Mlitaka USHAHIDI Sasa Mpina kawapa. Mh. Spika binafsi Huwa unanikera mara kadhaa UNAVYO waongoza wenzako. Punguza ukari na ndio maana Mpina kakimbilia mtaani maana anajua ni kawaida Yako kuweka Kona wenzio. Tabia MBAYA SANA hiyo kwa ustawi wa Nchi. Mpe mtu nafasi azungumze amalize lakini wewe ni umekuwa mtu wa kuingilia watu wanapo zungumza. Sio siha NZURI.
Watanzania hua kuwaelewa wanzchokita ni kazi kubwa sana ukisikiliza hoja za wawili hao hapo bungeni utaona lengo la Bashe ni kumtetea mwananchi wakati mpina anatetea kanuni. Mimi nilitegemea wananchi wamuunge mkono Bashe kuliko Mpina.
Hili suala la sukari liko kisiasa sana, miezi ambayo tanzania hawazalishi, wenzetu Zambia na Malawi wao wanazalisha mwaka mzima. Na hali ta hewa ya Tanzania na hizo inchi iko sawa.
Aliye Tulaani sisi alitufanyia kitu mbaya sana, sisi ni nchi yenye ardhi kubwa kuliko zote east Africa, sisi ni nchi yenye utulivu wa kiutawala kuliko nchi nyingine yoyito afrika tuna mvua za kutosha ati miaka 60 ya uhuru bado tuna tunaongelea sukari. Aliye tulaani ni mtu mbaya sana
Nakuunga mkono kwa point zingine ila hili la...nchi yenye utulivu wa kiutawala kuliko nchi nyingine yoyote East Africa si kweli hakuna utulivu ila wameeneza vitisho kwa wananchi ili watawale kimabavu asijitokeze mtu kuongea ukweli watakushughulikia kama Tundu Lisu
Alikua waziri wa mifugo wakati wa magufuli ndio huyo alikua anapima samaki na rula 😂😂 huyo naye anahasira za kukosa uwaziri akipewa cheo anavurunda pia
Bashe utakuwa juu sana. Mungu akulinde.Good man. Achana na Mpuuzi mpina.hopeles minister mpina. Unapambana na bashe kwa ajili ya nini. Bashe ni mzalendo wa kweli.
Mimi niseme tu mpina yuko sahii zuli sana acheni kujidaganya Kutoka 1:8,10 [8]Basi akainuka mfalme mpya kutawala Misri, asiyemjua Yusufu. Now there arose up a new king over Egypt, which knew not Joseph. [10]Haya! Na tuwatendee kwa akili, wasije wakaongezeka; tena, ikitokea vita, wao nao wasije wakashikamana na adui zetu na kupigana nasi, na kutoka katika nchi hii. Come on, let us deal wisely with them; lest they multiply, and it come to pass, that, when there falleth out any war, they join also unto our enemies, and fight against us, and so get them up out of the land.
Hakuna kitu zaidi ya Makasiliko. Ana chuki na Mh. Bashe, Hawa ndio kundi linapambana kumwondoa Bashe na baadhi ya mawaziri kwenye nafasi zao kwa chuki tuu. Hon. Bashe ni Kichwa kingine cha karne hii.
Waheshimiwa wabunge wakati mwingine mimi huwa nashindwakuwaelewa wakiwawanaongea hapo kama watu mwenye uchungu vile kumbe hamna kitu Mimi binafsi ni moja ya waathirika wa zao la tumbaku tabora naye huyu anatokea tabora yaani kuna migogoro mpaka basi pia kuna uonevu wa Hali ya juu kwenye zao hili
Tatizo spika anajifanya wakili ikiwa Waziri alipaswa aweke ushahidi wa alivyovisema ili Mpina nae athibitishe ukweli ujulikane na sio kupendelea sehemu moja
Bashe amewashika pabaya wenye viwanda,miaka yote wanajifanya kuna shortage ili wapewe vibali,nashauri kipindi cha shortage wapewe vibali wafanyabiashara ili wenye viwanda wazalishe sukari ya kutosha kipindi chote,mikoa iliyoko mipakani kama nchi jirani kuna sukari wafanya biashara wa mikoa hiyo waruhusiwe kuingiza,Mpina acha kutetea wezi.
