WAKO
Duuuuhhh hizi verses ni high level em tulizeni sikio kwa umakini muone ni namna gani alivyoflow kwa mtindo wa kipekee
nyimbo imeanza mwisho ikaja mwanzo...kama umejaelewa sikiliza mara mbili....
Nikama Nyokaa ya Chindo Man
DIZASTA TUHESHIMIANE BASI KAKA NAOMBA UTOE CONFESION PART 2. NAKUPA MIEZI6. KILA SIKU NASUBILI PART2 WEWE UKO BIZE TU KUTENGENEZA MANGOMA MAKALI.
TOA CONFESION OF A MAD MAN PART 2 AMA SIO TUANDAMANE.
..... nikatoa visu na nyundo......
Iliisha kibabe sana.....hata ile ya mzee wa kunyonga ganja kwenye plama kaniacha ewan tu😂😂
@@leonardmhagama5828 huyu jamaa anatukata utamu sana.. yani mimi nasubilia viporo vyetu adi atoe😂 stori nzuri inaisha kikatili afu anachelewesha mwendelezo ku**ke
@@leonardmhagama5828duniani kuzimu kwanni ukeshe kushika protocol wakati ulaji muhimu.
Tega ndonga uelewe hii imetoka mbele kend nyuma
Hatar xana vinaaaa
Nkimsikiliza dizasta namuona fid Q kama SAJNA au Ali kibaa jamaa anakaza kinomaa UYO rapcha mnaemfananisha na dizasta ni kumkosea heshima huyuu jamaaa
Kuwa na Heshima wewe
Hakuna Anachofanya ambacho Fid Q hajafanya
Big brain una dunia yako🔥🔥🔥
Mwambaaa nakukubaliii haunagaaa kaziii mbovuu hata sikuu mojaa❤❤❤
Genius ❤
Hii ngoma n ubaya ubwela
Kazi safi🫡
Dizasta sio wa kwny hii planet salute [rap machine]
Muda umesimama moyo umeingia baridi
Nimemgonga na gari picha inanijia asaivi
Mja anakata roho picha inayo ingia zaidi nikuona vibaka wanaiibia maiti.
Hii Material ni TOP SHELF
Kuna jamaa anasema kula bia😅😅😅 ila vina ww fala unajua mpk unazingua sana😅😅😅
Wimbo umeanza mbele umerudi nyuma, waliolewa hili wachache sana
VINA MWANZO MWISHO
Mwenye kibichwa kidogo hawezi elewa kitu
Sijawahi kukupinga bado
🔥🔥🔥🔥
Huyu mwamba hakustaili kuzaliwa Tz maana tunamuelewa wachache huyu ndo the Great Thinker
Dah fanani ni moto sana mwanang jamaa kachora sana mule..
Kuna ngoma anasema alikotoka bingwa lakini jamii imeshiba sanaa ujinga ndio maana yeye sio famous
Kama hukupita skuli huwezi elewa kilichoimbwa
Noma Sana We Nigga Ni Hatari Sana 💥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hii beat ukiipiga kqenye SPIANO BUFA halafu demu akiwa kitandan anasubilia show,, oyaaa sio powa . Beat inatone za kimambele😅😅
Daaa kubababake Bonge moja la Mbupu!!!💥💣🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
Masterpiece
That's why he's the goat... The G.O.A.T
G.O.A.T!
Nasikiliza huku Machozi yakinitoka...D Legendary
Fid q pacha nakukubali
Kichwa kinatema madini
Unyama wa kwenda
Beat la kiregendary hili watoto wa 2000 hawawez elewa
Siri ya mtungi
Mimi binafsi nakubaliana na uyu VINA.. hakika hii ngoma imefika sehemu salama hapa mozambique 🇲🇿🇲🇿
Mtungi wa nyumban aunogi....njoo bar weee
NIPO TOP TWO NA SIO SECOND 🔥
Ufundi ulotumika ni kama wa Nas katika Ngoma ya rewind ⏪, perfect story telling.
The best for a reason 🐐
Mkali wa hip hop asili hayebaki
Ooyaa hii kichwa Ya dizasta ni mashine ingne kbs hapa Tz, uyu jamaa anaweza andikia hta Holywood Movie
TAKUTA NGAZA RASMI @DIZASTA NDIE MSANII NAMBA MOJA WA RAP AFRICA MASHARIKI
My brother 🔥
Huyu jamaa ni nyoko aisee❤😊
Thanks son.
Umetisha mwambaa
No one like d vina
I repeat this again
Noma sana 💯. Gonga like apa kama umeikubali hii ngoma
Chupaaaaaaaa🙌
Kusanya wana hiphop wa Bongo wote uwafundishe Content... we nimkali zaidi ya xana...
GOATED
Genius vinna. Fahar kubwa ni kuwa umezaliwa ktk wakt wangu. Sijui ungezaliwa baada ya mm kufa ningejilaumu kwa kias gan
Hip hop mziki wenye tungo imara
big up D vina👏👏👏
chupa moja 🔥🔥🔥🔥🔥
Nakubali sanaa vichupa vyako brother sio hao mambwinga wengine wapo wakali lakn Sion wa kukupata
OYAAAH WANNGU NAPATAJE ALBUM YA DZSTVN YA A FATHER FIGURE
Dizasta wa moto❤❤❤
Kwa kile kizazi kijachoo....nilikua hapa 2024/7/19🎉🎉🎉🎉
Vina bad guy appreciate hommie
Hapa hata B mbili huelewi
Siku moja natamani nikutane na Dizasta nipige nae story 🫡
Ni dizasta kwa kweli mazingira yanaweza kukunyima utajiri mkubwa sana
Ngoma Kali saa hii D. Vina
Uyu hata nisipo sikilizaaa nanjua tuu ni mwambaaa
Black Maradona...🔥🔥🔥