Huyu mpina wakati ni waziri alikuwa ni mfitini sana kwa mali za watu na ana roho ya wivu anaona kuwa wanziri anapata sana sasa anaona kila mtu yuko kama yeye
we bashe wee upo vizuli naona una mtaja sana mungu nikweli una tenda aki uku kwetu sukali kilo 3500 mpina tupamba nie mwamba ayo mengine tusha yazowea kila seemu ni kupigatu yeye nani bashe asi pige
Kutoka 1:8,10 [8]Basi akainuka mfalme mpya kutawala Misri, asiyemjua Yusufu. Now there arose up a new king over Egypt, which knew not Joseph. [10]Haya! Na tuwatendee kwa akili, wasije wakaongezeka; tena, ikitokea vita, wao nao wasije wakashikamana na adui zetu na kupigana nasi, na kutoka katika nchi hii. Come on, let us deal wisely with them; lest they multiply, and it come to pass, that, when there falleth out any war, they join also unto our enemies, and fight against us, and so get them up out of the land.
Bashe atoke kweny uwaziri hawezi kutusaidia wanyonge watu tunataka tuuze ata mahindi yetu ata gunia 10 ili upeleke watoto shule lakin ye anaangalia matajiri tu mshenzi uyu
Kwa kutulinda wakulima hapana sasa hivi umetangaza kuanza biashara ya unga wa mahindi DRC sasa kama serikali ina anzaje kuuza ungaa Drc wakulima na hasa kigoma tunaotegemea soko la DRC tutweza kushindana na serikali kweli hii sio sawa
Intervention wapi wewe, hapo kunaupigaji tu, kama ukiagiza sukari nje inakua ni bei rahisi, sasa kuna maana gani ya kua na viwanda sasa, waziri Iddi Simba alijiuzuru kwa issue hii hii ya sukari.
sasa apo nyie ambao mnashangilia mpina mana mlitaka sukari iwe juu ili mumtukane raisi leo mnataka bashe afuate sheria wakati juzi tu mlikuwa mnamsifia Magu anafanya maamuzi kwamba sheria inachelewesha leo vp yaani nyie mkipata mtu yuko tofauti na serikali ata kama serikali ina inawahurumia nyie ndio mnamuona yk sawa
Wanaomsifia Mpina hawamjui vizuri huyu aisha kua waziri wa mifugo alicho fanya waulize wafugaji na wavuvi, kama kuna cha maana alileta zaidi ya sifa za kufilisi watu,
😊mpina ni mpiga porojo mkubwa,na si alikuwa waziri alifanya nn zaidi ya kupima samaki kwa RULA?siasa ni mwanaharamu wewe mwananchi ukiwa mjinga utahadaika na watu kama mpina.
Mtukufu ni Mungu.....Bashe. Wewe ni mwislam wa kweli kuliita bunge eti tukufu....mmmmh unakosea sana.....utukufu una Mwenyezi Mungu pekee
Pamoja na maneno hayo, mbona bei ya sukari bado ipo juu?
Nadhani alimaanisha Saint na sio Holy, Kiswazi kipo na shida.
Bunge lina utukufu gani na limejaa wizi
Mungu hakai maali pachafu,palipojaa rushwa na uonevu,Hukumu yenu yaja wapigaji,mijizi mikubwa
WIZI MTUPU HAPO SIKUELEWI
Mlitaka USHAHIDI Sasa Mpina kawapa. Mh. Spika binafsi Huwa unanikera mara kadhaa UNAVYO waongoza wenzako. Punguza ukari na ndio maana Mpina kakimbilia mtaani maana anajua ni kawaida Yako kuweka Kona wenzio. Tabia MBAYA SANA hiyo kwa ustawi wa Nchi. Mpe mtu nafasi azungumze amalize lakini wewe ni umekuwa mtu wa kuingilia watu wanapo zungumza. Sio siha NZURI.
Mtaalamu Mwenyewe Luhaga mpina 🙌🙌🙌
Hongera Mpina komboa Watanzania
Taarifa za mpina ni za kikachero
😂😂 huyu mwamba nimemshitukia kabsa sijui ni kachero
@@jamesselemani4562 hao akina mpina ndiyo wanatumiwa na serkali yaani chini ya TIS ili kuwabana mawaziri
Jeshi la mtu mmoja,kamati ya mtu mmoja.
Kama sio kachero basi anafanya kazi na upinzani mwamba anaona mbali Sana
Umeumbuka Bashe! Unamtaja na MUNGU huna haya? Umedanganya bunge ma 18 Bashe. MUNGU amlinde sana Mh Luhaga Mpina.
Kwel kabisaa mwizi huyu msomal
Watanzania hua kuwaelewa wanzchokita ni kazi kubwa sana ukisikiliza hoja za wawili hao hapo bungeni utaona lengo la Bashe ni kumtetea mwananchi wakati mpina anatetea kanuni. Mimi nilitegemea wananchi wamuunge mkono Bashe kuliko Mpina.
Hili suala la sukari liko kisiasa sana, miezi ambayo tanzania hawazalishi, wenzetu Zambia na Malawi wao wanazalisha mwaka mzima. Na hali ta hewa ya Tanzania na hizo inchi iko sawa.
Niko na mpina mpaka awe waziri,jamaa ananyoosha sana
Allah, yuko nawe mh bashe hukuubwa kumuogopa kiumbe yeyote fanya kazi yako amana umepewa na mungu la yahafu kiumbe mungu anajua zaid
Usiwe unatetea uovu wanao pata tabu ni sisi wananchi
Sio rahisi kuwa kiongozi wa chochote
Spika si uwaache wawili mpina na Bashe wamenyane tu ..Spika anaingilia sana 😅😅
Aliye Tulaani sisi alitufanyia kitu mbaya sana, sisi ni nchi yenye ardhi kubwa kuliko zote east Africa, sisi ni nchi yenye utulivu wa kiutawala kuliko nchi nyingine yoyito afrika tuna mvua za kutosha ati miaka 60 ya uhuru bado tuna tunaongelea sukari. Aliye tulaani ni mtu mbaya sana
Nakuunga mkono kwa point zingine ila hili la...nchi yenye utulivu wa kiutawala kuliko nchi nyingine yoyote East Africa si kweli hakuna utulivu ila wameeneza vitisho kwa wananchi ili watawale kimabavu asijitokeze mtu kuongea ukweli watakushughulikia kama Tundu Lisu
Mpina hoyeee
Mpina Ipo Siku Itafika Tutakumbuka Hoja Zako Na Kusema Mpina Aliwahi Kuyasema Haya Akiwa Bungeni
Bunge bila upinzan siyo bunge kweli tusirudie makosa mama tumpe urais lakin wabunge tuwachanganye
Acha ujinga mama gani unaongelea😂
@@zakariamalembela3974 kwann wewe unadhan mama yup ata kama ni mama ako anafaa tumpe
Mama yupi apewe
@@judicateurassa7817 mama samia
@@MRHURUMAHurumayaani huyo mama karibu nchi kabisa
mpina akija kuwa hata waziri mkuu tu Kuna watu watakunya na watanyooka tunaishi kimazoea Sana
Alikua waziri wa mifugo wakati wa magufuli ndio huyo alikua anapima samaki na rula 😂😂 huyo naye anahasira za kukosa uwaziri akipewa cheo anavurunda pia
Bashe ni waziri. Mzigo
Bashe utakuwa juu sana. Mungu akulinde.Good man. Achana na Mpuuzi mpina.hopeles minister mpina. Unapambana na bashe kwa ajili ya nini. Bashe ni mzalendo wa kweli.
Waziri Ummy alikua busy kuchati na Mimi
😂😂😂
Mungu mbinguni utete watanzania ,hspa duniani tulikuja bila kitu tutaruf hivyo hivyo
Mpina umebaki peke Ako tu hapa nchini kuipgania Taifa hili .Mungu akupe nguvu
Yes indeed. Unfortunately he is alone 😢
Spika naye anajibu maswali kwa niaba ya wazir???i Lengo apotoshe? Huyu Spika😂
Mimi niseme tu mpina yuko sahii zuli sana acheni kujidaganya Kutoka 1:8,10
[8]Basi akainuka mfalme mpya kutawala Misri, asiyemjua Yusufu.
Now there arose up a new king over Egypt, which knew not Joseph.
[10]Haya! Na tuwatendee kwa akili, wasije wakaongezeka; tena, ikitokea vita, wao nao wasije wakashikamana na adui zetu na kupigana nasi, na kutoka katika nchi hii.
Come on, let us deal wisely with them; lest they multiply, and it come to pass, that, when there falleth out any war, they join also unto our enemies, and fight against us, and so get them up out of the land.
Mpina and S makamba also good mbunge and bashe ni waziri mmoja ktk mawaziri kwelikweli wa mama Samia
Hongera Mpina kuwa mzalendo wa Inchi hii
Hakuna kitu zaidi ya Makasiliko. Ana chuki na Mh. Bashe, Hawa ndio kundi linapambana kumwondoa Bashe na baadhi ya mawaziri kwenye nafasi zao kwa chuki tuu. Hon. Bashe ni Kichwa kingine cha karne hii.
Bashe yupo safi, bt tunajua target ni 2025 iwe 2000/kg, uchaguzi ni wa motoo..
Waheshimiwa wabunge wakati mwingine mimi huwa nashindwakuwaelewa wakiwawanaongea hapo kama watu mwenye uchungu vile kumbe hamna kitu Mimi binafsi ni moja ya waathirika wa zao la tumbaku tabora naye huyu anatokea tabora yaani kuna migogoro mpaka basi pia kuna uonevu wa Hali ya juu kwenye zao hili
Tatizo spika anajifanya wakili ikiwa Waziri alipaswa aweke ushahidi wa alivyovisema ili Mpina nae athibitishe ukweli ujulikane na sio kupendelea sehemu moja
Hiyo ni siasa tu. Unaongea sana lakini utendaji ni zero!
Bashe amewashika pabaya wenye viwanda,miaka yote wanajifanya kuna shortage ili wapewe vibali,nashauri kipindi cha shortage wapewe vibali wafanyabiashara ili wenye viwanda wazalishe sukari ya kutosha kipindi chote,mikoa iliyoko mipakani kama nchi jirani kuna sukari wafanya biashara wa mikoa hiyo waruhusiwe kuingiza,Mpina acha kutetea wezi.
Unataka ripoti ya CAG yup maana analeta kila siku na hakuna linalofanyika...
Spika hatuna ila tunakipaza cha sauti tu 😂😂🙌
Maada ya kipumbavu yanapiga makofi hatari lkn hoja za msingi za kina Mpina wanacheka
Uwongo Uwongo
Spika anamtoa mpina kwenye point
Mpina akuna kitu ahaaa
Huyu mpina wakati ni waziri alikuwa ni mfitini sana kwa mali za watu na ana roho ya wivu anaona kuwa wanziri anapata sana sasa anaona kila mtu yuko kama yeye
Mbona mpaka sasa sukari inanunuliwa kwa bei ya juu? Tulia atakupini Mpina kwa sababu agenda zao.
we bashe wee upo vizuli naona una mtaja sana mungu nikweli una tenda aki uku kwetu sukali kilo 3500 mpina tupamba nie mwamba ayo mengine tusha yazowea kila seemu ni kupigatu yeye nani bashe asi pige
Nakuelewa sana Brother mm kama mjasiliamali katika kilimo na mifugo Niko mikono salama
Bashe hajaiba hata Mia.mnamshambulia kwa sababu gani.wivu tu mara malori yake.kwani kuwa na malori ni dhambi?
Pina ndo yupo sawa .
Huyu mpina anaonekana ana chuki na waziri sasa alete ushahidi au imekula kwake na roho mbaya 😂
Danganya mbumbumbu wenzako.mawaziri na wabunge hamjielewi.
Kutoka 1:8,10
[8]Basi akainuka mfalme mpya kutawala Misri, asiyemjua Yusufu.
Now there arose up a new king over Egypt, which knew not Joseph.
[10]Haya! Na tuwatendee kwa akili, wasije wakaongezeka; tena, ikitokea vita, wao nao wasije wakashikamana na adui zetu na kupigana nasi, na kutoka katika nchi hii.
Come on, let us deal wisely with them; lest they multiply, and it come to pass, that, when there falleth out any war, they join also unto our enemies, and fight against us, and so get them up out of the land.
Huyu aliyekaa pembeni ya mpina eti nae mbunge duh 🙄 anaongea mpina yeye anatetemeka
Sasa ww bashe kama unashindwa kuwaamrisha hao wa viwanda wakakusikiliza unafany nn ofisin
Kwel anafanya nini aachie ngaz bc
Mpina gombea uraisi kula yangu ipo❤❤❤❤❤❤
Bashe atoke kweny uwaziri hawezi kutusaidia wanyonge watu tunataka tuuze ata mahindi yetu ata gunia 10 ili upeleke watoto shule lakin ye anaangalia matajiri tu mshenzi uyu
Akitoka utaka wewe fala wewe
😂😂😂😂😂kwanini mshenzi sasa!!! Si mkubwa wako huyu
😂😂😂😂😂kwanini mshenzi sasa!!! Si mkubwa wako huyu
Hapo spika anajaribu kuua hoja mpina
Anataka kuifanya bunge kuwa taasisi ya serikali
Kwa kutulinda wakulima hapana sasa hivi umetangaza kuanza biashara ya unga wa mahindi DRC sasa kama serikali ina anzaje kuuza ungaa Drc wakulima na hasa kigoma tunaotegemea soko la DRC tutweza kushindana na serikali kweli hii sio sawa
Tulibinafsisha viwanda vya sukari ili uzalishaji ukidhi mahitaji yetu!
Leo hii hamna chochote tunachokidhi!
Kwanini tulibinafsisha?
Huyu. Anachekesha watu wananunua sukari sh..4000 mpaka sasa sasa inanunulika wapi.bei ya chini
Kwetu shs 3400/vijijini huku
Mpina wanyooshe wote watakaosema uongo bungeni
Mpina oyeeeeee
Bashe umeyakanyaga
Kwanin kusiwe na mikakati ya kuzalisha wakati wote bila ya kusimama
Bashe ni msanii yuko bize na maloli yake juzi tu kampuni ya marori jamani tz ni mtaji wa wanasiasa na mawZiri
Wengi wapigaji
Sukari sio chakula cha watu maskini hata ingekuwa ivo maskin ndo wakose sukari.
Intervention wapi wewe, hapo kunaupigaji tu, kama ukiagiza sukari nje inakua ni bei rahisi, sasa kuna maana gani ya kua na viwanda sasa, waziri Iddi Simba alijiuzuru kwa issue hii hii ya sukari.
My gumu hyu ni wa wote sis ccm tutafanywa vbaya sana
Kingereza kingi
God is tge judge
Mbina uko sahihi sana
Waziri Bashe brain kubwa
sasa apo nyie ambao mnashangilia mpina mana mlitaka sukari iwe juu ili mumtukane raisi leo mnataka bashe afuate sheria wakati juzi tu mlikuwa mnamsifia Magu anafanya maamuzi kwamba sheria inachelewesha leo vp yaani nyie mkipata mtu yuko tofauti na serikali ata kama serikali ina inawahurumia nyie ndio mnamuona yk sawa
BUNGEE ZIMA VS MPINA
Wakulima wanalindwa vipi nenda chunya kafatilie zile mborea feki nani alie ziruhusu wakulima wanalia.
Sio chunyatuu kila kona wanalia na mbolea feki starudia (hii Somalia)
Pamba na sukari..
Product za kisiasa...mpina uko sawa wewe pambana tutakulinda...usiwaogope
Mbona hakuna walipofokeana ninyi Yesu anawaona
Tukitumia sheria sana nchi haiendi..... Tuwe tunakabiliana na uhalisia hata kama tunavunja sheria
Sukari zenyewe ni chafu
Hio ni kutuchanganya tu wanania Moja hao
Kwanza bashe ni kabila gani?😅😮😊
Mpina yupo sahihi kabisa bashe janja janja tu!
Halafu anajifanya anaongea kwa kujiamini kumbe Hakuna, Mpina yuko sahihi
Bashe kama Mo wa simba..janja janja mingi
Sisi watumishi WA kilimo tumeona mabadiliko aliyoyaleta Bashe kwenye kilimo...na bado anafanya vizuri
Afrika moto, Bongo kuendelea ni swa nakuyatafuta matako ya nyoka hapo wezi wamarundika
❤Tp
Dah spika anaakili sana na kasoma sana
ipi
Kama walifungia hatua gani mmechukua mpaka mwaka wa ppili unatuambia haya
Kiuhalisia kazi imemshinda
Maelezo mengi ila hakuna kinachotokea
Wewe nxega walichagua
Makofi ni ya mawaziri tu
Mheshimiwa bashe mageti ya Mazao yanakamata ushuru mpaka Genoa moja..unalijua Hilo?
You guy wewe ni muongo...wakulima gani unawalinda wewe. Huku maisha magumu...
adiltv 1
HIVI HILI BUNGE NI TUKUFU KWELI? AU NANI ANAAMBIWA NI SPIKA NDIYE ANAJUA NA ANAAMINI KWAMBA BUNGE LAKE NI TUKUFU? DUHHHH.😊😊😊😊
Mbona mpina kila siku ni kupinga tu au mimi ndo sikuelewi
Hakuna wapinzani BUNGENI.
CCM WANAPANGANA KWAMBA WEWE UTAKUWA MOTHER IS BETTER THAN FATHER OR FATHER BETTER THAN.MOTHER. WAMEPANGANA
Hapingi, anatoa hoja na kukosoa na kushauri ndiyo kazi ya mbunge
Wanaomsifia Mpina hawamjui vizuri huyu aisha kua waziri wa mifugo alicho fanya waulize wafugaji na wavuvi, kama kuna cha maana alileta zaidi ya sifa za kufilisi watu,
Sas wewe unaongea nn mbon bandali sio Mali yetu na bado laisii niyuleyule co we una taka wazidi kuibaa sio
@@RomanMwinyi Wewe hiyo bandari umeisha leta mzigo ukapitisha hapo chini ya Watz ukaona adha yake
kwenye vitu vya msingi kma hvi huwez kuskia kina gwajima na babu tale wanaongea hawajui chochote kuhusu haya mambo
Siyo hao tu. Wapo na wengine
nape mbona umemsahau
😊mpina ni mpiga porojo mkubwa,na si alikuwa waziri alifanya nn zaidi ya kupima samaki kwa RULA?siasa ni mwanaharamu wewe mwananchi ukiwa mjinga utahadaika na watu kama mpina.
Bashe kawa bashili sikuizi😁😁😁🏃🏃🏃🏃🏃
😅😅😅
Mpina hapana kwakwer unatumiwa na wafanyabiashara wakubwa wewe,ushahid huo unautoa wap kama hawajakupa ili utuvuruge
Bashe bingwa anabishan kW hoja mpina anajutafuta ahaaa
Acha uongo Bashe Kuna wakulima vijijini mpaka Sasa hawajasajiliwa na hawana uhakika wa kupata pembejeo
Bashe ikiwa wawekezaji hawakutuhudumia ipasavyo,,
Umewachukulia hatua gani!!!
Hamna kitu, mwarobaini wa kilimo nchini haujapata majibu .bado Sana tena sana,
Refa (spika) na timu yake waziri hapa mpina hatoboi
Wanawalinda badala ya kuwasimamia na kuwashauri
Bunge kama taasisi ta serikali
Mpina piga wape spna hayo majizi mtaani tunaumia yani anasema sukari niyawatu masikini
Ila hii nchi(.......)
Waziri Ummi yuko Instagram 😂
Acheni kusema bunge tukufu mnamkosea Mungu sana
Mbunge anawakilisha Wananchi hivyo anawjibu wa kuihoji Serikali, haitakiwi akemewe Waziri anatakiwi aeleweshe ili akawaeleweshe Wananchi wake